Sasa kama kwa mwaka mzima walioenda mbinguni ni 5 dunia nzima Mungu si atakuwa na Hasara kubwa sana ya kuumba wanadamu na kuishia kwa shetani.Mimi ninachojua hapo shetani alikudanganya tu ili uone watu wote ni wakwake na ujione uko sehemu sahii na ana Nguvu kuliko Mungu lakini shetani ni Muongo kama lilivyo jina lake
@WilliamNamende-pc9ku9 ай бұрын
Yupo sahihi tafuta ushuhuda wa miaka 99o katika ufalme wa Giza Nae alisema hivyo hivyo
@albertchales94599 ай бұрын
shetan mhongo atamm siamini watu 5 apanasikweri
@cyantess842310 ай бұрын
shetani muongo banaa yesu alituambia
@ahmedomary247410 ай бұрын
Sheitwan anakudanganya hajui siri za Mungu na hataweza kujua Sababu akikaribia kutaka kujua siri za Mungu hupigwa vimondo mfano wa moto hivi
@nuraydasworld443110 ай бұрын
kwelii kabisa
@user-gi9kx1yj2z10 ай бұрын
@@nuraydasworld4431nñnnnnnmn 4:1nlnn
@WilliamNamende-pc9ku9 ай бұрын
We hujui tu shetani anajua idadi ya waliokufa katika haki na waliokufa katika dhambi hivyo nilazima ajue idadi
@sukisa123410 ай бұрын
Tunakupenda d unazingatia maon yetu
@edithaeugeni969510 ай бұрын
Asante kwa mwendelezo
@RojahKamalza-lw3ls10 ай бұрын
Huyu jamaa mkwel kote anako kutaja napajua
@UsafiMichael-mc8kt10 ай бұрын
Wewe ni muhaya
@africandarling692510 ай бұрын
Wewe pia unaishi kwa nguvu za kiza
@flm153010 ай бұрын
Part 5 please kabla MB hazijatuishia
@joshuaabell20339 ай бұрын
Yupo sawa kabisa kuna Mbingu Saba mpka kwa Mungu elohim,hapo mpka uzipite ni ngumu kweli hao malaika waasi wapo kukupinga,kama ushawai Sikia principalities ama wakuu wa anga mfano wa Dar ama kigoma,au Afrika ama Asia wanaka na wanamilili kihuhalali,mnakumbika story ya Daniel na Malaika alipambana kumpelekea Daniel taarifa mpaka yule malaika alivyokuja saidiwa na malaika mkuu Mikaeli kupambana na mkuu wa uajemi ndio Shetani na hoo watenda kazi wako,oooh yeees ulimwengu wa Rohoo ni ukweli na hiyii bwana anaongeaa ukwelio kabisaaaa
@nurumasha10 ай бұрын
Hili swala la vipodozi kuwekwa dam inawezekana kua ni kweli niliwahi kuona video wazungu wakielezea hivyo
@joshuaabell20339 ай бұрын
Ndioo maana unashangaaa mtu kawa tajirii saaana Kwa muda wa Mika 4 alafu anafilisika vibaya mnooo mnooo
@annkim269010 ай бұрын
Hata licha ya kupewa Sia naona coz ni ulimwengu rohoni
@AllyNganganilla-bz2kk10 ай бұрын
Tupo together
@mariamfritsi494310 ай бұрын
Bado tunaendelea na simulizi
@tututz10010 ай бұрын
J.boys 1999
@edithaeugeni969510 ай бұрын
Sheby acha kutuchora tuletee miendelezo ya kazi zako fasta
@hajiabdalla577210 ай бұрын
Wanaotia mawigi wote huwa na tabia za umalaya au tamaa hebu chunguza.
@kotadapotar509410 ай бұрын
Apo katika kiongozi kumjua kabra ya matukio huwa Uwambiwa kiongozi kabra ya matukio kutoka???🇹🇿🇬🇷⛴⚓
@lolguy-x9n10 ай бұрын
5 people haiwezekani. Wazimu ya kuzimu hiyo.
@ashleybeby11110 ай бұрын
P
@ashleybeby11110 ай бұрын
0😊 😊L😊 0 L😊 0
@chillmusic396410 ай бұрын
Kuchoma majira ni kufanya Nini ?
@bintalmasi239310 ай бұрын
Sindano za kupanga uzazi, uzazi wa mpango kwa Jina lingine huitwa uzazi wa majira( yaani wa kuacha nafasi ya muda wa kutosha mtoto na mtoto anayefuatia)
@nuraydasworld443110 ай бұрын
jamani hakuna Malaika mbaya only ibliss
@user-nt4bl1hn9w10 ай бұрын
Tuko pamoja
@RojahKamalza-lw3ls10 ай бұрын
,à ADAMĪ
@queenhenagu349610 ай бұрын
Kufikia kwenye vipodoz na majira huoo ni uongoo na siskilizi tenaaa
@happinesskitali16410 ай бұрын
Huyu sio wa kwanza kueleza kuhusu vipodozi uwez jua Mungu anamtumia huyu Ili uachane navyo kuwa makini mm mwenyewe nlkua mtu wa vipodozi
@Irenes_Kitchen10 ай бұрын
namtaka baby wangu wamayo kila siku nitalia na davistar 😢 Sita comment kitu chochote mpka wamayo wangu aje hapa