MAMA B KAWACHANA WAFANTAKAZI ZA NDANI UARABUNI

  Рет қаралды 142,810

BINTI KIGOMA TV

BINTI KIGOMA TV

Жыл бұрын

#harmonize #kajala #utupu

Пікірлер: 354
@aishasaid2691
@aishasaid2691 Жыл бұрын
Mdomo uliponza kichwa, na riziki hatoi binaadamu, kumbuka unaweza lala Tajiri ukaamka masikini, mshukuru mungu kwa riziki anayo kupatiya siyo kwaujanjawako
@omanmobile5746
@omanmobile5746 Жыл бұрын
Dada wewe dada wewe chunga kauli zako.mungu anakuona
@neemaherman5684
@neemaherman5684 Жыл бұрын
Wewe siumefika kwenye hii dunia ipo siku Mungu atakufundisha nini maana ya maisha nyoooooo tena minyoooo ya choooni tuu
@gh7naa
@gh7naa Жыл бұрын
Laana ww mpaka haoni punzi zinakudanganya muogope mmungu mahir zein ni mcha mungu haimbi ujinga Anamtaja Allah
@homemohammed3244
@homemohammed3244 Жыл бұрын
wewe dada wacchana wa huku wanalipwa pesa ya kukulisha wewe na ukoo wako mzima acha dharau wewe
@zainabzain3434
@zainabzain3434 Жыл бұрын
Na. Hiyo kudraivu sio kitu kigeni mie ninae hapa mmoja ameshapata leseni anaenda popote na maboss zake (kalaga baho na ubwezi wako
@yassintaibrahim3541
@yassintaibrahim3541 Жыл бұрын
Hahaha 😂😂😂
@ibraheemqassim3018
@ibraheemqassim3018 Жыл бұрын
Mungu wasimamie dada zetu wanaofanya kazi huko nchi za waarabu maana vita ni kali 😥😥😥
@user-hs8fu1ut8r
@user-hs8fu1ut8r Жыл бұрын
Sana kabisa..maaana utakuta mtu anakutukana kwenye mitandao ya kijamii bila ya sababu.
@zamzam9815
@zamzam9815 Жыл бұрын
We Dada huna adabu ipo siku mungu atakulipa kuwadharau wa Tanzania kama wanavyozarauliwa na baadhi ya waarabu
@husnaabbas7762
@husnaabbas7762 Жыл бұрын
Allah akujalie dada uwe nakaulihizo hizo uwazarau wafanyakazi wa rabuni mpaka mwisho wamaisha yako
@KhadijaKhadija-di6ch
@KhadijaKhadija-di6ch Жыл бұрын
Amzidishie sana Allah ila ajue tuu kama hujafa hujaumbika
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 Жыл бұрын
Labda mwenzetu amekamilika sisi tumesha jijuwa ni mashangala
@haarunsaidabdillahi4082
@haarunsaidabdillahi4082 Жыл бұрын
Mama B ana mdomo sana ,huyu akamatwe kama Mr.Pimbi afundishwe adabu.
@mwajumakweli6774
@mwajumakweli6774 Жыл бұрын
Hila ukweli usio jificha uyu mdada ana zarau sana wallah omba MUNGU ufikirie wap ulipo kosea uwaombe ladhi mahana dh!!!
@zulfahamissi9266
@zulfahamissi9266 Жыл бұрын
Haya ni maisha2. Mtafutaji hachagui kazi, hongera yako umejaaliwa
@bintiothmani5369
@bintiothmani5369 Жыл бұрын
Sio kwa ubaya dada acha mdomo m.mke sio sifa nzr kuwa na mdomo ivo heeeeh usidharau watu ivo sio vzr hujafa hujaumbika Allah anakuona Allah anaweza kukupiga pigo wallah ukajishangaa ukasem umerogwa c vzr ivo jmny akaaaaaaa uclazimishe ngo'mbe kuvaa hand bang akat ngo'mbe kawaida yak kuvaa shemere
@felistersmejumaa5188
@felistersmejumaa5188 Жыл бұрын
Yaani wewe dada Mungu yupo kwa kauli zako hki
@najmahali296
@najmahali296 Жыл бұрын
Stakafirullah🤨🤨Allah akusamehe kwa kauli uliyoitoa...maaana ujui unachokiongolea ....
@salmanaser
@salmanaser Жыл бұрын
Yani ww mama B mungu anakuona malipo hapa hapa nduniani kesho hisabu inshaallah 🙏
@abbybby5982
@abbybby5982 Жыл бұрын
Dada ujichunge mungu hatoki kijijini kwenu chunga kauli zako
@aaminaasljbgbvf745
@aaminaasljbgbvf745 6 ай бұрын
Kuma wewe eshim watu msenge wewe sisi tunafanya maisha yetu mjingaujielewi sana unamume aumalaya tuuu mbwa weeeeeeutataingia tuuukwanekunane yawatu pumvavu
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 Жыл бұрын
Subhanaallah ewemwezi mungu atusitiri jina la shaghala au khadama kwa kiarabu. kwa kiswahili ni wafanyakazi wa dani. Usipo juwa rugha ya mwenzio jitahidi kuuliza maana kwanza. Hata ukifanya kazi Offine pia NI shaghala. Shaghala kwa ujumla ni mfanyakazi sio jina baya hiyo ni kwa rugha ya kiarabu.
@msulwaabeid5679
@msulwaabeid5679 Жыл бұрын
Ni sehemu ya kutafta maisha tu dada,kua umekaa ndani kama ivo sio kupata ujui wenzio wanachangamoto zao,wew una wivu tu kuona wenzio wanafuraha huko walipo kwani kua mfanyakazi wa ndani ndio nin inaonekana hata ibada zko zna mashaka.hakuna uislamu wa ivo majivuno si sehemu ya waislamu.JITAFAKARI
@ntacobazongira4557
@ntacobazongira4557 Жыл бұрын
Kwaiyo wew unaona ushayapatia maisha sio sawa dada mungu akujalie kauli hiyo hiyo Ila ukumbuke hata hapo ulipo fikia nikwauwezo wamungu nakwahiz laan za wafanyakazi lazma ulipie hili inshallah endelea kutuzalau 🤲🙏
@anitamaureen2558
@anitamaureen2558 Жыл бұрын
Huyo mwanamke ana ongea vibaya sana kuna kupanda na kushuka mwenye kakupa kiti wewe ndiyo kapa kumbi wasichana wa kazi wa warabuni so ambia mungu akusamehe
@saedomari3341
@saedomari3341 Жыл бұрын
Bwana ee dada kama ulishindwa na kazi, acha wenzio wafanya job hatufanani kimaisha
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl Жыл бұрын
Inna Lilah waina rajiaun umejisahau sana dada kumbuka mtoa rizq ni mungu aliekupa wewe ni mungu na Alietunyima sisi pia ni mungu kua makin na maneno yako hutozikwa na duka la viatu
@yassintaibrahim3541
@yassintaibrahim3541 Жыл бұрын
Hakika My
@aishamaganga5304
@aishamaganga5304 Жыл бұрын
Halafu anaongea had kichefuche. Akumbuke kuna Allah.
@hidayajuma3068
@hidayajuma3068 Жыл бұрын
Kutukana watu. Huna hofu ya mungu. Mwanamke wa kiiisilam. Hovyoo
@agnessbahamu3931
@agnessbahamu3931 Жыл бұрын
Mungu atamlipia mwacheni aongee upuuzi tu
@ayushjhayayushjhay2476
@ayushjhayayushjhay2476 Жыл бұрын
Ana dini uyu ala alif ١ajui
@everever2807
@everever2807 Жыл бұрын
Mshenzi ww mwanaume co wakujivuna sana anaweza akakuhanisi
@umazinada9666
@umazinada9666 Жыл бұрын
Dunia inazunguka mama usikione umefika hayo ni maisha
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 Ай бұрын
Ww mwanamke acha kusema uongo unahakika ngani km wanatupwa kwenye ngazi nje huko tanzania waua wafanya kazi wee mwanamke jitambuwe hii nidunia naunazaa hujui utawaaja vp tumsaptiy msaanii kwa kipi wanaendengeza umalaya wee mshezi tuu watabia ila lumbuka hii ni dunia tena duwa za wengi zitakuja kujibu kwa hiyo na wewe unajifanya mwarabu acha kujisifu na upumbavu
@allyyahaya2842
@allyyahaya2842 Жыл бұрын
we dad ukomee sw kama unakazii katafute guoo ufuwee sw mshezii wew au tukuwajilii mpubavuuu
@gh7naa
@gh7naa Жыл бұрын
Bora hao mashaghala kuliko ww pesa zai za halali ww huna lolote mjinga maher zein hambi uchafu yule ana dini umbaji wake wa mmungu mpumbavu ulitaka wapost nyimbo za matusi hana uislam wala hajui kitu juu ya uislam
@tarisillahtemba7439
@tarisillahtemba7439 Жыл бұрын
Halijielewii.. Chefuuuu...😏😏😏🙄🙄
@dgffydyeu4014
@dgffydyeu4014 Жыл бұрын
Mpuzi huyu😢😢😢😢ww mwanamke kuwa n adabu
@samiramawby1257
@samiramawby1257 Жыл бұрын
Mama B baab kubwaaaa wakija waajiri uwiiiii😂😂😂😂mashagharaaa
@HappynesMsihi-qw4hy
@HappynesMsihi-qw4hy 3 ай бұрын
Shahaara mama ako
@fatimamv2723
@fatimamv2723 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣umefanywaje tuache wee Sisi ndo tuko huku warabunii mume kajiletaa wee tutakula sn pesa zake
@halimambarouk4612
@halimambarouk4612 Жыл бұрын
Mhhh mwanamke wakiislam uislam gani unaokuwambia ufatilie ya wenzio ww jiangalie haiwi nabii Ayoub mungu alimpa mtihani seuze
@sakinasadik3776
@sakinasadik3776 24 күн бұрын
Akamchambe mamake km anajuwa sana kuongea usidharau watu huijui kesho yako mdomo huo
@aminaamina-xj6qs
@aminaamina-xj6qs Жыл бұрын
R .I.P mama B umelala yooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@enterenter7798
@enterenter7798 Жыл бұрын
🤣Ngoja tukampost kule tiktok
@sarahsaarah7270
@sarahsaarah7270 Жыл бұрын
Ww ndi pumbafu mjinga sana wakenya mpo
@asiahamis7893
@asiahamis7893 Жыл бұрын
Ww acha dhalau una furahia ni tajir m, mungu anaweza kukushusha ukadhalilika ukatamani hata ufanye Kaz allah atakupiga fimbo mpk ujute ila tatizo huna din ungejua din usinge sema upuuz huo mpumbavu mmoja ww
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 Ай бұрын
Sio mdomo yy mama b kasema anawezo wakutulipa ss mm niko tayari mwambieni naenda kumsafishia choo anilipe km mwarabu nakila litu anipe pia na sim yangu sitaki anambie eti zima data mb zinasha tatizo lamwanamke aliye pewa mtaji hajua lujitafutia lazima awazarau wezeke sasa mm niko tayaari mwenye namba zake mwambie kuna shaghala kakubali kuja kukusafishia choo na mashariti yake ni haya
@roshanahmed331
@roshanahmed331 Жыл бұрын
Sio kila anae Fanya kaz oman ukamdharau unaweza ukawa unamume ila una unacho miliki mbwa wee nenda na ww uka shagharike ili umiliki chako unatamba na biashara ya mumeo mbwa were uyo mumeo nani sikiboro dinda tuu akutombi mpaka umtie midole meno ya njanoo
@mashamgaharo3881
@mashamgaharo3881 Жыл бұрын
Wewe hayo maneno ya mkosaji eti mume wako siyo wa kawaida kwamba ana kipi cha ajabu kwendraaaa huko
@saidasaid5855
@saidasaid5855 Жыл бұрын
Huna lolote usijidai na mumeo asingeowa ungewanyanyasa wote wenye uke wenza lkn usisingizie uislam unamdomo sana na huna lolote ucjibrand bure ovyoo
@iloveoman7515
@iloveoman7515 Жыл бұрын
Uyu dada anamdomo na uawarabuni atutoki
@farahanafarer7588
@farahanafarer7588 Жыл бұрын
Shaghalaa , dhu mnatamka vibaya. Mwe
@fatmayusuf4401
@fatmayusuf4401 5 ай бұрын
Mungu akuongoze
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Umesema vizuri sana mama b kweli kabisa wanatupwa kweli magorofani wanateswa sana uarabuni hata huyu anaeshawishiwa kwenda oman na dubai wanateswa sana wanageuzwa kama samaki wanatumiwa nyuma na mbele na wanapelekwa kufanyana na mbwa
@user-dt6yb6ri4y
@user-dt6yb6ri4y Жыл бұрын
Fanya heshima
@Official83640
@Official83640 Жыл бұрын
Koma we mbwa mkubwa unaongea usiyoyaona unakutupuka tu na wapuuzi wanaolipwa na mitandao kuchafua watu nani kafanywa na mbwa unae mjua ww acheni upuuzi wakuzusha jaman hivi watu wateswe wawe wanarudi kila leo kufanyakz kulifungwa hakuna kuingia watu welia hd wamefunguliwa sasa huoni km kuna wapuuzi km mpuuzi ww hebu pita kule
@yasmeenaal4191
@yasmeenaal4191 Жыл бұрын
Kwani wew kuwa shaghalla unaona ajabu ,wew mwenye shaghalla mumeo anaenda kitafuta mpk anakuletea pesa na wew pia shaghalla wew mwehu sana , mwanamke wa kiislam unakuwa hivyo
@saleemadhiyabalkhatri7800
@saleemadhiyabalkhatri7800 Жыл бұрын
Sasa shaghala maana yake jamani nimfanyakazi wandani lugha ingine nimsaidizi khadama pia nihivyohivyo nidada wakazi kwakiswahili sasa shaghala ni kwakiarabu siowanawadharau maana yake ni dada wandani
@captainalbarwani6495
@captainalbarwani6495 Жыл бұрын
Nikweli kabisa huyu anataka kufanya fitna bas
@raheebraheeb-vd7qv
@raheebraheeb-vd7qv 5 ай бұрын
SEMA mama n.kweli
@naomifikiri5601
@naomifikiri5601 Жыл бұрын
Nitumien izo video
@asiaiddi2476
@asiaiddi2476 Жыл бұрын
Mwanamke domo kubwa Kama lako hio Ibada ingekua unaijua usingekua mtandaoni
@ayushjhayayushjhay2476
@ayushjhayayushjhay2476 Жыл бұрын
Bint kigoma fanya Adab yako.
@shufaaattass1920
@shufaaattass1920 Жыл бұрын
Mdomo kaa mkund wa bata juzii tuu umesema mume wamtu utamchukua shenzi huna mume na miwani yako kama mchomelea viumaa mshamba mkubwa
@mwanaishamwamapemba4049
@mwanaishamwamapemba4049 Жыл бұрын
Hajielewi huyu mama b
@dotogiving9293
@dotogiving9293 Жыл бұрын
Wwe mbona mshambaaaa wa wapi weweee ,
@saidatyusuphu849
@saidatyusuphu849 Жыл бұрын
Mama b usiseme vituambavyo uvifaham sura Yako namaneno yako nivitu viwil tofaut Mdomo huo mama b
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Mama b chapa kazi mkweli huwa hapendwi
@msabahakiberiti6908
@msabahakiberiti6908 Жыл бұрын
Acha aoe hiyo redio Nani anaweza kukaa nayo kila mda🤣🤣
@user-le9lb8oc8d
@user-le9lb8oc8d Жыл бұрын
We mamab koma kabsa komaa mwaizaya wew pamoja na babab wako wakome kabsa wadada wa arabuni mshenziii sanaa wewe
@osodowilberforce2321
@osodowilberforce2321 Жыл бұрын
Mama B,KIBAO SANA.Very protective.
@zuhuramuhanga5400
@zuhuramuhanga5400 Жыл бұрын
Ni kweli huku tuna ajiliwa udereva kama una leseni ili kuwa tembeza watoto na kwendea sokoni
@zena4746
@zena4746 Жыл бұрын
Mama b wallahi nakuapia laiti ningelimpata uyo boss wangu anaenitaka aahh ningepita naye namuachaje kwamufano😀😀😣😣😣😀😀😀alafu namuachia nani niju nimefikia kwawawazee washagajichokea naulimngu hawana nguvu 😀😀😀
@naimamohammad8870
@naimamohammad8870 Жыл бұрын
Asant sasa.mum , kuwakubali wake wenzako , masha Allah Allah awape penzi la dhati Amin Amin 💕💕 jibebe mamangu jipe Raha
@enterenter7798
@enterenter7798 Жыл бұрын
Subutu hakuna cha mke mkubwa hapo tunaomjua ndio tunaelewa we endelea kuongopewa
@dianaluhambati8166
@dianaluhambati8166 Жыл бұрын
Mhuuu polesan dada chungaulim wako plz
@user-wx4zd5ch9e
@user-wx4zd5ch9e Жыл бұрын
Yani unavyo ongeya kwakujiamini unahisi wewe NI ZAMU WA duniya
@suzanalucasemanuel7006
@suzanalucasemanuel7006 4 ай бұрын
Achana na mashagala wew😏😏
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Waambie hao wajielewe
@sadasa3955
@sadasa3955 Жыл бұрын
Sio mashaharaaa ni mashagalaa mmh 😂😂😂😂😂😂
@rehemaothman2200
@rehemaothman2200 Жыл бұрын
😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt Жыл бұрын
Mungu akusaidie dada
@fatmaally9357
@fatmaally9357 Жыл бұрын
bint kigoma uko poa sana maswali yameenda shule....yaan ulikua unamuuliza kama unamkanya vile na kumsorora ila mwanamke bado hajipati huyo anaropokwa tu
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 Ай бұрын
Binti kigoma acha umbeya nawewe
@siyamaahmed3204
@siyamaahmed3204 Жыл бұрын
Tops dis sister
@fatmaalwiy7651
@fatmaalwiy7651 Жыл бұрын
Shaghalla manake ni mfanyakazi
@user-ew7xd1xu3s
@user-ew7xd1xu3s 7 күн бұрын
Hoiii jaman mbona tutajuta
@abdallahali1665
@abdallahali1665 Жыл бұрын
Uyo. Dada mwenyewe. Malaya. Tuu
@asiaiddi2476
@asiaiddi2476 Жыл бұрын
Mdomo mrefu Kama kunguru
@loycejoely8967
@loycejoely8967 Жыл бұрын
Mbona kichwa Cha habari tofauti na upuuzi wenu nyie wote mnajiuza kupitia kajala na harmonize mikundu yenu
@rehmahamishamismkande4348
@rehmahamishamismkande4348 Жыл бұрын
Ndio maana sipendi TikTok wengine wamefanya sehemu yao ya kutaka kujulikana walimu ndio wao kwanza hilo jina la shahala ulijuaje kama wewe haukufanya kazi za ndani
@Ndiyooo
@Ndiyooo Жыл бұрын
Hana duka lolote uyo shaghala muongo unamdikiya inchiii nzima ana SEMA muongo chizii uyooo yemwenyewe hyu alikuwa Oman shaghala mwaka 4
@bahathirashid1856
@bahathirashid1856 Жыл бұрын
Asante ,ilkuwa natafuta hii comment 👌
@amoonatnzani9834
@amoonatnzani9834 Жыл бұрын
Chefuuuuuuu mwanamke mzima huna hata haya pumbavu kabisa ww
@munamuna9706
@munamuna9706 Жыл бұрын
Achana na mashaghalla. Mtusi aiye kutusi. Hapo kwa kujumulsha shika adabu
@abdallahali1665
@abdallahali1665 Жыл бұрын
Mh. Pemba. Usiende changu ww.
@titosilayo7550
@titosilayo7550 Жыл бұрын
Ana tuzalilisha waislam hatuko hvy huy dad hovyo sana
@sudymgeni701
@sudymgeni701 Жыл бұрын
Umetokwa na povu duhhh hatari Shem wangu.baba b anajuta ila anavumilia
@saudahusein7559
@saudahusein7559 Жыл бұрын
Acha majivuno mwanamke ww
@zaipazzi9490
@zaipazzi9490 Жыл бұрын
Maneno mengine kaongea tu kama ujuavyo wanawake kulingana na majibu ya hao walio mjibu na yeye akalipuka😂😂😂.
@totmohammedtotmohammed2982
@totmohammedtotmohammed2982 Жыл бұрын
Nimecheka sana 😂😂😂ety tuje kufanya kz kwako kwenye nyumba ya mwanaume unashindwa kumlidhisha mumeo ili asiwe Ana oa oa ovyo unakuja kugombn na ss mama kaa kwa kutulia ngoja uwachike uje kudeki vyooo vya mashoghara mpumbavuuu ww juu ya ushoghara wetu yetu yana tuendea nyumba tuna jenga family zetu haziyumbi kiuchumi tupo vizur so paka km ww mpk mumeo aende kupuyanga ndo akuletee ndani km mzukule wa kuzimu shenz zako nibola ukafunga uwo mdomo wako maisha magumu watu tupo bize na kutafuta maisha plz usitutafute
@FatimaFatima-wz2qt
@FatimaFatima-wz2qt Жыл бұрын
Huyu mm bii hanauslam km angekuwa mwislam angekuwa nahekma naadabu huyo nimshenzi tu
@user-it5wz6je5y
@user-it5wz6je5y Жыл бұрын
Wewe mwenyewe mbona km shangara tu
@rosegayokasembe4393
@rosegayokasembe4393 Жыл бұрын
Kuma mama wewe mama nyoko msenge sana ujielewi
@mariamngari7888
@mariamngari7888 Жыл бұрын
Dunia mzunguko pesa Leo unayo kesho kapotea na chunga sana watu wa gulf watakuangamiza huez jua wamekupangia nn
@wardmohamood5845
@wardmohamood5845 Жыл бұрын
Kama senge ili mbwa wew
@zazazawadi7270
@zazazawadi7270 Жыл бұрын
Unasema sana na uishi myika 100 kwa sababu mdomo wako ni mrefu sana
@fatmaabdul2712
@fatmaabdul2712 Жыл бұрын
Baba bi mwenyewe malaya
@julianacharles6014
@julianacharles6014 Жыл бұрын
Huyo mbwa vp
@bdvc7107
@bdvc7107 Жыл бұрын
Msenge unatafuta kiki pesa huna wenyepesa awaongei icho ku baba b chenyewe tunakio pub uko akuna ichu
@darsinana2647
@darsinana2647 Жыл бұрын
Wanaume kazi mnao mwanamuke anaeza kua na sura nzuri ila mdomo ukamufany kuonekana mbaya
@fathimadaid3429
@fathimadaid3429 Жыл бұрын
Sasa hapa kuna picha ya kajala na hamo iweje sitori za mama B wee mtangaza chizi nini
@jeennn5031
@jeennn5031 Жыл бұрын
Mdomo ndomn kaletewa wenzke😂
@asiaiddi2476
@asiaiddi2476 Жыл бұрын
Haha 😹 domo nyau huo uarabu ungekua hauutamani usinge jichubua
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 Жыл бұрын
Wee pumba kweli
@nizwaoman8378
@nizwaoman8378 5 ай бұрын
Wanafki amna mnaolielewa
@tatundayikengurukiye683
@tatundayikengurukiye683 Жыл бұрын
Uyu mama b simpendagi mjinga uy
Climbing to 18M Subscribers 🎉
00:32
Matt Larose
Рет қаралды 23 МЛН
100❤️
00:20
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 69 МЛН
Would you like a delicious big mooncake? #shorts#Mooncake #China #Chinesefood
00:30
Кәріс өшін алды...| Synyptas 3 | 10 серия
24:51
kak budto
Рет қаралды 1,3 МЛН
KAJALA AFICHUA MADUDU YA HARMONIZE, AMJIBU KWA MALA YA KWANZA
9:44
Lissu  ATUKANA TENA, HAOGOPI?? Hii HAIKUBALIKIIII!!
9:23
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 434 М.
MAMA B: NAJUTA KWANINI SIKUWAHI KUMJUA NABII MKUU - GeorDavie TV
8:30
MAMA BI. KUMSHAMBULIA SHEIKH KISHKI  ~ HUU NDIO UKWELI WENYEWE HASWA ~ NANI MWENYE MAKOSA.
10:52
NASAHA TV *255K Views *2 hour ago.
Рет қаралды 11 М.
MAMAB AKABWA NA KIJANA AKIDAI ANADHARIRISHA
6:44
BINTI KIGOMA TV
Рет қаралды 50 М.
Climbing to 18M Subscribers 🎉
00:32
Matt Larose
Рет қаралды 23 МЛН