No video

BADDEST AONGEA KWA UCHUNGU NIMEIBIWA WIMBO RAYVANNY NA HARMONIZE SENSEMA SITAKUBALI S2KIZY TULIKUWA

  Рет қаралды 45,742

BONGO TRENDY TV

BONGO TRENDY TV

2 ай бұрын

Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online

Пікірлер: 124
@museojohn3879
@museojohn3879 2 ай бұрын
Jamani namhurumia na ni kijana anahitaji support ya wasanii wakubwa wangefanya wakiwa watatu
@LucasMagukuru-hc9kr
@LucasMagukuru-hc9kr 2 ай бұрын
Mbn alixhafany harmonize, tena akafany na rayvañny, kawaida tu hyo, yeye a pambane akiwa anajua
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 2 ай бұрын
Uwezo wake wakawaida sana ​@@LucasMagukuru-hc9kr
@JobEvans-xv8yy
@JobEvans-xv8yy 2 ай бұрын
Is the fittest to survive
@user-vj1mo2uo8e
@user-vj1mo2uo8e 2 ай бұрын
Sema nini maniga baddest we fanya Ngoma nyingine af wapelekee sisi hatuna baya mwamba
@user-bz6bl1xo2k
@user-bz6bl1xo2k 2 ай бұрын
M nishabik la konde lakin kwa alichokifanya 😢ray vany sio na pia m nishabik la Badest47
@RichardJunior-bo4fy
@RichardJunior-bo4fy 2 ай бұрын
Rayvann na harmoniz ni wasenge sana
@wizzy3037
@wizzy3037 2 ай бұрын
Bongo trendy mpo vizur sana
@Bobemnyama
@Bobemnyama 2 ай бұрын
Namimi nipewe like sasa
@Tmnyamah-ey9wc
@Tmnyamah-ey9wc 2 ай бұрын
Kwan hizo like zinawasaidiag nn
@ShebyRamadhani
@ShebyRamadhani Ай бұрын
Pole sana kaka ila yote maisha naomba unisaidie kutangaza ngoma inaitwa soldier jina langu la usanii naitwa puzzle voice na mi naweza kaka sema sina Management nanina umri wa miaka 17 na bado na soma niko 4m 4
@ShariphuMo
@ShariphuMo 2 ай бұрын
Nawaachia ugomv wenu jaman mi konde nmetia tu maneno zangu na kusepa
@user-vh4ss7kr1o
@user-vh4ss7kr1o 2 ай бұрын
Very true ❤😂😂
@EmmanuelMurula
@EmmanuelMurula 2 ай бұрын
Hii style ya kuibiana ivi watu wanataka kuuwana kama wasanii wa marekani
@ramsootz
@ramsootz 2 ай бұрын
iyo mbona imetokea kwa budazon.. kafanyiwa na kijana wetu meja kunta nyimbo ya demu wangu
@user-bh8kq7hw1j
@user-bh8kq7hw1j 2 ай бұрын
Wakwanza naomba like zangu 🔥🔥🔥
@user-vj1mo2uo8e
@user-vj1mo2uo8e 2 ай бұрын
Ani wewe tunasikiliza matatizo yawatu af wewe unasema wakwanza upewe likes zako ndio nini em jiheshim wewe
@TwalibTwaha
@TwalibTwaha 2 ай бұрын
Binadamu wabaya kaka pole sana
@yusuphluvanda1653
@yusuphluvanda1653 2 ай бұрын
Pole sana mdogo wangu Kwa kujibiwa Ngoma yako
@NeemaelSylvester
@NeemaelSylvester 2 ай бұрын
Binadamu wabaya sana kaka poleee
@kelvinmusungu9533
@kelvinmusungu9533 2 ай бұрын
sensema ni moto sanaaa namwamini s2kizzy
@jennifermdabi3716
@jennifermdabi3716 2 ай бұрын
Nsensema malunde nsensema ni Lugha ya KINYIRAMBA MKOA WA SINGIDA
@user-sj1rf8ij7f
@user-sj1rf8ij7f 2 ай бұрын
Wasanii wadogo muwe makini na tungo zenu, maana hao wasanii wakubwa wameshachoko ni mwendo wa kupora mawazo ya watu
@JazzMohamed-qk7cp
@JazzMohamed-qk7cp 2 ай бұрын
kwer kabs nakubarian na ww
@mrsinia3064
@mrsinia3064 2 ай бұрын
Tatizo la hit song ndio hili,,,swali la kujiuliza ni je isingehiti tungeyajua haya? But kwenye lawama naomba msimuweke harmonize maana yeye hahusiki aliletewa biti akatia verse akasepa
@hallaboy8191
@hallaboy8191 2 ай бұрын
For sure
@Lunchboy-kk5cw
@Lunchboy-kk5cw Ай бұрын
Kaka akuna kazi isiyo na changamoto take easy and progress with others
@wizzy3037
@wizzy3037 2 ай бұрын
Miaka minne wamerudi kuiba wimbo
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 2 ай бұрын
Wewe usiwe chiziii uyo umpe vesii ya naizee ana weza kuimba uyoo au unaongea umimbaa au una taka kuzaa
@musiccaentertainment100k8
@musiccaentertainment100k8 2 ай бұрын
Yeye aibe pia Kwan shida iko wapi
@LucasMagukuru-hc9kr
@LucasMagukuru-hc9kr 2 ай бұрын
Hayaa
@IbrahimuMaselo
@IbrahimuMaselo 2 ай бұрын
​@@RomanMwinyiwew hata Kutype huwez..
@ramadhanihot1945
@ramadhanihot1945 2 ай бұрын
wamezinguwa sana haoo watu mana jamaa mpakaa anatia uhuruma kinoma yani kweli hamonarz kweli ni shatani mungu alani konde boy na mwenzake
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq 2 ай бұрын
Pia mond kafanya hivyo kwa Ile Ngoma ya number one 😊
@HumphreyNyiti
@HumphreyNyiti 2 ай бұрын
Jamaa anafana na irine uwoya
@KilonzoRamadhani
@KilonzoRamadhani 2 ай бұрын
Duuh nomaa
@user-mh6wk2oo7g
@user-mh6wk2oo7g 2 ай бұрын
Asiseme kitu baddest so Sensema malunde ni neno la kisukuma cooz apewe nkunda star wanaaa unyawezi sana!!!
@user-vj1mo2uo8e
@user-vj1mo2uo8e 2 ай бұрын
Ila ray kah
@IzaTway
@IzaTway Ай бұрын
Dah pole mwana 😢😢😢
@GyaviraLaurean
@GyaviraLaurean 2 ай бұрын
Unyamwezii.. Tupo kwenye majonziiii mependa alivuoipigaa Badestiii
@toz-b
@toz-b 2 ай бұрын
Ila bas tuu jama wamemfanyia unyama
@NasibuDotto
@NasibuDotto 2 ай бұрын
😂😂😂😂 mm kwa maoni yang na badest angeliachia tu goma lake tulisikie itakuwa niunyama😊😊😊
@Brother-moses2vs7bi1v
@Brother-moses2vs7bi1v 2 ай бұрын
Hapo ushaongea br kama kwely ngoma n yake atuachilie hio yake,,hapo ndo tutajua ukweli
@aminamussa5122
@aminamussa5122 2 ай бұрын
Rayvvan ni mwizi mkorofi he did the same thing to misomisondo
@chaco1466
@chaco1466 2 ай бұрын
Alikuwa wapi uyo
@user-ow7hw1oy2g
@user-ow7hw1oy2g 2 ай бұрын
Duh swali lakitoti sana
@mahabamudrick8825
@mahabamudrick8825 2 ай бұрын
Uyuu mwana anaumwa kwlii,,Ila chelewa chelewa
@wailosvijevania1049
@wailosvijevania1049 2 ай бұрын
Kiukweli hii Ideal hajaibiwa Baddest ila naye ni kaimodify tu. Hii nyimbo ya Sensema malundi ni ya kitamaduni tumeanza kuisikia toka miaka ya 90 mbeya, hakuna aliyemwibia mwenzake ila wameimodify kwa style tofauti tofauti. Kwa wale wa mbeya ni kama leo wasanii watoe wimbo unaitwa "Tumoghele tumoghele" hivyo ni kila mtu atadevelope kwa ubora wake,
@microssadamu7556
@microssadamu7556 2 ай бұрын
Kama wameiba nayeye Baddest aliiba pia kwa yuke mama wa kisukuma. Hyo Ngoma ni yamama mmoja wakisukuma nangoma ni popular sana kwa Mwanza
@hollymore4904
@hollymore4904 2 ай бұрын
Saut ya mjani
@octavian54
@octavian54 2 ай бұрын
Kafanana na mtoto wa UWOYA
@nashnene6326
@nashnene6326 2 ай бұрын
Kafanana na mume wa Zari
@joesplatnumz
@joesplatnumz 2 ай бұрын
Sasa huyo baddest katumia goma, s2kizzy kashaifanyia kila kitu akaingiza verse then akanyamazia then rayvanny akaona mda waenda akamvuta Tembo kaeka verse na mwenye idea,wimbo ni S2kizzy karidhia wakaliachia 🤷sai asema goma lilikua lake,goma limeburst sai alalamika...kuna msemo wasema chelewachelewa utapata mwana si wako ndio haya sasa....asubiri next project,,,,ila harmonize 😂😂😂😂😂
@real_gpro
@real_gpro 2 ай бұрын
sikiliza hio chorus apo kwa sensema hio nyimbo ya ray na harmo utaskia "okeeee" hio n sauti ya baddest bado iko huko kwa official yao
@official_rayzer
@official_rayzer 2 ай бұрын
Acheni ushamba hamjui ch... see more
@official_rayzer
@official_rayzer 2 ай бұрын
😂😂😂😂 fuatilia iyo see more
@daywamerfundi
@daywamerfundi 2 ай бұрын
Sensema malunde bora angesema vannilah msukuma sio hao wote ni wezi tu sensema malunde ni kisukuma bro acheni uongo😢😢😢😢
@salumualoyce5620
@salumualoyce5620 2 ай бұрын
Tuliza komwe hilo hauelewi kitu.
@nasibumontana9379
@nasibumontana9379 2 ай бұрын
Reyvan ni mwizi siku zote sio msanii hyo brand ya wasafi tu ilimbeba hana kitu hyo wakinipanga nae nampoteza mbaaali
@febregzabafeba
@febregzabafeba 2 ай бұрын
Mwana kakatiza na Energy ya bakhresa na kisungura hapo 😂
@listerescobar8547
@listerescobar8547 Ай бұрын
Msenge unafatilia wew 😅😅
@febregzabafeba
@febregzabafeba Ай бұрын
@@listerescobar8547 😂😂😂😂😂😂📌
@allynyanje5779
@allynyanje5779 2 ай бұрын
Rayvanny yule wa kudandia upepo😂😂😂
@LeeFidele
@LeeFidele 2 ай бұрын
Mbaya zaida ngoma imesha paa kbs na inafanya vizuri youtube
@RahimJacob
@RahimJacob Ай бұрын
Wasenge. Kweli
@DaviKan-gh5sm
@DaviKan-gh5sm 2 ай бұрын
Hiyo idea si ya mbeya hiyo idea ni ya mikoa ya kanda ya ziwa mikoa ya usukuma
@salumualoyce5620
@salumualoyce5620 2 ай бұрын
Haujaelewa kinachozungumzwa hapo.
@user-ie8tn2ge3k
@user-ie8tn2ge3k 2 ай бұрын
Zombie na Ray mbona mnafanya wanyongee vbaya,mungu yupo haya sawa😢
@user-hc7nc1hj6y
@user-hc7nc1hj6y 2 ай бұрын
Siyo poa jamani walichokifanya kina Rayvan na konde wapeleke basata Hao
@MahadhudhiAbdalah
@MahadhudhiAbdalah Ай бұрын
Kaka achana nao 2 acha wavimbe
@bontamavi
@bontamavi 2 ай бұрын
kwanza walio imba na harmoniz mbayaaa, roh mbay tu waone..
@edumagobo4633
@edumagobo4633 2 ай бұрын
Mmmh mbn changamoto
@Nasbu-tb6cs
@Nasbu-tb6cs 2 ай бұрын
Mwananguu weed achana na hao magashi 2wapotezee tu!
@BadBadMpLiTe
@BadBadMpLiTe 2 ай бұрын
Mpen pole san ila bado siku nyingi asijaliii tupopamoj
@kingkinye1419
@kingkinye1419 2 ай бұрын
Achana nayo nyimbo yenyewe mbaya
@amiootz420
@amiootz420 2 ай бұрын
Dah inauma kweli😂😂😂
@stefanomwinuka4564
@stefanomwinuka4564 2 ай бұрын
Toa remix bro Kwan nn
@newkhang3174
@newkhang3174 2 ай бұрын
Chukuwa na yangu
@jerybrown
@jerybrown 2 ай бұрын
Hao wote wezi
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone 2 ай бұрын
Waharamia wamepita na wimbo wako kaka,
@Zueyb
@Zueyb 2 ай бұрын
Huyu ni nani
@user-no5xr7qc8y
@user-no5xr7qc8y 2 ай бұрын
Acha kuvuta bangi dogo,na huwezi toka kwa sauti hiyo ya kiteja kama kitale
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone 2 ай бұрын
😅
@AlexanderNimbona-lj4ln
@AlexanderNimbona-lj4ln 2 ай бұрын
Hunahaki bro tulia 🤔🤔🤔
@user-pg2iq6wn8l
@user-pg2iq6wn8l 2 ай бұрын
Kama ni kweli mbona hafuati sheria zipo
@user-yt5ue4vj5b
@user-yt5ue4vj5b 2 ай бұрын
Toweni narori
@adamsengo1869
@adamsengo1869 2 ай бұрын
Jamaa vp anapenga nini mbna sauti haijifichi
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq 2 ай бұрын
what as bout mond alichofanyia yule dogo wa number one
@user-lr2og8dj1r
@user-lr2og8dj1r 2 ай бұрын
Dgo mwenywe kumbe ni b levo baa wa leo😂😂😂😂
@mekajamtv9603
@mekajamtv9603 2 ай бұрын
hii sensema siyo mara ya kwanza kusikia labda mdundo,kama kushitakiw na wewe upo😅😅😅
@user-ts1sp7ei6b
@user-ts1sp7ei6b 2 ай бұрын
🫣🫣🫣🫣🫣🫣🫢🫢🫢🫢🫢
@francisnyoni1606
@francisnyoni1606 2 ай бұрын
Hizo lips za mwamba bila D Mbili huelewi
@jacobnorbertchenga9465
@jacobnorbertchenga9465 Ай бұрын
Ukihitajika utaitwa
@WilliamWiston
@WilliamWiston 2 ай бұрын
Apo wamekutana sifanyingi hamo nae skuizi kuigatuuuu Rey nae atungiii kikinyingi nikuombe tuuu toa nayako
@nellymtambo8432
@nellymtambo8432 2 ай бұрын
So vanny boy kamsaliti home boy😂😂😂by the way baddest you don't look good like the you use to be hiyo miwani 😏ebu relax au ndio umri unaenda ❤ one love
@InnulmmaEmmanuel-jf8uy
@InnulmmaEmmanuel-jf8uy 2 ай бұрын
Sio poa
@KilonzoRamadhani
@KilonzoRamadhani 2 ай бұрын
😂😂😂
@djcolliter
@djcolliter 2 ай бұрын
Wasani wa kiki tu
@user-yt5ue4vj5b
@user-yt5ue4vj5b 2 ай бұрын
Imba invo hinvo mbona tuna kuamin
@evansmumo3921
@evansmumo3921 2 ай бұрын
Huyu amenyonya bangi sana sana
@richardmwandali7722
@richardmwandali7722 2 ай бұрын
Nyimbo ya maskani iyoo ,, sensemaa kitambo tumbaga fijo morempelaaa
@yusuphluvanda1653
@yusuphluvanda1653 2 ай бұрын
Lazima ufauatilie
@dadajeanne5031
@dadajeanne5031 2 ай бұрын
Mnalisikia hilo lisauti likavu kama ndege mwenye utapia mlo
@mahabamudrick8825
@mahabamudrick8825 2 ай бұрын
Ngoma nila zombiii
@Dejy_Arto88
@Dejy_Arto88 2 ай бұрын
Weee zombie haujui 😂😂😂
@emmanuelreuben1863
@emmanuelreuben1863 2 ай бұрын
Acha kuvuta bhangi kijana
@lincolnodewa7785
@lincolnodewa7785 2 ай бұрын
Ooh sasa nimeelewa...ngoma ni ya producer..ameamua kutumia different artists....chill bro .wachana nahii tafta ingine .hii hufanyika..ungenyamaza tu
@user-sj1rf8ij7f
@user-sj1rf8ij7f 2 ай бұрын
Ukweli wasanii wakubwa wameishiwa kimawazo na sio kitu kibaya duniani kote. Shida ni kuforce mpk wanaishia kuiba mawazo ya wengine
@real_gpro
@real_gpro 2 ай бұрын
Sasa kama goma lilikua la producer mbona hakutoa sauti za chini chini (addlips) za baddest sababu hio yenye harmonize ameshirikishwa bado Kuna sauti ya baddest
@MohamediKalanje
@MohamediKalanje 2 ай бұрын
Huyu jamaa kila siku anaibiwa yeye tu anazngua kinomanoma
@chui99
@chui99 2 ай бұрын
Kumbe zombie ni mwaisa
@user-no5xr7qc8y
@user-no5xr7qc8y 2 ай бұрын
Acha uongo,huna sauti ya kuimba wewe,hiyo sauti ya bange peleka shinyanga huko ukale jani bichi
@FlorenceSiamuswe
@FlorenceSiamuswe 2 ай бұрын
hacha usenge yeye alikuwa wp
@EmmanuelMurula
@EmmanuelMurula 2 ай бұрын
Ningekuwa wewe ile ile sensema ningeliitowa na diamond platinumz, alafu wamwage ugali wewe umwage mboga, kudadeki🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@HappyBurrito-bm5me
@HappyBurrito-bm5me 2 ай бұрын
Hapa muhusika zombie
@nabillionairevevo5986
@nabillionairevevo5986 2 ай бұрын
Punguzo kuvuta unga Baddest
@mohdmbarouk8116
@mohdmbarouk8116 2 ай бұрын
Mambo yenu huko huko konde musimguse
@user-bz6bl1xo2k
@user-bz6bl1xo2k 2 ай бұрын
M nishabik la konde lakin kwa alichokifanya 😢ray vany sio na pia m nishabik la Badest47
@NeemaelSylvester
@NeemaelSylvester 2 ай бұрын
Binadamu wabaya sana kaka poleee
@jacobnorbertchenga9465
@jacobnorbertchenga9465 Ай бұрын
Kawaida tu Roma alitolewa kwenye goma na Diamond platnam
@user-ts1sp7ei6b
@user-ts1sp7ei6b 2 ай бұрын
🫣🫣🫣🫣🫣🫣🫢🫢🫢🫢🫢
@NeemaelSylvester
@NeemaelSylvester 2 ай бұрын
Binadamu wabaya sana kaka poleee
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 39 МЛН
Rayvanny X Harmonize - SENSEMA (Official Dance Video)
4:18
Rayvanny
Рет қаралды 6 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode /28/ #love
45:53
BabaJoan
Рет қаралды 254 М.