No video

BREAKING: Nyumba za NSSF Kigamboni zapigwa mnada

  Рет қаралды 168,865

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 285
@christiannyamamba9089
@christiannyamamba9089 2 жыл бұрын
Unatudhalilisha sana tunaoishi UK unaongea kingereza cha hovyo bora ungeongea kiswahili tu
@denisjohn1719
@denisjohn1719 4 жыл бұрын
How can some one stay in UK for 15 years and yet speaks broken English than our Swahili speaking bilingual. Let us learn from our surroundings guys. Anyway Yono are doing real a great job.
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@aloycekiwia8613
@aloycekiwia8613 7 жыл бұрын
😅😅😅Kamugisha..! don't you ever do that again..15 yrs in UK.?Reaĺly.!
@deodatusrweyongeza6747
@deodatusrweyongeza6747 3 жыл бұрын
Aliesikia ndege bichi agong,e like twende sawa
@jorgejorge5210
@jorgejorge5210 7 жыл бұрын
KAMA AMESHI UK KWA MIAKA 15 LUGHA NDIO HIYO JE WAKATI HAJAENDA?NA HUYO MKURUGENZI NI BORA ANGEPIGA KISWAHILI TU HAYA MAMBO HAYAHITAJI ULIMI MGUMU
@venancebasil4656
@venancebasil4656 7 жыл бұрын
Jorge jorge miaka 15 daaah kaboa sana
@theafricanrenaissance77
@theafricanrenaissance77 5 жыл бұрын
Yule Bw. Mabakila wala hajawahi kuishi UK hata mwk 1!!
@seifkiswamba933
@seifkiswamba933 4 жыл бұрын
Kweli babaake hiko kiingereza Cha vidudu yaani ametia aibu Bora angeongea kiswahili
@ezm
@ezm 4 жыл бұрын
😂😂😂
@fetilishazomar4799
@fetilishazomar4799 7 жыл бұрын
jamn Bora ungeongea Swahili tuuu Daaah Weeeee Watu wapo UK Miaka 25 na zaidi lakin Swahili watu wanaichapaa mbayaa. Utumwa Walugha Haujawahi acha Mtu Salama Aisee
@jimmiejr9531
@jimmiejr9531 3 жыл бұрын
Kwani amekukwaza ? 😁😁
@uledimtumwa3045
@uledimtumwa3045 6 жыл бұрын
Mh!!!with about over.. Wahaya bhana.
@driquesmariques9794
@driquesmariques9794 7 жыл бұрын
but why..hawa yono vipi jamani na kizungu hiki..ndo kukaribisha wazungu daah
@marianakapeller4699
@marianakapeller4699 2 жыл бұрын
he he he living in UK for 15 years and yet you speak like a grade one student, bravo just speak your mother tongue
@ntalenasson686
@ntalenasson686 7 жыл бұрын
Wahaya kwa kupenda kiingereza tu hawajambo ila bahati mbaya rafudhi mbovu
@fredrickvituskebero5071
@fredrickvituskebero5071 7 жыл бұрын
Ntale Nasson ha ha ha
@venancebasil4656
@venancebasil4656 7 жыл бұрын
halafu ngeli yenyewe mbaya ni bora tu angeongea kihaya
@ntalenasson686
@ntalenasson686 7 жыл бұрын
Tena Kama yule aliekaa uk miaka 15 ndio bure kabisa
@annaniamax8228
@annaniamax8228 7 жыл бұрын
siyo rafudhi tu hata yai lenyewe halivunjiki ! imagine ameish UK zaid ya miaka 5 bt bado anavunja yai kwa shida kabisa ahahahahaaha
@iviejustified8109
@iviejustified8109 7 жыл бұрын
Ntale Nasson siyo Rafudhi tu hata english yenyewe anagonga miguuu no gramma
@KhalidKhan-ud9cz
@KhalidKhan-ud9cz 29 күн бұрын
Tanzania mzuri sana kweli 🌹
@georgerichard6706
@georgerichard6706 7 жыл бұрын
Uyo mshaji bora aongee kiswahili tuu kizungu awaachie uk
@williamkijazi3000
@williamkijazi3000 3 жыл бұрын
😂😂😂 ana struggle kweli
@yonamwakanyamale5023
@yonamwakanyamale5023 5 жыл бұрын
Lugha yetu ya Kiswahili ni miongoni mwa Lugha bora duniani.. Acheni kuwa watumwa wa Lugha za wageni... Mmejinyima haki yenu ya kutufikishia ujumbe kwa ufasaha zaidi kwa sababu ya Lugha.. Poleni sana..
@kasramwalimu5506
@kasramwalimu5506 Жыл бұрын
Yaan nishida Kwa wa tz kua watumwa hadi ktk lugha
@kenyomarion5605
@kenyomarion5605 7 жыл бұрын
Unaishi USA kwa zaidi ya miaka 15 alafu kiingereza bado kibovu namna hiyo!?? huko USA watakua wanacheka sana, Wazungu wakija kukaa hapa TZ miaka miwili tu wanaongea kiswahili kimenyooka kama wamezaliwa huku. Diaspora jifunzeni lugha msituaibishe huko mlipo
@sharondivine2797
@sharondivine2797 7 жыл бұрын
hujui kingereza aibu
@henrymaro3638
@henrymaro3638 7 жыл бұрын
yono kweli ni madalali but mradi huu wao kupewa ni another loss.I don't think if they have that capacity.second, nafikiri serikali imewahi kuchukua maamuzi kuhusu hiyo project maana hizo ni fedha za members Wa nssf waliokua wanapeleka contribution zao.I think serikali ingewahusisha wachangiaji Wa kwenye fund kwanza kusikia maoni yao kabla ya kupeleka mradi sokoni like that.third I think who every was involved in that project did some securitization and collateralized the future cashflow of the project through rental income or house sales. now with recession we are experiencing now no magic is expected those house uptake won't be much. maybe yono instead of looking for individual buyers and corporates in silos they could think of forming a consortium of brokers and approach banks or capital market to establish a secondary market to mortgage those houses.minding that payback period of the project was say more than 15years now that decision decided by who ever in the office will have financial impact and reputation risk to the fund which is very bad for business. the statement concerning the sale of the project is enough to cause confusion to members and contributors. am aware of SSRA what is their professional advice on this outfit to members of the fund and to the existence of the fund...I think yono would act much smart to see the regulator instead of taking up the deal cause of commission to be earned from the sale of that project. I can bet this decision is a double loss to whoever made it go publicly.
@ceciliakabyemela9793
@ceciliakabyemela9793 7 жыл бұрын
Henry Maro vision and wisdom have left the building. This project would have been a huge investment for nssf if one looks beyond cutting the nose to spite the face
@leriq1
@leriq1 6 жыл бұрын
well said bro.
@dawoodtekakie4012
@dawoodtekakie4012 6 жыл бұрын
Henry Maro sijui nan yupo nyuma ya yono ila kiukweli saiz yao ni kushika magari barabaran, by way kila mbuzi anakula kulingana na kamba yake na huyu mama sio mchaga kama mnavyo sema i think ni mnyaki
@sammytiger92
@sammytiger92 5 жыл бұрын
Henry Maro Wee👉😈😈😈😤!!!.Hakuna Mnyaki aitwae Mushi.mxcuuu.
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 7 жыл бұрын
Watanzania tunajulikana nje ya nchi kwamba tuna kiingereza kibovu sana ingawa ni ni lugha ya kufundishia kwa sekondari na vyuo.
@sweetyjanne255
@sweetyjanne255 4 жыл бұрын
Sura ya Hiuyu Mazaaa🤣🤣🤣Akitumwa Aje Kukudai Utakomaaaa
@sashoright8213
@sashoright8213 2 жыл бұрын
Aminaa mjuz wa lugha Yan kwa kifup Amna lugha nyepes ata nzungu utaskia anatafuta jins ya kulitamka neno lake mwnyewe la kingereza uyo rafidhi kutamka kumemshinda lkn ata angeongea kiswahil ingemkosoa na uo mrad mbona mabilionea wapo hapa Tanzania Kina mzee bakharesa ,shabiby Mo dewij na wngne wangesaidiana kuwekeza na kungependeza tu
@KiangiAri
@KiangiAri 4 жыл бұрын
Kingeee😂😂😂...Chill man!Kiswahili kingefaa zaidi mzee!
@lydiathadeous6644
@lydiathadeous6644 7 жыл бұрын
Jamani hongereni but those men who are speaking they're not from UK those pronunciation are either Ugandan's or rwands's Ila Wa mama are Tanzanians sasa be specific mctushike maskioooo 😂🤣😂 the good thing is ppl knows some issues
@mammyyassie7322
@mammyyassie7322 6 жыл бұрын
Lydia Thadeous dada wanaishi UK,huyo mkaka uliomuona anaitwa Juma anakaa Mji unaitwa Reading. ni mjanja mjanja wa mjini enzi zake alikua mchanjaji tena hapo kizungu mbona kimenyooka kupita maelezo. yaan ungemuona miaka hio 10+ iliopita ndio ungejua saa hii amekinyoosha km rula
@faidamanoni2285
@faidamanoni2285 7 жыл бұрын
UK anayomaanisha ni Ukerewe
@annaniamax8228
@annaniamax8228 7 жыл бұрын
ahahahahaha nadhan ,
@doreenmganga1100
@doreenmganga1100 6 жыл бұрын
Hahahahahaaaaaa
@huaweiphone1459
@huaweiphone1459 4 жыл бұрын
Hahahaha mbavu zangu mwemwe
@waridi2644
@waridi2644 3 жыл бұрын
Nafikiri aliimanisha Ukonga..😀
@kibidyaabdul5737
@kibidyaabdul5737 6 жыл бұрын
Hao wazungu walio katwa kimeo huwezi pata mwekezaji kwa makodi ya nchi him hicho kijiji kimilikiwe na ccm au serikali
@FredyVincent951753852456
@FredyVincent951753852456 3 жыл бұрын
Huu mradi umejengwa kwa fedha za wafanyakazi maskini, faida itakayopatika igawanywe kwa wachangiaji wa NSSF😎
@juliusmavanza4310
@juliusmavanza4310 10 ай бұрын
Ni kweli tena ingekuwa vizuri kama wangewataarifu wafanyakazi wa sector zote Serikali na binafsi labda wangeweza kujiuunga nakutengeneza umoja na wapewe kwa mkataba Ili wasimamie maana watakuwa na uchungu wa mafao yao
@johncor1377
@johncor1377 7 жыл бұрын
Huyo mama kasema mradi una thamani ya usd 350 sidhani kama yupo serious ts almost laki saba na hivi sidhan kama yupo serious
@jacksonmollel5157
@jacksonmollel5157 7 жыл бұрын
John Cor kumbe umemsikia na wewe Usd 350 nini sasa milion or bilion hundred.
@jacksonnhandy452
@jacksonnhandy452 7 жыл бұрын
John Cor ni USD 320 million. mother alipanic
@iviejustified8109
@iviejustified8109 7 жыл бұрын
John Cor 😅😅😅 wanajigonga miguu sasa sijui alikuwa anamaanisha Million or billion lakini mkurugenzi kambeba brother
@samasob8233
@samasob8233 6 жыл бұрын
Haha perhaps he meant USD 350 "shillings" its beyond belief!
@mhandyeyoo6591
@mhandyeyoo6591 6 жыл бұрын
John Cor Umesikia eh naenda kununua 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️350 Eti alikuwa Uk ? Hata maimunaaaaaaaaa kasema tis project 😜😜😜😜😜muhhhhhhh warudushe kizunguuuuuu tuuuu au? Best?
@stingosmatingas5569
@stingosmatingas5569 7 жыл бұрын
sio rahisi mradi kama huo mwekezaji kastuka huko baaada ya mwaka ataambiwa kaibia serekali kodi
@tzviral7342
@tzviral7342 6 жыл бұрын
5:30 *With about over* ...khaaaa!
@abdulyiddy358
@abdulyiddy358 7 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 jaman nimecheeeka huyo wa UK
@kibidyaabdul5737
@kibidyaabdul5737 6 жыл бұрын
Serikali ichukuwe huo mradi iwape mikopo wafanyazi kwa kipindi cha miaka 20.ila kwenye maduka na malls wapangishe wamalizie kwa ununuzi mmoja moja panatisha huko
@surusuru1994
@surusuru1994 Жыл бұрын
Allah ibariki Tanzania pamoja tutafik
@fastfacts1967
@fastfacts1967 6 жыл бұрын
May be the guy meant to say 15 days instead of years.:-)
@richhustl1931
@richhustl1931 4 жыл бұрын
I'm telling you😂😂😂😂
@arushanioshaka5600
@arushanioshaka5600 3 жыл бұрын
@@richhustl1931 so its going to finish in 15 years ?
@bjzee1981
@bjzee1981 6 жыл бұрын
Diaspora in UK with i am lack 😂🙊😱
@shabanthomasnjarita1181
@shabanthomasnjarita1181 6 жыл бұрын
huo mradi wa laki 7 inamaana😂😂😂😂 350 USD.
@maxilekanoi8257
@maxilekanoi8257 4 жыл бұрын
Shaban Thomas Njarita 350 MIL mzee cyo hyo unayodhani huna akili ya kujiongeza pumbavu
@extramen5534
@extramen5534 6 жыл бұрын
A,ahaaa watanzania, hawana maisha hayo. Wapangaji wa nyumba hizi kwa walengwa ni tatizo. Sababu mtanzania akiwa na uwezo wa kumiliki gari zaidi ya moja, basi kinachofuata ni kuwa na nyumba yake mwenyewe sio kupanga tena, Tanzania ardhi ni kubwa ukiwa na pesa ya madafu tu unajenga mjengo wa kifahari. wenye shida ya nyumba Tanzania ni makapuku, na sio wenye kazi Selikalini.
@godfreyaloyce5032
@godfreyaloyce5032 5 жыл бұрын
haina noma mbona wageni wanaongea kiswahili broken na tunawapigia makofi acheni hizo this is business.... as long as umeelewa watu tunasonga mbele "NUNUA APARTMENT NCHI YETU IPATE MAPATO" na NSSF pia...... miradi ikue.
@johnnydepp3218
@johnnydepp3218 7 жыл бұрын
Ongeya luga yako toka lini mwingereza nchini mwake ulishasikya ananongeya luga ya kigeni?
@kelvinkavenga7422
@kelvinkavenga7422 3 жыл бұрын
Sasa mbona wewe kiswahili kinakupiga chenga😂😂
@slimkheri953
@slimkheri953 7 жыл бұрын
About over 😂😂😂😂😂😂 jamani hivi kiswahili kigumu kuongea
@mamafranjovlog72
@mamafranjovlog72 7 жыл бұрын
😂😂😂
@wariobawtanzania5548
@wariobawtanzania5548 6 жыл бұрын
Hivi nyie watanzania hivi kuna mwekezaji yeyote anaweza kuja kuwekeza kupitia kwa broker? sijui tumelogwa? halafu tunasema tumesomea marketing na economics
@sss3s867
@sss3s867 4 жыл бұрын
Kwannza mpaka JPM abadilike. Na Kwa kweli ni hatari.watu no waoga. Na WA ya hawana pesa, Kwa sababu mlaji WA chini Yuko Hali mbaya Kwa pesa mfukoni na bank hawakooeshi Kama mkopaji hasomeki.
@relaxingnaturegreen
@relaxingnaturegreen 6 жыл бұрын
huyu jamaa haishi UK, kiiengereza mbovu kama hiyo haizungumuzwi England, huyu ni kibaraka tu wamemchua mtaani YONA kutafuta biashara. Huwez kiishi England 15 years alafu bado anaongea kiiengereza kama ya chekechea
@kevinephily8357
@kevinephily8357 Жыл бұрын
kweli dalali ni dalali tu, hawa watu huwa hawana any official credential for marketing zaidi ya kupiga upatu tu ujanja ujanja mwingi sana mdomoni hii nchi something need to change we should have officially marketing educated brokers udalali huu tatizo ni matapeli waliohalalishwa na nani sijui.
@matobholwamanonu5919
@matobholwamanonu5919 7 жыл бұрын
Tangaza kiingereza wabonga hakuna atakae nunua
@freddymello3227
@freddymello3227 5 жыл бұрын
Matobholwa manonu ananielezea Mimi,acha aendelee,ntanunua hii kitu!
@edwarddaniel5683
@edwarddaniel5683 7 жыл бұрын
Huyu jamaa bora angeongea tu Kiswahili English yenyewe ya kudonoa hakukua na haja ya kujikakamua hahahahaha
@huaweiphone1459
@huaweiphone1459 4 жыл бұрын
Uchokozi uwooo
@deongonyani1523
@deongonyani1523 6 жыл бұрын
Mbavu zangu jamani ,kama kakaa nje miaka 15 yuko hivyo je kabla hajaenda alikuaje? Sasa cjui kaja kufanya nini hata cjamuelewa na cjui atarudi tena huko alikoishi kwa miaka 15 , bora kiingereza cha shilole maana hajakaa nje hata mwaka
@ayoubrogath4297
@ayoubrogath4297 7 жыл бұрын
$350=1061268/= wabongo itawashinda milioni moja ngoja nimuibie bi mkubwa😁😂😁😂😁😂 kidhungu hakihitaj mbwembwe
@mrsnam6897
@mrsnam6897 3 жыл бұрын
Ivi ni kweli usd 350 tuh raha kweli
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 4 жыл бұрын
Uko na waswahili wenzako ongea kiswahili acha ujinga lugha yenyewe gongana
@Lukind47
@Lukind47 Жыл бұрын
Mradi unathamani ya us dollar 350....dah! Kweliii
@user-ge3ni4qn4u
@user-ge3ni4qn4u 4 ай бұрын
Kwa Nini mradi Huu wa sipewe chuo kikuu mlimani
@samasob8233
@samasob8233 7 жыл бұрын
Acheni urongo.....diaspora hawanunui ng'o mpaka mkubali kwamba watanzania raia wa nje wanahaki ya kuwa na uraia mara mbili. Hamjui kama nchi ni kiasi gani ya talent na pesa mnapoteza. mlipeana marushwa na mpango wenu huo endeleeni nao uwaozee
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 6 жыл бұрын
Sama Sob wagekubali uraia wa nchi 2 zibgeshachukuliwa
@samasob8233
@samasob8233 6 жыл бұрын
Looong time ago!! tuna usongo na nyumbani lakini ujinga mwingi, hata watu wabishe ni ukweli mtupu!
@daniellewiskubojakuboja7427
@daniellewiskubojakuboja7427 4 жыл бұрын
Jamaa anashindwa hata na kale kabinti kangu ka darasa la 3
@radhiasalum833
@radhiasalum833 7 жыл бұрын
haya kwa wale wenye uwezo.sie acha tukae manzese tu.maana hizo nyumba unaweza pata kisha utakosa usingizi hahahaa
@sinisfatal431
@sinisfatal431 6 жыл бұрын
Hii ndiyo Tatizo la kuchukulia taaluma ya habari kama kipaji wakati unapaswa ukae darasani.Kichwa cha habari hakisadifu yaliyomo ndani nyumba zimepigwa mnada wakati ndiyo wanatafuta mteja what's the freaking heal.
@footmobonline
@footmobonline 3 жыл бұрын
😂😂😂 Kwani wakiongea kiswahili kuna tatizo gani? Okay na huyo mama $350 ndo imetumika kujenga huo mradi. Anajua dollar 350 ni sawa na laki 8😁😁😁
@godfreywebiro4058
@godfreywebiro4058 7 жыл бұрын
😀😀😀😀 usd 300???. mama sema basi kama m.au laki
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 Жыл бұрын
Huu mradi Ikbari alipora wananchi ardhi zao, matokeo yake nae kapitiwa na magu, dhulma ulipwa hapa hapa duniani
@usindemdamo5299
@usindemdamo5299 Ай бұрын
😂😂😂
@mcfallenmacha9611
@mcfallenmacha9611 3 жыл бұрын
Fifteen years in UK, au alikua houseboy kwneye nyumba ya wabongo tupu na hakuwah kwenda hata Dukani na maybe wabongo hao pia walikua hawapati hata mgeni
@ebenezerfreight3309
@ebenezerfreight3309 6 жыл бұрын
Yaani usd 350 ni nyingi mi niwape 3500$ ten times
@zuriathzubeir3702
@zuriathzubeir3702 6 жыл бұрын
Mmmmmmmmm? More than 15 years
@Pedeshee01
@Pedeshee01 3 жыл бұрын
Njoo tuuchukue mradi basi
@jaributenanatena
@jaributenanatena 6 жыл бұрын
Tamaa ya kujenga apartment 7,000 kwa mara moja. Kwa pesa hiyo ingetosha kumalizia 1000. Kila wakiuza wanajenga nyingine wasingekwama. Hawana akili ya kibiashara. Poleni kupotea njia ndio kujua njia.
@dilliwa
@dilliwa 3 жыл бұрын
Dah jama-jama... Nyeee.
@elliottrahema
@elliottrahema 4 жыл бұрын
Toeni urai pacha hizo zitanunuliwa bila tatizo
@SEMANKA97
@SEMANKA97 4 жыл бұрын
USD 350 nini?
@godrafael7916
@godrafael7916 6 жыл бұрын
Mbona sijaona mnada zaidi ya maelezo ya mradi.
@frankd1156
@frankd1156 5 жыл бұрын
Duh jamani acheni kiingereza...aibu
@annaniasbyarugaba5788
@annaniasbyarugaba5788 Жыл бұрын
Please forgive me. I think this guy has not lived in UK for 15years. His English speaks
@sadamramadhan2754
@sadamramadhan2754 4 жыл бұрын
Waje wajenge na Arusha tupate sehem bora ya kuishi.
@adolphdamas7606
@adolphdamas7606 4 жыл бұрын
Wajenge ngarenaro
@halithhali8038
@halithhali8038 4 жыл бұрын
Habari yako wazima wowo nimependa sana halakini sijajuwa mapema dolangapi please utanijubu
@loner_wolf
@loner_wolf Жыл бұрын
Huyu mwamba wa united kingdom ninawasiwasi atakuwa tp mazembe, poor english alafu kiswahili anajua na anajikuta aongee tu kingereza ili aonekane labda mkweli.....
@johnsonjoshua6707
@johnsonjoshua6707 3 жыл бұрын
Pesa zetu za mafao zimeishia hukooo..ndio maana hata ukimaliza mkataba wa ajira yako hawana cha kukupa...wajanja wamekula
@reagankihwelo1517
@reagankihwelo1517 6 жыл бұрын
duuu hivi kweli huyu jamaa kwann asitumie lugha yake akaeleweka MTU alieishi UK zaidi ya miaka miwili naongea lugha mbovu kkkkkk kweli ni shiiiiida
@loveness6732
@loveness6732 6 жыл бұрын
moyo unauma...kma ndo mzazi umetoa ela alaf kijana wako anarudi na kingereza hicho ..dah
@hongeramgaya714
@hongeramgaya714 6 жыл бұрын
Hahaha siunajua lugha za kujifunza ukubwani haiwezi kuwa original. Ulimi ushakomaa
@christophersayuni9849
@christophersayuni9849 6 жыл бұрын
Lilian Jackson mzazi unajiskia flesh tu bora nicheke tu yu no yu no haaahaa
@longlive_k10
@longlive_k10 6 жыл бұрын
Lilian Jackson 😹😹😹 bora rasi simba angeweza kuwa na gharama ndogo
@marylitty3620
@marylitty3620 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jumakittyler69
@jumakittyler69 3 жыл бұрын
Hivi nyinyi mbona msiongee kiswahili kizungu waachieni wenyewe shida mnajig'ata mno
@richsoundstudios5871
@richsoundstudios5871 6 жыл бұрын
Hicho kiingerezacha hao jamaa mbona hakijanyooka bora angeongea kiswahili tungewaelewa tu
@remedymoody
@remedymoody 7 жыл бұрын
Mmhh! Kithungu 🤔
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 7 жыл бұрын
huu mradi umeshindwa mapema sanaa,
@lutusammid571
@lutusammid571 6 жыл бұрын
USDollars 350 si hata mm naweza wekeza kumbe,mama nahisi umekosea Asee
@jijicool7206
@jijicool7206 7 жыл бұрын
Waswahili jamani. Kwani kosa gani kuongea kingereza. Mradi huu unalenga watanzania na wawekezaji toka nje ya nchi. Kwa hiyo ni bora kwa wale wasiongea kiswahili
@peterjohn7613
@peterjohn7613 4 жыл бұрын
Hivi si muongee kiswahili Jamani hicho kiswanglish wengine hatuelewi
@afropanorama4730
@afropanorama4730 7 жыл бұрын
Ongea kiswahili msenge wewe iyo broken yako nenda nayo ukouko UK
@najmabajun1739
@najmabajun1739 6 жыл бұрын
😂😂😂😂
@crershawmafia1009
@crershawmafia1009 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 4 жыл бұрын
Diaspora haipewi nafasi ya kusikilizwa Bi Judith! Hizo balizi zenyewe ndo balaa, kama hawa waliopo hapa States kwa sasa ndo balaa, hata kwenye simu huwezi kuwapata na hata ukiwapata ongea Kiswahili uone kama utasikilizwa hata kwa dakika 1! Yaani ni tabu tupu!
@GONGALIFESTYLE
@GONGALIFESTYLE 4 жыл бұрын
Jamaaa mzushi huyooooo waongeee tuu kiswahili kwa ni tatizo nini wanapata shida thuu na hiyo English
@irenecharles4651
@irenecharles4651 6 жыл бұрын
Ongea tu kiswahili hizo ze ze ze kibaaaao
@horizongroup-tanzania6363
@horizongroup-tanzania6363 2 жыл бұрын
Mihemko ya ajabu kabisa! warudishiwe wahusika wamalize mradi
@hamoudmohamed4916
@hamoudmohamed4916 6 жыл бұрын
Kizungu chenyewe cha darasa la Kwanza kwenda zako huko
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 6 жыл бұрын
Wapi dr.Shika?
@domnicabuto859
@domnicabuto859 4 жыл бұрын
Its a pity to see you guys struggling to speak English like that. Why don't you just speak Kiswahili a language you are conversant with so as to enable people clearly understand the project. Poleni sana ndugu zangu.
@loner_wolf
@loner_wolf Жыл бұрын
Usd 350. sidhani kama mama yuko sahihi
@nzomukundafatuma5364
@nzomukundafatuma5364 2 ай бұрын
Nataka namb ya yono
@lebronngambi6955
@lebronngambi6955 6 жыл бұрын
kwann kitu kama icho kisipelekwe njee ya mji jamam kama ni kisarawe Kibaha au bwagamoyo kuliko kulundika kila kitu DSM
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 6 жыл бұрын
Jamani huu si mradi wa Dr.Shika kweli??!!
@kipendarohotv2669
@kipendarohotv2669 7 жыл бұрын
Kutakua nachumba cha elf30 jamani
@johnbidya119
@johnbidya119 2 жыл бұрын
Izo nyumba ziuzwe wakazi wa magomeni watahamia apo
@chazoharts9121
@chazoharts9121 6 жыл бұрын
Mngemuacha tu aliekua amewekeza amalize..ndo mpige mnada kama hakufata sheria hapo huo mradi hauwezi kua mzuri kama animation ilivo maana kila atakaewekeza atafanya finishing kwa itakavompendeza yeye bora uwe mradi wa mtu au kampuni moja
@johnmlay4759
@johnmlay4759 7 жыл бұрын
don't criticise him much just show yours
@kisalaTV
@kisalaTV 3 жыл бұрын
Huyu atakuwa wabukoba , maana atasierewi hii nger yake full mikato, mpaka nimeskia uvivu kuskiriza🙄
@michaelmotika4477
@michaelmotika4477 2 жыл бұрын
Ths is too big for yono this project need an internation firm this is not suctioning cars?!
@sabrinaabeid4306
@sabrinaabeid4306 6 жыл бұрын
Je hizo nyumba zinapangiswa au zinauzwaa mbona sijaelewaje kama utatakaa kupanga nyumba bei gani feleti kigamboni
@sabrinaabeid4306
@sabrinaabeid4306 6 жыл бұрын
Naombeni jibu kama ipo kupanga Mm Nataka kiasi gani
@deogratiaskatabwa5230
@deogratiaskatabwa5230 7 ай бұрын
Ndege bichi twendee baba
@shufaaa.4766
@shufaaa.4766 6 жыл бұрын
Wawekezaji mkome wanawaita halafu mkizipendezesha watakuja kuzipiga bei hao yono
@gaitanokamage7366
@gaitanokamage7366 4 жыл бұрын
Hahahah araundiiiii so wiare happy kama chekechea mkurugenzi wana bod
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 6 жыл бұрын
KWANINI muhangaike? Makao makuu Wilayanya kigamboni si wauchukue wafanye makao makuu ya Wilaya. WILAYA haina ofisi za HALMASHAURI.
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 8 МЛН
小丑把天使丢游泳池里#short #angel #clown
00:15
Super Beauty team
Рет қаралды 42 МЛН
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 17 МЛН
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 11 МЛН
IJUE NSSF FURSA ZA NYUMBA
14:48
NSSF TANZANIA
Рет қаралды 2,1 М.
MIRADI YA NYUMBA ZA NSSF
15:06
NSSF TANZANIA
Рет қаралды 14 М.
Quick look at a Mansion for sale in Dar es Salaam Tanzania
9:20
Unapologetic Nomads
Рет қаралды 90 М.
NYUMBA YA MILIONI 600 INAYOUZWA PALM VILLAGE MIKOCHENI
11:17
Millard Ayo
Рет қаралды 315 М.
PATA MAKAZI BORA NA YA KISASA KIGAMBONI DAR ES SALAAM
24:57
Shirika la Nyumba la Taifa
Рет қаралды 24 М.
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 8 МЛН