NYUMBA YA MILIONI 600 INAYOUZWA PALM VILLAGE MIKOCHENI

  Рет қаралды 315,268

Millard Ayo

Millard Ayo

3 жыл бұрын

Пікірлер: 664
@kessikigogo4955
@kessikigogo4955 3 жыл бұрын
Mgawanyo wa milioni 600 uko iv kwa uku kwetu LINDI... Milioni 5 kiwanja, Milioni 20 dangote cement, milioni 8 mchanga, Milioni 7 mafundi kufyatua matofali, Milioni 10 mafundi kujenga, Milioni 30 bati za msauzi, Milion 20 finishing na wiring , Milion 10 swimming pool, Milioni 5 fance, hapo nyumba itakuwa imeisha na bonge la nyumba jumla ni Milioni 115. Kwenye milioni 600 inabaki milioni 485. inayobakia xaxa milioni 85 V8 moja, hapo unakuwa na nyumba kali sana na unatamba kitaa na Maela yako yamebak benki kama mstaafu ubunge tu.
@enamwangama4203
@enamwangama4203 3 жыл бұрын
Hesabu zako hazipo sawa hakuna fence ya milion 5 ingawa uko sahihi kuhusu mil 600 vs mjengo. Mjengo haulipi kama ulivyosema naweza tumia mil 300 au 400 kutoa stand alone house ya kibabe
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 3 жыл бұрын
@@enamwangama4203 zipo fensi za makuti😀😀😀
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 3 жыл бұрын
😹😹 umetisha
@pettyjongera1295
@pettyjongera1295 3 жыл бұрын
Umetisha
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 2 жыл бұрын
Umetisha
@selemanichiga5828
@selemanichiga5828 3 жыл бұрын
Dah! Na mimi Eti wakiitwa watu wenye nyumba nitoke hata kwa dawa sitoki Ila namshukuru mungu na mm nina pa kujistiri 🙏🙏🙏
@celinadulle4104
@celinadulle4104 3 жыл бұрын
🤣🤣🙌🙌🙌
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@peterpaschal4522
@peterpaschal4522 3 жыл бұрын
Ndy maana hutakiwi kujifananisha na mtu🤣
@erickhamisi7495
@erickhamisi7495 3 жыл бұрын
Hahahahaha
@willybrown641
@willybrown641 2 жыл бұрын
Ndo la maana
@Zaikadena
@Zaikadena 3 жыл бұрын
Cwez nunua kinyumba cha vumba nne kwa m 600 naenda jenga bangaloo moja matata
@brayanjames9953
@brayanjames9953 3 жыл бұрын
Ushawai miliki nyumba bila kiwanja tena ya milioni 600 .lakin kiwanja huna 😅😅😅😅😅 thanks brother Miradi.. wacha nitafute kiwanja kwanza nyumba nita jenga tu
@utaani1
@utaani1 3 жыл бұрын
Hiyo million 100 ni nyingi. Anaumwa sana ni kama kujenga nyumba ya chini ukiwa na kiwanja mbona unaweza ukajenga mjengo kama huo kwa million 100 tu
@rahmamollely5296
@rahmamollely5296 Жыл бұрын
😂
@hasyno9805
@hasyno9805 3 жыл бұрын
apo kwenye bafu milard nimecheka ulivyosema kuna space alafu ukajikuta umeshika ukuta
@jacklinemolleli5238
@jacklinemolleli5238 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@ngollomashalah8134
@ngollomashalah8134 Жыл бұрын
Yaani
@anisiaaudax3708
@anisiaaudax3708 3 жыл бұрын
Mungu wangu unisaidie mm na mume wangu tukajenge yetu na tuweke mahitaji zaidi ya hayo
@jokharymasoud7396
@jokharymasoud7396 3 жыл бұрын
Ameen
@rashmanditmand7373
@rashmanditmand7373 3 жыл бұрын
Ameen mung akusaidiy
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 жыл бұрын
Unajenga nzuri , kubwa na gari yako unaegesha mvungu wa kitanda 🤣🤣🤣🤣
@marcusgray2559
@marcusgray2559 3 жыл бұрын
Amen,. MUNGU awabariki mkidhi kiu ya ndoto zenu na mue na amani daima.
@Kaizirege
@Kaizirege 3 жыл бұрын
Amina
@husseinjbigo3847
@husseinjbigo3847 3 жыл бұрын
Wengine tunaishi kwenye chumba kimoja kitanda hapohapo jiko unga kochi unaweza sema unalala sto lakin 1day yes inshallah tutamiliki
@amosjuma6346
@amosjuma6346 3 жыл бұрын
Hhhhhhhhhhhh umenichekesha
@dotahamad6640
@dotahamad6640 3 жыл бұрын
insha'Allah 🙏
@linuslaurentlinus8874
@linuslaurentlinus8874 3 жыл бұрын
🤜👊 kikubwa Dua🙏
@oman7710
@oman7710 3 жыл бұрын
Inshaallah
@jacksonsilasasantesanaupov3229
@jacksonsilasasantesanaupov3229 2 жыл бұрын
Milad nikihitaj kukupata nakupataje
@Donrugi
@Donrugi 3 жыл бұрын
Dah hii inanipa hasira kutafta pesa 🤭🤗😕😕😕
@busta_malik5971
@busta_malik5971 3 жыл бұрын
😂😂
@adamhashim3352
@adamhashim3352 3 жыл бұрын
Hahaaa aliyejaliwa kajaliwa
@rashidpweka4325
@rashidpweka4325 3 жыл бұрын
Kabsa kabda bro yan inaleta hasira ya kutafuta pesa
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
Hata wewe waweza kukopa kuwekeza, huyo kakopa kuwekeza
@lucasmogoile7097
@lucasmogoile7097 3 жыл бұрын
misingi Ni muhimu sana watu wako na raha ila wengine wako na shida sana Mungu atusaidie
@ndagiletv521
@ndagiletv521 3 жыл бұрын
one day Mungu atanipa nyumba kama ioo mirald ayo
@deega1234
@deega1234 3 жыл бұрын
Amiin na afya pia.
@dotahamad6640
@dotahamad6640 3 жыл бұрын
Amiin thuma amiin
@mohamy001
@mohamy001 3 жыл бұрын
Hongera sana Millard Ayo kwa kupewa nafasi ya kuifanyia advertisement hapo mahali kusema kweli you really inspire me and be blessed up. Alafu nauliza hivi mtu akinunua apartment kama hiyo value ya Tzs 600M atakuwa anaishi humo kwa mda ya miaka mingapi agreement yake
@R.Dickon
@R.Dickon 3 жыл бұрын
Siku zote za maisha yako
@mussababu5623
@mussababu5623 3 жыл бұрын
Ukinunua inakuwa yako milele na hati unapewa.Hiyo ni hati pacha.sio kuwa unapangishwa hapana.Hizo n nyumba nzuri kwa ma CEO na Manager kwenye Big firms
@mohamy001
@mohamy001 3 жыл бұрын
Nilisema hivyo kwasababu wapangishaji watakuwa wengi na ni nani atakayemiliki Cheti cha kiwanja hicho
@taetommy8343
@taetommy8343 3 жыл бұрын
Jana niliwapa milion 400 wakakataa dah achana nao
@emmanuelmaembe9767
@emmanuelmaembe9767 3 жыл бұрын
@@mohamy001 hizi nyumba zinauzwa kwa mfumo unaitwa unit title. Na kila mmoja anakuwa na umilki wake. Na ni Sheria kwa wamilik kuanzisha umoja wao wa umilik na wanamwajili msimamiz mmoja atakaye kuwa anashughulikia jengo zima.
@sumatanjunior231
@sumatanjunior231 3 жыл бұрын
600 million ni very overpriced kwa build quality hiyo. Hapo ni kwamba unanunua location. Ila nyumba, na finishing ni very basic.
@gregorychogelo2013
@gregorychogelo2013 3 жыл бұрын
Sasa utafanya pricing ya nyumba bila ku take into consideration location/plot..!!
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
@@gregorychogelo2013 😜😃😃😃🤔🤔 point
@gabrielsanga5313
@gabrielsanga5313 3 жыл бұрын
Nikitaka kuama naama napo au
@victormneney1475
@victormneney1475 3 жыл бұрын
Unauziw floor na vyumba vinne 600 ukitaka yote x11 = ila itatofautiana bei kulingana na Floor specification
@ericknkonya5682
@ericknkonya5682 3 жыл бұрын
kweli kabisa the only thing you are selling me with the price is the location. otherwise the rest its pretty much way over priced. (Maoni ya maskini lakini)
@tittoskeysproject3651
@tittoskeysproject3651 3 жыл бұрын
Hapa ndipo ninapojuaga wasanii wetu miayusho kwa quarty hii ingekua mbele wasanii wangekimbilia ila huku tunaishia kuwaona insta na fake life yao pumbafu hakua cha simba wala chui 😊😊😊😊😊
@malikzafarani172
@malikzafarani172 2 жыл бұрын
Shuwa bro umeongea fact saana wanaigiza maisha tuh insta mie pia nawachekigi hv nabaki kucheka tuh wafafek maisha had bas 😄🇹🇿🇶🇦👊✌
@kato_tz
@kato_tz 3 жыл бұрын
Milard nimekundua una kipaji kingine kizuri sana cha kuwa dalali, Yaani ni vile tu hujatutoza 10,000/= ya kuona kama wale madalali wa maani ah ah ah ah ah ah ah ah h. Bless youu
@matthewjohn5108
@matthewjohn5108 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
😃😃😃😃 wengine kuona kiwanja 20,000/ dalali
@aboubakarkipalanga1632
@aboubakarkipalanga1632 3 жыл бұрын
😂😂😂🙌🏻🙌🏻
@itsjonahfather7941
@itsjonahfather7941 3 жыл бұрын
Apartment ni nzuri kiukwelii, Ila kwa sisi mafundi kwa hiyoo Mill 600, unamvuaa mtu mjengoo kwa mill 300 pale mikadi beach pembeni tena barabarani na mia 3 iliyobakia unatoaa kitu cha laana , Ni mawazo tu maselaa
@mybrain8940
@mybrain8940 2 жыл бұрын
Sasa wewe huoni huko ni karibu na mbinguni, tena unaenda kwa lift 🤣 hicho ni kiota chini kuna shopping, hakuna uswahili, 🤣🤣🤣🍺
@itsjonahfather7941
@itsjonahfather7941 2 жыл бұрын
@@mybrain8940 Kumbee ww unatakaa Lift za kupanda na kushukaa sio luxury house, haya sawaa nimekuelewa ilaa kumbukaa mill 600 unaenda kuishi kwenye chumba na sebule na jiko, ilaa mimi nazungumziaa vyumba vitano na vyoote master bedroom pamojaa na ndinga iliyohifadhiwa laundery space/ parking space na swiming ya kwako kwa nyumaa ambayo ni simple tu, Hii ndo Nyumbaa ila hapoo unaishi kwenye chumba na sebule mzee kisa Lift
@awadhally1052
@awadhally1052 3 ай бұрын
Kwel kabisaaa
@Imfura_Iriho
@Imfura_Iriho 3 жыл бұрын
I am coming to buy this room. From Toronto 🇨🇦! I hope it will still available.
@johlet9212
@johlet9212 3 жыл бұрын
You are living my dream bro! Congratulations in advance... I wish I can comment like this one day
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 6 ай бұрын
You can apply Iam in toronto too
@MwajumaRashidi-tx6ks
@MwajumaRashidi-tx6ks 5 ай бұрын
​@@tanzcanmediatv4473😂😂😂
@ibrahimmohamed1994
@ibrahimmohamed1994 3 жыл бұрын
Kunywa kikombe kimoja cha kahawa kila akisema AMAZING
@hassanmanager732
@hassanmanager732 3 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 жыл бұрын
Mashallah, Tunaziona kila cku, ila kumiliki sasa mmmmh 😜
@mariahshirima1229
@mariahshirima1229 3 жыл бұрын
million 600 af master room hamna Jacuzzi
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 3 жыл бұрын
😂😂😂
@abdallamohammed1889
@abdallamohammed1889 3 жыл бұрын
Nataka
@machaggechacha3422
@machaggechacha3422 3 жыл бұрын
Jakuzi ya nini kuna swimming pool na bahari. Hivo vyatosha.
@omaryntagala3740
@omaryntagala3740 3 жыл бұрын
Milioni 600 najenga mtaa mzima
@samniza1763
@samniza1763 3 жыл бұрын
Ninajenga gorofa with a big garden, mil 600 with no garden? no bath for soaking your body, just shower? no thank you.
@charlesjonas4412
@charlesjonas4412 3 жыл бұрын
😂😂😂 kweli mkuu
@beatricemrisho8431
@beatricemrisho8431 3 жыл бұрын
Knsa yan
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 жыл бұрын
@@samniza1763 agree
@utaani1
@utaani1 3 жыл бұрын
Hujengi mtaa mzima ila unaweza ukajenga nyumba yako nzuri na ukaweka mpaka umeme wa jua mkubwa na kisima cha maji pia na electric security fencing na swimming pool pia
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 3 жыл бұрын
Uali gani hapo ulipo Millard! Napataje mawasiliano yako? Ahsante sana!
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 жыл бұрын
Apartment million 600!! Najenga nyumba yangu sehemu kimya hakuna zogo ..
@gilbertmichael9130
@gilbertmichael9130 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 3 жыл бұрын
😀😀😀
@amnemkubwa7353
@amnemkubwa7353 3 жыл бұрын
😃😃😃😃😆🤣
@utaani1
@utaani1 3 жыл бұрын
Anaumwa huyo nyumba hiyo rabda million 100 ikizidi hapo ghali
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 3 жыл бұрын
DSM ujenzi gharama Kama upo mikoani unaweza jenga
@hamisisha
@hamisisha 3 жыл бұрын
Npo geto hapa punde nimekosakosa kumwaga unga wangu duh...haya maisha ya kuishi store sio😂😂
@rahmasalum2130
@rahmasalum2130 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@happyjohn5882
@happyjohn5882 3 жыл бұрын
Hahaaaaa
@amanbahati8327
@amanbahati8327 3 жыл бұрын
😁😁😁
@aishachambo3293
@aishachambo3293 3 жыл бұрын
Pole😂😂😂😂😂
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 3 жыл бұрын
😀😀😀watu wanazungumzia M600 mzee Kama ya mboga tu.
@AJGUNNER
@AJGUNNER 3 жыл бұрын
OMG Dar es Salaam has changed by Leaps and Bounds since I was there in 1973.
@africanmaasigirlnyaki1686
@africanmaasigirlnyaki1686 2 жыл бұрын
Come back again so we can go and live together in Pam village
@africanmaasigirlnyaki1686
@africanmaasigirlnyaki1686 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 hii just saying hai
@doreensamwely8740
@doreensamwely8740 3 жыл бұрын
Jamani daaah watu wanakula Bata had raha ,mungu nikumbuke maisha ya raha nipate na mm
@kelvinlucas97
@kelvinlucas97 3 жыл бұрын
I have nothing to say but to rate ⭐⭐⭐⭐⭐ nikiongea nitaongea mpaka mwakani/thank you!
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 3 жыл бұрын
My dreams house dah pesa uko wapi😠
@Soccer_Life2
@Soccer_Life2 3 жыл бұрын
Nyumba ipo Good sana Duuh
@lawmaina78
@lawmaina78 3 жыл бұрын
Hiyo hela mbona ndogo, sisi ni wazee wa migodini, huwa hatupigi hodi.
@hassankiboko5349
@hassankiboko5349 3 жыл бұрын
ayabwana
@antoinekatembo8520
@antoinekatembo8520 3 жыл бұрын
Karibuni hadi mkifika piteni hadi ndani kabisa!
@idrisaathumani4891
@idrisaathumani4891 3 жыл бұрын
Thaman ya nyumba ndo imekwamia hapo,
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 3 жыл бұрын
Kwani yeye kasema ni nyingi?😂😂😂
@noratycharles5772
@noratycharles5772 3 жыл бұрын
Usiwaogopeshe watu wape moyo wakutafuta
@Womanseekingman
@Womanseekingman Жыл бұрын
Synonyms of amazing surprising. startling. stunning. wonderful. shocking. incredible. awesome. astonishing.
@alexmihayo5723
@alexmihayo5723 3 жыл бұрын
...Ni ngum saaana kufanya kaz kwa muhind kutwa unalipwa elfu8 kula kwako naul kwako, afu unawaza kuwa kutafuta mil.600 Aaaisee labda ubebe sembe. Kuwa km mm tu naangalia muundo mpya wa sofa niweke geto.
@dostovan5142
@dostovan5142 2 жыл бұрын
Hahahaha
@faustinebupamba271
@faustinebupamba271 3 жыл бұрын
milioni mia sita najenga gorofa moja yenye vitu bora na mwonekano mzuri zaidi ya hii...
@abrahamanthony5010
@abrahamanthony5010 3 жыл бұрын
Nakubali
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt 5 ай бұрын
Unajenga gorofa 5 kwa hiyo milioni 600
@deogratiushonest5122
@deogratiushonest5122 3 жыл бұрын
Hapo unanunua locacation, hiyo million 600 sehemu nyingine unaweza kufanya makubwa, unaweza kumiliki majumba ya kisasa zaidi ya matano.
@errydeo8865
@errydeo8865 3 жыл бұрын
kwa ela hiyo,siishi kwenye flats!!! ntachomea wapi nyama kwenye grill ya mkaa,hamna garden, watu wengine ni musiki wa nguvu kwa mbele,si nitagombana na block nzima?..hizo za mabachela..lol.They are nice though
@charotelimo5026
@charotelimo5026 3 жыл бұрын
Yani 600ml huku kwetu unanunua kiwanja na unajenge nyumba 15@ room3
@daudvedasto9809
@daudvedasto9809 3 жыл бұрын
Duh...! Naona umeanza kua Dalali..
@selekiwande64
@selekiwande64 3 жыл бұрын
Habar njema kibongo bongo. Hiyo ni hatua kubwa sana 'na Ya hari.hajuu sanaa wakulungwa tutafute hela tupunguze matumiz nas siku moja tuje kumiliki vilivyo bora
@sarahnamwezi4704
@sarahnamwezi4704 3 жыл бұрын
Congratulations! I like it
@michaelndabalinze1376
@michaelndabalinze1376 3 жыл бұрын
Milard inunue bana iko chini ya uwezo wako
@fahmy3hamed799
@fahmy3hamed799 3 жыл бұрын
Mbona hiyo bei haifanani na hiyo flat kwakweli bai kubwa sana haifanani kabisa
@rosemarymunyi5035
@rosemarymunyi5035 3 жыл бұрын
So beautiful l love it
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 3 жыл бұрын
Nyumba hamna garden wala hamna sehemu ya watoto kuchezea shida tupu alafu milion sita to expensive bado haijajitoshekeza Bora utafute kiwanja upate garden sehemu za watoto kucheza sio juu kama ndege kuandika nguo shida tushakaa nyumba kama hizi mashaka Tu subiri umeme uzimike heeee uwe chini alfu unamizigo utalia kupandisha juuu
@rosegaston6226
@rosegaston6226 3 жыл бұрын
Mchicha ntalimia wapi Meku?Unakaa juu ukiachia kitu kinabiringika down mjini noma sana.
@celinadulle4104
@celinadulle4104 3 жыл бұрын
Hapo sasa, m 600 nikakae mashambani na kulima mboga zote
@festomartin6170
@festomartin6170 3 жыл бұрын
Maji na umeme must be reliable short of that ni bonge la adhabu
@mussataliye7815
@mussataliye7815 3 жыл бұрын
Nimegundua kumbe mimi sina nyumba shikamoo pesa 🙌🙌
@fadhilifredrick4115
@fadhilifredrick4115 3 жыл бұрын
Wajanja tunaiba ramani tu 😂😂😂😂😂
@BarreMushi-yz4wt
@BarreMushi-yz4wt Жыл бұрын
Wow! It's really exquisite
@sarahtaste2876
@sarahtaste2876 3 жыл бұрын
Kwa milioni 600 bado ni padogo sana interior designer hajafanya creativity ya kutosha but ni nzur haishtui sana
@mirajiomarykilala9463
@mirajiomarykilala9463 3 жыл бұрын
safi kesho naja kununua hiyo kaka nmepa penda sana.
@feysalismail4768
@feysalismail4768 3 жыл бұрын
Ninunue nyumba m 600 Alf IPO ewani sijaribu
@subiramussa1428
@subiramussa1428 3 жыл бұрын
Hahaha
@herosofthecentury
@herosofthecentury 3 жыл бұрын
Million 600 najenga gorofa moja yenye vyumba 10 na yenye furniture kali,,,apo sijaona furniture yeyote kali inayoendana na pesa hiyo,,,,HII NI JANJA JANJA TU,,,Weka Like kama unakubaliana na mimi
@ernestmbwana6282
@ernestmbwana6282 3 жыл бұрын
Mimi Maskini wa bush part nimezoe nyumba yangu ni pande mipera,mapapai na makomamanga ..nyumba hizi za matajiri hazifai kuchinja kuku.wala mbuzi hazifai kula ubwabwa wakufunikia Wa mkaa Hapa full kula madude ya plastic surgery...
@msigalaphotographer2279
@msigalaphotographer2279 2 жыл бұрын
Nimekuona kaka 🤣🤣🤣🤣 ujumbe umetugusa n ss 2naopenda kupanda mboga za majani 2tazipandia wapi
@abdulnaseerabdulhakeem9302
@abdulnaseerabdulhakeem9302 2 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@jimboulaya
@jimboulaya 3 жыл бұрын
Appartment Millioni 600 ghorofa ya 11? hio ni sawa na dola laki 2 sitini, najua ni sababu ya location ila kwa hela hio unaweza kununua nyumba na eneo kubwa private sio appartment, kumbuka ukinunua nyumba ama kiwanja ni kwamba unamiliki eneo, ila appartment huuziwi eneo ni jengo tu.
@MegaAlexison
@MegaAlexison 3 жыл бұрын
Beautiful house
@godympole367
@godympole367 3 жыл бұрын
Daaah!! Inapendeza Sana.
@xiwuyan457
@xiwuyan457 3 жыл бұрын
600M Najenga Nyumba ya chini Ghorofa 2 Na Magari kadhaa na full ulinzi na viwanja nazungushia...kuliko kujibana huko juu eti kisa ni palm village....Unaweza kununua kwa ajili ya kukodishia lkn Mbona wao wauze 😒 wakodishe
@edwarddavid8076
@edwarddavid8076 3 жыл бұрын
Dah! starehe yake kuona bahari tu kwa millioni 600
@alexanderisinika1295
@alexanderisinika1295 3 жыл бұрын
Naomba niwekee nataka chumba kimoja Self
@kelvindaudi7330
@kelvindaudi7330 3 жыл бұрын
Mhh nyumba kama hyo hata jirani yko humjui ,mnaonana parking na supermarket
@youngbilioners4631
@youngbilioners4631 3 жыл бұрын
Nipunguzieni nina200
@Gody360
@Gody360 3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🙌
@ednaJF1028
@ednaJF1028 3 жыл бұрын
Nice one 👍
@marymfugwa847
@marymfugwa847 3 жыл бұрын
Kwa 600 nañunua kiwanja cha million 10 najenga mjengo wa million 300 bonge la jumba eneo la bustani napanda miti na Magali nanuua na bado chenchi inabaki.
@Jaycollection
@Jaycollection Жыл бұрын
Jua kali metuweza alie gundu gonga like
@khaleedahmedsaidkione5977
@khaleedahmedsaidkione5977 3 жыл бұрын
Nyumba kama hizo hata wachawi hawaingii....😂😂
@ruthusinde966
@ruthusinde966 2 жыл бұрын
Nimecheka jamn bongo kuna viruko
@dotahamad6640
@dotahamad6640 3 жыл бұрын
Yaan nitoe mil 600 kisa mjini na ghorofa ama, kwa mm ningenunua viwanja kigambon ama mhagala nikajenga nyumba za maana na kupangisha baada ya miaka kadhaa pesa inazid ya hiyo ml 600
@modestmassawe9940
@modestmassawe9940 2 жыл бұрын
Mmmh millard umenifanya nione kama nalalaga nje maisha yote
@lenoxbuhanza4926
@lenoxbuhanza4926 3 жыл бұрын
Sasa basi una nunuaje milioni 600 sehemu kama hiyo kwasababu ya ya view ya mikocheni?unajua 600 millions nikijenga yakwangu natoa kasri?hebu acheni upuuzi
@frankdepiere2477
@frankdepiere2477 3 жыл бұрын
Zina wenyew hizo, wakitifuana wanajirusha hewani tu, 😂😂
@jamesswai1683
@jamesswai1683 3 жыл бұрын
Umemaliza KILA kitu..milioni mia nanunua kiwanja sehemu nzuri nitakayo..mia tatu najenga ghorofa..milioni mia unaweka KILA kitu cha anasa ndani...mia sita nyingi sana na huna hata sehemu wa kufanya shughuli
@fahmy3hamed799
@fahmy3hamed799 3 жыл бұрын
Yani ni kweli kabisa hawa wanaumwa sana 🤣
@razackkambi8318
@razackkambi8318 3 жыл бұрын
@@jamesswai1683 sehem ya kufanya shughuli hakuna 😂😂😂😂
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 3 жыл бұрын
Dah patam apo😋😋😋👌👌💕👌
@shafiisalim1686
@shafiisalim1686 3 жыл бұрын
Usiifanyie masihara m.600 ukienda kisalae na lki tano tubunapata heka nzima na chenji inabaki unaenda kununua tata zako 3 unazipiga mkanda gmboto kkoo maisha yanaendelea
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 Жыл бұрын
Yani aptment zinauzwa ghali kuliko hata dubai
@fredywesh1441
@fredywesh1441 3 жыл бұрын
I wish I had money,ningehamia tz kaka zangu
@faisalhizkil9174
@faisalhizkil9174 3 жыл бұрын
Mim najiandalia majumba makali sana peponi.. mtakaosema najifariji poa tu.
@hamedabashir9
@hamedabashir9 3 жыл бұрын
Hahaha dah haya maisha wengine tyutayafikia kwer
@jesuslove2205
@jesuslove2205 3 жыл бұрын
Ndio
@thabitnasher111
@thabitnasher111 3 жыл бұрын
Ndio
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 3 жыл бұрын
@@jesuslove2205 we unajibu kwa imani hivyo vitu vya imani ni uhalisia
@fatemaligalawa1918
@fatemaligalawa1918 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣utapata tena zaidi InshaAllah🤲🤲
@rukundoibrahim807
@rukundoibrahim807 3 жыл бұрын
nyumba ziko ghali.
@emanuelamos4039
@emanuelamos4039 3 жыл бұрын
Milion 600 yan unanunua eneo na unajenga nyumba kalii sanaa
@vero57
@vero57 3 жыл бұрын
Hamna mmbu huko?? Mimi na mmbu sipendi, maji hayakatiki??
@sosthenesjairo7995
@sosthenesjairo7995 2 жыл бұрын
Dah nyumba iko poa kama Mimi nimepnda bafu ilivyowekwa iko poa sana
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 жыл бұрын
Ndugu yangu nyumba NI nzuri.Weka matangazo kwa lugha ya Kiingereza Tafadhali.
@emilyibraimo5032
@emilyibraimo5032 3 жыл бұрын
Mmmh ila kwa mimi apo harakaharaka nikipata milioni 600 nyumba yangu nagarimu milioni 20000 gari milioni 7 shamba na shamba la kulima milini 30 na nyengine najenga msikiti milioni 50 abayo itakua sadaka yangu kwa alonijalia riski hii ya milioni 600 uo ni mchizamo wangu kwa alonazo aaaa mbona ize nyumba ipo powa
@yakaramayaka1456
@yakaramayaka1456 3 жыл бұрын
Labda iwe investment, holiday apartment kwa ajili ya watalii.
@elinamigags4847
@elinamigags4847 3 жыл бұрын
Hivi unajuwa milioni 300 insjenga nyumba gani lakini 😂😂😂
@mussakinkon151
@mussakinkon151 3 жыл бұрын
Duuh pesa bwana
@ziadamtebwa3712
@ziadamtebwa3712 Жыл бұрын
Wawooo ninzuri
@nehemiajafety8940
@nehemiajafety8940 3 жыл бұрын
Nyumba zuri
@rachelbahahazo6362
@rachelbahahazo6362 3 жыл бұрын
Ningenunua lakini milango haijanifurahisha😀😀😀😀😀😀🤣🤣🤣🤣
@hamisidaimamarumu6729
@hamisidaimamarumu6729 3 жыл бұрын
Nataka kununua mjengo wote,Bei Tafadhali Millard
@vasifpasayev
@vasifpasayev 3 жыл бұрын
Nice👍👍💜💜💜💙💛🧡❤😍
@robenapomola2395
@robenapomola2395 3 жыл бұрын
Kama amna kufa vile dah so nice aseee
@patrickKitambo
@patrickKitambo 9 ай бұрын
Bei ni resonable sana ntachukua hapo
@thebarzbreaker3520
@thebarzbreaker3520 3 жыл бұрын
Kwa M600 unaweza kujenga Ghorofa kufuru na sio kujibana hivyo. PALM VILLAGE WANAUTANI SANA😂😂😂
@simonitaagesti3657
@simonitaagesti3657 3 жыл бұрын
Kutokanq na eneo mbona bei mzuri sana
@rodinemahega9925
@rodinemahega9925 3 жыл бұрын
Nzuri Sana
@samwelkisaka6754
@samwelkisaka6754 2 жыл бұрын
Mim huko juu ckai stak naogop we
@mawananasoro4405
@mawananasoro4405 3 жыл бұрын
Jamani umenkumbusha maisha ni nyumba na marehemu kibonde
@omanlovemirbat7572
@omanlovemirbat7572 Жыл бұрын
waooo mashawa 🌹🌹🌹🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Predictor2023
@Predictor2023 Жыл бұрын
Vinauzwa au vinapangishwa
@mursallusinde9189
@mursallusinde9189 3 жыл бұрын
Ukweli unabaki pale pale pamoja na yote hayo nyumba uliyokuta ipo tyr kma hiyo huwez jua kuna nin kimewekwa humo bora ujenge yako kila kitu unakijua.. Unaweza kuta kuna camera kila sehem zinakufatilia kila unacho fanya na huwez kuziona
@theprogrammer3351
@theprogrammer3351 3 жыл бұрын
Hapo sijaona sehemu ya kuanikia nguo, hivyo inahitajika mashine ya kufulia ya kisasa yenye uwezo wa kukausha nguo kabisa... ww kazi yako iwe kupiga pasi tu,,... ila pamoja na yote maisha ya Uswazi raha.....
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 3 жыл бұрын
Siwezi kunnua sitakuwa huru siwez kulima bustan amna uwanza
@shukuruliuka9649
@shukuruliuka9649 3 жыл бұрын
Sisi wengine tutakua wapenzi watazamaji tu ee mungu tuzidishie neema na sisi tuwe weny kuneemeka
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 21 МЛН
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 29 МЛН
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 26 МЛН
Hii nyumba haina kasoro
3:34
DALALI WA TAIFA
Рет қаралды 23 М.
CHUMBA MAALUM ANACHOLALA RAIS "SIMU HAIINGII"
6:33
Millard Ayo
Рет қаралды 427 М.
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 21 МЛН