Рет қаралды 10
Ugawaji wa tuzo za Grammy awamu ya 66 unataraji kufanyika jumapili 04 Feb 2024.
Chuo cha recording academy ambao ni watayarishaji wa tuzo hizi wameweza kuchagua wasanii watakaotumbuiza katika usiku wa ugawaji wa tuzo hizo.
Miongoni mwa wanamuziki waliochaguliwa ni mwanamuziki kutoka nchini Nigeria burna boy,Luke Combs na Travis Scott kutoka Marekani