Mbowe. Fukuza kunguru hao. Yaani watu wanateseka hawana maji halafu kunguru mmoja anatebelea gari ya tsh ml. 500.
@SundaySteven-bz4yq20 күн бұрын
Hawa watanzania wanasiochagua wanatuchelewesha kuwaondo waha maccm maana wametukera kweli kweli
@karolikisaka899120 күн бұрын
Mmeona Kenya jinsi ruto anavyotii maamuzi ya vijana. Sasa tutashangaa kama mtaendelea kuongozwa na wazee. Ccm ni mzee akapumzike.moshi tunawaamini.moshi ndiyo sura ya mabadiliko
@FrankMwakatundu-cu6bd20 күн бұрын
SASA NI NCHI NZIMA SI MOSHI TU CHADEMA IKO JUU NCHI NZIMA MOTO UNAWAKA.
@vitalisnyagali277420 күн бұрын
Ndo maana mbowe awakupendi na cc chadema tunakuitaji mpaka basi
@MayalakusekwaNkwabi20 күн бұрын
Respect !
@chaba_boy_tz728720 күн бұрын
Haya ma ccm yanafosi kuongoza nawakati hatuwapendi.. muda wao umeisha
@joaneskailembo448520 күн бұрын
CCM subirini muda kdg
@tibbsminja257520 күн бұрын
Watu wajiandikishe hasa Hawa vijana. Vujana amkeni ninyi ndio maGEN Z
@healingsschool463020 күн бұрын
Leteni mafuta na nishati mbadala ndivyo vinasababisha maisha magumu sio katiba. Upendo ndo katiba ya Mwenyezi Mungu
@GasperMboro20 күн бұрын
Tanzania bila ccm inawezekana.tutokomeze ccm
@BorySaronge20 күн бұрын
Mmeufahamu wimbo unapofikia mwisho na mtajuta.
@user-vm4zq7kf4e20 күн бұрын
Sasa ushindi unakuja🇿🇦🇿🇦
@user-hc3ms3gh3o20 күн бұрын
Pamoja sana
@rosekimaro38420 күн бұрын
Kabisa kamanda
@eliahnjavike482720 күн бұрын
Wewe ndo saccos
@ramadhanmahongole929320 күн бұрын
Wasio mpenda mbowe ni maccm tu
@rosestigeneriksson838720 күн бұрын
Tuliopo sweden 😅😅
@OrediYowasi13 күн бұрын
Kiukweli ccm hawana akilin vijana tuwe makin
@margarethpolepole743820 күн бұрын
Nyie Chama cha Vikoba hamuwatishi ccm kamwe kaeni kimya na Saccoss yenu
@Globalpeace12320 күн бұрын
Pole lazima useme hivyo kwani hujitambui Ndiyo maana uko hivyo 😂😂😂😂
@ramadhanmahongole929320 күн бұрын
Wewe ni nyumbu wa ccm unahongwa pombe na tshart za kijani za mia tano mia tano hata aibu huna
@ramadhanmahongole929320 күн бұрын
Ccm ndio saccos kwasababu inaogopa kuweka usawa kwenye uchaguzi kwakuogopa kugalagazwa na chadema kwwnye chaguzi eti tume wateue ccm katiba ya ccm halafu mkitangazwa mnakenua meno kwa kutangazwa, yani yanga na simba wako kwenye mechi wanashindana halafu yanga aingie na refa wake na marefa wasaidizi halafu akishinda ashangilie huo unakuwa ni upumbavu huwezi kushangilia ushindi usio halali
@frankkimaro135419 күн бұрын
Jinga kubwa.kaliwe uko
@josephmbeya597319 күн бұрын
Uzuzu unakusumbuwa
@SundaySteven-bz4yq20 күн бұрын
Hawa watanzania wanasiochagua wanatuchelewesha kuwaondo waha maccm maana wametukera kweli kweli