Samia suluhu alisha kuuza Tanzania yani watanzania Tuamke kweli yani nimeshangaa Samia suluhu ameenda Somalië kukopa tena Mkopo Daah
@amirkhamis825029 күн бұрын
Wewe ndio unaleta udini na ukabila. Kwani mpaka utaje uislamu au uzanzibari? Huyo Magufuli ulinayedai nae ulimsema mbona hukutaja ukristo wake au usukuma wake? Acha shobo. Mtoto wa kiume unasimama jukwaani na pumbu zinaning'inia unamsema mwanamke! Siasa imekushinda kajiunge na kundi la jahazi la Mzee Yusufu uimbe taarabu.
@josephmkinga9509Ай бұрын
pikipiki za dp wd
@josephmkinga9509Ай бұрын
lissu sema yoote pikpik wamepewa na dpwd
@lamsinsolo1335Ай бұрын
Acha uchochezi kama unapenda vitta anzia kkwako
@clemencemkondya85617 күн бұрын
Huna lolote tabia yako ya hovio .umeweka tumbo ka mlima
@user-ej5ir5pu7rАй бұрын
Kweli jamaa kaishiwa vibaya hana sera kabisa
@hashimchaoga9566Ай бұрын
Hayo anayokosoa ndio baadhi ya sera kuonyesha yeye hatofanya hivyo .Sera zinaendana na kukosoa