Rais Magufuli amefanya ziara yake Wilaya ya Serengeti, kuongea na Wananchi kupitia mkutano wake.
Пікірлер: 958
@ashanaftali43195 жыл бұрын
Pole sana mkurugenzi, tunakushkuru muheshimiwa Raisi kwa kumfuta mkurgenz machozi. Pamoja Sana mkurgenzi wetu
@roseissa56 Жыл бұрын
G'g
@HightechTz5 жыл бұрын
😂😂Mbunge huyoo aibu tele😎😎😎
@salmakassim39755 жыл бұрын
Jmni naipenda hii video 😂😂 mheshimiwa Rais Magufuri asante baba
@annamwakibinga5272 жыл бұрын
Natamani ungekuwepo jmn kweli kizuri hakidumu. RIP baba
@zaituniyusuphjuma4155 жыл бұрын
Asante rais mungu akuzindishie sana. Pole sana mkurungezi mungu amekuheshimisha sana maana siyo kwa kuchafuliwa huko pole sana. Pia namshukru rais mungu emekupa jicho latatu 🌷
@elizabethlucas49835 жыл бұрын
Hv hili libunge liliwaza nn? Baba wa watu analia haya machozi hayatamuacha huyu mbunge salama,cjui nani alimteua,ila nashukuru kabaki na aibu,hongera sana raisi wng Mungu akulinde
@mankakileo84235 жыл бұрын
Hadi machozi Hongera mkurugenzi chamsingi omba Mungu sanaa ktk kazi zakoo na Mungu akubariki hapa kazi
@boazmaobe72452 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yake mahali pema....nlipenda Sana uongozi wake na kamwe hakutawahi tokea kiongozi zaidi ya hyu..big up
@delitonavaia35035 жыл бұрын
mungu amfichi mnafiki
@hamisikabwe39805 жыл бұрын
Kwa nchi za mbele hapo huyo mbunge angejiuzulu kwa hicho alichokifanya.huwezi kufikisha ujumbe kwa style hiyo,hata kama ni kweli alichosema,bado hawezi kupewa sheria kulingana na kufikisha ujumbe kipumbavu kabisa.
@monicajulius9055 жыл бұрын
Mungu wangu mbariki sana huyu raisi Magufuli,mpe maisha marefu na yenye amani tele.Huyu mkurugenzi kanifanya mpk nikatoa machozi(Mungu akuongoze🙏🏿)like za nguvu kwa Magufuli plz💪🏿
@patrickmbarugwa31905 жыл бұрын
Barikiwa sana rais wa wanyonge
@danieljacob5574 жыл бұрын
I
@danieljacob5574 жыл бұрын
I
@diwanikatayankonko26712 жыл бұрын
Daaah bahati mbaya mungu akamchukua..so sad
@jonizamosmayenga35282 жыл бұрын
rest in peace
@emmanuelmogela58715 жыл бұрын
Pole mkulugenzi ndio changamoto za kazi
@edinazegu71735 жыл бұрын
Jamani yote anataka mwenzie atumbuliwe pole Kaka angu ndio siasa hizo zimekufanya mpaka uumwe lkn Mungu atakutia nguvu linapita
@hassanhassan83515 жыл бұрын
Mti wenye matunda ndiwo upigwao mawe, hongera mkurugenzi kwa uadilifu wako. Ahsante mheshimiwa JPM kwa kujali
@saumuhassan63655 жыл бұрын
Pole sana mkurgenzi na hongera pia Mheshimiwa Rais kwa kumfuta machozi mkutugenzi
@chandrnyoeliakim10065 жыл бұрын
Pole Sana mkurugenzi ndio changamoto za kazi baba
@mamalinamtei3265 жыл бұрын
Saumu Ha.ssan
@patricknduwimana28405 жыл бұрын
Saumu hassan nauku umefika?
@beatricekamengekamenge55435 жыл бұрын
Walai saum nihatari
@MdMd-th9vh5 жыл бұрын
POLE SANA
@saidbanga5 жыл бұрын
Inauma sana... Ila magufuli nakukubali kwani akili zako unazijua mwenyewe...
@eliasaphbussa93325 жыл бұрын
Njia nzuri ni kuoa hata dada zake ili aman iwepo 😂😂😂😂
@emmymasoud63855 жыл бұрын
Zambi Sana kumchafua mwenzio ikiwa ww unayako kibao nyuma ya pazia.... Allah bless you
@neemawilliam19605 жыл бұрын
DA aiseee mchawi wa binadamu ni binadamu mwenyewe, kweli unamcjongea mwenzio afukuzwe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣magu bhana et akaoe dada zake na mbunge
@johnnjogundegwa97995 жыл бұрын
Good for your solomonic leadership. THANK YOU FOR THE LOVE AND BEING SERVANT OF THE PEOPLE.
@fernandovictoralfredo28342 жыл бұрын
Etiópia
@victoriabayo77042 жыл бұрын
Daima tutakukumbuka
@chandewaleo38535 жыл бұрын
Duuuh wa 3 leo hahaa naeza kua mkurugenzi badae
@stephenmassawe2185 жыл бұрын
Isije ikawa ni chuki ya kisiasa hapo!!! Busara ni muhimu katika mambo haya, mbunge kwa mujibu wa sheria ni mjumbe katika baraza la mawaziri.
@rajeep-ni7lh2 жыл бұрын
I miss this maguful rest in peace always I miss you❤❤❤❤❤
@chandewaleo38535 жыл бұрын
Iwe juma 3 j4 j5 uta kaa hapa hapa .hahahaha ili kumkomeshea huyo kaoe hata dadaake ....kina juma hebu wekeni like hapa
@wechemakambo21825 жыл бұрын
chande waleo nime-like ila mm siyo Juma 😆
@chandewaleo38535 жыл бұрын
@@wechemakambo2182 hahahaa pamoja sana uende ukaoe dadaake mbunge
@wechemakambo21825 жыл бұрын
chande waleo mmh kwa shemeji huyu siwezi...
@bintiiddy70433 жыл бұрын
😂😅😅😅
@ommymvp8845 жыл бұрын
See how God is protecting His people.#mkurugenzi
@manyotaskipper57655 жыл бұрын
Ommy Mvp Allah Akbar
@musamasiko49255 жыл бұрын
Ommy Mvp fact
@evemangare17325 жыл бұрын
Ommy Mvp ooh yeah
@antoniasanga35635 жыл бұрын
Usilie jaman Mungu hamtupi mwenye Haki Amini Rais bado anakupenda pia zidi kufanya kazi
Daah mzee pumzika kwa amani tutakukumbuka daima😭😭😭😭😭😭😭
@mendoramasaki35675 жыл бұрын
Hongera sana Rais wetu Mungu akupe maisha marefu kwakuwa unatenda haki pasipo kumuonea mtu. Pole sana mkurugenzi Mungu yuko nawe aibu amezipata huyo mbunge kwa majungu yake
@kisigaanna34225 жыл бұрын
dawa ya muongo nifupi sana haaaa mbunge ngumbalo huyo ndokaja ili amchongee mkurugez matokeo yake yy ndokaaibika jmn cdm mbona hamuishiwi vituko?
@rehemanyitu6405 жыл бұрын
ha ha ha ha mbunge jipu uyooooooooo
@fatumarajabu8105 жыл бұрын
Ha ha ha........ Mr president na muendlezo wake wa tungo tta ...hbu gonga dole tumpe pngez
@mcrahaleo6885 жыл бұрын
Hahaaaaaaa, na ni tungo tata kweliiiii, hili libunge ni likarai kabisaa hili
@tugesyegemwakatumbula81255 жыл бұрын
mungu mkubw Sikutengemea kama mkulugenzi angeweza ata kijitete ,inauma kwakweri😢😢😢
@fettybernard86955 жыл бұрын
Kwer sio kila mtu anakupenda mungu ndo Mtetezi wa kila jambo mtegemee mungu tu
@zachariamishai72585 жыл бұрын
Asant sana #Mh Rais😘😢
@zumbeshauri81145 жыл бұрын
pongezi sana raisi hakika amemchafua mwenzie hazarani kwa siasa ya kijinga kaka juma hamsini endelea kufurahi raisi ana imani nawewe
@kwizeraelly92615 жыл бұрын
Mungu yupo!!!!!!! Wanaoonewa wote walie na Mungu mimi nimemwona mara nyingi.
@HightechTz5 жыл бұрын
mwaka huu tutaona mengi 😂😂😂😂😂😂😂
@stephanokaaya18815 жыл бұрын
mbunge huyu ni O
@mussakatoto31255 жыл бұрын
rais hongera sana
@mr.furahamalele18545 жыл бұрын
Daaaaaaah, Mungu Kweli Wa Wote Ninaanza Kuamini Maana Daniel Alitupwa Ndani Ya Shimo La Simba Wenye Njaa Hawakummeza, Leo Mungu Amesimama Upande wa Mkurugenzi, Kweli Hila Hazimpati Mtoto wa Mungu, Nakuombea Mkurugenzi na Mhe. Rais Pigeni Kazi Wana Wa Mungu!.
@salmadalaquimane53035 жыл бұрын
Yaan chadema cjui mkoje daaah mmekalia chuki2
@furahamudende63165 жыл бұрын
Nampenda sana Rais wa Tanzania,anaakili sana,busara na hekima.tungempata rais kama huyo congo aiseee inchi yetu ingeendelea saaana.big up baba JPM
@nachokyale19153 жыл бұрын
Wa congo unamjua kiswahili
@binurarassi81565 жыл бұрын
Rais mtenda haki, Msema kweli, Mwenye huruma, Tulio wengi Tunaokuombea siku zote, uendelee Kiongozi, Mungu anatuona, Anasikia Na InshaAllah Atapokea Maombi yetu, Aamina q
@victoriabayo77042 жыл бұрын
Rais Magufuli akuweke mkono wake wa kuume ulale salama kipenzi cha watanzania umetenda haki hakika tunaendelea kukumbuka
@hadijaabdallah54775 жыл бұрын
Maskini baba mpaka analia na mm nimelia jamaniiii huruma rais hongera sana
@yusuphsabega39365 жыл бұрын
Hadija Abdallah usijal
@evelynmon64915 жыл бұрын
Yaan mimi mwenyewe nimelia jaman baba kaniliza huyo jamani
@evelynmon64915 жыл бұрын
Yaan hii mijitu mingine inakurupuka tu mbunge mzima kaaibika vibaya kweli dume zima majungu tu mfyuuuuuu
@haibreus20055 жыл бұрын
Ndio ujinga wa wanawake mtu akilia tu huruma
@fatmax87105 жыл бұрын
@@haibreus2005 hahahaha hayo ndio maumbile yetu tuvumilie tu
@sembosayenda71825 жыл бұрын
Libunge LA chadema ...libaki huko huko chadema
@annajoram93705 жыл бұрын
Baba hapo hongera sana kweli unamjua mungu,mungu akuongoze baba
Pole mkurugenzi ndo changamoto za kazi hizo baabaa limemrudia mwenyewe chapa kazi
@emilydavidmdoe35525 жыл бұрын
Aah kumbe Moro Safi kazi nzuri hongera Kaka yangu
@deklein47315 жыл бұрын
Hili libunge kwanza lina pua kubwa uso utazani chapati iliyokosa mafuta....cjui walilichaguaje tyuu
@alexkapaya89095 жыл бұрын
Wa kwanza leo kwa Millard Ayo
@chandewaleo38535 жыл бұрын
Wa kwanza fadhia
@cleverlove62255 жыл бұрын
Pole sana mkurugenz
@gracethomas6834 жыл бұрын
Dooh! ndiyo naiona leo daah! Juma amepitia mengi hapo 🙌🏽... Mungu amemuona
@silasteven89565 жыл бұрын
Pole sana mkulungenzi kila kazi namagumu yake usiogope baba piga kazi
@kelvinroberty27975 жыл бұрын
mkurugenzi ridhiki yako anaepanga ni mungu , bado hajakuacha ulipochafuliwa yy tumain lako hatokuacha uaibike
@omanphone34552 жыл бұрын
Daaaaah mungu ulituokoa kutupatia hilijembe watanzania ila asante pia kwakua kaziyako hainamakosa tunateseka sana watanzania
@giannajoji79445 жыл бұрын
Wivu tu,mbona kaumbuka!chezea Magufuli wewe!
@agnesmkude125 жыл бұрын
Dah inasikitisha asije akafa na presha mungu akusimamie
@chimamychimychimamy84825 жыл бұрын
Gud job president love you magufuli from Kenya+254
@ggmmjasiliamalionline27465 жыл бұрын
Love u Kenya asee +255 Luna upinzani wa kisiasa na Si kimaendeleo
@simonmagembe71405 жыл бұрын
It is true that magufuli is now popular
@sifasanga78665 жыл бұрын
Magufuli kumbe kuna wakati ana huruma sana. Baada ya kugundua Mkurugenzi kaumia moyo amerudia rudia sana manano kumweka sawa. Pole sana Mkurugenzi hawa wapinzani sometime wamekua waongo sana. Jamaa anakusema bila haya na ushahidi hana pole kaka
@lawagustino18875 жыл бұрын
sifa sanga kweli kabsa
@matyshirima12425 жыл бұрын
Hata angekua na ushahidi kumchongea mwenzie afukuzwe sio vizuri
@mbaroukabdi19185 жыл бұрын
Hii shutuma ingekuwa kwa mpinzani Rais angejibu hivo kwa mfano
@saadachara9435 жыл бұрын
Baba magufuli oyeeee Mungu akuzidishie imani kwawananchi wako tunakupenda sana 2020utapat kurayangu alfajir namapema
@laurentemanuel85595 жыл бұрын
Duuuu ama kweli Serengeti tuna hali mbaya kama mbunge ndo huyu wa chuki zisizokuwa na maana,,, atapata faida gani mkurugenzi akifukuzwa huyu mbunge ndo mwxho wake 2020 hatunae tena
@hildababyabdullah56275 жыл бұрын
Chozi limenitoka pole mkurugenzi iyo ndo kawaida ya wanadam hutizama lamwezie tuu lakwake halion Allah akuongoze vyema ktk utendaji wako kazi, upizani co watu wazr alitaka ufukuzwe mbele ya qadam nnas chozi lako halipotea kwa huyu mbunge lazima litalipa magufuli hongera umekua mfano wakuigwa ktk uongozi wako
@frankmmary63715 жыл бұрын
chapa kazi mkurugenzi mazuri yakwako yote anayajua mwenyenzi mungu.
@sifaupindo83845 жыл бұрын
Omar Alofi roho imeniuma jamani, Pole sana Baba Mungu yupo nawe kila sekunde
@allykazoa70655 жыл бұрын
magufulli wewe ni rais wa mfano mkurugenzi amejiereza vizuri sana uyo mbunge ni chizi
@collinsmwaipasi75805 жыл бұрын
The truth shall set you free
@salimakuyela82125 жыл бұрын
Huyu mbunge mwehu magu mungu akujalie kumfuta machozi mkulugenzi🙏🙏🙏🙏
@husnajohn74665 жыл бұрын
Christopher Mganga hahaaa
@lucascheyo48495 жыл бұрын
.
@fatimaabdulla69674 жыл бұрын
@Change Mindset asay aibu kweli kweli mi ni Wa 254 ila na fanya bidii Kuja Tanzania ni muone maghufuli wallah sija ona raisi wa kuigwa kama huyu
@allykazoa70655 жыл бұрын
ivi uyu mbunge amechaguliwa na watu wenye akili timamu kweli atakujieleza awezi embu ccm jitaidini 2020 chukueni ilo jimbo
@selemanikiwande51375 жыл бұрын
Wallah km k ungekua na sheria ya kumtumbua MTU anae mdharirisha mwenzie basi Leo angetumbuliwa huyo mbunge kwanza anatakiwa amuombe radhi mkurugenz hongera sana kwake mh. Rais kwa kazi Nzuri sn anazozifanya mungu ampe maisha marefu azidi kulitumikia hili taifa kwa kutenda haki. Me pia machoz yamenitoka kwa kumnafikia mkurugenz. Pole sn kaka yangu kwa changamoto unazozipata hata mitume walipitia vikwazo na changamoto nying sn lkn walishinda na kukamilisha yote walioagizwa
@levinajoeli34655 жыл бұрын
Christopher Mganga Good mkurugenzi
@magorimagori92645 жыл бұрын
Christopher Mganga umesema kweli kaka
@ggmmjasiliamalionline27465 жыл бұрын
Hapa ndo wananchi tujifunze hali hii hatujawapa ikulu tukiwapa waingie ikulu watatupeleja wapi hawa kaka maendeleo jamn tufanye maendeleo sio chuki Za upinzani jamani wananchi wanatusoma kwa picha mbaya Santa chadema alafu 2020 tuseme tumeibiwa kura ni kweli acha ccm iendeshe nchi sisi ng tukue kwanza wapinzani tuna akili za kitoto wananchi wametuamini bas tusiwaangushe dah inauma asee afu hata kujieleza hajui maskini dah nandomana wanaohama wanahama kwa kauli mbiu kwamba wanaenda ccm kuunga juhudi za muheshimiwa rais kwa style hii huwez kuunga juhudi zinazofanywa name rais acha wanaojielwwa wahame tuu
@cholowao3 жыл бұрын
Tumetekeleza agizo
@gabrielemmanuel43485 жыл бұрын
Pole mkurungenzi wangu usilie jaman baba angu pole mungu mkubwa sana
@irenemwanaa81605 жыл бұрын
Pole mkurugenzi mungu yupamoja na we we chapa kazi.
@osumrope20965 жыл бұрын
Mbunge snitch sana huyu, mbowe piga chini huyu kunguni.. hii ni picha mbaya sana kwa upinzani
@dictarchelsea5 жыл бұрын
Mbunge kasema ukweli
@dictarchelsea5 жыл бұрын
Sio uongo Ni kweli
@happynesselemani71624 жыл бұрын
Osu Mrope
@tumainimano99534 жыл бұрын
Huyu mbunge hamno nazo kichwani mnafki mkubwa
@awesuhassani62125 жыл бұрын
Xikuwai kuku fatilia mzee wangu raixi wangu na mtanzania mwenzanu pokea hongela zangu, hongela raixi kwa kutenda haki kwa hili.
@joycemashikolo90965 жыл бұрын
Mungu ni mwenye haki.umetafuta kumwaibisha juma. umejikuta aibu imekurudia mwenyewe na umepata aibu ya maisha yako kizazi chako chote kitaona jinsi ulivyo kichwa maji.
@olivamushi58435 жыл бұрын
kila nikiangalia hii video nalia sana we mbunge muombe msamaha mwenzako
@farajamwakasaka42215 жыл бұрын
Joyce mashikolo.
@abdulshaban63435 жыл бұрын
ndo mm huwa nasema kwann uupe mdogo ujasiri wa kuongea wakat ujaipanga akili yako papara kwa magu ni sawaaa na kukurupuka kuingia msikitin na ndara
@rodasegere40295 жыл бұрын
Masikini wa Mungu Mkurugenzi katoa machozi,,, ww mbunge jitathimini machozi ya huyu baba hayatakuacha salama,,, hongera Sana Rais wetu kwa kumwaibisha huyu nyumbu wa Serengeti nation park
@kindolek92575 жыл бұрын
Mbunge kafyatuka bila kuwa na uhakika anamdharirisha mwezake mbele umat bila ushahd aibu yake sasa, HONGERA AYO saut saf picha iko vzur pia
@joycechacha73443 жыл бұрын
Umeonaeeee
@kruverthmasanula99145 жыл бұрын
safiiii jamaa kaumbuka vibaya hahahahahha
@amanimlembe21705 жыл бұрын
pole sana mh.rais kwa hali hii mungu akusaidie maana wengi wanakuzunguka
@rosehillary68845 жыл бұрын
Rais wewe nakupenda sana wewe ni Baba, ni mlezi, na unamjua Mungu.
@anwaryrutenge56955 жыл бұрын
Dar. Pole sana mkurugenzi Juma. Hongera mzee baba Magufuri
@winfridagama22805 жыл бұрын
Hongera Mkurungezi
@pascoiddy15925 жыл бұрын
Anwary Rutenge qhv
@binurarassi81565 жыл бұрын
Mungu akulinde Rais wetu Wasiokutakia mema, Watashindwa kwa Nguvu za Mungu.
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@billyblanks0992 жыл бұрын
Thank you for pointing this out. Africa is killed by the puppets of the imperialist and neo-colonizers in the pretense of being friends of Africans. It will only take Africans themselves to develop Africa.
@jumatamimu6841 Жыл бұрын
U7(tygyttt
@aminasenkuni3844 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭 Inna lillah waina illah ragigune wee mwenyezmungu muodoshee kila lililobaya kwenye kabur lake.
@mkobainnocent23685 жыл бұрын
Ukisikia Mwisho was Ubaya in Aibu basi ndio hivi,,, huyu mbunge hafai, kabisa na kwa majungu haya 2020 hapati kitu,Mkurugenzi wa watu Na baba wa familia ya watu ametoka machozi,,Rais anahekima sana aisee
@officialkamdudu5 жыл бұрын
mkoba innocent mbunge mpaka anazomewa na wanachi wake hadi aibu. Na angekua sio mbunge angekiona cha mtema kuni leo
@officialkamdudu5 жыл бұрын
mkoba innocent mbunge mpaka anazomewa na wanachi wake hadi aibu. Na angekua sio mbunge angekiona cha mtema kuni leo
@mozetz8505 жыл бұрын
mkoba innocent mwadasu
@elizabethjames2925 жыл бұрын
Huyo anaeongea anauhakika ngani ,hajielewi hata kidogo MTU mzima ovyo kabisa,yy amekamilika
@tumainimango81405 жыл бұрын
mkoba innocent sanaaa
@nicholaustvraphael41025 жыл бұрын
Hongera Sana Mh raise nakukubali Sana unamsimamo nikikutana nawewe nitakuthibitishia kwa maneno
@eliasmajani97875 жыл бұрын
Huyo mbunge hana chake. Asihangaike kugombea tena 2020
@sakinaomar3015 жыл бұрын
Nani kaona mkurugezi akipandisha suruali yake alivyoitwa na Rais😁😁pole sana baba yangu umeniliza jamani umepata maradhi yamoyo ulivyoanza kuwatumikia wananchi wako pia nimejifunza kitu"wewe unapambana kwenda mbele kuna pimbi mmoja anakurudisha nyuma m'mungu amemuabisha leo "God is good all the time "#chozi lako halijakutoka bure unamengi moyoni but M'mungu atakutianguvu 😘😘.
@kinggembo71355 жыл бұрын
Sakina Omar all the time GOD is good
@sakinaomar3015 жыл бұрын
M'mungu atamlipa wallah
@johngeorge61824 жыл бұрын
Mkurugenzi chapa kazi ukweli utabaki ukweli tu! Uongo umesjindwa.
@agnessjosephath43305 жыл бұрын
Aibu yao jamani cdm mkoje kwa nini mnapenda kuwazushia uongo Rais mpenzi wa watu.mpaka nimelia kwa nn tufike huko jamani sisi wote ni watanzania
@nasraalobaidani31945 жыл бұрын
fitna haina faida kasimam miship uson kwaunafk ili kumkomesh mwenzie kimbe ajiaibish mwenyewe ulaaniwe ww usio nautu daim hutofanikiw kwarohoyko mbya pole sn kakaang juma ALLAH akuongoz ,ALLAH ambarik sn rais wetu nakupend sana dc magufuli daima nitakuombea
@barytz59775 жыл бұрын
Imebindi nicheke2 maana jamaa mpaka suruali imeshuka
@annetmsafiri67045 жыл бұрын
Mbunge macho kodo aibu cdm aibu tu mmezoea vya kunyonga jamani sasa kazi kwenu laana hiyo itakufuata la hilo chozi tubu
Imeniuma sanaa kwa kutoa chozi mkurugezi kwa kusingiziwa na hili fisadi hili bunge ningekua mimi ningelifukuza kabisa
@anithaflorian11575 жыл бұрын
Pole sana mkurugenz Mola akutie nguvu maana si wote watakao kukubali Mungu aibariki kazi ya mikono yako
@stevenlubala92375 жыл бұрын
Mungu zaid kukushikilia daima mkurugenzi uko Safi sana ahsante rais hapa kazi tuu
@mapenzi_tz15115 жыл бұрын
Mm nasemaga Hawa Chadema,, Akili awana wao tushawazoea kilakitu wanapingatu ndio kimewakuta Leo adharani
@innocenthamisonndalahwa95415 жыл бұрын
Siasa chafu na za chiki hazifai mkurugenz ana umiza kichwa kuhakikisha shughuli na miradi ya maendeleo ina kwenda na kusimamia utekelezaji lazima tuwaheshimu na kusamini kile wanacho kifanya huyu mbuge hafai kabisa kwanza ni muongo
@isaacmakiro11405 жыл бұрын
Molove Momapenzi tuliza tako acha uboya
@modestaabeli33895 жыл бұрын
Kweli RAIS umeongea safi cn yani hata mie nimelia pole mkurungezi mungu yuko nawe
@mbaroukabdi19185 жыл бұрын
Kwa mfano shutuma hizi angepewa upinzani Raisi angejibu kama hivo?
@tuntulusekelo41915 жыл бұрын
we jamaa hupo vizuri ahh ahh ahh
@totally_aisha80105 жыл бұрын
mbunge bora anajenga urafiki na sio chuki
@salimkambona27985 жыл бұрын
Nakukubali sana kiongozi,,tuchape kazi siasa tuziache jamani!Jpm hajakosea ktk kuteuwa watendaji wake!Mungu awe nawe daimaaaaaa
@alexfrance54865 жыл бұрын
Pole saaana mkurugenzi Mungu atakulipa
@barakahenula13705 жыл бұрын
Nampenda sana Raisi wangu,hapa kazi tu
@salmakassim39755 жыл бұрын
Namimi nimewah leo
@petermwenda51795 жыл бұрын
magu mungu akupe maisha maisha marefu utuokoe sisi wa hali ya chini
@joxevictus37204 жыл бұрын
Dah huyo kunguru sijui hata sura yake ataweka wapi wananchi wameamua kumvua nguo hatharani😂😂lkn mijitu ya chadema hainaga aibu sijui inavutaga bangi kwanza ndo maana inaongeaga mavi
@nicholasmeshak96735 жыл бұрын
I just love this kind of government...
@gbbuku47145 жыл бұрын
Huyu mbunge anapiga kelele sana anataka kumchonganisha rais na mkrugenz sio vzuri aelewe kuna maisha baada ya siasa ona kwanza wananchi wanavomzomea mbunge hufai
@yusufumajaliwa19585 жыл бұрын
elias njoji: Elewa waliokaa mbele ktk mkutano huo ni CCM, ulitaka waseme nn? Mikutano aina hii ni sawa na akina Mama wanaposutana jikoni au uwani hivyo ningemsihi Mkuu aache uchonganishi juu ya majukwaa hayasaidii zaidi ya kuleta mtafariku.
@gbbuku47145 жыл бұрын
Sasa mkuu kachonganisha nn hapo zaid ya mbunge wenu wa chadema na kwanza ilitakiwa ashitakiwe kwa kumdanganya mh rais
@yusufumajaliwa19585 жыл бұрын
elias njoji:Hakukuwa na haja ya kumuita Mbunge wala Mkurugenzi kutuhumiana mbele ya Umma kitu ambacho kinaleta chuki kati yao.
@gbbuku47145 жыл бұрын
@@yusufumajaliwa1958 aloanza kumtuhum mwezie ni nana kama sio mbunge wenu baada kumtuhum ndo rais akaona amuite mteule wake amuulize ulitaka baada ya ile tuhuma rais asimuulize mkrugenz nn kinachoendelea
@sikireonard9775 жыл бұрын
Akamuulize Haman aliyeamrisha wayahudi wrote wauwawe jinsi kibao kilivyomgeukia
@inocentedward88565 жыл бұрын
Safi sana mh rais! Kuna watu wana roho za kimaskini sana!
@joanithasalvatory97075 жыл бұрын
Haaa nimecheka hapo akaoe haya Dada wa mbunge ,yeye kaona kumchongea mwenzie rahaa daa ,mpaka kalia mkurugenzi Mh .Rais huwa hatumbui ovyoovyooo tu anachunguza ,nakupenda Sana'a tungepata viongoz wengi wa aina yako hakika Tanzania ingekuwa ni Nchi ya kuigwa
@hamidahamadi36095 жыл бұрын
Yani nimempenda Raisi wang hongera sn magufuli umetumia hekima sn!!
@sadickemmanuel32095 жыл бұрын
Asante presdaa
@mbwanaomary75375 жыл бұрын
Hawa waropokaji walizoea kuwatengenezea ajali wenzao leo imewageuka, hujidai wao ni wasafi kumbe ndio waizi wakubwa, na huo ndio mfumo wa chama chao kuishi kwa porojo tu
@josephwilliam47275 жыл бұрын
Marwa we mtapeli wa siasa huna lolote nenda kula kumchongea mwenzio si dili.
@saadachara9435 жыл бұрын
Lwakweli daaaaah chozi limenitoka jamani tuwaheshim wazazi wetu wanapitia changamoto nyingi sana pole sana babangu mungu niwawote nahaki ikitendeka lazima pawe nachuki fanya halali yako babaet, juma
@amosmisent72094 жыл бұрын
Mkurugezi juma kaza moyo kiongozi wangu hizo ni changamoto 2 za kazi Mungu akutangulie baba angu
@elishamartine98525 жыл бұрын
I appreciate you ptlresident
@frankrowland28845 жыл бұрын
Jamaaa hajui kama yupo katikat ya ccm,chochote atakachoongea atazomewa.
@hellenmgungus19795 жыл бұрын
Frank Rowland hakulijua hilo
@joshuakiwovele86645 жыл бұрын
Frank Rowland kazingua mwenyewe utaongeaje maneno kama Yale mbele za watu