Hayasahuliki, hayafutiki JPM we love you even though you are not here with us. Am a Kenyan but it's hard for me to say goodbye to this hero an ordinary man with extraordinary wisdom. ❤️❤️❤️❤️Our hearts will take time to heal from this loss.
@hashakatv86183 жыл бұрын
Mimi ni mkenya, lakini daima sitamsahau hayati Mzee john pombe Magufuli. Mwenyezi mungu ailaze roho yako mahala pema
@mwangangi.martha71213 жыл бұрын
Alikuwa mwema sana
@Wakio2313 жыл бұрын
Me too
@mimahally13883 жыл бұрын
Atutoweza msahai daim😓😓😓
@taturajabukhalfani79533 жыл бұрын
Amin
@hashakatv86183 жыл бұрын
@@mwangangi.martha7121 Sana tena
@niimasinan3 жыл бұрын
I have never seen a president in this world like him may almighty have mercy on you 😭😭😭😭
@sk-wj9or5 жыл бұрын
Muheshimiwa Rais Magufuli. I salute you from my heart.
@monicasteven75663 жыл бұрын
Baba wawa nyonge umetuacha wanyonge tunaumia baba baba baba amka amka baba
@rehemaoyier55873 ай бұрын
Kwakweli Mungu amlaze Rais John Pombe Magufuli mahala pema. Nitamkumbuka daima alivyotutetea waking mama katika haki zetu.
@gggjjahhhh94195 жыл бұрын
Hapo ndio naposemaga anaekuchukia ni mchawi jaman, yaani sijutii kura yangu na inshallah 2020 Nakupaaa
@halimahamadi75925 жыл бұрын
Baba magu mungu akuzidishie imani iyo iyo na moyo uwo uwo kuseidia wangonge
@mellenondieki63295 жыл бұрын
The president of Tanzania, you are the best,be blessed magufuli,kwakumsandia, huyo mama,mungu hakupe maisha,marefu. I in USA.
@stellaloves98793 жыл бұрын
💔💔😭😭😭😭
@deboraevaristo46015 жыл бұрын
mungu akupe maisha marefu...mtetezi wa wanyonge rais wetu..
@marcelndaye223 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Mpendwa Raisi, watanzania mumebarikiwaka kumpata Raisi kama uyu, ila kazi ya Mungu ahina makosa, Africa nzima tumepoteza, namlia Raisi tokea 😭😭😭🇨🇩🇨🇩
@HappynessJaphethАй бұрын
Hatutapata kamwe
@mamayaoharistar45995 жыл бұрын
I LIKE IT BIG UP .WE WANT LEADERS WITH EXAMPLE👏👏👏👏
@beatricekamengekamenge55435 жыл бұрын
Dah magufuli nakupenda baba yangu wewe mungu akutunze sana
@omaniallybakari23725 жыл бұрын
Asante rais nataman ungedumu miaka yote mungu akupe nguvu na moyo wa huruma zaidi
@ericsaman45663 жыл бұрын
He was a True Definition of a True HERO...R.I. P Magufuli
@funsimple_ke30343 жыл бұрын
Ameniliza
@gracekaniki7895 жыл бұрын
Jmni nimejikuta tu machozi yananitoka makufuli kiongozi wa kipekee mungu akupe afya njema baba
@melau_tz5 жыл бұрын
Grace Kaniki inauma sana nashindwa kuzuia mchoz pia
@gracekaniki7895 жыл бұрын
@@melau_tz sana kiuhasilia inaumiza umeona hyo mama amuamini yoyote kumpa documents kashahangaika kutafuta haki lakini imeshindikana. Ila makufuli mungu amuweke
@boombasticjoseph11053 жыл бұрын
This guy... have never seen a leader like him, and i dont think if there will be any. RIP Mr. President. Much love from Kenya
@eliaspeter40175 жыл бұрын
u made it our lovely President Honorable JPM, wanyonge tunakuombea daily yaan, move on....
@michellewangoe22443 жыл бұрын
Hayupo tena rais wa wanyonge katangullia mbele za haki 😭😑😭😭rest in peace rais wetu ...kkutoka Kenya nashindwa kuzuia machozi😭😭😭😭😭😭💔💔
@francistunakwishabilakujua88263 жыл бұрын
Mateso hayarud tena jaman?
@mwangangi.martha71213 жыл бұрын
Ata mim nalilia
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
Ni MUUGIZA Duniani kupata mtu kama magufuli TULIISHI na mdogo wake yesu bila kujielewa 😭😭😭 duuuh magufuli Ana umaa kama kishu mungu tusaidie kusudi lako ni Nini?
@georgeochieng83113 жыл бұрын
More videos
@bettykarume56192 жыл бұрын
😭😭😭😭🇹🇿
@ramadhansharjah80655 жыл бұрын
Hapo nime mwelewa RAISI WA WA NYONGEEEEEEEEEE MAGUFULI OYEEEEEEEEEEEEEE HAPA KAZI OYEEEEEEEEEEEEEEEE AHSANTE SANA
@stellaloves98793 жыл бұрын
💔💔💔😭😭
@khadijaomar32995 жыл бұрын
Mwanzo nimecheka bt alipofika kwa rais nimejiskia mnyonge
@halimamshami32795 жыл бұрын
Am watching this as a KENYAN from Qatar, he's such a leader to be followed by example, much respect to your president my Tanzanian neighbours. ..take this president back he deserves you
@hamissahamissa1053 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani baba yetu mtetezi wa wanyongo😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@dennisjuma61243 жыл бұрын
Ooooh my God, TZ you are blessed. Kua na kiongozi mtetezi wa wanyonge sio jambo la kawaida
@mealemalika75655 жыл бұрын
I wish kenya tungekuwa na rais kama Mafuli
@bintysayd17635 жыл бұрын
Ebhana we
@leilainnocent65325 жыл бұрын
Hamia Tanzania uje ujidai na Magufuli wetu.
@nabintukadende23885 жыл бұрын
Ubaba ananitowa machozi. Be blessed Mr President 👏👌🙏🙏 wewe ni Musa wawa Tanzania.
@michelinemapendo66523 жыл бұрын
😭💔Kabisa
@salarytz69115 жыл бұрын
Dad let me call you dad cz we una umri like ma dad congratulate for every thing dad & nlimpa lowasa Leo najutia kura yangu let me love you forever
@rashidathman48315 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulinde rais #JPM
@marymutua57383 жыл бұрын
If its true there is God in heaven, , may you change MAGUFULI into an angel and continue taking care of his Tanzanian people, , 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭rip mtetezi wa wanyonge
@blasidajulius22403 жыл бұрын
Pumzika kwa Aman baba umefanya Mambo meng sana yenye kutia moyo katika hii dunia Mungu akupokee😭😭😭
@elizabethnafunamakhanu89423 жыл бұрын
Our president bobi wine much thanks
@vicentjackson65382 жыл бұрын
Amina
@humbleben25 жыл бұрын
Rais ambaye ni bora Afrika mashariki.... endelea kutetea wanyonge mob love from Kenya
@mohamedmatogoro40673 жыл бұрын
Nimekuja humu baada ya rais wetu kufariki kipenzi Cha wanyonge
@happybigupmarima43983 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 day inauma
@enriquebalome70533 жыл бұрын
😭😭😭
@dennisjuma61243 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@elinahdaudi81955 жыл бұрын
Rais yetu Mungu aendelee kukupigania kwa kazi yako unayofanya
@joycejohn1025 жыл бұрын
Ubatikiwe baba yetu. Na MUNGU akutie nguvu kwemye kazi uliyonayo. KAZI ngumu
@fidesbenard27015 жыл бұрын
Mungu akulinde kiongozi wetu...
@shizaarfred40593 жыл бұрын
Mh mm nimeumia kiasi hik najikuta nawaza kwa nguvu hivi kwa mfano huyu mama na wengine walio Wahi kusaidiwa kwa namna hii sijui huu msiba wameupokeaje
@robertsimba50813 жыл бұрын
Tanzania has been lucky to get good leaders atleast...Kenya I can't speak...tribalism imetumaliza...Rest in peace best president 🇰🇪2021
@sande64105 жыл бұрын
Mwenyezi mungu ambariki mzee MAGUFULI na kizazi kilichomzaa huyu mheshimiwa.
@estheruthnjuguna39305 жыл бұрын
Wish all leader could see this...humble n loving president......+254
@stellaloves98793 жыл бұрын
Kizuri akiishi na Sasa ametuacha 💔💔💔😭😭
@mwanajumaomahundumla65045 жыл бұрын
Nani amekata vitunguu machoni mwangu uwiii Tanzania nchi yangu Magufuli Rais wangu
@haskao775 жыл бұрын
😭😭😭
@oresterhaule26455 жыл бұрын
Magufuli tumwombee Dua
@lucywilson58753 жыл бұрын
Oh! my God i cried , Rest In Peace our Man Of God, Real President!!!!!!!
@gidionseleman73185 жыл бұрын
"When a perfect man shows his perfection in front of those who think he's not perfect".... ##nimeandika
@jackjudy91825 жыл бұрын
Kwakweli Rais wangu anamapungufu yake ila kwenye swala la haki anajitahidi sana Nimefurahi sana alichofanya hakika uyu ni Rais wa wanyonge .I love my country
@mimaakenirram14055 жыл бұрын
masikini me ndomana na mpenda magu mungu akuweke rais wetu
@leokamil20755 жыл бұрын
Dah nimelia sana pole mwanamke mwenzangu dah
@levinanickson65095 жыл бұрын
Mimi mwenyewe nimelia .
@lucykilonzo27495 жыл бұрын
Duuuu aseee mam wwt jmn adi hurum kweli dunia haina hurma yan saivi watu tu naixhi km wanym jmnn
@victoriamwende27283 жыл бұрын
Love this raisi wa wanainji na wakusikiza Kila mwanainchi. Kenya ingekua hivi tugekua mbali.
@mercyjepkosgei82673 жыл бұрын
Wish pia raisi wetu pia afuate huyu raisi magufuli,,,,,, you'll remain in my history
@chrisgraphics.designer42615 жыл бұрын
i have ever see the president like you Gog bless you
@alvismumkaranja33605 жыл бұрын
God not that way you write..
@chrisgraphics.designer42615 жыл бұрын
sorry it,s God, you know we use chines phones
@ameniameni6175 жыл бұрын
Kweli kabisa kunawatu wengi wananyanyasika sauti zao azisikiki
@ceciliakitonga86793 жыл бұрын
Wah. This made me cry. May he rest i9n eternal peace
@ashazaharan17505 жыл бұрын
Nimejikuta nacheka peke yangu pole saana mama.mungu ampe umri mrefu rais wetu
@azeezaa5195 жыл бұрын
Kama mm 😂
@alicejames8933 жыл бұрын
@@azeezaa519 gfds
@alicejames8933 жыл бұрын
@@azeezaa519 ffgfsfh
@alicejames8933 жыл бұрын
@@azeezaa519 lgglkk
@gatekaisrael Жыл бұрын
Uyu ndo rais muzuli mungu akubaliko mnipe like kwawo mnakubali
@changbenjamin43073 жыл бұрын
He was sent from Above ❤️❤️❤️..#RIP😭😭
@lilianodhiambo36943 жыл бұрын
Rest in peace our hero..til we meet again
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
@vicairejeanclaude12953 жыл бұрын
Vraiment le monde n'est pas fait pour les bons,paix à l'âme du président magufuli.
@agrahnams69793 жыл бұрын
May his soul continue resting in peace
@michelinemapendo66523 жыл бұрын
😭😭😭🙏💔💔Watu wako watakimbiliya kwanani eee Mungu 😭 😭
@hamidajuma78045 жыл бұрын
yani Baba yetu Rais wetu kipenzi chetu hakika wewe ni Baba wawanyonge
@charlesfidelis94284 жыл бұрын
Nimekubali sana magufuli ni chuma duu
@mnomahboybright47435 жыл бұрын
Dah Tz bado tunanyanyasana sana aisee haya mambo sjui yataisha lini
@nkundwanayoaziz82145 жыл бұрын
Mungu angetupa magufuli akatutawala Africa zima
@LLL37123 жыл бұрын
Nothing touches the soul of men & God like kindness & fighting for the justice of the weak.
@dianacornely86665 жыл бұрын
Mungu akuongoze na kukupa ujasiri Rais wetu
@rhinakiza3 жыл бұрын
RIP Rain Magufuli I really missed you 💔baba 💔😢
@samwelilaizer8609 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭 Rest in peace Baba wawanyonge Dr John POMBE Magufuli Tutakukumba daima sichoki kusikiliza hotuba zako
@hawahabibu6613 жыл бұрын
Tutapata tena wapi mtu kama ww ni zawad Mungu alitupa na sasa kamchukua😚😚
@nadiashawne62485 жыл бұрын
That was really nice of him....we can see now contry is succeeding
@RD-ml7pi3 жыл бұрын
Dah jaman mungu mpokee mzee wetu umuifadhi sehem salaama ,na mm uyu sijui yuko kwenye ali gan sahv lazima sahv ataishi kwa ofu sanaa 😭😭😭
@parizadraji90694 жыл бұрын
I have ultimate RESPECT FOR HONORABLE MAGUFULI BIG UP!!
@tunemannu5 жыл бұрын
Kenya twamuenzi Sana Rais Magufuli
@khadijaomar32995 жыл бұрын
Kabisa
@hezrongaston49635 жыл бұрын
Maombi yenu nimuhim kwani ana adui wengi sana kutokana na moyo wake wakupenda kufanya haki
Ee Mwenyezi Mungu laiti kungekuwa na uwezekano wa kuongoza miaka 30 Rais wetu Magufuli angetuongoza miaka hiyo Baba Mungu tunaomba mlinde mpe maisha marefu yenye afya na busara
@elizabethnafunamakhanu89423 жыл бұрын
Mtu kama huyo atapatikana wapi Tena jamani Tanzania mumepoteza mtu WA maana sana 😭😭😭lala salama magafuli
@shahamtindo5 жыл бұрын
Dah! Hadi huruma aisee!
@nasororaamadhani44703 жыл бұрын
Mungu akulaze mahala pema peponi rais wetu
@chaeyoungpark15423 жыл бұрын
Daaah tanzaniaaa tumekwishaa tume poteza kiongozi wa wanyongee😭😭
@rsm33673 жыл бұрын
Inauma sana da
@wahiduitsverycommentmane54213 жыл бұрын
Wawanyonge wawanyonge atunae teena sijui wanyonge watakimbilia wapi 😭😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔💔 r.i.p magufuli wetu hakika uliacha alama ambayo haita futika kwenye nyoyo za binadamu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤦
@HappynessJaphethАй бұрын
Jaman machozi yananitoka
@faidhamyovela1795 жыл бұрын
🤦🤦🤦🤦🤦🤦 Magu anakazi sana jamani 🤦🤦🤦
@rosemoyo30195 жыл бұрын
ast Raisi kwa kujali wanawake weng wanateseka sana du had machoz yamenitoka hata wakuu wa mikoa wote watenge muda wa kuwasikiliza wanawake
@nataliaassenga80985 жыл бұрын
Baba nakuelewa sana kwa kweli hivi ulikuwaga wapi eee mtetezi? Hakuna raisi yeyote niliyewahi kumuona akiongea Na wananchi live kama wewe baba mungu akupiganie usiku na mchana anima 👊👊👍👍👍👏👏👏
@hamissahamissa1053 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭baba baba humeondoka wakati bado tunakuitaji baba 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@mamasam78082 жыл бұрын
MwenyeziMungu akupokee beloved president we miss you so much Daddy feeling cry all the time
@mashanzovu42343 жыл бұрын
He was a man who sailed against the waves of the system of oppressors. In his journey he made so many enemies because of his love fro people and fear of God. RIP JPM
@andreashayo62665 жыл бұрын
asante rais wa nchi yangu God bless you
@adelaidemghase76005 жыл бұрын
Mungu awabariki kazi za mikono yako. Nikawaza nakuwazua kuwa kama huyo mama mbele ya Mkuu wa Nchi anazuiwa namna hiyo je akiwa huko peke yake inakuwaje? Jamani kunauonevu mkubwa sana na hatujui kabisa. Si watafute scanner za kumchunguza mtu kama ana kitu kibaya watakiona kuliko hiyo kuvutana naye namna hiyo😭
@loveme60565 жыл бұрын
Mungu Azidi Kukubariki Rais wetu
@ceciliaonyango3015 жыл бұрын
Hadi nimelia asante Mungu akupe maisha marefu raisi wetu
@shabanhafidhu19515 жыл бұрын
Daah.! Nothing to say. God bless you
@ibrahimsimiyuwafula54873 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Magufli Baba Mungu akuchukuwe😭😭😭😭
@kassimumikidadi74965 жыл бұрын
Mungu akusimamie Mh.Rais Magufuri..... Kipindi cha nyuma sikuwahi kuwa mpenz wa siasa lakni umenifanya nikipende chama cha ccm, na sera zake za ujenz wa Taifa...kutokana na moyo wako wa kipekee wa huruma.....Ulichokifanya kwa huyu mama Mungu naamini Mungu hatokuacha kama ulivyo sasa...atakupa viwango vya juu zaidi ulimwenguni aamin. Kwakipindi hichi ambacho wale wanachuo waliohamishwa UDOM kuja vyuo vya kati wote wameshamaliza mitihani yao ya diploma ningetamani muheshimiwa Rais, katika Mkutano wako ufuatao ulizungumzie na hili maana na mimi ni mmoja wa wahusika hao....Kwasasa nimeamini baadhi ya kauli zinazosema kwamba usipoelewa leo utaelewa kesho.....Mwanzoni kitendo cha kuondoka UDOM niliona kama uonevu hasa ukizingatia maneno ya uchochezi wa baadhi ya wanasiasa lakini kiukweli ukweli na uhalisia nimekuja kuuona mwishoni kabisa mwa hii course yetu....Kimsingi waliostahili kuitwa special diploma ni wale waliochagilowa kusomea diploma ya sekondari maana kule ndio kuna masomo ya sayansi kama vile BAIOLOGY,CHEMISTRY,PHYSICS NA MATHEMATICS huku kwetu shule za Msingi tunaamini Mwalimu anauwezo wa kufundisha somo hata zaidi ya moja ili kutimiza wajibu wa mwanafunzi na kumpa haki yake ya kufundishwa na kupata Elimu hasa kwetu sisi walimu wa diploma. Sisi wa msingi yamkini ni siasa tu na yamkini watu walifanya hilba za kupiga pesa tu.....walipaswa kutupeleka mahali husika kwakuwa nasisi tulikua ni miongoni mwa waliofaulu kuanzia GPA 2.0,GPA 1.9 na kuendelea.......kimsingi hao ndio wametupotezea mwelekeo na muda wetu lakini kwa huruma wako Mh.Rais umeona bora ukubali lawama lakin utafute namna ya kutusaidia ili tufikie lengo letu salama.....Tunashukuru tumefikia hatima yetu salama...kwa uvumilivu na unyenyekevu wa hali ya juu.....na uzalendo mkubwa sana.....haijalishi ni miaka mingapi imepita tunahangaika na hii diploma maana tangu tumalize kidato cha nne 2014 mpaka sasa ni miaka mingi sana imepita bado tunakomaa na diploma tu....ila naamini kukaa miaka mitatu kusomea hii diploma imetufanya tumeiva ipasavyo na tunautayari wa dhati wa kuendana na kauli mbiu yako Mh.Rais ya HAPA KAZI TU tupo tayari kupiga kazi tusaidie Wadogo zetu ambao nao wanamalengo yao na wanahitaji kuyatimiza na lakini pia tusaidie Taifa kupata wasomi wa kutosha sisi kama walimu....Tunaamini kama umeweza kutuzingatia ukatusimamia mpka tumeikamilisha course hii basi utaendelea kutuzingatia hata katika ajira za 2018-2019 ili kwa hari tunayotoka nayo vyuoni sasa tuende tukaionyeshe kwenye vituo vya kazi bila kupumzika bila kupoa.....KAULI MBIU YETU SISI KAMA VIJANA WAKO WA TAIFA HILI.....AJIRA NI ZETU NA MAZINGIRA NI YETU.....Tukiwa tunamaanisha kuwa kama tunazitaka ajira basi tunakubaliana hata na mazingira yoyote ambayo ajira hizo zitaelekeza tukapige kazi. Naomba ujumbe huu umfikie Mh.Rais maana nimuhim sana kuusoma kama ulivyo na sio kuhadithiwa. Asante, By MWALIMU TARAJALI, KASSIMU MWINYI MIKIDADI...Kutoka chuo cha ualimu Marangu.... Kada wa ccm.
@wazirisimon45025 жыл бұрын
Mungu akulinde bba rais
@hijahsaidy15623 жыл бұрын
Mungu atakulipa raisi magufuli
@johnpascal14645 жыл бұрын
Mungu akubariki rais uliochaguliwa na Mungu
@nasryathabit68635 жыл бұрын
magufuli oyeeeeeeeeee😘😘😘😘
@alimaselemani41375 жыл бұрын
Mungu amlinde rais wetu na ampe urasiri maisha yake yote
@stellaloves98793 жыл бұрын
💔💔💔😭
@thadeynyenza49485 жыл бұрын
Umefanya maamuzi ya kiongozi bora! Hutasahaurika Rais wetu. Be blessed President.
@fatmatillar19043 жыл бұрын
Daaah mungu akulaze pema
@annastaciarhoda47833 жыл бұрын
Eee Mungu sina la kusema ila kushukuru,aki mlipoteza kiongozi,oooh God ulileta kiongozi mzuri kiukweli,na umemtwaa yote twashukuru,wacha waliobaki waige mfano wako,poleni sana majirani zetu
@mariampatrick14195 жыл бұрын
Baba wewe ni Baba wa wanyonge hakika umeniliza jamani Mungu akubariki kwa moyo wa Upendo.....
@derkelvin4913 жыл бұрын
Tulikupenda Mungu ameupenda zaidi lala salama
@zaituniamiri81813 жыл бұрын
R.IP mtetezi wanyongeee tunakulilia sisi wanyongeee mungu mpokeee
@hamidsoud24365 жыл бұрын
Mola akuzidishie roho ya Iman Rais wa Tanzania na akupe afya na umri mrefu