Asante Muheshimiwa raisi kwa kutetea wakulima. Wameteseka sana. Including my mom.
@solomonmpuluma2824 жыл бұрын
Nakupenda sana Rais wangu. Wee ni gentleman!!
@ashamwandu37814 жыл бұрын
Kwakweli Diwani nimekuufagilia sana,uko bzr mno Hongera sana kijana.
@elizachota63614 жыл бұрын
Kwann umesema ivo kaka 🤔
@dottnatt71104 жыл бұрын
Niwani wa umeongea vtu pwenti
@lucykanuti61384 жыл бұрын
Baba Raisi watu Mungu azidi kukupingania pia Diwani uko vizuli sana
@hamadizuberi62954 жыл бұрын
Gonga like kama unaamini hiki kiumbe hakijawai tokea Tz baada ya baba WA Taifa Nyerere...
@nusurakajubu87854 жыл бұрын
✋
@zulfitanzaniya26964 жыл бұрын
@@nusurakajubu8785 ooò
@dottnatt71104 жыл бұрын
🙌🙌
@janethjustin52564 жыл бұрын
Kwakweli hakijawahi kutokea proud to hv a president like Magufuli 👏👏😍
@ladymashaallahilikeuaadvis9974 жыл бұрын
Natamani ungekuwa raisi wetu wa Kenya ,hongera sana mweshimiwa raisi magufuli
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
hata Kenyatta ni mzuri mno...
@helgaaporinaly28114 жыл бұрын
Asante sana Rais wetu. Ulichomfanyia huyu mama Mungu akubariki sana
@winpaulkijazi8794 жыл бұрын
Mungu akubariki Kamanda wetu kweli huyu ni rais wa wanyonge kwa mengi uliyofanya MUNGU AKUBARIKI SANA BABA
@neemamahusho61934 жыл бұрын
hongera sana kwa ulicho kifanya na mungu azidi kukupa maisha malef magufuli raisi Wawa nyonge
@jacobmsola44914 жыл бұрын
Sisi wanyonge tutakuonbea kila siku mpk mwisho wa maisha yetu.
@farajisureman99254 жыл бұрын
Diwani huyu nae kwakweli hoja zake amezileta vizuri sana. Basi sina Mamlaka lakini ningekuwa nayo basi ningekutaftia sehemu nzuri sana za kuwasilisha kero ili zitatuliwe.Jipigie makofi Mh. Diwani wao
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Sanaaaaaaaaa
@mkumbokibona57664 жыл бұрын
Hongeraunaweza
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
safi Faraji
@malikamtajir89354 жыл бұрын
Mashallah rahisi magufuli wish ungekua w kenya yani wananchi walio free n rahisi.Allah akuzidishie roho hio n akujaalie maisha marefu
@paulkemei66264 жыл бұрын
Nami natamani angekuwa wetu hapa Kenya
@bintysaid71774 жыл бұрын
Kenya balaa ukijitia kiherehere kutaka kumfikia raisi wapigwa risasi ukufilie mbali😆😆😆😆
@mamymdogomamy36704 жыл бұрын
@@bintysaid7177 bwanah juzi tuu jama aliumizwa jicho na sehemu za siri kisa masikini amendika picha za Rais kama zawadi, 🙆♀️🙆♀️Kenya yetu buree sana
@bintysaid71774 жыл бұрын
@@mamymdogomamy3670 ndio apo kwetu raisi ni wa wakubwa tu
@happynespanga35194 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Dady endelea kuongoza uko vzr sana
@angelmaleshi67624 жыл бұрын
Nakupenda sana rais Wang ,
@Jamillahs14 жыл бұрын
Mungu akulinde Mh Magufuli na akupe afya na nguvu uzidi kusaidia wanyonge
@ashunebebi95184 жыл бұрын
Well done magufuli mungu akuzidishie
@neemathomas31634 жыл бұрын
Diwani uko vizuriii...Next DC huyooo ameongea kwa kujiamin namuona mbaliiii
@paulkemei66264 жыл бұрын
Kijana jasiri huyu viongosi shupavu hawa
@neemathomas31634 жыл бұрын
@@paulkemei6626 sanaa amejua kuwasemea wananchi wake vizuri bila kutetemaaa huo ndo uongozi
@paulkemei66264 жыл бұрын
@@neemathomas3163 Kabisaa,mbaka natamani kuja kule but very far from Kenya to tz
@franklungu79824 жыл бұрын
Nime mis maneno yako Kama nakuona vile
@paulkemei66264 жыл бұрын
Hujambo
@yusufhassanfu40124 жыл бұрын
Mwenyezi Ali hifadhi. Rais ma ajabu, mtajua badai. Uyu ni baraka kwenu.
@evanstweve77204 жыл бұрын
hakika ni Raisi wa pekee kwenye historia ya viongozi wa taifa letu, hongera sana mh Dr JPM
@samwelbajuta34224 жыл бұрын
Jmn kweli nimemkubali magufuli hongera San rais wetu wa jamhuri wa muungano wa tanzania kuanzia Leo mm in ccm no chadema
@cecygeorge44434 жыл бұрын
Mungu akulinde sana raisi
@cecygeorge44434 жыл бұрын
Mungu akulinde sana raisi
@rashidsaidi47194 жыл бұрын
J.P Magufuli nakupigia salute
@ethanadam99554 жыл бұрын
Mungu ambariki sana Rais wetu
@japhetmombia4 жыл бұрын
Mh.Diwani inaonyesha yuko vzr
@mzeemombasa.34564 жыл бұрын
Ama kweli kiswahili ni lugha yawastaarabu. Tanzania kiongozi munae nazipenda hekima zake kweli kweli.
@chunanachu25294 жыл бұрын
Magufuli babalao
@husnamanase39434 жыл бұрын
Eshimayoko baba nakuomba uje anauku unguja wilaya ya kusini michamvi tupo wananchiwako tunaambiwa wakuja tunanunu maeneo kihaki tunanyimwa. Kisa niwakuja
@jonathanmchami40584 жыл бұрын
Pamoja sana baba wawanyonge
@sarahlydia26354 жыл бұрын
True
@mimaakenirram14054 жыл бұрын
mungu akuzidishie rais wa wanyonge unamoyo wa pekee sana
@joycekessy86354 жыл бұрын
nakupongeza Rais
@user-dx5lz6du4y4 жыл бұрын
Uyu rais ana akili kweli mashallah
@yusuphtwaha83864 жыл бұрын
Kama umesikia kaweke ndan ukagaregare na mshikaji wako nipe like
@zumbeshauri81144 жыл бұрын
wewe raisi wewe raisi wewe jamani hakika mungu atakusaidia maisha marefu sana
@shammwaki34114 жыл бұрын
Rais uko vizuri
@hamedabashir94 жыл бұрын
Nampenda sn huyu baba wa taifa❤️❤️❤️Allah akusimamie inshallah
@user-dx5lz6du4y4 жыл бұрын
Hongera rais Wa Tanzania upo vzr
@yahayamapato3004 жыл бұрын
Najiskia vizur kuwa narais maguful
@mbonijabut14054 жыл бұрын
Safiiiiiiiii
@stevengracphord9534 жыл бұрын
Rais nakupenda sana
@allyfutto87634 жыл бұрын
Amakweli Magufuli ni Amirijeshi anayehitajika kulinusuru Taifa la Tanzania na Afrika kwa ujumla Mungu amuongoze vyema Amin.
@kevinokutoyi2034 жыл бұрын
Uhuru should learn from Magufuli
@regimentish4 жыл бұрын
Uhuru has nothing to offer....
@batuliwanjallah54824 жыл бұрын
Am in 🇰🇪 but Magufuli is my President. Namtambua Sana.
@rizickyyona62294 жыл бұрын
Tuache chuki kwel rais anajitaidi hata kama anadoa ila anajitaidi.ninani anapoteza mda kusikiliza watu ingekuwa mwingine angeka ikulu kula ic tu
@blandinamwarabu50254 жыл бұрын
Watu unafikiri wana chuki basi sio hivyo bali wana ubinafsi, ukabila na uroho wa madaraka. Anayoyafanya Mgufuli mwenye akili timamu asiye na uroho wa madaraka hawezi kupinga. Hawamtaki kwa kuwa kawazibia riski ili watu wanufaike wote. Watu wana ubinafsi.
@zumbeshauri81144 жыл бұрын
riziki yona kabisa ndugu yangu watu tuache chuki hakika huyu mzee ni waaina yake
@hellengerald81064 жыл бұрын
Aje na Kigoma jamani tunaonewa sana.
@magrethjohn85764 жыл бұрын
riziki yona ,Hakuna mkamilifu chini ya jua hakuna.
@omarykinyaga14074 жыл бұрын
Aruhusu watu wengine wafanye siasa mtamuona hana lolote. Anajua watu wa upinzania wana akili kuliko yeye. Magufuli huwezi mfananisha na Mbatia hata siku moja. Hana lolote huyu.
@Kipistatu4 жыл бұрын
Raisi huyu hajawah tokea hii ni mara ya mwanzo bhn dah raha sana huyu akae miaka 15 ya urais jmn mashallah ,,.😅😅nampenda sn anaongea point ..
@farajalaizer46694 жыл бұрын
Hata 50 akiweza atawale tu
@ahdahmed83834 жыл бұрын
Maagufuri oyeeee nakupenda mpaka naumwa mungu akulinde
@janethmbogela97244 жыл бұрын
MUNGU akubariki sana baba.
@kingjulius82644 жыл бұрын
My president 💪
@bobwillz66514 жыл бұрын
Magu raisi wa kusema na kutenda nakupenda bure magu
@emmanuelmussa83314 жыл бұрын
Huku Zanzibar mchanga umezuiwa tangu mwaka jana!!! Wananchi hawana pa kusemea utafikiri zanzibar hakuna uongozi!! Smh 🤦♂️
@Aviero_074 жыл бұрын
Afanye aje maguuuu
@zulfamohamed45494 жыл бұрын
zanzibar sikuna kiongoz pia kwanini asisimame imara kutetea wanamchi
@barakajulius71474 жыл бұрын
Napenda mkuu wetu anavotuamasisha wananch kulima nakufanya kazi kwa bidii,
@furahakonde62594 жыл бұрын
I love you magufuli
@farajalaizer46694 жыл бұрын
Genius, Raisi wa wanyonge
@hassankurran68304 жыл бұрын
Congratulation President Magufuli.Your are very funy.Amakula mahindi mengi.Best president in Africa.Umeleta Heshima kwa watu wa chini.Usalama umeboreka vibaka wamepungua.Hakuna alokuwa above the law.Tumbua Baba ulete heshima.
@ZainabZainab-tv9ir4 жыл бұрын
Allah akbaru ongerasan kwakauliyak nzuri muheshimiwa wakupigiwa magoti nimungu kbs 🇧🇮
@zabronsimfukwe4 жыл бұрын
Gonga like kama umeona gwanda kwa mwamba wa Tz na Africa🙌🙌🙌
@RomwardWM4 жыл бұрын
😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂Mil.1 daaah kazi nzuri Magufuli
@rabiamakame66384 жыл бұрын
yaan mm namkubali rais had machozi yananitok uish miaka mia
@merveileprah84904 жыл бұрын
😭😭😭😭😭iyi inanitowa machozi iwish drc congo tuwe Na raisi Kama uyu mzee Tanzania Mungu anawapendeleye Sana
@mamanbinwashadrack22574 жыл бұрын
😭😭😭😢😢, huruma kweli Congo
@abuuhudhaify51954 жыл бұрын
duh poln
@esterjema24844 жыл бұрын
Poleni sana
@esterjema24844 жыл бұрын
Poleni sana
@saltrecyjohn76964 жыл бұрын
Nani kasikia we n diwani wa chama gani gonga like
@raymondamedeus13984 жыл бұрын
...oya kwa rais huyu lazma tutoboeeee gonga like mtu asikupangie bei kwan alikusaidia kulimaaaaa.....
@deogratiusgideon86734 жыл бұрын
Mungu akubariki Baba Magufuli🙏🙏
@justermutayoba25214 жыл бұрын
Yahani kula yangu niliyompigia raisi magufuri haikwenda bure
@aminasalum19544 жыл бұрын
Huyu diwan jmn anaakili
@masungakibinza13124 жыл бұрын
Jembe la Watanzania JPM mtambo Mkubwa
@amirysaimon94884 жыл бұрын
Masunga Kibinza babaaaaaa
@mussamussa91744 жыл бұрын
Halafu kuna wasenge wanamponda raisi wetu Magufuli. Hebu tuachen na kiongoz wetu
@aminanoor56374 жыл бұрын
mussa mussa waambie
@jovovichmedia94244 жыл бұрын
Tumia lugha nzuri kaka
@aminahassan5614 жыл бұрын
Kabisaa mussa
@irenemwanaa81604 жыл бұрын
Atabaki kua jembe Rais wetu!
@nusurakajubu87854 жыл бұрын
Ndug hiyo mpaka iwepo watu wamemponda Allah na mtume wake sembuse yy watu wanakataa kusujudia Allah sembuse binadamu na binadamu wengi neno shukuran ni mtihan kwao kabisa ila uncle magu mm namkubali
@farajisureman99254 жыл бұрын
Mh.Rais unafaa kwa maamuzi kwakweli. Kituo cha Afya hapo hapo. Safi sana. Kazi kwa Mh. Jaffo na Mh. Ummy (Kumradhi kama majina nitakuwa nimeyakosea) Watu wapate huduma.
@raphaelmugho94664 жыл бұрын
Huyu magufuli ako na roho nzuri sana...
@salmadzame34654 жыл бұрын
Mungu akubariki maghufuli
@emmymgotta88304 жыл бұрын
DIWANI YUKO VIZURI KWELIKWELI.UKO VIZURI
@mcdaido67754 жыл бұрын
Huku kenya twamuitaji rais kama jpm
@luciaalfred62134 жыл бұрын
Wanaume wamezidi sanaa hata wanawake mlio olewa na mna vibalua vyenu serikalini munaishi kwa shida Sana majukumu yote mwaachiwa wakati inawezekana wote mnakazi,,,jamani wanawake tupambane tupige kazi heshima kazi si mwanaume Hawa tabiliki kabisa inauma sana ,na hakika baadhi ya wanaume hakuka mwawatesa wazazi wenu mkeo ni Kama mzazi kazaa wanao duuuh
@alubetosadock84744 жыл бұрын
Lucia Alfred IP mag noma
@paulkemei66264 жыл бұрын
Umejuaje?
@gedionelius554 жыл бұрын
magufuli,, MUNGU Akubariki Sana Kwa Ujumbe Mzuri Wa Mwisho Kwa Mama,,,,,,,
@sarahloveyouolivermtukidzi67044 жыл бұрын
Ww kweli rais wa wanyonge sna
@mangapmanga15394 жыл бұрын
Duuuh nimefurah sana, nimesoma hapo sekondari.
@antoinebakevya89114 жыл бұрын
Rais wote wangekuwa Dr John POMBE MAGUFULI kweli kweli tungepumzika hata kidogo
@nuruabraham37694 жыл бұрын
Hongera sana mwenye nchi
@RomwardWM4 жыл бұрын
Huyu mama kangarooo kwa kuongea 😂😂 daaah Magufuli una kazi sana hivi vilio vyote ni njaa 😂 CCM usifikiri hakuna mafisadi ... Mhe.huyo mama anataka pesa tu 😂😂😂
@franklungu79824 жыл бұрын
Nimekusoma
@magefrancis864 жыл бұрын
Lia na wewe upewe pesa kama rahisi kihivyo.
@boniphacetv7394 жыл бұрын
hata nyerere hakufanya haya japo alitukomboa kwa wakoloni
@barakajulius71474 жыл бұрын
Kweli nakuunga mkono,
@frankkiondo42274 жыл бұрын
Hapana nyerere ametuwekea misingi imara kwa Kila kabira liweze kutawala
@mtanzaniamzalendo70014 жыл бұрын
Diwani Dumila yupo! Msikosee awe hiyo huyo anafaa Sanaa Anajua kujieleza vzr
@esperancenathali4 жыл бұрын
Ongera kwakunenepa kwakutumia mahindi kila siku kitambi kimemtambulisha jamani 🤣🤣