CUBA HAWAMTAKI MAREKANI WANATAKA AONDOE NYAMBIZI YAKE WAO WAPO NA PUTIN

  Рет қаралды 13,885

UKUU WA MWAFRIKA (IBM)

UKUU WA MWAFRIKA (IBM)

Ай бұрын

Mpenzi mtazamaji wa IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwaafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.

Пікірлер: 34
@saidgawawa8519
@saidgawawa8519 Ай бұрын
Mkuu huwa nakuelewa Sana jinsi unavyochambuwa hizi tafaruki za kivita na kisiasa vinavyo ulimwenguni. Hongera Sana kwa kutuelimisha, kutufunza na pia kutupa historia mbali mbali ulimwenguni. Tunakupenda Sana, ✌️✌️👍👍
@Kalunirashidi
@Kalunirashidi 26 күн бұрын
😊😊
@francismuhuga8158
@francismuhuga8158 Ай бұрын
Hydrogen bombs zinamilikiwa na Mrusi husisahau na ndilo bom hatari na haribifu kuliko
@lucasbatano333
@lucasbatano333 Ай бұрын
Marekani watu wameshamchoka
@NakembetwaKitundu-tn7xx
@NakembetwaKitundu-tn7xx Ай бұрын
Nyambiz ya marekan inaitwa herena na chuma ya urusi inaitwa black sea hata kama ni wewe ungeikubali ipi?
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g Ай бұрын
Herena ya nyoko
@ALLYLUKONGE-ve2ci
@ALLYLUKONGE-ve2ci Ай бұрын
Mr Putin huraaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@songombingo9318
@songombingo9318 Ай бұрын
Nakubali bro uko sawa kaka mwakilembe.#songombingo toka ukunda diani kenya❤
@MahdouMomba
@MahdouMomba 18 күн бұрын
aiseeee, nakubali sana uchambuzi wako Mwalimu
@suleim505
@suleim505 Ай бұрын
Umeeleweka vizuri san mchambuzi.
@peterchilumba739
@peterchilumba739 Ай бұрын
Mwalimu makini kabisa
@user-nm2db7gg2x
@user-nm2db7gg2x Ай бұрын
Nice
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk Ай бұрын
Sana wakuu tupo pamoja
@TwahaAliMtumbi
@TwahaAliMtumbi Ай бұрын
Mwalimu Mola akulinde. Mtumbi kutoka Ujerumani
@hbdina
@hbdina Ай бұрын
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇷🇺🇷🇺🇷🇺Serikali ya Tanzania huu ndio wakati wa kuweka maliasili/uchumi wetu mikononi mwa wa Tanzania ili tuwaaachie vizazi vyetu utamaduni huo Wawekezaji wa nje tuwe makini kwenye mikataba tunachoitaji ni ujuzi was tu hasa kwenye viwanda kwa hiya lazima wafanye kazi na Watanzania ili tuwaibie/tujifunze ndivyo China 🇨🇳 inavyofanya.
@joycelinelyimo-fenske8745
@joycelinelyimo-fenske8745 Ай бұрын
Ni kweli kabisa. Wachina walianza tu hivi kiutani utani. Chini chini, walivyoibuka kila nchi zinatapatapa. Nchi tajiri hata maskini tunahaha. Matajiri wanashangaa huyu kamikaze hapa@?, si alikuwa maskini mpaka sie tulikuwa tunamsaidia!!. Sisi .maskini tunahaha atuhurumie na kusahau madhaifu yetu ili tuendelee kunufaika kutoka CHINA 🇨🇳. Nawaonea huruma sana WAKENYA, kweli kiongozi wao kawaingiza mkenge. Duuuhh!!!
@ammaherman3391
@ammaherman3391 Ай бұрын
😂😂😂unaongelea Tanzania ipi mzee.
@jeryjery8566
@jeryjery8566 11 күн бұрын
Nyie Bora muolewe tu kichwani hoples kbs
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk Ай бұрын
🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏
@HappyAlbatross-us3bg
@HappyAlbatross-us3bg Ай бұрын
Ulimwengu WA sasa wameshamchoka muamerica
@JuliusKiria-j7i
@JuliusKiria-j7i 28 күн бұрын
Unachumbua vizur haya ma swala ya kisiasa na vita ila swali langu n kwa nn unaegemea sana upande wa rusia,North corea, kiufupi mataifa yaliopo kinyume na marekan
@Kalunirashidi
@Kalunirashidi 26 күн бұрын
😊
@KilimbikeHaji-iy2fm
@KilimbikeHaji-iy2fm Ай бұрын
Mmarekani nisawa na mashoga tu hampigani Hadi mungane mrusi ndio kidume Haitaji msada wowote
@RajabuHussein-to7jz
@RajabuHussein-to7jz Ай бұрын
Safiiiiiiii Acha uruss inyuke hao mashoga
@jotafungo4622
@jotafungo4622 Ай бұрын
Maandalizi ya vita ya tatu ya dunia yameshaanza ktk jimbo la Idaho nchini USA
@Nobengaphotographer
@Nobengaphotographer Ай бұрын
Apo kwenye bangi bana mkuuu usiiweke 😂😂😂
@pastorypatrick8140
@pastorypatrick8140 29 күн бұрын
Ety mpaka uingie mbinguni kwa mungu 😂😂😂
@ameirkhalid1549
@ameirkhalid1549 Ай бұрын
Mwalimu taarifa za ndugu wanao ishi Uk,wanasema kuanzia sasa Taa za bara barani na mitaani zitazimwa saa nne usiku ili kusave pesa na kupeleka ukrane ,Hali hii inaonesha kias gani Putin alivyo ifilisi Ulaya.
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 Ай бұрын
Nawapata kutoka sweden😂😂
@geoffreynyabigo7565
@geoffreynyabigo7565 Ай бұрын
Kaka tukiongea Wacha matuzi kw viongozi,
@jeryjery8566
@jeryjery8566 11 күн бұрын
Chanel ya vichaa 🤣 elezen kitu Kama mmeenda shule mnachekacheka ka shoga
@hunstonjuliusmkonyionlinetv
@hunstonjuliusmkonyionlinetv Ай бұрын
Huyu jamaa ni muongo kiwango cha lami
@suleim505
@suleim505 Ай бұрын
Mwenye macho haambiwi tazama: nawewe usiwe kipofu kiwangu cha flaiova 🤠
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 165 МЛН
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 7 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 7 МЛН
Happy 4th of July 😂
00:12
Alyssa's Ways
Рет қаралды 63 МЛН
IFAHAMU PARADISO YA DUNIA USWIZI
48:46
SAFIRI DUNIA!
Рет қаралды 589
PUTIN ASAINI MKATABA WA KUISHUGHULIKIA MAREKANI KWENYE UKANDA WA BAHARI
10:04
MAREKANI KAPELEKA NYAMBIZI GUANTANAMO BAY BAADA YA URUSI KUPELEKA CUBA
9:47
UKUU WA MWAFRIKA (IBM)
Рет қаралды 9 М.
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 165 МЛН