DAKIKA 30 NZITO ZA MKURUGENZI WA MATI SUPER BRANDS LTD NA FM MANYARA.

  Рет қаралды 61,698

Mati Products

Mati Products

Жыл бұрын

Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Mati Super Brands Ltd David Mulokozi, amefanya mahojiano maalum na kituo cha radio cha FM Manyara kilichopo mjini Babati.
Katika mahojiano hayo mambo mbalimbali yamezungumzwa na kujadiliwa kwa kina, hasa yale ya kuzifungua fursa mbalimbali, kuwatia moyo na kuwajenga vijana kiuchumi.
#Mati #FmManyara

Пікірлер: 45
@DpN-rk8xz
@DpN-rk8xz
Nipenda sana hii kushirikiana watu mawazo ili wote mfaidike nitwatafuta kinywaji kunywa nvhi ni kizuri kiweza kupatikana hapo tanzania mnaweza kuwa no one nikija nitakuja hicho kinywaji aunaeeza kutuma mjaribu ii muweza kufikiria nina imani msaada watu kufanya pamoja ndio maana mafanikio makubwa wengine wachoyo kutumia watu good det mind Mungu hawabariki sana sana tiumuhunge mkono watanzania wote
@jacksonkabaata6011
@jacksonkabaata6011
Mungu akufanye kuwa tajiri zaid ya hapo MULOKOZI much respect brother 🙏
@NakembetwaKitundu-tn7xx
@NakembetwaKitundu-tn7xx 7 сағат бұрын
Mb hazijaenda bure aaiissee,Big up sana Mr Mulokozi
@user-un3np6ie9k
@user-un3np6ie9k
Huyu mtangazaji ni kichwa sana, ametulia na anauliza maswali yenye tija sana.
@user-yz2it2qm3p
@user-yz2it2qm3p
Mlokozi mm mama kutoka Mtwara,nafuatia sana mazungumzo yako nakuelewa sana mm Mungu yuko mikononii mwako,akupe maisha marefu,
@user-iu8oj5gb6y
@user-iu8oj5gb6y
Mungu azidi kukubariki sana mkurugezi wetu
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475
Mulokozi ni genius
@rasvegas8991
@rasvegas8991
Dada ana utulivuuu wakuulizwaa maswalii atafika mbaliii
@Shabbaentertainmet9382
@Shabbaentertainmet9382 Жыл бұрын
Pigania uko vizuri MTU Wangu
@mzidalifazaid4389
@mzidalifazaid4389 Жыл бұрын
Mambo Ni moto
@irineadisa7289
@irineadisa7289
Have Learned alot from him at the age of 45 l'll do better from now,thank you soo much Mulokozi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@badmanno.1650
@badmanno.1650
Nafurahi sana nikiona mtu anatumia mkono wa shoto.. Mulokozi ni Mashoto mwenzangu.
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662
Namuelewa sana uyu mwamba
@user-eb8om4ur6h
@user-eb8om4ur6h
Tunashukuru kwa Elimu nzuri ya ujasiriamali
@charlesmarwa6513
@charlesmarwa6513
Mbarikiwe Sana niokota pointi kadhaa
@DpN-rk8xz
@DpN-rk8xz
Hongera sana Ubarikiwe sana
@victorsamaytu3487
@victorsamaytu3487
David uko vzr, wish ufungue hospitali uwatibu watu afya zao kama ulivyowatibu kwenye vinywaji, Mungu akulinde ktk biashara yako
@stellapaul4844
@stellapaul4844
Hongera kaka kwa kutuelimisha kibiashara
@jamesmassamakeri2418
@jamesmassamakeri2418
Asante boss
@stellapaul4844
@stellapaul4844
Hakika ni kweli
BOMOA BOMOA  YAZUA VURUGU ZANZIBAR
8:03
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 3,5 М.
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН
SSB FAHARI YETU   BAKHRESA GROUP   EPISODE 01
26:13
Bakhresa Group
Рет қаралды 16 М.
Natengeneza Millioni Ishirini kwa Wiki - Kyando
5:35
TAHA ONLINE TV
Рет қаралды 37 М.
SIRI YA KUMILIKI KIWANDA KWA MTAJI WA KUANZIA MILIONI SITA
18:20
TanTrade Tanzania
Рет қаралды 25 М.
SIRI YA MAKONDA NA UONGOZI WAKE ARUSHA, SABABU YA WATU KUMTAKA
12:38