Kutoka UMASKINI wa kutupwa hadi kumiliki KAMPUNI kubwa ya FURNITURE, UPVC Windows, hii itakushangaza

  Рет қаралды 84,737

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Жыл бұрын

Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Пікірлер: 269
@africanproudly4004
@africanproudly4004 Жыл бұрын
Kumwangalia tu huyu kaka yuko humble ❤
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Жыл бұрын
Kabisa..very humble
@mlangakiaratu9292
@mlangakiaratu9292 Жыл бұрын
Sns unachonifuraishaga uwa hukataz watu Ku mention redio station or taasisi unazo shindana nazo katika digital platform very professional Una kitu utafika mbali
@AminaOmary-cn5vb
@AminaOmary-cn5vb 10 ай бұрын
Kitu nilichokipenda kwa huyu kaka .anashukurani sana.imagine watu waliomsaidia anawataja na majina na kuwashukuru kabisa.means anawakumbuka mno
@musajack7276
@musajack7276 Жыл бұрын
Wajomba wanatubebaga sana kwa kweli
@shaababy2570
@shaababy2570 Жыл бұрын
Huyu mkaka nimempenda kila kitu tuna shukuru Mungu
@upendojoseph7912
@upendojoseph7912 11 ай бұрын
So touched
@mumberemoise9323
@mumberemoise9323 Жыл бұрын
waana s.n.s wa Congo mtie like zenu hapa 🇨🇩🇨🇩
@economistsarafina8085
@economistsarafina8085 Жыл бұрын
Very humble guy,Mungu akufanikishe zaidi, SNS you are the best👍siku moja na mimi nitahojiwa hapa
@user-rv7zt6tj3d
@user-rv7zt6tj3d Жыл бұрын
Honger kwa hatua bila kukata tamaa, honger kwa kuwa na ndg shangaz mamndg na mjomb wenye mioyo mizur, hata kama hawana kit ila wanakupa moyo na muongozo mzuri wengn hao watu mioy yao mibaya, mtt wa ndg yao lkn utataeswa mpk uhisi dunia hiafai, matusi na masimango yanayokatisha tamaa. Pongezi nying san ziende kwa hao ndugu zako kuna namna wamekutia moyo, wamekushika mkono na hawakuwa na kinyongo. Mama ni shujaa siku zote❤. Unaonekana haukuwa kijana mhuni mtukutu, yaan nidhamu pia inaweza kuwa ni njia ya mafanikio kama hamna nidham huwez pata watu sahihi ktk safari ya mafanikio vijana mchukue hiyo. Sio mnalia pesa hamna mmekaa tu pesa inatafutwa kwa nidhamu na uchapakazi na kutaka kujua vitu mbalimbali kutokuwa muoga wa kujifunza na kuthubutu.
@severinmbanza4950
@severinmbanza4950 Жыл бұрын
Mungu ni mwema,kijana wa mwaka 1992 kupitia mambo mengi kiasi hiki ni upambanaj,tupo na vijana wa miaka ya 80 lkn bado wanaishi kwao..hongera sana kaka John
@MrNdanguza
@MrNdanguza Жыл бұрын
Duh 80 haiwzekan
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Жыл бұрын
@@MrNdanguza huamini au?? Kuna wa 77 bado anakaa kwa mamake..na kuna wa 79 bado anategemea wazaz..
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Жыл бұрын
@@masalakulwa7601 umenichekesha maisha haya sio poaaa
@siasia5469
@siasia5469 8 ай бұрын
​@@MrNdanguza unashangaa wa 80 😂😂kuna wa 70 wanaishi kwao maisha haya
@user-qo8eu1br6f
@user-qo8eu1br6f Жыл бұрын
Aise nimeipenda sn hiyo Mungu azidi kufungua milangi yako ya baraka na ulinzi wa damu ya Yesu Kristo ukawe juu yako 😍❤️ Ameen i love you so much
@kasangagregory5747
@kasangagregory5747 Жыл бұрын
Afike mbali zaidi. Ana roho yake huyu ndugu
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Жыл бұрын
An Amazing story indeed...Yaani imebidi niwa Follow hawa. Good Job SNS. Love from 🇨🇦
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 Жыл бұрын
Waooo hongera sana HC nitakutafuta nikimaliza ujenzi unitengenezee madirisha na milango soon inshallah tena ni huko huko kigamboni 🤝👏 Sky business diary hivi ndivyo tunaomba kiwe mtu akiongelea biashara yake na pia tuone kama hivi tunapata hamasa zaidi thanks a lot Sky umekipatia your the best 👍👌❤
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Tunataka vitu kama hivi sky, hii ni kizazi sana. Good job bro.
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Жыл бұрын
From rugs to Riches; HONGERA SANA. Big up Kijana John, na SNS 👏🏽 👏🏽 👏🏽 👏🏽 Love from Toronto 🇨🇦
@margaretrusteau2871
@margaretrusteau2871 Жыл бұрын
He s so humble.god bless you brother
@eusitacefelix8545
@eusitacefelix8545 Жыл бұрын
Nakushukur bro umenitoa mbali ipo sku mwenyez mung atakulpa asant kak ....nakuaid stokuangusha daima katka fani uliyonipa bure bila chochote ninachokulpa 🙏🙏 na bado unanilpa dah ...one day yes kaka...Hanscana ..#Jeshi
@elphacemoses6709
@elphacemoses6709 2 ай бұрын
Hongera sana! John na timu yako HC! Ni kwel umepambana sana kuwa hapo ulipo ni matokeo ya kutenda wema Kwa watu,tunazidi kukuombea ufike mbali na mafanikio zaidi! nakumbuka 2021 nilikuwa na maonesho Maeneo ya kibada,nikafika ofisini kwako kukuomba sample za madirisha,bila Hata ya kunifahamu vzr... ulinipa zile sample zilinisaidia sana kwenye yale maonesho. Hivyo Ulitatua shida yangu bila Hata kuomba malipo yeyote... Aisee ubarikiwe sana!
@matronashirima1489
@matronashirima1489 7 ай бұрын
Jaman KZfaq naomben muongeze Mara za Kulike zifike hata 100....! Nimependa mnoo hii interview! So many things to learn here.. Asante mnoo Kaka mtangazaji kwa kurusha hii interview.. Asante kwa kukutana na huyu Kaka Kwa Ajili yetu.. Thank you so much Kaka
@badmanno.1650
@badmanno.1650 Жыл бұрын
Mtuache tu tuwazidishie mapenzi mama zetu maana na mimi ni mwanaume ila wengi wetu tunafeli sana sana kwenye masuala yakuwa present kwenye maisha ya watoto wetu.
@redmioman4371
@redmioman4371 Жыл бұрын
Dah Sns big up sana vipindi vizuri vinatufunza brother SKY GOD bless you
@musasaid5502
@musasaid5502 Жыл бұрын
Uyu jama ni master mind
@JoeinGermany
@JoeinGermany Жыл бұрын
The boy is wiser
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Жыл бұрын
Mashaallah tunashukuru sky moja ya interview kali ya mwaka na kweli vijana wanakuaga ubinafsi sanaa kwenye kumuelekeza mwenzio kwenye suala la kujifunza hawakubali kumuelekeza mtu
@sunrisekitchen1
@sunrisekitchen1 Жыл бұрын
Wa kwanza leo likes zangu pls
@brobabuu3973
@brobabuu3973 Жыл бұрын
Siku moja na mimi nikutafute sky. Nahisi nina jambo ya kushare katika platform yako.. Kazi nzuri sana na MUNGU akubariki zaidi wengi tupite katika njia hizi.
@kombab1112
@kombab1112 7 ай бұрын
Kuhusu imani kwa kweli una imani sana, nimelichukua hilo kutoka kwako.
@reallifeperspectiveUG
@reallifeperspectiveUG Жыл бұрын
I usually don't watch such long interviews, buy this one Is worth it. the guy is so inspiring. hongera sana brother John. uta fika mbali sana given even his attitude toward life.
@bestinamafipa608
@bestinamafipa608 6 ай бұрын
Me too but this one loh! God is good.
@agricolaotto8247
@agricolaotto8247 4 ай бұрын
Uyu mkaka ajui kulalamika najifunza kitu kwako🥰🥰🥰🥰
@vom84
@vom84 Жыл бұрын
Napenda Sana interview za aina hii, SNS is the best above all online media.
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Жыл бұрын
💯%
@paschalpeter3439
@paschalpeter3439 6 ай бұрын
Maisha bhana ni experience tu na uthubutu na kuheshimu pesa unayoipata..bro alikuwa na 5m na akalala chini..kujifunza kila ukionacho ,kujaribu vitu tofauti..na hakuna mafanikio bila kupita humo..asante bro John .
@neemasanare3474
@neemasanare3474 Жыл бұрын
Hongera sana dogo Yesu azidi kukuinua❤
@dr.hermankessy
@dr.hermankessy 10 ай бұрын
THE POWER OF DECISION MAKING
@irenekanza1601
@irenekanza1601 Жыл бұрын
Huyu kaka yupo humble sana, ndio maana anafanikiwa
@angelnyangema5067
@angelnyangema5067 Жыл бұрын
Hongera sn John hakika Mungu ni muaminifu sn.
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 Жыл бұрын
Very inspiration big up young man for your success
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu humpa mtu kwa jitihada zake. Mwenyezi Mungu akujaalie zaidi sana sana.
@nkurunzizalydia1720
@nkurunzizalydia1720 Жыл бұрын
Kinacho fanya Nisitkate taama ni kwamba hakuna alie lala na akaamka ni Tajili kila mafanikio yana processes zake maumivu ,uvumilivu ,discipline
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
Yes
@jaqiepaloma4127
@jaqiepaloma4127 4 ай бұрын
Hongera sana. Mama yupo? Mungu ni mwema sana . Kama yupo mtunze sana sana.
@remeniurasa4866
@remeniurasa4866 5 күн бұрын
Real inspirational journey iko hapa 🎉 Big up sana John
@dayana5513story
@dayana5513story Жыл бұрын
Wenye story tuko weng congrats bro god bless you
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti Жыл бұрын
Tuwasiliane Dayana. info@snstz.com
@zuumlondwa9518
@zuumlondwa9518 Жыл бұрын
Mimi binafsi nimependa historia yake inakupa motisha yakufanya kazi bila kukata tamaa
@iam_brenda3924
@iam_brenda3924 Жыл бұрын
Very humble man🤌🏾 Mwenyezi Mungu azidi kumzidishia kwa kweli🙏
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 Жыл бұрын
Real definition of a fighter🫡
@superwarema2309
@superwarema2309 Жыл бұрын
Hongera sana John Mfinanga. Humble background. Keep Up The Good Work
@stevew.mutasa2385
@stevew.mutasa2385 Жыл бұрын
VERY SMART JOHN..I FEEL GRATEFUL
@fatimasaid9469
@fatimasaid9469 Жыл бұрын
You really lion on the jungle salute. You really admire every younger listening your story l love can't stop to watch you .
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 Жыл бұрын
Mstarabu kwa bravo umejipata
@economistsarafina8085
@economistsarafina8085 Жыл бұрын
Leo imenibidi nicomment tena, John nimesikiliza interview nyingi ila ya kwako iko real sana, kila kitu kina ukweli ndani yake,Mungu wa mbinguni atakufikisha mbali sana. Hata mimi nitakupa kazi.
@dr.hermankessy
@dr.hermankessy 10 ай бұрын
THE POWER OF STARTING SMALL BUT AIMING HIGH
@SoloMsuya
@SoloMsuya Жыл бұрын
HONGERA SANA BIG BRO BADO TUKO NYUMA YAKO TUNAPUSH HC IFIKE MBALI ZAID YA HAPA 🙏🙏
@manuelamahwera6090
@manuelamahwera6090 Жыл бұрын
Well done John. You are blessed 🙌 😇. Congratulations 🎊 👏 💐
@francomkandawile8572
@francomkandawile8572 Жыл бұрын
Very nice story, Mdogo wangu unajituma sana, Mungu amekuweka no kukufikisha hapo usiache kumwabudu na kimsifu yeye pekee.
@user-mz4tu1iq7r
@user-mz4tu1iq7r Жыл бұрын
Hongera Sana Kaka naomba na me unifundishe
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 Жыл бұрын
my best motivation speaker Joel Nanauka ❤❤❤ thanks so much bro kwaku tuamasisha jisi yaku tafuta hela 🙏 sio kila kazi niakuzarau.
@jacqueisaac8155
@jacqueisaac8155 Жыл бұрын
Yuko very humble na pia anaonekana ana hofu ya Mungu
@dominicuschavallah3773
@dominicuschavallah3773 5 ай бұрын
Ndio nina Hofu ya Mungu nashukuru 🙏
@user-uv4iv9kl8t
@user-uv4iv9kl8t 4 ай бұрын
Very humble broo keep it up john
@EmilianKomba-sb4kn
@EmilianKomba-sb4kn 7 ай бұрын
Sky tunajifunza mengiii sana100🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mariej6962
@mariej6962 8 ай бұрын
John: ustaarabu, kumtegemea Mungu, kushukuru kwa kila jambo, hana wivu, mavazi na nywele style ya kistaarabu.
@dn.n4983
@dn.n4983 Жыл бұрын
Safi sana milango makabati sh ngapi
@kasangagregory5747
@kasangagregory5747 Жыл бұрын
Kuna wadogo zangu ambao tuko nao hapa tunasaidiana. Huyu jamaa ana upendo sana
@martinakombe8374
@martinakombe8374 9 ай бұрын
very inspirational ,,keep it up,,one day even me i will testify✊🤝
@user-vv6pr4bj8p
@user-vv6pr4bj8p 2 ай бұрын
Congratulations John,napenda kujifunza sana.upendo kutoka Kenya🙏
@kidungweshaaban9317
@kidungweshaaban9317 Жыл бұрын
Kaka unani inspire sana Mungu aendelee kukusimamia
@jameshagwe3063
@jameshagwe3063 Жыл бұрын
Kazi nzuri sana,,,! Mungu akubariki John
@dmgtv3984
@dmgtv3984 7 ай бұрын
Hongera Mr John ninandoto kama yako na nishaanza kumchukua hatua but bado Niko local Sana ninahitaji kuendelea kujifunza kutoka kwako SNS naomba connection na John
@rajabkahindi3389
@rajabkahindi3389 Жыл бұрын
Legend joel nanauka forever ❤
@user-uv4iv9kl8t
@user-uv4iv9kl8t 4 ай бұрын
Hongera sana john🎉🎉🎉🎉
@ongezamaarifa2526
@ongezamaarifa2526 Жыл бұрын
Story ina uhalisia sana sanaaaaaa, Mungu aendelee kumbariki yeye na nyie sns mpate watu wenye uhalisia zaidi kama huyu
@miriambethuel8892
@miriambethuel8892 Ай бұрын
I bless God for you John. Nyc coverage Sky (sns).❤❤❤
@adammdee9391
@adammdee9391 7 ай бұрын
Very inspiring 👏🏼 👏🏼👏🏼
@romastasenterprises4447
@romastasenterprises4447 8 ай бұрын
Hongera sana John. Na kwa hili utafika mbali sana. Ila nakuomba umsamehe Baba yako mzazi kwa kua na wewe ni mwanaume na hujui kilimkuta nini mpaka akawa haeleweki na alikua mfanyabiashara mkubwa kama ulivyotangulia kusema. So na wewe pia huwezi kua na uhakika utakutana na yapi. Nimekupenda sana na naomba tu usimkumbuke tena Mkuu kwa kumlaumu kwani Mungu alivyotuambia tumheshimu Bb na Mm tupate miaka mingi na heri Duniani hakusema kama asipokulea au akiwa mlevi. Alisema tu WAHESHIMU akaondoka bila ufafanuzi.
@filipejohnchuma1985
@filipejohnchuma1985 Жыл бұрын
Obrigado 🙏pela Educação 🇲🇿
@mwajumakabora5245
@mwajumakabora5245 Жыл бұрын
Everything is possible under the sun,noted bro...congratulations John umejua kuni ispire to the highest level
@SolomonMsuya
@SolomonMsuya Жыл бұрын
Hongera sana bro. Mungu azidi kukubariki
@kazkaz1943
@kazkaz1943 Жыл бұрын
Kila kitu kinawezekana vijana wenzangu msione aibu kuanza kukimbiza ndoto zetu. kuwaza watu watasemaje watu watanionaje haitotusaidia kufikia malengo yetu amka sasa pambana
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
Point
@samniza1763
@samniza1763 Жыл бұрын
I will come and look for young man, very inspiring story.
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын
Hongera kaka wewe ni shujaa😍😍
@SaitotiHinyura
@SaitotiHinyura Жыл бұрын
Kazi nzuri sana.Hiyo bidii ya utafutaji ni funzo kwangu,nimeipenda.Kukata tamaa katika utafutaji hakutakiwi.
@reisedyy4910
@reisedyy4910 Жыл бұрын
Jamaa kataja namshukuru Mungu kwakaribu kila sentences, and i like it so much. Let praise the almighty y'all.
@muta-news2786
@muta-news2786 Жыл бұрын
Nimefurahi kuona unafata ushauri wangu juu ya kuonyesha vitu na mazingira ya watu unaowaoji ili kuinspire Vijana kwa kuona kuliko kusikia story zao tu.nimefurahi kwa ilo. Watu wanakuwa wanataman kuona unajo kioji na ofisi za watu ktk hichi kipindi.ongera Sana
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 Жыл бұрын
Safi sana kijana,Mungu akuwezeshe zaidi
@agreymwakapila7695
@agreymwakapila7695 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukupigania ufike mbali sana.
@thomasjoseph3178
@thomasjoseph3178 7 ай бұрын
Hongera sana bro. Hakika Mungu hamtupi mja wake. Kwa maelezo yako tunajifunza kutokukata tamaa kwa namna yoyote ile.
@hildaminja5148
@hildaminja5148 7 ай бұрын
Hongera Sana. Hii inahuisha mioyo ya watu wengi hasa wanaojitafuta. Mungu aendelee kukuinua na kupitia hii interview vijana wengi wakajipate
@GaddyMsuya-dh7qn
@GaddyMsuya-dh7qn Жыл бұрын
Hongera sana Kwa kazi nzuri.Mungu akubariki yeremia33.3
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
Hongera sana broo Mungu ni mwema kila wakati Ameen
@chiticollemans
@chiticollemans Жыл бұрын
Nice interview Nimepata moyo
@fatmakombo9793
@fatmakombo9793 Жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki kaka unajielewa sana tena sana kwani sio rahisi unajituma
@fatimasaid9469
@fatimasaid9469 Жыл бұрын
Sns katika vipidi vyako hivyi ndio vipindi bora zaidi tena kwa vijaana sio utatafuta vipindi vya udaku. Hapa ukidikiliza hata Mb zkiisha uumii. Tafuta vijana kma hawa please 🙏 . Nipo 🇬🇧 but nimependa sanaaaaaaaaaa .
@nkwimbahillu3568
@nkwimbahillu3568 Жыл бұрын
Hongera sana kaka, naomba mawasiliano yako
@alichanzi8095
@alichanzi8095 7 ай бұрын
Woow, very humble man
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Жыл бұрын
Very inspirational....bdw kaka mzuri hatari
@user-zk5dj7kp9z
@user-zk5dj7kp9z 7 ай бұрын
thankx somuch
@JullyJullyamosi-ge9qu
@JullyJullyamosi-ge9qu 4 ай бұрын
Yaani big up John Mfinanga
@khadijaabdalla1011
@khadijaabdalla1011 Жыл бұрын
Mwathu. .big up!
@josephfortunatuskuzenza1378
@josephfortunatuskuzenza1378 Жыл бұрын
Bravoo
@KingTimoo
@KingTimoo 3 ай бұрын
Safi sana brother
@AminaMfinanga-nu6jl
@AminaMfinanga-nu6jl 6 ай бұрын
Wafinanga oyeeeeee.Hongera sana kijana
@nassibugodfrey1405
@nassibugodfrey1405 Жыл бұрын
Hapo kwenye sijawai kuwa na kwetu mwanangu kama Mimi vile💪💪
@keymwanyika840
@keymwanyika840 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ emoji zinatoshaaaa tuuuuuu kaka mtu poa sana
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 Жыл бұрын
Hongera mdogo wangu mola akubariki
@kasomishedrack5027
@kasomishedrack5027 9 ай бұрын
Yote shukru tu Mungu kwa kuwa hai shukru baba na mama kwa kuwapata nyie kutokuwajika ama kuwajibika wazizi juu yenu ni hali ya dunia na ya kibinadamu Cha kulaumiwa sana Ni mgogoro uliojitojeza na wazazi kushindwa kuutatua hasa ambaye hakuwa tayari kufanya maridhiano.Huenda umeshaambiwa mengi ubaya ya baba ama ubaya wa mama.Sasa za kuambiwa changanya na za kwako.Kikubwa nawe umekuwa utahitaji kuwa na familia ama unayo Sasa maisha ndo yanaanza kushika kasi baaba! Usipokuwa makini aise!Hutaamini maisha! Yagenda yagaluka.Epuka kurithishwa migogoro na wazazi,ndg na jamaa.waambie wakurithishe hekima na busara only.
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 37 МЛН
VETA yatengeneza mashine za kuchuja mafuta ya Alizeti
7:08
VETA Tanzania
Рет қаралды 3,3 М.
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 19 М.
KUTOKA KUGONGA KOKOTO HADI   KUMILIKI KIWANDA. #durusudurusu #ujasiriamali #successtips
16:11