Nimeipenda iyo teacher nimekuelewa me mwanafunz wa umeme mwaka 1 unapatikana pande zp
@darasalaumeme7421 Жыл бұрын
Dar es salaam
@jumakidunda78Ай бұрын
Hii ndo maana ya kutumia mitandao vzr
@darasalaumeme74217 күн бұрын
@@barakazegezege8016 Niko dsm
@mondtd38543 жыл бұрын
Nashukulu sanaa umeniongeza kitu kwenye ufundi wangu , mungu akubaliki
@barakazegezege8016 Жыл бұрын
Nashukulu unanipa vitu ambavyo cijafundishwa bado asante Sana Mungu akuzidishie ufundi Zaid
@engineertarimo73452 жыл бұрын
Una nia nzuri ya kufundisha, lkn huna lugha ya kiufundi, na hata cable arrangement sii nzuri
@emanueltheboss65982 жыл бұрын
Na jee kufunga wire wa 2.5mm kweny taa na kweny socket hii ni nzuri kwel
@callmenick85522 жыл бұрын
Asanti kwa hayo...from Kenya ..
@ushangabakari58012 жыл бұрын
Sasafundi hiyo looping uliyoifanya hapo kwenye mcb siitakuwa umechanganya saply moja kwenye socket na taa kwanini usingeweka kila mcb na waya wake 1.5 na 2.5 na mcb yake
@HelbethMlelwa2 ай бұрын
Haichanganyi hiyo, hizo mcb ni kama switch
@machejostudiosmramba53657 күн бұрын
Asantee kiongozi
@ignassululu7663 Жыл бұрын
Hapo kwenye matumizi ya taa umesema zinatakiwa ziwe taa nane ambazo zinaukubwa wa watt ngapi? Yaani kila taa iwe na watt ngapi?
@user-dv3fi3tg7h8 ай бұрын
Asante sana engineer kwa darasa zuri nililolipata toka kwako Swali langu ni kwamba mbona main switch yako haina isoleter
@mbarakakhamis21806 күн бұрын
Main switch yangu haina socket breaker naweza kutumia isoleter peke yake?
@TumainiKyomo3 ай бұрын
Asante teacher kwa maelekezo
@brooeddy89652 жыл бұрын
Mwalimu hapo waya unao ingia kwenye circuit breaker unakuwa na 10mm²,16mm²,n.k. je mwalimu hapo kwenye out let juu ya circuit breaker hizo waya za kusupply kwenye MBC zinakuwa na mm² ngapi.?
@medykado91193 жыл бұрын
Kwamaana hiyo sasa connection za switch socket kwny junction box yake na za switch za taa j.b yake au
@user-jq7yn7ug2f6 ай бұрын
Yes
@barakagwau86362 жыл бұрын
Ahsante kwa somo zuri lakini nilikua napenda kujua namna ya kufunga earth wire kwenye main switch
@kelvinchifuka6628 Жыл бұрын
Mungu akubariki
@francismasha7286 Жыл бұрын
Asante mwalimu umenisaidia nitakuhitaji
@luqmanabubakar60975 ай бұрын
Mwalimuu! Kwanini umetumia SP na hukutumia DP hapo kwa Circuit Breaker?
@khalfannguja95303 жыл бұрын
Umeme unaingia juu sio chini mwalimu
@salmaabeid81618 ай бұрын
Kwa hio hapo kwenye mcb ya ampere 10 inabid iingie wire ya 1.5 kwa sbb connection yake huko juu Ni kwa ajili ya taa si ndio??
@AbdullahMichael-m6t2 күн бұрын
Kiongozo earth inafungwa hapo mbona sijaona ukifunga?
@mussayahya9676 Жыл бұрын
Main switch ipi ni bora kuliko nyingine kati ya Tronic na Havells?
@jumakidunda78Ай бұрын
Swali zuri sana
@dishonraphael1112 жыл бұрын
Safi kabisaaa mwalimu mtema
@innocentdavid98102 жыл бұрын
Shukrani mkuu nimeelewa sana somo
@salmaabeid81618 ай бұрын
Kwa hio hapo kwenye mcb ya ampere 10 inabid iingie wire ya 1.5 kwa sbb connection yake huko juu Ni kwa ajili ya taa si ndio??
@ahmadifakii27273 жыл бұрын
Asante sana kwa elimu unayotupatia👍👍 Nina swali mfano taa zikiwa chini ya 8 Soket zikiwa chini ya hizo 6 Kuna mazara yoyote na hizo taa8 ziwe Watts ngapi kila moja?.
@alsamali69643 жыл бұрын
Kila MCB inachukua taa ngapi au socket ngapi ? Msaada plz
@ahmadifakii27273 жыл бұрын
Kingine ambacho nimekiona ni changa moto kwangu hii Mfano MCB 20 ilinijue inabeba mzigo kiasi fulani natumia kanuni gani?
@AquelinaMayaiАй бұрын
mbona hamna cable za earth
@husseinmkwizu75492 жыл бұрын
nimekuelewa sana mwalimu
@user-pq8ph7fw4u8 ай бұрын
Hayo ndio mambo ya kuelekezana kaka
@victormayobo35717 ай бұрын
good training lakini bainisha kama ni 3 phase or singly watching from Nairobi Kenya.
@kevinnyasinga942 Жыл бұрын
Ni aina vanilla za waya unatumia kwa main switch
@hashimmahmoud43362 жыл бұрын
Asante nimeelewa ila nauliza ikiwa kwenye nyumba taa zinapwesa pwesa huwa ni tatizo gani
@user-qq4cb1hk3u Жыл бұрын
Mwalimu ukiunga iyo N na 2 zinazotoa umeme kweny meter juu au chini ya sakit breaker uku kweny mcb haugeuzi kitu
@essaumbewa1822 Жыл бұрын
Ahsante mwalimu Apo nimekupata
@goodluckjohnpaul15183 жыл бұрын
Safi braza shukrani san
@omardogo30293 жыл бұрын
Mwalimu mi naomba kujuwa waya unaotoka kwenye mita hadi menswich please
@chaulafundiumeme76212 жыл бұрын
Mkuu mbona hiyo Circuit breaker umeigeuza
@EnthusiasticAtv-gn6pb7 ай бұрын
Teacher mbona cct breaker umeigeuza by songoro jackson
@sadiiqsulle3715 Жыл бұрын
Asante Ila apo unaweza ukaongeza mcb nyinine ya 40 ampere
@gilbertcfc29593 жыл бұрын
kupitia hiyo namba uliyoweka hapo juu, naweza kukufuata whatsapp kwa maswali binafsi?
@scbrothersshadracknacosmas79643 ай бұрын
Good🎉
@JobRutto6 ай бұрын
Asante mwalimu
@user-hn7dv1zm7w Жыл бұрын
Ahsante cn mwalimu nimepata kuelewa
@mrmeshack Жыл бұрын
safi sana kaka natamani ningelikuwa karibu nawewe ili niwe fundi maridadi kama wewe.
@GodfreyMponda-rh9mo Жыл бұрын
Mbona isolater aipo?
@stanslausmisana69382 жыл бұрын
Asante saaana kwa somo zuri. Nimeelewa vzr kabisa. Sasa kwa maana hyo taa zinatakiwa na mcb yake na switch socket na mcb yake yaani kila njia iwe na junction box yake au? Je huwezi kufunga taa kwenye mcb ya 20 au? Mfano mcb ya 10 taa nane je mcb ya 20 huwezi kuweka taa 16?
@EliaKija2 ай бұрын
Jin's yakuunga circuit breaker na isolater
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Asante Mwalimu.
@changarawemichael55568 ай бұрын
Asante saaana mwalim
@GodfreyMponda-rh9mo Жыл бұрын
Huusiano/Kazi ya circuit breaker na isolater ni nini?
@zackypapla55112 жыл бұрын
Nice fundi
@HabakkukMbisse-zu1tp10 ай бұрын
Asante nieelewa sanaa
@stephenfelix5158 Жыл бұрын
mcb ya c 32 inaweza kutumia sockect ngapi
@puresportstv98932 жыл бұрын
Asante sana mwl
@papiasmugabo66858 ай бұрын
Nataka nambayako yaws what’s up
@JuliasJofu5 ай бұрын
mm nataka kujuwa izo way unazitoaje kwenda kwenye jasheni box nazion zipo moja moja
@user-vm7bc9sv7i9 ай бұрын
mwalimu cjaona waya wa Earth inapofungwa kwenye main switch
@djyunsijin40973 жыл бұрын
Brother wengi wetu pia tunaomba kujua jinsi ya kuchora ramni za wiring kabla ya kupeleka tanesco
@fadhiliemmanueli.1472 жыл бұрын
@@darasalaumeme7421 nambazko please
@AbdallahAmor-vt7kk Жыл бұрын
Nashukur mwalim umenifunza kitu leo
@paulodesmoni62263 жыл бұрын
Kuna zile main switch ambazo huwa zinakuwa na kibati ambacho mcb zote hushikishwa pale je live itafungwa kwenye hicho kibati?
@chrisjay13373 жыл бұрын
Mcb itafungwa kwa moja ambayo italinl zote
@user-od7op2ke9d5 ай бұрын
Naomb utupe uwezo wa way kulingana na uwingi wa vyumba mfano 1,2,3,4,5
@AjuaeShekhe4 ай бұрын
d͚u͚h͚ b͚r͚o͚o͚ umeua🎉🎉🎉🎉🎉
@lightinescharles52002 жыл бұрын
Som zuri fundi nimelipend nimeelew vzr
@CharlesMalonga-zf7qd3 ай бұрын
Thafadali nifunze quotation
@aminimwazani9483 Жыл бұрын
Mwalimu mfano hiyo earth ukutaka kuieka pia unaieka kuanzia huko nje kwa meta box ama unaiunga hapo hapo ndani
@BenedictoNdaheze-lt5dd Жыл бұрын
Sasa mbona main switch haipo Mimi navyojua waya ukitika kwenye socket breaker unaenda kwenye main switch hapo haipo mwalimu
@aslamkhalilu6087 Жыл бұрын
Nawezaj kukupat kupat mafunz mengin tich ila naxhkur maan nime gain knowledge
@stephenfelix5158 Жыл бұрын
pia mcb ya A16 inatumika kwa taa ngapi au socket ngapi
@leudkihanza8982 жыл бұрын
Asante mwalim mtema
@mohdhassan3633 Жыл бұрын
Je ukiiweka saketbreka kutoka kulia jeitakua na tatizo
@justinjq71442 жыл бұрын
Poooool kabisa ni uwongo mtupu, kazi chafu
@noelymahenge27747 ай бұрын
😂
@jumakidunda78Ай бұрын
Dah! Madini adhimu alafu mwamba wala hana kinyongo anaytema tu
@FabianHamis5 ай бұрын
Engineer sijaona idolater hapo kwenye main switch je?hiyo haiwezi kuathiri mfumo mzima wa kiumeme?
@fredmaru94952 жыл бұрын
👌
@iamvavatz7 ай бұрын
Samahani sijaelewa jinsi gani earth imepita
@kajuakitu2 ай бұрын
Wewe ni Mwalimu
@alsamali69643 жыл бұрын
Waya wa taa 1.5mm Waya wa taa 2.5mm Je waya unaotoa umeme nje kuingiza kwenye main switch una saizi gani ? Na naomba kujua size za waya zote zilizomo kwenye main switch
@djyunsijin40973 жыл бұрын
Ata mm nilikuwa nataka kujua
@mondtd38543 жыл бұрын
Waya unaoleta umeme ni 4ml
@alsamali69643 жыл бұрын
@@mondtd3854 ml au mm² Then why 4
@mhamed24022 жыл бұрын
@@mondtd3854 sio 4ml ni 6ml
@michaelmnyeke9564 Жыл бұрын
6mm
@WilfredNyangwara-g8bАй бұрын
Hii namba haifanyi kwa what's up napenda kuzungumza nawe tafadhali
@darasalaumeme7421Ай бұрын
@@WilfredNyangwara-g8b ipo au nitafute 0717159010
@marcopendael1896 Жыл бұрын
earth unaanzaje kuunga kiongozi
@mussaalawi34903 жыл бұрын
Je waya ambaz znatoka kweny MCB ata kama znaenda kwenye taa je znatakiwa ziwe saiz gan?
@dicksonmisana82592 жыл бұрын
Kwenye taa 1.5 Kwenye socket switch 2.5
@yeokambarage953 жыл бұрын
Teacher sorry naomba kuuliza waya wa eth unatoka kwenye mita ?
@yeokambarage953 жыл бұрын
@@darasalaumeme7421 OK shkran sana Mkuu
@user-it4jh3ei5q4 ай бұрын
Ethi way inayotoka arithini inachanganywa na waya gani
@africanuchebe89892 жыл бұрын
Asante ila apo kwa neutral apo cjaelewa inapelekaje umeme na kuwasha taaa
@raymondraphaer61723 жыл бұрын
Nice nimeelewa
@David-ko6vt Жыл бұрын
Sawa nimekulewa mwalim Sasa samahani nahitaji unisadie juuu ya waya hizo zilizo Toka kwenye meter Kuna live na neutral ambazo umesema tuna funga popote ukitaka Sasa kufunga unafunga upande mmoja to kama ni live ni live Kam ni neutral ni neutral
@josephgeorge2464 Жыл бұрын
Sijaona 40 hapo mwalimu
@tikilodauresi82903 жыл бұрын
kama wiring ni ya chumba kimoja na umeconnet mfumo mmoja yaani taa na socket je MCB ya 20A inafaa?
@tikilodauresi82903 жыл бұрын
@@darasalaumeme7421 kwa hyo ili isitrip inatakiwa niweke kubwa zaidi ?na je nikiweka kubwa kwenye upande wa taa hapatakua na madhara?
@selemanally14482 жыл бұрын
Mwalm kam main swtch kam ina isoleta na circut breka u vp jns y ku lup
@ibnmambotv55862 жыл бұрын
Samahani, mwalimu hiyo Amph16, inatumika katika nini? Pia kwenye Nyumba zetu zakupanga huwa waya mmoja wameunga taa na sakati hii inakuwaje? Mwalimu naomba ufafanuzi
@paschalgerald2553 жыл бұрын
16A je?
@mtelekaramadhani15822 жыл бұрын
Kazi chafu , jaribu kupanga waya vzuri....!!
@StoneMsaku-zb9ym3 жыл бұрын
pa1 sana mkuu
@mussaalawi34903 жыл бұрын
Safi
@fanuelmagesa93262 жыл бұрын
kirefu cha MCB Ni nini
@chriskanguna71803 жыл бұрын
Mwalimu wangu kwaiyo hiyo MCB ya 20A inaweza kufunga switch socket nane?
@dicksonmisana82592 жыл бұрын
Nimemuelewa vzr amesema 20A inaweza kufunga socket switch 8 lkn ni bora zaid ukafunga kwa socket switch 6
@abuumagomba33942 жыл бұрын
Mwanang switch socket nane utaipa mzigo mzito sana hyo mcb maana duuuh sio poa mwanang
@aslamkhalilu6087 Жыл бұрын
Nashkur ila nawezaj kukup
@jmastory18202 жыл бұрын
Kwani live ya taa auwez ukaitumia kwe soketi
@elifurahaelisha43802 жыл бұрын
Mbona kuna main which zina nyaya zinaingilia chino zinazo toka hazionekani
@rizionesegeza97423 жыл бұрын
upo sawa xn lakni mbona main switch nyingi hazna msb ya A40 upande wa jiko la umeme au heater
@yeokambarage953 жыл бұрын
Msb ya A40 kwel haipo kwan tunatengeneza KTU kulingana na uhitaji wa mutu