Hongera sana kwa msimamo wa uwongozi mzee mwenzangu magoti Huo ndio mwanzo wa mafanikio ya kufika mbali ya uwongozi. Vitha ni viitha mura. Yaani amang'ana kasarikire.
@user-wl7kl3qw3tАй бұрын
Hongera sana mh.Dc.
@dorahmushi-we6tsАй бұрын
Asante mheshimiwa, Mungu azidi kukuinua... Namuona Makonda mwingine😂👏👏👏
@paulsibu5770Ай бұрын
Hongera Kaka Mungu akuinue zaidi katika utumishi huo
@johnluis35Ай бұрын
Jembe chapa kazi Dr magoti, kazi kazi
@ScopionScopion-zj9cdАй бұрын
mchechi huyu hamaaa mungu amjalie pamoja Na jinsi alivo lakini mchangamfu mno
@johnmtumishi8554Ай бұрын
4:02 Hongera mheshimiwa DC Dr Magoti nakuelewa good speech be blessed My God protect you in the name of Jesus christ amen
@salomewandya7257Ай бұрын
Piga kazi Magoti❤❤❤
@user-ry8xf1no2sАй бұрын
Mueshimiwa laisi wangu nashukulu Kwa upendo wako auna ubaguzi Kila mtanzania mwenye uwezo una Mteua , Alha atakulipa kilalaeli inshallah
@adkajisi4536Ай бұрын
Huu uandishi duh
@salimanathan1073Ай бұрын
Mungu akubariki sana
@salmaramadhan27252 күн бұрын
Dc Mungu akulinde baba yaaani tunakupenda kiongozi una challenge kubwa sana,kwanza maneno yako kuntuuuu aiseee ninafurahi uongee asubuhi mpaka jioni
@user-mf2ll7nz5gАй бұрын
Safi sana
@boscokikotiАй бұрын
Mungu akubariki
@Dominic-hh2nf12 күн бұрын
Nakubali Mkuu
@luqmaneme9105Ай бұрын
Piga kaz kiongozi
@Enjoy-ge5cyАй бұрын
Najivunia Tanzania yangu huu ndio usawa sasa piga kazi mh magoti
@trophywilson721122 күн бұрын
safi sana Tanzania Imekuwa Marekani
@doiabel3793Ай бұрын
Nimekuelewa zaidi tena sanaaaa
@KeyjopАй бұрын
Mh...Magoti ❤❤❤🔥
@nathanaelmkumbwa1770Ай бұрын
Asante sana DC wa kisarawe Mungu andelee kutunza na kukuinua mkuu.
@Banzok700Ай бұрын
Bila shaka mheshimiwa Rais hajakose kukuteua Mheshimiwa Magoti. Congratulations. Unaongea vzr na busara unayo . Mwenyeezimung akusimamie
@KundaelGeorge-tv8mzАй бұрын
Upo vzr sana magoti. Mungu akusaidie
@2003hintay26 күн бұрын
Big up Sana mkuu uko vizuri Sana
@boscoafikile4737Ай бұрын
Nampongeza mheshimiwa Rais kwa kukuchagua mheshimiwa Magoti, nimefurahi sana.
@ShadrackNkulangwaАй бұрын
Magoti hizi ndizo akili kubwa za akiba zilizo achwa na jembe jpm leo mama anaviendeleza
@edwinlyimo561124 күн бұрын
ongera sana Mama samia Ongera kaka Dc Kaka Magoti
@masungajp1Ай бұрын
Mimi Nina umoja na huyu
@frankngoloka5416Ай бұрын
Kuwa makini wabongo noma,unaweza tunzwa na milion 700 utatulia
@RenaldaZeramulaАй бұрын
Fika KIJIJI CHA VIISEGESE KUNA HUJUMA. VISEGESE NI ENEO.LA MKAKATI KUNA ENEO LA VIWANDA. WAWEKEZAJI WAMESHINDWA KUJA SABABU HAKUNA MAJI
@DevotaIjumbaАй бұрын
Ongera sana kiongozi Magoti.big up
@thomaskiponda6079Ай бұрын
BONGE MOJA LA KIONGOZI❤❤❤
@molenicharles9107Ай бұрын
MWAMBA umetiisha...very smart dc
@abdull_hafidhАй бұрын
Huyu jamaa ananyayo za makonda
@KanyawelaАй бұрын
Yuko anaongea ya maana ila wanaangalia kama hawaelewi ndo ivi anapiga kazi
@rweumbizalugaimukamu4905Ай бұрын
Upo vizuri sana Magoti
@aimborannko4048Ай бұрын
❤❤❤
@cngezeАй бұрын
Angalia migogoro ya ardhi kaa na watendaji na viongozi wengine watatatue migogoro ni mingi mno
@evelynebwire768427 күн бұрын
Big up my brother
@dilludillu2747Ай бұрын
🔥
@RichardKilepo-xj1sy22 күн бұрын
Wape ukweli
@onlythestrong8659Ай бұрын
Ongea yake kama Magu vile.
@barakachibwana370824 күн бұрын
Nice
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
Anauza Nchi
@patrickongele196Ай бұрын
Ndugu yangu Dc Magoti kwa mwendo huo huo bila kupokea za pembeni imani yako itakufikisha ndoto njema za wanakisarawe pazuri ongeraaaaaaaa muno mwana wetu
@bakarikayugwa3295Ай бұрын
Aroo unajuwa Mimi ni muhaya au nimsukuma piga kazi kaka tusione maneno
kwani yeye hela ni zake ama muundo wa budget wananchi mnatakiwa muelewe muundo wa bugdet na vipaumbele vya kamati ya maendeleo yenu ndio kwanza
@KelvinConorardАй бұрын
Yeye kama yeye au
@user-mu1uf2rl4xАй бұрын
Na ujaribu kuelewa huyu ni mkuu wa usalama ktk wilaya na sio mfatiliaji bajeti kuhusu miradi kuna watendaji,madiwani na wabunge na yy ndo mfatiliaji endapo kama miradi imepitishiwa sjui umeelewa kwa hapa
@deokibona2835Ай бұрын
@@user-mu1uf2rl4x nimeelewa, ila yeye ndio kajitwisha mzigo. Maneno mengi Sana. Yeye ndio kajiita rais wa wilaya.
@salmaramadhan27252 күн бұрын
Wewe sio mlemavu baba una akili IQ
@stn4873Ай бұрын
FILIDI KAMA FILIDI
@user-uw4pu9nm1uАй бұрын
Huuu ndo usawa sasa, piga kaz mh.
@rashdiyange7758Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kwakwer awa mjui toka enzi za magufuli awa jui tu apo ana cheka tuu ngoja muone kazi yake talia mbona 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unoko wake katika haki au ubaya kama kwenye haki awe tu mnoko
@isaacktweve3773Ай бұрын
Mpenda haki siku zote hilo jina ni la kawaida tu,wewe usie mnoko tunasubiri taarifa zako umelitendea nini hili taifa?
@FahadAbubakariАй бұрын
@@isaacktweve3773 tz watu wavivu na kupenda vya haraka akitokea mkweli anakua adui
@gabrielmushi2813Ай бұрын
😂😂😂😂 Nyie Mnavituko
@ismailmasoud6001Ай бұрын
@@FahadAbubakari ..kwenye kazi na ufuatiliaji , ni mtendaji hasa
@collinndabi1914Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@StAr-yu3vzАй бұрын
Tunakuombea dua ira kisarawe ujitahidi maana mie nipo kijiji cha kisangile nimehama nchi yangu nipo Oman miaka mie mwanamke tunataka hajira ya wanawake ira umeme tokea rais kufa mpaka reo umeme hakuna ajira kukata mkaa miti imeisha ira ira ipo siku tunataka makonda aje kijijini kwetu
@rogersdavis3058Ай бұрын
Mbona sehem nyingi umeme upo
@ejtjr2647Ай бұрын
Kwamba ana WACHOMBEZI wanaitika EEBANAEEE.....Senge hili, unalipwa na Raisi, hela zote ni zake? Kumanina zako.