🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+255 692 318213) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Пікірлер: 9
@mamakayla669711 күн бұрын
Mkuu wa wilaya anahoji mwandishi wa habari badala ya mwandishi kumhoji yeye,hakuwepo wakati viongozi wa wafanya biashara wanazungumza,kwamba walimuita awasikilize lkn hakwenda,siyo kila kitu kinachotokea mnasema ni SIASA hapanaaaa,muwe mnakaa kwanza na wahusika ndipo msimame mbele ya media,zaidi ya hapo ni kujidhalilisha tu.Pole DC
@MbatiaZakaria-ti5kt10 күн бұрын
Kazi ipo hapa bongo
@shabanimbega4010 күн бұрын
Huyu akimaliza mwezi huu ana bahati
@user-qz2cs5wm5u12 күн бұрын
Akuna sili mnayoyakataa ndio yatakayo kua
@ramadhanmahongole92932 күн бұрын
Ivi huyu si ndo yule aliewakamata kina dada na kuwazalilisha kwamba wanajiuza?
@sk-wj9or12 күн бұрын
Huyu Mkuu wa wilaya akifikisha mwezi mmoja zaidi bado yupo nitashangaa sana!
@muhsinikoki406011 күн бұрын
tunaongoza navicha kabisa
@HijaSaid-xd7fg11 күн бұрын
Hoja ni nini, wewe sema tatizo ni nini sio wewe unauliza,