DIVAH THE BAWSE AFUNGUKA UKWELI WOTE KUHUSU MUME WAKE KUOA / AONYESHA NA USHAHIDI
Пікірлер: 137
@sarahruge34484 ай бұрын
Yani mimi namwelewa sana diva kinachomtesa anampenda sana Abdul atahangaika mpaka pale moyo wako utakapo mchukia ndo ata move on hayo ni maumivu ya mapenzi yana mtesa
@HannanSomaiyah-wp7ny4 ай бұрын
Usimvue nguo Sanaa ,muombee Mungu amuongoe TU🙏
@ChochoZuchu4 ай бұрын
Diva Akili zako ni kama mtoto
@alwiyad19774 ай бұрын
She’s stupid
@mwanaishaabubakar50134 ай бұрын
Kakojoe ikalale unajisifu sana. Leo unasema vizuriiiii kama muungwanabfulani hivi. Kakutia mjiniganga shoga, kakojoe ukalale.
@user-bn4zg3yl4c4 ай бұрын
Diva tatizo unampenda sana huwezi msema mumewe kwenye public
@MsAggie54 ай бұрын
Sio amri yake karogwa dawa zimeisha 😂😂
@sikudhanimohammad76924 ай бұрын
Siyo mumewe ni mumeo
@Jane-fi8on4 ай бұрын
Sikupenda kabisa ulipo olewa na Abdul kusema ukweli . Mimi ni mkenya na sometimes hufuatilia mambo ya Tz.
@btylove18704 ай бұрын
Eti wanawake wengi wako desperate na ndoa na Abdul😂😂😂! Kama wewe ulivyokua desperate nae adi akakuoa. Kweli nyani haoni kundule😂😂😂😂😂. Diva sio mzima kichwani I swear!!
@alwiyad19774 ай бұрын
Kisa Ana zungumza English she think she’s smart
@Official836404 ай бұрын
Huyu dd ni kichaa sana kuliko vichaa wanaokula majalalani huyuhuyu ndy aliandika km hayupo na Abdul na wala wasimuhusishe na chochote sasa alifata nn huko kwenye ndoa km hamtaki mshenzi huyu anachezewa mchezo nwenyewe hajijui tu😂
@hamidasalum1574 ай бұрын
Na alishasema anaingilia mpk wanaume wenzie 🤣
@jamilajamal15844 ай бұрын
Mwezi mchanga huyu😢
@marysaituni45844 ай бұрын
Ila Diva jaribu kuwa msiri jmn..
@user-pu6pr5jt4n4 ай бұрын
Divaaa❤❤❤❤❤❤❤
@sovajulius38704 ай бұрын
Aisee Diva anatia huruma nimesikiliza hii interview Diva Ana tatizo kubwa.Mara ananipenda Mara Malaya.Jamani mpaka mtangazaji kachoooka .But Im glad now wameachana it was a nightmare
@speciosermusika20094 ай бұрын
Kwani Diva !watu wengi walikuwa wamekushauri kuhusu kuolewa na Shehe Ulikaa kabisa na ukawa una sema wana kuonea wivu, Sasa nini kina kuliza mtandao Hebu tupishe huko bwana wewe.
@alwiyad19774 ай бұрын
Well said
@oyay28214 ай бұрын
Hapo Diva amemtukana sana Sheikh Abdulrazak
@barikiwa224 ай бұрын
Ngoma droo usipo mheshimu mke wako unajitusi mwenyewe. Diva na ujinga wake kavumilia mengi.
@zabibusilayo98774 ай бұрын
Kwa Mtazamo wangu Diva bado anampenda sana Abdul.Aisee hakuna kitu kigumu kama kupretend Yan unaongea TU Ili usionekane mnyonge lakini ukiwa peke Yako unaumia sana...mapenz hapana kwakweli uwiiiiiiiii🙌🙌🙌🙌🙌
@user-qs7lj7kj1k4 ай бұрын
Mwanamuke unamdomo mukigombana2 kadogo unapereka mitandao mimi nafkiria ata familia yamwanaume wanajuta kwanini abdouli ali kuowa ,
@rosestigeneriksson83874 ай бұрын
Sasa kweli wewe ni mzima kweli?mwanaumme malaya hivyo hana ukimwi kweli
@esterpaul58564 ай бұрын
Anao mama..tunajua na tuna evidence
@ireneimbuhira77594 ай бұрын
@@esterpaul5856what😮gani?
@Njeriii5364 ай бұрын
@@esterpaul5856umejuaje?
@Zainab_salat4 ай бұрын
@@esterpaul5856ukweli? Kwani mm nilijua anaumwa ugonjwa mwingine
@rachelmnyimwa41924 ай бұрын
huyu mbwa wa kike ndio anatabia mbayazaid
@MizeKombeSuleiman-id1rp4 ай бұрын
Divaaaa yani cjui lini utaamkaa kwa usingizi
@zariadunia63284 ай бұрын
Ila Diva hivi ni wewe kweli unayemganda huyu mwanaume mjinga malaya unatia aibu
@maimunaulotu20753 ай бұрын
Aliwahi kukutongoza???😮
@alimatambwe34024 ай бұрын
Don’t talk someone things when you ar in anger,why guys mnapenda put everything in social media?
@marysaituni45844 ай бұрын
I'm asking myself the same question..🤔
@user-pq9qc1sz7b4 ай бұрын
Kama unavyo vyote hivyo kwenu.gari maghorofa.mbona unakaa nae sasa? Na unakaa nyumba yakupanga??
@user-vv1te9fu8q4 ай бұрын
Hana lolote na kwao hawana utajiri wowote ana maisha ya ku fake tu
@thierrybisimwa33124 ай бұрын
Humility is what diva needs she is a good person but she lives in a Disney world, she needs to wake up to reality and live a humble life she will be great, when u try to put others down to rise yrself esteem, u end up looking greedy for power and fame, these things can't make u a wife but a knife.
@hyy41144 ай бұрын
Huyu Diva Wakat mwingine kama hazimtosh mungu anisamehee Hasa maneno yote ya nn si uamuz ni wako
@Hawaa-cw6fl4 ай бұрын
Mm naona zinamtosha uoni waliopita aliwaumiza ss kama tadinu tudan
@user-pu6pr5jt4n4 ай бұрын
😂😂😂😂Divaaa
@generosennko83434 ай бұрын
He. Poleni vijana kwa changamoto za maisha. Sasa huyu mume bado ni shehe kweli au? Mie ni mkristu. Ila zamani tumelelewa ktk jamii ambayo ukisikia mtu ni shehe unaona amebeba majukumu makubwa sana ktk dini na kuheshimiwa tena kwa kuogopwa. Sasa je mashehe wakisikia habari hii ya kusikitisha na aibu kuhusu shehe mwenzao je watajisikia vipi?
@sophiekindem90714 ай бұрын
Psykopat.. Mwanaume wa Ki Islam anaruhusiwa 4 wives. Eti Mzungu Wangu.. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Famous people tunakutana nao Kila siku mitaani.. Brand, Brand ipi? 🤷🏽 Please give us a break!? 🤷🏽
@DianaWilly-mr2pf4 ай бұрын
Divah anapempenda mumewe jamn aya yote anaongea anataka mumwe habadilike jmn
@user-gj2mm3ko8m4 ай бұрын
😢Sheikh WA mchongo amekuroga YAANI Amekutomba akili zikawa mbovu sasa huyo Mjinga huyo Abdul. Ungemwacha Jana ungemvusha kitambo nangoja talaka kufa wewe utampata ukwili. Wewe sio mkali maana Mimi Abdul hangekaaa hata 5min
@David_keyan4 ай бұрын
Hyo mtangazaji anavyomsapoti sasa kumbe anataka tu umbea 😂😂🙌
@LeeLian954 ай бұрын
Me ningekua mtangazaji nahisi ningeshindwa🤣🤣🤣 kumsupport mtu kwenye upuuz siwez mxew
@David_keyan4 ай бұрын
@@LeeLian95ahahahahahha
@hadijastevenhart56764 ай бұрын
@@David_keyan😂😂😂😂😂😂umejua kunichekesha.
@hadijastevenhart56764 ай бұрын
@@LeeLian95usipomsapoti sasa umbea utaupataje😂😂😂
@rubbymusa19714 ай бұрын
Huna haja ya kusema yote haya, fata taratibu muache upewe talaka tumechoka jamani
@tumainimwaifunga38844 ай бұрын
Diva akili yako sio nzuri
@user-kk8px8ii1z4 ай бұрын
Yanini kuolewa wakati,mwanamke anatakiwa amsitiri mumewe ata kama anatabia za ajabu ila kama mwanamke msitiri basi
@qelseykenya39334 ай бұрын
Be safe DUNIA NI mbaya Diva jipende
@evenasubo31174 ай бұрын
You need help dada💔
@boscomtani10064 ай бұрын
Mambo ya familia huwa hayazungumziwi kwenye mitandao. Busara kaeni mzungumze tofauti zenu. Mkishindwana mnajua taratibu za kufuata. Kuyaweka huku mkumbuke kuna kesho na mna familia na ndugu.
@user-yv7xg4em4s4 ай бұрын
Bado hujamove on .move on my dear utakufa.
@elizabethbwakila39824 ай бұрын
Huyu dada angekuwa mrefu au mzuri watu wa ovyo ovyo tungekoma😂
@FatumaIssa-kw3vv4 ай бұрын
My beautiful Sister in Islam I love you but sizani kama nivizuri kuongea mambo ya mumeo hazarani!! Kama umeshindwanae achana ane kuliko kuonge mazaifu ya mmeo. Sote tunapitia mazito, lakini tukishindwana tunaachana maana hakuna aijuaye kesho I'm sorry but I have to say that
@matridamwalyoyo17354 ай бұрын
Diva akili zake anazjua mwenyewe 😂😂😂 et wanamtongoza😂
@user-pq9qc1sz7b4 ай бұрын
Huyo so sheikh.msiharibu jina la masheikh.wote Malaysia nyie mumekutana
@user-bg3yq9ty6b4 ай бұрын
Kaoa kweli tena mtoto mdg
@matridamwalyoyo17354 ай бұрын
Kumbe???
@alwiyad19774 ай бұрын
Anakunywa anti biotic and continue???
@claudineali35614 ай бұрын
Wewe Diva tukome kabisa.tumekuchoka nakelele zako atakaye amuwa kuachika niwewe mwenyewe,ukinukiwa na yeye utaamuwa.usitutoshe sisi
@rosehaule67654 ай бұрын
😅😅😅😅wewee
@cdeleo93364 ай бұрын
Wote mtakuwa wagonjwa maana hakuna mtu mwanaume wake ana tabia za hivyo akabaki. Wewe diva ni desperate and sick women pamoja na huyo tapeli wako
@fauziasultanikilewa76024 ай бұрын
Qumbe mange anasemaga uqweli jmn 😂😂diva alimpiga tuqio abdul 🎉🎉🎉
@leaherasto9294 ай бұрын
Ulichosema nikweli umetumika sana
@aminanamoyo834 ай бұрын
So 🤷♀️?
@glorianikiza39404 ай бұрын
Tulivo kua tuna comment kwa diva ju ya mganga wake aka to block tujuane apa 😅😅
@AminaAmina-gs9zz4 ай бұрын
😂😂😂😂😅😅😅😅diva
@efrahfarahahmed89604 ай бұрын
Kama unavumilia yote hayo ungenyamaza tu mwanamke wa nguvu na roho ya huruma wakipekee kabisa😂
@user-bs2nr7gz5p4 ай бұрын
Sasa kama ana matatizo unaendelea nae wa nini wewe ubongo wako ni wa kuku kila siku unalalamika kuhusu huyo mwanaume
@user-qs7lj7kj1k4 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ubongo wakuku😂😂😂😂
@mwanaishaabubakar50134 ай бұрын
Mshamba wewe limbukeni wa wanaume halafu unapenda kujisifu. Kama yeye rahisi kuvua nguo zake na wewe pia ulikuwa rahisi kumvulia weye. Si unapenda ushirikina ulikwenda kwake kuroga sasa kakuroga wewe mpaka ukaingia kingi mzimamzima. Leo unasema sawa sawa kama sio wewe. Kumbe stresse zinakurudisha kwenye asili yako leo unasema vizuriiiiii. Acha kujifanya nature yako nzuri kuliko unavyojifanya hijui kiswahili. Afadhali kakufundisha adabu na kakutia akili na mji ushauona mama be nature utakuwa mzuri zaidi. Leo mzuri hata sauti yako. Lakini kujifanya hupendeI unaonekana cartoon tu. Be nature. usijifanye
@sistersade90394 ай бұрын
Dah bora tu ungenyamaza diva, sijui baina yako na mumeo nani mjinga zaidi 😂
@hyy41144 ай бұрын
Ndoa ipo ndani ya sheria ya Jamuhuri Diva umenifanya nicheke
@ChochoZuchu4 ай бұрын
Huyu ni mgongwa 😂😂😂😂😂
@ireneimbuhira77594 ай бұрын
Una juaje?
@rosehaule67654 ай бұрын
Weeee dodoma kumbe kunadangika eee kina nani wanadangiwa haoo? Kwahiyo danguro lipo dom ati mbona kukame sana😅😅😅😅
Kuna kurogwa lkn wewe ni zaidi ya kurogwa, Yaani hata Ile akili ya ziada hata kdg hauna,, Unaanzaje kuolewa na mfuga majini... Na bado ujasema, Au katelelo ndio inakuchanganya!! Maana mhaya ikipelekea hiyo stle iyo uchomoki
@Catherine-mh8sw4 ай бұрын
Kumbe Abdul muhaya
@agriparose39424 ай бұрын
Kwani diva ni nani mbona watu wengi wanakuina taahira tu
@ngoni79444 ай бұрын
Bado unampenda ungekua hummtaki ungemuacha hata kesho, unacho tafuta kwake ni kuumizana tuu, wanawake wengi wanaumizwa na wanaume ni kama wewe diva unaefikiria unapendwa huku signs zote zipo hakuna ndoa hapo. Stop foolish your self, you have one life
@dayana5513story4 ай бұрын
Duh,she need help 🙄
@beauty22394 ай бұрын
Mwanaume haitwi Malaya siku ZOTE ataiweje ila mwamke ukileta ngebe juu ya mwanaume utadharirika ww sasa hapo na mapenzi unampa alafu humtaki jiangalie KABLA ujaongea
@petroniesindarubaza24204 ай бұрын
Sasa mbona maneno mengi si umove on 😮😮kila kukica kwenye media tupishiye ukooo bwanaaa
@AishaHaji-jn7sg4 ай бұрын
😂😂😂na yeye kaomba interview….mwanaume hadhaliliki mwaya 😩😩😩
@abuibra4 ай бұрын
😂😂😂😂yeye anasema wanawake wengi wanamtaka na wewe unasema wanaume wengi wanakutaka 😂😂😂😅wacheni upuuzi wenu mkae mzungumze yaishe.
@dn.n49834 ай бұрын
Lakini hii kukuzarika usiji ukapata ukimwi so sad unakili unajitamua unajiwezi
@infodigtechforcommunityemp41034 ай бұрын
Hawajakuoa
@user-mo6tr3yt3m4 ай бұрын
Daa diva move on uta kuja kujuta badaee Abdoul yani uwezi tena kumu badilishaaaa ata umupe nini uyo ata kuja kukuuwa na presh bure
@annievibes87944 ай бұрын
Huyu naye ni mjinga tuu mara amsifie mara amtukane😢
@gracekaboigora189Ай бұрын
Diva fikiria kabla ya kutenda
@user-zm8eh3ym1s4 ай бұрын
Huyu dada ni mpumbavu Sana,simpendi jamani
@kessynurutajiri49404 ай бұрын
Diva hazimtoshi, tumhurumie jamani, anahitaji Ushauri. Lkn kikubwa ajue upuuzi wake umetuchosha sana. Huo ushubwada wako umetuchosha kabisa.
@user-wd2bc7bf5x4 ай бұрын
mzungu wa Google
@user-ni2ly9cz3f4 ай бұрын
Huyu sio mke ni takataka
@user-cr4lt9lx6k4 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-el8mh3cy4c4 ай бұрын
Wewe diva ndio mshamba sisi watanzania sio washamba huna lolote
@Chingagirl1234 ай бұрын
How old is diva?
@salmakasim83904 ай бұрын
She used to say she is 35 yrs old
@minaeli59894 ай бұрын
40+😂😂😂😂
@princesschii40904 ай бұрын
40 yrs my dear
@MaiKasimu-xf4fz4 ай бұрын
Shida ya WA BIBI...😂😂😂😂😂😂😂
@salmanassor87324 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@alexndihokubwayo80104 ай бұрын
Wewe diva huna bakwenda kubari hunapakwenda
@Official836404 ай бұрын
Kwani hapo alipo anakaa kwa Abdul au kwake yaani huyo anapanga nyumba kodi za matangazo halipiwi na mume
Hugo bibi jamani nimgonjwa wa akili bwege mkubwa hana lolote jizi hilo
@DianaWilly-mr2pf4 ай бұрын
Anampenda mume wake jamn mwee
@soamShs-cp4dl4 ай бұрын
Tulia tu na huyo mganga mpaaka muaibishane mitandaoni hata itokee kweli muachane dini inasema tuachane kwa wema nyinyi mupo pamoja ila mnacheza na Mungu mnafanya ndoa ni movie
@kessynurutajiri49404 ай бұрын
Diva huna jipya, tumekuchoka. Kwani lazima uwe na huyo Mganga?.Ww kibibi Kigagula ndo maana Kiba alikupiga chini na akakubatiza jina la Kigagula. Ww ndo unachunwa na Mganga.
@user-vv1te9fu8q4 ай бұрын
Mshamba mamaako na babaako na wewe mwenyewe mbwa mkubwa mfyuuuuu
@nahyialetomia92844 ай бұрын
Diva, where’s your 🧠? Petho za bure na English nyingi ya bure!
@user-pf5zc6xi9w2 ай бұрын
Mshamba mwenyewe
@gracelisso71634 ай бұрын
😢😢😢
@rukiauwonde70624 ай бұрын
Bibi huyooooo😂😂😂
@esthermramba93954 ай бұрын
Weee ila TZ si kuna watu wa ajabu jamani
@ngoni79444 ай бұрын
Laana yote hii unayoyapitia ni kubadili dini na kuwa muislam hiyo dini huijui na hata kusoma quran huilewi lugha. Mrudie yesu wako utaona amani ya moyo, huko uliko siko
@estermahenge-ks3dr4 ай бұрын
we diva 😂😂😂kumuacha uwezi na una mtangaza maovu yake 😂nikama una jidhalilisha wewe😂😂
@ireneimbuhira77594 ай бұрын
So asitembe mitahani? 🤔
@oyay28214 ай бұрын
Huyu Diva atakuja juta pindi atakapo wachwa na kuchezewa na hao wazungu na wenye pesa
@estermahenge-ks3dr4 ай бұрын
karogwa sio yeye😅
@Hawaa-cw6fl4 ай бұрын
Mume gani huyo wa ovyoo hivi amuoni hao waliopita aliwaumiza inastahiki aseme ili nyie wengine mjifunze mwezenu ameyaona kwa macho
@leaherasto9294 ай бұрын
anakudhalilisha sababu wewe nimkewe anatoka nyumbani anaenda kulala namijimama
@angonzamujunangoma87754 ай бұрын
Diva ❤❤❤❤
@elizabethbwakila39824 ай бұрын
Huyu dada angekuwa mrefu au mzuri watu wa ovyo ovyo tungekoma😂
@user-yv7xg4em4s4 ай бұрын
Akii jamani hata kama meachana strianeni jamani mmeshea kitanda.
@UmmyLubna-rp6rv4 ай бұрын
Ukome kutaka vinga'sti.Akitoka huyo mtafute mwengine ulie tena kwenye media.