🔴

  Рет қаралды 72,836

Wasafi Media

Wasafi Media

5 ай бұрын

🔴#LIVE: VITA YA KIMAHUSIANO KATI YA ABDUL RAZACK NA DIVA / SIJAACHANA NA DIVA HAIWEZEKANI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 409
@halima23862
@halima23862 5 ай бұрын
Mtoto ni maajaliwa ya mungu sio sisi binaadamu acheni hayo masuali
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 5 ай бұрын
Diva maskin hata hana makuu huyu mume tuu sie 😢
@MarthaJoseph-pp6ir
@MarthaJoseph-pp6ir 5 ай бұрын
I feel sorry for diva kwa kwl hapa hakuna mwanaume 😭🙌ruuuuun
@firdaussheikh4817
@firdaussheikh4817 5 ай бұрын
Wanawake wanao kujifanya expensive wanapata mtu km huyu😂😂😂😂😂😂😂🇬🇧 anamsifu kisha nyumbani anamfanyia tofauti. Mtt wa wenyewe anaumia 😢😢😢😢 km ana shari na diva wetu mungu amnusuru❤❤😢😢
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 5 ай бұрын
😂😂
@MsAggie5
@MsAggie5 5 ай бұрын
Shehe mchawi 😂😂😂,
@user-gj2mm3ko8m
@user-gj2mm3ko8m 5 ай бұрын
Amerogwa
@firdaussheikh4817
@firdaussheikh4817 5 ай бұрын
@user-gj2mm3ko8m anerogwa. Anam ogelesha loving in social media reality anataka akae maid . Allah amsaidie Diva rehana 🥺🥺
@user-gj2mm3ko8m
@user-gj2mm3ko8m 5 ай бұрын
@@firdaussheikh4817 😁😁
@keyla3641
@keyla3641 5 ай бұрын
Mimi nilikuwa simuelewi diva lakini sasa namuelewa sana Leo kaongea tusimuangalia Tu kwenye insta love u diva
@user-yv9xx1jw1q
@user-yv9xx1jw1q 5 ай бұрын
😂WAO,DIVA SO MCH LOVE FOR U CC❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤SO BRIGHT,INTELLIGENT AND TOO BLESSED SISTER!LOVE FRM THE OTHERSIDE,here Malawi🎉🎉
@yussufmohammed9299
@yussufmohammed9299 5 ай бұрын
Mm Usthi Adully nakuelewa sana hao W/ wke hao tuwe nao walicho pewa N Mungu hakiwatoshi ,utampa nn au utafany nn Aridhike hyo😊🎉
@Queenofdsouth
@Queenofdsouth 5 ай бұрын
Aisee dunia ina watu😂huyu kaka anaongea kwa confidence as if he has sense
@eshialabonita7736
@eshialabonita7736 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@cdeleo9336
@cdeleo9336 5 ай бұрын
Diva ukija kustuka ni too late . Umeolewa na tapeli wa kimataifa
@Marymeekie
@Marymeekie 5 ай бұрын
This was more than a HOLLYWOOD MOVIE….DAMN!!!! 🥵🥹🙌🏽
@annabubelwa4543
@annabubelwa4543 5 ай бұрын
😅😅😅😅
@mfungonishauri4234
@mfungonishauri4234 5 ай бұрын
Razaq kidume MA Sha Allah
@matildamati9222
@matildamati9222 5 ай бұрын
Iwe funzo kwa wengine mana mnachezea wanawake sana acha Diva amnyooshe na usheikh wake I love u Diva
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 5 ай бұрын
Shekhe tapeli namba moja
@aishaarusha894
@aishaarusha894 5 ай бұрын
Wewe namba mbili
@ditaely7309
@ditaely7309 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@aishahasan7722
@aishahasan7722 5 ай бұрын
😂😂😂😂hata ongea yke ya mchongo mchongo😂😂utapel mtupu hpa tumepigwa😂😂😂
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 5 ай бұрын
@@aishaarusha894, 🤪🤪🤪, Aisha namba 3
@meryamabdullah2081
@meryamabdullah2081 5 ай бұрын
🤗🤗🤗🤗🤗
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 5 ай бұрын
Leo Wasafi mtakoma mliyataka wenyewe😂😂
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 5 ай бұрын
BIG LAIR
@munashabani
@munashabani 5 ай бұрын
Ni mepends Aya mazungumzo😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤adi rahaaa
@EmanuelNicholaus-vn9gl
@EmanuelNicholaus-vn9gl 5 ай бұрын
Hta ma-King of love ❤wanasumbuliwa na mapenzi
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 ni shida
@matildamati9222
@matildamati9222 5 ай бұрын
Tena Hawa ndio wananyooshwa hasa 😂
@benignatairo4722
@benignatairo4722 5 ай бұрын
NYIE WATU MNAPENDANA SANA ,DIVA NA ABDUL❤❤❤ PENDA SANA NYIE.
@charlzmboya
@charlzmboya 5 ай бұрын
Shehk uko vizuri nakuelewa sanaaa😊
@matildamati9222
@matildamati9222 5 ай бұрын
Na bado hajaeleweka acha anyooshwe anamletea Diva ufuska wake hapa, love u Diva
@emmah_bill5597
@emmah_bill5597 5 ай бұрын
He will never change
@chimamilion
@chimamilion 5 ай бұрын
Uyu kaka namwelewa sana lkn mke ndo mtihani
@shangwefisima3993
@shangwefisima3993 5 ай бұрын
We usinidanganye hawa wote na mkewe wanatuvuruga...ni majipu...ndio maana huyu anakimbiliaga kucheat
@nanaritho6850
@nanaritho6850 5 ай бұрын
Namuelews sana diva anayopitia ki kweli
@zaitunisagwa2082
@zaitunisagwa2082 5 ай бұрын
This guy is intelligent upstairs. Though ni tapeli wa mapenzi.
@user-dj9xx9jl4j
@user-dj9xx9jl4j 5 ай бұрын
Nimefurahi alivyojishusha na nimeumia alivolalamika kuhusu rose kuwa anapata faraja akipewa mana anaona kama amefarijiwa na mama ake mana ni jina la mama ake.
@mankinemansulikine-2220
@mankinemansulikine-2220 5 ай бұрын
Diva kiukweli unampenda sana mumeo safi sana ❤
@Zainab_salat
@Zainab_salat 5 ай бұрын
Wa nje wa ndani no no Anajifanya anaswali na anazinii kweli mpaka wafanyakazi analala nao, diva should move on
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 5 ай бұрын
Allah awaondoshee tofauti inshallah
@leaherasto929
@leaherasto929 5 ай бұрын
Usithubutu kuolewa namganga kuachana mpaka atake
@rhodarichard4494
@rhodarichard4494 5 ай бұрын
​@@leaherasto929 wew mpuuz umenichekesha 😅😅
@meryamabdullah2081
@meryamabdullah2081 5 ай бұрын
Jamani mbona kuaibishana hvi 😢
@barakayamo6996
@barakayamo6996 5 ай бұрын
Uyo shekh amekomaa sana kiakili.
@alonchobasamiye6844
@alonchobasamiye6844 5 ай бұрын
Mm naona Haina sababu ya kuzungumzia mahisiano yaliyo Kisha kuvunjika kweye mitandao
@christabelkajirwa1706
@christabelkajirwa1706 5 ай бұрын
It’s ommy with dang dang dang for me 😂😂😂
@faridalihondo3322
@faridalihondo3322 5 ай бұрын
Yan ananiboa 😂😂😂😂
@faridalihondo3322
@faridalihondo3322 5 ай бұрын
Utaskia okee oyeee 😂😂😂🙌
@claudiajames2003
@claudiajames2003 5 ай бұрын
😂😂Yani hapa Diva umepigwa na kitu Kizito,Yani umeolewa na Bluetooth! Huyu ni hatari! Jamaa anaongea mpk hata anapoteza ladha ya kuwa mwanaume
@user-pl1fk6yz4u
@user-pl1fk6yz4u 5 ай бұрын
Eti Bluetooth
@christabelkajirwa1706
@christabelkajirwa1706 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@halima23862
@halima23862 5 ай бұрын
Mungu ndio atawajalia
@khamismgunya4519
@khamismgunya4519 5 ай бұрын
Naisubiria interview ya night
@bravofundikila965
@bravofundikila965 5 ай бұрын
Unajitahidi sana kumuelewa mke wako na kujaribu kumtetea kama mke, safi sana.
@Lissarams
@Lissarams 5 ай бұрын
Lakn lmke lenyewe tahira
@collinsenock2964
@collinsenock2964 5 ай бұрын
RUN
@user-bi7wf4nz2d
@user-bi7wf4nz2d 5 ай бұрын
Haloooooh hatariii na nusuu tupe ubuyu baba😂😂
@suzanapangani9305
@suzanapangani9305 5 ай бұрын
Nimemuelewa Shekhe kuwa ameamua kuishi anavyotaka Diva maisha ya kujipapulish mbele za watu!!
@ZubedaHussein-it7nf
@ZubedaHussein-it7nf 5 ай бұрын
Uyu mwanaume mkimuona wanawake mpitien mbali hafai aisee😊😊😊😊😊
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 5 ай бұрын
Toa sababu
@ghulamhaji7856
@ghulamhaji7856 5 ай бұрын
Dive anafa
@user-bi3ky7vy2q
@user-bi3ky7vy2q 5 ай бұрын
Mmmh Shikamoo Mahusiano.
@RuwaidaMohd-zs4kq
@RuwaidaMohd-zs4kq 5 ай бұрын
ww unalipwa ulivowafanyia wanawake wako wamwanzo ss baki uteseke na wao wanacheka saiv
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 5 ай бұрын
Mi nishsmuelew uyu kaka nishafahamu diva ndio alielikoroga hakupaswa kuchukua maamuz ya kuolewa maisha ya diva na huyu kaka ni vitu viwil tofaut diva anatak penzi la huyu kaka wanapendana life style ndo panamtihan
@issazalala4907
@issazalala4907 5 ай бұрын
Eti mtu analipa milioni5 kwa mwezi wakati hata kiwanja hana 😂 pumbavu zao lazima mfe masikini
@user-gy3dv3tq8d
@user-gy3dv3tq8d 5 ай бұрын
Wamerogwa wasanii😂
@rahmaali2694
@rahmaali2694 5 ай бұрын
Manshallah,napenda kuombwa msamaha namume,Alhamdulillah,diva ishike ndoa yako,wanaume wote ndio wako hivyo
@LeeLian95
@LeeLian95 5 ай бұрын
Wewe na Divah wote akili hamna, huyo Kaka hana mapenzi na Diva yuko kwaajili ya kumtumia, Mwanaume hamtunzi yuko kazi kumdhalilisha tu na hamuachi Divah mpk atimize malengo yake, anakula bure anakaa bure na kashajua udhaifu wa mkewe 🤣 kuomba msamaha tu kidogo kalegea looh wakt linamdhalilisha kila siku, et wanaume wote wako hivyo hyo mentality sijui mnatoa wapi
@bhokesaid3264
@bhokesaid3264 5 ай бұрын
​@@LeeLian95asante nimecopy na kupaste hii comment yako
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 5 ай бұрын
Sio wote
@cdeleo9336
@cdeleo9336 5 ай бұрын
@@LeeLian95kweli kabisa huyu mwanaume ni tapeli anamtumia tu huyo diva. Na huyo diva since hajapata upendo tangu akiwa mtoto ndo kaangukia kwa huyo tapeli
@zainabusabas7421
@zainabusabas7421 5 ай бұрын
​@@LeeLian95wanaume wa hivi hawatoi talaka wanavyo penda kitonga 😅😅😅😅
@RahmaRashid-lc6nw
@RahmaRashid-lc6nw 5 ай бұрын
Lkn diva inatakiwa akuwe kwa kweli sasa mauwa yatamfanya nn ndoa ina mambo mengi lazima apige moyo konde mambo yaende mbele tumo kwenye ndoa miaka 27 kwenye ndoa ata sikumbuki lini nimepewa zawadi kila kitu najifanyia mwenyewe unashukuru tu umepata wa kukikidhi haja zako Alhamdulilah
@rizikisam6481
@rizikisam6481 5 ай бұрын
Hongera
@tunudachitalks6575
@tunudachitalks6575 5 ай бұрын
Hongera mwayaa maana kiukweli huu ndo uhalisia wa maisha ya wanawake wengi diva siyo mwanamke ni binti
@vumiliakilosa4548
@vumiliakilosa4548 5 ай бұрын
Abdul yuko vizuri kabisa
@mimahmimah1595
@mimahmimah1595 5 ай бұрын
Ati mwanamke akija kwako lazima azae kwaiyo huitaji uwezo wa mungu alaf wajiita sheikh labda sheikh ukwaju
@rizikisam6481
@rizikisam6481 5 ай бұрын
😂😂😂😂 sheikh ukwaju
@marymanoni5536
@marymanoni5536 5 ай бұрын
Diva unashida pole diva pole sn hapo hakuna mtuuu hapo
@Maryam-vj1rb
@Maryam-vj1rb 5 ай бұрын
Kazaba umoja
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 5 ай бұрын
Keif ente 😊
@emilianapaul2751
@emilianapaul2751 5 ай бұрын
Mtangazaji: mlisolve vip?? Shekhe:Alitembea😅😅😅😅
@user-pl1fk6yz4u
@user-pl1fk6yz4u 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@halima23862
@halima23862 5 ай бұрын
Nyie waandishi wa Habari ndio mnaketa unafiki maana mnauliza masuali ya undani
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 5 ай бұрын
Huyu kaka ukimdifia tu Anakuomba picha akuone na anataka kukuoa😅😅😅
@zulphaadam4671
@zulphaadam4671 5 ай бұрын
Uyuu bab ayukoo sw
@Ndiyooo
@Ndiyooo 5 ай бұрын
Kweli sheikh ni mkweliii
@user-ir5ec5jn3w
@user-ir5ec5jn3w 5 ай бұрын
Sheikh gani huyu Masheikh wakina Othman Maalim, Nurden Kishki awache kujiita Sheikh anatufanya hatuijui Nyeusi na Nyeupe!
@AminaAmina-gs9zz
@AminaAmina-gs9zz 5 ай бұрын
Huyu mwanaume hayuko na mapenzi ya kweli naye he just pretend tu kwa ajili ya manufaa yake diva she is going real had to him diva walk away dear love you mwanamke mwenzangu, hakuna kitu vibaya kama mtu ku pretend kukujali mbele ya watu but ndani ni fofauti ni mabaya sana huyu kaka ni muongo ata ongea yake na pia ni binafsi na dharau juu eti ni sheik mmmh 😂😂😂
@MsAggie5
@MsAggie5 5 ай бұрын
Dawa zake alizomroga amuoe imeisha 😂😂😂😂
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 5 ай бұрын
Nimemskiliza diva kwa makin sana diva mkweli sana
@musamadua8102
@musamadua8102 5 ай бұрын
Wewe Sheikh, linda heshima ya ushekhei Yule mwanamke hakufai, anapenda kukusanya dunia, Tanzania inadjaa na wanawake wengi, wafata Dini, mbona unawatiya ayibu wa Sheikh ?
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 5 ай бұрын
Mmmh Ngoja nisikilize tu…
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 5 ай бұрын
Amuelewa abdul
@sperabais
@sperabais 5 ай бұрын
Diva mwenyewe analalamika kwa ajili yako sema tu nimefurahia unavomtetea
@thetas08
@thetas08 5 ай бұрын
Huyu jamaa kwa sie akili zetu timamu kwanza muongo then anaongea sana then ushekh sio dizaini hiyo huyu ni fake love period
@biggievandar254
@biggievandar254 5 ай бұрын
Lazima atajijitea ila hyo jamaa nitapeli sana hawezi kubali but nitapeli yeye na diva wote wakora
@aishahasan7722
@aishahasan7722 5 ай бұрын
Mmh anaushekhe gan nae huyoo😂😂😂hovyoo we shekhe au shekhena 😂😂kwendraa huwez kuwa shaikh ww😅shekhe gn mkeo anavaa mawig anaogaje janaba km siouchafu,
@mahmoudukusso4488
@mahmoudukusso4488 5 ай бұрын
Swadakta ukhtii
@user-dj9xx9jl4j
@user-dj9xx9jl4j 5 ай бұрын
Ukiona mtu anaongea na akimaliza anagongeana na mwenzake hvy kuna namna
@zuheilarama6233
@zuheilarama6233 5 ай бұрын
Abdul anampenda xna mke wake..,lakin mke mwenyewe ako na mambo mengi xna
@abubakarysendeu2532
@abubakarysendeu2532 5 ай бұрын
Apo matapeli wawili Wana mfaidisha shekhe mansuri.wanauza utu wao,alafu huyu jamaa ni kama juisi ya miwa tu hata ikitiwa limau ndimu tangawizi haichachuki
@Queen-be1uf
@Queen-be1uf 5 ай бұрын
Hapo pa familia yake diva una wazimu. Wewe mke tuu leo ana wewe kesho ana mwengine, familia yake ndio muhimu daima ataishi nayo ukipenda usipende. Usilete fitna
@user-cu7ic4wy9h
@user-cu7ic4wy9h 5 ай бұрын
Uyu jamaa ni kiboko😂😂😂❤
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 5 ай бұрын
Muongo huyu bwana sana kaweka hata kitanda office yake akipata mwanake tu analala naye hapo akiulizwa anasema anapumzika yeye
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 5 ай бұрын
Kweli mganga time hii mke umempata pasua kichwa yani utajua kumuoa miss mitandao haki kilakitu anaandika kwenye mitandao mpaka wazazi wako duh
@cocorita8367
@cocorita8367 5 ай бұрын
Wewee akipata mimba ikifika miezi 3 ashonwe zikibaki Wiki 2 kujifungua nyuzi inatolewa anazaa hii niifanya kwa mtt wangu wa kwanza na sasa ana 14yrs lkni ilikuwa south Africa sasa dola elfu 5 kwa nyumba akajitibu apate mtt wake
@zamdageuka9153
@zamdageuka9153 5 ай бұрын
Hawashoni wanafunga
@saidimussa8200
@saidimussa8200 5 ай бұрын
Jamaa kolombweo sana
@MultiMbongo
@MultiMbongo 5 ай бұрын
Dah siri zote nje,kumbe Kuna siku sheikh alipaka maji akambandika bibie😢😢😢
@zainabusabas7421
@zainabusabas7421 5 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@consolatepondamali9984
@consolatepondamali9984 5 ай бұрын
Diva tu aimes vraiment ton mari très propre à😂😂
@noraazan9124
@noraazan9124 5 ай бұрын
Huyuu kaka ni msanii sana loooh hakuna mume hapa
@ghulamhaji7856
@ghulamhaji7856 5 ай бұрын
Na mke hapana apo
@ghulamhaji7856
@ghulamhaji7856 5 ай бұрын
Kama wewe shehe mbona mke wako anavaa hovyo
@nestorycosmas5717
@nestorycosmas5717 5 ай бұрын
Huyu mjinga kwenye kujieleza, yuko vizuri
@neemayatosha1618
@neemayatosha1618 5 ай бұрын
Nimecheka mimi dah!🤣🤣 kwa ndoa gani sasa ya kupigwa vita. It's official hawa ni Mr& Mrs. Delulu yaani wamekutana full kujiongopea,kuongopea watu na kuongopeana wenyewe............
@user-xr2hw3om9z
@user-xr2hw3om9z 5 ай бұрын
Waache Kiki wote ni wababaishaji diva akipotea mitandaoni anazua ishu ili azungumziwe. Tumewaxhoka
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 5 ай бұрын
Ila kweli nyumba ya dola 2000 sio kweli!!!
@teddymathew2155
@teddymathew2155 5 ай бұрын
Tapeli jamaniii khaaah
@salama1113
@salama1113 5 ай бұрын
Huyu kaka muongo jamani kaah
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 5 ай бұрын
Ukiachwa achika kaka dah nishai sn
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 5 ай бұрын
Nchi ya hovyo sana ... Mpaka mambo ya ndoa yanaongelewa ktk radio tena mpaka jinsi ya tendo kenge nyie 😏
@chibandamwende3676
@chibandamwende3676 5 ай бұрын
Mtihani tuu mtu wa sura zake elfu Mia kakutana na Babu ya Tapeli yani Diva hapa alijilidhalilisha sana !Mganga ndiii😂😂😂
@sitiabubakar2892
@sitiabubakar2892 4 ай бұрын
Tena ndii..ndii...ndii...😅
@Naju645
@Naju645 5 ай бұрын
Shekhar anajua kumzungusha akili diva nahivi diva mwenyewe Hana akili ndio basi
@queenlinda255
@queenlinda255 5 ай бұрын
Mhh Diva ameisha
@tusemezanenamariana5933
@tusemezanenamariana5933 5 ай бұрын
😅😅😅huyu msanii shekhe ubwabwa huyu😂😂😂😂..kwanza atoe hiyo miwani bibie kasha mwambukiza
@MsAggie5
@MsAggie5 5 ай бұрын
😂😂😂😂 na yeye ni diva 😂😂😂😂
@shadyahamad3724
@shadyahamad3724 5 ай бұрын
Uyo mwanamme anaropoka tu naye muongo hana ata aibu sifa ndo zake
@dignakanje4508
@dignakanje4508 5 ай бұрын
Nanyie mnaependa umaarufu nakujikuta mnaoa mastaa ndio hyo yanawatokea puani.Heshma inashuka,Matokeo yke unatumia nguvu nyingi kujielezea.Hya sasa mwishoe nihyo
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 5 ай бұрын
Kimekonda ki Ustadh chetu😂
@BeullahBujah-lk3sx
@BeullahBujah-lk3sx 5 ай бұрын
Umeshaeleweka Dr.. Diva ni mke wako milele..
@mankinemansulikine-2220
@mankinemansulikine-2220 5 ай бұрын
Nyie nimecheka sana diva unashida 😂😂
@estermahenge-ks3dr
@estermahenge-ks3dr 5 ай бұрын
yani uyu kk ana taka diva awe wake milele
@AfricaQueen
@AfricaQueen 5 ай бұрын
🤣😂🤣Kwa Nini Alikimbia kutompeleka wife fake Zanzibar Kwa Valentine day ???kumbe umepona Na kuja studio🤣😂🤣😂Uliishiwa pesa Ustadh? Au Wife namba two Alikukatazaaaa🤣😂🤣🥳🥳🥳🥳Diva kaingia choo cha wastadhi atadata Divaaaa😏😏
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 5 ай бұрын
pengine tatizo pesa kipindi kizito hichii
@KADALAtv255
@KADALAtv255 5 ай бұрын
Psychology ipi
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 5 ай бұрын
Huyu kaka nimuongosana
@namsamson3443
@namsamson3443 5 ай бұрын
Unamuabisha mwenzio kwenda huko
@taseleli9181
@taseleli9181 5 ай бұрын
Kwani Diva mbona anamdhalilisha sana huyu shekhe Abdul
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 5 ай бұрын
We muongo bwana tena wa hali ya juuu😂😂😂
@getrudecharles8869
@getrudecharles8869 5 ай бұрын
Sasa Siaache kazi kwa mda azae
@rahmanamani3422
@rahmanamani3422 3 ай бұрын
Astaghfirullah huyu baba hazimtoshi anatakiwa ajitibu vipi asomee maji alafu apake sehem za siri hata huna haya mshenzi mkubwa
@abiaslimadyanse1842
@abiaslimadyanse1842 5 ай бұрын
Ila Tapelin Daaah 😅😅😅😅
@kissamwamunyange1018
@kissamwamunyange1018 5 ай бұрын
Unauhakika au umesikia?
@MsAggie5
@MsAggie5 5 ай бұрын
😂😂
@user-tt5rn7kc6l
@user-tt5rn7kc6l 5 ай бұрын
Whoooooofuuuuuuuu
@BiaishaKadangu-ee3xp
@BiaishaKadangu-ee3xp 5 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅 uwiiiiiii mauwaaaaa❤
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 5 ай бұрын
Diva ni mtto mkichwa kwei
Can A Seed Grow In Your Nose? 🤔
00:33
Zack D. Films
Рет қаралды 27 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 7 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 16 МЛН
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 22 МЛН
Salama Na JOTI Ep 47 | SIMPLY SPECIAL PART 1
35:15
YahStoneTown
Рет қаралды 464 М.
🔴#LIVE:SISHKIKI ON THE SWITCH  NDANI YA WASAFI FM 02-07-2024
42:54
IQ Level: 10000
0:10
Younes Zarou
Рет қаралды 11 МЛН