DJ SEVEN ASIMULIA A-Z KUNYANG'ANYWA POSHYQUEEN NA HARMONIZE, ANASHUKA, KUFUKUZWA KONDE GANG?
Пікірлер: 75
@lincolnodewa778521 күн бұрын
Hii situation nailewa..dem unamlete kwa ur freinds alafu anapenda ur freind ...inauma..tho hio sikunyang'anywa..n bahati mbaya tu
@tumainiellyimo465715 күн бұрын
Yaani vijana bwana,alorr of money(mnaharibu lugha za watu)
@maikopatson483316 күн бұрын
Jamaa muoga sana wa Maisha,, HAJIAMINI kwa level ya juu sana. Alichifanyiwa hakivumiliki..amedhalilishwa na Konde pia na Poshy. Ila ana hofu maisha yatamchapa hivyo anajitahidi kujidai yupo sawa.. ili aonewe huruma ikitokea nafasi KONDE
@worldhappiness118122 күн бұрын
Labda kuna mengne nje ya mapenzi. But wanaume tunasamehe tunapiga hatua mbele
@hollymore490421 күн бұрын
Iko Waz mkuu👊
@shukranisibale173920 күн бұрын
Ndogo kitu kibaya sana kinawapa uchizi vijana
@fadhilimbotela104922 күн бұрын
Kama unamkubar seven tia like hapa👍
@ShomaryGango20 күн бұрын
Ila bhana XXL imepoteza kitu am just saying me ni shabiki mkubwa tangu miaka ya 2012 ilikuwa ni kipindi mchana chenye kusikilizwa zaidi but for now msikilizo umepungua baada kutoka kwa adam mchomvu na dozen,,,Hawa waliobaki hawana ubunifu nazungumzia mmoja mmoja mfano. Kennedy na John Jackson wanafanana tofauti sauti tuuuu minnah anakitu Cha kuvutia unataman kumsikiliza to cut a long story short mmekiua kipindi asee.
@MamaLio47517 күн бұрын
Yatakukuta mengi mnooo seven umetelekeza mtoto wako hutoi hata mia aliumwa tukakupigia ukatutukana huna utu wee kaka,utafanya vingi ila 😅acha tucheke tu,damu yako inakulilia
@simondogtrainer749821 күн бұрын
Nmekuelewa anamaanisha alikuwa anakaa na harmonize akimwambia amempenda posh akamuonesha picha harmo akamtaman akamzunguka akachukua chombo.... Harmo hakufanya poa
@user-gz4qb9wz3d22 күн бұрын
Kondeboy noma sana
@tumainihilary683916 күн бұрын
Matangazo ni mengi sanaah
@beatbyrich289115 күн бұрын
Mbona wanawake wengi nendeni Brazil Ecuador
@PrinceBonnyTz822 күн бұрын
Clouds mnakwama wapi hata Camera mnashindwa kununua 😅 mna Camera moja
@user-ik4ki3zo8c22 күн бұрын
Meena ❤
@jaffjeff691220 күн бұрын
Mlivowambea mmejizunguusha kumuuliza
@AlexanderNimbona-lj4ln19 күн бұрын
Mwanamuk nigalama bro usicezeey kond boy jeshi hanautani.kwenye utunzi
@bonaventuralupogo214922 күн бұрын
mwanaume ukiwa hujui women nature utateseka sana
@KassimAlly-xp4dz17 күн бұрын
4 real
@NgowiWinston22 күн бұрын
Dj seven anaulizwa hiyo mama unaishi hapo anajilambalamba konde boy kamnyoosha
@victoriajoachim727121 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@DjMswati21 күн бұрын
😂😂
@omaryrazalo430221 күн бұрын
Move on Brow
@MohamedAhmed-bn1th22 күн бұрын
Watangazaj wa clouda bana swali dooogo wanazunguuuuuuuuuuuuuuuruuuuuka
@ms_teeonly22 күн бұрын
Wananiboa kweli
@andrewemmanuel186118 күн бұрын
Bro tatizo sio ww but tatizo aliekuwa Dem wako
@GeorgeEdward-mu1xg22 күн бұрын
😅😅 sud asee umenyokaa snaa
@saidomar421821 күн бұрын
Seven inaonyesha maisha yamempiga,,,leo anaongea kwa adabu, anaomba poo kiaina.
@johnmichaellukindo2120 күн бұрын
We issa Brown unajificha uso wa nini? Tunakujua 😅
@irenematari621820 күн бұрын
Counterfeit ama contraband
@IbuShabani20 күн бұрын
Ila seven kapungua
@WinnRajabu18 күн бұрын
Kwani weunaonaje
@jaffjeff691220 күн бұрын
Seven midemu ipo kibao tu yenye misambwanda zaid ya Posh Be a gentleman
@eliudkimari-wt5cl17 күн бұрын
Tatizo ni kutojiamini na kutojijaza
@omarymnuru874621 күн бұрын
Mbona muonekano wa ofisi mnauficha ???? Yaani view za camera ziko very close kwa watu yaani hadi hatujui studio ina rangi gani yaani hatujui hata watu wa pembeni waliokaa ni wakina nani
@davidmwambije371321 күн бұрын
Huyu Mwana ana HEKIMA hatari!
@MartinaMsimbe-qk8ug19 күн бұрын
Ulimi kama mjusi anae winda 😂😂😂😂 hapo sijapenda kijilamba lamba
@husseindjumida656819 күн бұрын
Uyoo dem anafanana nawarundi.
@williamreuben486617 күн бұрын
Hahahha
@eliudkimari-wt5cl17 күн бұрын
Kitojikubali
@user-ky7mz7qh1o21 күн бұрын
Acha kutoa toa ulimi mtoto wa kiumeeee auu bwabwaaa
@saidisafarikenya20 күн бұрын
Watangazaji hua wanakua mafala saaaana
@mrsinia306422 күн бұрын
Hiyo Cap ya Seven mbona kama kaazima kwa kondeboy au nyie mnaonaje
@AllyBabu-kr6lg21 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ThomasDede-er5hq22 күн бұрын
Anaongea kwa uchungu namuhisi kabisa
@andrewemmanuel186118 күн бұрын
Nakupa time huyo dem hakai Sanaa huko time yake inahesabika na tutajua sababu tu za yeye kuachwa na harmonize
@KassimAlly-xp4dz17 күн бұрын
Harmo akimuacha yule mhhh nitaiheshim pesa miaka yote
@maryamtanzania974322 күн бұрын
Wanawake tunaangalia pesa
@mashramadhani198922 күн бұрын
Ndio maana siamini KWENYE mapenzi
@danielnyambu286213 күн бұрын
7 drop that shit
@NanaoAkonaay-lw9yd15 күн бұрын
Au jamaa bwabwa alimtaka harmo posh akamtibulia?
@user-gv9lg2ls8t19 күн бұрын
Yaani dume zima linalamba lamba lips 😂😂😂😂😂
@AllyBabu-kr6lg21 күн бұрын
Mina nakutamani mzuri sana kama zamaradi mtetema❤❤❤❤❤😢😢😢. Konde baba wa imani wa uhuuuu mziki🎉🎉🎉🎉. Mleteni na clam vevo apo afanyiwe interview. Dar msambwanda wa pos 😂😂😂😂😂😂😂😂
@djjohn255tz921 күн бұрын
mwamba kabila gani huyu?
@marselsirlema68122 күн бұрын
Hamo sijawah mkubali
@mrsinia306422 күн бұрын
Hata hivo mtu hawezi kukubariwa na wote kwaiyo siyo kosa
@omarymbalala622422 күн бұрын
Wewe nani anakukubali
@user-fm2pw7il4l22 күн бұрын
Hata wewe kunawatu hawakubari virevire😂😂😂
@mashramadhani198922 күн бұрын
@@user-fm2pw7il4lvile vile sio virevire
@priscamrekoni345121 күн бұрын
Si tunamkubali 😅😅😅😅
@user-gh9fi1kd9e22 күн бұрын
Contraband is not magendo jamani kwa ivo tuseme smuggling ni nini??
@Brunn-mh2bq22 күн бұрын
Kwani nyie watu hamjui kitu kinachoitwa dictionary? Zitumieni acheni kujidhalilisha mitandaoni.
@badmanno.165022 күн бұрын
Huyu seven anaonekana alikua anamtaka poshy ila domo zege
@williamreuben486617 күн бұрын
Wewe dada anaitwaga nani
@adrianomaulaga159911 күн бұрын
Mina Ally
@mashramadhani198922 күн бұрын
HARMO MSHAMBA TU
@michaelmisana65021 күн бұрын
Xxxr mmetisha sama
@MTOTOWAvitoto11 күн бұрын
seven kafanana na songa flani hivii
@abumuhammad961518 күн бұрын
Gold digger akikukimbia usilaze damu vuta chombo kingine chap
@DjMswati21 күн бұрын
@afisamipango00522 күн бұрын
Kwenye XXL ametoka Adam Mchomvu amebaki Soud Brown, akili zao wanazijua wenyewe