HARMONIZE: AFUNGUKA CHRIS BROWN KUCHEZA KOMASAVA, ATANGAZA NDOA, KAJALA KUWA BIBI
Пікірлер: 217
@omarybakunda255415 күн бұрын
Crouds muheshimuni mond bila shuruti sipendi mnavyo mfananisha mond na mdogo wake harmonize.
@AlinaniSiame-yq1nk15 күн бұрын
congratulations harmonize for your music best one 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇿🇲💤
@malitozzy353815 күн бұрын
Nakubali sana jesh lkn punguza sana siasa ukitaka kufanya albamu fanya ngoma za biasha napia ukitaka kufanya goma ya siasa fanya moja ata komba mwenyewe alikuwa hafanyi hivyo jesh ❤❤❤❤❤ bro
@user-nb3qq8xs1t15 күн бұрын
Ila anaeweza mwamba
@BAGOTHEGRETY14 күн бұрын
Unatakiwa utofautishe mwanamsic na msanii Mondi ni msanii ila harmo ni mwanamsic katika hii Tanzania wanamusic ni wa chache sana namba 1 ni alikiba 2 harmo 3 Mr blue 4 samiri 5 chidy benz 6 Rostam 7 lavalava 8 young killa 9 dogo janja nawengine Ila mondi yuko kwenye biashala anawaimbia wale wanaofata mkumbo ila music hakuna
@kaditokenya687315 күн бұрын
Trust me practice makes perfect so anyone can do it
@merinakassembe11815 күн бұрын
Mbona alicheza Singel again
@Farida-jx5nz15 күн бұрын
Ww unasaport serikari kinafiki tu kisa unapewa Hela lakin hujuwi uswahilini watu wanaishije pia wanakuchuliaje ww....... Kikubwa heshima kubwa ibaki kwa raia coz no government without residents!!!!
@FranklinMartin-tp5ss15 күн бұрын
we huna akli yan unaongelea mziki ambao ni biashar halaf unamsem mtu kisa anapewa hela sas ulitak awaimbie bure?halaf mzik n sanaa so kila anachoimb ndo kilichopo moyon
@Mizahh-ll5lu13 күн бұрын
Asha sahau shida za mtaa kipato huleta majivuno tunaoelewa ni wachache farida
@RaylaElmi9 күн бұрын
Hakuna kama mond hajawai kushindwa hongera baba lao naomba zawadi mm shabiki wako mkubwa❤❤🔥🔥🔥🔥
@aishaomar184515 күн бұрын
Chris is 😂😂😂😂😂😂 At you ,🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Shame on you And ,🦁 do you IN SHAA ALLAH 🙏
@jameskasololo859414 күн бұрын
Umesemaje Aisha hii kizungu ya wapi
@roberttarimo49567 күн бұрын
Mr harmonize Chawa wa mama
@RamadhanAnafiRamadhan15 күн бұрын
Aiseee umetisha sana ndg
@OswaldOnesmo-jh4bm15 күн бұрын
acha kukaa hapo nakupiga story za madem wenzako huku njia zimesha funguka
@theresiamilanzi590713 күн бұрын
Safi kaka langu nikubali pambana ❤😂
@richkaja331715 күн бұрын
Bdo sanaa tia elaa utoe hit home Boy harmonize
@RomanMwinyi15 күн бұрын
Ivi we una akili nyimbo sitemse na sio challenge na amna ki2 angalia semsema namba zilivyooo
@Allistar-202411 күн бұрын
Koma savaa ni ❤❤❤
@hubimogela916715 күн бұрын
Siasa ikiingia sehemu kuna vitu vinakufa ,endelea kuchanganya siasa na music
@Abu-Hamza25415 күн бұрын
Yani mtu anachora tattoo mpaka kwa uso alafu unaambiwa babake shehe Subhanallah🇰🇪🇸🇴
@PhiloteusMahundi13 күн бұрын
Ushehe wa baba ako u mtoto unakuhusu Nini u tafuta pesa kuwa na maono
@BarakaProtas15 күн бұрын
Seri kali nyingi sana mdomon jaman😂
@pastorpascalmuhinamamp36469 күн бұрын
Ivi ni wa kongomani kuinuwa zaidi mziki wa Tanzanie 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@FranceMwaijande15 күн бұрын
Yani chawa mpaka unakera
@ikramalmas703915 күн бұрын
Wasaniii mshakuwa machawa mamaeeee zenu
@LuluByams15 күн бұрын
Album zote Mbili Hata Moja Akuna Ilio Hit
@user-gf4zp4si6x15 күн бұрын
Hahahahahaba huyu hakuna kitu huyu msani kwa Sasa
@user-gz4qb9wz3d15 күн бұрын
Toa album yko kenge ww
@AllyBabu-kr6lg15 күн бұрын
Mpaka umejua alba mahana ishait au unataka nae asuke kama yule dada enu
@svt315 күн бұрын
@@AllyBabu-kr6lgkwani kuna Album huu mwaka🤫🤫? Yaani kuna Album mpya na haisikilike? Daah pole saana haya wacha tuangalie Chris B anavyo cheza dance za Mondi
@FranklinMartin-tp5ss15 күн бұрын
et anavyocheza dance za mond sas hapo ndo umeongea nn
@NduneBarrack15 күн бұрын
Album ya mwaka huu ilibuma
@svt315 күн бұрын
Kuna Album mwaka huu?😂😂
@RomanMwinyi15 күн бұрын
Mwangu kusoma ujui ata picha uonii co nyimnaomba dua konde afelii pale mwenzio kapiga ela yani we ana weza kuku fungia miaka10 upo ndani 2 jitambuee dogo
@kingsanya686015 күн бұрын
boss ajatoa aliyitoa y ccm
@pauluspaulinus41913 күн бұрын
Album ya maelekzo Ile pesa kashapiga pale
@ShadreckDreck15 күн бұрын
Ila mziki wa na nusu nimehikubali🫡🫡🔥🔥 mziki Bora wa mwaka kwa uwahandishi
@joselynesango443015 күн бұрын
usikosi kuweka congo harmonize
@walterngowi583515 күн бұрын
Fanya mziki wee K...... acha siasa 😎😎
@BarakaProtas15 күн бұрын
😂
@braysonkyungai15 күн бұрын
Haters
@fdizzo12 күн бұрын
Uchawa promax hakuna Msanii hapa
@yusufsong799315 күн бұрын
Watanzania bhana Misondo mbona kapostiwa na uyo uyo aliyepost komasava
@ShukuruLyimo-rl4eu15 күн бұрын
Adamu ajajua amewaza na kitu ndio maana ana sema haoyaoo😂😂😂
@Dareaziz14 күн бұрын
Harmo❤
@shadrackjuliuskaboya523915 күн бұрын
Mwenge wa uhuru au mwenge wa muungano mmakonde kashakula Moshi mgum
@GloireGotiman15 күн бұрын
Tunamtaka chinga kwenye iyo album bhn
@user-ct3bf6dt3z12 күн бұрын
Harmonize unaongea kuntu sana kk unajuwa mpaka unaboa hebu hyo World Cup Album itoe maana tunafuzu soon
@LeopordMkinga-gz9gc15 күн бұрын
Adam mchov kumb naw k,,,,,2 tangz kilicho really Acha chukii😂😂😂
@hassanalyjimmy265115 күн бұрын
Iv ni mim tu nime Ona ama? Harmo amemnongoneza mtangazaji kuhusu kumuliza challenge ya Chris brown 😮
@fikwillG710 күн бұрын
nmeona iyo
@ManMoshi-lh5yu16 күн бұрын
1 one
@user-xr4dp1cs5b15 күн бұрын
Album kelele
@stephenmsanzu985015 күн бұрын
Wcb for life
@ShadreckDreck15 күн бұрын
Sasa kuhingiya nama Bodigadi ndo Nini sasa?Acha ushamba wewe kuna mtu atakukaba hapo?
@FranklinMartin-tp5ss15 күн бұрын
watu weng wamepota kwa kuamin watu hovyo
@user-gf4zp4si6x15 күн бұрын
WATANGAZAJI ACHENI UNAFIKI, ADAM MCHOVU MBONA MNAFIK SANA KAKA, NYIE NDO MNAPOTOSHA WASANIII WETU, HARMONIZE ANAONGEA UTOPOLO ALAFU UNAMSIFU KWEL HUU UJINGA kweli
@AllyBabu-kr6lg15 күн бұрын
Ila harmonize
@user-tg2fw7wz3d15 күн бұрын
Kabisa ❤
@user-gf4zp4si6x15 күн бұрын
ADAM NAYE KUMBE ANAYUMBA
@RamadhaniMshana-gk6vm15 күн бұрын
Komasava
@YasreArafat-kk9en15 күн бұрын
Kwa hiyo ndo mmekuja Na hii sio Tunazungumzia Jambo la kutaifa wiki hii yote hebu tupumzisheni Kwanza Tuko Na Cris brown tunachat Hii tutaanza nayo next week Chain zibadilishwe Hadi zinaboa aisee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@FranklinMartin-tp5ss15 күн бұрын
hahah hilo jamb la chris mbn si tushasahau labda ww unaekalili maisha,halaf hat mond anachain ya simb havui,mbosso anachain ya kichwa cha mtu kimevaa taji ya uking na haivuag sas sjui we unaropokag au vp
@YasreArafat-kk9en15 күн бұрын
Tunakushaurini bure bro Mnaweza kutumia Huu MDA WA kutujibu Ni Bora mkautumia Kwa kunshauri abadilishe chain Msiumie ndo hivyo komaeni mlichagua upande Huo #bado tuko Na breezy
@user-it6zi7zw8y15 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@ndekelaausi716915 күн бұрын
Wewe ndo mwanaume wa Bongo flavor
@user-xr4dp1cs5b15 күн бұрын
Mmmmm huyu anajipendekeza kwa raisi banaaà niafanye biashara
@Rizikialiamechannel76315 күн бұрын
@@user-xr4dp1cs5b😂😂😂😂
@msafitheboss213015 күн бұрын
Amna..... Kitu uyu mpiqa madoqo... Uyuuuu...... Msanii mwenye ufalume wake c unamjuwa
@LeonChoaji-n8z15 күн бұрын
Kwa mara ya kwanza kumuona konde boy amenyolewa vibaya. Kama alinyolewa na Poshy Q, sawa.
@stannslousmusau809915 күн бұрын
Sasa album yako ,,, imefikia wapi
@MWALIMUNASSORO-bj4ok13 күн бұрын
Mond juuuu juuu zaid
@selemanikinyonyi716315 күн бұрын
Kama ni kweli Chris brown kupost komasava ni jambo la kawaida basi apost na nyimbo zake ndo tutaona kawaida yani kajamaa sura imekavimba tumashavu tumejaa kwa ajili ya chuki, ebu tuache chuki jamani komasava ni dude moja kubwa na kama unaikubali like hapa
@hamzamkuti725715 күн бұрын
Sikiliza vizuri kijana
@AsmaMosh-mk8pu14 күн бұрын
Ww tafuta broo hyo wamashavu demu wako akimtext tuh ushaachwa broo cku hizi hatutaki sura cjui uzuri pesa broo.
@Rahma2547414 күн бұрын
Single again 😅
@AmanaAmos-hv3yz14 күн бұрын
Vimba na yako
@sundaysenga760814 күн бұрын
@selemanikinyonyi wewe ndio mwenye chuki konde anaojiwa anajibu shida ni nini? Misomisondo alipostiwa na Chris brown hamjaona😂😂
@MoshiSudy15 күн бұрын
Wivu kk point kacheza wimbo
@fuadaladawi125515 күн бұрын
Harmonize is the best & he will continue to be the best singer ❤
@riverlolence8 күн бұрын
acheni dharau clous
@user-oc3rw8ko7m15 күн бұрын
Comfidency is everything
@Bitendomba-x2o13 күн бұрын
Nakupenda sana hormonize,napenda miziki yako yote hasa Aiyola,unajua,VP kaka?napenda ulivyokuwa na kajala samahan lakin naingilia mapenz ya watu
@jay-bblueband714015 күн бұрын
Huku tuna hazard na Chris's brown
@RomanMwinyi15 күн бұрын
Sasa we ana kujua au uyo dada yako wana mjua inge kua wana mjua asinge postiwa TikTok boya ww
@aliabdallahali699515 күн бұрын
Hahahaha makonde jiongo huli😂😂😂😂
@wabantuorganization203515 күн бұрын
wanakuogopa ulikuwa sura ya harmo rapa sura chachu
@Mohaa430915 күн бұрын
Kwa lipi??
@LucyMichael-kp1nb15 күн бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@nkunzurwandakatibu969415 күн бұрын
JEALOUS KILLS DEEPLY.
@boubabizo24615 күн бұрын
Tuaceni kingereza kingi jakani
@yusufsong799315 күн бұрын
Dogo tokA atoke wcb wakasema atapotea sasa kawa tishio kwa timu nzima ya wcb dogo nomaaa
@sibhonikealiko13 күн бұрын
Duh! Mwenge wa Muungano?????
@Ibrahim-ne3in15 күн бұрын
Tunakungulia dunua😂😂😂
@RoseKipimo15 күн бұрын
Vipi kuhusu bandari?Misitu return je?Mauwaji yanayoendelea,wamasai je? Ardhi inavyogawiwa kwa wageni,Sasa tumeingia kwenye Bahari hii ni kami nzuri?MUNGU atusaidie tuone na tuseme kweli
@ShadreckDreck15 күн бұрын
Ushaga muhona Jay z ao Rihanna Ao Rahisi anahingiya Studio ya TV ya inchi nawalinzi?Acha ushamba
@FranklinMartin-tp5ss15 күн бұрын
hujielew ww post vdeo ya raisi ikionyesha yupo kweny media za burudn? na kuhus msanii hakn msnii mkubwa anaeingia kweny media kam hzo bila ulinz maybe camera imuonyeshe yeye pekeak,alikiba mwenyew saiv ana bordgurd,toa comment kuhus mzk sio kasoro zngne
@LeonChoaji-n8z12 күн бұрын
Ukitaka kupunguza siku za kuishi kw sasa, ni kuchukia hit songs zinamwagwa na @kondeboy TEMBO na toto bad @marioo. Hakika utapungua kilo chap kwaa. Hawa jamaa ni umeme wa china
@AllyBabu-kr6lg15 күн бұрын
Jeshi ana pigo za kirembo kama ao machoko wenu tazama kichwani wala ajavaa kikuku kama nan😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@tundaisabelle321814 күн бұрын
Ila Hamonaze bwana nyashi nyasi
@UchumizoneMwaihea14 күн бұрын
Wabongo kweli sisi niwajinga kwani Chris brown kucheza Ngoma ya dimondi ni ajabu mpaka mijadala media zimekosa vya kuhoji mziki nimziki2 Amna ajabu apo
@UchumizoneMwaihea14 күн бұрын
Roma kaimba tunataka katiba media zimekaa kimya na bunge kimya wanainchi kimya chrisbrown kucheza comosava mijadala kwenye media mpaka bungeni mitaani kweli sisi tunaitaji kutawaliwa upya kama alivyo sema tramp china inawekeza kwenye viwanda inamabilionea 365 na viwanda vya kutosha Haina msanii yoyote anaeitikisa Dunia sisi tunashoboka na dimondi msanii ambae Hana hata kiwanda anatuhela twakula na familia yake ukitaja mabilionea bongo hawafiki kumi na wengi ni machotara utakuta moe dewig bakhresa du mpaka aibu msukuma Amna mnyakyusa Amna na makabila mengine hamna Leo bunge Lina mjadili bishow chrisbrown wakati katiba imeimbwa na roma hatumsapoti wamevaa suti wanajadili comosava tutapona ushoga kweli hapo kama bunge linaweka kipaumbele ujinga ambao Hauna faida ningekua raisi ningepiga marufuku nyimbo za ovyo na media zinazo sapoti ujinga kama gadafi wa ribya pamoja na dini za kitapeli tukifanya hivyo tutajadili maendeleotu na kizazi kitapona ushoga na uteja ndo maana tukiimba bunge la mchongo spika wa mchongo vita vina suruhu kupona ni majaliwa mnasema wanahujum uchumi hahaha Tanzania bwana hatari sana....uchumi zone tz🇹🇿
@masterhptv406515 күн бұрын
Mbona kama swali kuhusu chriss ameliomba mwenyewe?😅
@fuadaladawi125515 күн бұрын
Don't talk of the emporer harmonize ( others pregnant ladies in hotel & others build the body )😅
@rammalee-ib9qo15 күн бұрын
Korosho
@robbyfany339515 күн бұрын
Wazee huyuu jamaaa sio wa level za bongo saivi an anafanya vitu vikubwa sanaa ndio maana ngoma yake ikishika trending kushusha pana kazii asee
@thompsonkiputa684215 күн бұрын
The next bongo flavor Icon
@joyhylton790115 күн бұрын
You wish he’s too ughhhhh
@shuzashadyproduction843814 күн бұрын
Ila Adam Eti umepigaje hapo😅😂😂😂
@immaabukuku718011 күн бұрын
Harmonize umepigaje hapo yani my girlfriend which is almost my wife, kingereza bhn
@user-ow4vj2lw8r14 күн бұрын
Comasava
@user-pk1yl7zt8p14 күн бұрын
Nachomkubal Simba la masimba dangote hajawai shindwa vita#anakujib kw vitendo
@maryamtanzania974310 күн бұрын
Watu wanachuki afu wanamkosoa mwenzao anapiga pesa ila konde anajua kuongea akiuluzwa swali hashindwagi kujibu
@hollymore490415 күн бұрын
Senge
@King_Kalinga_Tz15 күн бұрын
Njooni na kwangu mcheke
@KareemMguccibrandstore15 күн бұрын
Kwel shamba tulikuwa tunamuita saibogi Aisee hyuu mwamba ach kwa ugomvi tuu
@ibwaydigo15 күн бұрын
SIASA hamna tena msanii hapo,
@OmariabdalaharunaOmari15 күн бұрын
Huyu jamm ninoma
@essah___12 күн бұрын
Harmokinyesi bhana 😂
@ABDHULFATAAHSAID-wf6le15 күн бұрын
Konde unafaa kuwa mfano mzuri kwa vijana ambao bado wanajitafuta lakini kumbe debe tupu mana tunaonaogopa kuwasaidia watu Sasa mana watakuwa na tabia kma zako lazima uweshimu alichofanya bosi wako kaa makini