HARMONIZE: AFUNGUKA CHRIS BROWN KUCHEZA KOMASAVA, ATANGAZA NDOA, KAJALA KUWA BIBI

  Рет қаралды 66,794

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

17 күн бұрын

HARMONIZE: AFUNGUKA CHRIS BROWN KUCHEZA KOMASAVA, ATANGAZA NDOA, KAJALA KUWA BIBI

Пікірлер: 217
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 15 күн бұрын
Crouds muheshimuni mond bila shuruti sipendi mnavyo mfananisha mond na mdogo wake harmonize.
@AlinaniSiame-yq1nk
@AlinaniSiame-yq1nk 15 күн бұрын
congratulations harmonize for your music best one 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇿🇲💤
@malitozzy3538
@malitozzy3538 15 күн бұрын
Nakubali sana jesh lkn punguza sana siasa ukitaka kufanya albamu fanya ngoma za biasha napia ukitaka kufanya goma ya siasa fanya moja ata komba mwenyewe alikuwa hafanyi hivyo jesh ❤❤❤❤❤ bro
@user-nb3qq8xs1t
@user-nb3qq8xs1t 15 күн бұрын
Ila anaeweza mwamba
@BAGOTHEGRETY
@BAGOTHEGRETY 14 күн бұрын
Unatakiwa utofautishe mwanamsic na msanii Mondi ni msanii ila harmo ni mwanamsic katika hii Tanzania wanamusic ni wa chache sana namba 1 ni alikiba 2 harmo 3 Mr blue 4 samiri 5 chidy benz 6 Rostam 7 lavalava 8 young killa 9 dogo janja nawengine Ila mondi yuko kwenye biashala anawaimbia wale wanaofata mkumbo ila music hakuna
@kaditokenya6873
@kaditokenya6873 15 күн бұрын
Trust me practice makes perfect so anyone can do it
@merinakassembe118
@merinakassembe118 15 күн бұрын
Mbona alicheza Singel again
@Farida-jx5nz
@Farida-jx5nz 15 күн бұрын
Ww unasaport serikari kinafiki tu kisa unapewa Hela lakin hujuwi uswahilini watu wanaishije pia wanakuchuliaje ww....... Kikubwa heshima kubwa ibaki kwa raia coz no government without residents!!!!
@FranklinMartin-tp5ss
@FranklinMartin-tp5ss 15 күн бұрын
we huna akli yan unaongelea mziki ambao ni biashar halaf unamsem mtu kisa anapewa hela sas ulitak awaimbie bure?halaf mzik n sanaa so kila anachoimb ndo kilichopo moyon
@Mizahh-ll5lu
@Mizahh-ll5lu 13 күн бұрын
Asha sahau shida za mtaa kipato huleta majivuno tunaoelewa ni wachache farida
@RaylaElmi
@RaylaElmi 9 күн бұрын
Hakuna kama mond hajawai kushindwa hongera baba lao naomba zawadi mm shabiki wako mkubwa❤❤🔥🔥🔥🔥
@aishaomar1845
@aishaomar1845 15 күн бұрын
Chris is 😂😂😂😂😂😂 At you ,🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Shame on you And ,🦁 do you IN SHAA ALLAH 🙏
@jameskasololo8594
@jameskasololo8594 14 күн бұрын
Umesemaje Aisha hii kizungu ya wapi
@roberttarimo4956
@roberttarimo4956 7 күн бұрын
Mr harmonize Chawa wa mama
@RamadhanAnafiRamadhan
@RamadhanAnafiRamadhan 15 күн бұрын
Aiseee umetisha sana ndg
@OswaldOnesmo-jh4bm
@OswaldOnesmo-jh4bm 15 күн бұрын
acha kukaa hapo nakupiga story za madem wenzako huku njia zimesha funguka
@theresiamilanzi5907
@theresiamilanzi5907 13 күн бұрын
Safi kaka langu nikubali pambana ❤😂
@richkaja3317
@richkaja3317 15 күн бұрын
Bdo sanaa tia elaa utoe hit home Boy harmonize
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 15 күн бұрын
Ivi we una akili nyimbo sitemse na sio challenge na amna ki2 angalia semsema namba zilivyooo
@Allistar-2024
@Allistar-2024 11 күн бұрын
Koma savaa ni ❤❤❤
@hubimogela9167
@hubimogela9167 15 күн бұрын
Siasa ikiingia sehemu kuna vitu vinakufa ,endelea kuchanganya siasa na music
@Abu-Hamza254
@Abu-Hamza254 15 күн бұрын
Yani mtu anachora tattoo mpaka kwa uso alafu unaambiwa babake shehe Subhanallah🇰🇪🇸🇴
@PhiloteusMahundi
@PhiloteusMahundi 13 күн бұрын
Ushehe wa baba ako u mtoto unakuhusu Nini u tafuta pesa kuwa na maono
@BarakaProtas
@BarakaProtas 15 күн бұрын
Seri kali nyingi sana mdomon jaman😂
@pastorpascalmuhinamamp3646
@pastorpascalmuhinamamp3646 9 күн бұрын
Ivi ni wa kongomani kuinuwa zaidi mziki wa Tanzanie 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@FranceMwaijande
@FranceMwaijande 15 күн бұрын
Yani chawa mpaka unakera
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 15 күн бұрын
Wasaniii mshakuwa machawa mamaeeee zenu
@LuluByams
@LuluByams 15 күн бұрын
Album zote Mbili Hata Moja Akuna Ilio Hit
@user-gf4zp4si6x
@user-gf4zp4si6x 15 күн бұрын
Hahahahahaba huyu hakuna kitu huyu msani kwa Sasa
@user-gz4qb9wz3d
@user-gz4qb9wz3d 15 күн бұрын
Toa album yko kenge ww
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 15 күн бұрын
Mpaka umejua alba mahana ishait au unataka nae asuke kama yule dada enu
@svt3
@svt3 15 күн бұрын
​@@AllyBabu-kr6lgkwani kuna Album huu mwaka🤫🤫? Yaani kuna Album mpya na haisikilike? Daah pole saana haya wacha tuangalie Chris B anavyo cheza dance za Mondi
@FranklinMartin-tp5ss
@FranklinMartin-tp5ss 15 күн бұрын
et anavyocheza dance za mond sas hapo ndo umeongea nn
@NduneBarrack
@NduneBarrack 15 күн бұрын
Album ya mwaka huu ilibuma
@svt3
@svt3 15 күн бұрын
Kuna Album mwaka huu?😂😂
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 15 күн бұрын
Mwangu kusoma ujui ata picha uonii co nyimnaomba dua konde afelii pale mwenzio kapiga ela yani we ana weza kuku fungia miaka10 upo ndani 2 jitambuee dogo
@kingsanya6860
@kingsanya6860 15 күн бұрын
boss ajatoa aliyitoa y ccm
@pauluspaulinus419
@pauluspaulinus419 13 күн бұрын
Album ya maelekzo Ile pesa kashapiga pale
@ShadreckDreck
@ShadreckDreck 15 күн бұрын
Ila mziki wa na nusu nimehikubali🫡🫡🔥🔥 mziki Bora wa mwaka kwa uwahandishi
@joselynesango4430
@joselynesango4430 15 күн бұрын
usikosi kuweka congo harmonize
@walterngowi5835
@walterngowi5835 15 күн бұрын
Fanya mziki wee K...... acha siasa 😎😎
@BarakaProtas
@BarakaProtas 15 күн бұрын
😂
@braysonkyungai
@braysonkyungai 15 күн бұрын
Haters
@fdizzo
@fdizzo 12 күн бұрын
Uchawa promax hakuna Msanii hapa
@yusufsong7993
@yusufsong7993 15 күн бұрын
Watanzania bhana Misondo mbona kapostiwa na uyo uyo aliyepost komasava
@ShukuruLyimo-rl4eu
@ShukuruLyimo-rl4eu 15 күн бұрын
Adamu ajajua amewaza na kitu ndio maana ana sema haoyaoo😂😂😂
@Dareaziz
@Dareaziz 14 күн бұрын
Harmo❤
@shadrackjuliuskaboya5239
@shadrackjuliuskaboya5239 15 күн бұрын
Mwenge wa uhuru au mwenge wa muungano mmakonde kashakula Moshi mgum
@GloireGotiman
@GloireGotiman 15 күн бұрын
Tunamtaka chinga kwenye iyo album bhn
@user-ct3bf6dt3z
@user-ct3bf6dt3z 12 күн бұрын
Harmonize unaongea kuntu sana kk unajuwa mpaka unaboa hebu hyo World Cup Album itoe maana tunafuzu soon
@LeopordMkinga-gz9gc
@LeopordMkinga-gz9gc 15 күн бұрын
Adam mchov kumb naw k,,,,,2 tangz kilicho really Acha chukii😂😂😂
@hassanalyjimmy2651
@hassanalyjimmy2651 15 күн бұрын
Iv ni mim tu nime Ona ama? Harmo amemnongoneza mtangazaji kuhusu kumuliza challenge ya Chris brown 😮
@fikwillG7
@fikwillG7 10 күн бұрын
nmeona iyo
@ManMoshi-lh5yu
@ManMoshi-lh5yu 16 күн бұрын
1 one
@user-xr4dp1cs5b
@user-xr4dp1cs5b 15 күн бұрын
Album kelele
@stephenmsanzu9850
@stephenmsanzu9850 15 күн бұрын
Wcb for life
@ShadreckDreck
@ShadreckDreck 15 күн бұрын
Sasa kuhingiya nama Bodigadi ndo Nini sasa?Acha ushamba wewe kuna mtu atakukaba hapo?
@FranklinMartin-tp5ss
@FranklinMartin-tp5ss 15 күн бұрын
watu weng wamepota kwa kuamin watu hovyo
@user-gf4zp4si6x
@user-gf4zp4si6x 15 күн бұрын
WATANGAZAJI ACHENI UNAFIKI, ADAM MCHOVU MBONA MNAFIK SANA KAKA, NYIE NDO MNAPOTOSHA WASANIII WETU, HARMONIZE ANAONGEA UTOPOLO ALAFU UNAMSIFU KWEL HUU UJINGA kweli
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 15 күн бұрын
Ila harmonize
@user-tg2fw7wz3d
@user-tg2fw7wz3d 15 күн бұрын
Kabisa ❤
@user-gf4zp4si6x
@user-gf4zp4si6x 15 күн бұрын
ADAM NAYE KUMBE ANAYUMBA
@RamadhaniMshana-gk6vm
@RamadhaniMshana-gk6vm 15 күн бұрын
Komasava
@YasreArafat-kk9en
@YasreArafat-kk9en 15 күн бұрын
Kwa hiyo ndo mmekuja Na hii sio Tunazungumzia Jambo la kutaifa wiki hii yote hebu tupumzisheni Kwanza Tuko Na Cris brown tunachat Hii tutaanza nayo next week Chain zibadilishwe Hadi zinaboa aisee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@FranklinMartin-tp5ss
@FranklinMartin-tp5ss 15 күн бұрын
hahah hilo jamb la chris mbn si tushasahau labda ww unaekalili maisha,halaf hat mond anachain ya simb havui,mbosso anachain ya kichwa cha mtu kimevaa taji ya uking na haivuag sas sjui we unaropokag au vp
@YasreArafat-kk9en
@YasreArafat-kk9en 15 күн бұрын
Tunakushaurini bure bro Mnaweza kutumia Huu MDA WA kutujibu Ni Bora mkautumia Kwa kunshauri abadilishe chain Msiumie ndo hivyo komaeni mlichagua upande Huo #bado tuko Na breezy
@user-it6zi7zw8y
@user-it6zi7zw8y 15 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@ndekelaausi7169
@ndekelaausi7169 15 күн бұрын
Wewe ndo mwanaume wa Bongo flavor
@user-xr4dp1cs5b
@user-xr4dp1cs5b 15 күн бұрын
Mmmmm huyu anajipendekeza kwa raisi banaaà niafanye biashara
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 15 күн бұрын
@@user-xr4dp1cs5b😂😂😂😂
@msafitheboss2130
@msafitheboss2130 15 күн бұрын
Amna..... Kitu uyu mpiqa madoqo... Uyuuuu...... Msanii mwenye ufalume wake c unamjuwa
@LeonChoaji-n8z
@LeonChoaji-n8z 15 күн бұрын
Kwa mara ya kwanza kumuona konde boy amenyolewa vibaya. Kama alinyolewa na Poshy Q, sawa.
@stannslousmusau8099
@stannslousmusau8099 15 күн бұрын
Sasa album yako ,,, imefikia wapi
@MWALIMUNASSORO-bj4ok
@MWALIMUNASSORO-bj4ok 13 күн бұрын
Mond juuuu juuu zaid
@selemanikinyonyi7163
@selemanikinyonyi7163 15 күн бұрын
Kama ni kweli Chris brown kupost komasava ni jambo la kawaida basi apost na nyimbo zake ndo tutaona kawaida yani kajamaa sura imekavimba tumashavu tumejaa kwa ajili ya chuki, ebu tuache chuki jamani komasava ni dude moja kubwa na kama unaikubali like hapa
@hamzamkuti7257
@hamzamkuti7257 15 күн бұрын
Sikiliza vizuri kijana
@AsmaMosh-mk8pu
@AsmaMosh-mk8pu 14 күн бұрын
Ww tafuta broo hyo wamashavu demu wako akimtext tuh ushaachwa broo cku hizi hatutaki sura cjui uzuri pesa broo.
@Rahma25474
@Rahma25474 14 күн бұрын
Single again 😅
@AmanaAmos-hv3yz
@AmanaAmos-hv3yz 14 күн бұрын
Vimba na yako
@sundaysenga7608
@sundaysenga7608 14 күн бұрын
@selemanikinyonyi wewe ndio mwenye chuki konde anaojiwa anajibu shida ni nini? Misomisondo alipostiwa na Chris brown hamjaona😂😂
@MoshiSudy
@MoshiSudy 15 күн бұрын
Wivu kk point kacheza wimbo
@fuadaladawi1255
@fuadaladawi1255 15 күн бұрын
Harmonize is the best & he will continue to be the best singer ❤
@riverlolence
@riverlolence 8 күн бұрын
acheni dharau clous
@user-oc3rw8ko7m
@user-oc3rw8ko7m 15 күн бұрын
Comfidency is everything
@Bitendomba-x2o
@Bitendomba-x2o 13 күн бұрын
Nakupenda sana hormonize,napenda miziki yako yote hasa Aiyola,unajua,VP kaka?napenda ulivyokuwa na kajala samahan lakin naingilia mapenz ya watu
@jay-bblueband7140
@jay-bblueband7140 15 күн бұрын
Huku tuna hazard na Chris's brown
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 15 күн бұрын
Sasa we ana kujua au uyo dada yako wana mjua inge kua wana mjua asinge postiwa TikTok boya ww
@aliabdallahali6995
@aliabdallahali6995 15 күн бұрын
Hahahaha makonde jiongo huli😂😂😂😂
@wabantuorganization2035
@wabantuorganization2035 15 күн бұрын
wanakuogopa ulikuwa sura ya harmo rapa sura chachu
@Mohaa4309
@Mohaa4309 15 күн бұрын
Kwa lipi??
@LucyMichael-kp1nb
@LucyMichael-kp1nb 15 күн бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@nkunzurwandakatibu9694
@nkunzurwandakatibu9694 15 күн бұрын
JEALOUS KILLS DEEPLY.
@boubabizo246
@boubabizo246 15 күн бұрын
Tuaceni kingereza kingi jakani
@yusufsong7993
@yusufsong7993 15 күн бұрын
Dogo tokA atoke wcb wakasema atapotea sasa kawa tishio kwa timu nzima ya wcb dogo nomaaa
@sibhonikealiko
@sibhonikealiko 13 күн бұрын
Duh! Mwenge wa Muungano?????
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 15 күн бұрын
Tunakungulia dunua😂😂😂
@RoseKipimo
@RoseKipimo 15 күн бұрын
Vipi kuhusu bandari?Misitu return je?Mauwaji yanayoendelea,wamasai je? Ardhi inavyogawiwa kwa wageni,Sasa tumeingia kwenye Bahari hii ni kami nzuri?MUNGU atusaidie tuone na tuseme kweli
@ShadreckDreck
@ShadreckDreck 15 күн бұрын
Ushaga muhona Jay z ao Rihanna Ao Rahisi anahingiya Studio ya TV ya inchi nawalinzi?Acha ushamba
@FranklinMartin-tp5ss
@FranklinMartin-tp5ss 15 күн бұрын
hujielew ww post vdeo ya raisi ikionyesha yupo kweny media za burudn? na kuhus msanii hakn msnii mkubwa anaeingia kweny media kam hzo bila ulinz maybe camera imuonyeshe yeye pekeak,alikiba mwenyew saiv ana bordgurd,toa comment kuhus mzk sio kasoro zngne
@LeonChoaji-n8z
@LeonChoaji-n8z 12 күн бұрын
Ukitaka kupunguza siku za kuishi kw sasa, ni kuchukia hit songs zinamwagwa na @kondeboy TEMBO na toto bad @marioo. Hakika utapungua kilo chap kwaa. Hawa jamaa ni umeme wa china
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 15 күн бұрын
Jeshi ana pigo za kirembo kama ao machoko wenu tazama kichwani wala ajavaa kikuku kama nan😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@tundaisabelle3218
@tundaisabelle3218 14 күн бұрын
Ila Hamonaze bwana nyashi nyasi
@UchumizoneMwaihea
@UchumizoneMwaihea 14 күн бұрын
Wabongo kweli sisi niwajinga kwani Chris brown kucheza Ngoma ya dimondi ni ajabu mpaka mijadala media zimekosa vya kuhoji mziki nimziki2 Amna ajabu apo
@UchumizoneMwaihea
@UchumizoneMwaihea 14 күн бұрын
Roma kaimba tunataka katiba media zimekaa kimya na bunge kimya wanainchi kimya chrisbrown kucheza comosava mijadala kwenye media mpaka bungeni mitaani kweli sisi tunaitaji kutawaliwa upya kama alivyo sema tramp china inawekeza kwenye viwanda inamabilionea 365 na viwanda vya kutosha Haina msanii yoyote anaeitikisa Dunia sisi tunashoboka na dimondi msanii ambae Hana hata kiwanda anatuhela twakula na familia yake ukitaja mabilionea bongo hawafiki kumi na wengi ni machotara utakuta moe dewig bakhresa du mpaka aibu msukuma Amna mnyakyusa Amna na makabila mengine hamna Leo bunge Lina mjadili bishow chrisbrown wakati katiba imeimbwa na roma hatumsapoti wamevaa suti wanajadili comosava tutapona ushoga kweli hapo kama bunge linaweka kipaumbele ujinga ambao Hauna faida ningekua raisi ningepiga marufuku nyimbo za ovyo na media zinazo sapoti ujinga kama gadafi wa ribya pamoja na dini za kitapeli tukifanya hivyo tutajadili maendeleotu na kizazi kitapona ushoga na uteja ndo maana tukiimba bunge la mchongo spika wa mchongo vita vina suruhu kupona ni majaliwa mnasema wanahujum uchumi hahaha Tanzania bwana hatari sana....uchumi zone tz🇹🇿
@masterhptv4065
@masterhptv4065 15 күн бұрын
Mbona kama swali kuhusu chriss ameliomba mwenyewe?😅
@fuadaladawi1255
@fuadaladawi1255 15 күн бұрын
Don't talk of the emporer harmonize ( others pregnant ladies in hotel & others build the body )😅
@rammalee-ib9qo
@rammalee-ib9qo 15 күн бұрын
Korosho
@robbyfany3395
@robbyfany3395 15 күн бұрын
Wazee huyuu jamaaa sio wa level za bongo saivi an anafanya vitu vikubwa sanaa ndio maana ngoma yake ikishika trending kushusha pana kazii asee
@thompsonkiputa6842
@thompsonkiputa6842 15 күн бұрын
The next bongo flavor Icon
@joyhylton7901
@joyhylton7901 15 күн бұрын
You wish he’s too ughhhhh
@shuzashadyproduction8438
@shuzashadyproduction8438 14 күн бұрын
Ila Adam Eti umepigaje hapo😅😂😂😂
@immaabukuku7180
@immaabukuku7180 11 күн бұрын
Harmonize umepigaje hapo yani my girlfriend which is almost my wife, kingereza bhn
@user-ow4vj2lw8r
@user-ow4vj2lw8r 14 күн бұрын
Comasava
@user-pk1yl7zt8p
@user-pk1yl7zt8p 14 күн бұрын
Nachomkubal Simba la masimba dangote hajawai shindwa vita#anakujib kw vitendo
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 10 күн бұрын
Watu wanachuki afu wanamkosoa mwenzao anapiga pesa ila konde anajua kuongea akiuluzwa swali hashindwagi kujibu
@hollymore4904
@hollymore4904 15 күн бұрын
Senge
@King_Kalinga_Tz
@King_Kalinga_Tz 15 күн бұрын
Njooni na kwangu mcheke
@KareemMguccibrandstore
@KareemMguccibrandstore 15 күн бұрын
Kwel shamba tulikuwa tunamuita saibogi Aisee hyuu mwamba ach kwa ugomvi tuu
@ibwaydigo
@ibwaydigo 15 күн бұрын
SIASA hamna tena msanii hapo,
@OmariabdalaharunaOmari
@OmariabdalaharunaOmari 15 күн бұрын
Huyu jamm ninoma
@essah___
@essah___ 12 күн бұрын
Harmokinyesi bhana 😂
@ABDHULFATAAHSAID-wf6le
@ABDHULFATAAHSAID-wf6le 15 күн бұрын
Konde unafaa kuwa mfano mzuri kwa vijana ambao bado wanajitafuta lakini kumbe debe tupu mana tunaonaogopa kuwasaidia watu Sasa mana watakuwa na tabia kma zako lazima uweshimu alichofanya bosi wako kaa makini
@Minister_Jamesdavid_Tv
@Minister_Jamesdavid_Tv 15 күн бұрын
Hivi mwenge ni wa Muungano kumbe😂
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 13 күн бұрын
Acha uchawa samia wamachinga hawapendi mafukara kweke uchafu
@user-ow4vj2lw8r
@user-ow4vj2lw8r 14 күн бұрын
Kama n kawaida apost nyimbo yako kibonge
@MevsMe001
@MevsMe001 15 күн бұрын
Story za Jaba 😂😂
@Mizahh-ll5lu
@Mizahh-ll5lu 13 күн бұрын
Dogo unatumika kwenye siasa tulosoma gub tujuwane
@AgustinoJoseph-jq7or
@AgustinoJoseph-jq7or 15 күн бұрын
Adam umerudii tenaa
@jacksonjackson4532
@jacksonjackson4532 15 күн бұрын
21:25 BREEZ KACHEZA KOMASAVA WHATS UR TAKE? Harmonize: Its good for the Game.
@fdizzo
@fdizzo 12 күн бұрын
Safi umeokoa muda
@onisimbomasawe-be4mm
@onisimbomasawe-be4mm 15 күн бұрын
Comasava nilikwepo ulaya nikajua nipo bongo jinsi ngoma watu wanairuka
@lovenessmartin3621
@lovenessmartin3621 14 күн бұрын
Ttzo ufanyi mziki ila unashindana na waliokukuza kwny mziki... Pole kufika Kwa mond bado sana
@NasriMohammed-yw7lp
@NasriMohammed-yw7lp 15 күн бұрын
Anajitahid kuongea ni lugha ngeni mashallah!!
@sallysafisanakijanakazibut1688
@sallysafisanakijanakazibut1688 15 күн бұрын
Ushamba tu kithungu hujui
@kotongomunkupahlombe8169
@kotongomunkupahlombe8169 15 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Abu-Hamza254
@Abu-Hamza254 15 күн бұрын
Yaani VIP ni shingi mia 500 ela za Kenya very chip
@billgussy6099
@billgussy6099 14 күн бұрын
Eti serikali ni mteja wake mkubwa???? Serikali ndo inayo sikiliza mziki???? Jamaa asichanganye mziki na siasa atapoteza
@ramadhanmkombelwa3065
@ramadhanmkombelwa3065 15 күн бұрын
Wimbo wa Harmonize ft Nick Minaj Uko wapi tumechoka kusubiri 😂 ,Nyie watu Mnajua kujitetea 😂sana ,ila uongo unakuwa wingi sana kwa Wasanii wa Bongo
@Ombanebob
@Ombanebob 15 күн бұрын
Tanzania munapenda kulamba serikali yenu sana. Hakuna opposition
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 32 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 9 МЛН
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 498 М.
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 56 М.
LIVE PERFORMANCE HARMONIZE KILIMARATHON  2024
15:53
DENIS DIGITAL TZ
Рет қаралды 8 М.
STEVE KAMFATA DEM MBAGALA KISA NAULI KWA MGUU
11:24
Steve Mweusi
Рет қаралды 240 М.
PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
31:59
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Visit Tanzania
Рет қаралды 251 М.
Ndaro na Leonardo Waoneshana Ubabe Jukwaani, Ona hapa nani mkali?
21:33
ЖЕНЩИНУ ПОСТАВИЛИ НА ВОРОТА☠️❗️
0:20
Профессор ПельменАрти💀
Рет қаралды 1,2 МЛН
ХАСБИК И ХАБИБ ИГРАЮТ В ФУТБОЛ!
0:19
Русский Футбик 2.0
Рет қаралды 857 М.
ХАСБИК И ХАБИБ ИГРАЮТ В ФУТБОЛ!
0:19
Русский Футбик 2.0
Рет қаралды 857 М.