Leonardo ni very smart and real. Naamini atakuwa icon ya Tanzania kwenye Comedy muda si mrefu. Sijui Kama unakubaliana na mm.
@user-jt5we5hg4vАй бұрын
Yah kwasababu anapiga both English na Kiswahili itamsaidia kwenda far
@deniskatunzi146Ай бұрын
Pia anafanana na mch, Ananja
@smprotzАй бұрын
aaha Ananja ana namna Yake Bhana. Kila MTU ana Radha Yake@@deniskatunzi146
@smprotzАй бұрын
@@user-jt5we5hg4vHata pure English mshikaji anaweza. Anatutoa kimasomaso
@ziddyziddy252411 күн бұрын
😅😅😅@@deniskatunzi146
@mozeekamanaАй бұрын
Namkubali sana huyu Mwamba, Kuna Vigingi amefaulu kuvivuka baada ya Ushindi ilikuwa ni Ishu sana Kuikalia Nafasi yake ametumia akili sanaa chupuchupu apite kuleee ✍️ Hongera sana
@khadijarashidy9304Ай бұрын
Hii comment naomba iwekewe lamination , Leonard atakuja kuwa comedian mkubwa sana 😂😂😂
@timothywesonga389220 күн бұрын
Mkubwa tayari
@ngwacahnyagwaswa9979Ай бұрын
Leonardo is so smart and very honest ❤
@Nadhiri_TVАй бұрын
Leonard ni fundi wa stend up comedy... Sana
@gladnessfinda7534Ай бұрын
Leonardo sikuoni Tz bali nakuona kimataifa ila tu ukizidi kujitambua,kupambana kumwomba Mungu nakutafuta fursa yakupenya nje ya mipaka yetu. Keep it up bro.👌👌👌
@sebastianmwakulya8146Ай бұрын
Nakukubali sana mwamba
@user-oq2lp8xq1fАй бұрын
Vido ni mwanahabari mzuri sana, anajua kuuliza maswali na kutawala interview. Exclusive inayohostiwa na Millard pamoja vido ina mvuto wa kipekee sana Tuwape maua yao hawa watu jamani
@vidovidox2632Ай бұрын
🙏🏾🙏🏾🤝 Asante sana
@allysaid5800Ай бұрын
@@vidovidox2632 unajua mwanangu
@levinaernest4364Ай бұрын
Yeah point kabisa 💯
@Kushgang-cr4pvАй бұрын
nawakubali sana vido millard ayo pamoja na frida amani,meena ali pamoja na mjomvu B12 na Kennedy the ree .@@vidovidox2632
@Kushgang-cr4pvАй бұрын
ayo and sns...bundala
@lazarofredyАй бұрын
namkubali sana leonardo so big up
@ibrahim_Kagoma.jr1Ай бұрын
Jamaa Anajuwa Sana Halafu ana kipaji endelevu
@jogechi2105Ай бұрын
Fellow Eng. Namkubali sana kutoka Kisii Kenya
@mtotowapili6114Ай бұрын
Leonard nkukubali San Kaka!!!!
@user-lu8ny2gu7tАй бұрын
Ubarikiwe sana Mungu azidi kubariki kazi za mikono yako
@JamalManziАй бұрын
Golani, kimbiji hiyooo Safi sana kumbe uliletwa kwetu
@chusseboywcb2808Ай бұрын
Kichwa kinamadini sanaaa ❤❤Hua nakukubali Sanaa 🎉🎉🎉
@alhajikangalawe6178Ай бұрын
Mm kama mwl. Inanifurahisha na kunifariji. Huyu ni mfano nzuri wa kuigwa Kwa wanafunzi....usanii umeshikiliwa na wasomi
@msafirimfilinge8222Ай бұрын
Jamaa yupo viri❤❤❤
@boneyme9433Ай бұрын
YOU are BEST
@thepresidenttobe5481Ай бұрын
Hongera sana dogo. Wajita wengi tuko smart isipokuwa yule Cyprian Musiba wa CCM 😂😂😂
@ElishaSolomoni-kc4zkАй бұрын
CYPRIAN N MSASI🤣🤣🤣🤣
@dostovan514229 күн бұрын
😂😂😂
@njuka3515Ай бұрын
Nampenda sana vido anavyohoji
@vidovidox2632Ай бұрын
🙏🏾🙏🏾🤝
@Youngvoice-sj6egАй бұрын
Me Nina d2 nakuelewasana😂😂😂 👍
@aminathaabubakarmasoud565Ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤
@mwanamkeshujaabongoflavama7180Ай бұрын
Mungu azidi kukubariki, mola ajalie uwache pombe kabisa
@user-xn8jh1yw1hАй бұрын
Congrats sana.
@SalamaNautharАй бұрын
Leonard is the best
@VenanceGilbertАй бұрын
Leonardo masta fundi kabisa wa hii kazi, sisi tumekukubali mwanetu piga kazi, endelea kuiwakilisha Ukerewe duniani na useme bila aibu 😄
@yles2220Ай бұрын
Jamaa yuko very smart, interview yake haichoshi
@georgecopter460Ай бұрын
Karibu kenya lkn kutukomesha sahau
@langemwepesiАй бұрын
Namkubaali huyu mwamba mi nko kenya anga za kilifi mwana anaweka siku barida wakti mwingi😂❤
@mapenzisylus7325Ай бұрын
Oe wa kilifi 🇰🇪 tujuane😅
@gayanimwansasuАй бұрын
Mungu akulinde leo nakesho pia
@user-vh4vf7pm6uАй бұрын
Leonard ungekuwa ulaya kwa mazungumzo yako basi ungeshuka sana maana kitu Kizuri ni kuiweka familia yako vizuri sasa wewe umaarufu umeshakuchanganya hadi unazungumzia pacome na Gwede.
@RashidKilindi-nm4qfАй бұрын
Leonard is genius of his stylish....too far mile away in cognition
@mmassyferguson4959Ай бұрын
Leonardo best comedy ❤
@lelomellowtzАй бұрын
THE FUTURE IS LEONARDO.
@tumpeernest9690Ай бұрын
Uyu vido ni handsome saana yaani nimevurugwa kabisaaa
@levinaernest4364Ай бұрын
😂😂😂
@kwisa4899Ай бұрын
ajitahidi kujifunza kupitia kina Trevor Noah
@HezronReubenАй бұрын
Shenzi kabsa,,,,, bila D 2 huwez nielewa😊😊😊😂
@NaahlyanАй бұрын
Minapenda anavoongea yan yuko smart unamuelewa katulia
wewe hilo Jina yunus mmeiba kwenye ukoo wetu, I'm Yunus too
@lameckmndeme1969Ай бұрын
Eti kameza shoka😂😂😂😂 mzee vido 🎉🎉
@vidovidox2632Ай бұрын
😅
@shyfettymtunda4619Ай бұрын
Yani kabla hajaongea neno hata moja nimeshaanza kucheka.😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣
@afidhidadi8847Ай бұрын
Nyege hizoo
@adrianboy1972Ай бұрын
Sio poa
@shyfettymtunda4619Ай бұрын
@@afidhidadi8847 Asante
@saidimwanyiro5147Ай бұрын
Upo vzr sana
@fedlob4Ай бұрын
Leonard baba mjita wee kwenu ni Mara sio Mwanza 😅
@melchadesmagongo4185Ай бұрын
mchukueni ndugu yenu anajifanya hajuhi kwao
@ogenylaurent7961Ай бұрын
Sasa unampangia mtu na lazima ujue kwao kivipi hauwezi sema mm kwetu Morogoro hali ya kuwa umezaliwa Dar es Salaam na umekulia Dar es Salaam na huko Morogoro hujawahi fika...
@khamoshmikidadi618Ай бұрын
Duh me nakukubal Leonardo lkn apo kwny kunywa pombe na uo mwili wako khaaa hapan usijisifie kua ulevi 😢
@dianamchami2720Ай бұрын
Kushindia kitavi😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@njuka3515Ай бұрын
Dubai lini
@renatuskimaro4805Ай бұрын
Boss golani ni town sikwizi alafu Kuna mgogoro flan hv fanya ukaangalie uko HIVI karibuni
@crazybinboyАй бұрын
Kumbe we ni WA kwetu yego mlaunu
@user-nh3jt3dr5wАй бұрын
😂😂😂😂😂 NIMECHEKA SANAA HUYU JAMAA KUMBE BWEGEE SANA ETI SIKU YA KWANZA KUFANYA TENDO LA NDOA SIKUVUA SHATII AIBUUU KIMBAU MBAU SANAAAA😂😂😂😂😂😂
@Alhasibu05Ай бұрын
Mwehu kweli ety sikuvua shati
@user-np8lr8sq2k24 күн бұрын
Huyu mtangazaji anamacho mazuri maashaallah
@jameslukosi1735Ай бұрын
335,000*145,000= 38,575,000,000 Duh
@khamoshmikidadi618Ай бұрын
😂😂kwnn hujavua shati au uliogopa kumgonga mifupa 😂😂😂nimechek
@ChenchiKingАй бұрын
Kama Ahuna D Mbili Uwez Muhelewa Leonard❤🎉🎉
@rebbywealth9869Ай бұрын
Kwa uandishi huu.... una sub F zote
@digitalworld557725 күн бұрын
@@rebbywealth9869😂😂😂
@Doremi_proАй бұрын
Ilii jamaa linaakili mbwaaaaa😂 nakubali kk💯💯💯
@Buster_Tyler_OGАй бұрын
HUYU HANA SIKU NYINGI ATAAJIRIWA 😁🇹🇿
@oirishgervas6603Ай бұрын
Kuna mtu kasema leonard ni handsome jaman wanawake
@LugyPlanАй бұрын
Shenzi kabisa maninjinia mkaacha kujenda miundombinu ya maji mkajenga familia shenzi kabisa huwezi elewa kama hauna d mbili
@user-lf1bd4vj9cАй бұрын
Aisee huyu jamaa siamini kama alichezea pesa Yuki smart sana anadanganya tu na usmart wore huo we watu sana siri zao bwana.
@user-tq1jz3wm3fАй бұрын
Alizopata kachezea lakin pesa analipwa na cheka tu kama muajiriwa
@daudikomwareАй бұрын
Pesa hainaga usmart, kwa kuongea na kuchekesha, kuwa na akili ni kingne na kudhibiti matumiz ya pesa ni kitu kingne
@maggiefrankluck730912 сағат бұрын
Daaah ko alijua kimbau mbau maskini 😂😂😆 ila Leonard 😂
@AllanNestoryАй бұрын
Kumbe ngosha
@renatus5687Ай бұрын
Mwana wasu
@user-gf7qz3gp9eАй бұрын
😂😂😂 msenge chizi huyu et km 7bu tu anatokaa pacome
@tetri-numz96Ай бұрын
Yaan Hadi interview yake inachekesha 😂😂😂
@siwemasalehe192Ай бұрын
Why katav is passing btwn our interview
@dianamchami2720Ай бұрын
Swali zuri ndugu mtangazaji 😅😅😅😅😅😅😅vido upambe utakumaliza 😅 interview boma san
@vidovidox2632Ай бұрын
😅🙏🏾🙏🏾🤝
@njuka3515Ай бұрын
Hiyo ya kingereza wacjekaji nao wawe na B mbili
@khadijanjama8721Ай бұрын
Huyu kiboko 😂😂
@dianamchami2720Ай бұрын
Uyu kakak ban😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@huldamichael4445Ай бұрын
Vido anza gym ndugu yangu maana sio kwa kunona huko!!naona hela zimekupata
@MarcoMsunqaАй бұрын
Kweli Kuna huzidisha na hesabu ni tofauti
@ntibashimadicksonmathiasna2915Ай бұрын
Msanii
@user-gw6zg5yx9eАй бұрын
Dogo nakukubali sana
@user-vt2oj3sr4kАй бұрын
Hatar sana leo
@dostovan514229 күн бұрын
Na Mungu je?
@dennisnyakilambo3992Ай бұрын
akili ya kijita kabisa
@njiaya6833Ай бұрын
ilo ni tatizo la kupata fedha bila kuwa na mpango kazi wake lazima hayo yatokee
@user-td8bp9kz8dАй бұрын
Wakati unamuweka vitu hukujiona mtoto ila kulea matunda ndio unajiona mtoto
@ibrahimaziz7158Ай бұрын
Apo aliefanikiwa nikajua utasema ni yule at least ana d mbili
@kazikazini1042Ай бұрын
By profession
@sasi_tv6702Ай бұрын
Interview Mzima ilikuwa leornado na codox lkn Kwenye kuzidisha namba naona crew nzima imeingiya,,,,YAni km wame surprise kidog
@priscillachristiansen4331Ай бұрын
Bia 5 ni nyingi, bia za afya ni 2.
@swadatimmbaga7435Ай бұрын
Kaka ako akiona hii 😂😂😂
@fatumahossein754Ай бұрын
Waooooooo❤❤❤❤😂😂😂😂
@user-hi8le2vb7zАй бұрын
mi kila ciku nasemaga ila natukanwa😊,,kwasasa uyo nado ukimuweka tena na eliudi hachukui hata mia...anakaa vibaya....nikatukanwa na waja
@--------GEO_SPORT_EARTH_EAАй бұрын
Sio kweli ....Leonardo is smart than you think ...hatukatai eliudi ni bora lakini Leonardo bora
@sadamawaz2613Ай бұрын
Nyinyi mlivyopata ujauzito😂😂😂😂
@jomba6514Ай бұрын
Wakondya mno mkaluka
@kazimoto-eq2thАй бұрын
Dogo anaakili hadi anakela
@kingdeniscrocodileАй бұрын
Hhahahaah shenzi kabisaaa😂
@emmanuelzao28 күн бұрын
😎
@neemamasimba2981Ай бұрын
Leonard ni kibonzo kweli. Eti anaenda kuangalia kiwanja analala pafu za kutosha ila bado hakufika