KIGWANGALA AJICHANGANYA, MSAMBATAVANGU AMUWAKIA "NAKUSHANGAA WEWE NI MWANAUME HALAFU DAKTARI"

  Рет қаралды 22,637

Wasafi Media

Wasafi Media

2 ай бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 167
@westserengeti5608
@westserengeti5608 2 ай бұрын
Wewe kweli ni mama, Asante kwa kumsemea mtoto wa kiume
@mudathirbaalawy813
@mudathirbaalawy813 2 ай бұрын
Asante muheshimiwa natamani niku hug from 🇴🇲
@Tg.7_7
@Tg.7_7 2 ай бұрын
Huyu tunatakiwa kutoa Sadaka ya Shukrani kwa ajili yake!! 🙏
@pastorteddywaziri5754
@pastorteddywaziri5754 2 ай бұрын
Kichwa chako wewe😂😂😂🙌🙌
@valentinoswenya748
@valentinoswenya748 2 ай бұрын
Huyu mama alindwe kwa galama yeyote ile nahayo ndio maagizo ya mwenyezi mungu ubarikiwe sana mama
@DaimonMwapelele
@DaimonMwapelele 2 ай бұрын
Safi Sana usawa wa kijinsia mlango wa mapepo
@user-zj1rl4qu6d
@user-zj1rl4qu6d 2 ай бұрын
Sio wewe mama ni mungu anakuongoza dada yangu barikiwa sana
@simonmlelwa440
@simonmlelwa440 2 ай бұрын
HEKO sana kwako Mama … quite a point!
@ErickMwashambo
@ErickMwashambo 2 ай бұрын
Shukrani sana kwa kututetea mama yetu wanaume sasa hivi tunaonewa sana
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 2 ай бұрын
KUMBE KUNA WABUNGE WENYE AKILI❤❤❤❤DUHHHH!!!??
@barakahosana6579
@barakahosana6579 2 ай бұрын
Huyu Mama nimempenda bure kwa kweli👏👏
@boniphacesululu5428
@boniphacesululu5428 2 ай бұрын
Asanteee mama Bora hata umeongea
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 2 ай бұрын
Bora mama umetutetea sisi wanaume mwenyez mungu akubariki
@Zaburi-
@Zaburi- 2 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 ай бұрын
Mwanaume mwenzio akili kisado alafu eti ni doctor 😢😢😢😢😢 ningepata nafasi ngemkata pua😢😢😢😢😢😢😢 baba atabaki kwenye nafasi yake kama kiongozi wa family
@user-zz9gr1vd9h
@user-zz9gr1vd9h 2 ай бұрын
U.esema kweli kabisa kuna wanaume wananyanyasika sana hawasemi tu wanaugulia miyoni barikiwe
@gadrontz9042
@gadrontz9042 2 ай бұрын
Mama wewe ni 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@haizuruMakombo
@haizuruMakombo 2 ай бұрын
Nashukuru mama kwa kuongea point.ila nakuhurumia kwasababu nchi zetu zinapangiwa na mataifa yaliyoendelea kwasababu ya utegemezi na woga
@faridmnyamike556
@faridmnyamike556 2 ай бұрын
Mama yangu Msambatavangu Shikamoo, Asante sana Mama, Hiyo Motion yako imeshiba.
@ChrisElectrical-ck4mc
@ChrisElectrical-ck4mc 2 ай бұрын
Da mama Mungu akusaidie
@user-bp2cc9eo6g
@user-bp2cc9eo6g 2 ай бұрын
Hii ndiyo kuongea,unaongea points tena kwa HERUFI KUBWA,safi sana mama Tanzania🎉🎉🎉🎉🎉
@jamesmasome359
@jamesmasome359 2 ай бұрын
Wasikuache kukuchaguwa kwenye Jimbo lako. Unahakili sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MenelusCzar
@MenelusCzar 2 ай бұрын
ASANTE MAMA ❤ Huyu ni MAMA NA NUSU 🔥🔥🔥
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 2 ай бұрын
Inashangaza sana Dr. Kigwangala unatoa comment ya hovyo namna hii. Yaani huoni hilo tatizo. Wanaume tunanyanyasika anatokea mwanamke anatetea wewe unampinga. Mungu si mjinga kumfanya mwanaume awe kichwa cha familia. Sasa hivi watoto wa kiume hawana mtetezi wanageuzwa kuwa mashoga kila kona. Wanawake wanakuwa ma single mother wanalea watoto bila baba zao matokeo ni ongezeko la mashoga.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 ай бұрын
Huyu tumwekee kwenye kundi like la wababa wanaolawiti na kubaka watoto wao mwamke kaona hatari yee kaona sawa MUNGU mfungue ufahamu, hii haki sawa hapana
@salehemcharo
@salehemcharo 2 ай бұрын
Huyu kigwangala ni shoga 😂😂😂😂 anatutia aibu yani mwanamke anatutetea kigwangala anatoa hoja za hovyo. Sijapenda mungu amuweke huyu mama. Aisee
@m.e.ssofttech2806
@m.e.ssofttech2806 2 ай бұрын
Ndio maana mashoga wanaongezeka na single mother wanaongezeka
@ReginaJoseph-cm3cx
@ReginaJoseph-cm3cx 2 ай бұрын
Ukiwa Dr halafu ukaongea point less aibu sana. Kwa hii Dr ni Huyu Mama, big up mama
@lulyehomadale9009
@lulyehomadale9009 2 ай бұрын
Dah tumepata mtetezi Huyu mama anafikiria tofauti sana ,program zote za kijamii zimebeba agenda ya mwanamke,
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 2 ай бұрын
Agenda ya kuwadogolesha wanaume ilianza Beijin. Huu si mpango wa Mungu. Shetani anataka kuua taasisi ya familia. Sasa hivi kuna wanaume wanaolewa na wanaume mabasha. Huu ni ufidhuli mkubwa unapaswa kupiga vita.
@DeusRobart
@DeusRobart 2 ай бұрын
kigwangala dishi limeyumba😂😂😂
@josephjulio6112
@josephjulio6112 2 ай бұрын
Alaniwe kabisa pamoja na watoto wake
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 2 ай бұрын
Limejifunika kabisa 😂😂😂😂😂
@charlessamwel7581
@charlessamwel7581 2 ай бұрын
Mama uko vzr
@RevocatusWilliam
@RevocatusWilliam 2 ай бұрын
Hii ndo lugha inayotakiwaa kutoka sasa kwa mama zetu.
@evancetarimo1310
@evancetarimo1310 2 ай бұрын
Asante sana mama mwenyez mungu akusaidie sana
@ErickBandushiEtien
@ErickBandushiEtien 2 ай бұрын
Mungu akutie nguvu ubarkiwe
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 2 ай бұрын
BIG UP MAMA🤣 👏👏👏
@zephaniahfanuel8444
@zephaniahfanuel8444 2 ай бұрын
Huyu mama wa Iringa hatakagi michongo ya usingle mother ni ushetani huo, Tungekuwa na mama kama hawa hakungekuwa na ushoga wala usagaji TZ
@RobartShello-qj4vr
@RobartShello-qj4vr 2 ай бұрын
Wewe ndie mama mwenyemaono, naumelelewa, nakweli mwanamke ukimgusa kidogo tayari unawekwa ndan nahilo kweli limewachosha wanaume matokeo yake kutelekeza familia
@dericktouch5723
@dericktouch5723 2 ай бұрын
Asante sana ni uwepo wa mungu umetuonekania kwa huyu mama no ushoga tanzania tamaduni zetu haziruhusu kabisa
@magomadamian3468
@magomadamian3468 2 ай бұрын
Safi Sana Bora hata umewatetea hao wanawake bila kujijua Ka wametetewa maana siku zijazo zitakuwa mbaya sana.staeleweka na wengi ila wachache tu
@FelisterLigazio-mw3hh
@FelisterLigazio-mw3hh 2 ай бұрын
Sema mama, Mungu akubariki tuku pamoja nawe
@ImanueliMwakajinga-ry8ig
@ImanueliMwakajinga-ry8ig 2 ай бұрын
Waooo awa ndo wabunge tunao wataka
@madinaMussa-hm8in
@madinaMussa-hm8in 2 ай бұрын
Asantee mama
@JasbaKipingu
@JasbaKipingu 2 ай бұрын
Hakika Waume tumechanganyikiwa keli leo mwanaume anatukana tunatetewa na mwanamke eeee mungu tuvushe tuko hatarini sisi waja wako
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 2 ай бұрын
Bora hata umeongea naona watu sasa akili zimefunguka
@omarimketo8621
@omarimketo8621 2 ай бұрын
Asante mama
@sambulugu9988
@sambulugu9988 2 ай бұрын
Hongera sana!
@raphaelmethod5599
@raphaelmethod5599 2 ай бұрын
Fact mama bora
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 2 ай бұрын
Mama hongera ila nashauli (thyroidectomy ) ni nzuri kwa afya kwa wenye thyroid hyperplasia
@cholesilwela5186
@cholesilwela5186 2 ай бұрын
Asante Sana Mama Kwa kututetea sisi wanaume
@meshackpatrick6981
@meshackpatrick6981 2 ай бұрын
Apewe uprofesa Ikiwezekana ajengewe Sanamu
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y 2 ай бұрын
Safiiiii saaana Mama pongezi kwako 🙏🙏🙏
@sadikiissa7756
@sadikiissa7756 2 ай бұрын
Safi Sana.
@ALINUWILAMKONONGO
@ALINUWILAMKONONGO 18 күн бұрын
Utashangaa wanapuuza hoja za huyu mama wanashadadia trab and trat 😭
@jovianusrweikila8595
@jovianusrweikila8595 2 ай бұрын
Well said Mama...
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 2 ай бұрын
Kigwangala bhana , hilo si ndilo analosema lirekebishweeeeee? Huu uchawa bhana umekuharibu sana, utabaki kubebea wanawake mabegi tuu weweeee
@2.12carrental6
@2.12carrental6 2 ай бұрын
Mama Yangu Jeska Mungu aendelee Kukupaq Sauti Ili Kuteteaaa
@user-cu3cl4yy5s
@user-cu3cl4yy5s 2 ай бұрын
Asante mama umesema yaliyokweli
@Butondo
@Butondo 2 ай бұрын
Well said mama. Tatizo hizi haki za wanawake inashachukua kila kona
@user-zm5co2rf6z
@user-zm5co2rf6z 2 ай бұрын
Dah uyu mbunge anaakili sana
@zariadunia6328
@zariadunia6328 2 ай бұрын
Nampendaga sana mh Jesca udumu mama
@PaulinaLwena
@PaulinaLwena 2 ай бұрын
Mbunge ustaili hongera sana
@ramadhanmwandambotuntufye5972
@ramadhanmwandambotuntufye5972 2 ай бұрын
Wanaume siku hizi ni kama mabinti, tusemee mama achana na hao wanaoleta taarifa za hovyo .
@DaimonMwapelele
@DaimonMwapelele 2 ай бұрын
Taifa linaangamia tulud kwenye njia maana tumepotea kwa kumwinua mwanamke na kumshusha mwanamme
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 2 ай бұрын
Yani akili kubwa kama hii inapatikana Tanzania,eeh MUNGU ibariki Tanzania
@JOHNKKULULINDA-pc6gy
@JOHNKKULULINDA-pc6gy 2 ай бұрын
MAMA, MUNGU AKUBARIKI SANA.
@josephmwinuka3982
@josephmwinuka3982 2 ай бұрын
Safi mh jesca umetuwkilisha vzur
@nurdinswalehe
@nurdinswalehe 2 ай бұрын
Kweli huyu mama kweli
@jameswissa9981
@jameswissa9981 2 ай бұрын
Huyo Daktari aliyetoa hiyo taarifa apimwe akili..
@alinanusweedward2952
@alinanusweedward2952 2 ай бұрын
Dah Mitano tena kwa Mama Msambatavangu
@pastorb.alaurent1006
@pastorb.alaurent1006 2 ай бұрын
Umeongea vitu vya point sana nakuombea sana uwe ww waziri
@ChrisElectrical-ck4mc
@ChrisElectrical-ck4mc 2 ай бұрын
Kwa kweli
@user-hj4bc5uh2x
@user-hj4bc5uh2x 2 ай бұрын
Kuna raisi kila sherehe zamashoga yupo hao kinaharmonaiz dimond nawengine ndio maajent wakubwa
@YusuphMnyachimo
@YusuphMnyachimo 2 ай бұрын
Uyo mwishimiwa mbunge wakiume alieomba muongozo tunamashaka naee
@michaelmlacha5670
@michaelmlacha5670 2 ай бұрын
Tukiongea ukweli bila kupepesa macho, hiyo WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO, ilipaswa kuitwa WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, WANAWAKE, WAZEE NA WATOTO. Hamna kitu wanafanya Kwa ajili ya WANAUME aisee.
@user-pg6db8jl2y
@user-pg6db8jl2y 2 ай бұрын
Wanafanyiwa lakin awana pakujitetea kabc jmn yaan nihuruma sana wanawake wamewekwa mbele sanaa na ndo maan utaskia mwanamme kamuuwa mke kwasababu anauchungu mwingi na mambo mengi anashindwa pakuyasemea
@LightnessMunisi-uo5pd
@LightnessMunisi-uo5pd 2 ай бұрын
Asante mama yetu
@YusuphShabani-wk5bv
@YusuphShabani-wk5bv 2 ай бұрын
❤❤❤❤ 👍
@user-xp8fe3iz8w
@user-xp8fe3iz8w 2 ай бұрын
Aaah we mama unajua umuhimu wa kijana wa kiume sana
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 2 ай бұрын
Hakika uzao wa kiume uko kwenye moto mkali jamani... wanaume wamechoka sana jamani...mifumo umeua wanaume imemaliza watoto wetu wa kiume...uuuuwiiiii
@RashidKidolingo
@RashidKidolingo 2 ай бұрын
Asante mama yangu,mpaka nimelia
@st.alvincollege6184
@st.alvincollege6184 2 ай бұрын
Alikua mgeni rasmi wakati namalza Form 6 mwaka 2012 ni hatar kabisa
@user-xc5lt3jm6p
@user-xc5lt3jm6p 2 ай бұрын
Hii sauti ya mama imetoka Kwa mamlaka ya mwenyezi Mungu sauti haipingwi hiyo imeenda
@prosperjuma905
@prosperjuma905 2 ай бұрын
Kigwangala hovyo sana aise
@luqmanomary3558
@luqmanomary3558 2 ай бұрын
Tena akil zake chache sana yaani mwanaume unatetew bado yy anaona haki kwa wanawake au shoga nn😂😂😂
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 2 ай бұрын
Huyo kigwangala hana akili huyo,huyo huenda anatumiwa na wazungu kuongeza mashoga
@FelisterLigazio-mw3hh
@FelisterLigazio-mw3hh 2 ай бұрын
Yeees
@user-sn9ip6qr3l
@user-sn9ip6qr3l 2 ай бұрын
Kwakwel nashindwa cha kukoment mama umeongea mno ila hawa kuna muda huwaga naifikiria sana serikal hii ina nin jaman afadhali umeongea mama ang vitoto vyetu mtaan vinabakwa mno tuu huku na mibaba 😢😢
@MenelusCzar
@MenelusCzar 2 ай бұрын
DAAAAAAAA ❤❤❤❤
@leonardmrope9528
@leonardmrope9528 2 ай бұрын
Fact
@dreamleague-uq2gx
@dreamleague-uq2gx 2 ай бұрын
Fact ✊
@DeusRobart
@DeusRobart 2 ай бұрын
maisha malefu mheshimiwa nakutakia
@RichardZachalia-ph3ot
@RichardZachalia-ph3ot 2 ай бұрын
🎉🎉
@christerlymakala791
@christerlymakala791 2 ай бұрын
🙏🙏🙏
@user-oj3lv6et4n
@user-oj3lv6et4n 2 ай бұрын
Ningekuwa Rais ningekupa uwaziri wa jinsia maana umeupiga mwingi sana mpaka shoga kigwangara aumbuka
@user-zg9cu7jp3q
@user-zg9cu7jp3q 2 ай бұрын
Mungu azidi kukupa kibali
@simonsangu6040
@simonsangu6040 2 ай бұрын
Kigwangala n k igwangala kwl2
@mansooranam831
@mansooranam831 2 ай бұрын
Hiyo kigwangala mwanaume mwenzetu au?? Acha ujinga wewe, tutetee na ss mama
@MusaMkembela-ex6ev
@MusaMkembela-ex6ev 2 ай бұрын
Na mkiendelea na sera za kiboya hizo mtajaza masingle mother nchi nzima endeleeni kukandamiza wanaume
@Dagerboy97
@Dagerboy97 2 ай бұрын
shikamoooo
@edwardlukuba9358
@edwardlukuba9358 2 ай бұрын
Mama apewe maua yake
@westserengeti5608
@westserengeti5608 2 ай бұрын
Yaani huyu mbunge, kwa neno Hilo, hata kama una dhambi, Mungu akusemehe, yaani Leo umenena vema.
@EmanuelNyondo-qj5zx
@EmanuelNyondo-qj5zx 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MakukaNyango
@MakukaNyango 2 ай бұрын
Mama mungu akupe miaka mingi duniani na ikibidi mwakan gombea uraisi maana una mtazamo chanya juu ya wanaume,kuna muda tuulizane ,kama wanaamini wanawake wanaweza mbona kwenye harakat za ukombozi wa bara letu pendwa la africa hakutokea mwanamke rais kwahyo tukae chini tujitafakari
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 2 ай бұрын
Huyu ndo mama wa kazi" sio yule dhaifu toka kizmkazi"
@PauPaulo-qf3wo
@PauPaulo-qf3wo 2 ай бұрын
Mama ana point uyu
Ni kuri na njira njeru cia kweheria Rigathi Gachagua wabici-ini.
27:06
KAMEME OFFICIAL PAGE
Рет қаралды 1,3 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 33 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 26 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 73 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 38 МЛН
头还可以刷卡买东西的吗?#海贼王#路飞
0:26
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 23 МЛН
M&M IN MY THROAT
0:35
dednahype
Рет қаралды 4,4 МЛН