Wewe kweli ni mama, Asante kwa kumsemea mtoto wa kiume
@mudathirbaalawy8132 ай бұрын
Asante muheshimiwa natamani niku hug from 🇴🇲
@Tg.7_72 ай бұрын
Huyu tunatakiwa kutoa Sadaka ya Shukrani kwa ajili yake!! 🙏
@pastorteddywaziri57542 ай бұрын
Kichwa chako wewe😂😂😂🙌🙌
@valentinoswenya7482 ай бұрын
Huyu mama alindwe kwa galama yeyote ile nahayo ndio maagizo ya mwenyezi mungu ubarikiwe sana mama
@DaimonMwapelele2 ай бұрын
Safi Sana usawa wa kijinsia mlango wa mapepo
@user-zj1rl4qu6d2 ай бұрын
Sio wewe mama ni mungu anakuongoza dada yangu barikiwa sana
@simonmlelwa4402 ай бұрын
HEKO sana kwako Mama … quite a point!
@ErickMwashambo2 ай бұрын
Shukrani sana kwa kututetea mama yetu wanaume sasa hivi tunaonewa sana
@thomaskiponda60792 ай бұрын
KUMBE KUNA WABUNGE WENYE AKILI❤❤❤❤DUHHHH!!!??
@barakahosana65792 ай бұрын
Huyu Mama nimempenda bure kwa kweli👏👏
@boniphacesululu54282 ай бұрын
Asanteee mama Bora hata umeongea
@mmassyferguson49592 ай бұрын
Bora mama umetutetea sisi wanaume mwenyez mungu akubariki
@Zaburi-2 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
Mwanaume mwenzio akili kisado alafu eti ni doctor 😢😢😢😢😢 ningepata nafasi ngemkata pua😢😢😢😢😢😢😢 baba atabaki kwenye nafasi yake kama kiongozi wa family
@user-zz9gr1vd9h2 ай бұрын
U.esema kweli kabisa kuna wanaume wananyanyasika sana hawasemi tu wanaugulia miyoni barikiwe
@gadrontz90422 ай бұрын
Mama wewe ni 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@haizuruMakombo2 ай бұрын
Nashukuru mama kwa kuongea point.ila nakuhurumia kwasababu nchi zetu zinapangiwa na mataifa yaliyoendelea kwasababu ya utegemezi na woga
@faridmnyamike5562 ай бұрын
Mama yangu Msambatavangu Shikamoo, Asante sana Mama, Hiyo Motion yako imeshiba.
@ChrisElectrical-ck4mc2 ай бұрын
Da mama Mungu akusaidie
@user-bp2cc9eo6g2 ай бұрын
Hii ndiyo kuongea,unaongea points tena kwa HERUFI KUBWA,safi sana mama Tanzania🎉🎉🎉🎉🎉
@jamesmasome3592 ай бұрын
Wasikuache kukuchaguwa kwenye Jimbo lako. Unahakili sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MenelusCzar2 ай бұрын
ASANTE MAMA ❤ Huyu ni MAMA NA NUSU 🔥🔥🔥
@jonamnyone80142 ай бұрын
Inashangaza sana Dr. Kigwangala unatoa comment ya hovyo namna hii. Yaani huoni hilo tatizo. Wanaume tunanyanyasika anatokea mwanamke anatetea wewe unampinga. Mungu si mjinga kumfanya mwanaume awe kichwa cha familia. Sasa hivi watoto wa kiume hawana mtetezi wanageuzwa kuwa mashoga kila kona. Wanawake wanakuwa ma single mother wanalea watoto bila baba zao matokeo ni ongezeko la mashoga.
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
Huyu tumwekee kwenye kundi like la wababa wanaolawiti na kubaka watoto wao mwamke kaona hatari yee kaona sawa MUNGU mfungue ufahamu, hii haki sawa hapana
@salehemcharo2 ай бұрын
Huyu kigwangala ni shoga 😂😂😂😂 anatutia aibu yani mwanamke anatutetea kigwangala anatoa hoja za hovyo. Sijapenda mungu amuweke huyu mama. Aisee
@m.e.ssofttech28062 ай бұрын
Ndio maana mashoga wanaongezeka na single mother wanaongezeka
@ReginaJoseph-cm3cx2 ай бұрын
Ukiwa Dr halafu ukaongea point less aibu sana. Kwa hii Dr ni Huyu Mama, big up mama
@lulyehomadale90092 ай бұрын
Dah tumepata mtetezi Huyu mama anafikiria tofauti sana ,program zote za kijamii zimebeba agenda ya mwanamke,
@jonamnyone80142 ай бұрын
Agenda ya kuwadogolesha wanaume ilianza Beijin. Huu si mpango wa Mungu. Shetani anataka kuua taasisi ya familia. Sasa hivi kuna wanaume wanaolewa na wanaume mabasha. Huu ni ufidhuli mkubwa unapaswa kupiga vita.
@DeusRobart2 ай бұрын
kigwangala dishi limeyumba😂😂😂
@josephjulio61122 ай бұрын
Alaniwe kabisa pamoja na watoto wake
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
Limejifunika kabisa 😂😂😂😂😂
@charlessamwel75812 ай бұрын
Mama uko vzr
@RevocatusWilliam2 ай бұрын
Hii ndo lugha inayotakiwaa kutoka sasa kwa mama zetu.
@evancetarimo13102 ай бұрын
Asante sana mama mwenyez mungu akusaidie sana
@ErickBandushiEtien2 ай бұрын
Mungu akutie nguvu ubarkiwe
@eddiemohamed90032 ай бұрын
BIG UP MAMA🤣 👏👏👏
@zephaniahfanuel84442 ай бұрын
Huyu mama wa Iringa hatakagi michongo ya usingle mother ni ushetani huo, Tungekuwa na mama kama hawa hakungekuwa na ushoga wala usagaji TZ
@RobartShello-qj4vr2 ай бұрын
Wewe ndie mama mwenyemaono, naumelelewa, nakweli mwanamke ukimgusa kidogo tayari unawekwa ndan nahilo kweli limewachosha wanaume matokeo yake kutelekeza familia
@dericktouch57232 ай бұрын
Asante sana ni uwepo wa mungu umetuonekania kwa huyu mama no ushoga tanzania tamaduni zetu haziruhusu kabisa
@magomadamian34682 ай бұрын
Safi Sana Bora hata umewatetea hao wanawake bila kujijua Ka wametetewa maana siku zijazo zitakuwa mbaya sana.staeleweka na wengi ila wachache tu
@FelisterLigazio-mw3hh2 ай бұрын
Sema mama, Mungu akubariki tuku pamoja nawe
@ImanueliMwakajinga-ry8ig2 ай бұрын
Waooo awa ndo wabunge tunao wataka
@madinaMussa-hm8in2 ай бұрын
Asantee mama
@JasbaKipingu2 ай бұрын
Hakika Waume tumechanganyikiwa keli leo mwanaume anatukana tunatetewa na mwanamke eeee mungu tuvushe tuko hatarini sisi waja wako
@edsonnelson44642 ай бұрын
Bora hata umeongea naona watu sasa akili zimefunguka
@omarimketo86212 ай бұрын
Asante mama
@sambulugu99882 ай бұрын
Hongera sana!
@raphaelmethod55992 ай бұрын
Fact mama bora
@charlesmakuri7922 ай бұрын
Mama hongera ila nashauli (thyroidectomy ) ni nzuri kwa afya kwa wenye thyroid hyperplasia
@cholesilwela51862 ай бұрын
Asante Sana Mama Kwa kututetea sisi wanaume
@meshackpatrick69812 ай бұрын
Apewe uprofesa Ikiwezekana ajengewe Sanamu
@user-nb6yh2bn9y2 ай бұрын
Safiiiii saaana Mama pongezi kwako 🙏🙏🙏
@sadikiissa77562 ай бұрын
Safi Sana.
@ALINUWILAMKONONGO18 күн бұрын
Utashangaa wanapuuza hoja za huyu mama wanashadadia trab and trat 😭
@jovianusrweikila85952 ай бұрын
Well said Mama...
@ngambikomsu642 ай бұрын
Kigwangala bhana , hilo si ndilo analosema lirekebishweeeeee? Huu uchawa bhana umekuharibu sana, utabaki kubebea wanawake mabegi tuu weweeee
@2.12carrental62 ай бұрын
Mama Yangu Jeska Mungu aendelee Kukupaq Sauti Ili Kuteteaaa
@user-cu3cl4yy5s2 ай бұрын
Asante mama umesema yaliyokweli
@Butondo2 ай бұрын
Well said mama. Tatizo hizi haki za wanawake inashachukua kila kona
@user-zm5co2rf6z2 ай бұрын
Dah uyu mbunge anaakili sana
@zariadunia63282 ай бұрын
Nampendaga sana mh Jesca udumu mama
@PaulinaLwena2 ай бұрын
Mbunge ustaili hongera sana
@ramadhanmwandambotuntufye59722 ай бұрын
Wanaume siku hizi ni kama mabinti, tusemee mama achana na hao wanaoleta taarifa za hovyo .
@DaimonMwapelele2 ай бұрын
Taifa linaangamia tulud kwenye njia maana tumepotea kwa kumwinua mwanamke na kumshusha mwanamme
@japhethcharles57912 ай бұрын
Yani akili kubwa kama hii inapatikana Tanzania,eeh MUNGU ibariki Tanzania
@JOHNKKULULINDA-pc6gy2 ай бұрын
MAMA, MUNGU AKUBARIKI SANA.
@josephmwinuka39822 ай бұрын
Safi mh jesca umetuwkilisha vzur
@nurdinswalehe2 ай бұрын
Kweli huyu mama kweli
@jameswissa99812 ай бұрын
Huyo Daktari aliyetoa hiyo taarifa apimwe akili..
@alinanusweedward29522 ай бұрын
Dah Mitano tena kwa Mama Msambatavangu
@pastorb.alaurent10062 ай бұрын
Umeongea vitu vya point sana nakuombea sana uwe ww waziri
@ChrisElectrical-ck4mc2 ай бұрын
Kwa kweli
@user-hj4bc5uh2x2 ай бұрын
Kuna raisi kila sherehe zamashoga yupo hao kinaharmonaiz dimond nawengine ndio maajent wakubwa
Tukiongea ukweli bila kupepesa macho, hiyo WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO, ilipaswa kuitwa WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII, WANAWAKE, WAZEE NA WATOTO. Hamna kitu wanafanya Kwa ajili ya WANAUME aisee.
@user-pg6db8jl2y2 ай бұрын
Wanafanyiwa lakin awana pakujitetea kabc jmn yaan nihuruma sana wanawake wamewekwa mbele sanaa na ndo maan utaskia mwanamme kamuuwa mke kwasababu anauchungu mwingi na mambo mengi anashindwa pakuyasemea
@LightnessMunisi-uo5pd2 ай бұрын
Asante mama yetu
@YusuphShabani-wk5bv2 ай бұрын
❤❤❤❤ 👍
@user-xp8fe3iz8w2 ай бұрын
Aaah we mama unajua umuhimu wa kijana wa kiume sana
@angelanaftael79652 ай бұрын
Hakika uzao wa kiume uko kwenye moto mkali jamani... wanaume wamechoka sana jamani...mifumo umeua wanaume imemaliza watoto wetu wa kiume...uuuuwiiiii
@RashidKidolingo2 ай бұрын
Asante mama yangu,mpaka nimelia
@st.alvincollege61842 ай бұрын
Alikua mgeni rasmi wakati namalza Form 6 mwaka 2012 ni hatar kabisa
@user-xc5lt3jm6p2 ай бұрын
Hii sauti ya mama imetoka Kwa mamlaka ya mwenyezi Mungu sauti haipingwi hiyo imeenda
@prosperjuma9052 ай бұрын
Kigwangala hovyo sana aise
@luqmanomary35582 ай бұрын
Tena akil zake chache sana yaani mwanaume unatetew bado yy anaona haki kwa wanawake au shoga nn😂😂😂
@nakalikyumile32342 ай бұрын
Huyo kigwangala hana akili huyo,huyo huenda anatumiwa na wazungu kuongeza mashoga
@FelisterLigazio-mw3hh2 ай бұрын
Yeees
@user-sn9ip6qr3l2 ай бұрын
Kwakwel nashindwa cha kukoment mama umeongea mno ila hawa kuna muda huwaga naifikiria sana serikal hii ina nin jaman afadhali umeongea mama ang vitoto vyetu mtaan vinabakwa mno tuu huku na mibaba 😢😢
@MenelusCzar2 ай бұрын
DAAAAAAAA ❤❤❤❤
@leonardmrope95282 ай бұрын
Fact
@dreamleague-uq2gx2 ай бұрын
Fact ✊
@DeusRobart2 ай бұрын
maisha malefu mheshimiwa nakutakia
@RichardZachalia-ph3ot2 ай бұрын
🎉🎉
@christerlymakala7912 ай бұрын
🙏🙏🙏
@user-oj3lv6et4n2 ай бұрын
Ningekuwa Rais ningekupa uwaziri wa jinsia maana umeupiga mwingi sana mpaka shoga kigwangara aumbuka
@user-zg9cu7jp3q2 ай бұрын
Mungu azidi kukupa kibali
@simonsangu60402 ай бұрын
Kigwangala n k igwangala kwl2
@mansooranam8312 ай бұрын
Hiyo kigwangala mwanaume mwenzetu au?? Acha ujinga wewe, tutetee na ss mama
@MusaMkembela-ex6ev2 ай бұрын
Na mkiendelea na sera za kiboya hizo mtajaza masingle mother nchi nzima endeleeni kukandamiza wanaume
@Dagerboy972 ай бұрын
shikamoooo
@edwardlukuba93582 ай бұрын
Mama apewe maua yake
@westserengeti56082 ай бұрын
Yaani huyu mbunge, kwa neno Hilo, hata kama una dhambi, Mungu akusemehe, yaani Leo umenena vema.
@EmanuelNyondo-qj5zx2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MakukaNyango2 ай бұрын
Mama mungu akupe miaka mingi duniani na ikibidi mwakan gombea uraisi maana una mtazamo chanya juu ya wanaume,kuna muda tuulizane ,kama wanaamini wanawake wanaweza mbona kwenye harakat za ukombozi wa bara letu pendwa la africa hakutokea mwanamke rais kwahyo tukae chini tujitafakari
@nakalikyumile32342 ай бұрын
Huyu ndo mama wa kazi" sio yule dhaifu toka kizmkazi"