Leo tumeachia series yetu mpya karibu kuitazama usisahau kuweka comment yako ni muhimu kwetu ❤
@sumaya-q7i8 күн бұрын
Tuna kupenda sana kaka❤❤❤
@RizikiZiki8 күн бұрын
Usijali Kelvin khan tuko pamoja ❤
@emmanueljohnkimbe8 күн бұрын
Shida shemej anaonekana kutuzingua kaka
@traziasmuhandiki8 күн бұрын
Hapo sawa
@victoriangasa8 күн бұрын
Tuk pamoj kaka
@heliethilomo65538 күн бұрын
Sijawahi kucoment but leo naomba mungu akulinde na akusimamie ufanya makubwa zaid ya hayo🥰🙏🙏🙏
@MariamNgomba3 күн бұрын
Kelvin you use to appear very smart keep it up kaka na pia kazi zenu ni njema
@user-er3cb9mb9m7 күн бұрын
Much love from Kenya guys like back Kama mna mkubali kelivin tujuane kwa like Apo chini gonga like 👇😂❤
@Dontatv2557 күн бұрын
Asante
@EMANUELADANIEL-fz4ox3 күн бұрын
❤❤❤
@user-ok6wi2jb4x8 күн бұрын
Mungu akupe funzo zaidi kelvin pamoja na team yako Kwa sababu tangia nianze kuwafuatilia Nina experience ya maisha na Nina Imani Kuna wengi pia wamejifunza nawatakia kazi jema manzotuadalia
@Dontatv2558 күн бұрын
Amina 🙏
@irenemosha9628 күн бұрын
Nimewahi leo naomben like zang kazi nzur jaman tuwape mauwa yao🎉🎉
@Dontatv2558 күн бұрын
Sawaa
@rebekakajange80968 күн бұрын
Hongereni sana kaz nzur
@user-vd9cj5ro4u7 күн бұрын
Kaz nzuri 🎉
@AmosiMnkondya-pe2nu7 күн бұрын
@@rebekakajange8096n
@YugeniYugeni7 күн бұрын
Poa
@user-su5oi5wb6c8 күн бұрын
Nakufatilia sana kelvin move zako tamu sana,na zenye mafunzo leo naomba like jaman hata 5 tu 😢😢❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@Dontatv2558 күн бұрын
Asante sana
@user-ko3bs9gm5e8 күн бұрын
Nimeipenda sana iko poa
@SPORAJACKSONMWINUKA7 күн бұрын
Zur sana
@MerlinaKubadesha5 күн бұрын
Daah sijawahi kuangalia aila kwa haya lazima niangalie move zako aiseee kaka angu😂😂❤😊
@NavineKerubo-mq8zc8 күн бұрын
Nmejifunza mengi tangu nianze kuwatch hiki kipindi Kelvin iyo talent uikeep it up bro God bless you so much
@user-hm6hy6rr1h8 күн бұрын
Ooo dada nasra kafik jamon nampenda san dada nikisem kipindi kauwaw hhhh sitomuon ten ❤❤❤❤❤ nawapenda san
@sayunimhungulu69188 күн бұрын
Kaka hii movie ni tamu mwanzo hivi huko katikati itakuwaje hongera sana donta tv pia muda mmeongeza kidogo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@viviankasena8 күн бұрын
Sijawahi kucoment leo nisku yngu y kwnza bt hongera sna kelvin movie zko nzuri tna tamu na zinafundsha vitu vingi sna hsa kwnye ndoa
@noorrajpar39287 күн бұрын
Kwann mama hajapeleka hawa korea kachukua wale magumegume wanaofanya uhuni ndo kawapeleka jamani 😢
@MwanahamisiMchombo8 күн бұрын
Kazi nzuri sana kaka
@user-kg1hx6zc8s8 күн бұрын
Yani huwa napenda sana move zako hasa kwenye move ikiwa naloveness❤❤❤❤na kelvin
@Dontatv2558 күн бұрын
Asante sana
@watisonywatisony76597 күн бұрын
@@Dontatv255❤❤❤
@appsplay43248 күн бұрын
Movie nzuri nawapenda sana ❤❤❤😂
@Dontatv2558 күн бұрын
Asante sana
@innocentnkeshima8 күн бұрын
Movie ninzuri ila watupe ep ya2
@NaomyMoraa-mi4ljКүн бұрын
@@Dontatv255 So nice❤❤🎉🎉
@RizikiZiki8 күн бұрын
Waooo kitu kipya ico piga kelele kwa Kelvin khan 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Dontatv2558 күн бұрын
Piga kelele😂
@aishasidi66738 күн бұрын
Woyooooooooooo kwa donta tv from 🇰🇪 nawapnda bure❤❤❤❤❤@@Dontatv255
@user-ji6cp1ng8g8 күн бұрын
Eeeeeh
@FodianaNgingo8 күн бұрын
Soooooooo good
@user-yz3uw2uf1l7 күн бұрын
@@Dontatv255msiwe mnachelewesha basi kutoa move
@user-ue8rz3om4h8 күн бұрын
Duuh!! Kwa kweli movie Kali sana
@Dontatv2558 күн бұрын
Asante sana
@tigejuma98658 күн бұрын
I liked the conversation of the two ladies lived together,under one roof.....this world is full of lies...Nd disappointments.😅😅😅
@Dontatv2558 күн бұрын
😂😂❤
@MariamMariamyusef8 күн бұрын
Jaman Donta raha sana yaan kitu juu ya kitu ❤❤❤
@Dontatv2558 күн бұрын
Kabisaa
@user-fc7gg2ul1w8 күн бұрын
💓❤️💓movie nzur big up donta tv
@Dontatv2558 күн бұрын
Asante
@jordanjonas80095 күн бұрын
Kaka nimekukubari sana apo kwenye gari ndani uyo dem alivyo kuwa anakushobokea afu wewe unakausha apo umeua sana kaka 🔥🔥 yaan kiboss 👏👏
@user-ko1po5ff4s8 күн бұрын
Wallah hii movie nitamu sana na inamafundisho ndaniyake iwapo nimwanzotu ila nimepata utundaniyake", more love guys 🥰🥰
@Dontatv2558 күн бұрын
Sawa inakuja part 2
@nguyamtwartz54138 күн бұрын
Lissa again nakapenda sana haka karembo
@MussaMatewa8 күн бұрын
Oya huyu mwamba kelvin anajua kuigiza
@G_M228 күн бұрын
Walioona utege wa loveness gonga like😂😂😂
@Dontatv2558 күн бұрын
🙌
@fatmasule82628 күн бұрын
😂😂😂😂
@TamatiKanefuka-fy1nr5 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@rahimaaaaa56825 күн бұрын
😂😂😂😂mgonvi ww
@MagrethLesilwa5 күн бұрын
😅😅😅😅
@user-ws2cy7xz3b8 күн бұрын
Love Ness ulikuwepo wapi we mdada tuli ku miss mno karibu tenaq❤🎉
@Amani-kr9ln8 күн бұрын
Mapenzi sio pesa Mapenzi ni muunganiko wa hisia baina ya mwanaume na mwanamke asante kaka kervin
@Dontatv2558 күн бұрын
🔥🔥🙏
@MerlinaKubadesha5 күн бұрын
Kama dawa kama kawa mapenzi so pesa kabisaa m2 asidanganye💯💯🇳🇴🇳🇴🙌🙌💜💜
@JayManko4 күн бұрын
Kelvin huwa unanifurahixha xaan huo mximamo ulionao
@Giftbugalama8 күн бұрын
kazi nzuri sana, donta tv family hamuja wayi kutuangusha hata siku moja, na njo maana hatuta choka kuwafatiliya sisi kamwe, shabiki wenu nikiwa south africa❤💪
@Dontatv2558 күн бұрын
Asante sana
@LilianaFesto8 күн бұрын
Iko powa Sana ❤️❤️💯
@Dontatv2558 күн бұрын
Asante
@FrankLuhaha-dt5sh8 күн бұрын
Congratulations for you kelvin khan🎉🎉🎉🎉🎉 tumepataaa ujumbeee❤❤❤
@Dontatv2558 күн бұрын
Asante
@user-yy3bw3xz2j8 күн бұрын
Mungu akuinue kelvin nkupenda sana kaka aki filamu zako nazifatilia sana na zinanipea mafunzo mazito sana zanifariji moyo wangu I love you ❤❤❤ broo natazama nikiwa Kenya mungu azidi kuinua talanta yako ❤❤❤❤❤
@Dontatv2558 күн бұрын
Asante sana
@Grance-gf8mj8 күн бұрын
@@Dontatv255congrats
@NaomiNgute-gu8wc6 күн бұрын
Amjawai nifail team kelvin ❤❤❤ tamu sana na lenye mafunzo ,,,,shabiki from kenya
Huyu nasla msimtupe tena n mazuri tena mrembo.akue kwenye series nyingi za dontas pliz
@LevisAbel-ou3wp6 күн бұрын
Kazi nzuri San kak ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@JoyceKayombo-y3g8 күн бұрын
Wow😮 kazi nzurii next episode please
@victorlyimo8968 күн бұрын
Kipaji kikubwa kaka unacho ... pambana 🎉🎉🎉🎉🎉
@ruthgloriaobonyo8 күн бұрын
Mawaida mwafaka👌👌👌 next ije kwa mpigo na usicheleweshe tafadhali ♥️
@Dontatv2558 күн бұрын
Sawaaa
@lilianmoraa46904 күн бұрын
Love you
@lilianmoraa46904 күн бұрын
Sawaaa
@NicholasMuriithi-nv1ps8 күн бұрын
Mr kelvin for sure you are such a blessing and teaches us more Mungu akubariki tena Zaidi kaka ❤❤❤
@Dontatv2558 күн бұрын
Asante sana 🙏
@salmasalam32688 күн бұрын
Nilisubir sana🎉
@Dontatv2558 күн бұрын
Imetoka tayari
@FrancisYohana-ij1th8 күн бұрын
Xaw kk iko vizuri good kaz nzur kelvin ukiw na loveness❤❤❤❤
@Dontatv2558 күн бұрын
Asante sana
@FrancisYohana-ij1th8 күн бұрын
@@Dontatv255 ukiwa na lovness mambo good
@NaomiEdward-ef2cp8 күн бұрын
mie ombi langu naomba nijue itakuwa inatoka siku gan na muda gan
@user-rq2ce3bf8g8 күн бұрын
Akika ni nzuri
@Dontatv2558 күн бұрын
Asante sana
@user-ps1hf2ti5h8 күн бұрын
Wah leo nasla alikua amepotea sana
@domtuxhi43948 күн бұрын
Nassara naye penzi lake kelvin ua alipati,,kazi njema lakini kelvin kenya tuko imara na twa ngoja mwendelezo kaka
@Dontatv2558 күн бұрын
❤❤❤
@hashimuomary45698 күн бұрын
Woooow nasra ndan ya nyumba nimefurah kumuona
@Dontatv2558 күн бұрын
❤❤❤
@haroma83668 күн бұрын
Napenda sana dontas movies. Nawaminia sana from kenya
@user-qy8pw8wg4x7 күн бұрын
@@Dontatv255napenda muvi zenu jaman mungu awajalie
@radjabunibitanga47838 күн бұрын
Big up bro naimn tutaenjoy n tulikua tumemmiss loveness maan hakua ktk series y SIKU 1 KABLA YA NDOA YETU so nafurah kumuona tena
@Dontatv2558 күн бұрын
Mtaenjoy sana akikisha aukosi ❤
@user-pp2xh5cg1m8 күн бұрын
Safi sana 🎉🎉🎉 Kelvin 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 watching from saudi Arabia
@KhadijaAly-lu7lk7 күн бұрын
Yani mamb ni moto💫💫 ila ikianz kufik ep ya 5 t munaanz kupunguz mda muach iviv ila chukuw mauw yak kelvin🎉🎉🎉🎉🎉
@Dontatv2557 күн бұрын
Sawaa
@b_fc_chaduma8 күн бұрын
Nzr saana hii
@Dontatv2558 күн бұрын
Asante
@wilbardrongoma79408 күн бұрын
Nakubali donta tv like kwangu
@Dontatv2558 күн бұрын
Hizoo
@japhetmkare71767 күн бұрын
Pongezi kwa kweli mko vizuri.
@Dontatv2557 күн бұрын
Asante sana
@NasraJuma-b4v5 күн бұрын
Mwendelezo uwai,kinakitu umenifunza kaka kuusu mapenzi nabiashala❤❤❤❤❤npo apa nasubili muendelezo
@HadijaHusen-od2bw7 күн бұрын
Naombeni like zangu na mie nimewai
@Dontatv2557 күн бұрын
Sawaa
@cynthiatuyisabe41817 күн бұрын
Jamani nzuri sna kabx tutaifuata kka kelvin ushauri wenu bado tunauhitaji mbalikiwe❤❤
@Dontatv2557 күн бұрын
Asante
@xavieramandiocristovao82866 күн бұрын
Mara nyengine badilisha Jina ya filamu,ilioandika PENZI LA TOTO WA BOSS NA DADA WA KAZI,apo filamu inajielezea kabla tá kuangalia...Weka madjina mafupi fupi.😮❤ Sha kumalizia munatumia muda muingi sehemu moja. Muwe munabadilisha madjina
@DamianoFisoo8 күн бұрын
Kelvin kazi zako ni og nakukubali xnaa🎉🎉🎉🎉
@Dontatv2558 күн бұрын
Asante sana
@VenistaLaulendikinyele7 күн бұрын
😢😮😮😮😢
@user-kx2kr8mp3e8 күн бұрын
Kelvin nakukubali Sana mkovizur mno yaa mpaka ndoa yangu imekua mpya sasa kupitia nyie yaa nafurahiya ndoa yangu 🎉🎉🎉❤❤
@NoorEesa5 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@NoorEesa5 күн бұрын
❤❤❤❤
@IbrahimDafu3 күн бұрын
Yanga
@MGTV-di2ic8 күн бұрын
Team dota tv like zenu apa
@Dontatv2558 күн бұрын
Zipooo
@MGTV-di2ic8 күн бұрын
@@Dontatv255 Aya brother
@wanjalawanjala4878 күн бұрын
Napenda kazi zenu na nafatilia kila kazi mnayo toa...much love from KENYA🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MaryKijo8 күн бұрын
Kenyas 🇰🇪 like tafathali .team gulf 🇮🇶
@Dontatv2558 күн бұрын
Asante sana
@user-fw2zn2os8g8 күн бұрын
@@Dontatv255kelivn
@MaryKijo8 күн бұрын
Karibu❤@@Dontatv255
@lilianmoraa46904 күн бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@JullianaEmmanuel-tm5xg8 күн бұрын
Wanaume wote wangekuwa serious kama kaka Kelvin
@Dontatv2558 күн бұрын
Ingekuwaje 😂
@ruthgloriaobonyo8 күн бұрын
@@Dontatv255Dunia ingeona Mbinguni🤣🤣🤣
@MIRACLESTEVEN-lp2iu6 күн бұрын
oy kaka mnapendeza sana wewe na loveness👌👌👌👍👍👍
@NishimweAlinne8 күн бұрын
Nawapenda sana
@AmusedBubbleTea-ic2mf8 күн бұрын
yani nagupenda sana wemuka Kelvin ❤❤❤
@Dontatv2558 күн бұрын
🔥🔥🙌
@user-sc5dr6dn3w8 күн бұрын
Bigp sana Kelvin tunashukuru kwakumleta tena mdada mkarim kwenye kesho yangu et.
@Dontatv2558 күн бұрын
Asante pia
@aminaabdalla-uo9zq8 күн бұрын
Napend sana move z kelvini zinafurahish n kufundisha kaz nzur kelvin❤❤❤🎉
@user-gy4po2qf4n8 күн бұрын
Gonga like hapo kama unamkubali kelvin na donta TV ❤😂😂😢😮
Ni filamu nzuri sana Kelvin, nafuatilia kutoka Kenya...natamani sana kuona sehemu ya pili, ipo kweli?
@DekelvaSoujaboy-mb8psКүн бұрын
Unyama mwingi mzee baba na wakubali sana team donta love from ❤❤❤ Drc Congo Lubumbashi 🇨🇩💙💙🇨🇩🇨🇩💥💥💥
@user-lz8kb9ds8k8 күн бұрын
Sijachelewa sana wana donta tv naombeni likes zangu😢😢😢😢
@Dontatv2558 күн бұрын
Sawa karibu
@MicahelRex8 күн бұрын
Nipeni like zangu wa kwanza leo Kelvin ❤
@Dontatv2558 күн бұрын
Sawa Asante
@MicahelRex8 күн бұрын
@@Dontatv255 wewe Kelvin natamani Siku moja nikuone, yani wewe ni mwanaume ambaye unaye nipa Maneno ya kujenga maisha nakupenda kwa kweli Kelvin mungu akulinde akuze kazi yako naitwa Michael 🇨🇩
@AnethDerickius-nt8sm8 күн бұрын
Natamani sana kujiunga na nyie ety@@Dontatv255
@JanethSalos-lk5ci4 күн бұрын
Nakubal Sana broo Kaz Zako kelvin mungu akubalik na akuzidishie kipaji chako mara dufu🎉🎉🎉🎉🎉