KUHUSIANA NA PETE DR SULLE AMETOA ELIMU NA HISTORIA YAKE TANGU ILIPOKUWA NA SULEIMAN MPAKA KUJA KUTUMIKA NA KIZAZI CHA SASA
Пікірлер: 36
@jamilaathumani54818 күн бұрын
Mashalah mashalah mwenyezimungu amekujalia sana elimu..nakupendaga sana dokta sule kwajili ya mungu..sisi tunakuelewa sana na tunaamini unachokisema kuhusu mungu wetu...wewe ndo mwanasayansi wetu wakiislam tunajivunia sana kuwa nawewe.. mwenyezimungu akupe heri na mwisho mwema nasisi pia mungu atupe mwisho mwema
@LucaWanzuki10 күн бұрын
Unajua sala sule mashaalha mungu akupee elimu zaidi
@andrewmoi218610 күн бұрын
Uyu KWA kweli ni mganga tu lakin nataka kukuambia ukweli Uislamu upo mbali na uchawi
@user1337510 күн бұрын
Asante sana dr.sulle unatuwakilisha Waislam
@msamgunda76847 күн бұрын
@@user13375 sio waislam,bali ni wachawi.
@ALIBINSAID-mc4el9 күн бұрын
Hiyo elimu unayotoa DK sule hapo sio pahala pake ,elimu kubwa kiwango cha wapokeaji bado kipo chini sana ndio maana unaona matokeo ya wengi ni kulaumu tu ,toa elimu sahihi kwa watu sahihi ,kila lakheri
@malundemoud371910 күн бұрын
Dr umeongea vzur Sana umefundsha vtu ambavyo vip shidayetu Elim! Wengi hawakuelewi wanakurupuka!. Ushauri Kama Hujui huspende kukurupuka skliza update Elim/madini!!!.
@omarchaijefwa72910 күн бұрын
HUYU WALLAHY BILLAHY TAULLAHY ATAMDHALILISHA KABLA KUONDOKA HAPA DUNANI NA MTAKUMBUKA HII COMMENT YANGU,SI YEYE AMEKUMBATIA MALI NA DUNIA?ALLAH ANACHO ALICHOMUANDALIA
@khadijaomar75296 күн бұрын
Insha Allah
@osmundmtavangu10 күн бұрын
Km mmemsikiliza vzr Dr. Sule,Nadhani mpaka hapo mmeamini hoja za Mch ndacha kwamba kuvaa pete ni kujitakia mabalaa. Pete ni njia ya mapepo kutumia mwili wa mtu.
@ramadhanitawaqal895810 күн бұрын
Ukimsikiliza Sule Kwa sikio la chuki Tu kisa muislam hautoweza kujua Kamwe ni kitu gani cha ukweli kipo ndani Yake wakristo mna Elimu ndogo Sana ya mambo ya dini tofauti na waislam
@salimchimwaga83844 күн бұрын
Hizo ni elimu za kidunia hazina uhusiano wowote na dini.
@AngelinaAkuyen5 күн бұрын
Dr sule mimi salimu niko londwar rakini turukana nahitaji kuja mobasa mulimani kuku tafuta wallahi nasafirinnakutafuta mwezinwatanu
@abdulazizkassim7759 күн бұрын
Suleiman nikama moussa , moussa alikuwa n'a Power koutoka kwa mungu , n'a siyo fimbo kama fimbo
@betinvestment32047 күн бұрын
Mtume (s.a.w) alipokaa na maswahaba aliwaambia laukama angekuwepo musa namm mkamfata musa basi uma wote mngelipotea kwa maana yeye niwauma huu wa mwisho usitumie pete kisa nabii suleiman alivaa utapotea kama alivyosema mtume Fata tu Quran na sunna zake alizo tuachia basi kufuata hayo aliyotuachia nibora zaidi.
@saidrakwe872710 күн бұрын
huyu jamaa ana akili sana,mashaallah
@isaacmligo918710 күн бұрын
Duuh!😢
@osmundmtavangu10 күн бұрын
Asante Dr. Sule umesaidia kufichua Siri za Uslamu na jinsi hii dini inavyohusika na uchawi na majini. Wakubisha acha aendelee kubisha,lakini ni dhahiri Uislamu na uchawi ni damu damu!
@mohamedharunamohamedharuna712410 күн бұрын
Acha uongo wewe
@charlesjohn884310 күн бұрын
Unataka ubishane na mtu anaejua kuran nzima naww hujui hata nusu ya kuran😂@@mohamedharunamohamedharuna7124
@otaibonny883510 күн бұрын
Ndio maana wachawi wengi ni akina mohammad, Ali, Abdul, Rashid 😅😅😅😅😂
@ShomiLongwa10 күн бұрын
Mungu akuongoze
@abdulazizkassim7759 күн бұрын
Suleiman alikuwa n'a ufalme kwa amri yamungu siyo pete
@mwoso10 күн бұрын
Kweli nabii suleiman alikua muislamu?
@fatumatandika622010 күн бұрын
Dr.watakyelewa tuu usife moyo toa darsa
@fatumatandika622010 күн бұрын
Dr.anaelimisha sana ila watu wanajitoa ufahamu kama hayatendeki wakati yapo ni bora watu wafahamu elimu hiyo ambayo ipo.
@AngelinaAkuyen5 күн бұрын
Kama Gani sule
@mohamedabdallah532310 күн бұрын
Nyinyi mumeuza akheira yenu
@charlesjohn884310 күн бұрын
Wakristo na nyie tafteni pete jamn😂😂😂 mmebaki nyie tu😊😅
@petromachanga553810 күн бұрын
Mamaaaa hahaaa mbavu zangu
@Chrisblaze-beats10 күн бұрын
Uchawi mtupu.
@andrewmoi218610 күн бұрын
Ata freemason wameanza apo apo KWA uyo nabii Suleiman ..kwaiyo ata uyu Moja wao awo mashetani anajificha kwenye Uislamu
@AngelinaAkuyen5 күн бұрын
Wacha ujinga mungu ariruhusi wazahabu kwamwana muke feza kwamwana wume ume wahinkumuwona akiwa masikini
@IssaSimbilla-hw9ev10 күн бұрын
Wajinga hawakosekani hd kiyama kitafika 😂 eti SHEKH