Sule mche Allah shekh Dunia itakuangamiza Nawatu msiyafanyie kazi maneno ya sule Kutumia jini kupata Mali ni shiriki na uchawi mcheni Allah
@user-ps7ej3ep4e2 ай бұрын
Wallah unautia aibu uislam muogope mungu hio ni shirki
@user-kj2xh6bt5y2 ай бұрын
sheee Yuko sawa sawa munguu kupe maisha marefuu
@IssaMuhibu-nc8jiАй бұрын
Waislaam tuache tamaa za kidunia huyo kw sas yup kidunia zaid siyo kidini dr sule acha kupotosha umma mche allah
@YeremiaKuyangwa2 ай бұрын
Mungu asimame mwenyewe Kwaakili zetu hatuwez
@user-zh6xn8jr2c2 ай бұрын
Majini n'a mwanadamu, ni ushirikina sana.
@musanike30792 ай бұрын
Dr. Sule Mabruk💯👍
@audifansisafari55872 ай бұрын
Jino kwa jino hakuna injili Mwizi kukatwa mkono hakuna kwenye injili Kumwona Mungu kiroho ni sauti au nguvu zake
@PastorPhilipMbaabu.Ай бұрын
Hiyo ring ni ya kijini. Sana sana Shariffu.
@yahayaisrael65102 ай бұрын
Uyo anaitaji kuelimishwa msameh bule
@MinaNillanАй бұрын
Mashaallah
@ochuMay052 ай бұрын
Unapozungumzia Dini na imani za watu ni vitu viwili tofauti kwani sio Waislamu wote au Wakristo wote wenye imani hizo kwani kuna wengine wanatambua uwepo wa hao viumbe kulingana na maandiko kutoka katika vitabu vya Dini. Lakini kwenye suala la kuyatumia ni matakwa ya mtu binafsi kulingana na anavyoamini yeye na sio wote kwamba tuna imani hizo bila kujali ni wa Dini gani au Dhehebu gani.. Kwa hiyo nikushauri usiwe unapenda kuhukumu watu wengi kwa kosa la mtu mmoja na usiponielewa hapo hauwezi kuelewa tena na utakuwa na upungufu wa akili..
@muhammadkhamis93962 ай бұрын
Muogope mungu kwa kunyoa style
@ratohabi6459Ай бұрын
Why, kwa nini serikali isi walazimishe watu wanao tajirishwa na jini kulipa taxes?? Kama wengine wote wanaolipwa na sources za aina yoyote? Serikali zetu naona zimelala😅
@hajihaji123-lp5lx2 ай бұрын
dr sule umezingua sana maana hiyo habari ya kutumia majini umekanyaga kanyaga tuu ukasonga mbele,sema tuu ungesoma dini ila habari za falsafa na kuuza dawa za nguvu za kiume haitoshi
@user-zh6xn8jr2c2 ай бұрын
Hakuna mahusiyano ya majini n'a mwanadamu.
@nurufidel-lp6wj2 ай бұрын
Kweli kbs
@user-mk6vm8ub2uАй бұрын
Siku zote kwamungu hakunamashinda ila someni mandiko mutakua pamoja na mungu.
@RadjiNimpano-bl9xz2 ай бұрын
Baba Sule Anakupa directly
@annageorge43Ай бұрын
Huo ni uongo. Majini yapo lakini SI kama unavyo elezea. Majini hayawezi kukupa pesa abadan.
@israelthomas86212 ай бұрын
Acha kuwadanganya watu bwana sule. Wewe ni mchawi 😅😅
kilichokuwa bora kwetu sisi ni tutfute elim ndo kila kitu hakuna mta atakubabaisha katika dini tusiwe kma upepo unafata
@HabibuUrasa2 ай бұрын
Ukitumia jini kupata hela ,ukifa motoni na hilo jini lako motoni kwasababu wote ni washirikina
@trophywilson72112 ай бұрын
Hapa Ndo Najua Uislamu Wanafundisha Mambo ya nguvu za giza tu
@DhaharaniJongo-gt2un2 ай бұрын
Mwamposa anawainua viwete na vipofu mbona bdo hadi leo haujaenda
@rogerssimon95172 ай бұрын
Amina mwana wa mungu
@fasilkais56692 ай бұрын
Kuruani nishifaa Kwa waumini)( inawezaje kumponya asiie kuwa muuminiii na akapona)( mwenye kuruani yake kasema niponyo Kwa muumini
@user-ie3eh4nn3f2 ай бұрын
Naomba namba za doctor sule plz
@HamisJMB2 ай бұрын
Kumtegemea majini huo ni ujinga na ushirikia na hakuna zambi kubwa kama shirki watu weng san wanpenda kupindisha maneno ya dini kwa matmanio yao binafs hile khofu ya kumwogopa mungu imetoweka tena 😢
@user-lt2qh5dj1bАй бұрын
Izo dini unazoziongelea niwanani wali tuletea siwazungu nawaslam?
@user-MRTSLONLINE2 ай бұрын
Kama unamkubali doctor sule gonga like hapa
@user-lg1lq8cp1c2 ай бұрын
Nawew kukupata hewni lin nazani Nina mengi ya kuogea na wew
@zachaeousmithea94882 ай бұрын
Hi Dr sulle, just interested to have you number.
@HamisAbdallah-cj2sc2 ай бұрын
Hakuna toba KWA MTU anayekaribia kufa
@shepherd1x842 ай бұрын
Mfuga majiiniii
@user-io8hn1jb4d2 ай бұрын
dini za kiganga
@user-hw7ce8gf6v2 ай бұрын
Majini ni ma agent wa shetani Basi ukiwa na uhusiano na majini yaani wewe umekuwa karibu na shetani bila wewe kujuwa
Biblia hsijawahi sema kuna MTU aliwahi muona mungu
@RASHIDMWAZAMU-ih7yv2 ай бұрын
Ustadhi tangu sakata la harmonize amekuwa maarufu sana.in other words tunasema anatembelea upepo wa harmonize saivi
@user-dj7bs7si1v2 ай бұрын
Me sijaona tofauti yake na Rajab Kahari isipokuwa mmoja amedhihirika na mwengine anadhihirika taratibu taratibu.
@user-dj7bs7si1v2 ай бұрын
Me sijaona tofauti yake na Rajab Kahari isipokuwa mmoja amedhihirika na mwengine anadhihirika taratibu taratibu.
@user-dj7bs7si1v2 ай бұрын
Me sijaona tofauti yake na Rajab Kahari isipokuwa mmoja amedhihirika na mwengine anadhihirika taratibu taratibu.
@aljalilatiba98732 ай бұрын
HAIFAI MWANADAMU KUTUMIA JINI LIMPE MALI AU KUMLINDA ANGALIA AYA HIZI KTK SURATUL JINNI SURA YA 72 اللَّهِ كَذِبًا Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu. وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.
@aljalilatiba98732 ай бұрын
HAPA MAJINI YENYEWE YANAWAAMBIA WANADAMU WASITAFUTE ULINZI KWA MAJINI KWA NI DHAMBI KUFANYA HIVYO اللَّهِ كَذِبًا Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu. وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.
@saidmohd26652 ай бұрын
SONGI SONGI ABONGISA..🤣🤣🤣
@paulojohn55042 ай бұрын
MKIAMBIWA MNAFUNGA MJINI AMTAKI
@audifansisafari55872 ай бұрын
Wewe usimame na mapdre
@mim96072 ай бұрын
Mchawi nini
@Fikiri-k9d2 ай бұрын
Kumbuka pia majini ni waislamu
@fahadsaid96162 ай бұрын
Elimu Yako ndogo
@DININIKRISTO2 ай бұрын
Qrn 72 1 hd 14@@fahadsaid9616
@ochuMay052 ай бұрын
Na niwakukumbushe kuwa hata Vitabu vya Dini vinatueleza ya kwamba Mungu aliumba Binadamu na Majini ili wamuabudu yeye kwahiyo Majini wapo wema ambao ni wacha Mungu na wapo wabaya vilevile kama tulivyo Binaadamu wapo Binadamu wema na wabaya kwa kuwa wote tumeumbwa na Mungu mmoja..
@rogerssimon95172 ай бұрын
Huko ni kupotea majini kabla ya kutupwa waliitwa malaika lakini baada ya uasi hawana uhusiano na mungu hata kidogo, ndio maana aliyetoka mbinguni yesu alikuwa akikutana na mtu mwenye majini yalikuwa yanaomba msamaha majini wanasubili hukumu yao ya moto wa milele pamoja na wanaoshirikiana nao.
@hajihaji123-lp5lx2 ай бұрын
sema tuu dr sule ungosoma vizuri uisilaam ingekua bora kwako ila ukiendelea kuegemea kwenye experience na akili zako utaudhalilisha tuu uisiilaam hata kwenye mijadala hata maswali madogo madogo yatakua yanakushinda,pia sijui ni kwa nini umenyoa قزع kama lengo ni kusimamia dini ni lazima kusoma na kujipamba na tabia nzuri
@user-nk3dp9cv9c2 ай бұрын
🤐🤐🤐🤐🤐😒😒😒
@LinetAkoth-ue5zzАй бұрын
Hello nataka kukutana na wewe please
@ramadhanrashid1040Ай бұрын
Unataka kukutana na mchawi. Akusaidie na Nini.
@marobaraka2 ай бұрын
Sasa tukiwaambia waislam mnafuga majini mnakataa vp???
@ShekheMbaraka2 ай бұрын
Hakuna Muislam anaefuga majini ni yy huyo sule ndie mshirikina anafuga hayo majini
@marobaraka2 ай бұрын
@@ShekheMbaraka bas waislam mnashirikiana na majini Kwan si umsikilize huyo sule tena na tena
@DININIKRISTO2 ай бұрын
@ShekheMbaraka Kwahiyo Sule ni wa Dini gani?
@marobaraka2 ай бұрын
@@DININIKRISTO muslim
@DININIKRISTO2 ай бұрын
Asante
@user-sh6ch6ex1hАй бұрын
Kum,,,a huyu
@profs.a54122 ай бұрын
Watu pekee wenye elimu ya majini duniani ni wachawi na waislamu 😅😅 bila shaka ni watu wa baba mmoja
@muddyleader44582 ай бұрын
Yaap! Wote ni viumbe wa Mungu! Upo sahihi!
@israelthomas86212 ай бұрын
Exactly 😅😅
@abdallahsalem84992 ай бұрын
Waislamu wana elimu ya majini kwasababu wametajwa kwenye quran,
@profs.a54122 ай бұрын
@@abdallahsalem8499 Na ni ndugu wa hao mashetani, Sasa wataponaje kwenda jehanam??😂
@ochuMay052 ай бұрын
Unapozungumzia Dini na imani za watu ni vitu viwili tofauti kwani sio Waislamu wote au Wakristo wote wenye imani hizo kwani kuna wengine wanatambua uwepo wa hao viumbe kulingana na maandiko kutoka katika vitabu vya Dini. Lakini kwenye suala la kuyatumia ni matakwa ya mtu binafsi kulingana na anavyoamini yeye na sio wote kwamba tuna imani hizo bila kujali ni wa Dini gani au Dhehebu gani.. Kwa hiyo nikushauri usiwe unapenda kuhukumu watu wengi kwa kosa la mtu mmoja na usiponielewa hapo hauwezi kuelewa tena na utakuwa na upungufu wa akili..
@user-ml7jz5rf3n2 ай бұрын
hiki ndicho kinanifanya niwe na mashaka na kuufata uislamu
@user-bk4dz1sj3g2 ай бұрын
Sio kila muislamu yupo sawa fwata uislamu sahihi usiseme kwa kuwa fulani anaiba au Uganga ukaacha uislamu Duniani kuna wema na wabaya
@user-rq9hb7hl3g2 ай бұрын
Sio kila muislamu anafuata uislamu, usome uislamu uuelewe.
@user-du2fy5sd5u2 ай бұрын
Kunatofauti kati ya muislamu na uislamu so fuata uislamu na sio waislamu
@samwelimwanja41052 ай бұрын
Ndugu yangu usiuache ukristo
@musanike30792 ай бұрын
Ipi?
@marobaraka2 ай бұрын
Quran 64:2 - Yeye ndiye aliye kuumbeni. Miongoni mwenu yupo aliye kafiri, na yupo aliye Muumini. Na Mwenyezi Mungu anayaona mnayo yatenda. Sasa Mungu kaumba makafiri na waumini 😂😂😂😂. Makafr wanashda gan na wameumbwa makafr.
@saidisaidi23102 ай бұрын
Hawa mashekhe watiba maranyingi huishia kwenye uganga sasa hapa nikama unatuhamasisha tutumie majin muogope Allah sule kaburin hakuna camera wacha kutafuta cfa