FAHAMU KUHUSU MAJINI YANAYOWEZA KUKUPA PESA NA UTAJIRI DR SULLE

  Рет қаралды 26,775

Bongo Touch

Bongo Touch

2 ай бұрын

Пікірлер: 114
@user-wh3sl6cl6l
@user-wh3sl6cl6l Ай бұрын
Sule mche Allah shekh Dunia itakuangamiza Nawatu msiyafanyie kazi maneno ya sule Kutumia jini kupata Mali ni shiriki na uchawi mcheni Allah
@user-ps7ej3ep4e
@user-ps7ej3ep4e 2 ай бұрын
Wallah unautia aibu uislam muogope mungu hio ni shirki
@user-kj2xh6bt5y
@user-kj2xh6bt5y 2 ай бұрын
sheee Yuko sawa sawa munguu kupe maisha marefuu
@IssaMuhibu-nc8ji
@IssaMuhibu-nc8ji Ай бұрын
Waislaam tuache tamaa za kidunia huyo kw sas yup kidunia zaid siyo kidini dr sule acha kupotosha umma mche allah
@YeremiaKuyangwa
@YeremiaKuyangwa 2 ай бұрын
Mungu asimame mwenyewe Kwaakili zetu hatuwez
@user-zh6xn8jr2c
@user-zh6xn8jr2c 2 ай бұрын
Majini n'a mwanadamu, ni ushirikina sana.
@musanike3079
@musanike3079 2 ай бұрын
Dr. Sule Mabruk💯👍
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 2 ай бұрын
Jino kwa jino hakuna injili Mwizi kukatwa mkono hakuna kwenye injili Kumwona Mungu kiroho ni sauti au nguvu zake
@PastorPhilipMbaabu.
@PastorPhilipMbaabu. Ай бұрын
Hiyo ring ni ya kijini. Sana sana Shariffu.
@yahayaisrael6510
@yahayaisrael6510 2 ай бұрын
Uyo anaitaji kuelimishwa msameh bule
@MinaNillan
@MinaNillan Ай бұрын
Mashaallah
@ochuMay05
@ochuMay05 2 ай бұрын
Unapozungumzia Dini na imani za watu ni vitu viwili tofauti kwani sio Waislamu wote au Wakristo wote wenye imani hizo kwani kuna wengine wanatambua uwepo wa hao viumbe kulingana na maandiko kutoka katika vitabu vya Dini. Lakini kwenye suala la kuyatumia ni matakwa ya mtu binafsi kulingana na anavyoamini yeye na sio wote kwamba tuna imani hizo bila kujali ni wa Dini gani au Dhehebu gani.. Kwa hiyo nikushauri usiwe unapenda kuhukumu watu wengi kwa kosa la mtu mmoja na usiponielewa hapo hauwezi kuelewa tena na utakuwa na upungufu wa akili..
@muhammadkhamis9396
@muhammadkhamis9396 2 ай бұрын
Muogope mungu kwa kunyoa style
@ratohabi6459
@ratohabi6459 Ай бұрын
Why, kwa nini serikali isi walazimishe watu wanao tajirishwa na jini kulipa taxes?? Kama wengine wote wanaolipwa na sources za aina yoyote? Serikali zetu naona zimelala😅
@hajihaji123-lp5lx
@hajihaji123-lp5lx 2 ай бұрын
dr sule umezingua sana maana hiyo habari ya kutumia majini umekanyaga kanyaga tuu ukasonga mbele,sema tuu ungesoma dini ila habari za falsafa na kuuza dawa za nguvu za kiume haitoshi
@user-zh6xn8jr2c
@user-zh6xn8jr2c 2 ай бұрын
Hakuna mahusiyano ya majini n'a mwanadamu.
@nurufidel-lp6wj
@nurufidel-lp6wj 2 ай бұрын
Kweli kbs
@user-mk6vm8ub2u
@user-mk6vm8ub2u Ай бұрын
Siku zote kwamungu hakunamashinda ila someni mandiko mutakua pamoja na mungu.
@RadjiNimpano-bl9xz
@RadjiNimpano-bl9xz 2 ай бұрын
Baba Sule Anakupa directly
@annageorge43
@annageorge43 Ай бұрын
Huo ni uongo. Majini yapo lakini SI kama unavyo elezea. Majini hayawezi kukupa pesa abadan.
@israelthomas8621
@israelthomas8621 2 ай бұрын
Acha kuwadanganya watu bwana sule. Wewe ni mchawi 😅😅
@yahayaisrael6510
@yahayaisrael6510 2 ай бұрын
Mchawi mwenyewe
@publicrelations4600
@publicrelations4600 2 ай бұрын
Majini yakupe pesa huo ni ushirikina
@YamunguKamata
@YamunguKamata 2 ай бұрын
Wapo tembea ujifunze
@sulekhan7119
@sulekhan7119 2 ай бұрын
Wewe mwenyewe hiyo rzki unayo pata nijini wako AmBAR utaskia nyota yako
@publicrelations4600
@publicrelations4600 2 ай бұрын
@@YamunguKamata sijakataa uwepo wa majini
@publicrelations4600
@publicrelations4600 2 ай бұрын
@@sulekhan7119 ushirikina huo
@derrickomukaya4216
@derrickomukaya4216 Ай бұрын
Amevaa Pete ya jini😮
@HamisJMB
@HamisJMB 2 ай бұрын
kilichokuwa bora kwetu sisi ni tutfute elim ndo kila kitu hakuna mta atakubabaisha katika dini tusiwe kma upepo unafata
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 2 ай бұрын
Ukitumia jini kupata hela ,ukifa motoni na hilo jini lako motoni kwasababu wote ni washirikina
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 ай бұрын
Hapa Ndo Najua Uislamu Wanafundisha Mambo ya nguvu za giza tu
@DhaharaniJongo-gt2un
@DhaharaniJongo-gt2un 2 ай бұрын
Mwamposa anawainua viwete na vipofu mbona bdo hadi leo haujaenda
@rogerssimon9517
@rogerssimon9517 2 ай бұрын
Amina mwana wa mungu
@fasilkais5669
@fasilkais5669 2 ай бұрын
Kuruani nishifaa Kwa waumini)( inawezaje kumponya asiie kuwa muuminiii na akapona)( mwenye kuruani yake kasema niponyo Kwa muumini
@user-ie3eh4nn3f
@user-ie3eh4nn3f 2 ай бұрын
Naomba namba za doctor sule plz
@HamisJMB
@HamisJMB 2 ай бұрын
Kumtegemea majini huo ni ujinga na ushirikia na hakuna zambi kubwa kama shirki watu weng san wanpenda kupindisha maneno ya dini kwa matmanio yao binafs hile khofu ya kumwogopa mungu imetoweka tena 😢
@user-lt2qh5dj1b
@user-lt2qh5dj1b Ай бұрын
Izo dini unazoziongelea niwanani wali tuletea siwazungu nawaslam?
@user-MRTSLONLINE
@user-MRTSLONLINE 2 ай бұрын
Kama unamkubali doctor sule gonga like hapa
@user-lg1lq8cp1c
@user-lg1lq8cp1c 2 ай бұрын
Nawew kukupata hewni lin nazani Nina mengi ya kuogea na wew
@zachaeousmithea9488
@zachaeousmithea9488 2 ай бұрын
Hi Dr sulle, just interested to have you number.
@HamisAbdallah-cj2sc
@HamisAbdallah-cj2sc 2 ай бұрын
Hakuna toba KWA MTU anayekaribia kufa
@shepherd1x84
@shepherd1x84 2 ай бұрын
Mfuga majiiniii
@user-io8hn1jb4d
@user-io8hn1jb4d 2 ай бұрын
dini za kiganga
@user-hw7ce8gf6v
@user-hw7ce8gf6v 2 ай бұрын
Majini ni ma agent wa shetani Basi ukiwa na uhusiano na majini yaani wewe umekuwa karibu na shetani bila wewe kujuwa
@HamzaMakame-vm2tm
@HamzaMakame-vm2tm Ай бұрын
Anakupa mazali rafik yko
@DianzGerad
@DianzGerad 20 күн бұрын
Doctor nataka number yako ya simu
@mariyamh1857
@mariyamh1857 2 ай бұрын
Wasiwasi wako uislam hauna shida yoyote mana hauja amrisha kufuga majini
@MuhindoNdovyaVicky
@MuhindoNdovyaVicky 2 ай бұрын
Tunaeza kuungana naomwao kwa njia ipi
@abuuhassani497
@abuuhassani497 Ай бұрын
5.90 QURAN
@user-sn7gy6cd5q
@user-sn7gy6cd5q 2 ай бұрын
Huyujamaa uislam wake wa ujanja ujanja
@AyanIbrahim-qq9dp
@AyanIbrahim-qq9dp 2 ай бұрын
Uwonlugo
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 2 ай бұрын
Biblia hsijawahi sema kuna MTU aliwahi muona mungu
@RASHIDMWAZAMU-ih7yv
@RASHIDMWAZAMU-ih7yv 2 ай бұрын
Ustadhi tangu sakata la harmonize amekuwa maarufu sana.in other words tunasema anatembelea upepo wa harmonize saivi
@user-dj7bs7si1v
@user-dj7bs7si1v 2 ай бұрын
Me sijaona tofauti yake na Rajab Kahari isipokuwa mmoja amedhihirika na mwengine anadhihirika taratibu taratibu.
@user-dj7bs7si1v
@user-dj7bs7si1v 2 ай бұрын
Me sijaona tofauti yake na Rajab Kahari isipokuwa mmoja amedhihirika na mwengine anadhihirika taratibu taratibu.
@user-dj7bs7si1v
@user-dj7bs7si1v 2 ай бұрын
Me sijaona tofauti yake na Rajab Kahari isipokuwa mmoja amedhihirika na mwengine anadhihirika taratibu taratibu.
@aljalilatiba9873
@aljalilatiba9873 2 ай бұрын
HAIFAI MWANADAMU KUTUMIA JINI LIMPE MALI AU KUMLINDA ANGALIA AYA HIZI KTK SURATUL JINNI SURA YA 72 اللَّهِ كَذِبًا Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu. وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.
@aljalilatiba9873
@aljalilatiba9873 2 ай бұрын
HAPA MAJINI YENYEWE YANAWAAMBIA WANADAMU WASITAFUTE ULINZI KWA MAJINI KWA NI DHAMBI KUFANYA HIVYO اللَّهِ كَذِبًا Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu. وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.
@saidmohd2665
@saidmohd2665 2 ай бұрын
SONGI SONGI ABONGISA..🤣🤣🤣
@paulojohn5504
@paulojohn5504 2 ай бұрын
MKIAMBIWA MNAFUNGA MJINI AMTAKI
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 2 ай бұрын
Wewe usimame na mapdre
@mim9607
@mim9607 2 ай бұрын
Mchawi nini
@Fikiri-k9d
@Fikiri-k9d 2 ай бұрын
Kumbuka pia majini ni waislamu
@fahadsaid9616
@fahadsaid9616 2 ай бұрын
Elimu Yako ndogo
@DININIKRISTO
@DININIKRISTO 2 ай бұрын
Qrn 72 1 hd 14​@@fahadsaid9616
@ochuMay05
@ochuMay05 2 ай бұрын
Na niwakukumbushe kuwa hata Vitabu vya Dini vinatueleza ya kwamba Mungu aliumba Binadamu na Majini ili wamuabudu yeye kwahiyo Majini wapo wema ambao ni wacha Mungu na wapo wabaya vilevile kama tulivyo Binaadamu wapo Binadamu wema na wabaya kwa kuwa wote tumeumbwa na Mungu mmoja..
@rogerssimon9517
@rogerssimon9517 2 ай бұрын
Huko ni kupotea majini kabla ya kutupwa waliitwa malaika lakini baada ya uasi hawana uhusiano na mungu hata kidogo, ndio maana aliyetoka mbinguni yesu alikuwa akikutana na mtu mwenye majini yalikuwa yanaomba msamaha majini wanasubili hukumu yao ya moto wa milele pamoja na wanaoshirikiana nao.
@hajihaji123-lp5lx
@hajihaji123-lp5lx 2 ай бұрын
sema tuu dr sule ungosoma vizuri uisilaam ingekua bora kwako ila ukiendelea kuegemea kwenye experience na akili zako utaudhalilisha tuu uisiilaam hata kwenye mijadala hata maswali madogo madogo yatakua yanakushinda,pia sijui ni kwa nini umenyoa قزع kama lengo ni kusimamia dini ni lazima kusoma na kujipamba na tabia nzuri
@user-nk3dp9cv9c
@user-nk3dp9cv9c 2 ай бұрын
🤐🤐🤐🤐🤐😒😒😒
@LinetAkoth-ue5zz
@LinetAkoth-ue5zz Ай бұрын
Hello nataka kukutana na wewe please
@ramadhanrashid1040
@ramadhanrashid1040 Ай бұрын
Unataka kukutana na mchawi. Akusaidie na Nini.
@marobaraka
@marobaraka 2 ай бұрын
Sasa tukiwaambia waislam mnafuga majini mnakataa vp???
@ShekheMbaraka
@ShekheMbaraka 2 ай бұрын
Hakuna Muislam anaefuga majini ni yy huyo sule ndie mshirikina anafuga hayo majini
@marobaraka
@marobaraka 2 ай бұрын
@@ShekheMbaraka bas waislam mnashirikiana na majini Kwan si umsikilize huyo sule tena na tena
@DININIKRISTO
@DININIKRISTO 2 ай бұрын
​@ShekheMbaraka Kwahiyo Sule ni wa Dini gani?
@marobaraka
@marobaraka 2 ай бұрын
@@DININIKRISTO muslim
@DININIKRISTO
@DININIKRISTO 2 ай бұрын
Asante
@user-sh6ch6ex1h
@user-sh6ch6ex1h Ай бұрын
Kum,,,a huyu
@profs.a5412
@profs.a5412 2 ай бұрын
Watu pekee wenye elimu ya majini duniani ni wachawi na waislamu 😅😅 bila shaka ni watu wa baba mmoja
@muddyleader4458
@muddyleader4458 2 ай бұрын
Yaap! Wote ni viumbe wa Mungu! Upo sahihi!
@israelthomas8621
@israelthomas8621 2 ай бұрын
Exactly 😅😅
@abdallahsalem8499
@abdallahsalem8499 2 ай бұрын
Waislamu wana elimu ya majini kwasababu wametajwa kwenye quran,
@profs.a5412
@profs.a5412 2 ай бұрын
@@abdallahsalem8499 Na ni ndugu wa hao mashetani, Sasa wataponaje kwenda jehanam??😂
@ochuMay05
@ochuMay05 2 ай бұрын
Unapozungumzia Dini na imani za watu ni vitu viwili tofauti kwani sio Waislamu wote au Wakristo wote wenye imani hizo kwani kuna wengine wanatambua uwepo wa hao viumbe kulingana na maandiko kutoka katika vitabu vya Dini. Lakini kwenye suala la kuyatumia ni matakwa ya mtu binafsi kulingana na anavyoamini yeye na sio wote kwamba tuna imani hizo bila kujali ni wa Dini gani au Dhehebu gani.. Kwa hiyo nikushauri usiwe unapenda kuhukumu watu wengi kwa kosa la mtu mmoja na usiponielewa hapo hauwezi kuelewa tena na utakuwa na upungufu wa akili..
@user-ml7jz5rf3n
@user-ml7jz5rf3n 2 ай бұрын
hiki ndicho kinanifanya niwe na mashaka na kuufata uislamu
@user-bk4dz1sj3g
@user-bk4dz1sj3g 2 ай бұрын
Sio kila muislamu yupo sawa fwata uislamu sahihi usiseme kwa kuwa fulani anaiba au Uganga ukaacha uislamu Duniani kuna wema na wabaya
@user-rq9hb7hl3g
@user-rq9hb7hl3g 2 ай бұрын
Sio kila muislamu anafuata uislamu, usome uislamu uuelewe.
@user-du2fy5sd5u
@user-du2fy5sd5u 2 ай бұрын
Kunatofauti kati ya muislamu na uislamu so fuata uislamu na sio waislamu
@samwelimwanja4105
@samwelimwanja4105 2 ай бұрын
Ndugu yangu usiuache ukristo
@musanike3079
@musanike3079 2 ай бұрын
Ipi?
@marobaraka
@marobaraka 2 ай бұрын
Quran 64:2 - Yeye ndiye aliye kuumbeni. Miongoni mwenu yupo aliye kafiri, na yupo aliye Muumini. Na Mwenyezi Mungu anayaona mnayo yatenda. Sasa Mungu kaumba makafiri na waumini 😂😂😂😂. Makafr wanashda gan na wameumbwa makafr.
@saidisaidi2310
@saidisaidi2310 2 ай бұрын
Hawa mashekhe watiba maranyingi huishia kwenye uganga sasa hapa nikama unatuhamasisha tutumie majin muogope Allah sule kaburin hakuna camera wacha kutafuta cfa
@rogerssimon9517
@rogerssimon9517 2 ай бұрын
Huyu ni mganga wa kienyeji
DR SULLE AFUNUA TOFAUTI YA UTAJIRI WA NYOKA NA UTAJIRI WA PETE
24:53
Неприятная Встреча На Мосту - Полярная звезда #shorts
00:59
Полярная звезда - Kuzey Yıldızı
Рет қаралды 7 МЛН
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
MAJINI WA DK SULE SIO WEMA USIMTETE || MAJIBU KWA BABA KIR'WASHA || Muhammad Bachu.
1:04:29
Неприятная Встреча На Мосту - Полярная звезда #shorts
00:59
Полярная звезда - Kuzey Yıldızı
Рет қаралды 7 МЛН