Tatu Hussein Mwenda mwenyezi Mungu anijaalie niweze kupata mtoto anijalie kizazi kilicho chema anifungulie milango ya rizki rehema awarehemu wazazi wangu Amiin 🤲🏽
@shamsamanja914121 күн бұрын
Kwa majina matukufu ya M'Mungu na kupitia duaa hii ya sheikh Othman namwomba Allah amfanyie shifaa mwanangu Ummy amwondolee shida yake ya maradhi ameen
@halimahemed838919 күн бұрын
Mimi Halima Hemed.Namuomba Mwenyezi Mingu aipe amani na upendo na uijaze baraka familia yetu na utupe wepesi katika kuesdesha mambo yetu na vizazi vyetu inshaallah
@KhizryKwekajr-jw4ze21 күн бұрын
Khidhri kweka naomba uniombee dua ALLAH anifanyie wepesi pale kwenye uzito na anitilie baraka pale kwenye wepesi na awaongozee wazazi wangu kaka njia iliyo nyooka na anipe mwisho mwema pamoja na wazazi wangu 🤲🤲amiin
@sheriababukhatib549118 күн бұрын
Sheria Abdul Rahman mungu atuondolee mitihani tulokuwa nayo mm na familia yangu
@user-ki9le1jy8e20 күн бұрын
Asma mussa mtogha kupitia dua hii Allah anifungulie milango yarizki afya Aman yamoyo majini mahab yaniondokee hasad nuks uchawi wot bila kusahau wazaz wangu Allah awape pepo njema huko waliko
@user-xr5lf6pe1n21 күн бұрын
Zulfat kassim mohd Yaarabbi naomb kupitia duwa hii nifanikiwe ktk mamb ya kher dunian na akhera Na uwajalie walim wetu hawa uwape afya njema wazid kutungumbush mamb ya kher na uwape kila lakher kwao na shar uwaepushie ya rabbi ya kariim
@JohariLila20 күн бұрын
Johari shabani,namuomba m/mungu aniondole maradhi yote kwenye mwili wangu,sihiri za kichawi na kiwanga Matatizo yangu yote yatoke nipate shufaa ya maisha Allah nifungulie nipate kila hitaji langu
@sheriababukhatib549118 күн бұрын
Abdul Rahman Hassan mungu aniondolee hasadi anifungulie Kila la kheri
@KhairatiSulemani21 күн бұрын
Allah akufanyie wepesi inshallah sheikh wallah Allah akufanyie wepesi inshallah khairat Suleiman tandiko
@ameenaameena277021 күн бұрын
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh,jina langu Àmina Ramadhani, kupitia dua hiyo, Allah anifanyie wepesi mambo yangu yanyooke na Allah aniepushe na mabalaa niweze kufungua kituo cha malezi ya watoto kama day care.na pia Allah anifanyie wepesi nipate ndoa na mume mwenye nami na ampe uongofu rafiki yangu.
@AsiaMchomvu20 күн бұрын
Hussein Juma , Jaina Abdallah, Arafa Muhidini, Asia Muhidini,Saidina Muhidini,Juma Yusuph, Farida Muhidini Allah atufanyie wepesi na atujalie afya njema
@fatumachatila897920 күн бұрын
Allah akulipekila la kheri naitwa fatimah kupitia dua hii nifanikiwe kimaisha
@voihomebakery158920 күн бұрын
Zeitun swaleh naomba Allah amuwezeshe wazazi wangu niende nao umra
@FatimaFatima-bx8ez19 күн бұрын
Mashaallah Mashaallah Mashaallah tabaraka Allah ishaallah amin 🙏 ❤ ❤
@AhmedOthmn-gf4nw20 күн бұрын
Hemedi Athuman jumaa...Allah ajaaliye kila nalolihitaji lifanikiwe kwa uwezo wake inshaallah
@user-wl6hn6rj9i21 күн бұрын
A.aleykum ummat Muhammad. Naitwa Amina Shamsa naomba inshallah mungu anisimamie kwenye ndoa yangu
@JamesLongwe-q1l21 күн бұрын
SANDRA KIMAZI.. ALLAH anijalie ya kheri na mazuri ya Dunia na Akhera inshallah..
@hamidahali409321 күн бұрын
Asalam Alykm warhamatulillai wabarakatu sheikh though nimechelewa illa naamini jina langu litafika inshallah Hamidah Ali na Mwanangu Zumeiyyah Hassan apate wepesi kwa ufahamu wake shuleni na shida ya macho na kichwa.
@AbdulghafurAbdi-cg2sq21 күн бұрын
Assalam alayqum ustadhi Othman Mimi jina langu Abdulghafur Abdi niko Mombasa Kenya nakuomba na mm uniweke kwa maombi insha'Allah iwe kunfa yakun ameen
@ShuwekhaOmaryMussa21 күн бұрын
Shuwekha omary mussa sheikh niombee dua nna nia ya kumpeleka mama amgu makka inshallah panapo uhai na majaaliwa kazi nnayo ila allah aniongezee kipato changu na kunfanyia wepesi hii nia yangu itimie
@ZawadiIsmail-wz1kp20 күн бұрын
Zàwadi ismail.shabiru yahaya naomba inshaallah Allah anilindie ndoayangu aniondolee kla shari hasad na kla aina ya sihr ya Allah nilindie wattwangu yaarab ..mumewangu n mlevi Allah naomba mfanyie wepec aache pombe
@eshasalim147120 күн бұрын
Esha Salim Naomba shifaa kwangu na jamii muslimina walmuslimati
@zukhannassor134621 күн бұрын
Zulekha khamis yarabbih nakuomba kupitia dua hii nijalie mume mwenye kher namm
@user-gd3tw3cx3k21 күн бұрын
Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, naitwa Ruqayyah Hassan, sheikh wng naomba musada wa dua In shaa Allah, Atukubalie dua zetu na atujalie jannah firdaus
@rajabuyassin409220 күн бұрын
Inaitwa zena haji lnshaalah mwenyezi Mungu atufanyie wepesi ktk dua hii
@HajrahRamadan17 күн бұрын
Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu,shehe naitwa hajara ramadhani mm ni mgonjwa naomba mwenye zimungu anishushie uponyaji kupitia dua hiyo na aniongoze mm nafamilia yangu ktk kumcha Allah atupe mwisho mwema na mwanzo mwema wa. Akhera na waislam wote
@Jamalali-m6h21 күн бұрын
Assalam alaykum maalim Jina langu Jamal haji ali Nategemea kher InshaAllah.
@Jamalali-m6h21 күн бұрын
Assalam alaykum maalim Jina langu jamal haji ali Nategemea kher InshaAllah
@Jamalali-m6h21 күн бұрын
Assalam alaykum maalim Jina langu Jamal haji ali Nategemea kher InshaAllah
@HasryOmary20 күн бұрын
Hawa said . insha'Allah hakika ya Allah ndie mwenye mjuzi na mwenye nguvu " Allah atukubalie dua zetu na atufanyie tahfifu ya matatizo yetu"
@user-em2gw6rv1w21 күн бұрын
Asalaam alay kum nami shs nimechelewa ndiyo nimeiona video hii sasa hivi nami pia naitwa Hamisi Suleiman hamisi niwekee kwenye orodha ya majina watu kwenye Dua hii inshaallah Allah awapeni wepesi kwa yote mnayoyafanya kwa ajili ya Allah
Zena Rashid na Amina Kombo.Allah akupe wepesi Inshaallah.Nakupenda kwa ajili ya Allah.Akuingize peponi bila ya hesabu.Amin.
@MullerMobam21 күн бұрын
Nakupenda sheikh kwa ajil ya Allah natam nijee kuwa kma wew inshaallah
@ZainabAli-tx9ne20 күн бұрын
Zainab Ali muhammad.naomba kupitia Dua hii npate mume mwema na niodolewe mitihan nilonayo In sha Allah.
@ShijaMarry21 күн бұрын
Asalaam Alyakum shekh, Majina yangu Mariamu Shija, mchumba wangu Yahya Mohammed kupitia Dua na kisimamo hiki naomba Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi tufunge ndoa ya baraka , amani, furaha na upend
@isabellakomba173421 күн бұрын
Naitwa Aharam shekhe Allah aniondoshe katik mitihani
@sheriababukhatib549118 күн бұрын
Naitwa Hassan Abdul Rahman mungu aniondolee hasadi fitna uadui
@Jamalali-m6h21 күн бұрын
Allah atfanyie wepesi InshaAllah haikka yy ndy muweza wakila kitu
@salmamasood252421 күн бұрын
Allah akupe Dunia na akhera
@ramadhanitwaha95521 күн бұрын
ramadhani twaha,,,shida yangu biashara , imekuwa siyo nzuri
@subirazuberi732221 күн бұрын
Asalam aleykum Hemed saidi Allah amfanyie wepesi rizki zake inshaallah
@AminaSalim-rr1bv21 күн бұрын
Ameen ya Allha ❤
@aliabdoe321421 күн бұрын
Assallamu aleiykum ustadh ni ongeze katika dua inshallah mungu atufungulia
@hassanisindi47421 күн бұрын
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuh jina langu HASSANI OMARI SINDI
@user-fs7eu1be6o21 күн бұрын
Mariam kambuga inshaallah allah aniondoshee maradh
@rashidawangara131817 күн бұрын
Aamiin ya rabb.
@Aminedanisman7679921 күн бұрын
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuh.Allah akujalie afya na umri uzidi kutukumbuka kwa dua.
@abdishakurburhan499820 күн бұрын
Mosi Makame Burhan ,Tatu Abd Mohd .Tunamuomba Allah atutatulie mattz yetu
Kwa majina yangu naitwa Rahma binti Shabani namuomba Mwenyezi Mungu amuepushe kijana wangu Mohamedi Karimu kwenye vilevi awe.mchaungu na pia namuomba Allah anifanikishe ktk malengonyangu na pia namuomba aniongoze.ktk ibada zangu anipe mwisho mwema pamoja na wazazi.wangu Aamin
@rahmashapani59267 күн бұрын
Namuomba Allah abariki kizazi changu riziki za halali na pia amuondolee Baba yangu maradhi kama alivyo mponya nabii Ayubu A S
Shekh Jana siku ya Juma pili ndugu yangu wa kike alikuwa akimuona MTU mreeefu na Mimi nikiisoma soma ayatul kursiu alikuwa amuoni ila naomba msaada Niko mozambique 😢😢😢
@OthmanMichael20 күн бұрын
Inshaallah
@qttqqq198221 күн бұрын
Wahida Mohammed naomba kupitia dua hii Allah amuepushie mitihani ili nami nikipata pesa zijae niweze kujenga,anijalie nisichoke Moyo WA kutoa sadaka za madrassa,anijalie wanangu Hajja na Halima wawe wacha Mungu,Amiin
@halimamfaume192521 күн бұрын
Assalam aleykum warahmatullah wabarakatuh majina ya wazazi wangu, Mwanaisha Ali na Mfaume Hassan
@husseinhassan514621 күн бұрын
Hussein Hassan naomba uniombe Inshallah
@mwanasitihashim21 күн бұрын
Mwenyezimngu awafanyie wepesi.ameen
@MngambaRamadhani21 күн бұрын
Asalaam alykum shekhe wetu naitwa zubeda kibwana ramadhani naomba unitaje kwenye dua kwa ajiri ya Allah
@ZenaNzeyimana-ct5vh21 күн бұрын
Assalam aalaykum warahmatullahi wabarakatuhu nami sheikh jina Zena jaafar
Mariam bint said niombee duaa ya kuondoa aiini na hasad
@mwajohari438521 күн бұрын
Asia Hassan
@user-ru6ek8bu7y21 күн бұрын
Assalam alayqum warahatullah wabarakatuh. jina langu ni Mohamad sadick ,
@jumawaziri850120 күн бұрын
aamin aamin aamin
@khadijaabdala687621 күн бұрын
As Salam alyekum warahmatullah wabarakatu naitwa khadeja Abdallah,
@ShijaMarry21 күн бұрын
Maryamu Shija InshaAllah 🙏 Mwenyezi Mungu aniponye maradhi ya kisukari, acid tumboni kiuno na uti wa mgongo Kwa kupitia Dua na kisimamo hiki 🤲🤲🤲🤲🤲 InshaAllah 🙏
@user-sw9fs6uh3i21 күн бұрын
Asalamu alaikum mungu akujaze heri na neema Mimi asha Ali kutoka Kenya
@AliMohamed-ng5ps21 күн бұрын
Ali mohamed from kenya naoba ALLAH anijalie mafanikio duniani na kesho akhera
@FalhiyaMandela20 күн бұрын
Naitwa aziza salumu ,,,,,kila jambo ninalolifanya linashindikana nna mambo magumu sana sana
@mwanamisidini195021 күн бұрын
Amiin inshallah ustadh❤
@issakomo844721 күн бұрын
Assalam Alaykom warahmatullah wabarakatuh Jina ISSA KOMO
@AhAu2-oi5wn21 күн бұрын
A allykum jina rahma hamisi ..Mim niombee nipone kwa uwezo wa allah naumwa kila siku ..n.a. pia nipate mali
@zuhuranyaru527520 күн бұрын
Ya arhma rahimin yaa arhma rahimin yaa arhma rahimin kupitia dua hii ya shekhe osma naomba kaka yangu apone maradhi yanayomsumbua maumivu makali anayopata apone Insha Allah ALFAN FRANKO
@user-gd3tw3cx3k21 күн бұрын
Nawangangu Lateefah Abdoul,na Muammar Kaddaf, na Noor malak Inshaallah
@salhabarankuyenga786521 күн бұрын
Assalam aleykum warahmatullah wabarakatuh Salha Osman mume dua Allah ajaliye ndoa yangu kheri na barka idumu na maradhi yanayo nisumbuwa Allah aongoz kizazi cangu amfunguliy mume wangu huko alipo kheri
Assalam aleykum warahmatullah wabarakatuh Naitwa Halima Mfaume na mtoto wangu anaitwa Aisha Omar
@AbduMohammed-fn6ot21 күн бұрын
Asalam aleykhum sheikh othman Michael, kwa majina naitwa Abdu Mohammed Pazi
@hamidahnassoro-1221 күн бұрын
Hamida zaimu .mariamu hassani zaimu nassoro ni wagonjwa mungu awaponye na mimi nifunguke kiakili niwaze mazuri yalo mema na maendeleo .nipate kazi nipate mume mwema nimpendae watoto wangu aish na munira mungu awape uelewa ishaallh aniepushe na maradhi makubwa na madogo
@user-es2yt1jc4i20 күн бұрын
Bukur mama abdoul
@mwanasitihashim21 күн бұрын
Asalam aleykum warahmatullahi wabarakatu. Mwanasiti hashim.msalam ali muhidini na watoto tuombe mwenyezimungu atujaalie kila la kheri atuepusha na kilA lililolashari kwetu.
@fatoukarekezi182921 күн бұрын
Fatma Bint Amri
@MwajumaAbdallahKuluzo21 күн бұрын
Mwajuma Abdallah kipitia Dua hii Allah aniondoshee maradh yanayonisumbua
@AishamohamedyMohamedy17 күн бұрын
Assalam allaykum,Aisha ali hamad ,na watoto wangu sabra na Rahma ninamatatizo makumbwa
@GloriaNdeleva21 күн бұрын
Salam alaikum sheq wetu Allah akupe umri mrefu tuzidi kunufaika mm n mkenya ni weke kwa Dua hiyo nshaallh jinani Hussein musa shukran alhamdhu lilha
@mwanaishajuma416621 күн бұрын
AISHA JUMA Allah anifanyie wepesi kupata nusra ya ndoa by August kwa niliye mkusudia in sha Allah
Asalam aleikum naomba dua hii imfungue mwanangu Hassan Kwa utumiaji mihadarati mungu amuondoshe na ashike swalla naitwa jazila na mambo yangu nyumbani haswa swala la pesa 6:38 6:44
@zamzamchannel697720 күн бұрын
Zainab Abdallah, Zaitun Salim yaarabi naomba utuondole maradhi na dhiki na mwanangu aweze kupita mtihani wake wa kitaifa.
@user-gy5en6cy8o21 күн бұрын
Dua sio lazima uombewe ukijiombea ni mzur zaid😢.ila masheikh wetu wasikuhuzi wamekua kama upande wapili msiba huu
@AmhshHdbd21 күн бұрын
Swaumu saidi, inshaAllah kwa uwezo wake Allah na mtume wetu kipenzi Rehma na Amani zimshukie
@ZukraMshana21 күн бұрын
Zukra Iddy. Allah aniondeshee mtihani wa mashetwain na aniondeshee maradhi ya kichawi,anifunguliwe milango ya riziki.
@hassanshoms972421 күн бұрын
Hassan Salim ,Allah ani jalie mke mwema..🤲🏾
@hassanshoms972421 күн бұрын
Na wowote alie na ombi Kama ya kwangu.
@ShijaMarry21 күн бұрын
Majina yangu ni Mariamu Shija na Binti yangu Fatuma juma kupitia Dua 🙏 namuomba Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi katika mitihani yake ya kidato cha nne ya Moko wanayoianza kesho InshaAllah naomba Mwenyezi Mungu watoto wangu wawe wenye akili, hekma na maarifa InshaAllah 🙏🤲🤲🤲