Mashallah nmejifunza mengi sana Sheikh Mungu akuzidishie umri huzidi kutuelimisha
@MohamedyChikalango7 сағат бұрын
0:09 .
@NuruJuma-v4s14 сағат бұрын
Sheikh mimi nimetokwa na machozi Allah akulipe
@ashamasudi185014 сағат бұрын
Mashaallah sheikh Allah akuhifadhi
@aminakassim83115 сағат бұрын
Wallah nikikusikilizaga Imani inazidi wallahAllah swt akujaalie pepo ya firdausi ww na kizazi chako amin
@omarsultan450218 сағат бұрын
Siri z dua kwl hasa hamzitaji ni km vile mfanya biashara ukimlz biashara unayofanya inalipa atakujibu hailipi kumbe hataka ufanye n ww
@Alya-np7gm21 сағат бұрын
Thanks sheikh
@mahramarswad6041Күн бұрын
Mashaa Allah shekh Othman sauti yake kama Othman Maalim wa zanzibar mpska kuongea kwao madhaa Allah tabaraka Allah nawapenda kwa ajili ya Allah .from uk
@user-hv7hx7un2bКүн бұрын
Nashukuru mwingi wa utachi mkubwa sana Quran vizuri akisoma napenda Sana❤❤❤😂
Asalam Alaykum aliyeelewa dua vizuri,naomba aiandike kwa kiswahili tupate kuisoma InshaAllah Allah awalipe kwa Aliym
@AbdiNura-jk7nxКүн бұрын
Allah akulipe shekh wetu
@kavumohemedi871Күн бұрын
Safiiii
@habibuChambale-mc3tsКүн бұрын
Mashaallaaaah 🤲🤲🤲
@user-un1uk3qy9nКүн бұрын
Naitwa Mariam SEFU, sheikh mimi nimechelewa kuona message iyi ya Doua ntafanyadje sasa ? Nakuandikia hunijibu wathsap,napiga sim hupokei , nambie nifanyedje ?
@user-un1uk3qy9nКүн бұрын
Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh
@ShamimKaliКүн бұрын
Ahsante sana mm nilikuwa naswali sana hii swala usiku ila naona knowledge yng ilikuwa ndgo sana
@Ukhty-firdaus2 күн бұрын
Ya Allah nahitaji msamaha wako yarasulallah 😭nifanye niwe miongoni mwa waja wema na wake wema wenye kuifata dini na kuzipenda na kuziheshim ndoa zao inshaallah 🤲🤲Allahumma ameen
@DelightfulPenguin-wk4kv2 күн бұрын
MashaAllah tabaraka Allah sheikh Allah akuajalie kila la kheri katika mambo yako leo hapa duniani na kesho akhera na atuajalie sote waislam na mwisho mwema
@yusufuheri65242 күн бұрын
Shukrani my sheikh
@faridabikwa99982 күн бұрын
Mashaallah sheikh wetu shukran kwakutukumbusha Allah akuhifadhi
@MimahYaseen2 күн бұрын
Aminii yarabiii ata me nimeona dalili inshallah allah anifanyie wepec nna imani niko sawa sas vitu vimetoka inshallah
@user-gf9jw8el2e2 күн бұрын
Maa nshaa Allh
@hamidahamza82122 күн бұрын
Shekhe naomba unisaidie, nzii wakiwa wanakuzunguka hatakama hunuki tena umetoka kuoga lakini nzii wanakuzonga tu hiyo inamaana gani shekhe naomba unisaidie nijue,
@aishahasan77222 күн бұрын
Allah atustiri na ftna za masihddajal😢😢 Aamin 🤲🏻
@maryfredy34012 күн бұрын
MARIAM FREDRICK
@mahramarswad60412 күн бұрын
Wallahi mie nikimskiliza shekh othman wallahi natamani asimalize natamani ningekuwa mwanamme nikiskia yupo wapi tu namfata kila pahala tunampenda kwa ajili ya Allah shekh othman kwangu nimeeka kama kipindi changu nikiona kaweka tu youtube naacha kila kitu kumskiliza unajiskia raha unatamani asimalize plz ijumaa ijayo tuendelezee tumefika kwenye kibanda in shaa allah nawapenda kwa ajili ya Allah niombee duwa shekh from uk 🇬🇧🇬🇧tunakupenda sana zaid ya sana
@user-oy5gj8fv4b2 күн бұрын
Aslm alkm shekhe Othman mm napenda sanaaa kusikiliza mawaidha yko wallahi , Allah akuhifadhi
@user-pk3si6ku4f2 күн бұрын
Shukran Jazaakum Allahu kheir Shekh ❤❤
@nasrihussein42932 күн бұрын
Jaxakhallahul kheiran
@HemediMussa-gx4gx2 күн бұрын
Mashallah tabarakallah haniallak shekh
@mamab2mam2mama112 күн бұрын
Mashaallah sheikh wetu❤❤❤
@RasulShaban-t1h2 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@loozyshtarte55012 күн бұрын
Mungu anijalie wepesi majini yatoke mwili
@joeloileoile47862 күн бұрын
Hizo dawa zote Shekhan inapatikana wapi hapa Kenya Nairobi au Busia
@denochage24072 күн бұрын
Mashalllahu Taqabalahu
@user-mi9bz5gy2u3 күн бұрын
Aki naskia nmeguzwa mahali,mungu akuongoze uzima uzidi kutuelemisha
@yusufuheri65243 күн бұрын
Asante sana sheikh wangu kwa mawaidha mazuri
@user-tf8iu7kc1f3 күн бұрын
Baarakallah millions
@samsalma91223 күн бұрын
Allahu akbar mashaallah Allah akulipe kila kheri tunafaidika mengi n'a wewe
@Munatiyahilwa3 күн бұрын
Kabati😂😂😂
@MirrahMeccu3 күн бұрын
Asante shehe kwa hutuba nzuri
@HemediMussa-gx4gx3 күн бұрын
Kweli kbx maneno maneno mabay xana
@ramazaniradjabu18623 күн бұрын
ماشاءالله تبارك حفظك الله يا شيخنا و أكرمك الله آمن أحبك في الله
@user-xr5lf6pe1n3 күн бұрын
Shukran sana nakupenda kwa ajili ya Allah sw unamafundish mazur sana mashallah
@NassourJuma3 күн бұрын
MashaAllah Allah akupe umri mrefu na akupe furaha hapa duniani na kesho akhera. Aaaamin
@AgahozoAsmahКүн бұрын
Shukrani Allah Akuongezeye elimu
@saeedsaeed73813 күн бұрын
🙏🙏🙏
@MaimunaSaleh-rx5pp3 күн бұрын
Kupitia Dua hii naomba iniondoree shida zangu zote zirizo mwirini mwangu
@MaimunaSaleh-rx5pp3 күн бұрын
Allah nakuomba uniendoree matatizo
@SaumJuma-ng4vj3 күн бұрын
Alhamdulilah. Shukran sheikh kwa mawaidha yako Allah atujalie tuwe waja wema