Swala hii inanipa aman kila nikihisi tafran😭❤❤❤❤Alhamndulilh Allah akuhifadh shekh othman
@Catherine-mh8sw11 ай бұрын
Shekh Michael tunakupenda kwa ajili ya Allah ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Catherine-mh8sw11 ай бұрын
Shekh Michael unatupa masomo mazuri sana. Tunashiba, tunajisikia vizuri moyoni. Mwenyezi Mungu akujaalie afya njema na maisha marefu
@AsnatiAmiriАй бұрын
Shukran sana shekh wetu Allah akuingize pepo ya juu uingie pamoja na mtume wetu Muhammad kwa utukufu wake Allah
@Marjeby11 ай бұрын
Mungu akujaze kheri nyingi wallah wangu Sheikh Othuman ni mtu wa kwanza kabisa kupitia kwake nimejua umuhimu wa swala ya bwana mtume na nimekuwa nafata maelekezo yake tangu kipindi hicho mungu shahidi yangu nimebadilisha maisha yangu sana sana mie ni msomi wa degree ya sheria lakini ilifikia kipindi hata sioni umuhimu wa kuwa na degree ya sheria but tangu nilipo mjua sheikh Othuman na maelekezo yake juu ya swala ya bwana mtume wallah naona umuhimu wa elimu yangu,mungu amenifungulia neema mpaka nashangaa nna kila kitu nimeoa pia naishi vizuri sana hakuna mtu atakuja niachanisha na swala za bwana mtume mpaka kufa kwangu. Nakuombea sana mungu akupe umri mrefu akupe zaidi ya anayotupa sisi kupitia mawadhi yako wewe na kizazi chako pamoja na walimu wako pia sijawahi kukusahau kwenye dua zangu. Now nafanya kazi nje ya Tanzania but siku nikifika Tanzania sheikh wangu lazma nije kukueleza ushuhuda wangu uso kwa macho.
@user-do8yb7ff3v11 ай бұрын
Mashalah ntaanza kesho inshalh
@mwadawaidd175111 ай бұрын
Unaifanya Mara ngapi,usiku au mchana,
@Marjeby11 ай бұрын
Nafanya usiku siku nikiwa na nguvu nafanya mara 1570 but nyingi nafanya si chini ya 1000
@mwadawaidd175111 ай бұрын
Shukraan ,unatia vipi Nia,Kuna wakati nikifanya mwili unasisimka ,je hizi hal ni za kawaida?na zina maana gani
@samiraselemani804511 ай бұрын
🎉sawa
@najlaskitchen157211 ай бұрын
Swala ya mtume imenipa vitu siku tarajia ntavipata..jazzakallahu kheir😢❤
@saidbahanuzi11 ай бұрын
Unamswalie unatumia swala ipi ya mtu ndugu yangu
@yusufmod143711 ай бұрын
Tupeni Siri ndugu zetu
@user-db3hv6zq1d11 ай бұрын
@@saidbahanuzi mimi natumia ile ya allahumma swalii Alaa sayyidna Muhammad waalaa alihii wa as'wahabihii.
@saidbahanuzi11 ай бұрын
@@yusufmod1437Asalamu aleykum kaka nilicho gundua mpaka sasa ukimswalia sana mtume swalallahu alayhiwasalm unakuwa na Furaha atakama lileunaloliomba halijakuwa unahisi Kama sasa ivi litakuwa ishallah tusiwache kumswalia ili tupate wepesi katika harakati za maisha
@Catherine-mh8sw11 ай бұрын
@@user-db3hv6zq1dunasoma ngapi kwa siku?
@user-ep7we8br6r9 ай бұрын
Nakupenda kwa ajil ya m/ mungu wew na sheikh othuman maalim,,,sheikh walid Alhad jazzaqalah kh'aira allah akulipen
@usseneabelnfalume-sr2kx9 ай бұрын
Sheikh Othman Eu te Amo por causa de Allah, Sou de Moçambique🇲🇿
@BABYRAMAMINA-rj4vy11 ай бұрын
Mm na na namuomba allah anijaalie pepo ya dunia na ahera nautlivu INSHAALAH KWA SIFA HABIBUNA MUHAMMAD( S. A.w)
@user-kl4km4tj3q2 ай бұрын
Walahi from tha bottom of my ❤️.....l love this guy Allahu Akbar
@salmaalkyumi603011 ай бұрын
Allahumma Swali Alaa Habibi Muhammad Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@chimamyjey147911 ай бұрын
Shukrani shekh Allah akulipe ujira mkubwa sana na ukawe mja WA Pepo ya firsaus kesho Kwa Allah,,,,,,,nimeona maajabuu makubwa ambayo sijategemea km ipo siku neema hizi zitatokea.... Alhamdhulilh,swala ya mtume hakika ndio kiboko ya mafanikio Ila zingatio ,ukianza tu usiache iwe kawaida utaona maajabuu mengi sana.
@user-kl4km4tj3q2 ай бұрын
Ninapo sikia sauti hii najihisi kana kwamba tuko peponi.....😂
@saeedsaeed738111 ай бұрын
Masha Allah very beneficial lecture BarakAllah feek
@jumadawa196811 ай бұрын
Asalaamu alaykumu warahmutullahi naomba uniherekeze jisi nya kuswalia mtume tafadhali
@BimwanaMohamedi-ql4ph8 ай бұрын
Mashaallah sheghe Osman mungu akupe maisha marefu na akuepushie na moto na akupe Nuru kwenye kaburi lako
@nasradada705011 ай бұрын
ماشاء الله تبارك الله. Allah atu raisishie kweli mi wakati Niki leta dhikri iyo Hua afanya moyo baridi na pia kua na furaha Ila bada YA mm ukiacha siku mbili Allahu Akbar mtihani kweli
@miishhassn11 ай бұрын
Same to me🥰
@AyshaHamis-qw3gi7 ай бұрын
Kumbe tuko wengi hata sitak tena kuacha Inshaallah Allah atufanyie wepes kwa hili
@user-zz5ng1yb8d7 ай бұрын
Nami nitaanza leo
@SaalimmodyAbubakar-mn1sg29 күн бұрын
Mashallaah sheikh wangu
@user-pk3si6ku4fАй бұрын
Mansha’Allah Jazaakum Allah Kheir Shukran Shekh
@user-ll2ti1yk7c5 ай бұрын
Shehe jitahidi kutoka daawa maana watu wengi wanarudi upande wa Allah na fadhwila zako ziko kwa Allah inshaallah hakika Dunia nzima inakupenda mashaallah Mimi nafulahi kwa majambo unayofanya shehe
@user-sh7id8of5m9 ай бұрын
Jazakallahu lkheri shekhe wetu allah akuhifadhi na kila hasadi za ndani na nje nakupenda kwa ajili ya allah
@zainabiddi865010 ай бұрын
Mashaallah. Jazakallahu kheir sheikh
@nafisagashu536111 ай бұрын
Alhamdulillah shukran,mafundisho yako nimeridhika nayo naona noor njema
@user-kl4km4tj3q2 ай бұрын
❤Masha ALLAH
@fayokassim633911 ай бұрын
Jazakallahu khyran
@mebazaunga865211 ай бұрын
Mashallah!! Allah akuhifadhi sheikh Othman.
@HusseinBahati-wb1gz5 ай бұрын
Maashaallah tabbarakallahu.Allah akuhifadhi
@sadalujuo662411 ай бұрын
Wallahi shekh Othman mungu akulipe kila la kheri mm ni miongoni mwao
@fatumakambi96011 ай бұрын
MASHALLAH SHEHK MWENYEZI MUNGU ATUWEZESHE INSHALLAH
@SociedadeSust123411 ай бұрын
Sheikh Othman Allah akuifadh
@mozamoza396011 ай бұрын
Masha Allah tabarak Rahman❤
@athumanikhamisi337711 ай бұрын
بارك الله فيك اخي الكريم
@MunaYusuf-pv1xu3 ай бұрын
Mashallah Allah Shekh Allah akuzidishie kheri na ss uzidi kutupa Elimu na tutumie kwa kheri
@mwanaramadhan705911 ай бұрын
MashaaAllah jazakAllah ukheri
@salimbiaisha64664 ай бұрын
Shukran sheikh wetu. Allah akubariki
@zainabuabdi85499 ай бұрын
Jazakalahu kher
@abdulnuruhassan861111 ай бұрын
Shukran shekh hosman mayco
@zahrabonaya65911 ай бұрын
JazzakAllah khry
@rayamussa891511 ай бұрын
Walwah unafufua imani zetu mana husubutu kukata tamaa Allah akulipe kheir
@athumanimachozi33605 ай бұрын
Jazzakallahu kheri yaa Sheikh othmani
@jabirhussein418011 ай бұрын
Allaahuma swalli alaa sayyidinaa Muhammad wa Aalihi wa Swahbihi wa sallim
@daudkipkare75509 ай бұрын
Allaahuma swalli Alaah sayyidinaa Muhammad wa Aalihi wa swahbihi wa saliim
@user-zz5ng1yb8d7 ай бұрын
Kumbe ni hii allah awalipe kheri zaid
@user-jh5px2xl8u2 ай бұрын
Asanteeni saana kwa kutufungua
@mwantumjaff160211 ай бұрын
A.alaykum, shukran Sheikh ALLAH akulipe dunian na akhera
@faridahkavochi807911 ай бұрын
Mashaallah tabarak Allah
@umazimwambezi809211 ай бұрын
Mashallah tabarakalah
@MudyChuma-mm9pb23 күн бұрын
Shukra alhabib twakueleeeeewa shk❤
@zainababass2407Ай бұрын
Naam lnshaallah 🤲🙏🙏🙏
@nayeemn927511 ай бұрын
Mashaa Allah tabaraka Rahman, Allah akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka.
@NuruJuma-v4s3 күн бұрын
Daah sheikh ulivyo ulivyosisimka nami nasisimka mpaka naona baridi
Jamaan me mwenzenu nkisoma napatwa na jisingizi ziitoo Hata sifiki mahali
@DannielMwakyusa-vm8sc10 ай бұрын
Manshallah shekhe othiman allah akulipe
@zuberhamza78522 ай бұрын
Allaahu akbar
@user-db3hv6zq1d11 ай бұрын
Jazaqallahu kheir.mimi bado napapbana nayo.nafkia hadi 3000 kila siku.nna mwezi mzima.sijafaanikiwa,ila sijakata tamaa na pambana tu
@salmaalkyumi603011 ай бұрын
Inawezekana hujapata unachokita lkn Allah pengine anakuepusha na mabalaa mengine muhimu tusikate tamaa tuendelezee kwasabb hii ni ibada ukifanya unapata thawabu.
@user-db3hv6zq1d11 ай бұрын
@@salmaalkyumi6030 ndio.ndo maana nimesema sikati tamaa,naendelea kupambana
@zaidinakimolo453811 ай бұрын
Kuna sehem unakosea maan swala ya mtu haimuachi mtu tena ndani ya sk 3 au Saba angalia vzr Kuna kitu apo
@jabirhussein418011 ай бұрын
Mmhh! Mi nikisoma mara 1500 silali njaa siku hiyo kwa uwezo wa Allaah! Tatizo nna uvivu nikisoma napewa rizqi mfululizo matokeo yake najisahau naacha mpaka nikiishiwa ndio nazinduka niimbeeni Kwa Allaah nidumu na kumswalia mtume
@zaidinakimolo453811 ай бұрын
@@jabirhussein4180 MashaAllah wallah waislam tunaneema kubwa San twashindwa tu kuitumia
@omaryissa256211 ай бұрын
Barakallah fiki
@user-ep7we8br6r9 ай бұрын
Assalam alaykum sheikh othman. Allah akulipe kwa kutuelimisha allah akup umr mrefu uendlee kutufundish tucyoyafaham
@niilmabakar810811 ай бұрын
Allahu maswali wasalim alleh
@musoneraantoine364911 ай бұрын
Barakallah fiik
@AshaHassan-fl8tw11 ай бұрын
Maashallahu shekhe inshaallah
@Adriana-cs1js6 ай бұрын
Mashallah sheikh
@mariamkai270511 ай бұрын
Mashallah naipenda
@halimakenya363211 ай бұрын
Mashallah
@fatmahajj832411 ай бұрын
Mashaallah y
@rahmahersi65849 ай бұрын
Mashaallah.....kazana Ndugu yangu .
@user-do3zz3ju6s11 ай бұрын
Mashallaah .
@TwaliathAndrea-dm3dy3 ай бұрын
Yani kumswalia mtume ht ukiingia kokote heshima yako inazid ht mabos unashangaa ht ukipanda basi wanakutetemekea. Ht ukikuta watu sehemu wewe unakuwa juu yao. Niamin nawambia
@ibrahimkombe58553 ай бұрын
Sheikh wangu leo naskiza mawaidha yako lakini kwenye background nkaskia wimbo wa Zuchu "hunnie" 😂😂
@bahatikatanga11 ай бұрын
Mashallah❤❤
@user-rn1qr8xu9i7 ай бұрын
mungu akupe maisha marefu ttzd kumswalia ili mungu atusaidie
@HabibaSwalehe-bx4wr4 ай бұрын
Mashaalla allaa ni mwingi wa rehema tumuombe sana sana sana yote yanawezekana
@Azuu-rq6te11 ай бұрын
MaashaAllah
@user-bt8bk7pm6e8 ай бұрын
Mimi kweli imeniokoa azkar ya Yunuss. Alhamdulillah.
@animamichael396811 ай бұрын
Shukran
@HasnutMfuruki3 ай бұрын
SHEKH KWAREHMA YA MAMA YAKO.UNAVYO UNAVYO MUENZ MAMA WALLAH.UNAMPA FURAHA ALLAH.ZIDISHA ZAIDI..PIA TUOKOLEE VIZAZI VYETU PLS
@miishhassn11 ай бұрын
Allah akulipe kher dunian na kesho akhera 🥰 swala ya mtume inekuwa kam nuru kwang 🥰🥰🥰🥰
@user-zz5ng1yb8d7 ай бұрын
Ipi hiyo niandikie tafadhari
@miishhassn7 ай бұрын
@@user-zz5ng1yb8d allahu maswall alaa sayyidinaa muhammad wa aalihi wa aswhaabihi wasallam 🥰
@user-zz5ng1yb8d7 ай бұрын
Shukran sana allah akupe heri Zaid.
@miishhassn7 ай бұрын
@@user-zz5ng1yb8d aamin
@salmakhatib49328 ай бұрын
shukran❤
@SmilingBirdwingButterfly-yq5qt5 ай бұрын
Mashaallahu
@abdulsaid45795 ай бұрын
asalam alykm sheikh. daah mi nakupenda kw ajili y Allah. 😂😂😂😂😂😂👊🏿👊🏿👊🏿🙏🏿
@HasnutMfuruki3 ай бұрын
❤❤❤❤allah akuzidishie ilimu
@MudyChuma-mm9pb23 күн бұрын
Shukra alhabib twakueleeeeewa shk
@lelooolomy3105Ай бұрын
Mwenye kuifahamu namna yakuiandika tafadhali aiyandike hapa nii copy
Tufundishe na ufunguo wa pepo za umasikini tushazisikia
@hakizimanaramadhani52224 ай бұрын
Tusaidiyeni ni ipi swala hiyo ya mtume tutumiyeni nayo.ao ni ile inayosema ALLAHUMMA SWALLI ALA MUHAMMADIN HADI MWISHO ???
@user-lx4bj8di6h8 ай бұрын
Mm pia nishuhuda swala ya mtume tusiiache
@ShabaniMlangusi3 ай бұрын
Shekh elim zote hizi,tiba kumswalia mtume mambo ya uchawi namengine ulisoma miaka mingapi hadi nakuonea wivu wallahi siulizi kwaubaya wallah umejaaliwa
@zuberhamza78522 ай бұрын
Na alikua mkristo kasilimu
@zainabuabdi85499 ай бұрын
Swadhakat
@user-xx9nu4ks3j7 ай бұрын
Assalamu Alaykum sheikh mie natimiza mwezi namsalim bw Mtume ila bado rizki zangu ni ngumu jee nina tatizo gani
@AsnatyMshamu2 күн бұрын
Tulia,zifutilie kwa umakini akili yako itulie na penda San kuswalia usik au Al fajri na kithirisha San jumatatu na alhamiss na ijumaa ndugu yangu katika Imani utafanikiwa inshaallah na usichoke
@user-ep7we8br6r9 ай бұрын
Kiukwel nafx yngu husuuzika niwackiapo kwa darsa zenu
@mariamharoon184011 ай бұрын
Mashaaallaah
@maryamtanzania974311 ай бұрын
Wallah nimejikuta tu natabasamu kusikia allah alimuita kwa jina lautani ni kweli hapo kweli ulikuwa utani
@Catherine-mh8sw11 ай бұрын
Yani kwenye channel tunashiba. Kama tunakula chakula kitamu. Alhamdulilah.
@araphabaraza399711 ай бұрын
Alhamdulliahi! Shekh, binafsi nimeanza kupata majibu Shekh! Nimepata vile Vifaa nilivyokupigia kukueleza Shekh! Muda si mrefu kiwanda kitaanza. Naendekea kumsalia mtume wetu Muhammad! Swallallauwasallam! Amina!
@faridaikussi9 ай бұрын
@@araphabaraza3997subhaanallah Allahu akbaru
@user-ko4wq5eu1z7 ай бұрын
Mashaalla aallahu akuzidishiye elimu akupe umri murefu