Makonda nakuombea Sana Bwana Yesu Akufunike kwa dam yake Majangili wasikuone
@user-ce2wi1ht8gАй бұрын
Munguakujarie Makonda Amin Mabaria Wasahuziafrika Tunapijasaruti Munguakuweke Duniani Amin🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️☝🏿☝🏿🤘🤘🤘🇿🇦🤘🇹🇿🙏🙏🙏☝🏿
@kutailass667124 күн бұрын
😂😂😂😂 kama kuna mtu hakuelewa mapema hii comment kama mimi, aseme tu ukweli😅
@joycemmassi504616 күн бұрын
Hongera sana Makonda kazi yako si bure, neno linasema " HERI WALIO WAPATANISHI MAANA HAO WATAITWA WANA WA MUNGU" Pambana baba Tunaiuimbea sana
@paullala9338Ай бұрын
Mungu ibarik tanzania, mungu ibarik afrika, mungu mbariki makonda
@emmymshomi8893Ай бұрын
Elimu ina umuhimu mzeee yupo vizuri sana . Ukishindwa kujieleza nchii hii haki inapoteaa shwaaaa
@abuushakiraddausiy8666Ай бұрын
Hivi mkuu wa mkoa wa dodoma yupooooo jamman mbona dododma twadhukumiwatuuu lakin kimyaaaaaaaaa
@RehemaMkumbo-of5jo19 күн бұрын
Uko vzr,hakika yesu hata uacha mguu wako unaswe atakulinda kila uendako
@AngelaZakeo9 күн бұрын
Rais ajae Paul makonda mungu atusaidie uishi miaka mingi watanzania tunapenda kusikilizwa kero zetu na zitatuliwe
@SolomonElias-df4vk12 күн бұрын
Makonda mungu akurehem sana katika huongoz 25:02
@hidayaswai311914 күн бұрын
My mentor. Mungu nipee nafasi niweze ku deal na watu wa aina hii
@FundiKadege23 күн бұрын
Makonda mungu akubariki chapa kazi tuko nawe
@EmmanuelMagai-z3x15 күн бұрын
❤Nakupnda ❤❤ makonda!! Chukua Fomu ya Urais
@AzaeliMbise26 күн бұрын
Makonda asante sana kwa kusimamia haki za watu vizuri.
@user-ml2jh2bw4q28 күн бұрын
Jpm hongera san
@user-mt3jc6no5w25 күн бұрын
Dah! Makonda unajua kuwanyosha ❤❤❤
@ismailchami358Ай бұрын
Mungu akubariki Kaka yangu Makonda
@samanyaswai27 күн бұрын
Kweli Uongozi Ni Wito Huu Ndo Wito Sasa. Pambana Kiongoz MUNGU Yu Upande Wako.
@MartinLaban16 күн бұрын
Naomba siku moja uwe mkuu wa inchi turudishe heshima tena Duniani
@Isackhamka12 күн бұрын
acha tukupe utetezi wawa nyonge 😭😭😭😭👏
@musicheals1545Ай бұрын
nonsense, mna mute nini sasa hiyo sauti
@IsmailChuwa-hz2ls17 күн бұрын
Watanzania niwaambieni huyu kijana wetu makonda ni zaidi ya hakimu nawaambieni angalieni maamuzi yake huyu ni mungu amjalie azidi kuwasaidia waonewaji ameni
@IsmailChuwa-hz2ls17 күн бұрын
Makonda mungu akubariki
@suzanamwangingo2995Күн бұрын
Mh. Kazi ipo .makonda tukuombee sana
@songezaАй бұрын
RC pole kaza Buti uko vzuri dah ungewekwa wakati ule makamo ungekua rais dah nafasi Bado ipo
@ilynpayne7491Ай бұрын
Daah asee 😢😢 kusema kweli ina sikitisha 😢
@rehemanifasha5524Ай бұрын
Sana
@chire4574Ай бұрын
Iyo uwa inakuja najina ya kampuni halafu ww ndo unabadilisha
@LightnessBosco22 күн бұрын
Makonda MUNGU akuweke miaka mingi mno nimempenda huyu baba kuongea san tn kwa ujasili mno
@liverpoolfootballclub998526 күн бұрын
Kama kila mtendaji kila wizara serikalini wangefanya kazi zao fair and square. Makonda hangekua anasumbuliwa na wananchi wenye matatizo. Hii inaonyesha kwamba watendaji wamefail kwa kiwango kikubwa. Ni mungu na viongozi wenye kumwogopa mungu kama kina makonda ndiyo watakaowasaidia wananchi hawa
@deocharles984022 күн бұрын
Kazikazin tumepata mtu,Asante Mungu
@MussaissaBukagile20 күн бұрын
Ongereni mkoa wa Arusha kwa kumpata kiongozi bora
@user-oy9wr2zc6xАй бұрын
Mtetezi wa haki za wanyonge Mungu akutunze.
@susananyasani6526Ай бұрын
Mheshimiwa Makonda huwo ni Wizi wa Fedha kutoka kwa Wananchi wanyonge asante
@bukharyallyАй бұрын
Mheshimiwa makonda pole ila wengi wanaumiuzwa sana
@bukharyallyАй бұрын
T.i.b.amkamate sacos .wazee hawana kesi
@nicksonmusa3457Ай бұрын
Veepee tena hiyoo sautii wasafii mnaficha nn
@mwanaidimussaАй бұрын
Bando letu cjuiii yapojeeee haya
@alexsambia3046Ай бұрын
Mzee mngu akujalie umri mrefuu zaidi nimekupnda bure
@ilakozasembumende1975Ай бұрын
Inamaana kapun ya matreckta ilichujua mkopo mkubwa wa matrakta kupitia viwanja vya watu masikini uwiiiiii kwahiyo TIB walimpatia huyo huyo Hujeee pesa nyingi kupitia hati za wanachama wa sacos jamani hii inch😢😢😢😢😢😢😢
@VailettyShigerla-fw2sg18 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@VailettyShigerla-fw2sg18 күн бұрын
Makoda oyeeeee
@ilakozasembumende1975Ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@IsmailChuwa-hz2ls17 күн бұрын
Huyu makonda ni nikama marehemu magifuli kabisa anafanya vizuri
@user-wc8rm2yo9m25 күн бұрын
Data zangu zote zinaishia kwa makonda from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡
@user-ml2jh2bw4q28 күн бұрын
Kaka Mimi nakupenda san mungu akupe maisha marefu kaka makonda mungu akulidee
@abdulrahmansalim977325 күн бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔
@Ladha_ya_MashairiАй бұрын
Wasaf mnazingua saut vp wazeee mnatunyima raha
@RajabuHussein-to7jz22 күн бұрын
Natamani makonda Aje morogoro
@sylvanjosam3402Ай бұрын
Wazee wa hivo ukienda nawo mahakmani wanakuacha ndani 😂
@chriskudilla5355Ай бұрын
Piga kazi mkuu
@OfficialTadeoАй бұрын
Mama huyu mtu apewe uwazili tu
@samuelmiryango352411 күн бұрын
Tatizo makonda uwezikuwa rais mabebero watakuuwa maana hawampendi mtu kama wew
@husseinidd5751Ай бұрын
Afisa ushirika yuko vyema,Anajiamini
@user-vw4te9qr3iАй бұрын
Naona chawa wa makonda yupo pembeni
@ryangratius62328 күн бұрын
Huyo dada anacheka tu
@monicachacha45527 күн бұрын
makonda chapa kazi
@MartinLaban16 күн бұрын
Bando mi sitakubali kuishiwa kwa kumsikiliza makonda
@PartySekemiАй бұрын
Mheshimiwa rais wa mkoa Fanya mambo watu wakanyagane si wameona yesu
@eliathomas8446Ай бұрын
Roho mbaya tuu kwani wewe inakuhusu nn?
@ShabanKarim-tv3vnАй бұрын
Wewe unasitahili kuwa raisi waici
@jamesk221228 күн бұрын
Maana ya rc kwa kefu nini
@emmailakozimana825727 күн бұрын
Regional Commissioner
@martinamahenge4476Ай бұрын
Blood hell 😅😅😅
@AminaTanzania17 күн бұрын
Makonda ndoo mangufuri wa piri anawanyoosha wajanjawajanja
@user-ds2qj3oi7kАй бұрын
Kikubwa nikufunga TAWI hakuna watalamu wanaojua kazi hiyo. Naa pia wazee warudishwe haki zao. Hawo watalamu wanafanya biashara Hela za watu kwa riba kwa watu wengine kwa mkataba wa miaka kazaa.
@Christophermagesa198524 күн бұрын
Wasafi nyie ni wajinga yaan mnakata badhii ya maneno!