DUH! MAKONDA AFUNGUKA KUNUNUA KESI YA WAZEE WANAOSHIKILIWA NYUMBA ZAO na BENKI - "HAWADAIWI"

  Рет қаралды 57,398

Wasafi Media

Wasafi Media

Ай бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 67
@OscarGregorymosha
@OscarGregorymosha 28 күн бұрын
Makonda nakuombea Sana Bwana Yesu Akufunike kwa dam yake Majangili wasikuone
@user-ce2wi1ht8g
@user-ce2wi1ht8g Ай бұрын
Munguakujarie Makonda Amin Mabaria Wasahuziafrika Tunapijasaruti Munguakuweke Duniani Amin🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️☝🏿☝🏿🤘🤘🤘🇿🇦🤘🇹🇿🙏🙏🙏☝🏿
@kutailass6671
@kutailass6671 24 күн бұрын
😂😂😂😂 kama kuna mtu hakuelewa mapema hii comment kama mimi, aseme tu ukweli😅
@joycemmassi5046
@joycemmassi5046 16 күн бұрын
Hongera sana Makonda kazi yako si bure, neno linasema " HERI WALIO WAPATANISHI MAANA HAO WATAITWA WANA WA MUNGU" Pambana baba Tunaiuimbea sana
@paullala9338
@paullala9338 Ай бұрын
Mungu ibarik tanzania, mungu ibarik afrika, mungu mbariki makonda
@emmymshomi8893
@emmymshomi8893 Ай бұрын
Elimu ina umuhimu mzeee yupo vizuri sana . Ukishindwa kujieleza nchii hii haki inapoteaa shwaaaa
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 Ай бұрын
Hivi mkuu wa mkoa wa dodoma yupooooo jamman mbona dododma twadhukumiwatuuu lakin kimyaaaaaaaaa
@RehemaMkumbo-of5jo
@RehemaMkumbo-of5jo 19 күн бұрын
Uko vzr,hakika yesu hata uacha mguu wako unaswe atakulinda kila uendako
@AngelaZakeo
@AngelaZakeo 9 күн бұрын
Rais ajae Paul makonda mungu atusaidie uishi miaka mingi watanzania tunapenda kusikilizwa kero zetu na zitatuliwe
@SolomonElias-df4vk
@SolomonElias-df4vk 12 күн бұрын
Makonda mungu akurehem sana katika huongoz 25:02
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 14 күн бұрын
My mentor. Mungu nipee nafasi niweze ku deal na watu wa aina hii
@FundiKadege
@FundiKadege 23 күн бұрын
Makonda mungu akubariki chapa kazi tuko nawe
@EmmanuelMagai-z3x
@EmmanuelMagai-z3x 15 күн бұрын
❤Nakupnda ❤❤ makonda!! Chukua Fomu ya Urais
@AzaeliMbise
@AzaeliMbise 26 күн бұрын
Makonda asante sana kwa kusimamia haki za watu vizuri.
@user-ml2jh2bw4q
@user-ml2jh2bw4q 28 күн бұрын
Jpm hongera san
@user-mt3jc6no5w
@user-mt3jc6no5w 25 күн бұрын
Dah! Makonda unajua kuwanyosha ❤❤❤
@ismailchami358
@ismailchami358 Ай бұрын
Mungu akubariki Kaka yangu Makonda
@samanyaswai
@samanyaswai 27 күн бұрын
Kweli Uongozi Ni Wito Huu Ndo Wito Sasa. Pambana Kiongoz MUNGU Yu Upande Wako.
@MartinLaban
@MartinLaban 16 күн бұрын
Naomba siku moja uwe mkuu wa inchi turudishe heshima tena Duniani
@Isackhamka
@Isackhamka 12 күн бұрын
acha tukupe utetezi wawa nyonge 😭😭😭😭👏
@musicheals1545
@musicheals1545 Ай бұрын
nonsense, mna mute nini sasa hiyo sauti
@IsmailChuwa-hz2ls
@IsmailChuwa-hz2ls 17 күн бұрын
Watanzania niwaambieni huyu kijana wetu makonda ni zaidi ya hakimu nawaambieni angalieni maamuzi yake huyu ni mungu amjalie azidi kuwasaidia waonewaji ameni
@IsmailChuwa-hz2ls
@IsmailChuwa-hz2ls 17 күн бұрын
Makonda mungu akubariki
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Күн бұрын
Mh. Kazi ipo .makonda tukuombee sana
@songeza
@songeza Ай бұрын
RC pole kaza Buti uko vzuri dah ungewekwa wakati ule makamo ungekua rais dah nafasi Bado ipo
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Ай бұрын
Daah asee 😢😢 kusema kweli ina sikitisha 😢
@rehemanifasha5524
@rehemanifasha5524 Ай бұрын
Sana
@chire4574
@chire4574 Ай бұрын
Iyo uwa inakuja najina ya kampuni halafu ww ndo unabadilisha
@LightnessBosco
@LightnessBosco 22 күн бұрын
Makonda MUNGU akuweke miaka mingi mno nimempenda huyu baba kuongea san tn kwa ujasili mno
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 26 күн бұрын
Kama kila mtendaji kila wizara serikalini wangefanya kazi zao fair and square. Makonda hangekua anasumbuliwa na wananchi wenye matatizo. Hii inaonyesha kwamba watendaji wamefail kwa kiwango kikubwa. Ni mungu na viongozi wenye kumwogopa mungu kama kina makonda ndiyo watakaowasaidia wananchi hawa
@deocharles9840
@deocharles9840 22 күн бұрын
Kazikazin tumepata mtu,Asante Mungu
@MussaissaBukagile
@MussaissaBukagile 20 күн бұрын
Ongereni mkoa wa Arusha kwa kumpata kiongozi bora
@user-oy9wr2zc6x
@user-oy9wr2zc6x Ай бұрын
Mtetezi wa haki za wanyonge Mungu akutunze.
@susananyasani6526
@susananyasani6526 Ай бұрын
Mheshimiwa Makonda huwo ni Wizi wa Fedha kutoka kwa Wananchi wanyonge asante
@bukharyally
@bukharyally Ай бұрын
Mheshimiwa makonda pole ila wengi wanaumiuzwa sana
@bukharyally
@bukharyally Ай бұрын
T.i.b.amkamate sacos .wazee hawana kesi
@nicksonmusa3457
@nicksonmusa3457 Ай бұрын
Veepee tena hiyoo sautii wasafii mnaficha nn
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa Ай бұрын
Bando letu cjuiii yapojeeee haya
@alexsambia3046
@alexsambia3046 Ай бұрын
Mzee mngu akujalie umri mrefuu zaidi nimekupnda bure
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 Ай бұрын
Inamaana kapun ya matreckta ilichujua mkopo mkubwa wa matrakta kupitia viwanja vya watu masikini uwiiiiii kwahiyo TIB walimpatia huyo huyo Hujeee pesa nyingi kupitia hati za wanachama wa sacos jamani hii inch😢😢😢😢😢😢😢
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg 18 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg 18 күн бұрын
Makoda oyeeeee
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 Ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@IsmailChuwa-hz2ls
@IsmailChuwa-hz2ls 17 күн бұрын
Huyu makonda ni nikama marehemu magifuli kabisa anafanya vizuri
@user-wc8rm2yo9m
@user-wc8rm2yo9m 25 күн бұрын
Data zangu zote zinaishia kwa makonda from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡
@user-ml2jh2bw4q
@user-ml2jh2bw4q 28 күн бұрын
Kaka Mimi nakupenda san mungu akupe maisha marefu kaka makonda mungu akulidee
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 25 күн бұрын
🤔🤔🤔🤔🤔
@Ladha_ya_Mashairi
@Ladha_ya_Mashairi Ай бұрын
Wasaf mnazingua saut vp wazeee mnatunyima raha
@RajabuHussein-to7jz
@RajabuHussein-to7jz 22 күн бұрын
Natamani makonda Aje morogoro
@sylvanjosam3402
@sylvanjosam3402 Ай бұрын
Wazee wa hivo ukienda nawo mahakmani wanakuacha ndani 😂
@chriskudilla5355
@chriskudilla5355 Ай бұрын
Piga kazi mkuu
@OfficialTadeo
@OfficialTadeo Ай бұрын
Mama huyu mtu apewe uwazili tu
@samuelmiryango3524
@samuelmiryango3524 11 күн бұрын
Tatizo makonda uwezikuwa rais mabebero watakuuwa maana hawampendi mtu kama wew
@husseinidd5751
@husseinidd5751 Ай бұрын
Afisa ushirika yuko vyema,Anajiamini
@user-vw4te9qr3i
@user-vw4te9qr3i Ай бұрын
Naona chawa wa makonda yupo pembeni
@ryangratius623
@ryangratius623 28 күн бұрын
Huyo dada anacheka tu
@monicachacha455
@monicachacha455 27 күн бұрын
makonda chapa kazi
@MartinLaban
@MartinLaban 16 күн бұрын
Bando mi sitakubali kuishiwa kwa kumsikiliza makonda
@PartySekemi
@PartySekemi Ай бұрын
Mheshimiwa rais wa mkoa Fanya mambo watu wakanyagane si wameona yesu
@eliathomas8446
@eliathomas8446 Ай бұрын
Roho mbaya tuu kwani wewe inakuhusu nn?
@ShabanKarim-tv3vn
@ShabanKarim-tv3vn Ай бұрын
Wewe unasitahili kuwa raisi waici
@jamesk2212
@jamesk2212 28 күн бұрын
Maana ya rc kwa kefu nini
@emmailakozimana8257
@emmailakozimana8257 27 күн бұрын
Regional Commissioner
@martinamahenge4476
@martinamahenge4476 Ай бұрын
Blood hell 😅😅😅
@AminaTanzania
@AminaTanzania 17 күн бұрын
Makonda ndoo mangufuri wa piri anawanyoosha wajanjawajanja
@user-ds2qj3oi7k
@user-ds2qj3oi7k Ай бұрын
Kikubwa nikufunga TAWI hakuna watalamu wanaojua kazi hiyo. Naa pia wazee warudishwe haki zao. Hawo watalamu wanafanya biashara Hela za watu kwa riba kwa watu wengine kwa mkataba wa miaka kazaa.
@Christophermagesa1985
@Christophermagesa1985 24 күн бұрын
Wasafi nyie ni wajinga yaan mnakata badhii ya maneno!
WHO DO I LOVE MOST?
00:22
dednahype
Рет қаралды 80 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 16 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 3,2 МЛН
RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"
22:48
Global TV Online
Рет қаралды 722 М.
ToRung short film: 😭i'm not blind😢
0:58
ToRung
Рет қаралды 116 МЛН
Добейти 100000 подписчиков | Тгк- @Rom4ik539
0:28
Телега - hahalivars
0:55
HAHALIVARS
Рет қаралды 2,5 МЛН
One Two Buckle My Shoes ! #spongebobexe #shorts
0:17
ANA Craft
Рет қаралды 10 МЛН
Парковка ТАКСИ от клоуна!
0:22
Клаунхаус Kids
Рет қаралды 3,9 МЛН