VIDEO YA MAKONDA ALIVYOCHARUANA na HUYU DADA ''HAUONGEI na MCHUMBA WAKO HAPA, UNAFANYA DHARAU?''

  Рет қаралды 51,654

Wasafi Media

Wasafi Media

Ай бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 56
@AzaeliMbise
@AzaeliMbise 27 күн бұрын
Makonda apo unaenda vizuri.nitakua na imani na wewe sasa asante mungu akulinde
@MfaumeIbrahim
@MfaumeIbrahim Ай бұрын
Mzee simamia KAZI za taifa mungu atakulipa watanzania wengi sio wazalendo
@michaelmchilo7910
@michaelmchilo7910 5 күн бұрын
Wew na magufuli mpo sambamba hongera sana makonda🎉
@vascombembela3632
@vascombembela3632 Ай бұрын
Tunahitaji Makonda wengine angalau 10 tu naamini nchi hii itakuwa vizuri. Hongera sana mheshimiwa Makonda kwani kazi unayofanya ni kubwa sana. Ni vema na watendaji wengine waige mfano huu kwani nchi hii inaibiwa sana!
@user-st3tz7lk2k
@user-st3tz7lk2k 18 күн бұрын
Makonda pokea mauwa yakoo kaka uko vizurii ....I wish Rais wetu 2030❤
@user-zi4hx4jf3o
@user-zi4hx4jf3o 13 күн бұрын
Makonda njoo nahuku wizi upo mwingi sana Aisee
@hassann4209
@hassann4209 2 күн бұрын
Makonda anafanya vizuli sana. Tunakupenda 5/5 uku🇧🇮🇧🇮
@molenicharles9107
@molenicharles9107 22 күн бұрын
MH.RAIS HUYU MWAMBA ATUMIKIA KAZI YA UKUU WA MIKOA ASIZIDI MWAKA MMOJA KWA MKOA MMOJA...KILA MWAKA AWE ANAHAISHIWA MKOA MWINGINE ILI AINYOOSHE NCHI.💪💪
@user-xx4kb6qz6p
@user-xx4kb6qz6p 23 күн бұрын
Mungu akulinde mheshimiwa uaminifu ni kitu kizuri na uongo unagharama yake
@craudiadominicus6995
@craudiadominicus6995 22 күн бұрын
Hakika ni Mungu amekuchagua mkuu wa mkoa,YEREMIA:1;5, Nakuombea Mungu akutunze mpaka utimize kusudi lake.lSAYA:54;17, ubarikiwe sana baba.
@sunaybrajabu238
@sunaybrajabu238 22 сағат бұрын
mama anatoa pesa kwaajili ya maendeleo Lakin wanaokula ni watumishi wapuuzi, 😢
@happyfrancis9809
@happyfrancis9809 26 күн бұрын
Makonda ninoma sanaaa❤❤❤
@AngelaniAbwe
@AngelaniAbwe 18 күн бұрын
Mungu abariki Sana katika utumishi wake
@AsumaniMAtanga
@AsumaniMAtanga Ай бұрын
Hello
@CalmOmbreSky-iz2hj
@CalmOmbreSky-iz2hj 15 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Renatus-fk5lr
@Renatus-fk5lr 16 күн бұрын
Makonda ivi wewe mbona unaubongo wa hayati Mzee wetu magufuli ungekuwa unaungwa mkono taifa lisingelia na umasikini
@benjaminierick8274
@benjaminierick8274 21 күн бұрын
Mungu akulinde
@happyfrancis9809
@happyfrancis9809 26 күн бұрын
Nakutabiria utakuja kuwa rais wajamuhuri ya muungano wa tanzania naamin ilo kipenzi cha wengiii nchi hiii itanyooka sanaaa mungu akutunze ili litimie❤
@brunidamadege3747
@brunidamadege3747 21 күн бұрын
Bwana Yesu atende namsubiri Raisi ajaye kwenye wakati aliomsaza.
@e11said23
@e11said23 19 күн бұрын
Kazi yako nzuri makonda lakini majibu yako kwauyo mama umemdhalilisha sio vizuri
@sabrinaandrew4245
@sabrinaandrew4245 23 күн бұрын
Mh mkuu wa mkoa mwenyezi mungu akupe umri.mrefu.wewe ni mtu wa mwenyezi mungu napia ni mtu wawatu.yaani upo vzr kwa haki na kiswahili kizuri.Aiwezekani hajitambui mara sita mara nane mara 18.wanafuja pesa.Hakii waongo.hapo kasema kulipa bill sasa anasema kuingiza umeme.ushuru😳sasa ni ushuru au mafuta😳
@AsumaniMAtanga
@AsumaniMAtanga Ай бұрын
🇺🇸🙋🇹🇿
@olivastephano2900
@olivastephano2900 Ай бұрын
Kamata wezi
@boniphacepaskal4024
@boniphacepaskal4024 Ай бұрын
Viongozi wengne mnawapa vyeo visivyo wafaa kabsa tusidharilishane majukwaani babu hatujasomeshana Kila mtu kasomeshwa kwao kwahiyo Kama unataka Kiki tunakutoa wanaingia wengne
@bashayabenjamin-ot7xi
@bashayabenjamin-ot7xi Ай бұрын
Huna hoja
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 Ай бұрын
Una uwezo wa kumtoa nani wewe acha kiongozi afanye kazi hukusomeshwa ila uibe fedha za wananch
@meshacknyandongo577
@meshacknyandongo577 Ай бұрын
Una uwezo wa kumtoa nani wewe acha kiongozi afanye kazi hukusomeshwa ila uibe fedha za wananch
@JumaAwamu
@JumaAwamu 21 күн бұрын
Anko oooooo chukuw kiti uwe raisiiiiii nimefulahiiii umakiini wakooooooo
@user-xb7ys5lf4x
@user-xb7ys5lf4x 16 күн бұрын
BwanaYesu akufunike Makonda
@ChescoJohn-gc8qt
@ChescoJohn-gc8qt 19 күн бұрын
Tunaomba Mr.rais amluhusu ndungu makonda awezekuhudumia kira mkoa mwaka mmoja mmoja make ni mtetez wa wanyonge
@RajabuLanda
@RajabuLanda Ай бұрын
Wakowengi Dana watu Kama hawo Kira wiraya nnchi hiyi Mambo ya hovyo xana hayo sii happy tuu
@RajabuAmir-cl3ke
@RajabuAmir-cl3ke 19 күн бұрын
yani tanesco ana bei kuliko rea
@babyboy6310
@babyboy6310 24 күн бұрын
RC. Tuko pamoja fanya kazi. Nchi iko pabaya uongo umezidi. watu wamekuwa waongo
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Ай бұрын
Makonda hana Tatizo, Tatizo lipo kwa anao wagusa..kuna Ubadhirifu mwingi Makonda anaufukua kwa hiyo atatafutiwa kila aina ya Chuki ili kumfitini
@AloyceStnford
@AloyceStnford 20 күн бұрын
hakuna kamaww kwenye hiinchi
@HancyHancy-wn5et
@HancyHancy-wn5et 23 күн бұрын
Makonda sijui nisemeje tu
@user-oo2fx8nk5r
@user-oo2fx8nk5r Ай бұрын
Sasa Na yeye Anajieleza Sijisikia bati sjisijia mbao hapo au hayo madarasa yamejengwaa bila bati na mbao
@loveness09-k
@loveness09-k Ай бұрын
🙆🙆🙆🙆 21:23
@RajabuAmir-cl3ke
@RajabuAmir-cl3ke 19 күн бұрын
mafundi hamuwalipi kwawati ndiomna wanaondka
@AnnaKessy-yr6gs
@AnnaKessy-yr6gs 18 күн бұрын
Tunataka watu kama hawa
@user-td4le3xf7h
@user-td4le3xf7h Ай бұрын
Makonda alikuwa sahihi
@RajabuAmir-cl3ke
@RajabuAmir-cl3ke 19 күн бұрын
rajabu
@user-ys5iu3qu3u
@user-ys5iu3qu3u Ай бұрын
😅😅😅😅😅
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 Ай бұрын
SUPANA ZIENDELEHE PEMBE ZOTE ARUSHA 😂😂😂
@AbdullyCharles
@AbdullyCharles 27 күн бұрын
Kaka gombania na uraisi
@msongojumbe486
@msongojumbe486 28 күн бұрын
Acha upuuzi militia kwanza
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Ай бұрын
kama unaamini dada hana shida lakini Hiyo miwani ya kuogelea ndio inamfanya dada aonekane kuwa anakiburi , gonga like hapa 😂😂😂😂😂
@AbudulNasibu
@AbudulNasibu 10 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 29 күн бұрын
Wizi mtupu😢
@josephbosire4788
@josephbosire4788 15 күн бұрын
Mondamano
@user-xz7fm3sf7z
@user-xz7fm3sf7z 25 күн бұрын
😂aaa
@mraeliphas9293
@mraeliphas9293 20 күн бұрын
huyu Bashite ni mpumbavu, bado anawadhalilisha wanawake, eti ana mke mzuri, nonsense.
@user-zi4hx4jf3o
@user-zi4hx4jf3o 13 күн бұрын
Pumbavuuuu nakuzalilisha kama anamwanamke mzuri wakwako mjinga kabsa mvuta bagi wewe kafie mbali uko huna Cha kusema msenge wew
@uzungupoint
@uzungupoint Ай бұрын
SOIL TEST 10M😂🙌
@user-pk5tu4be6r
@user-pk5tu4be6r 28 күн бұрын
Tunaomba ndugu Makonda ajje namkoa kigoma
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 111 МЛН
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 13 МЛН
100❤️
00:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 5 МЛН
MAKONDA ALIVYOCHARUANA na BOSI wa MAJI ARUSHA - WANANCHI WASHUHUDIA.
41:29
Какая погода у тебя за окном? У нас вчера был ураган!
0:40
Какая Милота ❤️
0:10
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 4,5 МЛН
Мужчина С Золотыми Руками 💪
0:42
EpicShortsRussia
Рет қаралды 2,9 МЛН
Cunning GUYS 🤣
0:15
dednahype
Рет қаралды 10 МЛН
Гениальный План Хвостатых 😂
0:28
ДоброShorts
Рет қаралды 1,9 МЛН