Makonda apo unaenda vizuri.nitakua na imani na wewe sasa asante mungu akulinde
@MfaumeIbrahimАй бұрын
Mzee simamia KAZI za taifa mungu atakulipa watanzania wengi sio wazalendo
@michaelmchilo79105 күн бұрын
Wew na magufuli mpo sambamba hongera sana makonda🎉
@vascombembela3632Ай бұрын
Tunahitaji Makonda wengine angalau 10 tu naamini nchi hii itakuwa vizuri. Hongera sana mheshimiwa Makonda kwani kazi unayofanya ni kubwa sana. Ni vema na watendaji wengine waige mfano huu kwani nchi hii inaibiwa sana!
@user-st3tz7lk2k18 күн бұрын
Makonda pokea mauwa yakoo kaka uko vizurii ....I wish Rais wetu 2030❤
MH.RAIS HUYU MWAMBA ATUMIKIA KAZI YA UKUU WA MIKOA ASIZIDI MWAKA MMOJA KWA MKOA MMOJA...KILA MWAKA AWE ANAHAISHIWA MKOA MWINGINE ILI AINYOOSHE NCHI.💪💪
@user-xx4kb6qz6p23 күн бұрын
Mungu akulinde mheshimiwa uaminifu ni kitu kizuri na uongo unagharama yake
@craudiadominicus699522 күн бұрын
Hakika ni Mungu amekuchagua mkuu wa mkoa,YEREMIA:1;5, Nakuombea Mungu akutunze mpaka utimize kusudi lake.lSAYA:54;17, ubarikiwe sana baba.
@sunaybrajabu23822 сағат бұрын
mama anatoa pesa kwaajili ya maendeleo Lakin wanaokula ni watumishi wapuuzi, 😢
@happyfrancis980926 күн бұрын
Makonda ninoma sanaaa❤❤❤
@AngelaniAbwe18 күн бұрын
Mungu abariki Sana katika utumishi wake
@AsumaniMAtangaАй бұрын
Hello
@CalmOmbreSky-iz2hj15 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Renatus-fk5lr16 күн бұрын
Makonda ivi wewe mbona unaubongo wa hayati Mzee wetu magufuli ungekuwa unaungwa mkono taifa lisingelia na umasikini
@benjaminierick827421 күн бұрын
Mungu akulinde
@happyfrancis980926 күн бұрын
Nakutabiria utakuja kuwa rais wajamuhuri ya muungano wa tanzania naamin ilo kipenzi cha wengiii nchi hiii itanyooka sanaaa mungu akutunze ili litimie❤
@brunidamadege374721 күн бұрын
Bwana Yesu atende namsubiri Raisi ajaye kwenye wakati aliomsaza.
@e11said2319 күн бұрын
Kazi yako nzuri makonda lakini majibu yako kwauyo mama umemdhalilisha sio vizuri
@sabrinaandrew424523 күн бұрын
Mh mkuu wa mkoa mwenyezi mungu akupe umri.mrefu.wewe ni mtu wa mwenyezi mungu napia ni mtu wawatu.yaani upo vzr kwa haki na kiswahili kizuri.Aiwezekani hajitambui mara sita mara nane mara 18.wanafuja pesa.Hakii waongo.hapo kasema kulipa bill sasa anasema kuingiza umeme.ushuru😳sasa ni ushuru au mafuta😳
@AsumaniMAtangaАй бұрын
🇺🇸🙋🇹🇿
@olivastephano2900Ай бұрын
Kamata wezi
@boniphacepaskal4024Ай бұрын
Viongozi wengne mnawapa vyeo visivyo wafaa kabsa tusidharilishane majukwaani babu hatujasomeshana Kila mtu kasomeshwa kwao kwahiyo Kama unataka Kiki tunakutoa wanaingia wengne
@bashayabenjamin-ot7xiАй бұрын
Huna hoja
@meshacknyandongo577Ай бұрын
Una uwezo wa kumtoa nani wewe acha kiongozi afanye kazi hukusomeshwa ila uibe fedha za wananch
@meshacknyandongo577Ай бұрын
Una uwezo wa kumtoa nani wewe acha kiongozi afanye kazi hukusomeshwa ila uibe fedha za wananch
@JumaAwamu21 күн бұрын
Anko oooooo chukuw kiti uwe raisiiiiii nimefulahiiii umakiini wakooooooo
@user-xb7ys5lf4x16 күн бұрын
BwanaYesu akufunike Makonda
@ChescoJohn-gc8qt19 күн бұрын
Tunaomba Mr.rais amluhusu ndungu makonda awezekuhudumia kira mkoa mwaka mmoja mmoja make ni mtetez wa wanyonge
@RajabuLandaАй бұрын
Wakowengi Dana watu Kama hawo Kira wiraya nnchi hiyi Mambo ya hovyo xana hayo sii happy tuu
@RajabuAmir-cl3ke19 күн бұрын
yani tanesco ana bei kuliko rea
@babyboy631024 күн бұрын
RC. Tuko pamoja fanya kazi. Nchi iko pabaya uongo umezidi. watu wamekuwa waongo
@angellomarcel5677Ай бұрын
Makonda hana Tatizo, Tatizo lipo kwa anao wagusa..kuna Ubadhirifu mwingi Makonda anaufukua kwa hiyo atatafutiwa kila aina ya Chuki ili kumfitini
@AloyceStnford20 күн бұрын
hakuna kamaww kwenye hiinchi
@HancyHancy-wn5et23 күн бұрын
Makonda sijui nisemeje tu
@user-oo2fx8nk5rАй бұрын
Sasa Na yeye Anajieleza Sijisikia bati sjisijia mbao hapo au hayo madarasa yamejengwaa bila bati na mbao
@loveness09-kАй бұрын
🙆🙆🙆🙆 21:23
@RajabuAmir-cl3ke19 күн бұрын
mafundi hamuwalipi kwawati ndiomna wanaondka
@AnnaKessy-yr6gs18 күн бұрын
Tunataka watu kama hawa
@user-td4le3xf7hАй бұрын
Makonda alikuwa sahihi
@RajabuAmir-cl3ke19 күн бұрын
rajabu
@user-ys5iu3qu3uАй бұрын
😅😅😅😅😅
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
SUPANA ZIENDELEHE PEMBE ZOTE ARUSHA 😂😂😂
@AbdullyCharles27 күн бұрын
Kaka gombania na uraisi
@msongojumbe48628 күн бұрын
Acha upuuzi militia kwanza
@BIGBOSS-hl3buАй бұрын
kama unaamini dada hana shida lakini Hiyo miwani ya kuogelea ndio inamfanya dada aonekane kuwa anakiburi , gonga like hapa 😂😂😂😂😂