No video

DULVAN AVAMIWA STUDIO NA MWANAMKE ALIYEMPA UJAUZITO

  Рет қаралды 493,724

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 729
@nataliatheo4875
@nataliatheo4875 3 жыл бұрын
Nani mwingine yuko hapa kwa kusoma comments 😅😅😅😅
@damarisogoti316
@damarisogoti316 3 жыл бұрын
Mbona huyo dada anaonekana km kamalaya fulani najua 😳😳🤣🤣
@gamatajr3699
@gamatajr3699 3 жыл бұрын
Diva wewe! Mungu anakuona kwa kutufanya wapuuzi. Jaribu kufanya program yako iwe ya maana bwana acha kutuletea maigizo ya jukwaani. Tunamkumbuka sana Diva wa Ala Za Roho... Yuuu wapiiii???
@tedymwandara5480
@tedymwandara5480 3 жыл бұрын
Usikute ni kiki, hii c kweli Diva asingemruhusu huyu mwanamke aje moja kwa moja studio za wasafi, watu wa habari nao Wana maadili Yao eti
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 3 жыл бұрын
Waandishi wa habari nao wanatafuta kik jinga hawa😠
@nancymwangi6455
@nancymwangi6455 2 жыл бұрын
Na vile nampenda dullvan😍😍
@christophermsekena616
@christophermsekena616 3 жыл бұрын
Watu wanajenga brand zao kwa gharama kubwa sana harafu mtu mmoja mjinga mjinga tu nakuja kuibomoa sekunde moja, pole sana Dully
@catherinekisandu1492
@catherinekisandu1492 3 жыл бұрын
Uy dada mpuuzi sana tyu
@rehemakasebele7240
@rehemakasebele7240 2 жыл бұрын
Wanatafuta umaalufu kupitia mastaa alee mimba tu
@rehemakasebele7240
@rehemakasebele7240 2 жыл бұрын
Amuache dull van wetu
@mrdaniel5223
@mrdaniel5223 3 жыл бұрын
Ila wasafi nyiee Mungu anawaona... hivii vitu vyote mmetengeza tu
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 жыл бұрын
Umeona
@mcfidel2927
@mcfidel2927 3 жыл бұрын
Diva was suppose to ask for evidence to verify her story
@blessedemily3652
@blessedemily3652 3 жыл бұрын
Diva is trying so hard
@restkalemile5274
@restkalemile5274 2 жыл бұрын
Huyu Dada diva Yuko sensitive sana na Kaz yake.... Huwez amini huyo Dada na dulvan hawan kabisa mahusiano na ni kweli kabisa dulvan hamfaham ila huyo Dada diva ndo alimpanga kunogesha kipind.. Kwa ufund ni trick ku make a tension kwa watu wafatlie hii story.
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 Жыл бұрын
@@restkalemile5274 tulia mzee acha kuongea kwa hsia zako binafsi .kwanza nikwambie mm namfahak vzr dully na huyo aliwah kua mwanamke wake na alimpa mimba kweli na kama ww ni unawez kusoma picha angalia reaction ya dully kipindi dem anaingia Yan kama dully alisema hamfahamu hermonize dully alisema hamfahamu jaymond na unamtetea khaaaaaa.......oya ww humjui dully tuulize sis tunae kaanae dully anakukana macho makavu kabisa yani yan nmeshangaa kumtetea dully hv unayajua matukio yke anafanya na anakana hapo hapo muulize chatomandota ndo anamjua dully alimfanya nn na.akakana
@esthermuthoni3763
@esthermuthoni3763 2 жыл бұрын
Mwanamke mwenyewe hata hana sura! Hamfai kabisaa Dullvan
@mdalamgir-gu9hu
@mdalamgir-gu9hu 2 жыл бұрын
Dula vani na uyo dada mapichatu wote mabinti
@kellyngogo3319
@kellyngogo3319 3 жыл бұрын
Kasichana kamalaya kalitegeshea mimba. Kuzaa lzm mkubaliane wote wawili inaonyesha maamuzi yako. Watoto wetu wa like kulala na mwanaume siyo kubeba mimba vya kujikinga vingi. Sasa Hilo unalo msichana 🔥🔥
@naimakombo4576
@naimakombo4576 2 жыл бұрын
Pelekesha Ukoooooo Iv mimbaaa hiziii unazan unaweza kuzipangia
@amoskija6577
@amoskija6577 Жыл бұрын
🤣🤣huyu si ni Sophia video vixen wa harmonize amelowa
@magrethmkira6250
@magrethmkira6250 6 ай бұрын
😂😂
@jinikisirani7928
@jinikisirani7928 2 ай бұрын
Hahahaha
@mr.pilipili5289
@mr.pilipili5289 3 жыл бұрын
Da Diva ujue mzinguaji dem kashoboka na umaarufu dullvani kastuka Ahahaha🤣🤣🤣
@evandosimboro1364
@evandosimboro1364 3 жыл бұрын
Mhhhh mbona dull van anaonekana kama hamjuinkweli jamani 😂😂😂😂😂
@maryamtan682
@maryamtan682 3 жыл бұрын
Icho kipindi si kipo usiku ndo maana kaamua kuvaa pajama moja moja.
@queentermboka495
@queentermboka495 3 жыл бұрын
Dada Diva huna experience kushughulikia issues kama haya...maoni yangu
@happyrems205
@happyrems205 3 жыл бұрын
Dulvan pokea tu matokea m mdogo wangu mim napendaga sana kitmtim usituangushe
@yussufhussein1954
@yussufhussein1954 3 жыл бұрын
Fashen nyengine nazo we duli van iyo nguo siyakulalia ww aaa jamani
@merryabiaza711
@merryabiaza711 3 жыл бұрын
😂😂😂 mtoko wa usiku jaman
@sabrinasab2910
@sabrinasab2910 3 жыл бұрын
Ndo ivyo ata na mm nimemwambia🤣🤣
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 3 жыл бұрын
Hahaha 😂😂 🤣🤣😂😃😂😂🤣🤣 duh 🙄🙄🙄
@ramearfe9509
@ramearfe9509 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@ramearfe9509
@ramearfe9509 3 жыл бұрын
😂😂😂
@zachbula624
@zachbula624 2 жыл бұрын
Dulvan umenichekesha balaa!!
@mcpaulmkopa4798
@mcpaulmkopa4798 3 жыл бұрын
Tafuteni namna ya kutengeneza uwiano wa mahojiano, kabla hamjamleta huyo dada hebu muulize muhusika unamfahamu fulani then ndio uwaombe kuwakutanisha...... Wasichana wa Sasa wamepagawa maisha magumu Sana kipindi kinakuww Cha uchonganishi sasa
@bahatimboya3224
@bahatimboya3224 3 жыл бұрын
Hahaaaaaa dulvan umekutana nae wapi oh imen oh ah he toa maelezo ase yani mtangazaji na muhojiwaji lao moja
@keifatuke99
@keifatuke99 Жыл бұрын
Huyu dada alimsingizia Dullvan,nimelowa nimelowa wa Harmonize
@sashabaya1770
@sashabaya1770 2 жыл бұрын
Mtaka yote hukose yote hongera dada Kwa tamaa yako haaa c ungebaki tu na mahusiano yako watu wengine bana....
@rajimadope6465
@rajimadope6465 2 жыл бұрын
Nyie wasafi hususan hiki kipindi cha diva tutawachoka mnapenda Sana kitengeneza interview. Kipindi kinageuka Kama maigizo sasa. Achen hizo mambo
@asiamikidadi3835
@asiamikidadi3835 Жыл бұрын
Huyu si ndo yule dem amelowa wa harmonize au 😳🤣🤣
@alain2139
@alain2139 3 жыл бұрын
Kiki tena jamani, yaani Dullvani naye anataka tosha nyimbo
@jennyjk4093
@jennyjk4093 3 жыл бұрын
😂😂
@makambapromise3495
@makambapromise3495 3 жыл бұрын
😆😆😆😁😁
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 3 жыл бұрын
😂
@wisperfect5320
@wisperfect5320 3 жыл бұрын
😂😂
@hassanmapenzi6188
@hassanmapenzi6188 3 жыл бұрын
O
@rym5767
@rym5767 3 жыл бұрын
Ni kweli kabisaaaaaa😃😃Kuna kimeonekana kashangaaa sana 😃kaongopa mhao
@officialbntrasool5223
@officialbntrasool5223 3 жыл бұрын
Mimba Gan tena s tulikubaliana wewe n mama chogo😂😂😂 sema hyo movie inayotoka n kali
@shabanmakata7329
@shabanmakata7329 3 жыл бұрын
Kikiiiiii, halaf Dem hajui kujieleza, mnatuboa tu
@davidbahati8327
@davidbahati8327 3 жыл бұрын
Diva unavyofanya ni vzur mno kwa style ya kukutanisha watu studio ila itaboa Kama ni Kiki, plzzzzzzz tunaomba ziwe ni true story, tafit kwanza kusanya ushahidi utakaokulizisha then wakutanishe studio zisiwe Kiki kipindi kitaboa mno, ziwe ni true story tu apo utafanya kipindi chako kiwe juu mawinguni koz wabongo wengi tunapenda ubuyu.
@kijakazinyalinga7003
@kijakazinyalinga7003 Жыл бұрын
uki achwa achika naww dada zaa lea mtori wKo maisha ya endelee
@mahmoudma5930
@mahmoudma5930 3 жыл бұрын
Ah kumamazenu acheni Kiki za kisenge matako nyinyi 😃😃😃😃😃😃
@aminachingwalu2850
@aminachingwalu2850 3 жыл бұрын
Unaharibu intav Zak kwa kukutanisha watu hoji mtu kulingana na history ya mtu na mahusiano yake ya nyuma sio kukutanisha sio ishu unaharibu majina ya watu iko siku watu watashikana hayo mambo waachie shila wadu
@neemazee1864
@neemazee1864 3 жыл бұрын
Dulvan wew mpole au kitu gani... Adi unaboa
@Binladen48
@Binladen48 2 жыл бұрын
Dulvan mbona dada ni mzuri tu jaman Lea mimba mungu hapendi
@fanjafanja4022
@fanjafanja4022 3 жыл бұрын
Yaaan hii redio aina cha maan zaid ya kiki tu NA ww mbuz unasem una mimba yaan mwezi 4 adi wa 7 ukabebe mimba alikwambia anatak mimba kiki izo maan maongezi na macho tofa uti
@suzanmukuhi2961
@suzanmukuhi2961 3 жыл бұрын
Diva tell the girls to show the evidence
@yuanju1745
@yuanju1745 2 жыл бұрын
Hhhhhh
@magrethkihiyo6414
@magrethkihiyo6414 3 жыл бұрын
Ww dada sio mwaminifu, ww n malaya
@suzanmukuhi2961
@suzanmukuhi2961 3 жыл бұрын
Diva ulileta mtu studio hakikisha uko na evidence bongo Kula drama na Kiki mingi sna
@gracesikulo7377
@gracesikulo7377 3 жыл бұрын
I'll matatizo matatizo
@hamdimohamed4488
@hamdimohamed4488 3 жыл бұрын
Kweli kabisaaaa
@nedmonad1175
@nedmonad1175 2 жыл бұрын
Duvn vibaya ivyo
@thresherjordan6829
@thresherjordan6829 3 жыл бұрын
Kmaa kwel kadadaaa kan tamaaaa yan kisa super comedy star🤣🤣🤣🤣tuachen umalay tutatombwa mpakaaa 🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Ajulikani dada, muache tamaa kutaka wasanii wakat mna watu wenu nyooooo!!! Boya we daaaa pumbav
@omarcarlos4595
@omarcarlos4595 3 жыл бұрын
Ila hongereni kuwa wabunifu
@chuchudodo8315
@chuchudodo8315 Жыл бұрын
Huyu Sophy amelowa🤣🤣🤣🤣
@rahmaomary5045
@rahmaomary5045 Жыл бұрын
ni yeye kipind icho alikua akijulikaniii kiivyo
@tonygee5680
@tonygee5680 Жыл бұрын
Yaani jama kavaa nguo za kulalaa 😮😮😮omg wabongo
@eglahjason6558
@eglahjason6558 2 жыл бұрын
Nakupenda san dadang nataman one day niwe kam ww
@husnahamisi8947
@husnahamisi8947 3 жыл бұрын
Yule kaka kule nyuma ya Dullah anamuangalia huyo Dada kwa dharau nimempenda bure
@shiinefarah5288
@shiinefarah5288 3 жыл бұрын
Kbisa yan
@johnsonmosha4303
@johnsonmosha4303 2 жыл бұрын
Dullvan anajua aisee mpk kwny serious issue bado anachekeshaaa
@elibarikiyohana2371
@elibarikiyohana2371 Жыл бұрын
Huyu mbona Sophie wa amelowa😂😂😂😂
@debraholwal5069
@debraholwal5069 3 жыл бұрын
Evidence ya mahusiano ipo wapi?
@zabibuamissi1141
@zabibuamissi1141 3 жыл бұрын
Yatakuwa ya Lava lava na Lulu diva
@remigiusrespicius1856
@remigiusrespicius1856 3 жыл бұрын
Duuh hii noma sana
@prinsecmerryprinsec3059
@prinsecmerryprinsec3059 3 жыл бұрын
Eti kwa nini anikatake😀😀 uliacha mahusiano yako kisa tamaaa pambana😂😂
@mosamossile9113
@mosamossile9113 3 жыл бұрын
Nyoooko Nyie mtajuwana wenyewe
@sabrinasab2910
@sabrinasab2910 3 жыл бұрын
Uyo dullvan kavaa nguo za kulalia
@amourhasaan7242
@amourhasaan7242 3 жыл бұрын
Kwa nn kiengerezaa kingii wakatii unowahojii waswahilii wengii
@rachelmliwa9830
@rachelmliwa9830 3 жыл бұрын
Hayo macho ya Kaka mwigizaji
@jorgettemwajuma5428
@jorgettemwajuma5428 3 жыл бұрын
Nakwambiya tz vituko haviishi ona ilo jicho la dulvany uta 😀😀
@hatibukhamisi133
@hatibukhamisi133 3 жыл бұрын
Uyo dully van mwenyewe Gash pela
@shrefa123moosa7
@shrefa123moosa7 3 жыл бұрын
😁😁😁Wanwake sikuhizi tunakwama wapi mbn hivyo ss mapenzi yakumlazimishana hayo veeep jmn dah
@fitwithgeetyga5219
@fitwithgeetyga5219 3 жыл бұрын
Huyu Dada mbona ka mwehu mwehu hivi!?
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@chachabeauty9780
@chachabeauty9780 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 жыл бұрын
Kiki hi my
@anyangolillian9184
@anyangolillian9184 3 жыл бұрын
Kisha mbona akamwacha mpenzi wake wa kitambo,hana msimamo
@veronicaminja8458
@veronicaminja8458 3 жыл бұрын
Kiki hii fala kwel
@qocalphillip9671
@qocalphillip9671 3 жыл бұрын
Wasafi mnazngua kinoma saiv kila kitu mnatengeneza kuna vitu viko waz kua uyo dada kapangwa na anashindwa kujielezea kuen real samtime
@sylviaqatarqatar8361
@sylviaqatarqatar8361 3 жыл бұрын
Mbona rangi ya midomo sawa 😁😁
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 Жыл бұрын
Hii dunia...😀😀😀😀 yaani mwanamke Muongo huyu...
@aminangombe8815
@aminangombe8815 Жыл бұрын
Pole dullvan uyo chizi
@mayroseclemence99
@mayroseclemence99 3 жыл бұрын
Aonye sms walizochart na dulluvan au ambipu
@mozakamisa1490
@mozakamisa1490 3 жыл бұрын
Nguo za kulalia ni fashion skuiz?
@chidyshllng2254
@chidyshllng2254 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@malmavoice8989
@malmavoice8989 3 жыл бұрын
Ye ndo kavamia studio hajavamiwa,Dada yuko real smart ye ndo alimficha na dada alimsikiliza now anaanza kumkataa y asiseme watu tujue
@fairamkhan4744
@fairamkhan4744 3 жыл бұрын
ila haya mambo ni kuaibishana wallah unaweza muita mtu na akagoma kuja kama ndo ivo yani mnaharibu brand ya mtu🙆🙆
@elizabethswai7777
@elizabethswai7777 Жыл бұрын
Mbona huyu did ni kijikomavuuu tofauti na huyu kk dulvan
@werezyeddiny4855
@werezyeddiny4855 2 жыл бұрын
Mbona waume ikifikia awamu ya mimba mna angazaga kiswahili vingi
@jumahassan273
@jumahassan273 3 жыл бұрын
Hii radio mnaiyaribu ushauri msiifanye kama mnatazama wenyew sawa ila kama na sisi tunatazama mnaenda kuaribu hii
@Safibritney15
@Safibritney15 3 жыл бұрын
Diva anajua kutengeneza movie kabisa😂😂
@annahgasper2549
@annahgasper2549 2 жыл бұрын
Wanaume wakat walaha mnafrai kwel shida mnatuchomoka kama hivi yana kama hamtujui vile ila wanaume muache izo tabia bas tuoene
@husnaali36
@husnaali36 3 жыл бұрын
Hahahahahahaaaa. Jmn nyie watu watakuja kupigana humo studio mfungiw tena wasafi
@davidmwango9388
@davidmwango9388 3 жыл бұрын
diva na wasaf media mumuombe msamaha dilvan mwisho wa siku watu watakuwa wanaogopa kuja kwenye interview kwa kuhofia mnachokifanya
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 3 жыл бұрын
Wanajuwana hao wanafutata kiki tu we subir tutaskia yanayokuja km ya love love na Diva
@petywoiso8909
@petywoiso8909 3 жыл бұрын
Huyu kaka ni sukar ya warembo
@queenernesty239
@queenernesty239 3 жыл бұрын
Dullavani anampandisha na kumshusha uyo mdada
@lazarosamweli5730
@lazarosamweli5730 3 жыл бұрын
Ishia apo divaa izo ni feeling za watu achana na maisha y watu ata akikubr dulvan atampenda uyo mtoto .fight kwa kudisign vitu vingne
@jenipherj2456
@jenipherj2456 Жыл бұрын
Divaaa leo akili yangu ndo imekaa sawa sasa, hapa ulimuonea Dullyvan dada mwenyewe kumbe ndo huyu hahaha
@khafsayahya4066
@khafsayahya4066 3 жыл бұрын
Aaaaaaaa!we dada jamani daaah!muwe mnamuogopa Mungu basi kama kutuogopa sisi binadamu, yaani umezini na mtu kisirisiri unakuja mbele ya ummah kujitangaza🤦aibu naona Mimi jamani ni fedheha gani hizi tunazozifanya?
@firdaussheikh4817
@firdaussheikh4817 3 жыл бұрын
Diva amemkosea dulvani. Km angetaka kumuona angetafuta Huyu dada. I didn't like this coincidence 😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡 sorry ya nn diva firdaus from UK🇬🇧
@abdulraufmohammedsalum6806
@abdulraufmohammedsalum6806 3 жыл бұрын
Polen na Kipigo 🇮🇹😁
@firdaussheikh4817
@firdaussheikh4817 3 жыл бұрын
@@abdulraufmohammedsalum6806 haswaaaa 🙄🙄🙄🙄
@abdulraufmohammedsalum6806
@abdulraufmohammedsalum6806 3 жыл бұрын
@@firdaussheikh4817 hhhhh upo mji gn
@leilaadaza9858
@leilaadaza9858 3 жыл бұрын
@@firdaussheikh4817 no fair hawajatumia hekima
@firdaussheikh4817
@firdaussheikh4817 3 жыл бұрын
@@leilaadaza9858 kabisaa lakini diva ndio kazi yake ila wacha tu dada wa taifa aingilie 😁😁😁
@gressluhimbo1215
@gressluhimbo1215 3 жыл бұрын
Wanaume mungu anawaona dah
@mananurachael8244
@mananurachael8244 3 жыл бұрын
Africa shida Sana, ulaya wanagombania watoto hatari
@paschazianyerere8276
@paschazianyerere8276 3 жыл бұрын
Dulla kamuangaria kwa jicho la mama chogo
@janechacky3810
@janechacky3810 3 жыл бұрын
Nacheka aaaaStudio kugeuka mahakama au sehemu ya msutano mtangazaji ageuka kuwa hakimu
@thresherjordan6829
@thresherjordan6829 3 жыл бұрын
Vanii vaniiii jmn dada kijach tuache kwanzaaa mnatukuzishaaaa bureee
@bantonyjustin7642
@bantonyjustin7642 3 жыл бұрын
Yan ata dullavan amesuprise n kwel amji Yan dah ata mm nmeshangaaa jmn wa dada muwe mnatafuta watu wa kuwasingizia saa dullavan jmn
@blackcolour8183
@blackcolour8183 3 жыл бұрын
😂😂😂eti jamani mtu anamnyari kabisa🤣🤣🤣
@erickothegreat8353
@erickothegreat8353 2 жыл бұрын
Hiyo DM nini !? Kumbe ni sehemu flani hivi ya kupatapo...
@janeshigami8769
@janeshigami8769 2 жыл бұрын
The looks older than Dulvan..
@jumakapola419
@jumakapola419 2 жыл бұрын
Ndio mana nasemaga madeni wa mjini wauza uchi mjini apo ndio watanzania ndio mmeamini siku zote muuza uchi akiwa na mimba anaangaika sana kumtafuta wa kumpakazia mimba ilo ni tatizo sana
@officialdana5114
@officialdana5114 3 жыл бұрын
Dulvan mbwa uyo anajifanya hamjua akati kaingia 2 dulvan aka change
@felisteredward3630
@felisteredward3630 2 жыл бұрын
Jmn wanamwonea dullvan
@mzozofilmproductionm-f-p1744
@mzozofilmproductionm-f-p1744 3 жыл бұрын
Jamani wakubwa tushaelewa huyo mdada na dulvan wamejigijigi hao dull asikatae
@roedaniel4807
@roedaniel4807 2 жыл бұрын
Sikujui iiii😂😂sema huyu dada ni muongo
@johnjoseph3773
@johnjoseph3773 2 жыл бұрын
Wasafi mnazingua how comes watu wanafumaniana studio!😂😂😂😂
@yassinlisa6168
@yassinlisa6168 2 жыл бұрын
Imagine
@ezekielevarest9215
@ezekielevarest9215 3 жыл бұрын
Upumbavu mtupu anaufanya Diva katika ivi vipindi vyake Kwa kweli khaaa
@reneejollie5117
@reneejollie5117 2 жыл бұрын
Yeye ndie mwenye mimba watu wawili wamelala Pamoja utawajua tu so take your responsibility for your pregnancy
@shukranikasereka716
@shukranikasereka716 Жыл бұрын
What was the end now? Ilikubali mimba ao ilikuwa uongo tu ? 🇨🇩👈
@ayoublupande3987
@ayoublupande3987 3 жыл бұрын
Hahahaaa mbona kutakana kwenye matv
@ferdnandphilimonntunda3704
@ferdnandphilimonntunda3704 3 жыл бұрын
Duur hapo dulvan amepatikana kwel kwel
@elizabethsakina2306
@elizabethsakina2306 3 жыл бұрын
Diva anaharibu iki kipindi last time ilikuwa luludiva na lavalava
@k4mlokole588
@k4mlokole588 3 жыл бұрын
Mnaharibu vipindi kwa ujinga ingekuwa kweli msingeruhusu aingie on air mkiruhusu watu wanaozozana kweli tungeshuhudia matusi humu
@georgejeanlouis8638
@georgejeanlouis8638 2 жыл бұрын
Ushahidi dada unatakiwA kusema ana kovuuu kweny tako lakushoto ....au ana lii nundu kwenye .............. U feel me 😂😂😂😂😂😂😂😂
DULVAN AWEKA WAZI KUACHANA NA JENIFFER KANUMBA
3:41
Wasafi Media
Рет қаралды 153 М.
SHUHUDIA DULVAN ALIVYOTAKA KUKIMBIA STUDIO / KISA KIZIMA HIKI HAPA
6:01
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 75 МЛН
الذرة أنقذت حياتي🌽😱
00:27
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 7 МЛН
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 32 МЛН
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 10 МЛН
JENIPHER KANUMBA AFUMANIWA, AIBU KWA WAIGIZAJI
27:19
Soudy Brown
Рет қаралды 932 М.
ZARI AELEZEA UGOMVI WAKE NA DIAMOND
5:49
MbeyaYetuOnlineTV
Рет қаралды 635 М.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /29/ #love
43:38
BabaJoan
Рет қаралды 112 М.
RIYAMA NA MUME WAKE WAFANYA YAO LIVE KWEUPE REDIONI TAZAMA.
16:49
TimesFMTZ
Рет қаралды 2,4 МЛН
GIGY MONEY NA DIVA WARUSHIANA MANENO MAKALI STUDIO, UGOMVI MKUBWA...
7:29
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 75 МЛН