No video

SHUHUDIA DULVAN ALIVYOTAKA KUKIMBIA STUDIO / KISA KIZIMA HIKI HAPA

  Рет қаралды 394,977

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 1 000
@lilymammpayo8299
@lilymammpayo8299 3 жыл бұрын
Big up Kwa EFM 👏👏👏 Huwezi kuona huu ujinga🤔 Dondosha like twende pamoja
@mwinjanavil
@mwinjanavil 3 жыл бұрын
huyo diva ndo kapeleka maupumbavu hapo
@cuthbertsafari3999
@cuthbertsafari3999 3 жыл бұрын
Redio vipindi ovyo sana
@haarunsaidabdillahi4082
@haarunsaidabdillahi4082 3 жыл бұрын
Wasafi hamna dressing code? Dulvan anafanya interview akiwa amevaa nguo ya kulala..pyjama ! Hovyooo Mtangazaji pia hovyooo.Ongea Kiswahili tu.
@rubniyi3551
@rubniyi3551 2 жыл бұрын
@@haarunsaidabdillahi4082 nimeshangaa
@fadymoses4994
@fadymoses4994 2 жыл бұрын
👏
@avitydamian1994
@avitydamian1994 3 жыл бұрын
Kama nawewe unaamini kuwa hizo ni kiki nipe like
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ziyadayahaya5901
@ziyadayahaya5901 3 жыл бұрын
Uyo dada muongo
@saumubakari676
@saumubakari676 3 жыл бұрын
@@khadijahali48372mk3i1328pi3
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
@@saumubakari676 nn hk
@dulahstar5875
@dulahstar5875 3 жыл бұрын
Ww nichizi Kama unamimba siunge msubili road
@nyabaplussheila6541
@nyabaplussheila6541 3 жыл бұрын
Sasa kwanini kuja ku tangaza mimba kwenye television kama radio!? Kwani wasafi ni familia ya Dulvani wala Diva mama yake ao Dada yake... tz mupo ajabu! Pole sana Dulvani
@fettysalumu7850
@fettysalumu7850 3 жыл бұрын
Uyu dada tu awezi
@uwinezajohara8362
@uwinezajohara8362 3 жыл бұрын
Ni kiki
@suzanaemanuely8788
@suzanaemanuely8788 3 жыл бұрын
Dah
@mdasad2148
@mdasad2148 3 жыл бұрын
Diva huyo Dada angaria sms kwa hiyo Dada ushuhunda upo kwenye sm zao diva
@msalikemedia
@msalikemedia 3 жыл бұрын
Hii TV ni ya kiki tu dada hio sio kweli ni kiki hizi
@carolabel7972
@carolabel7972 3 жыл бұрын
Unakuja wasafi kucharge simu😂😂😂 Dullvani hapo amewezaa
@juliethjosephkavishe1872
@juliethjosephkavishe1872 3 жыл бұрын
Ahahahaha!! Anajickia kudondoka dullvan
@jestinabenedict4620
@jestinabenedict4620 3 жыл бұрын
Wewe nikuwa hodin namgonjwa nimecheka kwasauti mbaka nes kanifuata akaju mgonjwa kakata roho
@angeliqueangelique9279
@angeliqueangelique9279 3 жыл бұрын
Ni Africa ulaya huyo dada wangemunyoosha vizuri kusingizia mtu ni kesi kubwa sana
@marymutwoki3561
@marymutwoki3561 3 жыл бұрын
😂😂😂
@dandelion2644
@dandelion2644 2 жыл бұрын
Daaah amekweli Demu kauuzi
@mwinjanavil
@mwinjanavil 3 жыл бұрын
anayeamini hii kiki ni moja kati ya kiki mbovu sana zaid ya zote anyooshe kidole... na aliyeona dulvan kavaa night dress nani
@emmazacky5742
@emmazacky5742 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂👆👆👆
@sakinasadik3776
@sakinasadik3776 3 жыл бұрын
Hahaha amekurupuka tu kutoka kitabdani akaenda studio
@mineaminea3151
@mineaminea3151 3 жыл бұрын
Nilijua naona mm2
@jafarykisengo6584
@jafarykisengo6584 3 жыл бұрын
e
@carinamatt1031
@carinamatt1031 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@mariammwanzalila9010
@mariammwanzalila9010 3 жыл бұрын
Huyu mdada muongo hivi uwende sehemu bila simu like serious😁
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 жыл бұрын
Kabisaaa
@sarahkitindi3420
@sarahkitindi3420 3 жыл бұрын
Huyu dada mungu anamwona
@mariammwanzalila9010
@mariammwanzalila9010 3 жыл бұрын
Wallah
@chanzehabib4243
@chanzehabib4243 3 жыл бұрын
Ukiona mahojiano wasafi radio jua kiki kama unamini nipe likes zangu
@patrickvove
@patrickvove 3 жыл бұрын
Dulvani kajibu smart mission passed and respect ila chini kunamambo 🥵🥵🥵🥵
@Ajneb.
@Ajneb. 2 жыл бұрын
Huyu dada amechizi labda, unakuja kucharge wasafi kweli💔💔💔
@dietrichoswald34
@dietrichoswald34 3 жыл бұрын
Wewe mtangazaji "careful" unaweza kuharibu destiny ya mtu. Hayo maswali unayomdadisi huyo binti mlipaswa kuhakiki kabla ya ku face microphone na kuongea na dunia mambo ambayo wewe mwenyewe umesema kuwa watu wanaweza kutunga story kupata kiki. Zaidi ya maneno aliyokuambia huyo binti, bila kuyahakiki umeamua kumwita huyo kijana na kumpambanisha na public interview. Ni uchanga wa utangazaji hadi unaharibu brand ya mtu bila sababu. Kituo kimwombe radii huyo kijana kama huyo binti atashindwa kutoa ushahidi
@mdalamgir-gu9hu
@mdalamgir-gu9hu 2 жыл бұрын
Alafu alivyo shoga uyo diva kuma mbona yy akiulizwa kuhusu kulala na patric anakuja juu
@homan_nkwama
@homan_nkwama 3 жыл бұрын
Msicho elewa Ni kwamba Sisi WASANII atushindwi kumuomba dada Fulani atusingizie Jambo alafu tujiandae namna ya kujitetea mwisho wa siku Kiki napata dada anapata Kiki mtangazaji anapata kontent mjinga shabiki ninae kuja kuona na kukoment hapa
@arnhemzuid8885
@arnhemzuid8885 3 жыл бұрын
Mmh basi hapo wamechemsha maana uhalisia haupo.
@homan_nkwama
@homan_nkwama 3 жыл бұрын
Arnhem Zuid Awawezi kuchemsha mana wao wanafanya biashara katika WIN WIN situation Yani hawana cha kupoteza ndio mana bado tunawajazia comments hapa DUNIA aitaki uwe silias utazeeka haraka just enjoy ila Raha ujue unachofanya mfano mm naangalia maigizo ya staa wangu diva na wahusika wake😄
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 жыл бұрын
@@homan_nkwama Duuh!!!! Umenifungua Macho kweli. Nimejiona mjinga kupita kiasi kuingizwa BUSH nikiwa mjini🙄🙄🙄🙄
@collihmushi5944
@collihmushi5944 3 жыл бұрын
😂😂💔
@ummuhkhalfan5542
@ummuhkhalfan5542 3 жыл бұрын
Hii coment yko kwa uwezo wa mungu nmefunguka akili cendelei tena kupotez mb zangu kizembe
@rehemathoya8754
@rehemathoya8754 3 жыл бұрын
I'm a woman but something is not adding up, Diva this lady is lying, PERIOD!
@jtheophil5499
@jtheophil5499 3 жыл бұрын
Uyu dada nimemuonea huruma,wadada muwe munaangalia na watu wa kudate nao .Na hii tabia ya kulia kisa mimba sielewi.Mjitaidi kujitegemea jamani.Subiri mtoto azaliwe,sasa mimba tu jamani kelele.!!wadada mnatuangusha..mimba sio ugonjwa.ukipata kisa kama hiki tulia kwanza uzae,sio mimba tu unaanza kelele.sio nzuri.
@dianamuniro8129
@dianamuniro8129 3 жыл бұрын
Kweli kabisa yaaani nikuvumilia tu mambo mengine kujidhalilisha
@rawhiyarajabu7324
@rawhiyarajabu7324 3 жыл бұрын
Huyo dada n muongoo bhana
@nissamwapoladi7345
@nissamwapoladi7345 3 жыл бұрын
Huyu dada muongo.aonyeshe hzo sms kwann hana ushahidi
@fadhilmtunha4070
@fadhilmtunha4070 3 жыл бұрын
Liongo
@salumseif1328
@salumseif1328 3 жыл бұрын
wasafi wanayumba sasa wameanza kumpa kiki lava lava wanakuja kwauyo dulvani mnakela one time
@rehemamshele1417
@rehemamshele1417 3 жыл бұрын
Uyo dada wanakaa mtaa moja na dul
@RamadhanAli
@RamadhanAli 3 жыл бұрын
Body language ya Dulvani, says more than meets the eye. Huyu jamaa atakuwa anaufahamu na huyu dada, ama their is something fishy.
@alireje6806
@alireje6806 3 жыл бұрын
Ya I feel the same...but hongera hakuondoka
@donhussle948
@donhussle948 3 жыл бұрын
Nenda guide and cancelling ufanye hayo Ila usifanye hapo Kwa studio kama ur doing ur work ya studio ni mengine Ila c hayooo
@halimamohammed4108
@halimamohammed4108 3 жыл бұрын
Oneshe ushahid asimzalilishe Kaka Wa watu
@juliethjosephkavishe1872
@juliethjosephkavishe1872 3 жыл бұрын
Ahahahaa!!! Dullvan anajickia kudondoka
@jestinabenedict4620
@jestinabenedict4620 3 жыл бұрын
We sim ipo chaji
@tamarablack254
@tamarablack254 3 жыл бұрын
Mi nataka kuwa judge....Nahisi Dulvan a take responsibility mpaka atakapojifungua...Then waende DNA..ikipatikana Huyu Mdada Kazengua basi na amlipe Dulvani Hela yake yote na kumchafulia jina na ikawai kuwa Matokeo ya DNA yanamtambua Dulvani kama baba then waendelee kulea. .Basi ..Love from Kenya 🇰🇪
@martinmwenda2045
@martinmwenda2045 2 жыл бұрын
Kweli kabisaaa
@luttertv1656
@luttertv1656 3 жыл бұрын
Ushaona wap unaenda mahakamani bila Usha idi et simu ipo charg khaaa we gonga like tusonge
@husseinalibhai7311
@husseinalibhai7311 3 жыл бұрын
Divaa usiangaikee kama dulvan atakii nipee mtotoo mm ntalea Baba Wawa totoo wotee wanao kataliwaa
@issayaemilly8160
@issayaemilly8160 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣wote wanaokataliwa wako👏
@husseinalibhai7311
@husseinalibhai7311 3 жыл бұрын
Ndio
@justfun-gb6fn
@justfun-gb6fn 3 жыл бұрын
TODAY I'VE SEEN .....DULLIVANI IS A.... REAL MAN
@rahmahassan7293
@rahmahassan7293 3 жыл бұрын
Sister fatiliaa kama massage zipo huyo dada anaonekana ni Dramaa yaan
@rachelmbeyu4385
@rachelmbeyu4385 3 жыл бұрын
Siameambiwa aonyeshe evidence ati hana simu
@allymkamba1054
@allymkamba1054 3 жыл бұрын
Utopolo mtupu, kazi ya vyombo vya habari ni kubwa sana kwenye jamii kuliko kufanya huu upuuzi.
@BuraK-bk9iw
@BuraK-bk9iw 3 жыл бұрын
Ila dullavan khaa jaman kama mwanamke wanaume hatukog ivyo… Ila upande mwingine huyu mwanamke kwangu mm naona anadanganya maana kama ni kwel kwann cm isiwepo tuone Dm ambazo dullavan kama Dm …. Maana dullavan kajiamin kabisa kamwambia nioneshe Dm lakin dem mala nimeacha cm chaj mala nn. .. dem muongo huyo
@jokhaelsienna6946
@jokhaelsienna6946 3 жыл бұрын
Kitendo Cha kupanic dully unapoteza point😂umeamua kukaza kaza kwel🤣
@annemwande6807
@annemwande6807 3 жыл бұрын
Aki nmecheka 😂😂😂😂😂😂ANAKUJA WASAFI KUCHAJ SIMU😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
@samzuuseif
@samzuuseif 2 жыл бұрын
Yan anafrahisha huyo dada 😆😆
@leahmagaiwa9099
@leahmagaiwa9099 3 жыл бұрын
Huyu Dada ni Muongo,,, muongo Sana hakuna hicho kitu hapa kwa kuongea tu hakuna ukweli hapa!
@jackson742
@jackson742 3 жыл бұрын
This guy seem very humble.
@tamarablack254
@tamarablack254 3 жыл бұрын
Mmmh
@vallembaya2708
@vallembaya2708 2 жыл бұрын
hajampa mimba
@josemsafimusic3389
@josemsafimusic3389 3 жыл бұрын
UNAKUJA WASAFI KUCHAJI SIMU 😂😂😂 DAAH DULVAN
@CaroleBosco
@CaroleBosco 3 жыл бұрын
Nice one
@judymangi9557
@judymangi9557 3 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀
@yumnasuleiman
@yumnasuleiman 3 жыл бұрын
Jose Msafi:😂😂
@rahmaramadhan9773
@rahmaramadhan9773 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇴🇲
@kinakovusanyuprestige6040
@kinakovusanyuprestige6040 3 жыл бұрын
Hivi unaezajee ita mtu kwenye interview bila ya kuniuliza,,,,mmi ukinijaribu na hii ujinga naweza onyesha drama apo kwa studio mpaka diva utaniitia security
@munibullahmarunda7051
@munibullahmarunda7051 3 жыл бұрын
Angalia mikono ya huyo dada anaposema "SIMU NIMEIACHA KWA CHAJI" inaonesha kabisa amepoteza confidence.
@paulmgoli4853
@paulmgoli4853 3 жыл бұрын
Unakuja wasafi kuchaji cm 😂😂
@rahmanassor2652
@rahmanassor2652 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
😀😀😀😀
@mossianahassan9883
@mossianahassan9883 3 жыл бұрын
😂😂😂
@bernahappy2450
@bernahappy2450 3 жыл бұрын
Tobaaaaa roho yangu nimecheka hadi mkojo lakini ni kweli kwani amekuja wasafi kuchaji cm😂😂😂😂😂😂
@georgemajani6600
@georgemajani6600 3 жыл бұрын
Love from 🇰🇪🇰🇪
@bakariibrahim4301
@bakariibrahim4301 3 жыл бұрын
Dada unapepo
@yuzotv458
@yuzotv458 3 жыл бұрын
Diva nakupenda sana ila please kuwa makini na izi interview manake tangu umeanza kipindi cha lavidavi sjawahi kuona content ambayo imenivutia kuangalia mara yapili. Hapo mnaonekana mmesuprise dulvan afu sio sawa kwasababu uyo ni star sasa so sio mtu wakumuita tu kihuni kuja kumvamia namna iyo,pili uyo dada ushahidi hana kwanini mnamuonea kijana wawatu???. Sjapenda mimi.
@salmagungurugwa6854
@salmagungurugwa6854 3 жыл бұрын
Da zuu Leo kapatikana yupo km kuku mdondo Na hizo nywele zake😂😂😂
@salamakombo3257
@salamakombo3257 3 жыл бұрын
Salma
@komboomar8275
@komboomar8275 3 жыл бұрын
*Madada wawili wamekutana kitandani mmoja akapata mimba sasa wanageukana*
@yusufumajid9168
@yusufumajid9168 3 жыл бұрын
Leo mm nimekua wa kwanza 😳
@kikofia.007
@kikofia.007 3 жыл бұрын
From the first appearance of the girl dullvany amepanic.he is responsible
@shekhamohammed416
@shekhamohammed416 3 жыл бұрын
Sure
@waltershayo1339
@waltershayo1339 2 жыл бұрын
True
@silvatv8294
@silvatv8294 2 жыл бұрын
HUYU DADA MUONGO KIURAHISI TU KWANN SIMU IKO OFF NA HAINA CHAJII HAWA WANALAO KIKI OR HUYOO DADA KACHONGA NA DIVA APATE UMAARUFU KAMA UNAKUBALI GONGA LIKE HAPA
@florajames7558
@florajames7558 3 жыл бұрын
Hizo nguo za dulvan sijazielewa 😀😀😀😀😀
@lucyalto8751
@lucyalto8751 3 жыл бұрын
Ni usiku alishavaa nguo za kulalia
@florajames7558
@florajames7558 3 жыл бұрын
@@lucyalto8751 🙌🙌 katisha
@paulmagige1391
@paulmagige1391 2 жыл бұрын
next time lulu diva you have such an interview,kindly ask the complainant to come over with full evidence on the basis of his/her complains. Hii ndo interview immature have ever seen you doing.
@habibamrisho6337
@habibamrisho6337 3 жыл бұрын
Kama ni kweli ww dada ungeonyesha sms kuna uongo ndani yake,ushahidi ni kitu cha muhimu,onyesha ushahidi ili watu wakuamin
@kijakazinyalinga7003
@kijakazinyalinga7003 Жыл бұрын
kiki ndio yale ya lulu diva na lava lava👍
@Fahadi2023
@Fahadi2023 Жыл бұрын
2023 mmhh😂😂 kumbe alikuwa Sophie wa amelowa.jmn naomben ata like moja
@johnnabie5445
@johnnabie5445 3 жыл бұрын
Haya so mambo yakuleta redioni nanyi,, mbona hangemwita bembeni?, Lazima redioni.? Watanzania na Kiki jamani 😂😂😂😂😂😂
@chunaamina8719
@chunaamina8719 3 жыл бұрын
Suluhisho n atafutwe Dullyvany halisi, huyo n mama chago kwa hiyo msimsingizie mwenyewe kaja Na Night dress 😂😂😂
@hamisamfaume1277
@hamisamfaume1277 3 жыл бұрын
Hahahahaha kwer nimama chogo
@aishaabdallah2088
@aishaabdallah2088 2 жыл бұрын
Wewe dada ni fala Sana unalazimsha kuzaa na mtu bwege we tafuta pa kwenda rizki ailazimishwii
@gracemwaura18
@gracemwaura18 3 жыл бұрын
What's with this lady with am doing my job while interfering with people's private life without their consent 🚮🚮🚮🤮🤮🤮
@kingsleykavu5953
@kingsleykavu5953 3 жыл бұрын
Some men are really jokeing wewe Duly simama kama baba ulee mtoto.. kumbuka mtoto atakua kesho na keshokutwa utamjibu nini
@jbm6309
@jbm6309 3 жыл бұрын
Diva fanya kazi yako Acha utoto unaharibu kazi
@mwiruhabibu2060
@mwiruhabibu2060 3 жыл бұрын
tuliona dulvan kavaa blauzi tujuane🙊🙊🙊🙊
@sudymgeni701
@sudymgeni701 3 жыл бұрын
Dulvan na nguo zake za kulalia ni noma
@suzanaemanuely8788
@suzanaemanuely8788 3 жыл бұрын
Jaman wasichana tuachen drama za kutaka u super staa kwa kutumia wasanii dah jaman tunatia aibu tubadilike,,,, kama huna nyota ya kuwa star tuache t sa kama kwel una hakika na umezamilia kutaka kumuumbua mtu kwanin aache sim si ujinga huu wew dada mmmh kiboko
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 3 жыл бұрын
Hiyo no ndrama kweli durvan anashangaa umri wa Dada na yeye tofauti kabisa
@ashajohn9039
@ashajohn9039 3 жыл бұрын
Unaenda wasafi kuchaji simu😂😂😂🤣
@josemsafimusic3389
@josemsafimusic3389 3 жыл бұрын
Msenge sana 😂😂😂
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@regnoldmwanga953
@regnoldmwanga953 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@alibinali_
@alibinali_ 3 жыл бұрын
Dullan ushakata mauno kwa dada wawatu sahi wakata 😂😂😂😂
@emmazacky5742
@emmazacky5742 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@jenifajuma5395
@jenifajuma5395 3 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄
@yussufhussein1954
@yussufhussein1954 3 жыл бұрын
Hahahahahahahaaaaaa
@mathasimart1375
@mathasimart1375 3 жыл бұрын
Hahahaha
@bettyobedy8938
@bettyobedy8938 3 жыл бұрын
Jaman naomben kiuliza hyo nguo aliyo vaa dullvan ni nguo ya kulalia au ndo fashion ya saiv nauliza tu jamanii
@ramadhanmgandi7346
@ramadhanmgandi7346 3 жыл бұрын
Diva umefanya mbaya haukupaswa,kufanya hivo umemkosea sana dull vanny
@hildaminja6296
@hildaminja6296 3 жыл бұрын
Aonyeshe ushahidi jmn mbn anamfanya dulla kama kuku ivo
@glorylema
@glorylema 3 жыл бұрын
Jamani .....dullyvan hii ni mala ya pili wasafi kumzingua 😂
@christiankyungai3254
@christiankyungai3254 2 жыл бұрын
Sasa jamaa unakataaje mtoto Kama nikweli
@ndoanirahaonlinetv5031
@ndoanirahaonlinetv5031 2 жыл бұрын
Wasafi mnafeli Mnajiharibia
@haithamahmed72
@haithamahmed72 2 жыл бұрын
The studio lady is an apropriate to take this studio.ni bora uzugumzee kiswahili ama kingereza na miwani zajuwa ytowe kama heshima😎
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 3 жыл бұрын
Ni kkkkkk kama ya loloviva na Lava Lava. Wabongo kkkkkk
@michaellagwen8198
@michaellagwen8198 3 жыл бұрын
Leo ndo nimejua huyu ni rijali kama kapiga mimba kweli
@dietrichoswald34
@dietrichoswald34 2 жыл бұрын
Wewe mtangazaji hujafanya kazi yako sawa sawa ! Huyu mwanamke kwa sura tu anaonekana mwongo anatafuta wa kulea mtoto ambaye hajui mhusika. Umeiangusha ofisi yako ukiwa na gender mindset ya kumtetea huyo tapeli kwa 7bb t3 ni mwanamke
@suzanemwangingo6932
@suzanemwangingo6932 3 жыл бұрын
Makubwa haya Suzy acha nipite zangu Mimi sioni ya dulvani
@christopheraine6446
@christopheraine6446 3 жыл бұрын
Wakwanza leo like zangu jamani
@stamuboniphace5358
@stamuboniphace5358 3 жыл бұрын
Huyo mwanamke nimuongo
@alexanderkibona8478
@alexanderkibona8478 2 жыл бұрын
Yani mungu atutie ufaham jaman alaf icho kiengerza chanini jaman wote apo wabongo
@pesangwasalim5258
@pesangwasalim5258 2 жыл бұрын
Wanawake wa bongo wanapenda sana mtelemko
@adventurewithsaddam617
@adventurewithsaddam617 3 жыл бұрын
You people got jokes. Such serious allegations can lead to a serious lawsuit
@gmanyota1
@gmanyota1 3 жыл бұрын
Yaani mimi ntaacha vyote sio simu😂😂dada usizingue
@suzanaemanuely8788
@suzanaemanuely8788 3 жыл бұрын
Hatar
@munibullahmarunda7051
@munibullahmarunda7051 3 жыл бұрын
Sure
@mukhtaryussuf4969
@mukhtaryussuf4969 2 жыл бұрын
Huyu mwan mke kajishush t kwa dulvan mh
@micky244
@micky244 3 жыл бұрын
Fala kweli kila interview mnaomuita apo anajifanya kutaka kukimbia et😂😂😂yan aka kajamaa bnaa
@emmazacky5742
@emmazacky5742 3 жыл бұрын
😂😂😂
@kombawinnie
@kombawinnie 3 жыл бұрын
Anatabia za kike kususa susa
@kingsleykavu5953
@kingsleykavu5953 3 жыл бұрын
Isije kua kama ya baba simba mama kaangaika naesaizi nitajiri anajileta..ooh sisaidiwi wakati kamtupa mtoto kijana handsome Nasib Abdul..wakati anamtongoza mwanamke utegrmea nini?wewe jikazetu kakaangu umlee mtoto kesho na keshokutwa atakusaidia uzeeni
@sophyleenpj4312
@sophyleenpj4312 3 жыл бұрын
Sofia kama Sofia ameharibu jina letu sana sisi kina Sofia hatuforce issues ukiona mwanaume nikama anakwepa majukumu inabidii uache tuu🙌🙌🙌🙌
@cecyxtive4410
@cecyxtive4410 3 жыл бұрын
Serikali iwapee kazi😋😋
@vikimartin9441
@vikimartin9441 3 жыл бұрын
Jamani? huyu Dada ni mtu mzima kwa nini hakujikinga na ubebaji mimba usiotarajiwa?Kinga zote hizo serikali inahamasisha wanawake kuzitumia yeye akajibebesha mimba kisa katembea na msanii, fedhea zingine sisi wanawake tunazitaka wenyewe na shida tunazitengeneza na mikono yetu, kwa hiyo huyo Dada alivyokuwa kikikutana na dull alihisi anachokifanya matokeo yake ni nini? Na jukum la kujikinga ni la Nani? Tena huyo Dem aache kiranga alichokitaka kashakipata akalee mtoto wake mwenyewe kwasababu walipokuwa kwenye tendo makubaliano sidhani yalikuwa ya kubeba mimba na Kama yalikuwa yakubeba mimba dull ahusike kulea.la! Huyo Dada alishachukua chake ck nyingi.
@eglahjason6558
@eglahjason6558 2 жыл бұрын
Congratulations my dada nawishi kuwa kama ww love u
@sabraniaikenda3751
@sabraniaikenda3751 2 жыл бұрын
Ainde akaleee huko anataka Kiki huyo dada katuma wangapi wakikataliwa wanalea wenyewe au anataka aishi maisha ya kifahali
@rahmaramadhan9773
@rahmaramadhan9773 3 жыл бұрын
Mkisha zaa mje mtupe mrejesho ili mtuaminishe msituletee Kiki tunaumiza vichwa sie kuwa onea huruma 🤔
@peragiaisdor6315
@peragiaisdor6315 3 жыл бұрын
We mdada vipi😳 ushahidi👌kwendraaaaaaaaaaa
@tumainernest9499
@tumainernest9499 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣jamn mpk tunacheka daaaaa sio vzl dulluvan msikilize tu dada
@p-flovours8151
@p-flovours8151 2 жыл бұрын
Duh dulvan kime umana mzeee baba 💪😄👉😄😄😄😄😄😄😅😅
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 3 жыл бұрын
Hata huyo duluvan na huyo Dem Kuna kitu kitatoke tupo hapa🙄
@aisharamdan8358
@aisharamdan8358 3 жыл бұрын
Naww mdada kulala nauyo mh hukuona wanaume
@levinamwessa7679
@levinamwessa7679 3 жыл бұрын
Wasafi wanapenda kiki wamekutana nampenda kiki mwenzao
@halimarehani2961
@halimarehani2961 3 жыл бұрын
Muongo huyo dada hata sim kaaacha duh! Kaona aseme hana sim ili kusiwepo na ushahidi mana sim ingeonyesha ushahid wa sma zao
@modriface
@modriface 3 жыл бұрын
Kwann usingizie yeye mbna jibu rahisi sana.....kwasababu maarufu (star)
@bobchanda2460
@bobchanda2460 3 жыл бұрын
😂😂😂😂 siku izi WCB wanatengeneza KIKI zenye akili
@swamweliteobady4496
@swamweliteobady4496 3 жыл бұрын
Bac we Dada usipaniki ww nenda kalete cm uwongo na ukweli utajulikana tofauti na hapo hapatakua na ushaidi
@asmahiddy6994
@asmahiddy6994 3 жыл бұрын
Hiki kipindi hakiendan kabisa na haya mambo na kumbuka diva unamuharibia dullivan brand yake aiseeee msimfanyie hivo kaka wa watu tutaacha kufatilia likipindi lako
@yahyahaji4198
@yahyahaji4198 3 жыл бұрын
Kizungu cha nn ongeeni kiswahili wee dada
@qwqw1665
@qwqw1665 3 жыл бұрын
Muongo huyoooo fafa kapewa mimba namtumwingine alafu aongea sana huyo dada hutakiwi
@lynnanderson6099
@lynnanderson6099 3 жыл бұрын
He needed to leave so he can go change from PJs to some street clothes
@neemaedwad7476
@neemaedwad7476 3 жыл бұрын
Ataww mtangazaji umemkosea dulvan kwann usingemuuliza kwanza dulvan
@sharrifidris3422
@sharrifidris3422 3 жыл бұрын
Duh!hapana huyu binti tapeli.mbona ikiwa ni mwanamke mnampea attention Sana? Yaani anakuja studio Bila hata ushahidi mmoja kisha tuamwamini
@hamidugawaza4858
@hamidugawaza4858 3 жыл бұрын
Ivi kwer angekua anampenda ange sema anguka tu arafu apoapo anauriza kosarangu nini kwako anajierewa kweri huyo dem
@mjy353
@mjy353 3 жыл бұрын
😀😀😀😀
@helenachieng7978
@helenachieng7978 3 жыл бұрын
The presenter should respect her guests when you invite someone for an interview why bring up their personal issues, on radio this is a disgrace. It's not Divas job to sort issues between lovers
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 жыл бұрын
Diva ana some problems....haifai hii
@salimswedy6114
@salimswedy6114 3 жыл бұрын
Kama sio kiki Kwa nini mje kwenye media kwani kwenye media Ndo sehem ya kutatua matatizo yenu ya mahusiono
@rosejordan5391
@rosejordan5391 3 жыл бұрын
Me pia nashangaa huyu Dada anataka umaarufu,mshenz kweli kwan hajawah kusikia ustawi wa jamii,au hapo media hawana kaz ya kufanya
@owagatonny6558
@owagatonny6558 3 жыл бұрын
ukwel kuugundua ni kaz sana, binafsi siwaamini wasanii ni waongo sana kwenye interview
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 3 жыл бұрын
Kwan wasafi ndo mahakaman 🤣🙄🙄Aya dai mond mpangie dulvan matunzo y kula mwez mana hii sifa sasa
@Bongovillagevlogs
@Bongovillagevlogs 3 жыл бұрын
Hivi dullvan wakiume kwl mana lipstick
@duncanmwanzi808
@duncanmwanzi808 3 жыл бұрын
Hahahah, sio lipstick jamania ni maumbele tuu , ila huuuhh namshangaaa
@duncanmwanzi808
@duncanmwanzi808 3 жыл бұрын
Hahahah, sio lipstick jamania ni maumbele tuu , ila huuuhh namshangaaa
@alluminiumexperttz.12mview13
@alluminiumexperttz.12mview13 3 жыл бұрын
Unauliza wakati Mimba hiyo hapo
@munaahmed8499
@munaahmed8499 3 жыл бұрын
Sio lipstick hata kaka yng yupo hivyo
@ahz6907
@ahz6907 3 жыл бұрын
Huyo atakuwa anapumuliwa tu si bure 😀
MPENZI WANGU ANANIKERA KWENYE SITA KWA SITA/ TATIZO NIKUMFIKISHA...
11:34
Lost LOVE 💔//BabaOlivia Episode 15
33:08
Henry Mwakajumba
Рет қаралды 10 М.
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 44 МЛН
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 17 МЛН
Dullvani - Mama chogo huwa halali na deni
3:34
Dullvani Tv
Рет қаралды 60 М.
HIVI NDIVYO DULVAN ALIVYOMKANA MWANAMKE NDANI YA STUDIO
5:00
Wasafi Media
Рет қаралды 236 М.
🔴LIVE: ZUCHU NA ANJELLA KWENYE LAVIDAVI
30:44
Wasafi Media
Рет қаралды 20 М.
KACHUKUA MPENZI WA MWENZAKE Pt2
8:59
Mr Uky
Рет қаралды 186 М.
JENIPHER KANUMBA AFUMANIWA, AIBU KWA WAIGIZAJI
27:19
Soudy Brown
Рет қаралды 932 М.
DULVAN AVAMIWA STUDIO NA MWANAMKE ALIYEMPA UJAUZITO
5:00
Wasafi Media
Рет қаралды 493 М.
NILIJUA MTOTO
7:57
Joti TV
Рет қаралды 555 М.