Рет қаралды 2,983
#dwkiswahilil #HabarizaUlimwengu
DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Julai12, 2024 | Asubuhi | Swahili Habari leo | Ripoti na Uchambuzi | Taarifa ya Habari | Matangazo ya DW | Dunia yetu.
Rais Joe Biden wa Marekani ameutumia mkutano na waandishi wa habari jana Alhamisi kutetea sera zake za ndani na za kigeni na kupuuzilia mbali maswali kuhusiana na uwezo wake wa kuongoza kwa miaka minne mingine.
#dwkiswahili #HabarizaUlimwengu #dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo #RipotiNaUchambuzi #TaarifaYaHabari Ukitaka kukupata habari zetu kila siku, bonyeza 'subscribe' kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.