No video

WAKAZI USO KWA USO NA WASHEKESHAJI ELIUD NA KIPOTOSHI BAADA YA KUWAPONDA HAWAJUI KUCHEKESHA

  Рет қаралды 65,685

EastAfricaRadio

EastAfricaRadio

Күн бұрын

#RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RIPMagufuli #Tanzania255 #Simba #Yanga #Trending #MwanaFA #DiamondPlatnumz #Alikiba #Harmonize #Marioo #Paulah #Kajala #Rayvanny #Jux #Zari #WemaSepetu #Zuchu #Nandy #Billnass #ProfessorJay #Muziki #BongoFleva #HipHop #Komando #PaulMakonda #RomaMkatoliki #NayWaMitego #Burnaboy #Davido #Wizkid #Rema #AyraStarr #TiwaSavage #Amapiano #Mayele #Chama #BASATA #GigyMoney #Darassa #TylerWater #VanessaMdee #Rotimi #WCB #KondeGang #KingsMusicRecords #OmmyDimpoz #HajiManara #MooDewji #PaulMakonda #VanessaMdee #NasikiaHarufu #Shisha #Mwijaku #BabaLevo #LavaLava
Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Пікірлер: 175
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 ай бұрын
Makavu live Wanyakyusa sio wanafiki Safii sanaaa
@finetinah9784
@finetinah9784 7 ай бұрын
Eliud genius sana @wakazi kubali bro ulikurupuka
@mdachiog5211
@mdachiog5211 6 ай бұрын
Wakazi mjuaji sana
@RebecaAdam-js6ox
@RebecaAdam-js6ox 3 ай бұрын
Acha roho mbaya we mkaka wenzako wanapambana ili wapate ridhiki zao waishi nafamilia zao Ilawewe unaponda loo unajiona unajua Sana au muheshimu mungu wakzi minnaumia kwasababu wakaka wa watu wanategemewa na familia
@jastinarts
@jastinarts 7 ай бұрын
Eliudi umeongea vizuri
@user-bd3zh2tn6u
@user-bd3zh2tn6u 7 ай бұрын
Pigen kaz washkaji zang wakaz ni nan yeye bas akaishi malekani hii ndo bongo land✊️kipo,eliud🙏
@user-vk5nb4uz6h
@user-vk5nb4uz6h 7 ай бұрын
Kwani wakazi ni nani mpaka aseme kitu na kionekane ni sahihi, Mziki Umemshinda Atulize Shanga.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 ай бұрын
Ndo nani kwani😂
@meshackngaboss1236
@meshackngaboss1236 7 ай бұрын
WAKAZI MJUVIIII ANAJIKUTA ANAJUA KILA KITU NA YEYE NI FAILURE HANA KITU CHOCHOTE SUCCESSFUL KELELE NYINGIIIII
@amisasadock6857
@amisasadock6857 6 ай бұрын
Wakazi mwenye anaoneka anastrees huyo af anataka utuletee umelekani sisi ayatuusu na umejua kunifuraisha eliud umetumia vzr unyakyusa ujataka kumsemea pembeni
@officialngalya3062
@officialngalya3062 7 ай бұрын
Kitu nimekikubali kwa Eliudi huyu jamaa sio mnafiki anakuchana live tu, safi😂
@Commentsplus
@Commentsplus 7 ай бұрын
Wakazi anaushamba sana anajikuta anajua kila kitu
@rogersiddy
@rogersiddy 6 ай бұрын
Sanaaaa anajiona yeye ndo kila kitu MAREKANI yote anaijua yeye pmj na sheria zake 😂😂
@kinzupdate752
@kinzupdate752 6 ай бұрын
apo nimemuelew sana eliud is not just comedian but also ni mtu anatambua nn anaongea lakin wakazi it's seem kama ni kwel alikulupuka. sometimes hizi social media zinataka kufanya mtu atengeneze ka dunia kake kakuweka kilakitu kiwe perfect 100% ni kwel unavyopost kitu atleast think twince kwasab ujumbe haumfukii pekee ake mtu uliyemlenga but inawafikia na wale wasio walengwa wenye thinking ability kubwa (HIVI WAKAZI ANAFANYA KAZI GANI MBONA JINA LAKE AU
@saeedmagoda9651
@saeedmagoda9651 7 ай бұрын
Daaah Eluid Amekasirika sana na imemuuma sana hii kitu
@SmartVicenzo
@SmartVicenzo 2 ай бұрын
Awa wanyakyusa wana mchana live Jamaa
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 7 ай бұрын
Mjuaji sana
@jamaliselemani850
@jamaliselemani850 6 ай бұрын
Asa wakaz ni msanii anaimba vinini nayeye mbn mm sijawahi kumwelewa
@tonoboymwatonokaaa2862
@tonoboymwatonokaaa2862 7 ай бұрын
Wakazi marecani imemwalibu, yeye anaweza akaisi wamalekani wanachekesha afu nikaenda mm nikanza kulala usingizi
@SmartVicenzo
@SmartVicenzo 2 ай бұрын
Wakazi anabowa
@Commentsplus
@Commentsplus 7 ай бұрын
Wakazi unaboa hata nimeshindwa kukupa sikio mpaka mwisho
@bongorecaps3558
@bongorecaps3558 7 ай бұрын
Huyu dada nna mahaba nae nampenda sana jmn
@JosephmasanjaShilinde-jv9rh
@JosephmasanjaShilinde-jv9rh 7 ай бұрын
Huyoo star,s stoke tuuu NBC iendelee
@user-ss7ko2hc5n
@user-ss7ko2hc5n 6 ай бұрын
Eliud mwamba sana haogop mtu kwenye ukweli anakupa makavu hata kama upo hapo😂😂
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 3 ай бұрын
Wanyakyusa ndo tulivyo 😂😂
@afisamipango005
@afisamipango005 7 ай бұрын
Wakazi naona anajaribu kuponyoka mikononi mwa Eliud😅😅
@moviekaa
@moviekaa 7 ай бұрын
Wakazi kila kitu marekani....afu anajua kila kitu duniani hapa.😂😂😂
@joeandres9744
@joeandres9744 7 ай бұрын
wanyakyusa huwa hawafichi kitu ni watu wa makavu hapo hapo...eliudi kaiva😂
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 4 ай бұрын
Sanaaaaa big up wanyakyusa
@prospermwambeje5007
@prospermwambeje5007 7 ай бұрын
Hiyo ndiyo raha ya Mnyakyusa hapendi unafiki ukikosea anakuchana hapohapo bila kupepesa macho. Huyo Wakazi anajifanya mjuaji sana hapo amekamatika 😀😀😀
@andrewmmbaga1665
@andrewmmbaga1665 6 ай бұрын
Nmekaa na wanyaki sana...wakarimu sana,halafu hawapindishi maelezo...anakupa kavu
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 4 ай бұрын
​@@andrewmmbaga1665asanteeee
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 4 ай бұрын
Yaan sahihi sana ukitaka kukaa na mnyakyusa ukawa hupendi ukweli utapata shida. Hawaogopi nani na nani ni UKWELI tuuuuu
@user-qn4hs2jz1m
@user-qn4hs2jz1m 7 ай бұрын
Eliud fanyeni kazi kwenye hii dunia siyo kilamtu atapenda unacho kifanya
@dostovan5142
@dostovan5142 7 ай бұрын
Just coz u been to the states don't mean u know everything
@adozenaziz8362
@adozenaziz8362 7 ай бұрын
eliud nilimwona toka akiwa na like 10 nanilimwona natuedfon tweupe😂
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 7 ай бұрын
Waisa wameandamana,lazima wakupe ukweli wako,umekamatika wakazi
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya 4 ай бұрын
Yaan hawalazi damu
@user-zh5pb9tx2m
@user-zh5pb9tx2m 7 ай бұрын
Me nishabiki wa Roma wakazi wakazi Gani
@kwisa4899
@kwisa4899 7 ай бұрын
wakazi yupo sawa ,lakini watu wanachelewa kumuelewa kwa sababu wachekeshaji wengi shule hakuna, uchekeshaji unahitaji akili kubwa sana ,
@njoroboihastla
@njoroboihastla 7 ай бұрын
Naam! Ni vile tu watu waliamua kuchagua upande wakumupinga..
@gwamakawilliam5895
@gwamakawilliam5895 6 ай бұрын
Wew unafanya nini?
@jeremiasilla3586
@jeremiasilla3586 2 ай бұрын
Wakazi we ni kengeee
@mgayamgaya
@mgayamgaya 7 ай бұрын
Pigeni kazi mpuuzieni maana kwenda marekani sio yeye wa kwanza kila kitu anataka kufananisha na marekani
@ChoraKisiki-zz3ut
@ChoraKisiki-zz3ut 6 ай бұрын
Wakazi wakazigani snich uyo
@annamarychristopher1675
@annamarychristopher1675 4 ай бұрын
sema eliudi anaconfidence
@user-tx5pn3jd4e
@user-tx5pn3jd4e 7 ай бұрын
DAAAH WANAUME MUNGU ANAKUPA BAHATI TUNACHEZEA UYO DEMU BADO MBICHI JAMANI TUACHE UJINGA WANAUM
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 7 ай бұрын
Hahaha hicho si ni kiini cha yai home boy🔥🔥🔥😆😆😆🤣🤣🤣🤣
@kesphaanyitike7751
@kesphaanyitike7751 7 ай бұрын
🔥
@kyalagwamaka1550
@kyalagwamaka1550 6 ай бұрын
Wanyakyusa huwa hawana shobo za kishamba hata uwe nani ukizingua anakuchana tu big up ghwakukajha elihuti kwanzawWakazi ndo nani eti?
@fadhilsalum2143
@fadhilsalum2143 7 ай бұрын
Sema Eliud ana SHOMBO sana😅😅😅😅
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 3 ай бұрын
Kusema ukweli ndo shombo
@arostoyaoo7098
@arostoyaoo7098 7 ай бұрын
safi wakazi kashauri wasanii wote wa tz mziki,uchekeshaji,uigizaji n.k
@deusmbuge5740
@deusmbuge5740 7 ай бұрын
Yeye mbona kuimba hawezi
@gwamakawilliam5895
@gwamakawilliam5895 6 ай бұрын
Kashauri nini wakati na yeye mwanamziki, na mbna kazi zake hazitembei
@user-mr2ow1yi3g
@user-mr2ow1yi3g 6 ай бұрын
Hajui hata anachoongea,kweli ni mshamba, tu,
@user-ub1pq4dp1v
@user-ub1pq4dp1v 6 ай бұрын
Eliud amempa za uso jamaa 😅😅😅
@sammasika3627
@sammasika3627 7 ай бұрын
Wakaz we choko
@zaunamoody7311
@zaunamoody7311 6 ай бұрын
Kwaza uyo wakazi Ndio namsikia leo ni nani jamani 🤔🤔
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 ай бұрын
Hata mi ,ndo nani
@PhyinaElias-mu4wf
@PhyinaElias-mu4wf 7 ай бұрын
Eliud 🤣🤣 haogopi yupo na confidence ya kwenda (kwenye maswali)😂
@Stanley.kapumbira
@Stanley.kapumbira 7 ай бұрын
Kabisa yupo vzr
@bahatirobert1009
@bahatirobert1009 3 ай бұрын
Wanyakyusa hatuogopi
@amedeuskimario8895
@amedeuskimario8895 7 ай бұрын
Huyo naye kila kitu anajua toa na zako basi kenge wewe
@mrenjoyfootball8403
@mrenjoyfootball8403 7 ай бұрын
Nakubali sana wanangu sanaa daaah ahahhahahahha Kipotoshi daaah
@PanchoValentino-wh7wt
@PanchoValentino-wh7wt 7 ай бұрын
Wakazi we Ni Nan Kwan..? tuliza Wenge
@BenLeeBl
@BenLeeBl 6 ай бұрын
eliudi kamkanda vizuri😅😅😅😅😅
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 6 ай бұрын
Shida ya wakazi ni kuvunga anajua kila kitu
@user-dm7br6sl1i
@user-dm7br6sl1i 7 ай бұрын
wakazi ana akili uyo
@Khalidniya380
@Khalidniya380 7 ай бұрын
Huyu wakazi anaboa sana bwege kabisa
@samwelsalon6590
@samwelsalon6590 7 ай бұрын
wakazi elimu umetoa✊
@kingswebe3251
@kingswebe3251 6 ай бұрын
Niseme ukweli nimemfahamu wakazi leo hii kupitia eliud
@BenLeeBl
@BenLeeBl 6 ай бұрын
huyu tangu aende marekan kila kitu marekani
@salmabinyaga2357
@salmabinyaga2357 6 ай бұрын
Mshamba huyu mbuzi
@samwelisack2076
@samwelisack2076 6 ай бұрын
Hahahah
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 7 ай бұрын
😂😂😂kwelu kabisa yani wale mammonta na vilanja walikuaga wanaona km washayapatia maisha walikua wanajua wakifika nje watakuwa hivyohivyo ila namkumbukua mmoja nampenda sana yule mdada jmn alikua akiambia kagua vidumu vya maji km vimeja anakagua anajua kabisa kidumu chako hakina majia hata robo kidumu hayafiki na anakausha hasemi
@brightontheogenes5093
@brightontheogenes5093 7 ай бұрын
mwanangu ananichekesha na suti yake ya njano😅😅😅
@Geeze905
@Geeze905 6 ай бұрын
Mie nashangaa mpaka sasa hivi kampuni ya Rangi ya Sadolin hawajamfanya Balozi wao, aseeee😂😂😂😂😂😂
@kafungorajab5897
@kafungorajab5897 7 ай бұрын
Leo wakazi kayatimba😂
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 6 ай бұрын
kusema hawajui kuchekesha wakati hao ndo wanaotuchekesha unatukosea
@castorymakwanda4344
@castorymakwanda4344 7 ай бұрын
Naona mkono uliteleza badala ya wachekeshaji imeandikwa washekeshaji
@eaglenotorious2527
@eaglenotorious2527 7 ай бұрын
Opposite na IKULU😅😅😅
@user-ov7ge3ci6f
@user-ov7ge3ci6f 7 ай бұрын
Sio kla mckchji unaweza kumechi nae ,
@lwitikomayele5819
@lwitikomayele5819 7 ай бұрын
"Mafanikio sio lazima aprove wakazi"
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 6 ай бұрын
Huyu wakazi ndiyo nani? Anafanya nini cha zaidi kwrenye sanaa ya bongo?na ana mafanikio gani ktk nchi yetu?
@gwamakawilliam5895
@gwamakawilliam5895 6 ай бұрын
Kwani huyo wakazi ndo anafanyaga nini nchi hii?
@frankSimle-gx1jv
@frankSimle-gx1jv 6 ай бұрын
😅😂
@yohanamussa4134
@yohanamussa4134 6 ай бұрын
Simjui huyu jamaa
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 7 ай бұрын
Hapo kwenye kujipata hapo Joel nanauka anasema student A wanafanya kazi kwa student C kwasbabu student C walipofeli walichagua kitu cha kufanya na wale student A waliendelea kukomaa shuleni
@patrickpatrick6386
@patrickpatrick6386 7 ай бұрын
Wakazi kajifanya mzungu eti
@bandit3779
@bandit3779 7 ай бұрын
Eliud ni moto na Question ni hatarii
@kennyclever524
@kennyclever524 6 ай бұрын
Tatizo la wakazi ni kwamba yeye huwa ni mjuaji
@fizzozimba
@fizzozimba 6 ай бұрын
Kipaji juhudi na bahati
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 7 ай бұрын
Cheka tu ninoma zaidi ya hawa watu baki
@user-eu3ed2uy6b
@user-eu3ed2uy6b 6 ай бұрын
Uo n uongoooo bwanaaaa,,,, mkojaniiii howw
@mwansasu
@mwansasu 7 ай бұрын
Wakazi umetwangwa nakitu kizito na Eliudi
@mdachiog5211
@mdachiog5211 7 ай бұрын
Wakazi huna kazi Mana hata mziki wako hamna kitu😂😂😂
@user-ov7ge3ci6f
@user-ov7ge3ci6f 7 ай бұрын
Ebuu chekesha ww wakaz tuone
@isaacknjuguna6398
@isaacknjuguna6398 4 ай бұрын
Mtu wenye matunda hupigwa mawe..waisa pigeni kazi uyo jamaa hajielew Kwan lazma acheke yeye
@robertsimfukwe1097
@robertsimfukwe1097 6 ай бұрын
Wakazi hajawahi kuwa naakili timamu na uwezo wake wakunifimilia ni mdogo sana expore yake haina positive impact kwenye industry nfio maana mwenyewe hawezi kujisimamia mpaka atembee na upepo wawenzake
@dangomc_niger
@dangomc_niger 7 ай бұрын
nimependa ujaogopa kumchana hapohapo
@BENGO.SKILLS
@BENGO.SKILLS 7 ай бұрын
Wakazi hana kazi ,mwambie abadilishe kofia hiyo
@Commentsplus
@Commentsplus 7 ай бұрын
Wakazi acaha ujuaji
@nyotamy3678
@nyotamy3678 7 ай бұрын
Sasa mmeshindwaje kumuacha kipotoshi aongee mmemkatisha?
@FucianeBulemo-nd4wc
@FucianeBulemo-nd4wc 7 ай бұрын
Huyo wakazi hana uwezo wa kuzuia riziki ya mtu.
@khalidmdotta3843
@khalidmdotta3843 5 ай бұрын
Ww fala siulikuwa mwanamuziki raper ulifanya nini acha usenge acha watu wapambane maisha
@donlinechanell4760
@donlinechanell4760 6 ай бұрын
Kil kitu anajitia anajua
@Zillionking627
@Zillionking627 7 ай бұрын
Kwani uyu jamaa ninani 😢
@Zillionking627
@Zillionking627 7 ай бұрын
Wakazi😢😢mjuaji sanaa 😢😢😢
@kimbwapulekig8126
@kimbwapulekig8126 7 ай бұрын
wakaz hajuaji kitu huyoo
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 ай бұрын
Uzuri tunakukubali eliud,akafie mbele huko
@benjo_brighter
@benjo_brighter 7 ай бұрын
Kwa hiyo Wakazi anajua kila kitu sasa 🤔
@mozasalum8742
@mozasalum8742 7 ай бұрын
Huyu mpumbavu wakazi anajiona anaakili nyingi wakati chengu2 kilakitu anatanguliza wivu2 walayeye hanaliwalo
@user-if6xd4hz4p
@user-if6xd4hz4p 7 ай бұрын
Wakazi amna kitu madudu matupu izi alisema hayati you know America
@godfreymwamaso2424
@godfreymwamaso2424 6 ай бұрын
Eti wakazi maneno mengiii ujuaji mwingii for nothing kwenda Marekani nini sisi ndugu zetu wako Abroad miaka kibao na wana uraia wa huko hawana kelele
@clementiddi5708
@clementiddi5708 7 ай бұрын
Wakazi talk BS. What a fuss!
@user-so3gy2io8l
@user-so3gy2io8l 7 ай бұрын
Huyu wakazi mbona simjui
@user-ov7ge3ci6f
@user-ov7ge3ci6f 7 ай бұрын
Nafasi gan anayo uyu wakaz
@kanchuninja
@kanchuninja 7 ай бұрын
Wakazi chizi
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 7 ай бұрын
Eliud vs yombo hapo vp
@user-mr2ow1yi3g
@user-mr2ow1yi3g 6 ай бұрын
Anataka tu, nayeye ku treend
@ministererickluhanga810
@ministererickluhanga810 7 ай бұрын
Hamna baya comedians huko huko marekeni mtaenda
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 51 МЛН
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 33 МЛН
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 19 МЛН
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,1 МЛН
KIPOTOSHI: UOSA LIVE COMEDY SHOW / FINALIST EDITION
13:44
seto tv
Рет қаралды 74 М.
Sitaki kua tajiri, nataka kufanikiwa
55:54
MSASA PODCAST
Рет қаралды 60 М.
ELIUD ALIVYOCHUANA KWENYE BATTLE EDITION
7:53
Cheka tu
Рет қаралды 441 М.
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Visit Tanzania
Рет қаралды 292 М.
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 51 МЛН