Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 285
@harounmaarufu32412 жыл бұрын
Wapinzani ni watu muhimu tunadanganywa sana wananchi
@hassanlikwenangu84712 жыл бұрын
I like her voice more than the minds of her...Mwaaaaa!!
@patricknyiti53032 жыл бұрын
Waziri anadanganya ...Hatakiwi kubakia ofisini dakika moja ijayo
@bonifacekalima52732 жыл бұрын
Yaani mdogo wangu ungeingia bungeni kihalali ..kaelimu ka kuwafundisha ma CCM unako wape shule hao...wana tudanganya na skafu za serikali kulinda matumbo yao...wachape kwa maneno..
@asserytemba2822 жыл бұрын
Sauti ya zege! Hongera sana.
@azizabdallah5852 жыл бұрын
Bravo Mh. Halima Mdee.
@walawioutreach40552 жыл бұрын
namuomba mungu sana sana huyu mwakilishi wa upinzani raisi amchague ampe nafasi yajuu sana serikalini hasa ya kiutendaji,huyu Dada ni zaidi ya mbunge na ni zaidi ya wabunge.>AMEN.
@queenpiscator61172 жыл бұрын
Na ujinga uuu bl kujua kuwa covid ndo imelaza chumi za nchi sasa zingeruka wapi wakati kulikuwa hakuna safari hata ma shirika makubwa duniani ni hivyo hivyo point hiyo ni nzuri lkn umeipanga hovyo sababu za kisiasa hina kosa maana na unaonekana mjinga wa kutafuta shari jifunze kwa mwenzio Ester matiku kichwaa hilebaya
@Mussajohn992 жыл бұрын
Unaongea point san mdee
@vnhcstudios19432 жыл бұрын
Mdee yupo vzur
@iam_deo2 жыл бұрын
Loh! well presented Yaani ni mpaka unasisimka mwili.
@kagwilengaiza20502 жыл бұрын
Ee mungu we harima mdee
@makongorowassira65932 жыл бұрын
Tatizo hapo ni kwamba huwezi kabidhi ndege kwenye kampuni inayodaiwa, ndege zote zitashikwa na wadai, fikiria kabla ya kupiga kelele
@mandileykiritokangai30422 жыл бұрын
Sawa Asante Halima
@barakakusa76062 жыл бұрын
Huyu ndy kamanda mwenyewe Sasa hanaga kususa kam wengine na bado anawapelekesha bungeni, H Mdee mitano tena.
@lemburiskedoki8590 Жыл бұрын
Mungu akubari sana mh hallima mdee usiogope kuongeya mungu yupo mbele yako
@balozimorwa20332 жыл бұрын
I remember 2015/16 nikiwa office ya TR niliongoza timu ya wataalam kufanya OPERATIONAL and FINANCIAL audit ya ATCL! Tumeandika a very COMPREHENSIVE and GROUND-BREAKING report on ATCL and its sustainability. Ningeshauri hiyo report ISOMWE/IREJEWE kwani bado ni VALID kwa jinsi nilivyo sikiliza inputs za Mh. Halima Mdee.
@ezekielmabwai4822 жыл бұрын
Sauti ya zege! Ila kwa kuwa si mmbunge halali najua anapuuzwa tu! Mfuateni Ndugai atawasikiliza.
@khadijamhapa3056 Жыл бұрын
Yani huyu dada yupo sahihi sana hayo wanayo bisha yatakuja kuwatokeya puani mbeleni mana kidonda usipo kitibu mapema kinaoza
@hellenngwilla5502 жыл бұрын
Safi sana
@successconcious7032 жыл бұрын
Akili kubwa sana hii
@patrickKitambo2 жыл бұрын
Kufail ni sehemu muhimu sana katika kujifunza biashara
@namankakindilo81212 жыл бұрын
Hujawahi kufeli point ata siku moja
@harounmaarufu32412 жыл бұрын
Wabunge wa Ccm wakubali ukweli.
@halidnaamo61562 жыл бұрын
Hawana Jipya na Mwigulu Hafai kabisa basi we msikilize
@fredrickmatiku77832 жыл бұрын
Huyu dada kichwa sana akiliii anazo nyingi sana 2025 tunamrudisha mbunge wetu kawe 2025 kawe ni Halima James mdee
@tousihhhh67652 жыл бұрын
mm nampenda san anapwenti pambee
@estermpagama96642 жыл бұрын
Ukiangalia Bunge wanavyochangia utaona yupi anauwezo na yupi uwezo wake ni mdogo ila kazi ipo kwani wananchi wanaelewa zama za siasa za mdomo zimepita ni utendaji tu kwa sasa
@barakakimambo45282 жыл бұрын
Love you halima,,welcome Kilimanjaro
@rommelmauma80812 жыл бұрын
Kwa Halima Mdee, wajuzi na wanafunzi wa tehama: Katika mawasilisiano kwa njia za runinga, hakuna haja ya kuongezea mbwembwe za "kinesics", yaani, "body language", kama lilivyo jukwaa au redio. TV is a "cool medium"; na "radio is a hot medium" [the late Marshall McLuhan].
@elyotikyando1992 жыл бұрын
Uko vizur harima
@iam_deo2 жыл бұрын
Yaani sasa hili ndio bunge linalotakiwa. Loh ni mchnganyiko wa huzuni na kicheko. Well illustrated wote watoa mada regardless Chama kipi. Nchi ni ya kwetu JAMANI!!! Watu wakitoa ushauri mbadala wasikilizwe Loh!
@mathewmartin44132 жыл бұрын
Sawa kamanda✌️✌️✌️✌️
@khamismssa78822 жыл бұрын
,nikweli jamaniiii
@stephanomoses76942 жыл бұрын
Halima mdee ndio mbunge sasa . Sio hizo mbwa zingine za NDIO. mbowe awaache2 hawa covid 19 kwa heshima ya mdee. Maana yakibaki haya makondoo ya kijani hayo mambo mazito namna hyo yatajulikana vp . .ona2 wanavyobwabwanya.
@emanueliunyakind15212 жыл бұрын
Very good
@ummuruwaida34402 жыл бұрын
mdee wa 2015 siyo huy kabisa
@neemastanley35392 жыл бұрын
Upinzan ndo unaleta maendeleo haiwezekan kila kitu iwe yes tu hawa ndo wanaleta challenge inayopelekea maendeleo katika nchi Bravo madame Mdee
@mheleladavid25882 жыл бұрын
👏👏👏👏
@iamnormal86482 жыл бұрын
Anatumia nguvu kubwa sana mpaka hoja inakosa ladha. Ona mpaka sauti inascratch kwenye around dakika hii 6:48
@athumanijuma30852 жыл бұрын
Ww sikuelewi
@arsenalwenger47972 жыл бұрын
Kama Wana nchi hamjamuelewa halima mdee na naona mnavyo mpinga hadi ushahidi wa nyaraka na tarehe ilio chapishwa anayo, basi mnastahiki kua na njaa hivyo hivyo mpaka mwisho wa Dunia. She's a brave a woman
@abubakarikisuju802 жыл бұрын
Halima mdee"chadema mwaka 2025 wakikuengua gombea kwa ccm"utapita rafiki yangu"uko juu
@stephensengo68772 жыл бұрын
Safi sana mdada
@dismasmtui7292 жыл бұрын
Mdee ombeni msamaha CHADEMA.Hapa mnazungumza huku mmefungwa kamba!
@paulombay68842 жыл бұрын
Kumbe taarifa za wabunge Ni kulinda na serikali
@malkavoice25702 жыл бұрын
Hawa watu wanapata wapi jeuri hii ikiwa hawana vyama na wanalipwa. Inamaana wanaiibia serikali mchana kweupe na Serikali imewahalalishia wizi waibe mpaka washibe ili mradi tu bunge lao liwe huru. Tulieni hivyo hivyo wawanyee kisawa sawa,hawana majukumu zaidi ya kuongea tu bungeni na kulipwa kwenda kula na familia zao.
@paulombay68842 жыл бұрын
Kwanz kubali hoja yake then ,Hilo sawa
@sarahmmbwanji37822 жыл бұрын
Kama wanaiba nawanasema ukweli hao ndio wazuri
@malkavoice25702 жыл бұрын
@@sarahmmbwanji3782 wasaliti tatizo. Pengine wangegoma kwenda bungeni hayo wanayoyafokea yasingetokea. Kelele za chura tu hizo hakuna uhalisia
@halidnaamo61562 жыл бұрын
Kina Halima hawa walishinda uchaguzi kabisa waliporwa ushindi tusiwalaumu,Kwani Samia ulimchangua wewe?
@malkavoice25702 жыл бұрын
@@halidnaamo6156 sawa walishinda lkn waliporwa. Wakanunuliwa nao wakakubali laiti wangekataa Bunge lisingekuwa na haki,we unajua nn labda?
@goodluckshayo25932 жыл бұрын
Kwa kweli na sio Siri Halima Mdee ni moja ya Wabunge makini sana. Jambo muhimu ambalo Waziri Fedha alitakiwe ajue, badala yake anadanganya kuwa shirika la ndege halidai popote mpaka ushahidi ulipoabikwa na Mbunge huyo Machari na msomi Halima James Mdee. Hongera sana
@fredrickfrank8512 жыл бұрын
Hii nchi mmm!
@estermpagama96642 жыл бұрын
Hatuna wataalam na wazarendo
@khamisminshehemafumbi18822 жыл бұрын
Sijalijua tatizo,majibu au watu wa kujibu ? Hoja hazihitaji hata kuwa bungeni au kuwa mbunge maskini Ndugai !
@lucaschisamalo28522 жыл бұрын
Dada yangu nakupenda Sana japo sikuhizi umekuwa ccm Ila Hoja zako zinamashiko
@sashahauke20322 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@binmassoud04592 жыл бұрын
Hii ni ramadhan tunamuomba huyo Halim avae kidini japo kidogo nampenda sana Halima Mdee
@francismwantolwa23292 жыл бұрын
Safi sana Mdee
@estermpagama96642 жыл бұрын
Nami namkubari
@josephmariba98972 жыл бұрын
hongera sana halima nakupa salut japo tz hatuna rais
@yuzotv4582 жыл бұрын
Anaemlaum Mh harima nichizi kwasababu Alichosoma ni report za CAG Pia kasoma taarifa ya Atcl nakataja hadi tarehe sasa kosa lake liko wapi?!.
@orgeneslema94642 жыл бұрын
Hahaha - serikali hakuna deni. ATCL-kuna deni. Kusoma hatujui. Hata picha hatuoni?
@anganilemichael1152 жыл бұрын
Hivi huyu yupo bungeni kupitia chama gani hasa hii nchi 🚮🚮🚮🚮
@emacratantara74342 жыл бұрын
Duu Ngoma ikoli moto uko juu kamanda
@yasmeenaal41912 жыл бұрын
Halima mdee upo cheers sana dada unaingea ya maana lakini unaacha maiki unaongelea pembeni vipi
@jumanesaidi76352 жыл бұрын
Napenda sana jinsi Halima anavyojenga hoja, lakini naogopa anaweza kugeuka.
@phchouse2 жыл бұрын
Uwepo wao Bungeni ni aibu kwa chama cha CHADEMA Hawa wabunge na viongozi wa CHADEMA Taifa lao ni Moja. Haiwezekani Speak amesema hajapata barua toka CHADEMA kuwakana. Kama ni barua ndiyo inayo takiwa kipi kinakwamisha?
@christianmwashala97602 жыл бұрын
We halima ndo mbunge wa Tanzania na watanzania sio ao wengine,,,,,aminia dad kichwa yako nomaaaaa
@kasiankillo69492 жыл бұрын
Mwigulu ziro
@eppiemodest2 жыл бұрын
Waheshimiwa wabunge. Halima Mdee hamumwoni anaaibisha mavazi yake. Angalia kona ya mapaja. Duh kwa kweli mwanamama huyu.
@fredymwengela67632 жыл бұрын
Nyie bado ni watu muhimu bungeni chadema wanakuwa wakae na nyie myamalize
@fanueltarimo5092 жыл бұрын
Umepata wapi hzo
@johnsinyinza74502 жыл бұрын
Vichwa Kama hivo. Awepo tundu.lema.munyika ulaya John hche Peter Zito. Halima ester wangetosha kutuwakilisha walikuwa wanadema Hadi tunashiba Hilo bunge la CCM mnakula pesa zetu.hatuna haja yakuwasikiya.
@papaamashana39622 жыл бұрын
Majibuyakumunufaisha mutoatalifa ovyo
@adamdemarch55652 жыл бұрын
Sabuni yakufulia kipande mianane ya kitanzania😭😭
@KARINO_MUS2 жыл бұрын
Upo sahihi mama safiii waambie wamalizeee kwanza tatizoo ndo mambo mengine yaendeleee.........
@kasiankillo69492 жыл бұрын
Wazili wa fedha ziro kutoka zamani ndio maana magu alishamtoa kwenye uwazili Mara tatu nashangaa uyu mama anamkumbatia Kuna nn
@patricknyiti53032 жыл бұрын
Magu alimrudisha tena...CCM ni ileile
@shubebunyesi5422 жыл бұрын
Unajua watu wana mihemko yaani mtu akitolewa na Magu ndio anaonekana afai kabisa siokweli wengine alikua anawasamehe na kuwarudisha mama kamkuta akiwa waziri mwigulu
@mandelamandela31502 жыл бұрын
@@patricknyiti5303 Magu alimrudisha akampa Wizara ambayo haina maumivu kabisa kwa WaTanzania !! Na ilionekana alimrudisha sababu bungeni km Mbunge alikuwa siyo mpinzani hakuwa na Kinyongo alimtetea Magufuri bungeni, umakini wa Magufuri ni kutompa Wizara zenye kuwaumiza waTanzania !!!! Mama Samia Nchi hii haiwezi, anakuja kumpa Wizara Nyeti kbisa matokeo yake tumeumizwa !!!!
@jumajumanne49972 жыл бұрын
Mpaka uvute bangi ndo umuelewe uyu jamaa
@mwandisimfukwe3262 жыл бұрын
yaan hiyo taarifa wazir wa fedha hama du hatari
@tungarazalucas14782 жыл бұрын
Mwigulu sii waziri
@halidnaamo61562 жыл бұрын
Kweli kazi yake ni kuilinda Serikali na siyo Wananchi!Ajabu sana,ovyo kabisa
@seifsaidseifsaid12102 жыл бұрын
Tatizo hii nchi inaendeshwa kisisa uongo mwingi sana viongozi wengi hawana uwezo kuongoza blabla nyingi mpk kichefuchefu!
@isayakipoi4932 жыл бұрын
Brava Halim md ^_^
@freddymtashi5020 Жыл бұрын
Mwigulu kila kitu ni siasa2!! Haujui kitu!! Muongool
@rinaldaoman78922 жыл бұрын
Wewe mwiguru CAG MUIHONGO
@charleslukumai78752 жыл бұрын
Kumbe ugoro wa Riftvalley alishalipwa.
@mweyoms5548 Жыл бұрын
Hiki kichwa ni makini mno.Nimemuelewa vizuri mno maana hoja zimepangwa zikapangika
@frankchaula86742 жыл бұрын
Akili kubwa
@kapondamsita4762 жыл бұрын
Tulipoteza jembe sana
@maghanighanichali95192 жыл бұрын
Wabunge kuvaa suluari naona wakatazwe.inaonekana kama yupo night club
@marieconnect63892 жыл бұрын
Changamoto lazima zisemwe....hongera mabunge wetu. Ila mbunge wetu asiishie kulaumu tu bali atoe na mapendelezo ya nini kifanyika ili tujikwamue kutikavkwenye tatizo kama lipo.... kama wengine wnevyochangia kutoa solutions.
@kasiankillo69492 жыл бұрын
Kweli ccm akuna kitu mnazikataa taharifa zenu wenyewe
@congolo14572 жыл бұрын
Sasa kwakweli kama huu ndiyo leadership ya kina mama basi tumekwisha huyu anaongea Nini.watanzania kote walikuwa wakitaka kwenda outside the country mpaka wapitiye kenya
@shukuruwiliamu13572 жыл бұрын
Hawa ndo watetezi wawananchi sio hawa wa ccm kilakitu ndiooooo
@elinessclarence85852 жыл бұрын
Ya waziri anajibu kama katoka choooni inaudhiiii sana hiii mijituuuu
@cyprianmachibula71222 жыл бұрын
KWA NINI MWIGURU NCHEMBA HATOI TAARIFA YA PATP LATOZO ? PIA ATUELEZE NI PESA ZILIZOTUMIKA KUPEREKA MISAFARA DUBAI NA MAREKANI TUKUE NASI
@celinamutta50582 жыл бұрын
Kama utani utani vile😳😳
@telaamtauta22272 жыл бұрын
Amakweli dunia simama nishuke banaadam simkamilifu mwenyrzi mungu kilakitu kakiumba kwa.mipango yake nakumbuka zamaani hapo ndege zoilikuwa kidogo sana hadi aibu yaani ilipofika wakati wa kampeni wezetu upande wapili wslitoa ahadi kama wakipata uraisi watanunua ndege kwawingi kuondoa aibu hii leo.ndege zimeletwa haohao walio aside watanunua ndege wanasema ndege nyingi zanini kwani wanaosafiri wotee nilazima watumie ndege? Kilamtu nauwezo wake mimikana sina uwezo wandege mwingine anao viwanja vifanye kazii atakae iba yeye namungu wakee
@nathanielshauri51352 жыл бұрын
Njoo uchukue buku la Soda maana cheche mzito tarifa hadi tarehe wote yani kirosafi
@jacksonsaugah91202 жыл бұрын
Ukweli haupingiki kwamba mwenda zake alikurupuka kununua ndege nyng wakati biashara haipo jamani!🤓🤓 Pia tujifunze kufanya vitu kwa kutaka sifa kwa wanaotuzunguka aaaaaaamen!!!
@priscusjoseph76642 жыл бұрын
Subir siku ulale njaa ndo akili itakaa sawa kuku ww
@annasolomon98552 жыл бұрын
Mwone mbuzi wa kiangazi huyu.. kama mwendazake alikurupuka mbona mama samia aliziongeza zingine?? Na wew bwege kweli ikitokea ukapewa nchi hata kwa dakika Moja uiongoze utajiharishia na kujikojolea Kila mahali.. Leo hii et unapata ujasiri wa kumkejeli shujaa Magufuli kuwa alikurupuka. Hata hio kazi ya kukusanya Kodi na kuwabana mafisadi mpaka kununua ndenge ni shughuli ya akili ya hali ya juu Sana.
@msingida332 жыл бұрын
Safi kwa hoja yako mdee viongozi fungukeni acheni kukava ukweli
@marwalucas59612 жыл бұрын
Pachimbishe dada laoooooo.
@masanyiwalubage94762 жыл бұрын
Da! Una sauti mbaya kweli yaani inanikera masikioni
@magdalenabenard42082 жыл бұрын
Msaliti
@richardcastromzena51362 жыл бұрын
6:02 10:35
@robertphilip3852 жыл бұрын
Hizo ngege wanapandaga viongozi waccm hazina faida yeyote ngege gani haiendi ulaya
@hassanmuhammadamin27052 жыл бұрын
Yuda
@dassustephen53912 жыл бұрын
So what mnataka?ATCL inahujumiwa hakuna lolote la maana.Magufuli alinununua nanyie mtumie akili kuziendesha kwa faida.Nonsense
@babuuwakitaa13022 жыл бұрын
Mdee dadangu ukovizuri tatizo ni19
@mashramadhani19892 жыл бұрын
Halima oyeeeee
@patrickmfundiri86692 жыл бұрын
Ungepita kiupinzani dah nakukubali kinoma nisha kuchaguaga lkn ndo hivyo Ila bado uko poa
@hajiramussa76562 жыл бұрын
Jamani tusaidieni sisi mabalozi tulipwe posho yetu y postikod mwezi wa pili sasa