Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 103
@digitalworld55772 жыл бұрын
Aieee this guy is so talented, sauti ya Baba wa Taifa kaipatia mulemule!👏🏾👏🏾
@hellenngwilla5502 жыл бұрын
Duh watu na vipaji vyao kwakweli hongera sana
@digitalworld55772 жыл бұрын
Wengi wameigiza sauti ya Baba Taifa, lkn huyu ndo kiongozi wao.
@mwidinijuma82142 жыл бұрын
Uko vizuri sauti kama mwalimu Nyerere kabisa
@user-ww9gd8pb7o7 ай бұрын
Oscar umepatia sauti ya mwalimu nyerere kabisa. Your talented. Mungu akutunzie kipaji chako 👍🏽
@HassanAlJabri2 жыл бұрын
Aisee huyu....mwishoo...sauti khasaa ya baba wa Taifa. Nilikuwa sitoki kwenye radio kila hutuba zake......napenda sana...Mola amrehemu....
@mdentertainmenttz1242 жыл бұрын
Talented boy
@marympemba6378 Жыл бұрын
Hongera sana oscar, sauti ya mwalimu nyerere, una kipaji kizuri sana.
@bibiusuni5067 Жыл бұрын
Good memory revisited. Rest in peace Mwalimu, your voice is still alive through such talents in Tanzania.
@adamdaudi61912 жыл бұрын
Yeah, amejitahidi!.
@enockkagomba12612 жыл бұрын
Vizuri sana
@auntdorah91412 жыл бұрын
Kweli Majaliwa tunampenda...anapendeka😍😍
@mrsilverclassic67852 жыл бұрын
😂😂😂😂namuona mama Maria analiwazika maskini dah ndomaisha yalivyo
@japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын
Mazoezi ni muhimu sana ,sasa hivi unapita mulemule kwa Mzee,hapo sawa👍
@mohdkhamis38572 жыл бұрын
Hongera, unatukumbusha mbali kjana,
@saulimadale9080 Жыл бұрын
Kweli majaliwa namuelewa sana huyu jembe Mungu wa mbinguni ampe maisha marefu aendelee kutuongoza
@hamisikitwana79572 жыл бұрын
Da Safi sana Oscal
@ambwenesandersony15452 жыл бұрын
Jamaa anajua sana
@britonkanumba6828 Жыл бұрын
Jamaa pekee anaeweza kusema chochote
@hamisikitwana79572 жыл бұрын
Wanajua sana
@marympemba38652 жыл бұрын
Nimesikia ya mwakimu nyerere kabisa, una kipaji kizuri sana, unaweza sana osca
@roudhamahmoud7632 жыл бұрын
Huyu ndo anampatiya mwalimu
@elispiuselias1339 Жыл бұрын
thank you Mr Oscar for awesome speech!
@mtegemeemungusiomwanadamu66182 жыл бұрын
Very talented figure
@samweltv2064 Жыл бұрын
what a kipaji mungu akujalie maisha marefu oscar🙌
@joachimmapunda41252 жыл бұрын
Man, that's some talent.
@benjamingewe6943 Жыл бұрын
Uwe unaigiza sauti ya Nyerere zaidi ndio unapendezea zaidi.
@EmanueliBoi2 ай бұрын
Hongera sana
@mdoticomkom39242 жыл бұрын
Jamaa kampatia balaaa
@flomenastephen22262 жыл бұрын
A mso happy jamani tuna enjoy na sauti ya rais wa awamu ya kwanza complete jamani apumzike Kwa Amani
@pascalsamson47212 жыл бұрын
Amina
@silverman69302 жыл бұрын
Talent … 🇬🇧❤️
@daudhenry62122 жыл бұрын
Super!
@habibahabiba71282 жыл бұрын
Mabrouk
@user-kg3cr9gg1h4 ай бұрын
Super💪
@winifridakasibu29002 жыл бұрын
Safi sana
@kimsamir9652 жыл бұрын
Nzuri sana
@hassanhhassan63092 жыл бұрын
Talent
@eng.magesakhamis4932 жыл бұрын
Kumtandika hoyeee??
@ARNOLDKASOMA6 ай бұрын
Duhhh!!!
@iddybakar1946 Жыл бұрын
umetisha
@yuzotv458 Жыл бұрын
Good talent brother💪💪💪
@auntdorah91412 жыл бұрын
Namkubali sana😁😁
@pascalsamson47212 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@NdakamaMakoye9 ай бұрын
Hongeraaaaa stive
@sakayonsakihunga34962 жыл бұрын
We ninoma sana aisee
@naslee10102 жыл бұрын
eti na uzee huu unaweza ukatoa siri za serikali🤣
@yahyahamad18022 жыл бұрын
hongera oscar
@barakambasile26512 жыл бұрын
Umemtaja majaliwa nikamkumbuka jpm ira kinana hamna hamna
@DolikasiYusufuАй бұрын
❤❤
@bobwhite92522 жыл бұрын
Huyu jamaa ni hatar
@martinmlewa4452 жыл бұрын
Uwo upuuzi hatuutaki! Wananchi wanateseka nyie mnachekesha watu
@eliamwakatobe42902 жыл бұрын
Sasa unataka nchi isimame? Cha msingi inabidi utambue ya kwamba nchi lazima iendelee hata kama kuna magumu. Lazima kazi iendelee ili kuweza rekebisha kwenye mapungufu
@tambuwenikahemelaofficial19162 жыл бұрын
We jama nimiongoni mwa wajinga wa kitanzania ungekuwa kwenye nchi nyingine ungepigwa lisazi
@Kavandangulu92192 жыл бұрын
We hujielewi walie ndio kila mtu aishi vizur kengee we
@hadijamandanje61892 жыл бұрын
Usituletee kisirani bwanawe
@innocent__tz2 жыл бұрын
Acha makasiriko yako bhana we vp???
@jumanassoro1552 Жыл бұрын
Duuu anaweza sana
@bekaashbai17812 жыл бұрын
Bosi wezako hamulani
@hashamyusuphu10642 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 hongela sana
@marymfugwa8472 жыл бұрын
Mama Maria jamani ana hamu!
@mathewedward93982 жыл бұрын
Pumbavu wewe! Hahahaaa, ana hamu ya nini?
@mrishonasry47792 жыл бұрын
We ana hamu ya nn tena ha ha haaa
@marymfugwa8472 жыл бұрын
@@mrishonasry4779 Anakumbuka mbali akisikia sauti inayo fanana na mwalimu!