Diamond alimuombea mtoto wake awe muimbaji kama yy mzee wetu ataka watoto wake wajue dini.MashaAllah mungu amrehemu
@ivanlegera21336 жыл бұрын
mzee majuto nimfano wa kuigwa wachache wanaokumbuka kusameh maden mzee wetu, baba yetu, babu yetu alazwe mahar pema pepon
@henricokanogu22236 жыл бұрын
Inaumiza Sana Sana Mzee tangulia sisi tuko nyuma yako. Mungu akuweke mahali pema peponi Aminaaaaa
@user-gi4ls3bh3l2 жыл бұрын
Mashallah msikiti uyo unakulipia tawabu baba pumzika salama
@rahmahussein40196 жыл бұрын
Hao watu wanomzushia kufa kila siku kingi wetu Majuto ...nawambia watapata tabu sana....tena sana , tena sana , tena tena....Oh yes !
@gesusgegangphray76896 жыл бұрын
Mzee majuto kuchekesha maneno.na tayari unaachekesha .Utaishi mzee kwa jina la Yesu
@sakeenakenya61106 жыл бұрын
Alhamdulillahi Rabil Allahmeen, mwenyezi mungu aijalie kauli yako isimame wallah, watoto wasome wawe wenye kusoma dini, waitafute Akhera, kweli kabisa babu, walai hatuna la kusema, ila kumshkuru maulana.
@zenamohammed26236 жыл бұрын
Allah atakuhafu juto wetu..achana nao wabongo wamezaliwa kwa bahati mbaya wanaishi kwa makusudi..kumuua ivyo mzee wa mwenzenu vp
@salwa-jz1wk6 жыл бұрын
Kila nafsi itaonja mauti. Mungu akuifadhi mahala pema peponi yarabby mbele yako nyuma yetu
@stellahfrank43776 жыл бұрын
Pole san baba yang Mungu akufanyie wepes katika kila jambo upate kuwa na afya njema kama awali
@nadiahussein96696 жыл бұрын
Allah akupe kaur thabit mzee majuto pia Allah akupunguzie adhabu za kabr babu yetu amri athumani
@khatrarage44456 жыл бұрын
Mungu akujalie afy njema mzee akupunguzie maumivu inshallah
Masha Allah Allah akurehem mzee wetu Kila nasf itaonja umaut
@kanisiamkoko70516 жыл бұрын
pole Sana Mungu wetu ni muaminifu yupo atakupigania utapona tu.
@cutezaycutezay5536 жыл бұрын
Mungu nimwema umepona love you babu yetu
@beautyibrahim84286 жыл бұрын
Dah hadi machoz yamenitoka mzee majuto alikuwa mkarimu jaman apumzike salama
@mamafatuma1386 жыл бұрын
Wanao kusema vibaya babangu wawachie mungu atakulipea in sha Allah napenda sana mzee wangu
@ahadimastone15506 жыл бұрын
pole sana mzee majuto mungu akupe wepesi wa afya yako.mungu awe nawe mungu akubariki
@millicentadhiambo30806 жыл бұрын
Much love and respect ..May God protect you and your family!!!
@faybaibe90236 жыл бұрын
Duh inaniumiza sana. Tayari mzee kashatundoka
@marymah71496 жыл бұрын
Maskini mungu yupo utapona kabisaa mungu yupo
@shekhahamed76256 жыл бұрын
POLE MZEE WETU USIWE MNYONGE BABA HAKUNA KISIcHO NAMWISHO MUNGUATAKUSIMAMIA MAJUTO WETU UTAPONA
@zurahluvakhwa42776 жыл бұрын
Mzee get well soon zurah from Kenya kakamega County we are praying for Mr man .
@eddysonmagezi21396 жыл бұрын
pole sana mzee wetu tutakumiss
@aishamnamba10646 жыл бұрын
Pole Sana mze wetu mungu yupo kungua cyo kufa Bali ni faradha
@fabianjulius52746 жыл бұрын
Utapona mzee wetu.. God is great always 🙏🙏
@ashaally32186 жыл бұрын
pumzika kwa amani mzee wetu tutakukumbuka daima
@rachealmwanje70126 жыл бұрын
pole babaa utapona mungu yuko nawe, twazidi kkuombea
@uledimtumwa24066 жыл бұрын
Huku kwenye sanaa kunafitna na maneno ya ajabuajabu bora kusoma Dini ",kweli Mzee majuto.
@odaxjohn22006 жыл бұрын
Polesana babu mungu akujalie utapona ukipona uwendele kuigiz
@ismaillalmohammed40016 жыл бұрын
Hapo amekusudia fitna za ufreemason Mzee kaona mbali ndio maana kaogopa watoto wake wasije wakaingia.
@anjelakiprop73116 жыл бұрын
My love babe I love you... May God protect you Sana.. Quick recovery dear
@allyking3246 жыл бұрын
Daaah INNALILLAH WAINNA ILLAH RAJ UUN
@anetikapami42286 жыл бұрын
Pole Baba Mungu yu pamoja nawe
@abdibakari6416 жыл бұрын
pole sana babu.. utapona tu in sha Allah...
@sadaramustafa84016 жыл бұрын
Pole mzee cha muhimu ni kurudi kwa mungu
@babylonathuman5366 жыл бұрын
sana king mungu akupe maisha marefu
@ambalifamili10866 жыл бұрын
Mbeleyake nyuma yetu apumzike kwa Amani King Majuto
@abdullkassim93376 жыл бұрын
dahh! sizani kama kuna mtu anaweza kukuchukia mzee majuto...ata akitokea basi imetimia azma ya uumbaji kua hakuna atakaependwa na wote...
@KilizaBamba6 жыл бұрын
Pole baba allah at akujaalia kher
@mr.headboy33986 жыл бұрын
gud words... Allah akupemakaazi mema inhllh🙏
@exaverykalinga1487 Жыл бұрын
R.i.p majuto pumzika kwa amani.
@stewartmillanzi15966 жыл бұрын
This is unbelievable...!! Wanaodaiwa na huyu mzee wasidhani wameshinda. Huu ndio mwanzo wa anguko lao. Wataishi ndani ya laana moaka watakapoingia kaburini. Wakitaka wawe salama ni vema wakajiongeza na kulipa madeni yote ya nzee huyu. Hongera mh. Mwakyembe kwa kujaribu kufuatilia haki za msanii huyu. Umeonyesha wema wa ajabu. Pia nampongeza raisi wangu mpendwa kwa tende hili linaloonyesha upande wa pili wa roho njema iliyomo ndani yake. Mungu aendelee kumtunza na kumlinda raisi wetu, shujaa wa watanzania wanyonge!!
@ahmadseif72416 жыл бұрын
Mungu akujaalie umri mrefu wenye neema.
@montash8666 жыл бұрын
Mungu yunawe king majuto
@YusufAli-jv3bj6 жыл бұрын
Baba sawa kabisa Dunia hii si kitu wala si lolote
@tausak45686 жыл бұрын
I can’t stop crying 😭😭😭😭
@aliarkam14136 жыл бұрын
Allah atakujalia kupoa kwaharaka arud Kama mpya
@jayomarion81836 жыл бұрын
sijawahi kukoment kitu but with this rest in peace babu
@abdulrahmanallui6 жыл бұрын
Mungu akuafu Babu ekonda mungu akupe uzima
@insignejulius21556 жыл бұрын
Mpaka naitwa king kwa ajili ako ushapona jembe langu
@seifmohamedseif93846 жыл бұрын
pumzika kwa amani mwingine nembo muhim ktk sana huyu R.I.P
@algmobai21836 жыл бұрын
Pole sana babangu we nikama babu yangu mungu akuponye in jesus name
@yusuphswalehe25026 жыл бұрын
We mshenzi kwani unajuwa na yeye in kafiri kama we we mpaka unamuambia alone kwa Nina LA yesu?
@lameesrashdi12986 жыл бұрын
Pole. Sana. Mzazi. Wetu🌺🌺💓💓💓💓💓💓🌹🌹
@stevenmajoge46446 жыл бұрын
Mzee majuto kama umestafu na wewe hii kazi basi pengo lako halitofautian na la marehem kanumba.
@magrethjoseph20596 жыл бұрын
pumzika kwa amani jmn mzee majuto
@sylviemutwale95275 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yake pema peponi
@careenheadsa78826 жыл бұрын
pole sana my fadha
@andrewsemka71916 жыл бұрын
Pole sana mzee wetu mungu azidi kukulinda daima siku zote
@mwitamagabe85466 жыл бұрын
Daaa mzee wetu majuto anaumwa sana maombe yenu kwa wingi jamani
@kautharsaid52416 жыл бұрын
Nakuombea kher kabisaaaaaaa
@sixgeorge63936 жыл бұрын
Pole sana mzee mungu akulinde
@harunajimmy95776 жыл бұрын
walipe tu kama wanadaiwa . amina
@calvinmaimu67916 жыл бұрын
Pole baba yetu mungu atakuponya
@zainabmaulidi37716 жыл бұрын
Pole sana baba mung atakuponya insha Allah
@monicabardan51326 жыл бұрын
pole babu jomon mungu akutunze
@mimahsaid23266 жыл бұрын
polee mzee wetuu
@Ali-gk5mv3 жыл бұрын
ALLAH AMSAMEHE NA AMREHEMU
@linetwafula26216 жыл бұрын
We loved you. But God loved more. RIP
@edsonotaru67046 жыл бұрын
mungu akupe nguvu babu majuto
@juliusngala65116 жыл бұрын
mungu akuzidishie maishe....the only king majuto
@aminikingazi2736 жыл бұрын
Pole sana mzee wetu. Hakika ww pia ni kisima cha hekima na busara
@jacksoniemanueli54636 жыл бұрын
Amini Kingazi mambo
@jacksoniemanueli54636 жыл бұрын
Ukopoa
@crevamuhando24286 жыл бұрын
Amini Kingazi good
@zeldalucas83096 жыл бұрын
pumzika kwa aman baba etu mpenz
@immaculataisack76906 жыл бұрын
Pumzika kwa aman baba yetu kipenz mbele yako nyuma yetu 😂😂
@maryamali77006 жыл бұрын
Rest in peace mr majuto mungu atakusamehea ya rabb
@deogratiusmichael81306 жыл бұрын
Pole sana mzee wangu
@AbdulWahid-hp8qr6 жыл бұрын
Mungu atakujalia inshaallah
@zahramunir85966 жыл бұрын
Hiyo kusamehe kwako iwe ni sadaka ya maradhi yako
@stellaringo51566 жыл бұрын
Rest in peace king majuto
@zurahluvakhwa42776 жыл бұрын
Oooooh Mzee quick quick recovery waaaa.
@rehemamustafa87036 жыл бұрын
mwenyezi mungu akuponyee
@innocentmickerclips36226 жыл бұрын
RIP KING 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@samiasalim56626 жыл бұрын
Yani mwahoji mzee hata akiwa kwa hali hii? Woiye he is strangling to talk pole mzee and May you rest in peace
@marconmarconisdory2816 жыл бұрын
mzee majuto apo pa kuacha kuigiza utaacha pengo kubwa sn plzzzzzzzz usiache daah me nakukubali babu yangu