Milard, achilia mbali na kipaji ulichonacho katika tasnia yako.... Unaongozwa sana na hekima. Kabla hujatoka Kilimanjaro pitia Arusha umwambie Mama Asante kwa malezi mazuri.
@ezytradeafrica29783 ай бұрын
Kweli kabisa, Millard Ayo ana personality ya kutolea ndano! Poleni sana na msiba
@SaidNsyengula-rf3to3 ай бұрын
Milard ayo hongera kwa kufatilia taalifa za ukweli wewe nitofauti namedia zingine nakubali mwambaaaa
@africa74793 ай бұрын
mama yake alisha fariki
@nurumbaraka3 ай бұрын
@@africa7479 Oohhhhh! Sikujua. Basi akapite hata kuzuri kaburi la mama yake na kumuombea maghfila kwa Allah Insha Allah
@elizabethsenyagwa62703 ай бұрын
Poleni familia na Watanzania Mungu awape nguvu na tuendee kumuombea amen
@Zaynab-ny6gr3 ай бұрын
Mungu akufariji baba na wana tanga wote hasa chumbageni tutakukumbuka daima bro G
@MagrethMallya-we8ui3 ай бұрын
Millard hongera sana, hakika umeona umuhimu wa Mzee ukaona ukamhoji wewe mwenyewe, umefamya vyema hongera na pole kwako na Mzee Habash. Mungu awape nguvu na uvumilivu.
@user-id8ys3lg5d3 ай бұрын
Millard yupo vzr katika mahojiano anakipaji kabisa..Pole Mzee ningumu sana kwamzazi kuondokewa na mtoto jamani hii kauli yakutaka kumsomea neno la Biblia na akawa ameshatangulia mbele ya haki..hongera kwaupendo wako kwawatoto wako ❤
@crillarlawcmo23663 ай бұрын
😭😭Mzee ni mwingi wa shukran ,hakika umejaa busara
@user-fz1ph3cn4s3 ай бұрын
Pole sana Baba Gardner. Mungu akupe nguvu na Faraja, katika kipi di hiki kigumu.
@salimsoyo81183 ай бұрын
Mimi ni mkenya ila napenda sana kufatilia interview zako milard kwa hakika Mungu amekubariki big up sana
@leylamohamed99393 ай бұрын
MZEE ANA BUSARA SANA NA PIA MTULIVU MNO 🙏🏽🙏🏽🙏🏽 HE IS SO HUMBLE.
@MauFundiElectronics3 ай бұрын
Mahojiano mazuri yenye mengi ya kujifunza katika mapito haya ya dunia Millard ayo upo vizuri kwenye interview zako hongera sana brother 🙏.
@adamfumbo51163 ай бұрын
Millard Hongera brother Kwa mahojiano Bora sana
@eggysulle79883 ай бұрын
Mwanamme analia ndani ya moyo,,,pole baba 😭😭
@DativaMbowe2 ай бұрын
😭😭😭
@olesterleonard97373 ай бұрын
Daah polee sana mzee wetu kwa kumpoteza mtoto wako, Mungu awatie nguvu..Polee MillardAyo
@bensonkinjofu33773 ай бұрын
Millard kuwa karibu na huyo mzee, inaonekana kama anafarijika sana kuwa karibu yako.
@millardayoTZA3 ай бұрын
sawasawa Benson
@user-mf6vv1mf6x3 ай бұрын
Millard una hekima sana katka mahojiano yako mungu azidi kubariki kazi yako
@millardayoTZA3 ай бұрын
Amen, asante sana Ndugu yangu
@itzsnazzyjazzy4723 ай бұрын
Amin Amin Amin
@allahisone63863 ай бұрын
MOR BLESSINGS 💝👐💝
@salmaramadhan27253 ай бұрын
Baba pole sana, Millard endelea hivyo hivyo mdogo wangu uko poa sana kwenye mahojiano
@liannsambu72643 ай бұрын
Hakika he is smart millad
@Afrikalove7363 ай бұрын
Mungu akupe nguvu mzee kwa kipindi hiki kingumu kwa kufiwa na mwanao.
@RayChausa3 ай бұрын
Ameen
@onanarosse96573 ай бұрын
Pole Sana mzee wetu, Mungu awe faraja kwako na familia kwa ujumla.
@johnsondominick20893 ай бұрын
Kuna watangazaji alafu kuna wewe millard ayo aisee unajua una ekima unajua unamhoji nani unapaswa kuongea nini aisee millard mungu aendelee kukuongoza bravo bravo
@graceandrew39883 ай бұрын
Gardner alikuwa very smart kama baba yake, hakika baba amepoteza jembe.R.I.P bro Gardner
@user-jd6vr9xw1o3 ай бұрын
Pole sana Mzee , Allah akutie nguvu inshallah
@hopegwimile533 ай бұрын
Hakika umaruufu wa Gardner umetoka kwa Malezi bora kabisa ya Mzee Habash.Jambo la kujifunza sana familia zingine.Busara,Utulivu,upendo kwa watu haina nunuliwi. Mungu akubariki na akutunze Mzee Habash na familia yako. Asante sana Millard tulijiuliza Captain Wazazi wako wapi??Umetupa jibu..Milard barikiwa unaupeo mkubwa katika.kazi yako.
@salomewandya72573 ай бұрын
Dah aisee Baba yuko vizuri sana Busara na hekima zimejaa,Pole sana baba Mungu awape faraja 🙏
@barikimoshi44433 ай бұрын
Huyu mzee is very smart minded. Pole Sana baba, Mungu akutie nguvu. I wish ningekua Marangu nyumbani hapo tarakea ningekuja hata kwa bike.👏
@DativaMbowe2 ай бұрын
😭😭😭
@godfreymwamaso24243 ай бұрын
Pole sana Baba Mungu akutie nguvu Hongera sana Millardy kwa hekima uliyonayo una busara sana mshukuru Mungu kwa Neema hiyo aliyokupa Mungu Ubarikiwe
@nurumohammed13103 ай бұрын
Masikini huyu baba mungu alimjaalia kumpa mtoto mwema Gardner kupata Radhia ya Baba yake Baba akifurahi na akamsifu mtoto wake huyo mtoto mungu atampata fungu lake inshaallah
@Zubaiba3 ай бұрын
Pole sana mzee wng,mungu akufanyie wepesi ktk kipindi hichi cha majonzi
@romanilyimo3 ай бұрын
Pole sana mzee wangu na wajina wa baba yng mzazi mzee gabriel Mwenyenzi Mungu awape faraja ktk kipindi hiki kigumu. Amina
@editorfrank74713 ай бұрын
Aron aliwah kufanya kazi PIL namkumbuka sana hii familia wana moyo mzur mno Mungu amlaze mahali pema peponi
@ScopionScopion-zj9cd3 ай бұрын
dah mzee yuko smart sana pole baba ndio maisha kila mtu hajui ataondoka lini duniani tunapita2 mungu amueke mahala pema peponi
@rehemamahendeka-rm2ek3 ай бұрын
Pole Mzee Gabriel Habash,nimeguswa mno na maongezi yako,cpati mfano wa cmanzi/mayonzi ulonayo,Mungu wa huruma azidi kukutia nguvu/subra hili unalopitia,hakika Mola kazi yake HAINA MAKOSA,Pole Mzee Gabriel/familia yote + wana hbr nyote,hii ni njia yetu sote.POLENI MNO.
@ngamugamahonzelosanga33163 ай бұрын
Pole sana mzee inaumiza sana watoto wanatangulia badala ya kutuzika wazee! Mwenyezi Mungu awafariji na awape nguvu za kukubali hali iliyotokea. R.I.P Gadner😭
@user-qe3fs1xc3b3 ай бұрын
Pole Sana baba Kazi ya mungu haina makosa. Sote njia yetu nimeona yy ametangulia na sisi tuanfatia.
@user-pu6pr5jt4n3 ай бұрын
ASILIMIA KUBWA YA VIJANA WAKIUME, PESA ZAO NGUMU SANA KUTUNZA WAZAZ. ILA KWA MADEM HAWAJAMBO. MJIFUNZEEE HAPA, BABA GARDNER ALKUA HAOMBI PESA HUTUMIWA TU. RIP CAPTAIN. ❤❤❤SISI WAKIKE HODARI KUTUNZA WAZAZI
@allyabdallah46413 ай бұрын
Pole mzee wetu sote njianimoja wete niwakupitatu apa duniani
@MonickaMkasi3 ай бұрын
Milliard you are on time,and you bring the best exclusive
@josephatjoseph17553 ай бұрын
Hospital kuna mambo mengi ya siri ukipewa macho ya rohon ndo maana wengine hali zinakuwa mbaya zaid wakifika hospital
@Clex-f5s3 ай бұрын
Yapi mkuu
@madamfarajakigula84233 ай бұрын
Ni kweli kabisa
@FelistersMejumaa-xi2ge3 ай бұрын
Pole sana babuu Allah akufanyie wepesi sana 😢😢
@Rojajaynor3 ай бұрын
pole sana mzee wetu mungu azidi kukupa hekima na akupe umri zaidi
@pmpaga10633 ай бұрын
Pole sana kwa familia, pole sana mzee wetu Mungu awatie nguvu katika hili mnalolipitia!!
@agnessntiburella88163 ай бұрын
Mwenyezi Mungu awatie nguvu familia nzima na sisi wote ,kikubwa tuendelee kumuombea, na hongera Milad ayo kwa upendo ulionao,na hekima wewe ni mtu muhim sana kazi yako unaipenda na una wito
@happinesspessa93903 ай бұрын
Pole Sana Mzee Habadh Mungu akutie nguvu
@brendashao363 ай бұрын
Pole sana mzee wetu mwenyezi mungu awe faraja kwenu. Tunawaombea
@lucasshirima28803 ай бұрын
Pole sana Baba...neno lako kwamba alikuwa amevimba ukawa unamkanda ...ni wazi presha ilimpeleka kuwa na tatizo la figo...Ndugu zangu Presha ni Janga kubwa tuzingatie na tuwe na Nidhamu kwa taratibu za mazingatio ya wataalam...
@MathiasLyimo3 ай бұрын
Millard unabusara sana mungu akubariki
@janehenry17303 ай бұрын
Daah! pole sana baba na familia Mungu Roho Mtakatifu akawe faraja kwenu nyote.
@kanaelikanuya79193 ай бұрын
Pole sana mzee na familia milad pole sana hongera sana kwa mahojiano yako wakati wote mungu akuze kipaji chako mara dufu
@HappyMbise-fb3mc3 ай бұрын
Millard una hekima brow mungu akuimarishe zaidi
@mariamalongo88033 ай бұрын
Pole baba , kazi ya mungu haina makosa. Mwenyezi mungu akupe nguvu.
@jasminmdimi60593 ай бұрын
Pole sana baba mwenyezi mungu awatie nguvu muweze kumpumzisha katika nyumba yake ya milele🙏🙏🙏
@christinewomanoffaith54793 ай бұрын
Baba ana Imani safi sana Mungu mwema
@AminaAminatamimAminaAminatamim3 ай бұрын
Mzee amejaa na Hekima na Busara
@Mselem-dx6to3 ай бұрын
Asilimia 90 watu watanga weng sn wan hekima san kweny kuzungumsha ata kam ujazaliwa tang lkn ukiishi t tang zaid ya miaka10 unabadilikq kila kitu fatilia wat wako wa karibu tang mkuu
@millardayoTZA3 ай бұрын
kweli kabisa 100%
@mrsmumewangu49073 ай бұрын
@@Mselem-dx6tohekima na ustaarabu ni hurka yamtu sio kabira acha kudanganya
@MiriamAbdallah3 ай бұрын
@@Mselem-dx6to habashi ni wachaga wa rombo tanga alienda kikazi ndio kafanya makazi, sio watu watanga
@MiriamAbdallah3 ай бұрын
@@mrsmumewangu4907kwanza sio watu wa tanga , alienda kikazi ndio kafanya makazi hao ni wachaga wa rombo
@otarurosie3 ай бұрын
Mungu mtunze Baba yetu. Hongera Milard.
@rehemaobbasy84093 ай бұрын
Hekima kubwa sana, Mungu akutunze Baba yangu na akutie nguvu sana
@hashilijuma13313 ай бұрын
Good talented Millard ayo 💯🙏🏻
@yasinimalya40013 ай бұрын
Milard kazi nzuri sana Brother!
@PrincessHellen-pg1oy3 ай бұрын
Huyo babu nimempenda bure jamani 😊 pole babu kwa kumpoteza mwanao MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALA PEMA PEPONI AMINA
@rahabnkya82763 ай бұрын
Pole sana Kakangu GABRIEL pole saana . MUNGU akupe NGUVU ya ziada.
@JesuinaBabili3 ай бұрын
Big up @MillardAyo upo njema sana
@MonicaTemba3 ай бұрын
Pole sana baba. Mungu awe faraja kwenu.
@graceandrew39883 ай бұрын
Millard Ayo wewe ni kipaji cha Taifa kwa tasnia hii ya Habari una hekima na utulivu wa hali ya juu,natamani vijana wengi wa Tanzania na EAST AFRICA waige mfano wako..keep the fire 🔥 burning
@khatijahayoub21053 ай бұрын
Pole sana mzee.MUNGU akutie nguvu zaidi na zaidi
@allymganga32233 ай бұрын
Pole sana mzee wetu mungu akutie nguvu katika kipindi iki kigumu mungu amreem mpendwa wetu
@ashurakiswamba70853 ай бұрын
Pole sana baba tunajuwa wote kufiwa usikie tuu Kwa mwenzako kama tunavyosema .baba umeumea zaid.mungu amempenda Zaid .pole sana baba mungu akupe nguvu Zaid yetu🙏🙏🙏
@subirajohn7283 ай бұрын
Pole Sana Baba Mzee Habash! Mwenyezimungu akutie nguvu!
@anandemungure25003 ай бұрын
Big up home boy. Be blessed abundantly Ayo
@millardayoTZA3 ай бұрын
Amen Anande, nashkuru sana Homeboy
@anandemungure25003 ай бұрын
I am humbled brother. Your sizy from Ar. Stay healthy. Kazi nzuri 😘🙏
@BerthaRaymond-qv2zn3 ай бұрын
Sina experience na tasinia ya habari lakini najifunza sanaaa kutoka kwako,Hongera kwa hili Broo lakini Mungu akutie nguvu zaidi kwenye kipindi hiki kigumu uwepo kwa Mzee Habash ni muhimu zaidi kwa kipindi hiki barikiwa sanaa Kaka
@reginaedward48833 ай бұрын
Pole sana babangu mwenyezi mungu akupe subira na nguvu
@user-pe1qv1sn5p3 ай бұрын
mzee mwenye hekma na busara masha Allah mungu akupe subra na imani
@robertlary60073 ай бұрын
Pole sana mzee Habash, Mungu azidi kukutia nguvu. R.I.P Captain Gardner 😥
@user-wc3hn4kt1x3 ай бұрын
Aisee Bro Millard jomba unajua kuhoji vizuri. Wewe ni Professor kwenye Mahojiano. Umewaacha mbalii wengine. Na Baba(Mzee) ameongea vizuri na kueleweka. Pole kwa Mzee naPoleni Clouds..
@salomewandya72573 ай бұрын
Tunashukuru sana Milard Ayo kwa kutupa habari🙏
@jojigeorige10563 ай бұрын
Duh mzee bado yuko vizuri sana...
@hidaya95james533 ай бұрын
Inauma Sanaa mzazi kumzika mtoto wake..Mungu akupe nguvu Baba🙏
@sophiakimaro51743 ай бұрын
Niseme tu nilidhani Gardena ni mhaya.sikujua kama mchaga kabisa.Mungu akupumzishe kaka yangu.Pole saana baba yangu.Kila mmoja na safari yake baba yangu.
@judyngowi3913 ай бұрын
Wa Rombo tena, Tarakea kwetu kule
@MiriamAbdallah3 ай бұрын
@@judyngowi391malizia lokoro kikelelwa
@judyngowi3913 ай бұрын
@@MiriamAbdallah huko huko shost
@stellaukovizurimtanku27443 ай бұрын
Poleni sana babaangu mungu ndie mwamwuzi wetu sisi si lolote tuendelee kumwombea
@maryobedi68073 ай бұрын
Pole sana baba Mungu akawe faraja yako
@umaima11783 ай бұрын
Pole Sana baba. Mungu akupe nguvu
@jescarwegoshola17543 ай бұрын
Pole sana Baba, Mungu pekee akupe faraja 🙏
@nurumohammed13103 ай бұрын
Pole Baba ndo duniani kazi ya mungu haina makosa mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema inshaallah
@caritasmushi88963 ай бұрын
Kusema ukweli Baba anajibu maswali vizuri sana na Millard naye maswali yanafaa kwa mfiwa. Mungu awabariki na poleni kwa msiba.
@user-rx7te2px5d3 ай бұрын
Mungu anatupenda sana nasi tuendelee kupendana kama yeye alivyotupenda...na Mungu ndivyo atakavyotukuzwa ndani yetu.
@user-lh4bb8mm8w3 ай бұрын
Poleni kwa msiba Allah ametoa Allah ametwaa ... Innalilah waina ilaih rajiun....Millard Ayo napenda sana habari zako,,shabiki wako kutokea kenya
@zubedamagambo81393 ай бұрын
Pole sn baba, Mungu akutie nguvu.
@mwanahamisinyenzi-vo6mj3 ай бұрын
Milard mungu akubariki Kwa mahojiano yako mazuri na Kwa utulivu, watangazaji wengine eti unamuuliza Mzazi msiba huu umekuumizaje kweli
@sabablonde91893 ай бұрын
Pole sana Mzee. Kifo kisikie kwa mwenzako, that's true!!!
@MaryMmole-en9qz3 ай бұрын
Dah pole mzee unaumia sana
@avinrwegasira34483 ай бұрын
Pole sana
@Msafirifimbo3 ай бұрын
Duh pole sana mzee mungu akutie nguvu katika kipind kigumu
@tricemollel67393 ай бұрын
Millard congratulations🎉 unsijua kazi yako babaaaa❤❤❤❤
@user-ir3ne3by3n3 ай бұрын
Pole sana baba etu tunaona vile unajikaza kujibu maswali kwa uchungu kaka Millad asante kwa kuwa katika sehemu ya watu wenye kujua kuuliza maswali ya msingi
@momylaviel3 ай бұрын
Inauma sana mzazi kumzika mtoto
@ruthhamisi29023 ай бұрын
Sana
@ritapiusnicolaus70683 ай бұрын
Pole sana baba 💔
@Paplick93 ай бұрын
Rest in peace captain 😭
@user-uu1nx8lj7f3 ай бұрын
Poleni Sana family, MUNGU mwema Sana,daima ntamkumbka kipnd cha jahazi pia alimpenda Sana baby malkia careen
@albanombunju9023 ай бұрын
Daaah😭😭😭😭 Kipo kitu kikubwa mno nimejifunza kupitia nahojiano na mzee na maneni yake. Gadner sio mtu wa kumuomba kitu nilikuwa nashtukia tu amefanya kitu kwenye simu😭😭😭 Huu ndio utu unapaswa kuwa nao kwa watu wetu wa karibu zaidi wazazi,kuna muda unaombwa kumbe huna,tutoe pale tunahisi uhitaji wa mzazi. R.I.P Gardner mbele yako nyuma yetu.
@halimaallyazizi44433 ай бұрын
Mungu akutie nguvu mzee wangu amen
@dianangailo98783 ай бұрын
Mungu akupe faraja Baba , pole Sana
@billgussy60993 ай бұрын
Inasikitisha watangazaji wote anaonwataja mzee walio kuwa Clouds wamefariki akina Amina Chifupa, Efrem Kibonde na Boss wao Ruge na sasa huyu Gadner Mungu awaweke mahala pema.
@user-up2kg1wm9p3 ай бұрын
Polee Sanaa baba msibamzito. Mungu atakupangu baba
@graceandrew39883 ай бұрын
Pole sana baba kwa msiba wa mwanao,Mungu akutie nguvu
@khadejakhadeja97133 ай бұрын
Mungu akupe nguvu Baba kwenye kipindi kingumu Sana kwa kuondokewa na GADNA