UNYAMA, MATESO, UKATILI BIBI AFUNGIWA NDANI, HAPEWI CHAKULA, HAOGI, HAJA KUBWA NA NDOGO HUMOHUMO

  Рет қаралды 265,745

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 628
@alimwakasidi7680
@alimwakasidi7680 Жыл бұрын
Binadam bwanaa daaah, huyo bibi angekuwa na hela ndugu wote wangekuwa wanamgombania huyu shangazi yule mama mdogo yule bibi bibi huku wengine wanajitokeza.ila haya maisha haya
@ngwegwenurdin4318
@ngwegwenurdin4318 Жыл бұрын
Wamesahau walipotoka. Angelikuwa mbaya wasingelizaliwa. Na labda huyo mtesaji halisi chimbuko la kuzaliwa hizo familia ni Huyo bimkubwa. NA PIA JUMUHIYA HAIPO SAHIHI Kama watu wa DINI kuchagua msaada ili hali tatizo linashughlikiwa na muangalizi wanayembeza. DINI MASLAHI. 'I AIN'T LIKE MEN!!.
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 Жыл бұрын
Mama mmoja analea watt kumi lkn watt kumi hawawezi kumlea mama mmoja. This is life 😢
@teophilletus8969
@teophilletus8969 Жыл бұрын
Ni saw lakn nikusaidie kitu kimoj kuzaa tu bila misingi na mikakat ya unachokizaa baadae Ni saw na kuchimba shimo la choo sebren alaf ukalifunika kwa migomba ya ndiz Kisha ukahtaj lidumu na baadae lije lisaidie wengne kwaiy msiraum tu watot angalien kwanz mifumo yao walio andaliw Yan unanunua mbegu ya mti wa embe dume Kisha unasubir mavuno pumbavu
@zeyadazeyada8050
@zeyadazeyada8050 Жыл бұрын
Acha kabisa mungu atufinyie wepesi
@aminakhalid300
@aminakhalid300 Жыл бұрын
Hii ni kweli kabisa baba na ama wanawatunza watoto nane wanawasomesha mahitaji mengiii subiri wapate kazi wanashindwa kuwatunza watu wawili
@esterkiyabo1329
@esterkiyabo1329 Жыл бұрын
Mmhh! Umeona eeehh
@nkamangi4707
@nkamangi4707 Жыл бұрын
Mamangu katuzaa 10 nakwambia sijali anayemlea nimemuwekea wafanyakazi wawili Ana miaka 83 baba Ana miaka 85 ni kivuruge huna moyo unamsusa but I will never ever let them live bad
@raheemsuleyman6757
@raheemsuleyman6757 Жыл бұрын
Wengi Mna mlaumu huyu Dada but huyo Bibi inaonekana ana shida ya akili.... Na Dada huwa katoa taarifa kila ngazi but inaonekan no response.....but baada ya kila MTU kuaona camera sasa ndo wanataka kujionesha mm ni jushaa ktk Hili tukio Kwa kutoa taarifa.....soo far apelekwe ktk kituo cha kulelea wazee akapate msaada
@user-sn4zr9ip9q
@user-sn4zr9ip9q 3 ай бұрын
Hta kma hana akil bc haifai kumtesa kwan bdo atabk ni minaadm tu na wla hao watto wao hawana huruma wallaah
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Жыл бұрын
Kumlea mzazi wako inataka passion hao watu wake waongo familia inataka iwe na imani kubwa. Hiyo mama hataki kufanya hivyo ila ni uzee na maradhi ya akili sio makusudi afanyavyo. Hao ndugu zake hawana imani ya roho na wasubiri uzeeni kwao huu ugonjwa ni wakurithi nao watajakuwa kuliko hivyo. Hakpenda mama awe hivyo. Wanamsahau Mungu.
@irenejoseph5925
@irenejoseph5925 Жыл бұрын
Hata mimi namuelewa huyo dada amefanya sehemu yake Kwanza ni mdogo kajitolea Sana tu
@kawiche4911
@kawiche4911 2 ай бұрын
SEREKALI IKO WAPI
@abelhardware6445
@abelhardware6445 Жыл бұрын
Mwenuekiti anaongea point tupu 100/mia sana mama
@gemmamwajombe3169
@gemmamwajombe3169 4 ай бұрын
Jamani wachaga achani ukatili sura nzuri Mungu aliwaumba sura nzuri Roho zenu mbaya Kama Mashetani na mnasli Sana kwa inafiki ole wenu Yesu alitoa hiyo ole
@worldherotv
@worldherotv Жыл бұрын
Huyo ni mgonjwa wa akili, by the way pongezi kwa huyo dada kwa kujitahidi. Anayedhani hawafanyi sawa, wamchukue wao.
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
Na uyo jirani analalamika tu angemchukua akaishi nae
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 Жыл бұрын
Kbs
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 4 ай бұрын
​@@pendo8082mwenzao akifanya midomo mirefu si ajabu kwenye familia zao kuna changamoto kuliko hizo wanashindwa kuzikabili
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 Жыл бұрын
Angekuwa na pesa agekuwa anaoshwa hadi na kubebwa ila Mungu atawalipa hawa waliofanya huu unyama.
@jumannerajabu8259
@jumannerajabu8259 Жыл бұрын
dah dunia hiii jamani sote tunapita na hatujui tutapita kwa sitaili Gani mungu atupe mwisho mwema semeni Amina
@drbenonline9338
@drbenonline9338 Жыл бұрын
Yaani asikwambie mtu kuishi na mtu mwenye matatizo ya akili inahitaji moyo kweli mimi mwenyewe yalinishinda khaa
@esterkiyabo1329
@esterkiyabo1329 Жыл бұрын
Asante sana ndugu Diwani,Mkuu wa kituo cha kulelea wazee na Wananchi wote wenye mapenzi mema Mwenyezi Mungu atawalipa kwa kadri ya ukalimu wenu
@hafidhisaidi6550
@hafidhisaidi6550 Жыл бұрын
Huyo Dada yupo sahihi sana pia majibu yake yanaridhisha sana kwanza ni binti mdogo hebu muacheni afanye maisha yake.
@martinejoseph6098
@martinejoseph6098 Жыл бұрын
Nimemsikiliza sana mwenyekiti, jirani na huyo dada, kiukwel huyu dada na familia yake wanamakosa kwa kiasi fulani, lkn huyo binti kwa kiasi fulani yupo sawa kwa maelezo mazuri ya mwenyekiti, mbn inaelewak sana???... tuachw kuhukumu
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Жыл бұрын
Ila wapendwa TUSIHUKUMU UKIWA HUJAWAHI KUISHI NA WAZEE WA AINA HII,HUWEZI KUJUWA,YANI INAFIKA MUDA UNACHOKA KABISA,KILA UNALOJITAIDI KUFANYA NI KAMA HUFANYI KITU
@jacklinmacha2964
@jacklinmacha2964 Жыл бұрын
Upo sahihi
@maryjohn515
@maryjohn515 Жыл бұрын
Hatukatai ila ndio umfungie ndani ??? Ifike wakati tuwe na utu na upendo , ebu chukulia mfano tu umezaliwa mama ako tangu mdogo kakutunza adi ukubwan y ww ushindwe kumtunza akiwa mzee?? Aya uyo ni shangaz yake bt y afanyiwe ivy jamani 😭😭 wazee wanachosha ila sio kwa io hatua
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Жыл бұрын
Upo sahiiiii kabs uwez jua bint hanapitia changamot gan
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Жыл бұрын
Wanamtusi tu huyu bint ila wanao kaa nao ndo wanajua changamoto zake
@hellenmsongole
@hellenmsongole Жыл бұрын
Je Kama ni mamaako mzazi utamchoka ?jamani tuwe wavumilivu atujui mwisho wetu
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 Жыл бұрын
Msiukumu kwanza .sikilizeni mpaka mwisho...Ni bora kapata Msahada inatosha...Mengine Tumuachie Mungu....niwashukuru Wote mlioshiriki katika jambo Hili mpaka Bibi yetu Amepata Msahada...In sha Allah..Allah Atawalipa In sha Allah.
@piussimtala5111
@piussimtala5111 Жыл бұрын
Pole sana dada,nilitaka kukulaumu... Nimeelewa,Mungu akutie nguvu!
@fatmabhai2812
@fatmabhai2812 Жыл бұрын
Mtihani mzito .. binaadam wa sasa hatuuna Imani wala huruma Wala hatuna mapenzi kwa wengine . Na ndio mana kuua kwa maisha ya leo watu wanaona ni kt rahisi Sana. MUNGU YUPO TUNUSURU NA TUEPUSHE NA ROHO MBAYA. NA TUPE IMANI NA MAPENZI KWA BINAADAM WENZETU.
@musokedios8162
@musokedios8162 Жыл бұрын
Sasa hapa Mungu ataacha kutupiga taifa kweliiiiiii, Mungu aturehemu
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Жыл бұрын
Baraka za Mungu utaziona ikiwa utamlea vizuri na malipo ya kumnyanyasa ntayapata hapa hapa nanyi yatawakuta tu.
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 Жыл бұрын
Hiyo hali alionayo huyo mama ni kwasababu ya mateso anayopitia
@channyanjen9047
@channyanjen9047 Жыл бұрын
Yani roho inaniuma, masikini Allah ampe shifa
@Leahmjohn
@Leahmjohn Жыл бұрын
Hongera sana dada umefanya sehem yake
@aaa64sa13
@aaa64sa13 Жыл бұрын
Duh!😭😭 Inasktisha sana roho inaniuma. Why?? Kwanini mumfanye Mama hivyo. Ameniliza sana. Pole Mama. Allah Akujaalie Shifaa Uzima na Afya. InshaAllah🤲
@jacklinemwaleleka236
@jacklinemwaleleka236 Жыл бұрын
Jaman msimlaum uyo dada sisi tumeuguza mgonjwa wa aina hii ni Kaz yataka moyo na uombe mungu usiwe na kipato utakimbia ni shida jmn n shda embu achen lawama kwasababu halipo kwako
@hadijahassan-gs8vr
@hadijahassan-gs8vr Жыл бұрын
Jamani jamani Mungu amfanyie tahafif
@dianamdaku9802
@dianamdaku9802 Жыл бұрын
Mwenyekiti nimekuelewa. Mungu anisamehe kwa kuhukumu.
@anoldamkumba3208
@anoldamkumba3208 Жыл бұрын
hatua ya uzee wote ni lazima,unapomtendea mwenzio nawe utatendwa.hujui uzee wako utakuwaje
@christsontarimo5803
@christsontarimo5803 Жыл бұрын
Kwa ambao wamewahi kulea mtu mzee tu..,,au kilema ambae hajiwezi wanaweza kumwelewa huyu Dada., Nimefikiria tu, binti ana watoto wawili, na ili ale, ni lazima atoke akatafute kwa ajili yake, watoto wake na huyo Bibi.,. Nikijaribu kuvaa viatu vyake havinitoshi kabisa.,, Limemkuta huyu Dada leo, lakini tusisahau..,,Mwanadamu ni mtarajiwa wa lolote wakati wowote. MUNGU amsamehe sana huyu Dada ikiwa kuna namna ametenda dhambi sababu yeye ndie alieona.,,,,
@agathaabogast4598
@agathaabogast4598 Жыл бұрын
Nakuelewa ilinipa adi shida ya mgogo mm
@ninaseleman5738
@ninaseleman5738 Жыл бұрын
Kabisa kwanza uy bit nimdogo sana jamani
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
Kabisa sio kaz rahis
@mankamacha4383
@mankamacha4383 Жыл бұрын
Kuna taarifa msitu wa Monduli unawaka moto leo cku ya nne tuaomba taarifa zaidi 🙏
@ashatybella8641
@ashatybella8641 Жыл бұрын
Dada nakuhelewe sana pongezi kwako🙏🙏🙏 wazee😂wengi huwaga awapedi kutoka kijijini 🤷‍♀️ afu mwisho wasiku hanaye lahumiwa niyule anaye hishina mzee huyo 🤷‍♀️🤷‍♀️ hila huyo dada nimemuhelewa vizuri sana kosa nila bibi hapo
@arafakiloli749
@arafakiloli749 Жыл бұрын
Subhannahllah pole sana mama angu Allah akuondoshee madhila yano kusibu
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭Eee Mungu Mtolee hyu mama Mtu mwema amlee.
@allyclaud3782
@allyclaud3782 Жыл бұрын
Kiroho safi bwana juma hebu msogeze pale ghorofani apumzike wiki mbili tu acheze na wajukuu pale. Huo ndiyo uongozi usijali nitakuja kumsalimia kwako hapo
@jumaraibu7879
@jumaraibu7879 Жыл бұрын
Sawa nimemchukua kabisa
@jamilajuma3811
@jamilajuma3811 Жыл бұрын
Mimi namuelewa uyu dada😢 bibi yangu kagoma kabisa kuja kwetu mjin anang’ang’ania kubaki kijijin afie uko wakat ndugu wote wapo mjin, anatumiwa ela na vitu vya kujikim kila kitu anapewa lakin bado anawasumbua ata hao wanaomlea nao wamechoka lakin yeye hatak anang’ang’ania uko uko kiukwel inachosha ila hamuez elewa sometimes hawa wagonjwa wenyewe ni wasumbufu yaitaji moyo wa uvumilivu sana kudeal nao uyo dada bado mdogo sana.
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Жыл бұрын
Hata mimi nipo pamoja na yeye
@simonballu1124
@simonballu1124 Жыл бұрын
ni kweli kabisa tatizo watu wakiona hivi wanajawa mihemuko, ila siku yakiwakuta wataelewa.
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Жыл бұрын
Kweli huyo binti anahitaji msaada mkubwa hawezi peke yake
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 Жыл бұрын
Unatakiwa ni UVUMILIVU Kwa ndugu na kujitolea Kwa hari na mali
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 Жыл бұрын
Cha msingi, na kupelekwa nyumba ya kulelea wazee maana huyo binti inaonekana naye anatafuta apambane na maisha yake na watoto wake, hivyo hawezi kukaa nyumbani kumhudumia huyo mgonjwa. Na kama nimemuelewa vizuri, hata uwezo wake sio mkubwa bado hata yeye anajitafuta hajajipata bado.
@janedenisi7056
@janedenisi7056 Жыл бұрын
Jamani hii kitu ikikukuta utaomba poo mimi nilimlea shemeji yangu peke yangu hadi akafa familia wala haikuona hilo tena wakaona kama ninajipendekeza duuuu kumlea mgonjwa ni kazi ngumu sana inayohitaji hekima sana pole dada najua unapitia nini
@user-rv7nm5ep4p
@user-rv7nm5ep4p 4 ай бұрын
Mungu atusamehe sisi wanadamu Kwa sababu tunajua tuko sahihi kwa yale tunayoyatenda.
@naomimanyenye8726
@naomimanyenye8726 Жыл бұрын
Nimejikuta nalia kwa uchungu 😭😭
@marianmartin7483
@marianmartin7483 Жыл бұрын
😭😭
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 Жыл бұрын
mimi mwenyekiti wa kijiji ameniliza kwa ukweli wake wa kuitetea hii family 😭😭😭😭😭😭 walimwengu walitaka kuwaangamizia jera nyie majirani mungu anawaona kabisa
@janetdundul3858
@janetdundul3858 Жыл бұрын
😢😢😢😥😭😭😭😭jamani mom mzr kwanini ss mnamfanyia hivyo
@josephatkibo2728
@josephatkibo2728 Жыл бұрын
Nyie hamjui wabibi wanakuwa watoto na vichaa kwa uzee wao kama huna roho wa Mungu unafanywa mbaya Bure, mi na bibi mpenzi wangu ukimsikia utadhani wote wabaya.
@Michael_Msanzya
@Michael_Msanzya Жыл бұрын
Sikilizeni Hadi Mwisho Simhukumu huyu binti...
@suziemichael4338
@suziemichael4338 Жыл бұрын
Kuishi na mgonjwa wa akili sio kazi rahisi jamani. Tuache kumuhukumu huyu dada
@JaneMurugi-bd6ej
@JaneMurugi-bd6ej 3 ай бұрын
Tuwe naroho za amani❤mungu atusaindie sana amina
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
@sanoureyaliwadoakaroyo1696 Жыл бұрын
Wanao Muukumu Uyuu Dada Naomba Wafute iyoo Picha kwa Upande wa pili Kama Ni Wewe Upo na Mtoto Na Uku Unajitafutia Maitaji Yko ya Siku Uku Upo Na Mgonjwaa wa Upunguvu wa Akili Ebu Fikiria hapo
@msafiriomary893
@msafiriomary893 7 ай бұрын
Dunian kuna watu wanyama kweri dunia hiiiiiiiioooo machozi mungu tusaidia watu wabaya sana
@RyycRaji
@RyycRaji 4 ай бұрын
Polee dada mung atakulipa ulichofanya ya binadamu acha wahukumu wao
@ishyjuma2246
@ishyjuma2246 Жыл бұрын
From kenya,,machozi yanitoka sana, inasikitisha
@mwanahamisiramadhani1179
@mwanahamisiramadhani1179 Жыл бұрын
Mwenyekit nimekuelewa zaid ya sana' pole sana dada;
@colletatesha5265
@colletatesha5265 Жыл бұрын
This life ee mungu nijalie niwalee wazazi wangu hadi mwisho
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Subhanallah 😭😭😭 Uwiiiiii 😡😡alomfungia humo na yeye afungiwe pia 👏😭😭
@halimamndeme6908
@halimamndeme6908 Жыл бұрын
Hongera sana mwenyekiti wa mtaaa unaongea ponti. Kweli wewe unastahili kuwa diwani.
@lilianmnunguli4457
@lilianmnunguli4457 Жыл бұрын
Kuna watu wanaroho mbaya 😭😭ndio maana watu wengine wanalaaniwa
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Жыл бұрын
kwel 😭😭😭😭😭😭😭😭
@ashatybella8641
@ashatybella8641 Жыл бұрын
Akuna cha roombaya mzee mwenyewe hataki kutoka 🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Subuhanallah. Jamani watuwanarohombaya. Kwanini. Muumfungiendani yarabi mngekuanyie mmefungiwa mgejisikiaje😭
@Leahmjohn
@Leahmjohn Жыл бұрын
Unataka wamuachie na anaupungufu wa akili
@habibakhalfan1065
@habibakhalfan1065 Жыл бұрын
Mbona_Mwenye_kiti_kajieleza_Vizuri_huyo_dada_hana_kosa_na_amefanana_sana_na_shangazi_yake
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Жыл бұрын
Majilani wanafiki sana kama hujapata majilani kama hao mshukru MUNGU
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Жыл бұрын
Mama yangu alikuwa hivyo lakiji nilifunga mkanda nikaacha yote nikamlea hadi kufa kwake na wala sikumsusa na mavi yake mie niliona kwa imani ya Mungu sikumtupa lakini familia hizi zinamtihani.
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Жыл бұрын
Umesema mama yako huyo siyo mamayake
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Жыл бұрын
Pole sana mama ako kafa na roho saf na ww na ww watt wako watakutendea mema km ww ulivyo mtendea mema mama yako inshallah 🤲😥
@omarabdalla928
@omarabdalla928 Жыл бұрын
Hongera mwanaisha Abuubakar mungu akuzidishie moyo wa huruma kwa wazazi nimependa
@NdakiDoyi
@NdakiDoyi 2 ай бұрын
kweli mama ni mungu wa pili lakini unamfungia ndani hakika
@Kornie406
@Kornie406 Жыл бұрын
Nyie wagonjwa wa hivi wanavisirani vyao...huyu dada naumuelewa mbona
@charitymbukwa2987
@charitymbukwa2987 Жыл бұрын
Kama umewahi kuuguza mtu wa hivyo unaelewa, ila kama haujawahi unahukumu as if we ndo assistant wa Mungu. Na mgonjwa akifikia hiyo hatua unaona kila mtu anamkimbia!! Ila Mungu amsaidie Huyo dada kujitoa kukaa naye tu yataka moyo hasa akiwa siyo mzazi wako kabisa.
@rubefabi8366
@rubefabi8366 Жыл бұрын
Kila mtu atakuwa mzee iwapo Mungu atatujaalia miaka mingi.
@benedictboniphace7459
@benedictboniphace7459 Жыл бұрын
Uyu dada hana makosa.yuko na watot wawili bado Yuko na shangaz yak vitu vimepanda Bei,Ata ukipat ela inavyoisha unashangaa mm nadhan familia ingeungana kumpa hudum huy mama.ila naon hii familia ishapat Lana kutok kwa uyu mama .watanzania tuwena Imani tuwatendee vym wenzetu.dada hongora kwa kua na moy wa uvumiliv nadhan Kam uyo dada angekua na makos asingukubal kufika na kuojiw
@marthagabriel3417
@marthagabriel3417 Жыл бұрын
Huyu diwani namkumbuka kwenye lile tukio la yule dada aliefumaniwa mwaka juzi akapigwa na kungolewa nywele 😂
@farajashaban1073
@farajashaban1073 Жыл бұрын
Huyu Dada jaman kazidiwa hao wanaosema vibaya huyu dada wao majirani wanamsaidiaje huyu dada mbona kama mnamuangushia huyu dada mzigo pekee yake na ana watoto wawili jamani, msiwe waumgwana kumlaumu wakati hamtoi msaada jamani
@HarrietArengana
@HarrietArengana 2 ай бұрын
Pole but wamusadie tumunguhatawabariki sana🙏🙏🙏
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 Жыл бұрын
HAPO NIUNAFIKI TUU WABINADAMU ILA HUYU DADA YUPO SAHIHII HAMJAUGUZA NYINYI HASA PALE UNAPOUGUZA MGONJWA KWA MDAA MREFU HALAF KIPATO CHA CHINI ACHENI UNAFIKI
@jacqueli18
@jacqueli18 Жыл бұрын
Watanzania kuweni na huruma na mnapojadili kitu angalieni pande zote, huyu dada bado ni mdogo, inaonekana mambo yamemuelemea, na bado analea watoto. Something may happen lakini akipewa saport anaweza kusaidia, Ila peke yake tusimuhukumu. Watu wanamsema huyu binti Ila Kuna vitu vingi mno vya kutazama, jamii imesaidiaje Kama si vyombo vya habari? By the way Bibi apatiwe msaada na serikali na familia iwe responsible na Kama ilikosea mahali ijirekebishe, don't judge too much
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Жыл бұрын
🙄🙄Ana miaka chin ya 21 ? Maana ss hv miaka 18 sio tena ni miaka 21 mwisho wa udogo
@gladnessjackson584
@gladnessjackson584 Жыл бұрын
Sasa ndo asimuogeshe kumapa ata maji chakula nguo achome ivii unaongea nini wew
@jacqueli18
@jacqueli18 Жыл бұрын
@@gladnessjackson584 kumbuka huyu ni mgonjwa wa akili unaweza kufanya Kila kitu vile umemaliza akajisaidia..and who prove haogeshwi, Hali, nani ameprove? Una uhakika gani? And maneno yanasaidia Nini badala ya kuangalia namna ya kumsaidia...by the way mnatafuta mgonjwa wa pili hapo, huyo binti atapata msongo wa mawazo na yeye atapata uchizi ..punguzenj mdomo haswa kwa vitu ambavyo hamjavishuhudia
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Жыл бұрын
@@gladnessjackson584 anaongea pumba tupu huyu hiv hajui kuwa na yy yatamkuta malipo ni hphp duniani et mdogo anaudogo gn huyu km sio roho mby ni nn?
@halunimnenwa5224
@halunimnenwa5224 Жыл бұрын
BIBI WAWATU KASEMA MALA YA WISHOKAOGA JANA NYI WANDISHI MNASEMA HAOGAGI MBONA MNATAKA KUGOMBANISHA WAYU
@khadijazayumba3857
@khadijazayumba3857 Жыл бұрын
Innalilah mungu aingilie kati ,huyo kakosea kumfungia ndani bila kula bila kuoga na vinyesi hilo ndio kosa la dada ,lkn inavoonekana huyo dada amelemewa a
@satwanthoogan6429
@satwanthoogan6429 Жыл бұрын
Oooh Masikini,🥺😥kafanyiwa unyama huyu bibi wa Hali ya juu...ao waliomfanyia huo ukatili huyu bibi! Wachukuliwe hatua kali..
@kawiche4911
@kawiche4911 2 ай бұрын
SERIKALI IKO WAPI SERIKALI ITUNZE WAZEE Familia ndio wanajukumu lakini serikali itoe hela kwa ajili ya Wazee
@user-ny1pr1hx2z
@user-ny1pr1hx2z Ай бұрын
pole san dada hat hivy umepamban
@annajohn8597
@annajohn8597 Жыл бұрын
Pole shangazi mtu kwa majukumu makubwa
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Жыл бұрын
Wanashindwa kumdhukru tu huyu bint kajitaidi sana mie tu nisingeweza kulisongesha gurudumu hilo
@madawamchuwa8253
@madawamchuwa8253 Жыл бұрын
Huyu msichana nimemuelewa sana ingawa amekosea kumfungia bila hudu ya Choo
@iddamomo561
@iddamomo561 Жыл бұрын
Uyo dada anaongea kwa uchung ukute ni single mama bado awataftie watoto chakula dah km huna ubinadam unaweza kumlaum uyu dada
@ezekielloylepayon5042
@ezekielloylepayon5042 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭 Mungu tusamehe
@dottohami
@dottohami Жыл бұрын
Subhanallah zambi sana hii jaman mnafungia ndugu yenu ndani sio vizuri 😭
@herihalisi2146
@herihalisi2146 Жыл бұрын
Piga kazi kaka#Juma Raibu Nakufuatilia sana bro
@stella.broo.we.noma.sanamu5103
@stella.broo.we.noma.sanamu5103 Жыл бұрын
Mwogopeni mungu, laana itawahusu
@abbashussein-hz4dr
@abbashussein-hz4dr Жыл бұрын
Huo ni unyama zaid ya unyama yani mungu atamlipia zaid Allah ndo hakim subhanallah jamani roho inauma sana mola amsimamie ammyn🤲🤲
@bebygal7801
@bebygal7801 Жыл бұрын
Hey
@abbashussein-hz4dr
@abbashussein-hz4dr Жыл бұрын
@@bebygal7801 habar
@bebygal7801
@bebygal7801 Жыл бұрын
@@abbashussein-hz4dr mzuri
@bebygal7801
@bebygal7801 Жыл бұрын
@@abbashussein-hz4dr Am mary from 🇰🇪
@hanifamasudi9732
@hanifamasudi9732 Жыл бұрын
Allah atunusuru Bona wafanye hivi binadamu Kama wawo
@shadyaloaf8694
@shadyaloaf8694 Жыл бұрын
Huyo Eliza bet huyo mwenyekiti haongei ukweli anaonekana wazi km akapimwe na muende ktk hiyo sehemu ya tukio alipo vunja dirisha mbona maelezo ya wenziwe ht huyo jirani nitofauti na huyo mwenye shangazi yk maelezo tofauti
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 4 ай бұрын
Mdimlaumu acheni mdomo kuuguza sio mchezo, mnaoongea mngepeleka chochote sio kumlaumu
@Teddy-fq5oc
@Teddy-fq5oc Жыл бұрын
Uyo mama ata asinge nishinda jaman tulee wazazi wetu jomon ata kama tupo kwenye umaskini tuweni na utu Mungu nipe roho ya imani nizidi kuwatunza wazazi wetu
@GULF444
@GULF444 Жыл бұрын
Wah laana shikamoo
@khadijashabaninimba7890
@khadijashabaninimba7890 Жыл бұрын
Subhan'Allah 😭😭😭😭
@elizabethfungo-uo3ve
@elizabethfungo-uo3ve Жыл бұрын
Angekuwa mama yake mzazi angesema amechoka kumuuguza daah
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Жыл бұрын
Kwani unazani hawachoki nikwasababu niwetu
@christinamjengi8238
@christinamjengi8238 Жыл бұрын
Mungu awahurumie sana watu wenye roho mbaya
@JumaAlbadri-xb2sn
@JumaAlbadri-xb2sn Жыл бұрын
Kwanza hata anamoyo mie ningemkataa hata kumlea jirani mchukue umlee
@estherjackson6038
@estherjackson6038 3 ай бұрын
Huyo mama jiran ni mnafiki
@sharifajosia879
@sharifajosia879 Жыл бұрын
Hata maji hawampi dah! Wachawi yani hawafai kabisa na mungu atawapa jibu la waliyomfanyia huyu bibi wallahi mungu anawaona nauchawi wao
@aminamassawe1768
@aminamassawe1768 Жыл бұрын
Ila majiran mna moto wenu mbinguni.. hamuoni huyo mama ana shid ya akil jamaan na huyo dada Bado mdg naona nae kashachoka kikubwa mngemsaidia kumlea kumsema huko VP.. bas msaidien nyie
@christophersubiraga3525
@christophersubiraga3525 Жыл бұрын
Makanisa/Misikiti wasaidieni wasiojiweza kwa sadaka zetu na mjenge nyumba za kuwalea wazee na vilema. Serikali jamani kodi zetu basi zilee hawa watu wasiojiweza muwachukuege pia
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 Жыл бұрын
Kodi zetu wanapewa yanga na simba wakifunga magoli
@Rasheedsmartguy
@Rasheedsmartguy Жыл бұрын
Jumuiya inatakiwa kushirikiana na familia ya aina hizi kwaajili ya kuokoa uhai wa mtu
@ngwegwenurdin4318
@ngwegwenurdin4318 Жыл бұрын
Lakini jumuhiya ijitoe kwa kutochagua. JUMUHIYA INA WAELEWA NA WASIO WAELEWA. HIVYO WAELEWA WASIACHE KUTUMIA HAIBA ZAO. Full atop!!.
@rubenprince8990
@rubenprince8990 Жыл бұрын
​@@ngwegwenurdin4318 serikali mbovu inatesa wananchi serikali ingekuwa na utawala mzuri kwa maendeleo ya wananchi huyo mama angekuwa anatunzwa vizuri ingekuwa huku ulaya ndugu zake wangeshitakiwa vibaya mno
@user-hk1ci2yg8m
@user-hk1ci2yg8m 2 ай бұрын
Daah jmn tusiogope kufa tuogope uzee naumia moyo wangu kumuona bibi anapitia mugumu
@paulinakiria7918
@paulinakiria7918 4 ай бұрын
Huyu kaka yuko vizuri ni kiongozi na nusu
@rosemarymunyi5035
@rosemarymunyi5035 Жыл бұрын
Thank you you all
@Mamkubwa
@Mamkubwa Жыл бұрын
Kiukweli inabidi tudumishe sehemu za wazee.... wapo wèngu hawa. Mwenyezi Mungu atupe nguvu kws hili
@AmaniboiTz
@AmaniboiTz Жыл бұрын
Machozi yamenitoka😭😭😭
@morjanoman5181
@morjanoman5181 4 ай бұрын
Tz. bado tunashida sana kipato kidogo kwamba mtu anawaza nitapataje pesa ili watoto wale utakuta mdawa kuwaangaria ma bibi. Ni shida
@sharifajosia879
@sharifajosia879 Жыл бұрын
Ee mungu mpe shifaa huyu mama nakuomba mungu wetu
@sheidahkerry3806
@sheidahkerry3806 Жыл бұрын
May the LORD have mercy over her in JESUS NAME🙏🙏🙏
@HabimanaAbdaul
@HabimanaAbdaul Жыл бұрын
0000a00aaaa00aaaa0aaaaaaa0a0aaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaa00aaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0a00aaaaa00aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaa
@elizaminja4249
@elizaminja4249 Жыл бұрын
Majirani ni wanafki na nyie mchukueni mkakae naye
@PendoKinabo-ic5lj
@PendoKinabo-ic5lj 4 ай бұрын
Mbwa hawa
@beatricetairo2879
@beatricetairo2879 Жыл бұрын
Wakwanza too sad 😭😭😭
@Zabibu-tr1lj
@Zabibu-tr1lj 3 ай бұрын
😢😢 ila hiìiii dunia tunapita wangemcaidia tuu huyo bibi. Apo hakuna namna
@user-xk3ue8yi3s
@user-xk3ue8yi3s 2 ай бұрын
Kukaa mutu akili hakuna ni kazi kubwa kuwa na subra
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 31 МЛН
BIBI ALIETUMIA 'MAAJABU' KUZUIA BASI ARUSHA AHOJIWA
10:53
Millard Ayo
Рет қаралды 767 М.
SHUKA TUKUONE MUNGU WETU BY SIFAELI MWABUKA. Shuka Tukuone - *811*239#
7:19
SIFAELI MWABUKA OFFICIAL
Рет қаралды 23 МЛН