EXCLUSIVE: MAMA NA MTOTO HAWAJAONANA MIAKA 41,WAKUTANISHWA MOSHI "NILITUMA MALAIKA, NI KILIO"

  Рет қаралды 159,967

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 375
@gretagonga2966
@gretagonga2966 Жыл бұрын
Jamani I know this lady, alikua jirani yangu. She is just a sweet soul. She has a strong faith jamani. Mama B nimefurahi kukuona tena sweetheart ❤️
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 Жыл бұрын
Anakaa dar sehemu gani
@dianamsuya4854
@dianamsuya4854 Жыл бұрын
I know her too ...ni m2livu na mchamungu mno dadaangu
@cesilialucas2458
@cesilialucas2458 Жыл бұрын
Mungu ni mwema anajibu kwa wakati sahihi
@auntdorah9141
@auntdorah9141 Жыл бұрын
Mungu ni Mungu asiyeshindwa, Mungu azidi kukuinua binti, umeinua imani za watu wengi, nimekupenda sana...na kulikubali hili Neno MUNGU WA YASIYOWEZEKANA...yale tunaona hayawezekani Mungu hufanya njia🙏🙏
@hubamwinyi2441
@hubamwinyi2441 Жыл бұрын
Je huyu mama hakupata ht kujua ndugu za mtu aluyezaa nae au ht wafanyakazi wenzao...licha ya mawasiliano kuwa magumu ila miaka 40 ni mingi mno kutokujua kabisa habari za mwanao. Mtoto sehemu kubwa ni mama, hakuwahi ht kupata mshtuko kuwa kizazi changu hakiwezi kupotea, angetafuta ht bdugy au jirani ili apate kumuona na kujua kuwa mama yeye yupo. Ni huzuni kubwa sana hii...wajukuu utawauma mno wakikua na kujua. Ni ngumu kuunganisha udugu. Mungu tusaidie na utusamehe.
@magrethpastory4311
@magrethpastory4311 Жыл бұрын
Mungu ashindwi yeye ni muweza wa yote.Hongera kwa ulilofanya kumtafuta mama ,hakuna kama mama
@marthamungure1777
@marthamungure1777 Жыл бұрын
Huyu mama hakuwa anamuhitaji kwa sababu alikuwa na watoto wengine🤔. Namshangaa alivyomsahau mtoto wake kabisa😢
@saynabmohammed6263
@saynabmohammed6263 Жыл бұрын
Pengine ameona din yke tofaut
@marthamungure1777
@marthamungure1777 Жыл бұрын
@@saynabmohammed6263 Alimwacha akiwa mdogo. Hakuna sababu yoyote. Mtoto mdogo hajui dini. Alimtafuta mama alipojua wokovu.
@mwitaagness455
@mwitaagness455 Жыл бұрын
Usishangae miaka 41 ni mingi jamani huez kumkumbuka mtu
@marthamungure1777
@marthamungure1777 Жыл бұрын
@@mwitaagness455 Alikuwa wapi mpaka akafika miaka hiyo?? Hata baada ya mwaka au miwilu hakutaka kwenda kumwona alipomwacha?
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema Жыл бұрын
Vitu kama hivi vikitokea huwa vina Ishara nyingi mfano inawezekana Mama ameishi kwa majonzi na amekuwa akimuomba Mungu kabla hajaondoka Duniani akutane tena na Binti yake. Huyu Binti afanye Ibada ya Shukrani pia afanye mpango yeye na Mama yake waende Tabora kumuona Baba yake ili Wazazi hawa waombane Msamaha. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
@husseinally5550
@husseinally5550 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@kadokemarco9966
@kadokemarco9966 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@mengikiguruwe6750
@mengikiguruwe6750 Жыл бұрын
Inawekana pia huyu binti alitaka kuonana na mama ili amuoneshe wajukuu na mkwe wake kabla hajatwaliwa; suala la kwenda Tabora si muhimu kwa sasa kwani mzee ana maisha mengine
@mercygibson1379
@mercygibson1379 Жыл бұрын
Glory to Almighty Living God. Amen
@zawadizawadimussa23
@zawadizawadimussa23 Жыл бұрын
Uyu mama ni mtata hakuwa na uchungu na mwanae
@jamilajamal1584
@jamilajamal1584 Жыл бұрын
Huyu mama mmmmh roho ngumu 🥲dada ww ni kupe hongera sana👏🏽👏🏽👏🏽
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
😂😂 kabisa mama roho ngum mi hata nigombane Vipi na Mzee siwez Acha watt wangu isitoshe Baba angle ni Baba mzuri mdada anahekima
@zurrychannel235
@zurrychannel235 Жыл бұрын
Nilijua mimi tu ndio nimeliona ilo😃😃🤔
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 Жыл бұрын
Usiwe mwepesi kulaumu mpaka ukiona Mama kamuachia mtoto Baba mengi yalihusika
@maajabumaridadi8756
@maajabumaridadi8756 Жыл бұрын
Ana roho ngumu sana yn sijui anachinja ng'ombe. Ila huyu dada anamjua sana Mungu ndy maana ana furaha na amani yn kasahau yote.
@aminamakobola7386
@aminamakobola7386 Жыл бұрын
Hongera Sana angel
@husnaameen9309
@husnaameen9309 Жыл бұрын
Huyu mama alijitoa muhanga dah, Bora tu umeonana nae lakini amama yako ana roho ngum sana
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Жыл бұрын
Inaonekana mama kweli anaroho ngumu hata mwonekano wake kwenye picture hachangamki
@Neema935
@Neema935 4 ай бұрын
Huyu mama , moyoni mwake, hamna furaha, sijuwi anakumbuka alicho fanyiwa na mwenza wake. Hongera sana dada.
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs 24 күн бұрын
Napenda kuwapongeza walezi wahuyu dd,,mmemlea vzr sn,,anamjua Mungu,, waooooooo hongeren walezi wote,pokeen maua yen🎉🎉🎉,,mama yak mh
@lovegodwine7868
@lovegodwine7868 Жыл бұрын
Mama ana roho ngumu , sijui ni hasira daaah🥲🥲
@neemaloy889
@neemaloy889 Жыл бұрын
Maombi Yana nguvu Sana Dada hongera kwa kumtanguliza MUNGU
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 Жыл бұрын
Maskini🙏🙏🙏 hongera Sana kwa kumpata mama ako mzazi kweli una fraha kubwa moyoni.
@saurasoso1543
@saurasoso1543 Жыл бұрын
Uyo mama mwenyewe Sasa ongea yake tu ana kiburi zarau na roho yake ngumu kinyama mbona haonyeshi kumfurahia mwanae khaa 😂😂😂😢
@annehk8185
@annehk8185 Жыл бұрын
anasikitisha kwa kweli yaani hana furaha hata ya kuigiza ile ya kinafiki aibu tupu kwake kama mzazi
@fideahyera2599
@fideahyera2599 Жыл бұрын
Aibu na kujickia mkosaji kwa mwanae
@joycemwankusye4872
@joycemwankusye4872 Жыл бұрын
Hata mi huyu mama simuelewi duuu...
@namsamson3443
@namsamson3443 Жыл бұрын
Alafu mtoto anamkumbatia yeye wala, ndugu zake Angel ndio wamefurahia ila huyu mama 😢
@lylianvegulla7555
@lylianvegulla7555 Жыл бұрын
Ni aibu. Watoto wanaPotezaga Baba siyo Mama.
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
MUNGU WA MAMBO YASIO WEZEKENA 🙏🏿AMEN AMEN MAMA HUYU ❣️
@yasmine937-so4mi
@yasmine937-so4mi Жыл бұрын
Kuna wamama wanaroho mbaya miaka 40 hujui mwanao anaishi vipi looo huyu mama anaonekana anaroho ngumu kweli ata ongea yake kwanza anaona aibu looh😂😂😂 Ahsante mama angu kwakutukuza watto zako nitakupe daima❤❤❤
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Жыл бұрын
Yani huyu mama Hana hata aibu
@michaelchristopher2452
@michaelchristopher2452 Жыл бұрын
Bi mkubwa samahani lkn wew ni mtu mbad sana
@narlt229
@narlt229 Жыл бұрын
​@@michaelchristopher2452 😂😂
@maajabumaridadi8756
@maajabumaridadi8756 Жыл бұрын
Huyu mama ana roho ngumu kwa sababu angekuwa na nia ya kumtafuta mwanae angeweza kwan mzazi mwenzie alikuwa ni mtumishi wa serikali ni rahisi sana. Na baba wa huyu Angel ni mtu mzuri inaelekea maana angekuwa nunda angemwambia labda mama ake alikufa siku nyingi lakini hajamficha kitu. Huyu baba akapewa maua yake.
@dominamsonge3088
@dominamsonge3088 Жыл бұрын
Huyu mama anaonekana hasira ya mwenza wake aliihamishia kwa mtoto maana kama vile bado anahadira jamani. Mungu atusaidie wamama
@justinalyimo7966
@justinalyimo7966 Жыл бұрын
Kahsmishiaje Sasa wakat baba alitaka mwanae
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 Жыл бұрын
Una psychology kali sana,hata mimi nimegundua hilo
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Жыл бұрын
Yani pia naona HUYU mama hajafurahi
@memoryngambi7570
@memoryngambi7570 Жыл бұрын
Unamaanisha yupo kama bibi Ester yaani wa kwenye CD ya teke la mama,umenifurahusha ndugu yangu.
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Жыл бұрын
@@memoryngambi7570 🤣🤣🤣🤣🤣
@user-we3mp7be4c
@user-we3mp7be4c 23 күн бұрын
Mama roho ngumu amegawa mtoto na kumsahau kabisa miaka yote inaima Dada Imani yako kwa Mungu ni kubwa ubarikiwe kabisa mm hana mapenzi na mtoto kabisa
@uwinezajohara8362
@uwinezajohara8362 Жыл бұрын
Maman ni maman tu hakukulea ila unatamani umuone .upendo wa mama na mwana ni wakipeke
@msaphirimagallah5781
@msaphirimagallah5781 Жыл бұрын
Huyu mama asamehewe tu... nawasihii wamama wale hizi roho achaneni nazo! Mnawatesa watoto wenu wasikuwa na hatia...
@NextoHunter-rm3cs
@NextoHunter-rm3cs Жыл бұрын
Dada unaimani kubw sana na mungu
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Yesu nilijua movie. Big up sweet heart kumpata mama.
@saidasimba9979
@saidasimba9979 Жыл бұрын
Ila uwezo wa kila mtu kumtafuta mwezie ilikua inawezekana kabisa sema hawakutaka
@mkanjimamkanjimamkanjima2043
@mkanjimamkanjimamkanjima2043 Жыл бұрын
Wapo wameru furani wakiona hii vedeo cjuwi wanajiskiaje kwa kweli maana hao wameru ninao wataja watupa mtoto wa miezi 6 kwa baba mpaka sasa huyo mtoto yupo zaidi ya miaka 23 na hawana hata muda wa kutaka kujuwa yupo au la 😊
@minamina8024
@minamina8024 Жыл бұрын
Ila uyu mama kauzu sana
@mamachris6811
@mamachris6811 Жыл бұрын
Dada anajua kujieleza,( anatiririka kama Mtangazaji) Conguraturations 🎉
@sifatiiman
@sifatiiman Жыл бұрын
yuko vizuri kama mimi tu
@halimamohammed7863
@halimamohammed7863 Жыл бұрын
Mama mwenywe mbna hana raha na mtto wke 🙄🤔
@shamzone388
@shamzone388 Жыл бұрын
Hakuna kama mama kwa kweli Hongera dear
@stellakusaga4916
@stellakusaga4916 Жыл бұрын
Glory be to our God almighty
@ellybrown5989
@ellybrown5989 Жыл бұрын
Mungu ni mwema Angel Barikiwa Sana na Mama,wabarikiwe pia waliokulea.
@hildahtemu
@hildahtemu Жыл бұрын
Nafrah sana mama angu yupo....mungu ahsante kwa ili ❤pia naiman baba yangu nawe utakuepo na wish nikuone ...mimi ni mzima na wishi nawe nataman nikuone baba ata sekunde moja❤....daaah sijui ntampata wapi mana najina moja tu nalolijua....Temu❤
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Жыл бұрын
Mama mbona amkumbatii mtoto jamani huyu mama Amesema neno moja eti nilimwacha mtoto akae na baba yake kwa kuwa nina wengine. Lo hatausifanye juhudi ya kujua yuko wapi.
@nururaymond5
@nururaymond5 Жыл бұрын
Hawajafanana hataaaaa!!!!Ila binti ana Mungu ndani yake Walezi wake pongezi kwenu
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Жыл бұрын
Siqezi kuachia mtu mtoto wangu hata km niko na Hali gani we!
@fatmaally7252
@fatmaally7252 Жыл бұрын
Mashaallah jamani
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Жыл бұрын
Mama Amejaa Asira Sijajua Kama Anajisikia Vibaya Kwa Kukaa Mbali Na Mtoto Bila Kumsaka Au Bado Yuko Na Asira Wenda Kati Yake Na Mmewe Awakua Na Mawasiliano Mazuli Sasa Bado Amejawa Asira
@floraflora5717
@floraflora5717 3 ай бұрын
Inavyo onekana uyu mama sio poa kwake ajapenda afu anasema anaelekea kuwa mubibi wakati kishazeeka unamuachachia mwanaume mtoto wako eti yupo mikono salama duh dada pole sana pia onger
@salminasalim5630
@salminasalim5630 Жыл бұрын
Pole kwa kutopata mapenzi ya mama udogoni na hongera kumpata mama yako ukubwani ingalau uweze kuonja mapenzi yake MMUNGU awalinde and continue to cement your relationship
@auntdorah9141
@auntdorah9141 Жыл бұрын
Nikwambie kitu ndugu, sio wamama wote wenye mapenzi kwa watoto wao, kuna mtoto analelewa na mama mzazi lkn mitihani anayopitia! Na kuna mtoto analelewa na mama wa kambo ukiambiwa sio mama yake huta amini! Tunategemeana na moyo wa mtu. Japo mama ni mama
@auntdorah9141
@auntdorah9141 Жыл бұрын
Nikwambie kitu ndugu, sio wamama wote wenye mapenzi kwa watoto wao, kuna mtoto analelewa na mama mzazi lkn mitihani anayopitia! Na kuna mtoto analelewa na mama wa kambo ukiambiwa sio mama yake huta amini! Tunategemeana na moyo wa mtu. Japo mama ni mama
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
😢😢mi nilikaa 7yrs bila mama na alivyorudi hakukaa akafa
@habibaomarykiponda4036
@habibaomarykiponda4036 Жыл бұрын
Sasa kwann alimuacha mdogo akachukua wakubwa mdogo simuach ht kwa dawa nitamuiba tu
@lovenessfrancis5547
@lovenessfrancis5547 Жыл бұрын
Dah!mama komando professional ps but matendo commando jmn miaka 2-40 hujui Hali ya mwanao dah!! hongera dada nimekupenda bure
@muta-news2786
@muta-news2786 Жыл бұрын
Ndugu zangu wapendwa,hizi story za kuachwa na mama kwa baba ukiwa mtoto mdogo zisikie kwa jiran isikupate eiseee. Mimi mwenyewe niliachwa nikiwa na miaka minne ila naisi mpaka Leo hii maumivu ayajawahi kuisha rohoni. Nimefurahi wamekutana ila lazima ukweli tuseme,wanawake wengi uwa wanaogopa kuogopa na watoto wa mwisho au wadogo Sana kuogopa usumbufu wa maisha.maana mtoto wa miaka 2 uwezi kumuacha kwa baba yake na kuondoka na watoto wakubwa iyo Nini Sasa. Of course mm siwez kudanganya hii kitu uwa inanisumbua akili Sana mpaka naisi ivi au nilikuwa sipendwi na mzazi wangu au tatizo ilikuwa Nini mpaka akaniacha na kuondoka na watoto wakubwa na kuniacha mm mdogo kiasi kile. But anyway tupendane tu na maisha yaendelee ndugu zangu. Ila tujifunze kitu wazazi tunawaumiza watoto kuwatupa wakiwa wadogo kiasi kile.but kitu Cha kumshukur mungu imenifundisha kuheshimu mke wangu na kuwapenda watoto wangu sitaman ata second kuishi mbali nao au mama yao kunitelekezea watoto km ulivyo kuwa kwangu. Kuna mda inanipa moyo wa uvumilivu Sana kwenye familia yangu.Nimeipenda hii story japo imeniumiza maana nimekumbuka mbali Sana.naisi tuna la kujifunza kwenye Aya maisha.
@sagboison6297
@sagboison6297 Жыл бұрын
Pole sana
@ramadhanideu6444
@ramadhanideu6444 Жыл бұрын
Pole bro mwenyez mungu mtukufu awajaalie mema ww na familia yko
@ebonybhoke5321
@ebonybhoke5321 Жыл бұрын
Pole sana kaka,Hongera Mungu amekuwa familia yako
@pudensianamhasi5364
@pudensianamhasi5364 Жыл бұрын
Pole sana,pole mnoo,samehe tu
@farhatomar78
@farhatomar78 Жыл бұрын
Pole kaka Mungu ndo mpangaj wa yote
@ifadatalizam8607
@ifadatalizam8607 Жыл бұрын
Huyo mama wala haoneshi furaha kakalia kiroho mbaya
@mwajumahamisi2006
@mwajumahamisi2006 Жыл бұрын
Kabisa
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 Жыл бұрын
Mimi nahis kama moyo wake umekufa ganzi sijui amini amin
@aminakasim1198
@aminakasim1198 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Astaghafirullah
@sifaupindo
@sifaupindo Жыл бұрын
Kakika, pia atakua Hana mapenzi nae sababu hajamzoea, na mazoea pia yanaongeza upendo
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 Жыл бұрын
Katika hii dunia mama ni kila kitu
@ScollaLeba-qm3rv
@ScollaLeba-qm3rv Жыл бұрын
Dah furaha ilitawala sana hongereni jamani ❤️❤️
@lydiahbhoke2284
@lydiahbhoke2284 Жыл бұрын
Najifunza kuendelea kuwapenda wanangu sana sana Mimi ni wa maana sana kwao
@NasmaSaidy-zt4ly
@NasmaSaidy-zt4ly Жыл бұрын
Mashaallah
@LucyMwasu
@LucyMwasu Жыл бұрын
Hongera dada kwa kuweka Imani kwa Mungu Ni kweli hakuna jambo lisilowezekana kwa Mungu
@SelemanMuhamed-ir5zl
@SelemanMuhamed-ir5zl 11 ай бұрын
MUNGU NI MWEMA SANA. KILA KITU KINA WAKATI WAKE JAMANI. MAMA YANGU NAYE HIVYOHIVYO ALIACHWA NA MAMA YAKE AKIWA NA MIAKA 3 NA AKUFANIKIWA KUKUTANA NA MAMA YAKE . LAKINI KATIKA KUMUOMBA MUNGU NA KUMTAFUTA. 2022 AMEFANIKIWA KUMPATA MAMA YAKE AKIWA AMEZEEKA HUKO KIJIJINI MOSHI.
@abdulkaleemmbarak6670
@abdulkaleemmbarak6670 Ай бұрын
Tenda wema wende zako. Mama ametoa pongezi Kwa binti yake na clouds TV akamuacha mzazi mwenzake alie kuza.Baba nakupa hongera Kwa kukuza binti yako jazza yako iko Kwa mungu.
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Жыл бұрын
maa shaa Allah🤗🤗😍😍😍
@mariamnkenzi3651
@mariamnkenzi3651 Жыл бұрын
Oh glory to Jesus❤
@mrsmumewangu4907
@mrsmumewangu4907 Жыл бұрын
Nilichogundua mama Amna hapa eti nilijua yupo kwa baba yk atakua salama mzima kweli ww mqwanao hata umuache kwa bilionea kumtafuta muhi dah we dada unamoyo Sana Kama mm mwenye roho ya kinyama sizani Kama ningekutafuta thubutuuuuui
@halimaabdul4805
@halimaabdul4805 Жыл бұрын
huyu mama noma duu
@evankya1955
@evankya1955 Жыл бұрын
kuacha mtoto wangu na kufunga milango ya kumuona tena for 40yrs jamani hiyo ni roho ya namna gani? i feel for Angel
@vumiliawambula1716
@vumiliawambula1716 Жыл бұрын
Amen Amen Sana Mungu nimwema
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 Жыл бұрын
Ila huyu mama mmmmh 41 yrs
@NaomiMshana-lj4tc
@NaomiMshana-lj4tc 25 күн бұрын
Barikiwa sana dada enjo
@marthajohn9120
@marthajohn9120 Жыл бұрын
Hongera sana my dear kwa kuwa na imani kubwa sana
@lilianimikaeli
@lilianimikaeli Жыл бұрын
My
@hildahtemu
@hildahtemu Жыл бұрын
Hello Clouds naomba muanzishe na ya kukutana na baba japo ni ngumu lakin tutawashukulu❤
@roseodipo9868
@roseodipo9868 Жыл бұрын
Mmh mama mbona bado ana hasira na ba mtoto sijui nisemeje?kama hana furah kivile🤷🏻‍♀️
@maimunamsakamali9152
@maimunamsakamali9152 Жыл бұрын
Hongera bibi sahili Kwa kumpata mwanao
@brytonypeter5348
@brytonypeter5348 Жыл бұрын
Mm nilitelekezwa na baba yangu nikiwa na miez mpaka Sasa Nina miaka 25 nimefanya jitihada za kumtafuta mitandao mpaka nikampata ila kiuhalisia waalimu Wana tabia ya kukimbia watoto alihama kikaz akahama mazima
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 Жыл бұрын
Ni kweli wanacho kifanya clous Fm ni huduma ya Mungu
@nasseralhabsi1483
@nasseralhabsi1483 Жыл бұрын
Kwa kweli wanafanana hasa. Huyu kweli ni mama yake.
@user-li1wb6pu7h
@user-li1wb6pu7h Жыл бұрын
Huyu mama ana roho ngumu mtoto wako wa miaka miwili unmuacha baba kweli umesema ilimuacha huyu ikaondoka wengine kwanini usiwaache hao wakubwa ikaondoka mauti mdogo?wewe mama noma
@happymau2809
@happymau2809 Жыл бұрын
Waoow Asante Mungu
@bigirumanalululouise4540
@bigirumanalululouise4540 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@user-rx8pp8ql9p
@user-rx8pp8ql9p Жыл бұрын
Hongera sana Mungu amejiinua na hakika ni Mungu wa yote yasiyowezekana,
@angle3600
@angle3600 14 күн бұрын
Maombi yananguvu,na anajibu na wakati wake,mimi ninaushuda wa maombi
@rehemangowi-zk6qu
@rehemangowi-zk6qu Жыл бұрын
Jamani huyu mama mbn anashangaza mbn haonyeshi kumfurahiyi mwanae ,majibu ya mkato ,,kama haikuwa muhimu mtoto kumtafuta khaaaa😂😂😂😂😢
@salummbunga4167
@salummbunga4167 Жыл бұрын
Alilia Sana siku ya sherehe so hii sio mara ya kwanza
@robertmwangomale
@robertmwangomale Жыл бұрын
Jamani ni jambo jema sana,,,,nami namtafuta baba yangu mzazi tangu nizaliwe sijawai kumuona naitwa Robert mwangomale ( ila Jina baba niliambiwa anaitwa mlewa A mlewa anaasili ya iringa na dodoma
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 Жыл бұрын
Uyu mama ana roho ngumu sana miaka yote iyo umekaa hujui mtoto wako yupo sehem gani du
@waimani5550
@waimani5550 Жыл бұрын
Nazani ndio sababu ya Mungu aliamua kumtenganisha na mtoto wake, vinginevyo binti angekuwa kama mama yake
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Жыл бұрын
Yaani jamani
@carolineelias5847
@carolineelias5847 Жыл бұрын
Hakika Mungu ni mwema sana kwake yote yawezekana
@happyness577
@happyness577 Жыл бұрын
Mungu ni mwema kila wakat
@nasramuhammad2046
@nasramuhammad2046 Жыл бұрын
Niko na miaka 25 mamangu n tz kutoka moshi ila ako kenya tangu tuzaliwe ajawai kanyaga kwao kwa wajomba zng ata siwajui Allah atueke nikutanishwe na familia ya mamangu 😢 😢
@sabrinamchipu7657
@sabrinamchipu7657 Жыл бұрын
Ila bibi mmh mbona kama hajaelewa vizuri kweli mtoto wako humuoni kipindi chote icho mpaka amekutafuta mwenyewe mama apo ukosea sana wewe mama ndo ulitakiwa kujua mwao yuko wapi na mwanao anaishi vipi ata kama baba alikua na uwezo na nanimlezi pia lakini si kwakumuacha mwanao iyvo
@Mamiseti7
@Mamiseti7 Жыл бұрын
❤❤
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Жыл бұрын
Mimi sijaelewa!! Mama miaka yote jamani usimtafute mwanao?!!!! Na njia za kumpata zilikua sio ngumu kabisaaa
@esterkiyabo1329
@esterkiyabo1329 Жыл бұрын
Mmmhh! Wewe mama! Muda wooote miaka 40?
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Жыл бұрын
Mama Na Mtoto Wote Watata Miaka41 Eti Usisake Mama Mzazi Kweli Jamani Du Wote Wakosefu C Mama Wala Mtoto Wote Wakosefu
@sifatiiman
@sifatiiman Жыл бұрын
mama ndio alitakiwa kumtafuta mtoto mtoto toka anamiaka 2 unaakili wewe?
@ashurakodd1589
@ashurakodd1589 Жыл бұрын
Sasa mlitaka apige mayowe ya kinafki ama anaonekana huo ukimya alishaathirika kisaikolg kama unamwelewa mimi nimemwelewa kwa sababu nimeyapitia kama sio Mungu da! Ilikuwa ni hatar ya wangu kunisahau kwa ajili ya mjinga mmoja
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 Жыл бұрын
Mashallah 🙏🙏 nimefurahi sana kusikia umeipata pepo yako🔥🔥🔥
@hemedytengu5718
@hemedytengu5718 Жыл бұрын
Pepo ya Dunia ni mama🥰
@marselinarweyemamu4034
@marselinarweyemamu4034 Жыл бұрын
Kwa mtazamo mama haukuwa na mapenzi ya mwanao.kiukweli haiwezekan we miaka yote usimtafute mtoto
@rahmaidd1246
@rahmaidd1246 Жыл бұрын
unajuaje wewe
@sifasanga7866
@sifasanga7866 Жыл бұрын
Mimi ukweli nimeingia leba siwezi kuacha mtoto wangu Mdogo bila kumfuatilia
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
Sahihi angalia hata uongeaji wake amerilux Sana
@ChristianDondo
@ChristianDondo Жыл бұрын
Kumbukeni mawasiliano ya miaka 40 iliyopita yalivokuwa, mtu akihama mkoa asiporudi yeye alipokuacha na ww ukawepo ngumu kuonana
@hamedhabsi2752
@hamedhabsi2752 Жыл бұрын
Kwa mtazamo wangu Mimi Mtoto ndie atafutae wazazi wake. Yeye kafika Hadi umri huo wa karibu miaka 43 kutoka na stori iliyozungumza happy kua wametengana wakati akiwa na umri wa miaka miwili. Kea Nini hajamuuliza babake kuhusu Mamake?
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын
Dah😭 miaka yote hiyo hatimae umempata Mama yako mungu mwema lakini pia baba yako ni mtu mzuri maana ingekua baba mwengine angekwambia Mama yako ashakufa haswa ili usimtafute
@ElizabethEnock-ub5vv
@ElizabethEnock-ub5vv 10 ай бұрын
Namuomba mungu kila siku anifunguliy njia nikutane na mama yangu hakika nitafulai sana
@fathatsaid367
@fathatsaid367 Жыл бұрын
Mtt anahaja na mama ila mama sielewi duu Allah atutie imani
@lilianimikaeli
@lilianimikaeli Жыл бұрын
My
@bahatimalundi3593
@bahatimalundi3593 Жыл бұрын
Inaonekana mama wakati anakuwa alikuwa na hasila sana ndio maana ilitokea iyo changamoto pole sana dada
@michaelchristopher2452
@michaelchristopher2452 Жыл бұрын
N sahihi kabisa mama kama angelikua ayupo na asira asingeshindwa kupata taarifa ya mwanae lkn yeye alisusa kwakweli bibi kazngua
@majaliwawilson9372
@majaliwawilson9372 Жыл бұрын
Najiukiza sms za Jambo hil nizakibinaadam lakin Jambo hili angekuwa baba vingetawal matusi nalawama nyingi tujifize kujuwa makosa hufanywa naote Ila wanawake niwepec Sasa kutuhum wababa pale wanapo Bak nawa toto
@florencemsigala6549
@florencemsigala6549 Жыл бұрын
Huyu mama 🙌
@fatumastv
@fatumastv 6 ай бұрын
Huyu mama kama Astuki misijaona kufulai kwauo mama ila samahani
@frankbella4271
@frankbella4271 Жыл бұрын
Mungu wa mbinguni hashindwi
@bitishoriziki1113
@bitishoriziki1113 Жыл бұрын
Barikiwa San dada mama ni mama kns🎉❤🤲🙏👏🔥
@esthersissamo1120
@esthersissamo1120 Жыл бұрын
Mungu mwema Jamani
@user-rw8rw3ln9b
@user-rw8rw3ln9b Жыл бұрын
Uyu mama mmmm
@mariambaruti9748
@mariambaruti9748 Жыл бұрын
Huyu mama Wala alikuwa Hana habari na mtoto miaka arobaini anaroho mbaya ni kabila la wapare wasangi, kwanza anasura ya kichawi pumbavu sanaaa
@rerisamba
@rerisamba Жыл бұрын
Saa nzingine watu wanakua na siri utapata hakusema kama aliwachanga mtoto mahali
@tumainiezekia5873
@tumainiezekia5873 Жыл бұрын
Mapito wanayo pitia akinamam weng nimagum simlaumu huyu mam kupotezan huwez jua ilikuwaje
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 9 ай бұрын
Mama wewe unakosa. Hata kama umemwachia mtoto Baba yake, hukuweza kumtafuta wakati wewe ndiye uliyekwenda labour ukapasuka kumtoa mtoto, umemnyonyesha na kulea utotoni kama ulikuwa na mapemzi na mwanao ulikuwa umtafute tangu utoto wake hadi sasa. Hukua na mapemzi na mtoto. Lakini mtoto ulifanya wajibu wake pia kumtafuta mama yake. Ukiachwa achwa wewe tu jamani usiachwe na mtoto hana kosa.
@aloycebabene6239
@aloycebabene6239 Жыл бұрын
Hata anavyoongea huyu mama ana moyo mgumu sana.
@aishaulengesabry9672
@aishaulengesabry9672 Жыл бұрын
Yaani dah. Sijui Mwanamke mwenzetu anakumbuka nini jamani. Hadi umtupe mwanao miaka yote hiyo
@annehk8185
@annehk8185 Жыл бұрын
@@aishaulengesabry9672 labda anakumbuka aliyoyapitia akamtoa mtoto kwa baba maana hana furaha kwa kweli Mungu amsaidie asamehe
@evertheobald1811
@evertheobald1811 Жыл бұрын
Huyu mama mzazi ni changamoto
@user-cc5qs5wo3z
@user-cc5qs5wo3z Жыл бұрын
Mungu Mwema😊, amejibu kwa wakati
@dorakiyao4509
@dorakiyao4509 Жыл бұрын
Aiseee miaka 41 duu una roho ngumu mnoooo
@esturidaruvanda758
@esturidaruvanda758 Жыл бұрын
Mtoto amefrahi toka moyoni mama dhamili inamsuta sana kumwachia mwanaume mtoto miaka yote hiyo ubarikiwe dada kumtafuta mamaako umeikimbia laana mtunze mamaako mpaka ajiogope mungu akubariki sana dada mtumishi wa mungu
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 Жыл бұрын
Hakika cloud ni kiboko mno big up
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Жыл бұрын
HONGERA KWA KUMPATA MAMA, USHAURI WANGU USIHOJI CHOCHOTE KWAO KWAMBA NI SABABU GANI ZILIFANYA WASIKULEE PAMOJA. MAMBO YA NDOA TUNAYAJUA SISI WENYE NAYO.
@sololuchagula6362
@sololuchagula6362 Жыл бұрын
Kaka ndoa ni ngumu sana
@user-sj8ed8fn4b
@user-sj8ed8fn4b Жыл бұрын
​Ukweli anaujuwa mama was binti
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 72 М.
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 50 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,5 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 13 МЛН
World's Most Fertile Woman, 44 children and only 41 years old: Mama Uganda 🇺🇬
14:10
SIMULIZI YA MAMA WAWILI KUMGOMBANIA MTOTO,MTOTO AONGEA
8:27
Millard Ayo
Рет қаралды 26 М.
MAMA WA WATOTO NANE AONA MAAJABU MCHANA
6:43
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 31 М.
Aangua Kilio Akimtafuta Mwanae Selemani Aliezamia Afrika Kusini
8:31
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 50 МЛН