EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!

  Рет қаралды 304,610

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
Wakati Wastaafu mbalimbali Nchini hasa Baadhi ya Viongozi waliowahi kushika nyazfa tofauti tofauti Nchini Kuhamia Nchi za nje na kufungua biashara za Mahoteli na Miradi ya Mashirika Makubwa kwa upande wake, Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Kayanza Peter Pinda, imekuwa Tofauti.
Global tv tumefunga Safari mpaka Mkoani Dodoma Kwenda kushuhudia kwa macho kujionea jinsi gani alivyoamua kuhamishia Maisha yake shambani na kuwekeza kwenye Kilimo na Ufugaji wa Kisasa ambao umegeuka Faida kubwa kwa jamii kuliko watu walivyotegemea.
Tazama video hii kujionea mengi.
Https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Globa
Category
News & Politics

Пікірлер: 464
@nayopamlimbatv1382
@nayopamlimbatv1382 4 жыл бұрын
Unalamba pamoja na asali yaan aaah! Bomba kabisa alie sikia kauli hii like hapa
@aishaomar4318
@aishaomar4318 4 жыл бұрын
😁😁😁
@petersume2780
@petersume2780 4 жыл бұрын
kabisa
@osodowilberforce2321
@osodowilberforce2321 3 жыл бұрын
Pongezi sana Mhe.Mizengo Pinda kwa shamba lako nzuri sana.Inapendeza.
@marijanimrope6503
@marijanimrope6503 3 жыл бұрын
Da jamani aya ni maojiano au kuna film ndani yake yaani huo mziki unaosikika back playe unapoteza umakini wa kusikia vizuri hayo maojiona next time mshughulikie mambo kama ayo sauti iko too much sana asanteni
@johnngowi1487
@johnngowi1487 4 жыл бұрын
Ni mfano wa kuigwa na watu wote hongera Sana Mzee pinda.
@gadikipenda7409
@gadikipenda7409 4 жыл бұрын
Aliemtuma huyu muandishi kwa Mh Mtoto wa Mkulima big up, Mzee wa kusikiliza sana ila maneno machache yenye nyama. Big up Mzee wangu Mh. Mtoto wa Mkulima, ulifikiria vzurii kuwekeza M/Makuu ya Nchi hongera kwa wazo jema pia. Dodoma juuu
@yusufhassan5
@yusufhassan5 4 жыл бұрын
UNALLAMBA ......UUUUU..... BOMBA KABISA ! I like that ! Very beautiful Farm.
@danielchilongani2385
@danielchilongani2385 4 жыл бұрын
Hongera sana PM mstafu kwa kilimo cha kisasa Tusaidie wakulima wadogo wadogo wa zabibu Dodoma kuimalisha kilimo haswa viwanda vya kununua zabibu za wakulima Tembelea vijiji vya ngahelezi handali chanhumba ndebwe mvumi uone wakulima walivyohamasika
@eligiusvitalis3504
@eligiusvitalis3504 4 жыл бұрын
Mweshimiwa yupo. Makini kujibu Maswali sana .
@hansmhalila9019
@hansmhalila9019 4 жыл бұрын
Hongera Waziri Mkuu Mstaafu Pinda-Mtoto wa mkulima kwa kuonyesha mfano katika kilimo.Hususani Mkoa wa Dodoma.
@mathiasmwale1554
@mathiasmwale1554 3 жыл бұрын
Waziristan mkuu mstaafu hongera Sana kwakujituma ktk kilimo umetisha saaaana
@kamishina7853
@kamishina7853 4 жыл бұрын
Hii inaidhininisha kuwa mtoto wa mkulima hukujali ngazi ya uongozi uliyotoka ulitambua utu na kuishi na watu wa hali zote hongera sana Pinda
@cottonempire6804
@cottonempire6804 4 жыл бұрын
Good Mashalah mama uko vizuri mrembo na hongera kwa kazi nzuri
@emmynico
@emmynico 4 жыл бұрын
Safi sana Mzee Pinda.. ni kitu cha kujifunza kwa sisi vijana
@kamekafuraha1465
@kamekafuraha1465 4 жыл бұрын
Duh huyu mzee hakika ni mfano wa kuigwa Anastahili kuwa kiongozi wa mfano Hongera sana Mtoto wa mkulima ulielazimishwa kuwa waziri mkuu Na ukalazimishwa kuvaa mpaka suti
@ivansutta166
@ivansutta166 4 жыл бұрын
muandishi ana weka miek kwake tuu.... na video editor ameweka ma sauuti ma melody tuuu.... hongera mzee Pinda that my passion
@matalo0551
@matalo0551 4 жыл бұрын
Nakukubali sana mheshimiwa Waziri mkuu Mustafa, Mizengo kayanza
@jamessitati7396
@jamessitati7396 4 жыл бұрын
The story is good, the music is not necessary, kwanza miziki yenyewe ni kama ile ambayo huchezwa msibani.
@africanchocolate4216
@africanchocolate4216 4 жыл бұрын
“🤣🤣🤣”
@kaulimbiu181
@kaulimbiu181 3 жыл бұрын
Kweli mziki wa nini na zaidi ni mziki inaoibua hisia za huzuni na kugubikwa na simanzi
@neemamdami7466
@neemamdami7466 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 3 ай бұрын
Usitukane wewe sikiliza elimu unayopewa,muziki haukuzuii kusikiliza
@jamessanga3138
@jamessanga3138 3 жыл бұрын
Hongera sana muheshimiwa waziri mstaafu,unanivtia sana kwa habari za kilimo.Ningepata fursa ya kukutana na wewe.OMBI LANGU LINGEKUA NI MOJA TU (NATAMANI KUFANYA KAMA WEWE, UNIPE FURSA TU.
@jafabanda6382
@jafabanda6382 4 жыл бұрын
Mzee pinda safi sana kweli ww mfano wa ukweli mungu akubariki sana.
@ngaboibrahimu7647
@ngaboibrahimu7647 4 жыл бұрын
Hongera Sana Mzee Pinda. Hii inahamasisha ushiriki WA watu wengi has vijana kwenye kilimo kwa kiasi kikubwa.
@edwardsilingo4963
@edwardsilingo4963 4 жыл бұрын
Mbona mmefupisha jamani mngefa hata saa limoja nimeipenda 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@stevenmasato5787
@stevenmasato5787 4 жыл бұрын
Apigwe tu kama akikaidi apigwe tu, 😂😂😂😂 i remember dis moment. keep it up mstaafu wangu
@EK-kp2np
@EK-kp2np 4 жыл бұрын
U mfano wa kuigwa mkuu👏🏻👏🏻👏🏻
@mjukuuwakaswaga1808
@mjukuuwakaswaga1808 4 жыл бұрын
Huu mradi ni wa mamilioni But hongera sana mheshimiwa.
@polloz77
@polloz77 4 жыл бұрын
Hongera sana Huku ni mfano mzuri sana kwa. Viongozi wengine na watanzania wengine Inspiration
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
😄😄😄😄 inspiration? Hela za wananchi ukiwa madarakani
@gilbertjackson55
@gilbertjackson55 4 жыл бұрын
Inspiration kweny kodi yko asee think big
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 4 жыл бұрын
Jamani pesa ndio kila kitu, bila pesa huwezi Fanya haya yote make hata km ni kuku peke yake kuwafuga ni gharama kubwa sn. Mzee alijipanga hyo.
@kambamazig02024
@kambamazig02024 3 ай бұрын
Mh. Pinda hongera sana kwa mchango wako mkubwa kwenye kilimo cha kisasa na uwezo wako wa kuwafundisha watanzania wengine. Nyuki ni muhimu sana, huku California wakulima wanalalamika sana kuwa pollinator bees wamepungua sana kiasi mimea mingi ya matunda sasa inashindwa kutoa matunda.
@erickmachua8829
@erickmachua8829 4 жыл бұрын
Kipindi kizuri sana Ila hiyo Soundtrack imekuwa too Loud.. na hii imekuwa tatizo kubwa sana kwa Tanzania iwe ni interview au Movie,Mnapenda sana Loud Back ground Music..After All sijaona umuhimu wa kuwa na Hiyo Background Music.
@fadhiliakida8609
@fadhiliakida8609 4 жыл бұрын
Brother umeongea ki technically hili ni tatizo kweli kwa clip nyingi sana
@malcomg1004
@malcomg1004 4 жыл бұрын
Tatzo vyuo vya kusomea taaluma hii ni vya uchochoron na serikali inadai imevisajili.huwez kufanya upuuzi kma huu katka karne hii halafu unaweka youtube ambako kuna wabobezi zaid wa hizi mambo.ujinga sana
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 3 ай бұрын
Wengi tunapenda hii miziki yaani nyie mmezoea lingala
@yusuphphilbert4165
@yusuphphilbert4165 4 жыл бұрын
Nimekuelewa waziri mkuu mstafu we ni mwl mzuri endelea kufundisha watanzania kwa vitendo MUNGU AKUBARIKI
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 4 жыл бұрын
Next time hii funneral/sadness background sound msiweke kwa sauti ya juu na isitoshe mjue sounds za kuweka si hii ya funneral/sadness, kila sound ina mahali pake wazee.
@lembrismongi103
@lembrismongi103 4 жыл бұрын
Sawa kabisa mr hili nami nililiona sio poa kbsa
@wrestlingupdates7256
@wrestlingupdates7256 4 жыл бұрын
Ondoeni uwo mziki bhana unazingua kinoma atusikii vizuri
@abdulmahamud9269
@abdulmahamud9269 4 жыл бұрын
Vzr sana kiongozi, ila kwa ushauri wangu waite vijana wadogo waeze kujifunza jambo, u have good idea
@hawa4968
@hawa4968 4 жыл бұрын
Nice
@abdulmahamud9269
@abdulmahamud9269 4 жыл бұрын
@@hawa4968 waaleykum salam warahma tullah wabarakatu
@hawa4968
@hawa4968 4 жыл бұрын
Shukran
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 4 жыл бұрын
Hawa.waalykumussalaamu.vp Hali ndugu yangu?
@hawa4968
@hawa4968 4 жыл бұрын
@@arqamibnarqam.7185 alhamdu Lilah waallakuli halli namshukur Allah kwa kuniamsha mwenye afya njema na kuiyona Leo tena alhamdu Lilah
@charlesambrose1708
@charlesambrose1708 4 жыл бұрын
Big Up Former PM Pinda
@kisombolaestate8425
@kisombolaestate8425 4 жыл бұрын
Former hahah
@blasiusabel2576
@blasiusabel2576 4 жыл бұрын
Wonderful Content!!, music is distracting though!!
@pascalnganguli3029
@pascalnganguli3029 4 жыл бұрын
"Kweli mtoto wa mkulima umetimiza na kuonyesha mfano kweli kweli," hongera sana kiongozi wetu.
@misschagga8042
@misschagga8042 4 жыл бұрын
Mziki unakera sanaaaahata sisikii vizuri kwani bila mziki ujumbe si unafika?tunakosa kusikia vitu vya muhim kuhusu kilimo.
@amryzarck3255
@amryzarck3255 4 жыл бұрын
Ajakosea
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 4 жыл бұрын
Nafikiri kama mngetumia zile wireless Mic ndogo za Kuweka kwa shati tu ingekuwa Poa Zaidi..Nawaza tu
@longshot4484
@longshot4484 4 жыл бұрын
Ndugu wewe ndio umenena
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 4 жыл бұрын
Point
@abuuaymankhudhaifa7981
@abuuaymankhudhaifa7981 4 жыл бұрын
Cha msingi umeelewa acha usenge.
@georgerichard6951
@georgerichard6951 4 жыл бұрын
Global mnapo kua mna fanya ivi punguzeni izo back voice tune
@africanchocolate4216
@africanchocolate4216 4 жыл бұрын
“🤩 Ndiyo inavyo takiwa namna hii” “MWENYEZI MUNGU ibaraki Tanzania 🇹🇿 🙏🏾” “😍 🇹🇿🦚🌴🏝🌳❤️🌹🥀🙏🏾”
@umfarid247
@umfarid247 3 жыл бұрын
Nimependa sanaa mashamba mifugo na vyote vilivyomo ndani asante mweshimiwa
@kulwasengaauasengapaul9676
@kulwasengaauasengapaul9676 4 жыл бұрын
Aisee hongera mzee
@andreadaniel214
@andreadaniel214 4 жыл бұрын
Very good work..for our African leaders...
@fadhiliidafa5044
@fadhiliidafa5044 4 жыл бұрын
Aliyeedit hii show kashindwa kubalans kati yasauti yamuziki na mahojiano...
@abditajir4048
@abditajir4048 4 жыл бұрын
Kila mtu ana complain sounds..hebu jaribuni ku focus kwenye story bhnaa msituchoshe kwn lazima muangalie??? Kama mliwatuma vilee..! Kazi ya watanzania ni kutafuta mapungufu tu kila siku..story iko sawa ,sound iko sawa, niko busy naskiliza story wala sound siskii mpaka nilipo ona complain
@geofreymahujilo9600
@geofreymahujilo9600 3 жыл бұрын
Sound iko owk tu ..sijui wancomplain nn jmn
@johnstonemwesiga236
@johnstonemwesiga236 4 жыл бұрын
MWANDISHI/MTANGAZAJI KILA MUDA WAOOOH LOH; ALAFU HIYO BACKGROUND MUSIC INALETA SHIDA
@gilbertsalvatory9590
@gilbertsalvatory9590 4 жыл бұрын
Mmm ndgu kwa iyo hakuna zuri alilo lifanya?
@patricknamangoa6468
@patricknamangoa6468 3 жыл бұрын
Hongera sana Mheshimiwa Pinda kwa uwekezaji bora kabisa.
@deepahans2390
@deepahans2390 3 жыл бұрын
Leading by an example. A True Role Model. Impressed by the farm layout.
@joycekingu1530
@joycekingu1530 3 жыл бұрын
The music is not necessary at all . Mheshimiwa hatumsikii kabisa
@edhe9772
@edhe9772 4 жыл бұрын
Very well presented, may be the first one I have seen in a while 🙏🙏
@ethelkatambala1659
@ethelkatambala1659 4 жыл бұрын
Siku nyingine msiweke mnaweka makelele wala hayatusaidii zaid tunapoteza kusikiliza ya msingi yanayoongelewa. Studio una matatizo gani.
@bishopfestobenjamin6118
@bishopfestobenjamin6118 4 жыл бұрын
sauti ya mziki ipo juu sana
@rahelmilami1271
@rahelmilami1271 4 жыл бұрын
hongera sanaa Mzee wetu 😘😘😘😘😘pinda
@emanuelmoshama3899
@emanuelmoshama3899 4 жыл бұрын
Kuna watu wana comment "mfano wa kuigwa" iga ufe investment ya mabilioni iyoo, ilo shamba ni hela tuu
@500gts9
@500gts9 4 жыл бұрын
Unaanza kidogo kidogo kaka, matonge madogo...usivamie
@mahamoudabas8555
@mahamoudabas8555 4 жыл бұрын
Hayo mashamba ni ya mali ya wananchi wa Tanzania, na pesa zilizotumika hapo ni pesa zetu wananch za kodi
@albanbros6705
@albanbros6705 4 жыл бұрын
@@mahamoudabas8555 Hiyo pesa ni juhudi zake binafsi ambapo wakati anazitafuta wewe na Mimi hatukuwepo.Hilo ni jasho lake lililotoka kwa muda mwingi.
@claytonkellymwaisango5283
@claytonkellymwaisango5283 4 жыл бұрын
Ogopa kuiga baadae wenzako walioanza kidogo kidogo kwakuiga wakifanikisha kukuza brand zao wewe ubaki kuamini ktk freemason nakumtuza shetani
@lucasbartazari7797
@lucasbartazari7797 4 жыл бұрын
Kwao ni Sumbawanga/Katavi, amewasaidia wakulima wangapi? Yeye anauza mazao kwa jina la nafasi yake, halafu anajidai kudanganya watu hadhalani. Maembe, zabibu, asali nk. siyo mazao mageni nchini, Leo hii yeye tu ndo agundue soko bora kuliko wananchi wa mikoa yote? Anawazidi hata waliomfundisha! Wapi bhana!
@dorothyannan8184
@dorothyannan8184 4 жыл бұрын
Napenda sana...maendeleo ya Mzee Pinda...naiga sana kutoka kwake
@dorcasassenga2005
@dorcasassenga2005 4 жыл бұрын
Kweli jamani hii sauti ya music inaboa sana. Cha msingi tupate hiyo habari na si muziki.
@soccertv293
@soccertv293 4 жыл бұрын
Hii system ya kuweka musik kwenye maongez siipend maudhui hayasikik
@EsterPaul-uc7ny
@EsterPaul-uc7ny Ай бұрын
Duuuuh pongez mhe hakika wew mchapakaz sanaaa baba angu
@annamushiaminaaa4367
@annamushiaminaaa4367 4 жыл бұрын
Daaa ekar ngpii hizo ebu muda mwingine elekezeni nguvu Angalau kidogo kuangalia yatima, hongera mzee.
@victormavika9168
@victormavika9168 4 ай бұрын
Quality content but the background music spoils the whole thing. With 5M subscribers one would think editors wanajua hili.
@africanchocolate4216
@africanchocolate4216 4 жыл бұрын
“Haya ndiyo mambo mnayo takiwa kutu onesha sisi Wa Tanzania 🇹🇿” “Siyo mna tuonesha watu wana ishi makaburini, Halafu mnaenda usiku wa manane ku chukua videoclip huku mki lishwa ugali na mboga isiyo na chumvi, Kisha mna oneshwa katoto ambako hakaja nyolewa nywele tangu kuzaliwa” “Ina kuwa kama ‘Sangoma au Voodoo vile! Yaani ni kama aina fulani hivi ya uchuro 😡” “MWENYEZI MUNGU ibaraki Tanzania 🇹🇿🦚🌴🏝🌳❤️🌹🥀” “Amen 🙏🏾”
@valentineevarist5628
@valentineevarist5628 4 жыл бұрын
mbona sauti iko chini sana sema nime penda mzee ame invest kilimo vizuri sana
@emmanuelaggrey8830
@emmanuelaggrey8830 4 жыл бұрын
mtangazi hajajiandaa vizuri kimaswali kumhoji Mkuu. ..
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 4 жыл бұрын
Anaonyesha limimba lake hapo
@mwanzandaki786
@mwanzandaki786 4 жыл бұрын
Kbsaaa sijui alkua anaogopa?
@elinazadaniel3721
@elinazadaniel3721 4 жыл бұрын
Mzee umeni inspare najipanga kuja dodoma kwenye zabibu
@edwinrichard3924
@edwinrichard3924 4 жыл бұрын
Yuko vzr mzee
@frankmgendi8751
@frankmgendi8751 4 жыл бұрын
Cathelin umekua.mweupe kama unakunywa maji ya ray kigosi😂😂
@mohammedabdallah6390
@mohammedabdallah6390 4 жыл бұрын
Mimi pia sikumjua daaah
@husseinnyomi6120
@husseinnyomi6120 4 жыл бұрын
Nikunyaga tu
@farhatfatma12
@farhatfatma12 4 жыл бұрын
Ni aibu kumuona muafrika anachukia rangi yake kiasi hiki. Ni aina fulani ya mental slavery.
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 4 жыл бұрын
GREAT MZEE PINDA
@nelson01empire96
@nelson01empire96 8 ай бұрын
This is superb,order in the farm is 💯 I like the farm
@jumasaid8892
@jumasaid8892 4 жыл бұрын
Hongera sana Mheshimiwa lakin ushauri kilimo na mashamba unakua mtumwa unakua na stress mara madawa ,mbegu,palizi,ujenz,hiyo ndo shida
@paulokilenga1116
@paulokilenga1116 4 жыл бұрын
Huyu sio mtangazaji kabsaaaa
@500gts9
@500gts9 4 жыл бұрын
Tuko pamoja Kiongozi...motisha wa kutosha... 🇹🇿
@barakatisalum8296
@barakatisalum8296 4 жыл бұрын
mulishindwa kuijenga nchi tukanufaika wote mkajijenga mmoja mmoja ili munufaike na familia zenu ilikuw tuwashitaki na siyo kuwasifia
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Aiseee umeona ehe aafu watu wanampa hongera😁😁😁 hongera za kuiba????
@nicebatare2737
@nicebatare2737 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂afungwe uyo
@noelngowi2700
@noelngowi2700 4 жыл бұрын
Hongera mheshimiwa. Ni mfano bora
@hizamwaimu7634
@hizamwaimu7634 4 жыл бұрын
Inapendeza Sana
@charlesgasto4560
@charlesgasto4560 4 жыл бұрын
Kila mtu anaweza kufanya mambo makubwa ukiwa na mtaji sijui yule jamaa wa mtaji wa 200,000 wa Instagram anaweza kutusaidiaje
@harrisonmatimbwi7273
@harrisonmatimbwi7273 4 жыл бұрын
Huyo dada alikuwa meneja wa Dr shika
@angelomfilinge8662
@angelomfilinge8662 4 ай бұрын
hongera sana umeonyesha wazi kuwa wewe mjasiriamali halisi
@laurentmpangala534
@laurentmpangala534 4 жыл бұрын
Mzee katisha sana
@abasabasimwache5844
@abasabasimwache5844 4 жыл бұрын
Zabibu tunda zuri Sana mungu akubariki mkuu
@williamamon8440
@williamamon8440 Жыл бұрын
Mwandishi ukifanya interview mambo ya kusema naruhusiwa kuonja, doh, si sawa, mpaka nimejisikia aibu
@jessemathew4696
@jessemathew4696 4 жыл бұрын
Mziki upo juu kiasi kwamba hatumsikii vizuri
@isakielmbasha178
@isakielmbasha178 4 жыл бұрын
Good kweli wewe ni mtoto wa mkulima huo ni mfano mzuri
@neemaasantebbcdickson5350
@neemaasantebbcdickson5350 4 жыл бұрын
Sasa ??ata hasikiki maneno mengine,,yalafuuu mbona mnaweka mziki unaaribuuuuu,sipendi ichi kitu
@credo7837
@credo7837 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@joramjackson3952
@joramjackson3952 4 жыл бұрын
Hogera wazr mstaafu Kwa kudhubutu kuwa mkulima ctad Kwan umekuwa mfano kwetu vjana wa taifa la tanzania
@nicebatare2737
@nicebatare2737 4 ай бұрын
Waziri ni yeye mfugaji ni yeye mkulima ni yeye watu wa chini hata soko wanakosa jamani 😭😭😭
@amtawakal
@amtawakal 4 жыл бұрын
Hongera baba. Umeyaishi maneno yako. Natamani wengi tungekuwa na fikra na uwezo kama wako.
@mickeykibabu6999
@mickeykibabu6999 4 жыл бұрын
Shida mmeeka soundtrack kuubwa muheshimiwa maneno mengine hayasikiki vizuri
@siwemamichael690
@siwemamichael690 4 жыл бұрын
Cm yako mbovu pole
@mwalukoerick2801
@mwalukoerick2801 4 жыл бұрын
Mickey Kibabu
@fatherjaytz
@fatherjaytz 4 жыл бұрын
Hv mnaolalamikaga kuhusu soundtrack huwa mnatumia cmu gani
@siwemamichael690
@siwemamichael690 4 жыл бұрын
@@fatherjaytz hahahaha hata mie sijui nacheka tu
@kisasarob751
@kisasarob751 4 жыл бұрын
Mimi huyo mtangazaji tu..daaaah anaitwa nani nikae hapo rangi ya mtume hiyo mashAllah mzee Pinda mwenywe lazima kaomba mazungumzo nae ya pembni hiviiii
@sudaissoud3670
@sudaissoud3670 3 жыл бұрын
Mtume ni muarabu pure sio mkorogo..Mtume alikua mzuri hana mfano...
@simonequintine9355
@simonequintine9355 4 жыл бұрын
Nakukubali baba peter mizengo
@aminamodi8927
@aminamodi8927 4 жыл бұрын
Cathelin dada umekua MWARABU
@princesinko4073
@princesinko4073 4 жыл бұрын
Naweza kuonja...hahahaha yaani uonje ili upakia mengine na kumtia hasara mkuu..wewe Dada uonje Nazi na nanasi
@yunusmchalu930
@yunusmchalu930 4 жыл бұрын
Pesa ndio kila kitu bila pesa tutaishia kusifia tu
@wahidashabaz5982
@wahidashabaz5982 4 жыл бұрын
Yunus Mchalu nikwelj
@nkawagaagribusinesscoltd4236
@nkawagaagribusinesscoltd4236 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@tukuswigaikasu5227
@tukuswigaikasu5227 4 жыл бұрын
Pesa na akili maana wapo wenye pesa ila akili ya kupambana sifuri.
@peterzaaruka9028
@peterzaaruka9028 4 жыл бұрын
Fika shambani ulizia peter sio pesa
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 4 жыл бұрын
@@tukuswigaikasu5227 Kweli kabisa..na wapo hawana hela ila wanakili ya Kupambana hadi kuzipata hizo helaa
@josephlushinge8156
@josephlushinge8156 Жыл бұрын
Hafai kabisa Mimi simpongexi Leo wanajifanya wakulima gelesha Mimi nikilima pamba wiki Moja kabira msimu kuamxa nakutngaziwa bei ya pamba imeshuka ni nizarau kubwa sana pinda anatufanyia Leo wamefunga mipaka wakulima walala hoi tuendelee kuumi pinda acha kutuzarau acha kabisa
@joshuabanda8673
@joshuabanda8673 4 жыл бұрын
hongera mkuu kwa uwekezaji
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 4 жыл бұрын
Ushamba Mzigo Yani Mziki Juu Sauti Ya Mlengwa Chini
@malcomg1004
@malcomg1004 4 жыл бұрын
Sio ushamba ni ufala sana
@meedaafarai9677
@meedaafarai9677 4 жыл бұрын
Nice👍
@asengasefu2767
@asengasefu2767 4 жыл бұрын
Mzk umeharibu, Hongera mzee
@fadhiliakida8609
@fadhiliakida8609 4 жыл бұрын
Unaposema wastaafu wengi hawafanyi kilimo umefanya research gani? Si sahihi, nadhani ni vema watangazaji na waandishi muwe mnafanya kwanza research ili muwe na valid points kiliko assumptions, yaani kifupi jiandaeni vizuri kwa maswali kabla ya kufanya interview, ulizeni maswali ya kumsaidia mtazamaji
@abuuhaythamkingu4508
@abuuhaythamkingu4508 4 жыл бұрын
Safi sana mzee
@summanelson5523
@summanelson5523 4 жыл бұрын
Kwake ni rahisi sana kwa vile uchumi wake si kama wastaafu wengine. Unapata mili moja hadi unastaafu au chini ya hapo utawezaje kununua shamba na kuhakikisha lina mazao? Ngumu sana sana. Lazima mtu upate mpenyo ndiyo utoboe. Waziri mkuu mstaafu lazima awe vizuri sana kama kichwa kiko vizuri!!!
@rehemachaula8621
@rehemachaula8621 4 жыл бұрын
Sauti hiyo veeeep we dada
@geja8708
@geja8708 4 жыл бұрын
Huwezi kumiliki eneo kama hilo kama hauna pesa za kufanya hayoo
@kyalagwamaka1550
@kyalagwamaka1550 4 жыл бұрын
Mtangazaji bado sana hajui hata kuzingatia heshima ya anayemhoji anajichekeshachekesha tuu waooo my foot hana research kaboa Kwakweeli na kinyimbo chenu ndo kabisa
@peternichoraus5983
@peternichoraus5983 4 жыл бұрын
Dah kaboa San bas tu
@brightonkimetelo6862
@brightonkimetelo6862 4 жыл бұрын
Wataita gar ngoja
@bwikizobilly5220
@bwikizobilly5220 4 жыл бұрын
wastaafu si muwe kama Pinda mzee wa watu katuria anafanya kazi zake vizuri wengine mnataka kuvuruga juhudi za JPM turieni. wewe Mzee Pinda ni Mfano wa kuigwa.
@mybabyarchive2104
@mybabyarchive2104 3 жыл бұрын
Mbona unajishtukia?
@mohdkassim6903
@mohdkassim6903 4 жыл бұрын
Ni uwekezaji mzuri ila pia unategemea hela nyingi ndyo maana unaambiwa ili upate pesa kwanza lazima uwe na pesa
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 171 МЛН
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 20 МЛН
UFUGAJI WA KISASA WA SAMAKI KWENYE MABWAWA
9:36
Mbeyainfo TV
Рет қаралды 9 М.
EXCLUSIVE: MZEE Anayefuga SAMAKI Elfu 30 NYUMBANI Kwake, AFUNGUKA Haya..
12:04