No video

#EXCLUSIVE

  Рет қаралды 14,134

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

#EXCLUSIVE: MTANZANIA ANAYEMILIKI KIWANDA cha TEKNOLOJIA AONESHA ANAVYOTENGENEZA MASHINE za KISASA..
GLOBAL TV imefunga safari hadi Kimara Temboni jijini Dar es Saalam kukutana na kijana wa Kitanzania anayetengeneza mashine mbalimbali kwa kutumia teknolojia ya kisasa..
⚫️ WASILIANA NA MBUNIFI - 0758965632
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 76
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@mathiasswai7006
@mathiasswai7006 Жыл бұрын
Tanzania tuna vipaji sana , dah hongera kaka God bless more brother
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 Жыл бұрын
Huyu kaka Ana bidii kweli, Mungu awabariki mfike mbali zaidi ya hapo.
@jamalisaid3446
@jamalisaid3446 4 ай бұрын
Hawa ndio watu wakupewa sapoti. Kazi nzuri broo.
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
Hawa ndiyo watu tunataka nchi kuwaona,syo kila siku mnatuonesha wasanii wSanii tu
@mtegemeemungusiomwanadamu6618
@mtegemeemungusiomwanadamu6618 Жыл бұрын
Uko sawa brother. Kuna mashine inauzwa dola 49,000 China sawa na zaidi ya milioni 120 za kitanzania ila mimi nilivyoikagua vizuri mtandaoni niliitengeneza kwa milioni 10 tu za kitanzania
@godgiver100
@godgiver100 Жыл бұрын
Safi
@user-ps1ph9iv5b
@user-ps1ph9iv5b 10 ай бұрын
Very nice
@sabbob574
@sabbob574 Жыл бұрын
Anaongea point tupu. Big up to you. Kuna mtu alibuni machine ya kutengeneza umeme lakini serikali kimya.
@Expedito2512
@Expedito2512 Жыл бұрын
Yule alikuwa mhuni tu. Alidanganya
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 Жыл бұрын
Mwamba umetisha Sana 👏👏👏
@charlesyohanaa
@charlesyohanaa 11 ай бұрын
Hahahhaha hongera sana aiseeee,,, Mungu aliye juu 👆 aendelee kukunyanyua zaidi Amen
@ritamutoka7768
@ritamutoka7768 11 ай бұрын
Amen
@nasibusaid4161
@nasibusaid4161 5 ай бұрын
Hongera una bidii sana katika bunifu zako,nashauri wekeza zaidi katika vitu ambavyo vinagusa sana maisha ya watu,mfano buni teknolojia ambavyo itawafanya wamama waepukane na mikopo ya kausha damu,utaokoa mambo mengi hapo na utapata pesa na umaarufu pia kwa kuokoa ndoa za watu.
@olympiamtenga8761
@olympiamtenga8761 Жыл бұрын
Bravooo sana kaka,safi sana
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 Жыл бұрын
Pongezi Sana ndugu kwa mwendelezo wa ubunifu siku hata siku. Maximum performance hakika.🗻🤝🇹🇿
@alexmwalingo5020
@alexmwalingo5020 Жыл бұрын
Umeongea kitu cha kweli kabisa, serikali haiwezi kusapoti vipaji vya hapa kwetu kwa sababu kuna watu ndani ya serikali wana mipigo yao kwenye mitambo inayotoka nje ya nchi wanaona wakikusapoti ww hawataiona hela ndo mana wanafifisha vipaji kama hicho ulichonacho ww jua kwamba kila muwamba ngoma ngozi huivutia kwake
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 Жыл бұрын
Huyu mwanamume, anatisha!!! MUNGU AMJAALIE,
@habililailo271
@habililailo271 Жыл бұрын
Brother Mungu akubariki sana nataman siku moja nije kuona mwenyew
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 Жыл бұрын
Ongera sn kk,serikali inapaswa kuongeza nguvu kwa watu km hawa
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 Жыл бұрын
Hawa wakisapotiwa wanaweza kuajiri waelfu ya watanzania. Tunatumia nguvu nyingi kuwekeza kwa mikataba ambayo inakuja kutushitaki kwenye mahakama za kimataifa na kulipishwa mabilioni ya dollars
@mgatatemihanga416
@mgatatemihanga416 Жыл бұрын
Jaribu kubuni mtambo mdogo wa kutengeneza sukari, ataokoa nchi
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
Kwani huwezi kuishi bila ya Sukari? ndugu yangu
@richardsaikong1138
@richardsaikong1138 Жыл бұрын
If "mwamba huyu hapa" was a person
@hamzaseneda5251
@hamzaseneda5251 Жыл бұрын
Cha ajabu hakupewa nafasi kuonyesha ubunifu huu mkubwa mbele ya kamala harris 😔
@kidsontemba1641
@kidsontemba1641 Жыл бұрын
safi sana nakukubali sana
@isaackalenge8194
@isaackalenge8194 Жыл бұрын
Hongera sana,Naomba Namba ya simu
@AndrewMwenda-ib1mx
@AndrewMwenda-ib1mx 7 ай бұрын
Sawa kabisa brother uko vzr
@erickdaniel610
@erickdaniel610 Жыл бұрын
Uncle big up, Erick Chalinze hapa
@hajihamadi3525
@hajihamadi3525 9 ай бұрын
Mungu akuzidishie zaidi
@zunguzungu6068
@zunguzungu6068 Жыл бұрын
Nataka unitengenezee mashine ya kufulia nguo
@nasibusaid4161
@nasibusaid4161 5 ай бұрын
Sema mchizi haweki vizuri maelezo yake,amesema compresa ya silent,wakati imezimwa hapo ili wasikilazane,amekuwa ni kulaumu na kujisifu,kwa uwezo wake angebuni vitu ambavyo vingesaidia kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wenye hali ya chini.mfano kilimo,ufugaji,ujenzi, n.k.hata hizo nchi zilifanikiwa kwenye haya mambo walianza na changamoto zinazowakabili wao wenyewe hawakusubiri mtu aje awambie nahitaji kitu fulani ndio uwaze kutengeneza ili umuuzie .hizo machine anazotumia kuunda hivyo vitu vyake mbona amenunua si angezitengeneza pia.
@hallin9561
@hallin9561 Жыл бұрын
mawaziri watampotezea kabisa, viongoz wetu hawataki tuwe na wabunifu na kuunda vyakwetu sababu watakosa ulaji, utakuta kitu kinaweza kuundwa na mtanzania lakin watataka kwenda kununua ulaya au china ili wapate na posho ya safari na kupiga cha juu.
@lydialaiza1538
@lydialaiza1538 Жыл бұрын
Amazing!!
@user-wq9jq7pm7q
@user-wq9jq7pm7q 5 ай бұрын
Ongera Sana naitaji machine ya kusi dika parachichi na papai Nika pata mafuta ya Kila na himatumia umeme was kawaida namarizia jengo napatikana bukoba na omba majibu
@sannycpaul9423
@sannycpaul9423 Жыл бұрын
Kitu mnakosea watu wa media,ili kuwapromot hawa jamaa ni vema mnaweka na details zao kuliko muwahoji lakini mawasilino yao hakuna ndo nini
@amanijampion3045
@amanijampion3045 Жыл бұрын
Sasa hapa angealikwa na kajala hapa kuongeza views maana wabongo akili zetu hatutaki vitu serious
@nsajimwasege68
@nsajimwasege68 5 ай бұрын
Tuna watu wenye akili lakini hatuna watu wa kuwaongoza na kuwawezesha!!!
@johnijumba2666
@johnijumba2666 Жыл бұрын
Safi sana bro
@hallin9561
@hallin9561 Жыл бұрын
hii video inawatazamaji elf7 mpaka sasa, lakin cha kuhuzunisha hii ideo ingekuwa ya harnmonize kumpomonya kajara gari bas ingekuwa na watazamaji ata millions. sad to us
@dominicjulius3108
@dominicjulius3108 Жыл бұрын
ongereni sana
@DanielNelson-oq5qs
@DanielNelson-oq5qs 7 ай бұрын
Namkubari Gadius
@yahayaallytv2852
@yahayaallytv2852 Жыл бұрын
China imeendee baada ya kusamin viwanda vidogo
@nicenice3881
@nicenice3881 Жыл бұрын
Gud sanaa
@stevenobunde9345
@stevenobunde9345 Жыл бұрын
Unatakiwa uchaguliwe na Rais uwe waziri wa science na technology.
@saidasimba9979
@saidasimba9979 Жыл бұрын
Et kama mpya kwaiyo used au na mpya za mbele
@fatimajuma3330
@fatimajuma3330 8 ай бұрын
Watz ndio wanamatatizo unaweza kwenda dukani kitu cha 5000 inauzwa 10000 sasa huoni ni shida nikama huyo kilichonifanya asitaje bei ni nini
@manjoriwakunesa7006
@manjoriwakunesa7006 4 ай бұрын
Aweke namba
@hassanmsangi4149
@hassanmsangi4149 3 ай бұрын
tunaomba namba zake
@aproniamasatu5810
@aproniamasatu5810 6 ай бұрын
MUNGU ni mwema saaana
@yahayaallytv2852
@yahayaallytv2852 Жыл бұрын
Serekali iangalie watu wenye vipaji iwakuze sio iwapeleke shule na kuishia kuua vipaji vyao
@elwafedha4337
@elwafedha4337 Жыл бұрын
Naomba namba ya simu tafadhali
@igmndetitv309
@igmndetitv309 Жыл бұрын
Kweli kabisa bongo kunavipaji shida serikar haithamin wabunifu
@danndori4514
@danndori4514 Жыл бұрын
Serikali inakusubiri umalize uzalishe ,itoze Kodi na Tozo. Dunia nzima Serikali zipo hivyo
@rofinkitali3765
@rofinkitali3765 Жыл бұрын
Asante. Lakini hivi leo mtu anaweza kudai amegudua tairi? Hapa hakuna ubunifu.
@benjaminlukindo
@benjaminlukindo Жыл бұрын
Upo vizur sana kaka! Nimempenda sana alichokifanya
@davidwillson4894
@davidwillson4894 Жыл бұрын
Point Point Point, Naamini Serikali yetu ni Wasikivu watafanyia kazi haya
@desolz3809
@desolz3809 Жыл бұрын
Subutuuuu
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Walimsikiliza nani kwa mfano
@robertchuma6408
@robertchuma6408 Жыл бұрын
Yaani Unaweza shangaa MAWAZIRI HUSIKA watajifanya hawamjui lakini TRA watampiga KODI badala ya hata rais apewe taarifa amtie Moyo na kumsaidia watamkwida Kodi huyuu!!ndio utajua hi ni nchi ya AJABU kweli badala awe hero atapewa kero za ajabu
@anthonygndegesogoranyomo7528
@anthonygndegesogoranyomo7528 Жыл бұрын
Naomba no yake huyo mtaalamu
@mathiaslungwecha4969
@mathiaslungwecha4969 10 ай бұрын
Mashine za sabuni je?
@stevenobunde9345
@stevenobunde9345 Жыл бұрын
Hiyo machine inagarimu bei gani
@elwafedha4337
@elwafedha4337 Жыл бұрын
Vipaji vipo afrika
@mohamedmustafa278
@mohamedmustafa278 Жыл бұрын
We producer wa hii makala naomba namba zako,
@byaombealoys5967
@byaombealoys5967 Жыл бұрын
Hawa niwatu wakuchungwa sana na serekali, chaajabu mnalinda wasiofaa kbs,, maana hawa mkiwapa sehemu ya utulivu wa ubongo wanawaza zaidi yaapo
@IlalGroup
@IlalGroup Ай бұрын
Hawa watu wawezeshwe ni lulu ya taifa
@mlionea
@mlionea Жыл бұрын
Makofi ya kilo
@maftuhihassan3114
@maftuhihassan3114 Жыл бұрын
Ukosawa
@user-ps1ph9iv5b
@user-ps1ph9iv5b 10 ай бұрын
Sehem pekee ninayo iona imejaa utajiri ni hiiii secta ya ubunifu na uzalishaji wa mashine na bidhaa mbali mbali
@fabiannyaki7500
@fabiannyaki7500 8 ай бұрын
Anafanya uzalishaj wa mifuko
@zunguzungu6068
@zunguzungu6068 Жыл бұрын
Tunaomba NAomba zake
@zunguzungu6068
@zunguzungu6068 Жыл бұрын
NAomba , Namba
@williamkeita1519
@williamkeita1519 11 ай бұрын
Sipend mtangazaji unaongea mno
@ElwaFadha
@ElwaFadha 11 ай бұрын
Nataka nijuwe bei naunipe namba yasimu ilituongehe zaidi
@zunguzungu6068
@zunguzungu6068 Жыл бұрын
Nope NAomba yako
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 32 МЛН
Please Help Barry Choose His Real Son
00:23
Garri Creative
Рет қаралды 21 МЛН
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 11 МЛН
KUTOKA KUGONGA KOKOTO HADI   KUMILIKI KIWANDA. #durusudurusu #ujasiriamali #successtips
16:11
Hizi ndizo Teknolojia MPYA za kutengeneza Simu
9:55
Daily News Digital
Рет қаралды 6 М.