FAIDA 8 ZA MKAA KWA KUKU

  Рет қаралды 203,585

AGALUS  TV

AGALUS TV

Күн бұрын

Maajabu ya mkaa kwa kuku wako ni mengi sana.
#tibazakuku
-Kuzuia kuhara kwa kuku
-Kuzuia Kuhara damu( Coccidiosis)
-kinga ya kideri
-kinga ya mafua
-Kuzuia minyoo
-Usadia ganda la yai kua gumu
👉Kujifunza zaidi kuhusu ufugaji wa kuku
• MBINU 10 ZA KUPUNGUZ...
👉Video zingine ya channel yetu.
/ @agalustv
👉Tangaza biashara yako kwenye channel yetu. Tuwasiliane kupitia wasap pekee +255765467484
, 🙏🙏🙏🙏

Пікірлер: 578
@florarog548
@florarog548 2 жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri. Kwa kweli mmekuwa watu muhimu na WA msaada sana katika ufugaji wangu.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Barikiwa sana🙏🤝
@magrethchussi386
@magrethchussi386 Жыл бұрын
Asnt sn ubarikiwe kwa somo zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Amina ✍️ 🙏🏿 ndugu nawe pia
@BetherinoKiduko
@BetherinoKiduko 2 ай бұрын
Naomba kuuliza kuku ili wawe wanataga sana mayai nifanyaje
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Lishe ya kuku wanaotaga Jifunze kupitia Channel hii UTAJIFUNZA kuandaa Chakula icho
@efgeniashayo8531
@efgeniashayo8531 Ай бұрын
Huu Ndiyo Uzalendo was kweli Watanzania...tunaweza fanikiwa sana tukishitikishana Maarifa adilia ksma haya❤ Mungu wetu wa Mbinguni azidi kukubariko Dana Kaka yetu🎉
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
@KahambuAsifiwe
@KahambuAsifiwe 8 күн бұрын
Mungu akupe elimu Saidi🎉🎉😮
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 күн бұрын
Amina ndugu nawe pia 🙏🏿 ✍️
@user-ye7wl1tb1y
@user-ye7wl1tb1y Ай бұрын
Ahsante kwa somo zuri tumekuelewa
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@peninakilanga1407
@peninakilanga1407 5 ай бұрын
Ahsante sana. Somo zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@KahambuAsifiwe
@KahambuAsifiwe 8 күн бұрын
Mungu akupe elimu zaidi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 күн бұрын
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
@billian1914
@billian1914 Ай бұрын
Asante kaka kwa hilo somo lakufuga kuku Bora kienyeji, bila kutumia madawa zamsduka zakuuza Chemie. Endelea kufundisha watu / wafugaji wakuku waache kutumia ama kula kuku zamadawa ya gmo?? Warudi kwa maisha yakienyiji. Mimi napenda, sana hii somo ssna tena nakuunga mkono 1oo PC. Saalamu sana kutoka hapa Ugeremani mungu azidi kukupatie Marifa zaidi. Amina.
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿 tupo pamoja. Salimia wote. Endelea kufuatilia kufuatilia tiba asili za kuku by agalus TV zitakuja video nyingi Sana nawe UTAJIFUNZA
@NasibuSarumbo
@NasibuSarumbo 22 күн бұрын
Nashukuru Kwa taarifa hizi nzuri Kwa sisi wafugaji endelea KUFANYA UTAFITI uje na dawa ya kideri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 22 күн бұрын
Sawa ndugu 🙏🏿 Tuombeane
@ThomasIkerra
@ThomasIkerra 9 ай бұрын
Somo la mkaa nimelipenda,it is new to me,keep it up.👍
@AGALUSTV
@AGALUSTV 9 ай бұрын
Thank you and You're welcome
@rajumisomia1841
@rajumisomia1841 Жыл бұрын
Nitoe shukrani za shati kwenu kwa darasa nzuri mnazotuelimisha asanteni sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@NAUMUMAKAWISHE
@NAUMUMAKAWISHE Ай бұрын
Asante Kwa SOMO zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@LucyBrighton
@LucyBrighton 2 ай бұрын
Asante kwa somo nzuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Barikiwa pia
@user-mr3fn1hc2y
@user-mr3fn1hc2y 2 ай бұрын
Asante Sana Kwa Taarifa muhimu.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@user-gc5uz7gu6h
@user-gc5uz7gu6h 4 ай бұрын
Asante sana kwa somo, nimejifunza
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@RealxCraft1102
@RealxCraft1102 2 жыл бұрын
Asante Sana somo zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Barikiwa sana ndugu yetu🙏🤝
@richardmakweta8875
@richardmakweta8875 2 ай бұрын
Asante kwa SoMo zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Barikiwa pia
@EstherKabadi-ly3nu
@EstherKabadi-ly3nu Ай бұрын
Asante kwa somo zuri la ufugaji
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@PantaleoBundala-tl2kd
@PantaleoBundala-tl2kd Ай бұрын
Nashukuru kwa somo zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Tupo PAMOJA
@GraceSimtaji
@GraceSimtaji Ай бұрын
Asante kwa somo zuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@user-pi4dv3oh1u
@user-pi4dv3oh1u Ай бұрын
Hongera Kwa kutufundisha
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Tupo pamoja ndugu na tunashukuru kwa kua nasi
@user-up6xg2xq7v
@user-up6xg2xq7v 6 ай бұрын
Asante sana kwa kutujuza
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Karibu
@cresensiankwera1776
@cresensiankwera1776 2 ай бұрын
Mungu awabariki
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk mwaka huu
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 6 ай бұрын
Asante jaman uwiii somo zurli
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Tupo PAMOJA NDUGU
@castolina2843
@castolina2843 Ай бұрын
ahsante kwa maarifa
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@hassanramadhan2794
@hassanramadhan2794 9 ай бұрын
Habari nashukuru sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 9 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@ESTERMFUGALE-wp5le
@ESTERMFUGALE-wp5le 4 ай бұрын
Mhmm. Agslus TV leo nimewafaisi sana. MUNGU awabariki sana kwa upendo huo wa kushare nasi.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 ай бұрын
Amina ndugu barikiwa pia
@ernestmgogo3624
@ernestmgogo3624 2 жыл бұрын
Asante kwa somo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Pa1🤝 ndugu
@evaristomtweve2499
@evaristomtweve2499 Жыл бұрын
Asante nimekuelewa
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Pamoja sana
@user-nz6mx2vw6l
@user-nz6mx2vw6l Ай бұрын
Asante sana tajalibu
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Karibu sana ndugu ktk ufugaji
@halimahamidu10
@halimahamidu10 7 күн бұрын
Asante Kwa SoMo lako
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 күн бұрын
Tupo pamoja ndugu
@norahazan796
@norahazan796 7 ай бұрын
Asante sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu 🙏🏿
@zawadimkondo4951
@zawadimkondo4951 Ай бұрын
Nashukulu Kwa somo
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Barikiwa pia
@GadiLyawene
@GadiLyawene Ай бұрын
Asante nimeelewa
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@mwitamgaya5037
@mwitamgaya5037 2 жыл бұрын
Somo zuri.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Pamoja ndugu🙏🏿
@ElifridaMsagati-lw4no
@ElifridaMsagati-lw4no Ай бұрын
Asante kwa kunisaidia dawa hii nimefurahi sana nitaanza kutumia
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Barikiwa sana
@MughunaKisay
@MughunaKisay Ай бұрын
Asante Kwa SoMo nimependa kwakweli
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Karibu ktk ufugaji
@maryjackson4551
@maryjackson4551 2 жыл бұрын
Barikiwa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Amina KUBWA ndugu 🙏🏿✍️
@PaulinaThomasi
@PaulinaThomasi Ай бұрын
Asante kwa somo. Nzuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Barikiwa sana ndugu
@user-hw5yr5wb2s
@user-hw5yr5wb2s Ай бұрын
Safi saana
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@shabanibakari9387
@shabanibakari9387 2 жыл бұрын
Asante kwakunitanua mawazo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Karibu🙏🏿
@user-uj5lr3yo9e
@user-uj5lr3yo9e 10 ай бұрын
Je pemba ya mahindi ni nzuri kuchanganya na mkaa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 10 ай бұрын
Ni nzuri ila ziwe kavu
@IsakaKipenda
@IsakaKipenda 2 ай бұрын
Thanks kwa dalasa Hilo nielimu bola sana Tena ya asilia inayomwezesha kuku kuwa na afya bora
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿
@dainachima
@dainachima 7 ай бұрын
Asante Kwa SoMo hili.swali;je naweza kutumia mkaa hata Kwa kuku wa kisasa au ni kienyeji TU.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Aina zote za kuku
@SitiRamadhani-wg7vr
@SitiRamadhani-wg7vr Ай бұрын
Asante kwa ushauri wako
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@SophiaSere
@SophiaSere Ай бұрын
Ubarikiwe
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Amina ndugu nawe pia
@revestinaalexander4100
@revestinaalexander4100 2 ай бұрын
Mwl. Asante Sana Kwa Somo zuri kuhusiana na mkaa. Natamani kujua njia mbadala ya kuua wadudu wa kwenye mboga mboga. Kuriko kutumia dawa za viwandani.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Sawa ndugu ngoja tuandae video zake
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Asante
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa sana
@JescaJeremia-ef4ym
@JescaJeremia-ef4ym Ай бұрын
Asante kwa some zuri Mungu akubariki mimi nauliza ni chakula gani inamfanya kuku kutaga kwawakati
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Ni Aina gani ya kuku
@JescaJeremia-ef4ym
@JescaJeremia-ef4ym Ай бұрын
Kuku wa kienyeji
@evelinajailos7128
@evelinajailos7128 2 жыл бұрын
Vema sana
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Barikiwa pia✍️🙏🏿🙏🏿
@maryamsalim3233
@maryamsalim3233 Жыл бұрын
Nashukuru umenifunza mengi kaka
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Tupo pamoja ndugu
@adamkanyika5906
@adamkanyika5906 Жыл бұрын
Adam Kanyika nashukuru, ninakuku wa kienyeji lakini mafua na kuvimba macho umekuwa changamoto Sana naomba msada wenu
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Apo ni usafi. Kue na hewa nzuri uku uku tumia tiba mbalimbali za asili kuhimarisha afya yao
@getrudemhozya9920
@getrudemhozya9920 2 жыл бұрын
Asante sana kwa somo,mimi nafuga kuku wa kienyeji, Kuna kuku wawili wanaatamia, mmoja ndo anaanza mmoja mzoefu, huyu mzoefu nilichukuwa mayai mawili nikachemsha, Cha ajabu yakatoka maji na jioni tepetepe, nikadhani halijaiva vizuri leo nimechemsha nusu saa lakini nimekuta vilevile,maana Kuna ambayo sijawawekea, mwanzo nilikuwa nikichemsha yanakuwa mzuri tu Sasa nina mashaka watatoka vifaranga kweli,na sijui ni ya yupi maana walikuwa wanataga sehemu moja
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Apo sasa ni mtihani ndugu. Ila siku nyingine uwe unaweka alama mayai. 🙏kwa pensel
@mngwalijuma597
@mngwalijuma597 2 ай бұрын
Ahsant kwa kutupa elimu hyo jamani Mm nafuga kuku wa kienyeji lkn tatizo wao anapotaga kuku mmoja wotee wanataga pahala pmoja pia akitaga mmoja wakati wa kulalia wanakua wanalalia kuku wote km 3 hata ukiwatengua huwa hawkibali ikofika siku ya kutoa vifaranga wanaweza kutoa watoto 2 au 3 na hapo hawatotoi vifaranga wanaanza kugombania vfaranga viiivyoanguliwa Mayai wanayaacha hawatoi tena vifaranga nifanye nn? Mana ni hasara kubwa wananipa wanaa ha massive mengi na mm naharamika kwa kuwalisha
@mngwalijuma597
@mngwalijuma597 2 ай бұрын
Wananipa.hasara kwakuwalisha Hapo nimekosea nilikusudia hyo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Fuatilia video hii apa jinsi ya kuzuia kuku kutaga kiota 1 kzfaq.info/get/bejne/qrqVl91yptS8goE.html
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Fuatilila video hii apa kzfaq.info/get/bejne/qrqVl91yptS8goE.html
@CatherineSweya-h2j
@CatherineSweya-h2j Ай бұрын
Asante kwa somo kuku wangu mafua yanasumbua kumbe mkaa utawaza nisaidia
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Hakika
@FransiscaMmari
@FransiscaMmari Ай бұрын
Naahukuru sana kwa masomo mazuri ya ufugaji mm swali langu ni hili nn kinacho sababish kuku kula mayai na nitmie nini ili wasiawe wanakula mayai
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Ongeza vyakula vya protini, na madini ya chokaa na mifupa ktk mchanganyiko wa chakula. Fuatilila video sababu ya kuku kula mayai by agalus TV zitakuja
@VeronicaBayyo
@VeronicaBayyo Ай бұрын
Asante kuku wangu wanahara dam na wanatoa minyoo❤
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Pole sana wape dawa minyooo na ya UGONJWA wa coccidiosis
@KhadijaMnuhemba
@KhadijaMnuhemba 5 күн бұрын
Jeez vifaranga na kuku wa nyama unaweza kuwapa mkaa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 5 күн бұрын
Sawa tu waweza
@marthandungu5135
@marthandungu5135 2 ай бұрын
Asante sana, unaweza kupea vivaranga wadogo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Angalau mwezi 1++
@faidhasaidi4436
@faidhasaidi4436 2 жыл бұрын
Nimeipenda sana sikujua kutofautisha kati ya vumbi na chenga chenga ss nmeelewa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
🙏🤝🤝
@user-xi5pf1us9h
@user-xi5pf1us9h 6 ай бұрын
Asante Kwa somo nzuri la kuku mimi tatizo langu nina puppy anatoka manyoya sana Na ninampa dawa ya minyoo karibu kila mwezi Naomba kujua
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Ni kawaida tu hatua ya ukuaji. Ongeza lishe ya protini ktk chakula
@alphomrosso9140
@alphomrosso9140 2 жыл бұрын
Nakushukuru kwa somo zuri kuhusiana na faida ya mkaa kwa kuku.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Tupo pa1 ndugu
@IreneAlex-ri3ty
@IreneAlex-ri3ty 2 ай бұрын
Asant kwa somo unapochanganya mkaa na chakula chake unaweza kuwalowanishia na maji
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Hapana watu kikavu
@BernadettaMlanji
@BernadettaMlanji Ай бұрын
Asante kwa maelekezo mazuri ila nina changamoto kuku wangu wameugua ndani ya siku k.m 6 wamekufa 50 nimetumia dawa nyingi bila mafanikio
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Dalili gani
@biffazenobia4699
@biffazenobia4699 2 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri kwa dar mnapatikana wapi napenda kuwatembelea.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Karibu mbeya
@johnsmwandu7338
@johnsmwandu7338 3 күн бұрын
Naomba Namba Yako mkuu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 күн бұрын
Sawa ndugu tutakutumia
@DofridaPastory
@DofridaPastory Ай бұрын
Mm kuku walikufa wote kwakuhara kinyesi cheupe nakijani niritibu ikagoma waliisha wote,ira kwasomo hili uwenda ningejua mapema ingesaidia,asante sana nitaanza tena nione
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Pole sana ndugu kumbuka CHANJO pia
@BovickBolombociMtaelwaMmunga
@BovickBolombociMtaelwaMmunga 17 күн бұрын
Asante sana kwa mahelezo,,,,munge tiya namba zenu hewani ili tupangilie kuhusu mazungumuzo Mazuri ya ufugaji
@AGALUSTV
@AGALUSTV 17 күн бұрын
Sawa ndugu 🙏🏿 ✍️ tunashukuru kwa ushauri wako
@farajaflorence1690
@farajaflorence1690 Ай бұрын
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Be blessed
@user-sx8iz4dj8n
@user-sx8iz4dj8n Ай бұрын
Ahsant kk
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@user-de9xj6yr9l
@user-de9xj6yr9l 24 күн бұрын
Asante, Mimi nafuga lakin vfaranga vinakufa kila siku
@AGALUSTV
@AGALUSTV 24 күн бұрын
Pole sana ndugu jifunze uleaji wa vifaranga kupitia kzfaq.info/sun/PL8xez8Eh4s0HoNxv6Z8q2rDM1i8sCH2GT
@lucymponera3578
@lucymponera3578 2 жыл бұрын
Asante sana kwa somo je uomkaa unachanganya nanini
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Mkaa pekee kwenye chakula cha kuku
@ChariRita
@ChariRita Ай бұрын
Nakupata Niki Kenya pamoja bro
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu Salimia uko 🇰🇪 Kenya
@neemanyasary1072
@neemanyasary1072 2 жыл бұрын
Asante sana kwa solo hili Je naweza weka mkaa ktk maji Yao ya kunywa?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Yaaah unaweza pia
@MukhutariMuhidini-ub4fp
@MukhutariMuhidini-ub4fp Ай бұрын
Ok
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@JenMockiwa
@JenMockiwa 6 ай бұрын
Asante kwa somo zuri, Mimi nafuga bata je nweza kuwachanganyia mkaa kwenye chakula chao, na hakuta kuwa na shida yoyote?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 6 ай бұрын
Sawa tu haina shida
@tatusaid
@tatusaid 2 ай бұрын
Asante sana Kwa somo zuri swali ni kila aina ya kuku wanapewa mkaa?, pia ni kuanzia umri gani unaostahili
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Ndio wanapewa. Angalau wiki 2/3
@JoyceKamna
@JoyceKamna 12 күн бұрын
Asante kwa somo zuri la kuhusu mkaa. Mimi chakula nawapa pumba mashudu mahandi mtama damu chokaa na mifupa. Je nikichanganya na mkaa nitakuwa sawa?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 12 күн бұрын
Sawa tu ndugu
@MzeeMWINUKA
@MzeeMWINUKA 21 күн бұрын
Nimepata maarifa ya matumizi ya mkaa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 21 күн бұрын
Hakika ndugu 🙏🏿 ✍️
@revinmlay5031
@revinmlay5031 8 ай бұрын
Asante kwa SoMo zuri. je kwenye Banda lenye kuku 10 wanatakiwa jogoo wangapi?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 8 ай бұрын
1/2
@redgundaboniface1423
@redgundaboniface1423 9 ай бұрын
Asante kwa somo zuri. Naomba kujua nini kinasababisha kuku kula mayai?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 9 ай бұрын
Sababu ni nyingi kama vile ukosefu, wa Madini ya CALCIUM. Fuatilia video hii UTAJIFUNZA mengi kzfaq.info/get/bejne/nZxgn7eekq_OhGQ.html
@johnmgonja-iy8tl
@johnmgonja-iy8tl 2 ай бұрын
Asante kwa masomo mazuri,je naweza kuwapa vifaranga wangu mkaa?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Kuanzia mwez 1 unaweza wapa AU wape kwenye maji
@RoseMremi-sn9jg
@RoseMremi-sn9jg 2 ай бұрын
🎉Asante Kwa somo la utumiaji wa Mkaa Kwa kuku. Somo limejitosheleza
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@user-oj7dt8dh5z
@user-oj7dt8dh5z 7 ай бұрын
Nashukuru,kwasomolako,kamaumempa,dawa,yakidelianaweza,kulamkaa 2:15
@AGALUSTV
@AGALUSTV 7 ай бұрын
Baada ya wiki 1
@LovenessKengia
@LovenessKengia Күн бұрын
Naweza kuwapa vifarabga
@AGALUSTV
@AGALUSTV Күн бұрын
Wawe wa mwezi 1++
@macrinamoshy9249
@macrinamoshy9249 2 жыл бұрын
Somo nzr, je naweza kuwapa vifaranga wa wk moja vitunguu saumu?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Yes ni vizur sana kwao🙏
@srconjestakimario3211
@srconjestakimario3211 Жыл бұрын
Nashukuru kwa somo la mkaa kwa kuku .swali langu ni kwamba je mkaa naweza kuweka kwenye maji na kuku wakanywa maji hayo na wakapata matibabu sawa na kuila kwenye pumba?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Yaaah inawezekana na haina shida
@angelmbunda5398
@angelmbunda5398 2 жыл бұрын
Tunashukuru kwa elimu mutupayoo hasa kwa sisi wajasiliamal wadogo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Tupo pa1 ndugu 🙏🙏🤝
@faridayona9861
@faridayona9861 2 жыл бұрын
Assnte naitajivi faranga na mwslimu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Karibu sana🤝🙏
@abubakarihassan3180
@abubakarihassan3180 2 ай бұрын
Daa sikutegemea nashukuru kukutana na somo muhimu kama hili kuhusu faida za mkaa kwa kuku
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu. Tuendelee kufuga
@philomenandunge5787
@philomenandunge5787 Ай бұрын
Mkaa ni nii jina nyingine ama ni masudu,kwa kizungu inaitwaji kiswahili sikielawi vizuri na ni zuri kwa kuku wote hata layers
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Mkaa ni charcoal, na mashudu ni sunflower oil cake
@pundesianakokujuna2468
@pundesianakokujuna2468 2 жыл бұрын
Nawashukulu kwa SoMo zuri la mkaa kwa afya ya kuku nitaendelea nanyi ,Mimi nimfugaji nimeanza ufugaji was kuku was kienyi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Karibu na Asante sana🙏🏿
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana, unajitoa mpaka kujibu maswali yetu.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk ufugaji na Kilimo chako
@tatukarata6072
@tatukarata6072 2 жыл бұрын
Nakukubali maan walikua hawali ila Sasa ukieka wanaanza kila mkaa mm kiukweli Ina siku maalm nawap maan sijui km inamazara
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Apo ndyo vizur angalau Mara moja kwa wiki kwa kila mwez
@JamesMaganga-nu8pi
@JamesMaganga-nu8pi Жыл бұрын
Je naweza kumfunikia kuku kwenye Tenga,mwenye vifaranga vya wiki Moja ili kuongeza uzalishaji?.
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Njia nzuri sana ila uwalee ao vifaranga mwenyewe .jifunze JINSI ya kulea vifaranga
@JoyceNdile
@JoyceNdile 28 күн бұрын
Nimenufaika na soma lenu Leo ni mara yangu ya kwanza kusikia mafunzo haya nitajitahidi kufuatilia
@AGALUSTV
@AGALUSTV 28 күн бұрын
Tupo pamoja ndugu
@VeronicaBayyo
@VeronicaBayyo Ай бұрын
Naomba ushaur
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Upi ndugu
@SalomeZabron-s7c
@SalomeZabron-s7c 11 күн бұрын
Kwakweli nimejifunza kitu kipya kabisa MUNGU akubariki mwalimu wetu, ila naomba niulize hii elimi ni kwa ajili ya kuku wa kienyeji au na wa nyama?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 11 күн бұрын
Kuku wa Aina zote. Tunashukuru Kwa Baraka izo
@Marry-dj6et
@Marry-dj6et Ай бұрын
Nimeipenda sana hii tiba ya mkaa. Swali jee siwezi kuchanganya huo mkaa kwenye maji?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Unaweza tu ndugu
@JudithMsuya-pe1sx
@JudithMsuya-pe1sx Ай бұрын
Mwalimu asante kwa somo zuri. Je hakuna wstu wanaotengeneza mkaa huo tayari kwa kuchanganya tu kwenue chakula?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Ngoja tufuatilie zaidi.
@aminamselem5669
@aminamselem5669 28 күн бұрын
Je unaweza kuchanganya mkaa na unga wa mwembe kwa pamoja
@AGALUSTV
@AGALUSTV 28 күн бұрын
Apo Sawa ILa isiwe kwenye maji
@ppemperweringpeople7183
@ppemperweringpeople7183 2 ай бұрын
Lo! Mapya Kabisa Kwangu,Yani Njia Raisi Sana Kutibu Na Kuzuia Maradhi Katika Ufugaji Wa Kuku.,Je AloeVera Au Golonje Inatibu Magonjwa Gani Kwa Kuku?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu. Andika you tube faida za alovera kwa kuku by agalus TV zitakuja
@listonhangu8951
@listonhangu8951 Жыл бұрын
Umetsha bro bye afsa mifugo Liston hangu
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Tupo pamoja mkuu ✍️👏🤝
JINSI YA KULEA VIFARANGA VYA KUKU WA ASILI BILA MAMA YAO
19:45
AGALUS TV
Рет қаралды 121 М.
Jinsi  ya kupata kuku  wengi wa kienyeji
10:46
AGALUS TV
Рет қаралды 332 М.
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 177 МЛН
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 56 МЛН
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН
TAFSIRI YA NDOTO  KUOTA UPO SHULENI AU UNAFANYA MTIANI, NDOTO ZA KUOKOTA HELA, BY PST GODWIN NDELWA
6:30
PASTOR GODWIN NDELWA - MAOMBI NI DAWA
Рет қаралды 48 М.
TIBA ASILI KWA KUKU:  MIMEA. 12 KAMA KINGA NA. TIBA KWA KUKU
14:12
IJUE CHANJO YA TATU MOJA
11:38
farmers centre
Рет қаралды 10 М.
SABABU 4 ZA VIFARANGA KUFA
9:21
AGALUS TV
Рет қаралды 28 М.
TIBA ASILI YA UTITIRI NA VIROBOTO KWA KUKU
7:35
AGALUS TV
Рет қаралды 44 М.
How to make incubator at home
11:58
Pets Life TV
Рет қаралды 10 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН