✍️Mbinu hizi mbili zitakusaidia kupata kuku wengi wa kienyeji (a)Kumwekea mayai mengine kuku aliyetoka kutotoa na kuvilea vifaranga (b)Kumfungia kuku aliyetotoa na kuvilea vifaranga
Пікірлер: 731
@user-jk6xk7id3q9 ай бұрын
Shukran mungu atupe hekma namaarifa akustiri tuzidi kunufaika zaidi kupitia mafunzo yako amini 🤲
@AGALUSTV9 ай бұрын
Amina✍️🙏🏿
@TULIMKUMBWAАй бұрын
Asante kwa somo zuri mm nataka nianze tafadhali Bushoke mkono
@AGALUSTVАй бұрын
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji
@DaatwoNamkonАй бұрын
Asante kaka lengo langu nikitaka nianze kufuga kuku Tena wawe wengi, nashukuru kwa somo lako
@AGALUSTVАй бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@rosella_2552 жыл бұрын
Somo Zuri sana, Mungu azidi kukubariki
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Amina KUBWA ndugu nawe endelea kubaki na agalus tv 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🤝
@user-ih4fo3lw8n11 күн бұрын
Asante sana kwemsada elimu nzur
@AGALUSTV11 күн бұрын
Barikiwa pia
@TresorVikalavaАй бұрын
Ubarikiwe sana na Mungu
@AGALUSTVАй бұрын
Amina ndugu barikiwa pia
@user-uv7fq6ro2i4 күн бұрын
Hongera sana kwa hilo somo,,mungu akubariki .Nikona swali ,,sasa ukifugia uyo kuku kwa siku nne bila kumpa chakula,,je hataweza kufa ama kupatwa n magonjwa?asante
@AGALUSTV4 күн бұрын
Hawez ndugu. Barikiwa pia
@rehemaissa61642 жыл бұрын
Ahsante Sana, nimeanza kufuga na hili SoMo litanisaidia Sana, matamani kuwa na kuku wengi
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Karibu sana Mungu awe nawe🙏🙏🙏 Katika ufugaji wako
@cyprianmgogo762510 ай бұрын
Nipo Zambia,nimeanza kufuga kuku baada ya kuingia utube na kuiona channel ya Agalus,vema na shukrani kabisa.changamoto vifaranga wangu wadogo wanazima njia ya haja kubwa na wanakufa sana,natumia dawa ya sulfa..nachanganya na antibiotics,lakini matokeo bado si fresh,usafi wa chumba na kutoa maji ya kutosha umezingatiwa sana,naomba suluhu ya kitaalam.
@AGALUSTV10 ай бұрын
Pole Sana ndugu. Ufaham uo ugonjwa vizuri kupitia video hii kzfaq.info/get/bejne/bKqZoZqD1KnOfac.html
@queenmmole2 ай бұрын
Vifatanga wamevimba nundu kwenye masikio dawa ya asili ya kuyibu ni hipi msaada tafadhali
@elikandone2 ай бұрын
Sawa ya asili ya vinundu kwenye macho paka mafuta ya mawese penye nundu atapona kwa mda mfupi tu
@Mammy79Ай бұрын
Tafadhali mafuta ya Mawes ni gani/ni nini.
@annamikamollel360Ай бұрын
Mnapatikana wapi? Na je ninaweza kuja kununua kuku kwako? Napenda sana masomo yako
@paschalmagubo63372 жыл бұрын
Njia nzuri sana hii kwa waoanza ufugaji na kuku wachache
Asante kwa masomo na marifa. Nitaaza kufuga kuku kienjeji
@AGALUSTVАй бұрын
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji. Na Endelea kufuatilia masomo mengine ktk channel hii Kuhusu ufugaji kuku utajifunza mengi
@AzinaKitery24 күн бұрын
Nashukuru sana Kwa somo lako nitalifsnyia kaz
@AGALUSTV24 күн бұрын
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji
@user-zg8wl9nd4e4 ай бұрын
Elimu nzuri sana
@AGALUSTV4 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@SurprisedDrumKit-sn9so3 ай бұрын
Asante kwa darasa nawezaje kupata vifaranga au kuku
@AGALUSTV3 ай бұрын
Upo wapi ndugu
@AllySengao29 күн бұрын
Mungu akupe kaul thabit il uendlee kutoa som zur zaid
@AGALUSTV29 күн бұрын
Amina ndugu nawe pia iwe heri ktk kazi zako
@henrygabriel289213 күн бұрын
kipindi hiki kinapatikana lini mimi ndiyo nimekiona sasa hivi
@MagdaleneMagdalene-rz1sp7 ай бұрын
Asante sana barikiwa
@AGALUSTV7 ай бұрын
Amina ndugu nawe pia
@tinalulule9172 ай бұрын
Good thank you
@AGALUSTV2 ай бұрын
Welcome
@FelisterNgajuaАй бұрын
Some lako nimelipenda ubarikiwe sanaaa
@AGALUSTVАй бұрын
Barikiwa pia ndugu 🙏🏿
@charleskyando6255Ай бұрын
Good,wengi hatujui
@AGALUSTVАй бұрын
Hakika ndugu
@gladysNangaoКүн бұрын
Niko Kilifi Kenya nashukuru kwa somo hili la kuwa na kuku wengi kwa muda fupi. Ningependa sana kujua jinsi ya kulea vifaranga baada ya kuvichukua toka kwa mamayao, pia na ile mimea inayo tumika kama dawa
@PeterNjoni2 ай бұрын
Asante kwa somo
@AGALUSTV2 ай бұрын
Barikiwa pia
@denismsalasye92132 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
amina
@SusanWanjiku-xc1lqАй бұрын
Thank you for your advice brother
@AGALUSTVАй бұрын
Your welcome
@sylivialingo54382 жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Asante sana Ubarikiwe🙏🙌
@fatheroficial59432 ай бұрын
Hii inakitu safi 👏
@AGALUSTV2 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@marykundi41702 жыл бұрын
Thanks.a very good tuition
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Be blessed🙏
@user-zg8wl9nd4e4 ай бұрын
Elimu nzuri sana
@AGALUSTV4 ай бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@babamando76292 жыл бұрын
Asanten San. UK vizur
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🙏🤝
@user-sz9xb9mi9n5 ай бұрын
Good hakili Mingi
@AGALUSTV5 ай бұрын
Pamoja ndugu
@elikandone2 ай бұрын
Thanks alot
@AGALUSTV2 ай бұрын
Be blessed
@aminachoga92662 ай бұрын
Shukran ❤❤
@AGALUSTV2 ай бұрын
Barikiwa pia ❤️🔥🙏🏿
@estherchebet67052 жыл бұрын
Good lesson
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Welcome🙏
@salimomarhamad10242 жыл бұрын
Very nice
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🤝
@marthaokerio73362 жыл бұрын
Thank you that is a very good lesson i like it God bless you.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Amen🙏
@karenjacob51752 жыл бұрын
Nimeelew kaka asant kwa somo
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1 sana, 🤝🤝🤝
@jackurio9848 Жыл бұрын
Asante kwa somo nitafanya
@AGALUSTV Жыл бұрын
Poa
@mardhiahamisi43322 жыл бұрын
Nimefurahi sana kuanzakujifunza ufugaji bora wa kuku,nawaombea Mungu awazidishie maendeleo ilinasi tupate faida juu ya kukuwa kienyeji nazidikuananya ilinipate elimu
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Karibu🙏🙏🙏🙏Amina
@SalimKombo-xo4pq23 күн бұрын
Asante sana bro
@AGALUSTV23 күн бұрын
Tupo pamoja ndugu
@youniyou20592 жыл бұрын
Asante saana kwa hunielimisha kuhusu kulea kuku asante
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ok kuhusu kulea vifaranga somo hili 👇kzfaq.info/get/bejne/at6hh6VysKiso2g.html ila kwa maelezo zaidi tuwasiliane wasap tu. +255765467484
@pmgpmg77172 жыл бұрын
Funzo zuri sana.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🙏🤝
@ponsianabyarugaba1564 Жыл бұрын
asante kwa SoMo zuri ukimuyangaya vifaranga kitu Cha Kwanza vifaranga unaanza kuwapa chakula gani
@AGALUSTV Жыл бұрын
Stater ya vifaranga cha dukani
@monicahmbogo66622 жыл бұрын
Asante sana
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa 1🙏
@euzebiayotham64592 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri kuku ukinyanganya vifaranga halafu ukamnyima chakula ck tatu hawezi kufa na njaa
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Hawez Amin ivyo 🙏
@danielmwakatuma14383 жыл бұрын
Nashukur kwa ushauri namiongozo.mbarikiwe.je hamna vitabu kwa ajili ya ufugaji wa kuku.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Vitabu vipo
@shabanimsemwa12022 жыл бұрын
Asante sana.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🙏
@nazleenibrabimАй бұрын
Kitabu pesa ngapi@@AGALUSTV
@user-pg4td8dg1c11 ай бұрын
Ni elimu na ujuzi tosha kabisa 👍
@AGALUSTV11 ай бұрын
Tupo pamoja ndugu
@ngwadaratifa10082 ай бұрын
Ni somo zuri sana
@AGALUSTV2 ай бұрын
Barikiwa pia
@user-rs2pw3sd3j11 ай бұрын
Like this one nitakuwa mfugachi
@AGALUSTV11 ай бұрын
Welcome
@user-xh6mt8xj9d2 ай бұрын
Allah akubarik kwa SoMo laki mashaallah
@AGALUSTV2 ай бұрын
Amina ndugu nawe iwe heri pia
@rosembwambo60792 ай бұрын
Naomba elimu kulea vifaranga bila mama yao...pia bila kutumia madawa ya dukani....
@AGALUSTV2 ай бұрын
Andika you tube jinsi ya kulea vifaranga by agalus TV zitakuja video nyingi Sana nawe UTAJIFUNZA taratibu. Tiba asili kwa vifaranga hapana angalau wafike mwez
@aminamooni14882 жыл бұрын
Asante. Santa. Nimejifunza. Kitu
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana🙏
@davidshekighenda52062 жыл бұрын
Maarifa mazuri sana
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Hakika🙏
@mirriamjohn58852 жыл бұрын
Somo zuri sana nitajaribu tu.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Karibu sana🙏 Kwenye hii mbinu
@magrethmbogela3401 Жыл бұрын
Asante kwa maarifa
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa sana Ndugu
@IbrahimOfficial-pi3kwАй бұрын
Mm nauliza chakula kizuri cha kutumia kuwalishia ao vifarana ni chakula gani( kitaalam kinaitwaje kama unakitafta madukani?
@AGALUSTVАй бұрын
KInaitwa crumble stater
@mwanamisihamisilibondo95412 жыл бұрын
shukran kwa somo. ubarikiwe ndugu
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Amina Kubwa🙏
@feniussimon58222 жыл бұрын
Japo napata taalifa leoo ngoja nijarbuu
@feniussimon58222 жыл бұрын
Njia ya kuku kutaga kwa mapemaa tafadhar naombaa msaadaa
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Karibu sana
@flotheashayo62332 жыл бұрын
Thanks sana
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🤝🤝
@raymondonyona.27369 ай бұрын
Nimelipenda somo lako la ufugaji kuku wa kienyeji. Niko Mza Tz.
@AGALUSTV9 ай бұрын
Hongera Sana ndugu karibu tuzid Kujifunza kupitia channel hii
@jumannesama33572 жыл бұрын
Tunashukuru kwafaids
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🤝🤝
@MaicoMichael-ml5dl10 күн бұрын
Je ayo mayai akiyakataa uyo Kuku anaeatamia
@AGALUSTV10 күн бұрын
Uyo kuku si mzuri kwa kutumika kwa ijir ya kutotoleshea
@user-np8lv6sr3x2 ай бұрын
Engineer machemko from 🇹🇿 nimekubari uzalishaji wenu wa kuki
@AGALUSTV2 ай бұрын
Barikiwa Sana Engineer
@nurudinamchome68523 жыл бұрын
Asante mkuu
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Pa1 🤝
@haseanatnsanya20792 жыл бұрын
Nimependa sana ninapenda KuFa nga kuku nitajalibu asante
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana🙏🙌
@magrethmbogela3401 Жыл бұрын
Asanten
@AGALUSTV Жыл бұрын
Barikiwa pia
@PascalLugonda22 күн бұрын
MIMI PASCHAL LUGONDA NAOMBA KUWA MWANACHAMA KATIKA CHANNER NAMI NIFUGAJI WA KUKU WAKIENYEJI
@AGALUSTV22 күн бұрын
Karibu Sana ndugu endelea kufuatilia channel hii
@omaruwakitaa5 ай бұрын
Asante mwalimu
@AGALUSTV5 ай бұрын
Pamoja ndugu
@WamburaMerengoАй бұрын
Nmewaelewa saana,vip kuhusu kutotorosha vifaranga bila kuwa na incubator?
@AGALUSTVАй бұрын
Tumia kuku wa kienyeji kulalia
@mishikai13672 жыл бұрын
Nimependa
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa sana🙏
@user-iz7vh8vy2hАй бұрын
Hili somo nimelipenda sana
@AGALUSTVАй бұрын
Karibu Sana ndugu ktk ufugaji
@user-iz7vh8vy2hАй бұрын
@@AGALUSTV Asante sana
@AGALUSTVАй бұрын
Endelea Kujifunza zaidi ufugaji kuku, kulea vifaranga, magonjwa, dawa za kuku, mbinu mbalimbali za ufugaji kuku, tiba asili, chanjo za kuku pia. Video zote zipo
@JoycePatriciaKadumaАй бұрын
Asante kwa somo lako, ninaweza kununua mayai ya kuku wa kisasa?
@AGALUSTVАй бұрын
Hayata totolewa
@mwanatz59802 жыл бұрын
Asante .
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Barikiwa
@juliettesagamiko58772 жыл бұрын
ELIMU nzuri sana
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🙏
@adelimarsialphonce818 Жыл бұрын
Asante nimejifunza kitu je kuku akianza kuvimba macho na umeshampa dawa ya mafua unafanyeje
@AGALUSTV Жыл бұрын
KWENYE MACHO UKIFUNGUA KUNA VITU VYEUPE AU
@user-dc5dk3ql2c9 ай бұрын
Ahsante
@AGALUSTV9 ай бұрын
Tupo pamoja
@fauziamussa3812 жыл бұрын
Pongeze kwa mafunzo naomba Allah ani jalie kua mkulima wa nyanya Allah akubariki mwangu
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Amina🙏 Mungu yupo atakujaliia
@leonardnkwabi772 жыл бұрын
Safi sana nami niunganishe katika somo hili.
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Wasap pekee +255467484
@mwachesaid7020Ай бұрын
Mimi niko pemba,nahitaji mafunzo z
@AGALUSTVАй бұрын
Endelea kufuatilia video Zingine ktk channel hii
@ernestthomas38663 жыл бұрын
Unafundisha vizuri sana,je vipi whatsup group
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Asante tupo pa 1 kwa wasap bado kidogo ila tupo njiani🙏🙏
@simeonrukondo29272 жыл бұрын
Kumbe maisha mazuri yapo na yanawezekana,ikiwa kuku wengi wanapatikana kirahisi hivi !
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Hakika 🙏🙏🙏
@cassianrobert42172 жыл бұрын
Good
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Thank you🙏🙏
@mayasamayasa12052 жыл бұрын
Asante kaka
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🤝🤝
@judithwanjiku41023 жыл бұрын
Somo nzuri hio, ningetaka kujua chenye inafanya kuku wawe na miguu ya yellow,
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Hatuja elewa fafanua vizur kidogo una maana rangi ya miguu kua yellow kw muonekano au
@judithwanjiku41023 жыл бұрын
@@AGALUSTV Hello, ndio namaanisha kwa maonekano kwa miguu na kwa mdomo ni yellow,
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ok tumekupata ngoja soon🙏🙏 kua na subira kidogo
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Miguu kua yellow usababishwa na mambo 2 la 1. Ni urithi yaaani vinasaba (genes) au 2. Ulaji wa mahindi kwa wingi yaani nafaka za mahindi kwa wingi 👉Japo haina madhara kwa kuku🙏
@judithwanjiku41023 жыл бұрын
Nashukuru sana,ntawapa mahindi kwa wingi.
@paulobura15972 жыл бұрын
Napenda sana kufuga kuku kuwa na elemu ni muhimu sana
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ni kweli🙏
@baidrufamau60332 жыл бұрын
ASSALAMU ALAIKUM wabatakatuh Mm nategemea kazi yadereva na ningependa kuwa mufugaji nimejaribu maranyingtu kwa kutumia wenzangu lakini sajafaulu nakuiaca kazi nawona ngumu mana ndo kula yangu navile navyo Iona kazi ya ufugaji inaweza kulipatu lakini kulingana namajukumu nilio nayo uwa nashindwa kuka nyumbani waweza nipa ushaurigan mwenzio kwajina badru f kutoka ug nitafurai ukinijibu asante
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Ufugaji ni kaz na inahitaji umakini sana umpte mtu Unae mwamini. Kwa ufupi Kama utaweza karibu tufanye kaz nasi. Tutakusimamia. Kwa maelewano nafuu. Karibu🙏 Wasap namba +255765467484 kwa wasap tu.
@marykiula5012 жыл бұрын
Kaka usinichoke umesema kuku 1 atafanya zoezi la kutotolesha mara 2 kama ulivyotuonyesha hapa alitotoa ukatoa vifaranga then ukaweka mayai Mengine muda ule ule mi hapo pananichanganya nisaidie pls
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Wala usijali. Yaani akisha totoa vifaranga atakaa navyo kwenye kiota siku 2 hadi 3 kisha unavitoa vigaranga bila kumsumbua kuku asije akatoka kwenye kiota. Kuku atabak pale kwenye kiota utachukua mayai mengine utamwekea kuku aendelee kulalia vile vitoto utaenda kuvilea. Ila hili zoez usimfanyie kuku zaidi ya mara 2 kwani zoez la kulalia mfurulizo lina shusha afya y kuku sana sasa kuku ana kua dhaifu endapo akilalia mara nyingi zaid kw mfumo huuu yaani mwisho mara2 awamu y 2 akitotoa basi utamruhusu atoke kwenye kiota
@ammakhan2239Ай бұрын
Habari kaka unapatikana wapi... Asante sana kwa somo lakoo
@AGALUSTVАй бұрын
Barikiwa Sana ndugu
@danielakhwaba91263 жыл бұрын
Na kwa changamoto ya magonjwa hashwa kwa kuku ni tiba gani hupewa kuku kwa kuwakinga ili wasikufe?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Usafi chanjo na chakula na vitamin
@mariamumbapirafreefaturt96442 жыл бұрын
Naomba munifahamishe sehemu nzuri namaanisha mazingira mazuri ya kufuga kuku wastawi bila bugdha mahitajj ya vyakula ili update mifugo mingi na bora Mimi ni mgeni nataka kuanza ufugaji naomba msaada
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Karibu kwenye ufugaji naomba ufuatilie somo hili👇 mambo ya kuzingatia ili upate mbegu bora ya kuku w kienyeji. Unapo anza kufunga kzfaq.info/get/bejne/hJN0dbKrxsmcoIk.html
@SamweliKereine2 ай бұрын
Somo safi lakini nauliza swali mm nina kuku kwenye mazingira yenye jua Kali au joto halafu wanamlalia mayai wanaacha bila kutatoa nitafanyaje hapo?