Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 103
@emmanuelfari89246 ай бұрын
Siku moja itakuwa ktk uzao wangu 1 WAKORINTO 1:9🙏🙌🙌
@AMINIPARTS6 ай бұрын
Yote yanawezekana kwake aaminie
@andreamutekulwa10926 ай бұрын
Amen kubwa sana na itendeke kwako na kwetu pia🙏🏾
@alzawahirabdallah22996 ай бұрын
Km nitakosa duniani mungu anipe peponi
@slishdeby12086 ай бұрын
🙏🏽 amen
@maheitumdintunya29285 ай бұрын
endelea kusoma bibilia wenzako wanafanya pkazi
@kakorejrboyz64476 ай бұрын
SIMBAAAAAAAAAAAA VP #GSM VP
@Oldskulgemini99916 ай бұрын
Hakuna Simba hapo, Kuna mo dewji ndugu huo ni utajiri wake sio wa timu😂
@AliAbdalla-lb8su6 ай бұрын
Mo ndio tajiri afrika mashariki
@aediayumgo854624 күн бұрын
Dah!! Wamenisahau😭😭
@user-km5jc6sv5f6 ай бұрын
Kenya tunao mabillionea sema wamezipata pesa zao kwanjia mbovu kwahio pesa zao ziko off shore
@user-hx2if3ep2m6 ай бұрын
Naamini Kenya wapo kibao tu sema pesa zimefichwa sanaa 😂😂😂😂
@geomangi61236 ай бұрын
kweli kabisa
@shangwefisima39936 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Soon8156 ай бұрын
Hamna kitu sifa za kijinga tu.
@peterdeus60936 ай бұрын
Hasa wanasiasa hawànaga pesa safi wiki mtupu, hata hapa bongo wapo kibao
@user-rm5pt2qf9b6 ай бұрын
Sns❤
@CollisBill-mu3zp6 ай бұрын
Watu wenye pesa zao🙏🙏
@GefreySamson-ch5sn6 ай бұрын
Kila mwanaume ndo ndoto yake inshallah one day on me 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@amoogaza68255 ай бұрын
Amoo Gaza save this 2060
@damymzuri99896 ай бұрын
Kenya vp
@rogerabdallah4395 ай бұрын
Bado sana
@ikulunimahalipatakatifu76426 ай бұрын
Duuu ina maana wakenya matajiri wote ni wa umoja wa mataifa ? yaaani wanawakilisha watu wa ng'ambo kule UN ?
@King_Of_Everything6 ай бұрын
👊✌️👍。
@chariedecute82006 ай бұрын
So bakhera,,GSM,, n nn jmn kwa mm najuaga bakhera ndio top kumbe sjui kitu
@shangwefisima39936 ай бұрын
Yaani hujui kitu😂😂😂
@FocusTradeacademy6 ай бұрын
What about Tony Elumeru from Nigeria?
@rsautoservice9846 ай бұрын
Mbona bakharesa simsikii
@jacobmenganyi78306 ай бұрын
Ayo ndo Mambo tunataka kuhusu maisha ya watu tusiokua na kitu😂😂 congrats SNS
@mohammedshishishi63756 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@RubenMtuwaMungu-bz8ee6 ай бұрын
Matajiri tuko wengi tu sema tu ni rank zetu zinaboa kuorodhesha.
@Adevitutv5 ай бұрын
Kama unaamini mafanikio ni kupambana tia like hapo
@jeremiahcharles60276 ай бұрын
Mbona GSM hajatajwa jamani ,,hizi ni hujuma😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@brunoh_bx6 ай бұрын
😂😂😂😂
@richardbegga66796 ай бұрын
GSM ana pesa za Komdomu
@audaxbizimana80846 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@salummasoud25675 ай бұрын
Habari ni nzuri ila muwe mnataja hizo hela Tshs
@user-rj9mb4yk6l6 ай бұрын
Forbes mbona hawajaniweka hii tabia wameanza lini Mali zote nlizonazo na makampuni
@joshuaandrew3866 ай бұрын
😂😂😂
@vibetz99915 ай бұрын
Niliwaambia Forbes wanitoe kwenye rist, sipendi umaarufu😢😢
@abelmbilinyi12625 ай бұрын
😅😂
@youngrich66615 ай бұрын
😂😂
@Avith-lj2sp3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@stanastana31996 ай бұрын
Hii list mbona diamond hayuko forbes wacheni ubaguzi
@youngrich66615 ай бұрын
Diamond anaelagani na ww
@visusajonas43546 ай бұрын
Moise katumbi in DRC congo
@CROWNMEDIAKE6 ай бұрын
Diamondplatnumz ako wapii😂😂😂😂
@Oldskulgemini99916 ай бұрын
Kuwa na heshima basi hakuna msanii anaeweza kuingia hapo hata wakina Jay Z hapo hawaingii hao ni wafanyabiashara wakubwa ndugu
@christophekyandaza11136 ай бұрын
Akuna mwenye ana shinda Joseph kabila na katumbi
@diti48995 ай бұрын
Aaaaa kwako
@kasenatoursandtravels88655 ай бұрын
Kenya kuna matajiri wengi moi family and kenyatta family wako na over 2.5 billions dollars 😊
@rayisadesigns26465 ай бұрын
Hao wana senti za kununulia maandazi ndiyo maana kwenye orodha hii hawapo.
@josephmshana58336 ай бұрын
Kenya kwan vipi had zimbabwe wanawazid si mumtoe mmoj akakatwe vidole aingie kwenye list
@saidfhamad6 ай бұрын
Kenya hawana billionaire kweli licha ya kingereza chao chote??
@stanastana31996 ай бұрын
Kenya tuko na wengi sana
@mwanahamisijuma72706 ай бұрын
Duuh nimesaulika jamani😂 mmi niko wpi ssa
@peterdeus60936 ай бұрын
Jitafute kwenye mtaa wako uone wangapi wanakukimbiza
@BlackMirrorTz5 ай бұрын
Samahani Me Sijaelewa Zaid Hivi Dollar Billion 1 Ni Sawa Na Kiasi Gani Hapa Kwetu? |🇹🇿
@jeremiahcharles60276 ай бұрын
Hii sio fair,,GSM ,Mbona hajatajwa✍️
@alexsuleiman37956 ай бұрын
gsm tajir sio bilion
@jeremiahcharles60276 ай бұрын
@@alexsuleiman3795 hii ni hujumaaa ,hujumaaa
@richardbegga66796 ай бұрын
GSM ana pesa za Kondomu tu Hana Hela ya kutajwa na Forbs kwa kipi Alicho nacho?
@makamekhalfan59686 ай бұрын
uongo t huu tuseme baharesa maskini
@aediayumgo854624 күн бұрын
Bhakresa still put his money in spanbox so is difficult to know how he save until take hamer and break🤣🤣
@JastoLeleJnr6 ай бұрын
Kenya mabilionea wapo sema pengine hawajataka kuweka wazi mali zao kwa mfano the Kenyatta family ni mabilionea
@FeruziAbdalla6 ай бұрын
Kenya akuna mabilionea
@vitalisjuma44516 ай бұрын
Kenyan hakuna ma bilionea ni wezi tu ndio wako
@stanastana31996 ай бұрын
😂😂@@vitalisjuma4451
@Soon8156 ай бұрын
Hakuna billionea kenya full stop
@ipatemedia5 ай бұрын
Siku Moja nitakua katika hiyo horoza
@BigZhumbe5 ай бұрын
Wakenya wanaskilia vibaya wapi?
@alexsuleiman37956 ай бұрын
tajir chui wa ngapi
@TheAlman6 ай бұрын
Asa mbona jina langu wamesahau apo
@fadhilinyengo82626 ай бұрын
Wewe subili list ya Macholo
@TheAlman6 ай бұрын
@@fadhilinyengo8262 😂😂😂😂
@jonaskilomba40945 ай бұрын
Mi mbona siwekwi? Sikubali nadhani inafaa niwaulize forbs
@jamesnkumbila59376 ай бұрын
Sijamuona Zari 😂
@salma-fc4xc6 ай бұрын
Ipo siku yake tu
@isabellarkageha77076 ай бұрын
🤣🤣
@Donrugi6 ай бұрын
Since 2020 hadi 2024 bado $1.8B
@BigZhumbe5 ай бұрын
2020 si alikua 1.5B?
@Mkombozi2556 ай бұрын
Bahressa ni milionea wa dollar lakini😅kingine matajiri wengi wa kiafrika huficha Mali zao kwa majina ya ndugu zao.unaweza kukuta Viwanja vya bakhressa au boti zake hazipo kwa majina yake.hata hivyo ubilionea siyo kwapa😅😅 kila mtu anayo😅
@stevenmvungi36025 ай бұрын
Issue ya 1b usd Sio Tako kwamba Kila mtu analo
@stevenmvungi36025 ай бұрын
Ila africa Bado sana Yani utajiri wao wote haufiki hata nusu ya utajiri wa elon musk😂
@kazkaz19435 ай бұрын
Forbes hawakuweki bila wewe kuwatumia info zako una apply kama unaomba kaz so mnaosema hamumuon Gsm r bakhresa inawezekana hawajaomba au wameomba wamekosa😂
@Zenny896 ай бұрын
Ole wao nisikie Wakenya wakisema sisi Ndo watu wa kwanza……🤣
@user-hw4tv5bh6p6 ай бұрын
Hawakawiii kusema mo ni wakwao
@stanastana31996 ай бұрын
@@user-hw4tv5bh6p mo ni mkenya bro
@kakorejrboyz64476 ай бұрын
Furahieni Tu kuitwa MATAJIRI laini MWISHO WA SIKU NI KIFO
@brunoh_bx6 ай бұрын
Kwan masikini hafi!!?😮
@salehjuma52426 ай бұрын
Acha wivu hata mim na wew tutakufa ukiskia roho ya kwanin ndio hiyo😒
@Oldskulgemini99916 ай бұрын
Akili za kimaskini hizo😂 Fanya kazi na wewe iitwe tajiri acha kutishia matajiri kifo😂😂😂
@emmanuelmichael42306 ай бұрын
Masikini hufa harak kwani hata panaldo anashindwa kununua😂😂😂
@Shokolokobango93855 ай бұрын
Gsm mbn hamjtj
@Sidrasidra6366 ай бұрын
M naamini kuna matajiri hawataki kujitangaza waki amuwa kujitangaza hapo wengi watajikuta chini😅 Bakhresa hataki kujitangaza mtasubiri sana
@Sidrasidra6365 ай бұрын
@Dimokotz usilo lijua ni sawa na usiku wagiza
@SiahShayo-mx5gt6 ай бұрын
Mbona wamemsahau ASAKE WA TANDALE kwenye list ya fasibuk
@jonaskilomba40945 ай бұрын
Kenya ni kelele tu
@zikirination67695 ай бұрын
Pesa ya kenya ni yatiktok tu ama pesa yetu inanunua tz yote hata bilinear mmoja hakuna😂