MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE

  Рет қаралды 1,495,816

BBC News Swahili

BBC News Swahili

4 жыл бұрын

Mfanyabiashara maarufu wa Tanzania Mo Dewji amezungumza katika mahojiano maalum na BBC kuhusu kutekwa kwake mwaka 2018

Пікірлер: 456
@jeremiahjulias2002
@jeremiahjulias2002 Жыл бұрын
Brother Mohamed Dewij you are Man of God 🙏 Mungu azidi kukupigania, una hofu ya Mungu pia una Roho ya upendo ndani Yako.....! Nimejifunza mengi kupitia wewe, let me change my life...! Mungu akubariki 🙏🙏
@modestalois2535
@modestalois2535 2 жыл бұрын
Nchi ilielekea pabaya sana,ni aibu kubwa sana,pole Mh Mo Dewji,poleni Watanzania waliopitia dhahama hizo,Mungu awape amani tena
@patientlazaro6930
@patientlazaro6930 3 жыл бұрын
Mo Dewji pole ndugu yangu,. Umeongea point sana na umeongea vizuri nashukuru umeelezea huu mkasa maana kunawazushi walizua habari mbaya. Thanks sana
@mtafyaemmanuel66
@mtafyaemmanuel66 4 жыл бұрын
Mimi Mch EmmanuelMtafya Niko Tunduma,namshukuru sana Mungu kumuokoa mo Dowji ,Nimesikiliza ushuhuda wake nimeogopa lakini ashukuliwe Mungu pekee.
@gumatohuka8827
@gumatohuka8827 4 жыл бұрын
Hii,.ni maisha tunaoishi.,mshukru mwenyezi Mungu amekutoa kwa hatari ya maishani.,siyo wote wanabahti kama hiyo., So it's a miracle.
@abdulparesh4899
@abdulparesh4899 4 жыл бұрын
Tumekopa gari kutoka kwako gari moja tu nimetoka kwenye udereva wa mabasi Sasa namalizia Deni lako niwe huru Asante Sana bro
@upendomgombozi1239
@upendomgombozi1239 Жыл бұрын
Mungu akuongezee maisha marefu Mo. Leo ndo naiona simulizi yako japo muda mrefu ulishapita imeniumiza sana, mtegemee mungu yeye ni kilikitu kwako
@ashuashu3843
@ashuashu3843 3 жыл бұрын
M.mungu akunusuru haya na mengine.😭😭 baba yangu Humaid Abdullah Humaid mkazi wa Itigi mjini mkoa wa Singida ni marehemu Allah mjaalie makazi mema huko aliko ampe pepo ameen.Alipofariki baada ya week tu walifukua kaburi lake na sijui nini walichofanya Allah ndio anajua zaid😭😭 lkn wakazi wa Singida na Manyoni na Itigi walishirikiana kwa pamoja kwa kumuombea dua marehemu kwa yale alietendewa.Watu wa singida ni watu wema sana.
@precioussambale1964
@precioussambale1964 4 жыл бұрын
Huyu jamaa ni humble Sana, anamwita Salim boss
@nadiaahmada7092
@nadiaahmada7092 3 жыл бұрын
Kuitwa boc sioboc wewe unaeitwa boc. Ndoboc hataumuingizie buku nihela
@SuperKayaya
@SuperKayaya 2 жыл бұрын
Pole kabisa. Bado na sikiya uchungu ndani ya sauti yako. Pole tena Bingwa.
@safiaothman1098
@safiaothman1098 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu Subhannahu Wata'ala atakulipia leo hapa Duniani na Kesho Akheyra, Aamiin. Namwomba Allah Subhannahu Wata'ala akuepushe na balaa nyinginezo, Aamiin.
@alicenoah5407
@alicenoah5407 5 ай бұрын
Pole sana .Mungu ndiyo mwanzo wetu na mwisho wakila amtegemeae
@user-gf6fp5cg8o
@user-gf6fp5cg8o 4 ай бұрын
Mo kwakweli unabusala kubwa na mungu yupamojanae pole sana moyoni naumia kiukweli hao wa2 wabaya mungu awaangamize
@carolinenjiro41
@carolinenjiro41 3 жыл бұрын
Mungu Ni mwema Sana, wakati wowote, pole MO
@jilbertdanifordbutemba917
@jilbertdanifordbutemba917 Жыл бұрын
Ata Mimi nakupenda moo maana kuna siku uliongea kitu Cha iman ukagusa moyo wangu.
@mpozaurugamba2615
@mpozaurugamba2615 2 жыл бұрын
Pole sana Mungu akongezeye heli!
@user-eo7ug2tg9r
@user-eo7ug2tg9r 3 жыл бұрын
Mungu Ni Mwema Mo Dewji
@mangofish9079
@mangofish9079 2 жыл бұрын
Duh pole sana mo mshukuru Mungu pia hawakukuharibu
@momylaviel
@momylaviel 5 ай бұрын
Baada ya yote uliyoyapitia bado unaishi Mungu akupe maisha marefu
@70SIXER7
@70SIXER7 4 жыл бұрын
Pole sana Kaka...inauma Sanaa wanadamu wengine kucheza na Amani yako hivyo!..unaombewa na wengi Sanaa!...na utaishi Maisha marefu Sanaa!
@samsonlizyborn7541
@samsonlizyborn7541 4 жыл бұрын
Pole sana kaka nikuomba bila kukoma
@legrandmsangi8405
@legrandmsangi8405 3 жыл бұрын
Daah so sad.. lkn Mungu ni mkubwa siku zote, humlipa mtu kulingna na nia yke. Una nia nzr na watanzania, Mungu amejaalia ukatoka salama salmin
@rekhaakashi5750
@rekhaakashi5750 2 жыл бұрын
Pole sana kaka yetu mo dewji kwa matatizo yaliyo kupata
@officialkamdudu
@officialkamdudu 4 жыл бұрын
pole sana ndugu hua kwa imani yetu tunaamini roho haitoki ila kwa idhini ya Allah
@michaelstanley9898
@michaelstanley9898 4 жыл бұрын
Aisee nomaah nimependa Moh alivyojibu jamaa ni smart enough
@stephanom.sylvestor6902
@stephanom.sylvestor6902 3 жыл бұрын
Alie ckia neno boc Kutoka kwa mo agonge like zake hapa
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 жыл бұрын
Pole sana ndugu yetu, kwakweli tuliuzunika sana kwa kipindi kigumu ulichopitia, ila baada ya yote tuseme Alhamdulilah Allah ni muweza wa kila kitu. 🙏
@emmanuelminja2222
@emmanuelminja2222 4 жыл бұрын
Saumu Hassan mambo
@immailecx5355
@immailecx5355 Жыл бұрын
Polemo
@halimasaid4977
@halimasaid4977 4 жыл бұрын
Singida ilove you mkuu wetu kama wewe mnyaturu gonga like hapa
@abdulkuluwia6525
@abdulkuluwia6525 4 жыл бұрын
unyaturu nyuma utanzania mbele
@lusekelokajigili4564
@lusekelokajigili4564 2 жыл бұрын
MO Mungu ni mkubwa Sana. Mungu akubariki sana
@ramadhanshaban4754
@ramadhanshaban4754 Жыл бұрын
Mungu anakupenda kwa mazuri yako wabaya hawata weza mbele yake allah
@habibmhunga2391
@habibmhunga2391 4 ай бұрын
Kabisa tajili umeongea neno mashallha watanzani kwenye matatizo pammoja
@arcusiusngonyani8639
@arcusiusngonyani8639 Жыл бұрын
Kwa kweli tulikuwa tunakuombea Sana Sana sana hasa Mimi nilikuwa nawaza juu ya mzunguko wa pesa ulivyo Tz halafu watu wanakuja kutupunguzia mabosi wetu. Sisi tunaomba kila siku Mungu Atushushie mabosi wawe wengi kwenye nchi yetu halafu watu wanakuja kuwasumbuasumbua dah!!! Ilinipa tabu Sana lakini tunamshukur Mungu wamekuacha huru mwenyezi Mungu azidi kukulinda siku zote.
@abdularuffin9308
@abdularuffin9308 3 жыл бұрын
Pole sana mo deuji allah amekulinda hakika ulimtengemea alllah ndiyo kakuokoa
@mustafaomari6293
@mustafaomari6293 Жыл бұрын
Pore sana mo mungu azidi kukurinda hakika tupo pamoja
@saramwajeka5928
@saramwajeka5928 2 жыл бұрын
Pole sana
@user-qg7wo4sy1z
@user-qg7wo4sy1z Жыл бұрын
mungu yu pamoja na wewe mkuu
@moudyhamisi2641
@moudyhamisi2641 3 жыл бұрын
Pole sana hakika mwenyezi mungu ni mwema
@halimasaid4977
@halimasaid4977 4 жыл бұрын
MASHALLAH mashallah Allah akuzidishie iman mwanzo hadi mwisho wa dunia
@briansancedo9336
@briansancedo9336 4 жыл бұрын
Umeongea sifa ya watanzania cc hatubaguwani hatuangalii rangi mwalimu nyerere ametuachia Hilo tunajivunia.
@zaudiarirunguru6877
@zaudiarirunguru6877 4 жыл бұрын
Pole Sana dua zako ni funguo ya Kila mlango upitao hata uwe na rok ngum mungu anafungua Allah pekee anatosha
@saidahmed9688
@saidahmed9688 2 жыл бұрын
pole sana mo dewji
@vuvuzelajordankhasindu2963
@vuvuzelajordankhasindu2963 4 ай бұрын
Pole sana kwa hayo yote. Inatisha kanisa ila keep up, keep doing it brother. Peace.
@barackjoshua6712
@barackjoshua6712 4 жыл бұрын
mahojiano mazuri allah akuhifadhi mo dewji
@sharifakhamis2461
@sharifakhamis2461 4 жыл бұрын
Pole sana kaka ulipitia wakati mgumu sana Allah karim
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 4 жыл бұрын
Very interested pole Sana bro mungu yu pamoja nawe siku zote
@YAHAYA-xr8pu
@YAHAYA-xr8pu 3 ай бұрын
Mkurugenzi wa Metl Mo Dewji Pole sana kaka Kwa yaliyokukuta lakn you a wisdom bro Allah blessed you
@YAHAYA-xr8pu
@YAHAYA-xr8pu 3 ай бұрын
You have a wisdom bro
@gipsonmassawe4632
@gipsonmassawe4632 2 жыл бұрын
Long life mo dewj
@driftdumper8927
@driftdumper8927 4 жыл бұрын
Pole sana Mo!! Nilisali sana nilijisikia vby wakati wote mungu mkubwa! Aliruhusu uwe hai!
@luluzegema5782
@luluzegema5782 4 жыл бұрын
Mimi chadema nami pia ni yanga ila nililia na kuomba sana
@nasseradel9784
@nasseradel9784 3 жыл бұрын
Pole sana mungu bado anataka uishi 😗😗
@tahiraabdul1701
@tahiraabdul1701 4 жыл бұрын
Pole sana Shehe wangu Mohamed Dowji,alhamdulillah
@Queen-be1uf
@Queen-be1uf 2 жыл бұрын
Alhamdulillah uko salama. We were so sad when you were kiddnaped. We prayed to Allah for your safety ALHAMDULILLAH. Allah akuhifadhi wewe na sisi sote. Amiin
@rashidlighuda6014
@rashidlighuda6014 3 жыл бұрын
Pole sana Mohammed Gullam Dewji
@libeliusdonati7695
@libeliusdonati7695 2 жыл бұрын
Muombe Mwenyezi Mungu lisikutokee tena
@danielmahelaleimba9644
@danielmahelaleimba9644 4 жыл бұрын
Mo pole sana kwa matatizo iliyokukuta lakn mungu bado yupo pamoja nawe tunamshukuru mungu kwa kutenda wema wako mungu
@zboy6321
@zboy6321 3 жыл бұрын
Kumbe mo ni mnyaturu, nilikuwa we ni mzungu wa mataifa ya nje, hongera kwa kumtumaini mungu kwenye shida hiyo uloipata mashaalah
@sifatiiman
@sifatiiman 3 жыл бұрын
Ni Mzur ET
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 4 ай бұрын
Ukiangalia Nywele,,, na Sura Yake,,,,, utasema muarabu Au Muhindi,,, Allah kamulindaa kwa Moyo wake Mzurii Ana Roho Nzuri,,, Allah Azidi kumtunza Daima
@mariammatandala1409
@mariammatandala1409 3 жыл бұрын
Najua dua zetu Mungu aliziskia
@wolfgangkichai8577
@wolfgangkichai8577 4 жыл бұрын
God does his miracles in mysterious ways. He’ll keep you long enough to tell fairytales and roaring stories. Pole sana kwa yaliyo kukuta
@mamunote3507
@mamunote3507 3 жыл бұрын
Mashallah. Mungu akustir usiyaone tenants ktk Maisha yako pole sana Bro
@fadyanassor6934
@fadyanassor6934 4 жыл бұрын
i was cryn the whole time..pole sana MO alhmdullah kwa kutoka salama
@youngbizzy7856
@youngbizzy7856 4 жыл бұрын
Pole sana mama kwa viliyo ulivyoliyaa🙄
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 4 жыл бұрын
Alhmdulillah
@endythomas2838
@endythomas2838 4 жыл бұрын
Pole kwa hayo yote uliyopitia
@KajunaJovinary
@KajunaJovinary 4 жыл бұрын
@
@jiphonmbwale8138
@jiphonmbwale8138 4 жыл бұрын
Mambovp
@carmelinapalermo1573
@carmelinapalermo1573 3 жыл бұрын
Mungu akulinde daima pole Sana dewgi
@johnmnada9767
@johnmnada9767 3 жыл бұрын
mungu atatenda makuu
@johnmnada9767
@johnmnada9767 3 жыл бұрын
mungu yupp
@Da_Gee
@Da_Gee 2 жыл бұрын
FAITH, FAITH, FAITH 7:35 - 7:40 Very powerful! Eee Mungu nipe unyenyekevu zaidi ya huu, Imani yangu nisiiache, ukinipa mafanikio maishani mwangu.
@deverathabalitazari8685
@deverathabalitazari8685 2 жыл бұрын
Pole sana mzee mo je? Ulivyokuwa unataka kujisaidia hulikuwa unafanyaje mzee
@KhalidHashim-qj2dd
@KhalidHashim-qj2dd 3 ай бұрын
😅😅😅
@joasitz9559
@joasitz9559 4 жыл бұрын
Pole kweli ilituumiza sana. Lakini Mungu mwema
@ashapearubart2624
@ashapearubart2624 4 жыл бұрын
Mwenyenzi mungu akurinde sana
@selinamnzava7750
@selinamnzava7750 4 жыл бұрын
Pole sana inauma sana ila Mungu ni mwema anajua wema wako kwa watu usichoke kutenda mema
@abdulparesh4899
@abdulparesh4899 4 жыл бұрын
Mm mmoja wapo ambaye umenisaidia Sana nashukuru Sana siku umetekwa niliumia Sana bro pole sana
@zuberigwakula8531
@zuberigwakula8531 4 жыл бұрын
Itakusaidia kuwakumbuka wanyonge, pole sana. Allah ashukuriwe
@Da_Gee
@Da_Gee 2 жыл бұрын
16:18 - 16:30 Your good deeds will forever follow you, nimejifunza. Let's have good intentions, God will spare our lives, what a humble soul Mo. May God keep you longer.
@mradyally6948
@mradyally6948 2 жыл бұрын
hghgghhghghhggggggggģggģggģggggggggggggggggggģgggggggggggggģgģģggggggggggggggģggggģgģgggggggģggģggggģģggggģgggģggggggggģgģggggg hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh hhh hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhjhhh hhhhhhhhhh hhhhjhhhh hhhhhhhhhhhhggģgggggggģgggggggggggggggģggggggggggg
@mradyally6948
@mradyally6948 2 жыл бұрын
gggggggggggggggģggghhh
@arcusiusngonyani8639
@arcusiusngonyani8639 Жыл бұрын
Santeeeh!!
@claudiamollel4536
@claudiamollel4536 6 ай бұрын
​@@arcusiusngonyani8639😊😊😊😊😊
@claudiamollel4536
@claudiamollel4536 6 ай бұрын
😊
@taremwajkaihula3561
@taremwajkaihula3561 2 жыл бұрын
Poresana
@deogratiusgideon8673
@deogratiusgideon8673 4 жыл бұрын
Inasikitisha sana pia inahuzunisha 😢 😭! Pole sana Boss Mo, 1 ❤️
@mariamdaudi2315
@mariamdaudi2315 3 жыл бұрын
Pole bos wetu
@fanuelzakaria3956
@fanuelzakaria3956 3 жыл бұрын
Dah eti kuna kundi linaitwa wasiojulikana hadi leo hawafaahamiki
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 4 жыл бұрын
Ktk matatizo lzm umtangulize mungu na hicho ndo kilicho kusaidia boss ukatoka salama
@mhangwacharles1156
@mhangwacharles1156 4 жыл бұрын
Polesana mtani wangu
@edwardsalufu6886
@edwardsalufu6886 3 жыл бұрын
mungu akupe rehema nyingi kaka
@halimasaid4977
@halimasaid4977 4 жыл бұрын
Allah akulinde kijana wety
@twalaataib7337
@twalaataib7337 3 жыл бұрын
Allah atakuhifadh kila wakati mngu ni mkubwa🙏
@getmotivated3619
@getmotivated3619 4 жыл бұрын
per this interview... the guy seems to be extremely nice... it would be a privilege to work with or even under him... kiufupi ni mtu muzuri!.. God bless him.
@abdallahaji294
@abdallahaji294 4 жыл бұрын
Pole mo kwa mitihani Allah atakulipi ixhaallah
@apaelinnko3052
@apaelinnko3052 Жыл бұрын
@@abdallahaji294 .kitoi
@venancemwanya4212
@venancemwanya4212 Жыл бұрын
@@abdallahaji294 alishalmlipia. Kulikuwa na uongozi wa hovyo sana awamu ile.
@genesikimario
@genesikimario Жыл бұрын
@@abdallahaji294 p
@daudjoseph
@daudjoseph Жыл бұрын
@@abdallahaji294 Llllllllllllàaàààaàaaaaàaaaaaaààaàaàaaàaalllllllllllàaàààaàaaaaàaaaaaaààaàaàaaàaallllllllllàaàààaàaaaaàaaaaaaààaàaàaaàaalll ll L
@origenesmsuya8291
@origenesmsuya8291 4 жыл бұрын
Kila jambo linasababu kutokea katika maisha yetu hapa duniani,jambo lamsingi ni kumshukuru mungu umzima,nothing last forever
@johnsinyinza7450
@johnsinyinza7450 Жыл бұрын
Acha kutetea udhaifu ni wasiyo julikana
@RealSon-ahmadasoud
@RealSon-ahmadasoud 2 ай бұрын
Hakika inauma sana
@nusalim3389
@nusalim3389 2 жыл бұрын
Enzi za magu na kina makonda si mchezo,unafanyiziwa halafu unasifu mwenyewe,ikizidi huna njia zaidi ya kuwasifu waliokudhalilisha kuwa wamefanya kazi kubwa sana na juhudi
@sallygrace1495
@sallygrace1495 2 жыл бұрын
Glory to God 👏 Binafsi na Mungu yupo na sisi watanzania ni watu wenye amain na upendo huweziona inchi yoyote ila hapa Africa.. Mungu anatupenda sana Watanzania!!
@alexjoseph8704
@alexjoseph8704 4 жыл бұрын
Mungu hawezi kushindwa lolote pole kwa yote yaliyokupata
@najmagudeh203
@najmagudeh203 4 жыл бұрын
Dah pole sana boss m.mungu akulinde leo na kesho inshaallah
@beejay7354
@beejay7354 3 жыл бұрын
Walipo Kuja kuniona Mara ya kwanza wamesujudu. Allah Akbar❤️🙏
@lilyrose4066
@lilyrose4066 4 жыл бұрын
M/Mungu aendelee kukutunza.Be blessed.
@jiphonmbwale8138
@jiphonmbwale8138 4 жыл бұрын
MZM
@felisteranthony8688
@felisteranthony8688 3 жыл бұрын
Inauma Sana, pole mno Mungu wetu ni mwaminifu
@jamilammnimtumzimakweliyot2178
@jamilammnimtumzimakweliyot2178 3 жыл бұрын
Inauma sana pole sana lauchungu alisauliki lakini muombe mungu tuu
@nassoribrahim6400
@nassoribrahim6400 4 жыл бұрын
Allah karim wallah
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 4 жыл бұрын
Pole sana boss Dah hyo lzm ikufanye uwe mchamungu tumejifunza kitu kutoka ktk hili tukio
@mohdmnkenyi1542
@mohdmnkenyi1542 4 жыл бұрын
Aisee pole sana Jamaal yetu
@mhagachiphilemon710
@mhagachiphilemon710 3 жыл бұрын
Pole sana mr. Mo
@malkavoice2570
@malkavoice2570 2 жыл бұрын
God's plan hyo. Nmegundua Duniani huwezi kukua bila kupitia shida ya kihistoria ili upikwe uive uweze kuishi kwa hofu ya mungu. Mungu anamaksudi na kila uhai na kila kichwa amekipa kipimo chake bro. Pole sana
@emmanuellemalali3034
@emmanuellemalali3034 4 жыл бұрын
Salim you're bright ,thumb up brother!
@halimasaid4977
@halimasaid4977 4 жыл бұрын
Subhanallah naumia kwa kweli Allah asiwasamehe awachome moto wa jahanamu milele
@sifamushi1747
@sifamushi1747 2 жыл бұрын
So cool and clam speaking
@patrickKitambo
@patrickKitambo 4 жыл бұрын
media za bongo baada zikave stories kama hizi ziko busy zina cover umbea
@roselynestua7095
@roselynestua7095 2 жыл бұрын
God can't leave u if u are praying him
@vascostanleymbisse4477
@vascostanleymbisse4477 4 жыл бұрын
Story yenye mguso.. Pole sana Brother kwa masaibu mazito
@rosemarrichard1709
@rosemarrichard1709 4 жыл бұрын
VASCO MBISSE mimi
@msilaipimilo1928
@msilaipimilo1928 4 жыл бұрын
Pole sana brother
@user-mu8yj9jr1i
@user-mu8yj9jr1i 5 ай бұрын
Apunguze urushi kama walivyowazulumu muuza zahabu mamilion ya Dola na hii bado
@KhalidHashim-qj2dd
@KhalidHashim-qj2dd 3 ай бұрын
Asee 😢 pole xna kaka Boss
@tatungeni6937
@tatungeni6937 3 жыл бұрын
Pole mungu ajalie tunakupanda❤️❤️❤️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🇹🇿😭😭
@zawadikimaro4087
@zawadikimaro4087 2 жыл бұрын
Pole sana. Uko wapi mm ninashida na mtaji tu ndugu yangu moo. Niliibiwa
@mahamoudmakotaperfumes8788
@mahamoudmakotaperfumes8788 3 жыл бұрын
Mwenyemungu mkubwa inshaallah izo nichangamoto
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 57 МЛН
Happy 4th of July 😂
00:12
Pink Shirt Girl
Рет қаралды 61 МЛН
Хотите поиграть в такую?😄
00:16
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 2,3 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 11 МЛН
Simba SC ilivyoichapa Nkana FC goli 3-1
6:24
Azam TV
Рет қаралды 10 МЛН
Mkasi | S14E03 with Mohammed Dewji Extended version
35:56
MkasiTV
Рет қаралды 1 МЛН
Vitu 10 Kuhusu Utajiri Alivyonifundisha MO Dewji
26:09
SIRJEFF DENNIS.
Рет қаралды 67 М.
'Nilishtuka na mwili kufa ganzi nilipohukumiwa kunyongwa'
37:06
BBC News Swahili
Рет қаралды 5 М.
CHEKESHA : KIKAO KIFO CHA BOSS / MASANJA / MPOKI
32:06
CHEKESHA
Рет қаралды 86 М.
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 57 МЛН