Mfanyabiashara maarufu wa Tanzania Mo Dewji amezungumza katika mahojiano maalum na BBC kuhusu kutekwa kwake mwaka 2018
Пікірлер: 456
@jeremiahjulias2002 Жыл бұрын
Brother Mohamed Dewij you are Man of God 🙏 Mungu azidi kukupigania, una hofu ya Mungu pia una Roho ya upendo ndani Yako.....! Nimejifunza mengi kupitia wewe, let me change my life...! Mungu akubariki 🙏🙏
@modestalois25352 жыл бұрын
Nchi ilielekea pabaya sana,ni aibu kubwa sana,pole Mh Mo Dewji,poleni Watanzania waliopitia dhahama hizo,Mungu awape amani tena
@patientlazaro69303 жыл бұрын
Mo Dewji pole ndugu yangu,. Umeongea point sana na umeongea vizuri nashukuru umeelezea huu mkasa maana kunawazushi walizua habari mbaya. Thanks sana
@mtafyaemmanuel664 жыл бұрын
Mimi Mch EmmanuelMtafya Niko Tunduma,namshukuru sana Mungu kumuokoa mo Dowji ,Nimesikiliza ushuhuda wake nimeogopa lakini ashukuliwe Mungu pekee.
@gumatohuka88274 жыл бұрын
Hii,.ni maisha tunaoishi.,mshukru mwenyezi Mungu amekutoa kwa hatari ya maishani.,siyo wote wanabahti kama hiyo., So it's a miracle.
@abdulparesh48994 жыл бұрын
Tumekopa gari kutoka kwako gari moja tu nimetoka kwenye udereva wa mabasi Sasa namalizia Deni lako niwe huru Asante Sana bro
@upendomgombozi1239 Жыл бұрын
Mungu akuongezee maisha marefu Mo. Leo ndo naiona simulizi yako japo muda mrefu ulishapita imeniumiza sana, mtegemee mungu yeye ni kilikitu kwako
@ashuashu38433 жыл бұрын
M.mungu akunusuru haya na mengine.😭😭 baba yangu Humaid Abdullah Humaid mkazi wa Itigi mjini mkoa wa Singida ni marehemu Allah mjaalie makazi mema huko aliko ampe pepo ameen.Alipofariki baada ya week tu walifukua kaburi lake na sijui nini walichofanya Allah ndio anajua zaid😭😭 lkn wakazi wa Singida na Manyoni na Itigi walishirikiana kwa pamoja kwa kumuombea dua marehemu kwa yale alietendewa.Watu wa singida ni watu wema sana.
@precioussambale19644 жыл бұрын
Huyu jamaa ni humble Sana, anamwita Salim boss
@nadiaahmada70923 жыл бұрын
Kuitwa boc sioboc wewe unaeitwa boc. Ndoboc hataumuingizie buku nihela
@SuperKayaya2 жыл бұрын
Pole kabisa. Bado na sikiya uchungu ndani ya sauti yako. Pole tena Bingwa.
@safiaothman10983 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu Subhannahu Wata'ala atakulipia leo hapa Duniani na Kesho Akheyra, Aamiin. Namwomba Allah Subhannahu Wata'ala akuepushe na balaa nyinginezo, Aamiin.
@alicenoah54075 ай бұрын
Pole sana .Mungu ndiyo mwanzo wetu na mwisho wakila amtegemeae
@user-gf6fp5cg8o4 ай бұрын
Mo kwakweli unabusala kubwa na mungu yupamojanae pole sana moyoni naumia kiukweli hao wa2 wabaya mungu awaangamize
@carolinenjiro413 жыл бұрын
Mungu Ni mwema Sana, wakati wowote, pole MO
@jilbertdanifordbutemba917 Жыл бұрын
Ata Mimi nakupenda moo maana kuna siku uliongea kitu Cha iman ukagusa moyo wangu.
@mpozaurugamba26152 жыл бұрын
Pole sana Mungu akongezeye heli!
@user-eo7ug2tg9r3 жыл бұрын
Mungu Ni Mwema Mo Dewji
@mangofish90792 жыл бұрын
Duh pole sana mo mshukuru Mungu pia hawakukuharibu
@momylaviel5 ай бұрын
Baada ya yote uliyoyapitia bado unaishi Mungu akupe maisha marefu
@70SIXER74 жыл бұрын
Pole sana Kaka...inauma Sanaa wanadamu wengine kucheza na Amani yako hivyo!..unaombewa na wengi Sanaa!...na utaishi Maisha marefu Sanaa!
@samsonlizyborn75414 жыл бұрын
Pole sana kaka nikuomba bila kukoma
@legrandmsangi84053 жыл бұрын
Daah so sad.. lkn Mungu ni mkubwa siku zote, humlipa mtu kulingna na nia yke. Una nia nzr na watanzania, Mungu amejaalia ukatoka salama salmin
@rekhaakashi57502 жыл бұрын
Pole sana kaka yetu mo dewji kwa matatizo yaliyo kupata
@officialkamdudu4 жыл бұрын
pole sana ndugu hua kwa imani yetu tunaamini roho haitoki ila kwa idhini ya Allah
@michaelstanley98984 жыл бұрын
Aisee nomaah nimependa Moh alivyojibu jamaa ni smart enough
@stephanom.sylvestor69023 жыл бұрын
Alie ckia neno boc Kutoka kwa mo agonge like zake hapa
@saumuhassan63654 жыл бұрын
Pole sana ndugu yetu, kwakweli tuliuzunika sana kwa kipindi kigumu ulichopitia, ila baada ya yote tuseme Alhamdulilah Allah ni muweza wa kila kitu. 🙏
@emmanuelminja22224 жыл бұрын
Saumu Hassan mambo
@immailecx5355 Жыл бұрын
Polemo
@halimasaid49774 жыл бұрын
Singida ilove you mkuu wetu kama wewe mnyaturu gonga like hapa
@abdulkuluwia65254 жыл бұрын
unyaturu nyuma utanzania mbele
@lusekelokajigili45642 жыл бұрын
MO Mungu ni mkubwa Sana. Mungu akubariki sana
@ramadhanshaban4754 Жыл бұрын
Mungu anakupenda kwa mazuri yako wabaya hawata weza mbele yake allah
@habibmhunga23914 ай бұрын
Kabisa tajili umeongea neno mashallha watanzani kwenye matatizo pammoja
@arcusiusngonyani8639 Жыл бұрын
Kwa kweli tulikuwa tunakuombea Sana Sana sana hasa Mimi nilikuwa nawaza juu ya mzunguko wa pesa ulivyo Tz halafu watu wanakuja kutupunguzia mabosi wetu. Sisi tunaomba kila siku Mungu Atushushie mabosi wawe wengi kwenye nchi yetu halafu watu wanakuja kuwasumbuasumbua dah!!! Ilinipa tabu Sana lakini tunamshukur Mungu wamekuacha huru mwenyezi Mungu azidi kukulinda siku zote.
@abdularuffin93083 жыл бұрын
Pole sana mo deuji allah amekulinda hakika ulimtengemea alllah ndiyo kakuokoa
@mustafaomari6293 Жыл бұрын
Pore sana mo mungu azidi kukurinda hakika tupo pamoja
@saramwajeka59282 жыл бұрын
Pole sana
@user-qg7wo4sy1z Жыл бұрын
mungu yu pamoja na wewe mkuu
@moudyhamisi26413 жыл бұрын
Pole sana hakika mwenyezi mungu ni mwema
@halimasaid49774 жыл бұрын
MASHALLAH mashallah Allah akuzidishie iman mwanzo hadi mwisho wa dunia
@briansancedo93364 жыл бұрын
Umeongea sifa ya watanzania cc hatubaguwani hatuangalii rangi mwalimu nyerere ametuachia Hilo tunajivunia.
@zaudiarirunguru68774 жыл бұрын
Pole Sana dua zako ni funguo ya Kila mlango upitao hata uwe na rok ngum mungu anafungua Allah pekee anatosha
@saidahmed96882 жыл бұрын
pole sana mo dewji
@vuvuzelajordankhasindu29634 ай бұрын
Pole sana kwa hayo yote. Inatisha kanisa ila keep up, keep doing it brother. Peace.
@barackjoshua67124 жыл бұрын
mahojiano mazuri allah akuhifadhi mo dewji
@sharifakhamis24614 жыл бұрын
Pole sana kaka ulipitia wakati mgumu sana Allah karim
@mtzhalisi22324 жыл бұрын
Very interested pole Sana bro mungu yu pamoja nawe siku zote
@YAHAYA-xr8pu3 ай бұрын
Mkurugenzi wa Metl Mo Dewji Pole sana kaka Kwa yaliyokukuta lakn you a wisdom bro Allah blessed you
@YAHAYA-xr8pu3 ай бұрын
You have a wisdom bro
@gipsonmassawe46322 жыл бұрын
Long life mo dewj
@driftdumper89274 жыл бұрын
Pole sana Mo!! Nilisali sana nilijisikia vby wakati wote mungu mkubwa! Aliruhusu uwe hai!
@luluzegema57824 жыл бұрын
Mimi chadema nami pia ni yanga ila nililia na kuomba sana
@nasseradel97843 жыл бұрын
Pole sana mungu bado anataka uishi 😗😗
@tahiraabdul17014 жыл бұрын
Pole sana Shehe wangu Mohamed Dowji,alhamdulillah
@Queen-be1uf2 жыл бұрын
Alhamdulillah uko salama. We were so sad when you were kiddnaped. We prayed to Allah for your safety ALHAMDULILLAH. Allah akuhifadhi wewe na sisi sote. Amiin
@rashidlighuda60143 жыл бұрын
Pole sana Mohammed Gullam Dewji
@libeliusdonati76952 жыл бұрын
Muombe Mwenyezi Mungu lisikutokee tena
@danielmahelaleimba96444 жыл бұрын
Mo pole sana kwa matatizo iliyokukuta lakn mungu bado yupo pamoja nawe tunamshukuru mungu kwa kutenda wema wako mungu
@zboy63213 жыл бұрын
Kumbe mo ni mnyaturu, nilikuwa we ni mzungu wa mataifa ya nje, hongera kwa kumtumaini mungu kwenye shida hiyo uloipata mashaalah
@sifatiiman3 жыл бұрын
Ni Mzur ET
@jamilashabani85804 ай бұрын
Ukiangalia Nywele,,, na Sura Yake,,,,, utasema muarabu Au Muhindi,,, Allah kamulindaa kwa Moyo wake Mzurii Ana Roho Nzuri,,, Allah Azidi kumtunza Daima
@mariammatandala14093 жыл бұрын
Najua dua zetu Mungu aliziskia
@wolfgangkichai85774 жыл бұрын
God does his miracles in mysterious ways. He’ll keep you long enough to tell fairytales and roaring stories. Pole sana kwa yaliyo kukuta
@mamunote35073 жыл бұрын
Mashallah. Mungu akustir usiyaone tenants ktk Maisha yako pole sana Bro
@fadyanassor69344 жыл бұрын
i was cryn the whole time..pole sana MO alhmdullah kwa kutoka salama
@youngbizzy78564 жыл бұрын
Pole sana mama kwa viliyo ulivyoliyaa🙄
@shifaaal-baity45034 жыл бұрын
Alhmdulillah
@endythomas28384 жыл бұрын
Pole kwa hayo yote uliyopitia
@KajunaJovinary4 жыл бұрын
@
@jiphonmbwale81384 жыл бұрын
Mambovp
@carmelinapalermo15733 жыл бұрын
Mungu akulinde daima pole Sana dewgi
@johnmnada97673 жыл бұрын
mungu atatenda makuu
@johnmnada97673 жыл бұрын
mungu yupp
@Da_Gee2 жыл бұрын
FAITH, FAITH, FAITH 7:35 - 7:40 Very powerful! Eee Mungu nipe unyenyekevu zaidi ya huu, Imani yangu nisiiache, ukinipa mafanikio maishani mwangu.
@deverathabalitazari86852 жыл бұрын
Pole sana mzee mo je? Ulivyokuwa unataka kujisaidia hulikuwa unafanyaje mzee
@KhalidHashim-qj2dd3 ай бұрын
😅😅😅
@joasitz95594 жыл бұрын
Pole kweli ilituumiza sana. Lakini Mungu mwema
@ashapearubart26244 жыл бұрын
Mwenyenzi mungu akurinde sana
@selinamnzava77504 жыл бұрын
Pole sana inauma sana ila Mungu ni mwema anajua wema wako kwa watu usichoke kutenda mema
@abdulparesh48994 жыл бұрын
Mm mmoja wapo ambaye umenisaidia Sana nashukuru Sana siku umetekwa niliumia Sana bro pole sana
@zuberigwakula85314 жыл бұрын
Itakusaidia kuwakumbuka wanyonge, pole sana. Allah ashukuriwe
@Da_Gee2 жыл бұрын
16:18 - 16:30 Your good deeds will forever follow you, nimejifunza. Let's have good intentions, God will spare our lives, what a humble soul Mo. May God keep you longer.
Inasikitisha sana pia inahuzunisha 😢 😭! Pole sana Boss Mo, 1 ❤️
@mariamdaudi23153 жыл бұрын
Pole bos wetu
@fanuelzakaria39563 жыл бұрын
Dah eti kuna kundi linaitwa wasiojulikana hadi leo hawafaahamiki
@shaabanramadhan67704 жыл бұрын
Ktk matatizo lzm umtangulize mungu na hicho ndo kilicho kusaidia boss ukatoka salama
@mhangwacharles11564 жыл бұрын
Polesana mtani wangu
@edwardsalufu68863 жыл бұрын
mungu akupe rehema nyingi kaka
@halimasaid49774 жыл бұрын
Allah akulinde kijana wety
@twalaataib73373 жыл бұрын
Allah atakuhifadh kila wakati mngu ni mkubwa🙏
@getmotivated36194 жыл бұрын
per this interview... the guy seems to be extremely nice... it would be a privilege to work with or even under him... kiufupi ni mtu muzuri!.. God bless him.
@abdallahaji2944 жыл бұрын
Pole mo kwa mitihani Allah atakulipi ixhaallah
@apaelinnko3052 Жыл бұрын
@@abdallahaji294 .kitoi
@venancemwanya4212 Жыл бұрын
@@abdallahaji294 alishalmlipia. Kulikuwa na uongozi wa hovyo sana awamu ile.
@genesikimario Жыл бұрын
@@abdallahaji294 p
@daudjoseph Жыл бұрын
@@abdallahaji294 Llllllllllllàaàààaàaaaaàaaaaaaààaàaàaaàaalllllllllllàaàààaàaaaaàaaaaaaààaàaàaaàaallllllllllàaàààaàaaaaàaaaaaaààaàaàaaàaalll ll L
@origenesmsuya82914 жыл бұрын
Kila jambo linasababu kutokea katika maisha yetu hapa duniani,jambo lamsingi ni kumshukuru mungu umzima,nothing last forever
@johnsinyinza7450 Жыл бұрын
Acha kutetea udhaifu ni wasiyo julikana
@RealSon-ahmadasoud2 ай бұрын
Hakika inauma sana
@nusalim33892 жыл бұрын
Enzi za magu na kina makonda si mchezo,unafanyiziwa halafu unasifu mwenyewe,ikizidi huna njia zaidi ya kuwasifu waliokudhalilisha kuwa wamefanya kazi kubwa sana na juhudi
@sallygrace14952 жыл бұрын
Glory to God 👏 Binafsi na Mungu yupo na sisi watanzania ni watu wenye amain na upendo huweziona inchi yoyote ila hapa Africa.. Mungu anatupenda sana Watanzania!!
@alexjoseph87044 жыл бұрын
Mungu hawezi kushindwa lolote pole kwa yote yaliyokupata
@najmagudeh2034 жыл бұрын
Dah pole sana boss m.mungu akulinde leo na kesho inshaallah
@beejay73543 жыл бұрын
Walipo Kuja kuniona Mara ya kwanza wamesujudu. Allah Akbar❤️🙏
@lilyrose40664 жыл бұрын
M/Mungu aendelee kukutunza.Be blessed.
@jiphonmbwale81384 жыл бұрын
MZM
@felisteranthony86883 жыл бұрын
Inauma Sana, pole mno Mungu wetu ni mwaminifu
@jamilammnimtumzimakweliyot21783 жыл бұрын
Inauma sana pole sana lauchungu alisauliki lakini muombe mungu tuu
@nassoribrahim64004 жыл бұрын
Allah karim wallah
@shaabanramadhan67704 жыл бұрын
Pole sana boss Dah hyo lzm ikufanye uwe mchamungu tumejifunza kitu kutoka ktk hili tukio
@mohdmnkenyi15424 жыл бұрын
Aisee pole sana Jamaal yetu
@mhagachiphilemon7103 жыл бұрын
Pole sana mr. Mo
@malkavoice25702 жыл бұрын
God's plan hyo. Nmegundua Duniani huwezi kukua bila kupitia shida ya kihistoria ili upikwe uive uweze kuishi kwa hofu ya mungu. Mungu anamaksudi na kila uhai na kila kichwa amekipa kipimo chake bro. Pole sana
@emmanuellemalali30344 жыл бұрын
Salim you're bright ,thumb up brother!
@halimasaid49774 жыл бұрын
Subhanallah naumia kwa kweli Allah asiwasamehe awachome moto wa jahanamu milele
@sifamushi17472 жыл бұрын
So cool and clam speaking
@patrickKitambo4 жыл бұрын
media za bongo baada zikave stories kama hizi ziko busy zina cover umbea
@roselynestua70952 жыл бұрын
God can't leave u if u are praying him
@vascostanleymbisse44774 жыл бұрын
Story yenye mguso.. Pole sana Brother kwa masaibu mazito
@rosemarrichard17094 жыл бұрын
VASCO MBISSE mimi
@msilaipimilo19284 жыл бұрын
Pole sana brother
@user-mu8yj9jr1i5 ай бұрын
Apunguze urushi kama walivyowazulumu muuza zahabu mamilion ya Dola na hii bado
@KhalidHashim-qj2dd3 ай бұрын
Asee 😢 pole xna kaka Boss
@tatungeni69373 жыл бұрын
Pole mungu ajalie tunakupanda❤️❤️❤️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🇹🇿😭😭
@zawadikimaro40872 жыл бұрын
Pole sana. Uko wapi mm ninashida na mtaji tu ndugu yangu moo. Niliibiwa