Huyo jamaa mwenyew jamniiiii😂😂😂😂tuangaliege na wanaume wa kudate naoo,,,mdada mzuriii ila mkaka kama walee wa manzeseeee
@rehemafeysali44442 ай бұрын
Kwan wa manzese wakoje ili tujipange😅😅😅
@Magoma_Official2 ай бұрын
Wewe unajua anapewa nini na huyo wa manzese
@user-uw8qt6rj5e2 ай бұрын
🤣🤣🤣
@nancysaid69672 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@anithiajohn92092 ай бұрын
😂😂😂😂 kabisa jamn ka mvuta bangi alf mdada mzuri jmni
@angolina17682 ай бұрын
Pole mpenzi wangu umejitoa lkn umeambulia kuitwa malaya kosa lako nini love you kwanza upo single na geto lako nzur unajiweza zako mwenyewe huna baya ❤❤❤
Huyu dada ana rafiki mwaminifu, sema yeye mpuuzi, alivyomuattack nimeboeka sana😅😅😅
@dayana5513story2 ай бұрын
Sana
@secyjohn657210 күн бұрын
Watu kama hawa tunawakulia tu mabwan zao😊
@ddontz2 ай бұрын
Sema nakushauli mzee uwe unatembea ata na mbavu mmoja kwa usarama wako 🔥
@savvymsaf49262 ай бұрын
Sema huyu dada ana kitu mwangalieni vizuri anaweza kuwafaa
@3Dee_512 күн бұрын
Nimpenda uyo dada mstaarabu sana
@user-lq4op1bv5c2 ай бұрын
Nimechek mpk tumbo limeuma jamn daah kiredio n mr uk hongeren kaz mmeiwez doooh🎉🎉🎉🎉🎉
@user-zd9wd8ms3x2 ай бұрын
Wanavyohema huk chumban kwa wat ahahaha 😁😁😁
@AminaRamadhan-mg9lj13 күн бұрын
@@user-zd9wd8ms3x😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@brunongatena-79512 ай бұрын
Uyo demu hapo mwenye geto nimemkubali sana mno kweli kabisa ni mstaarabu pia mcheshi
@CatherineOmbeni-k2r17 күн бұрын
😂😂😂😂huyo mwanaume mwenyw anaegombaniwaa mweeeh😂😂😂
@jjacksommrisho88446 күн бұрын
Mfipa
@raniahAbdul2 күн бұрын
Bwana Mwenyewe mbaya muhuni muhuni tu ukute ni jobless dada anamuhonga .mpuuzi sana
@PendoAmosi-oz9toАй бұрын
Demu mjinga sana alikubali mwenyewe leo et mwenzake Malaya
@neziajoseph9726Ай бұрын
Akili hana
@nishaabdula5015Ай бұрын
Sindo hp ht mm nashagaa ss kosala rafikiake kiko wp
@Martha8712 ай бұрын
Uyoóoo dada kazingua sa rafiki ake kakosea wapíii jamaniii na kamsaliti kiajeee sasaaa dada mzuri et """msenge.......mara kum.....'''''''😂😂😂😂😂😂😂
@ruthmunguatosha2 ай бұрын
Kiredio ni yupo ready kwa umbea🤣🤣daah it's funny though
@naahmuro17106 күн бұрын
Demu nae msenge tu huyo bff wake alkuwa ana shida gan aisee.... Kichaa huyo kama bwana ake mbilikimo😂😂😂😂
@ZawadianaMwangosi-is2jm2 ай бұрын
Kazi nzuri msaidieni huyo nzuri mwanaume mwenyew sio wa hadhi yake huyo aende zake huyo
@Salma-ho6wx2 ай бұрын
Jamaa kampigia shem wake na kidonge 😂😂nimecheka kwa kweli
@amaniabdi890614 күн бұрын
Ooyaaa 😂😂😂😂😂😂 nimeona ile dadadek, yani mwamba alikuwa tayar kwa vita
@Jayninetythree14 күн бұрын
Kumbe umeona, jamaa kala panado 😂😂😂😂
@maulidabbas646314 күн бұрын
nimeona hiyooooi
@irenechilewa2 ай бұрын
Kwnz kiredio shukran Sana kwa kutuletea loyalty test vlogs humu ,nimefurah Sana sababu nlipokuwa nkitazama za Ayral nlitamani Sana bongo tuwe nazo maana ,unasaidia Sana kujua watu fake,pili Ni burudani .Ni vile tu fuatilia wanaofanya such videos ktk nchi mbalimbali upate contents nzr ,pia namna ya kupata sauti moja kwa moja ukiwa umejificha ,mfano mlipoenda kujificha chumbani ilitakiwa mbuni namna ya kupata sauti moja kwa moja kutika sebleni yaan mngekuwa na simu ya ziada then mngempigia mdada akiwa seblen ameshika simu bila nyinyi kuongea ili kupata mazungumzo yao moja kwa moja,panapo majaaliwa mpate usafiri wenu kwaajili ya kazi km hizo ,ya yote video nzr ,onheza ujuzi kutoka kwa KZfaqrs mbalimbali km I know Ayral , he's my favorite ili utuburudishe wapenz wa vlogs na videos km hizi... hongeren Sana kiredio na crew yako nzma kwa kazi hiyo..😌
@everinaanold89392 ай бұрын
Good comment
@user-db1fb7ob8b2 күн бұрын
Ila Kiredio Hizi Kazi Zako Zitakukosesha Mbingu Yaani Kuharibu Mapenzi Umeona Haitoshi Umeona Uharibu Na Urafiki. Sema Kadada Kastarabu Sanaa
@sophiarajab54762 ай бұрын
Kijamaa chenyewe kibayaaaa kichafu chafuu tuu khoooo afu eti anamkasirikia shogake Kwa bwana Gani Sasa?chefuuuuu visichana vingine hajitambui.
@misalabacharles2728Ай бұрын
Nilivyomwona tu huyo mwanamme mmmmh bora angechukua ata libaba😅😅
@khadjajuma5786Ай бұрын
Kweli kabisa waovyo
@victoriarichard87612 ай бұрын
Safi sana Yani kipindi komesha michepuko au wasio waaminifu 😅 good content
Mwanaume mwenyew loooooh Dunia simama nishuke😂😂😂😂😂,
@ibrah_lankii2 ай бұрын
Mi nachekaga tu jamaa kameza kidonge kwenye maigizo show kakosa 😂😂
@gladyedward5625Ай бұрын
😂😂😂
@user-bq7po4cy6zАй бұрын
VAR chek
@alicelayapar44122 ай бұрын
Big love from kenya kali sana ❤
@AmalJuma-qh7tk2 ай бұрын
Nilikuwa naisubiri yani kheeeek😂😂😂😂💔 🙌
@DianaRichard-bu9tz15 күн бұрын
Kiredio huna kazi mbovu😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥
@norahMathias24 күн бұрын
😂😂😂😂😂 nyeeee niwagombanishi kweli kabisa mungu akibaki nikakutana na nyinyi wote ana Kwa ana
@neemataigo17562 ай бұрын
Siwezi kudeti na mwanaume anae vaa kitambaa kichwani😏
@angelraizam76832 ай бұрын
Kabisa yani
@georgemoshi-xl7pt2 ай бұрын
Kweli Yaan Mbona n muhuni kabisa yule... Shabiki wa simba wanapitia Changamoto sana
@nikrahayubu-sz3pw2 ай бұрын
Hata me jmn uwiiiii
@mwonajeremia53232 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@elizampayo40572 ай бұрын
@@georgemoshi-xl7pt😂😂😂😂😂
@joelkimaro2 ай бұрын
Kiredio unajitahidi Sana kaka kuunda content much love from this side
@JokhaVenance2 ай бұрын
Ypo Lakin haya walah tena
@kelvinmongas52002 ай бұрын
Anajitahid lkn n hatari sana
@user-zh8nl9wg5n2 ай бұрын
Sio kwamba anajitahid kutengeneza content, hzo anachukuaga kwa jamaa flani hiv wakizungu ukifatilia wao wako more advanced kuliko yy coz wa natumia vifaa vzr
@user-zh8nl9wg5n2 ай бұрын
Ingia KZfaq andika UDY utaona content zao ndo utagundua kiredio amechukua huko
@user-jf9uc1fx2k2 ай бұрын
Kabis yup vzry
@lidyabalilemwa13802 ай бұрын
Sasa anamtukana mwenzake kwann wakat alikubal ni challenge sijapenda huyu dada hazimo vizuri
@sarahkhan79652 ай бұрын
Uyo dada aibu tu kaona ndio maana 😅😅😅😅alijiona yeye mzur bwana ake hawez kumsalit kwa shoga ake
@neziajoseph9726Ай бұрын
Akili hana
@Rajabkizwele-rs2by2 ай бұрын
Kupenda kibaya sana uyo jamaa mwenyewe sasa bado anaweza karanga kwenye mfuko wa suruari😂😂😂
@mussakinkon52522 ай бұрын
Kidonge mzee baba
@MagdalenaHoja-jh9qg2 ай бұрын
Siyo kakidonge kabukimwi
@neemamabena-xx5erАй бұрын
Kidonge gani Tena duuu
@FrenkJuma-hq8yl2 ай бұрын
😂😂kiredio shenzi kabisa,,,, ety mlete chumbani😂😂
@generalnox67192 ай бұрын
Mchizi kwanza hana nguvu za kiume kameza viagra utadhani anaenda kulala na malaya😅😅😅. Siku hizi vijana nguvu za kiume zimekuwa changamoto
@swaibahhassan50562 ай бұрын
😂😂😂
@reymondymwapule85142 ай бұрын
Kaka miniko nyuma kumbe dawa kameza
@generalnox67192 ай бұрын
@@reymondymwapule8514 ndiyo kameza🤣🤣🤣
@peteremmanuelymatwimatwiem32582 ай бұрын
Nguvu anazo
@lovenessmassawe28222 ай бұрын
Wanawake bhna yan show tupange wenyewe bado uniite malaya kudadeki ningekurukia nikulambe kibao takatifu ili uwe na Adabu kwa mwanaume yupi hapo sasa,,, mshwiiiiuuw
@darajalakidatukilomgi23622 ай бұрын
Ondoaga shetani la kupigana pigana, umpige kibao Kwa kipi zaidi? Acha ujinga
Naomba ielewekee.... HAYUPO mwanaume RIJALI akaitwa na dem kwake eti ameboeka.... na asiende kwanza mjue kabisa.... marafiki zenu tunawatamanigi sana... sema bas tu
@AndasonMartine-vz2bq2 ай бұрын
Inategemea bro😂
@MatengeNezo2 ай бұрын
Narudia tena... hakuna mwanaume rijali asiingie kwenye huu mkenge... yaani shem anakuita kwake anasema KABOEKA? Aaa weee.....kwanza kajamaa kamelaza dam sana... ikifika mimi nkifika naomba kuoga kwanza.... ili tu nivae taulo
@swaummussa12722 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@dayana5513story2 ай бұрын
👏👏
@eliaogesa182420 күн бұрын
@@MatengeNezo wapo kwa ww unaweza kwasababu akili zako fupi, hujui anaelipa kodi ya nyumba ww unafika unalala utakuja kufa kabla ya siku zako
@joebinarysignals2 ай бұрын
Mxenge mwenyew hana nguvu za kiume anakula kindonge boya kweli
@chuwafrank16322 ай бұрын
Boya kweli yani
@user-sv4er3xe7n2 ай бұрын
Shoo mpya anataka kuikomoa
@joebinarysignals2 ай бұрын
@@user-sv4er3xe7n hakuna cha shoo mpya wala nini huyo itakua ndo zake kutukia vidonge asipo tumia dakika mbili hoi
@khadijabeib1812 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@samwelshilungu43702 ай бұрын
😂😂😂😂
@floranahashon41802 ай бұрын
Yaani nilivyomuangalia mwanaume mwenyewe nimejikuta nacheka arafu hata cjui nacheka nini 😅😅😅
@momkissy160511 күн бұрын
😂😂😂
@mitchellmutuku2588Ай бұрын
Mbona uyo dem pia mkware amehama kutoka hicho kiti mpaka hapo kando yake kwanini alikuwa yuataka pia yeye😅😅
@obsonjulius3122 ай бұрын
Huyo dada ana IQ ndogo sana, scene nzima imeundwa akiwepo then mwishoni anamshtaki mwenzake khaah! Sema kwa wanawake hakunaga mifano.
@princecharmy68382 ай бұрын
Sion kama uyo BFF wake anakosa maana hajawahi kutoka na jamaa sasa anadaije kuwa kamsaliti nakati ni challenge ya papo kwa papo je wangekua wanadate kweli ingekuaje?
@user-mg2kj1oq2c2 ай бұрын
Mpuuuz sana
@DM.22002 ай бұрын
Hasira za kijinga alikubal ya nn
@paulbayyo85362 ай бұрын
Hata siyo IQ ni issue ya panicking
@LilBaeWorld2 ай бұрын
Ila Wanawake Wembamba Bwana Sasa Mwenzie Kafanyaje😂😂😂😂😂😂
@honcho_k73022 ай бұрын
Mchumba Hajaelekezwa Nyumbani...kafika mwenywe....isn't it concerning????
@ashurajengela39262 ай бұрын
@@honcho_k7302hajaelekezwa vipi naww wakati ameelekezwa adi ameenda kumchukua ndio kafika nae apo
@MwizaRuvams2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-rx9kv3if5q2 ай бұрын
Ety kamsewe bwana mwenyew anaoneka kijinga tu😅😅
@ismailjuma14522 ай бұрын
😂😂😂
@user-qc6qx8dz9vАй бұрын
Daaaah aisee huyo mpenz na mdada mwenyew ni vitu viwil tofaut
@BenArchard-yy6qf4 күн бұрын
Nilikua naangalia na mama kaniambia nisiwe msaliti kuna manzi nyingine ni johnsina waliochangamka 😂😂🤧🤧
@eugenmkapa692 ай бұрын
Yule jamaa alikula nini pale alipoomba maji aseee??? nimemzingatiaaa🤣🤣🤣🤣🤣
@SimonMalila-lh3zg2 ай бұрын
panadoo, hahahaah
@emmanuelmapunda93792 ай бұрын
Itakuwa kanywa kidonge nmeona
@SimonMalila-lh3zg2 ай бұрын
Alikua amekamiaa game jamaa
@lizzybbysalv64382 ай бұрын
Panadol hii hii au ile kubwaa 😂
@SimonMalila-lh3zg2 ай бұрын
@@lizzybbysalv6438 hahaha kumbe kuna nyingne ambayo mimi siijui jmn🤔🤔🤔😁
@John-bl2sj2 ай бұрын
Kijamaa cha ovyooo dem makali dah Yan uyo jamaa muhun ndo afanye mgombane n shoga ako nimelia sn😅
@nemhinamkunguh13852 ай бұрын
C ndio hapo 😂nimelia Hadi kwikwi
@user-ir1cw9ev3v2 ай бұрын
Umelia wakati naona imoji ya kicheka😂😂😂
@nemhinamkunguh13852 ай бұрын
🤣😭😭
@hellendaniel38092 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@BossNgimba-xh3fg2 ай бұрын
Mwanaume unalia kaza 😅😅
@nanaleetz2 ай бұрын
Na kidonge kanywa atakoma😂😂😂😂 mweeeee
@glorymanga365020 күн бұрын
Sijawahiii kuonaaa mwanaumee wa uhakikaa katika hizi fumanizi yani sijawahi kuonaa ambae angeniumiza kichwa kusema kweli wapo wa kawaida sana,au ni wivu wangu tu jamani😆
@Jifunzenami2 ай бұрын
Yaani huyo dada hayuko salama kabisa, mumuamishe sasa
@Dalali_Dodoma2 ай бұрын
Asa unakubalije kudate na kajamaa ka hivo demu mwenyewe mzuri
@danielimeshack37122 ай бұрын
Shida sio kijamaa shida show show
@huseinallen67292 ай бұрын
We huoni kapiga viagra pale
@LucyKulaya-bj5ow2 ай бұрын
Mzur San Yan awaendan ata rob
@khaney-de-joance2 ай бұрын
@@LucyKulaya-bj5owkunywa peps naja kulipa
@iskawarioba68232 ай бұрын
😅wanaume ni wa shida kaka,hahahahaaa ya bidhaa hadimu..😂
@shabanimwinyikhery11742 ай бұрын
We mi mwenyewe siwez choropoka kwenye huu mtego
@user-jr7jd6ye4x2 ай бұрын
Uyo dada nae aache uchuro asa kam kasirikia mwenzak kwa kosa gan jmni
@ramadhaniibrahimu2212 ай бұрын
Kwel wanawake mna huruma, alafu mapenzi hayachagui. Ila duh jamaa mpaka kajidunga kwanza akajua leo mechi kali.
@ley6882 ай бұрын
😅😅😅😅
@sultankivumbi92552 ай бұрын
Oyaa umeisoma 😅😅
@faidhamyovela1792 ай бұрын
anawaz ngon tu 😂😂😂😂
@ramadhaniibrahimu2212 ай бұрын
@@faidhamyovela179 c akajua leo anamaliza na shoga mtu
@franciscakija17022 ай бұрын
Mi sibinyezi ngoooo hadi umwambie mr uk awe anaweka vitu vyake vikamilike, siyo anatuwekea nusu nusu
@kuruthumumussa2 ай бұрын
Daah ila wadada as anakosa gan mwenzake na aliambiw akakubali kil kitu asee Leo kgeuka shog ake ila jmn😂😅😊 wanaume
@PENDOYUST-ot1mo2 ай бұрын
Et jaman kamtukana mwenzie bure wakat aliulizwa kama yupo tayar wamfanyie kibwana chake challenge,,,
@Shaniehussein-pd3sk2 ай бұрын
Mapenzi mapenz😂😂 acheni
@fiakizi2 ай бұрын
Kavurugwa mwenzenu anahic bff ndo kamchiti, kosa limegeuka na anaenda kwa bby ake
@lovenessfracis2 ай бұрын
Huyo dada msenge msenge tena sasa mwenzie kafanya nn na wakati ishbnzima alikuwepo mwanzo mwisho na yeye alikubali😏😏😏kwanza kwa mwanaume yipi😂😂😂huyonaemeza vidonge ili aweze show kijana mdogo hivii mfyuuuu😏😏😏😏
@user-bk2hz5pq7sКүн бұрын
Ila huyu dada aliyevaa surual ni mzur nashangaa sijuw amekutana na mwanaume wa aina gan jaman😂😂 au ndo mapenzi upofu😂
@khamoshmikidadi6182 ай бұрын
Tatizo kiredio mnamcheka sana uyo dada adi kajuta kufany iyo challenge 😂😂
Kiredio we boya sana et kainama unaona hapaaa et umepga na magoti unaonyesha mfano
@FatimaMohd-oq3tl14 күн бұрын
Sasa hpo hyo rafik yke kanununia Nini na wamepanga mipango pamoja. Mpka kufikia makublno
@aziziiddi2 ай бұрын
Mnashangaa jamaa kummiliki uyo mtoto mzuri ila msela ana tumia vidonge kwhy mtt anajua msela yuko fiti kalikiti😂😂😂
@Joyce-zk9nx2 ай бұрын
😂😂😂
@kebytz.9890Ай бұрын
😅😅😅
@michaeljpm55972 ай бұрын
Kijamaa kimemeza kidonge cha kukamia show
@swaibahhassan50562 ай бұрын
😂😂😂
@godlovemwakalinga2 ай бұрын
Kiredio kazi nzur ndugu yangu Sema mapenzi mazito kuliko dem kakubali kule mlimani kufika home anazingua na kumpiga mwenzio istoshe dem Mwenyew msumari tuu
@user-bk2hz5pq7sКүн бұрын
Nilikuw nawaza huo ugomvi hiyo Tv ingepona kwel😂😂 lakin bora imepona
@merryjuma84992 ай бұрын
Vip usalama wa huyo dada hapo kwa shemeji mtu asije kuliwa na wahuni,make mshkaji mwenyew anaonekana muhuni wa twn😮😮
@michaelmsokwe19212 ай бұрын
Kiredio miyeyusho 😅
@khaney-de-joance2 ай бұрын
Kimenuka hapo n lala salama sio Kwa rafiki wala shemeji
@alicelenard5954Ай бұрын
Heeeeee ika kirediooo daah unetisha thn nmemkubl huyo dada jmn mwenye mlotumia na geto lake thn plzz mwambie nampenda sanaaaa cha upoole kama mimi ❤❤❤❤
@NorahMhanga-rf9ft2 ай бұрын
Washakuwa maadaui hawa😃😃
@najmasalim-rg6ow2 ай бұрын
Ndo mjifunze challenge nyingine zinaharib mahusiano Bora yaaribike mapenz lakin sio urafik
@tc._iris2 ай бұрын
Kwa mtu anaejali urafk hawez kugombn n bff wake ksa mwanaumee…huo ulkuw cyo ubff bali unafk tuu kwa hyo situation huyo rafk ake hana kosa ht kdg ila yy kaon ndo mweny makosa
@pachitofilm2 ай бұрын
Jamaa kameza kidongee😊😊😊😊😅😅😅😅
@Dipeson700Ай бұрын
Hiki ndo kinanitatza😂😂😂😂😂😂
@AtukuzweKivambiloКүн бұрын
Jmn wedada nzur ila huyo mwanaume jmn dah
@mkamaboy20162 ай бұрын
Sema Kijamaa kilikuwa na hamu na shem wake mpk kimeenda na vidonge kabisa ila kile mzigo fresh kisimamie kucha
@SophiaChmpaya2 ай бұрын
Wanawake sisi rahisi sna kusamehe mbna ataenda kumla demu wke huku wanabembelezsna
@mkamaboy20162 ай бұрын
@@SophiaChmpaya Umenena vyema mrembo Lete namba nikutumie na bia
@ShaniRajabu-hu3fy2 ай бұрын
Kheee ss huyo dada kosa lake nn 😂😂😂😂kavurugwa masikini😢
@khaney-de-joance2 ай бұрын
Hapo ndio kujua marafiki bhn mmmh hata hajakumbuka n challenge, angesuniria video utoke ndio ajue anammind au vip😢😢
@ashurajengela39262 ай бұрын
et jamani kosa la Rafiki yake ni nini ?! Tena amemsaidia amejua uyo mwanaume ni Wa namna gani mshenzi kabisa sijui ndio kuchanganyikiwa 😢
@happinessmtabo19232 ай бұрын
Na watarudiana ajab sasa😂😂
@user-eo4hd8xu6d2 ай бұрын
😂😂😂😂
@hamisaabdulhamid5292 ай бұрын
Walikubaliana
@user-kk7dd3xm8tАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂umenifuraisha ety unaaraka na huja bonyeza😂😂😂😂nashabonyeza
@SalumPilimo2 ай бұрын
Sema hii sio nzur, Ni hatarishi watu wanaweza hata kuchomana visu
@godlovesistinregnaldmtui11202 ай бұрын
Jamaaa kaweka VAGRA Mdomoni au nimeona vibaya 😢😢 wakati anaagiza glass ya maji
@Weirdboe2 ай бұрын
I love the woman with black
@eliassimon5058Ай бұрын
the way ilivyoanza na apo mwishoni iko wazi kama ni kitu chakutengeneza
@Directorshadeah2 ай бұрын
Kajamaa mbona kamekuja na kidonge kamemeza ili kamkomoe shemeji😁
@kapondadr58402 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@user-kd8on3ml1p2 ай бұрын
Yani utafikiri sinema 😅😅😅😅😅mmenifuraisha kwakweli 🇧🇮🙌🙌
@deusraphael2954Ай бұрын
Dada wa watu halafu ni shabiki wa simba daaaa! Huzuni sana😢😢 mpira na mapenzi vyote jau
@Fina-dj7kl16 күн бұрын
Una g0mbnish wa2 bhn mapenz bila u00ng0 aya n0gi u acha 2😂😂😂
@Denismayeye182 ай бұрын
Pole yake huyo dada
@Mo_kiddMsangi2 ай бұрын
Bro kiredio unach fany nisaw but me naona itakuwa mbay badae bro
@JescaGodfrey-xm1gp2 ай бұрын
Uyooo mwanamkeee mjingaa xanaa asa anamchukiaa best akee wa nni mshenzii ni uyoo bwan akee wa manzese😂😂😂😂
@ayoublupande30072 ай бұрын
😂 haha 🤣 jamaa kala mkongo Nini cjaelewaelewa hahaha 😂 Ila wanaume tunawazaga usenge TU tukiona wanawake mbwa sisi 😅
@laurancepeter72432 ай бұрын
Ila nyie😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
@ShaniRajabu-hu3fy2 ай бұрын
Wakwanza nipen maua yng
@SalamaNauthar2 ай бұрын
🌹🌹🌹🌹🌹💐💐💐💐💐🌺🌺🌺🌺🏵️🏵️🏵️🏵️🏵️🏵️🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀
@user-zc7yi8en2g2 ай бұрын
😂😂😂😂 napata Raha sana Niko nacheka kama mwehuu
@eunicegerminus193Ай бұрын
Jamani mbona hawa mwanaume wenyewe hawaeleweki asilimia 90 ya hizi challenge naona mitumbwi tu ya vibwengo tu haloooooo
@DanielGeorge-pr6njАй бұрын
Hii plank sio nzuri amkeni vijana. Huu ni ujinga hapo kaharibu mahusiano ya watu na urafiki wa mabinti wawili.... Ila sio mbaya huyu kiredio yatamkuta soon tu .. Binadamu wana mengi
@neziajoseph9726Ай бұрын
Ndugu hii ndio nzur sana
@beatricepallangyo2821Ай бұрын
Ni prank siyo plank wewe
@UmayyaNkya-ze3ri2 ай бұрын
Sema mmezingua mngengoja huyo boya kama kingeendelea nn asa hapo kamuita tuu kwake na kaja tuu ata atujanjoy viile😂😂
@swaumuabdallah68862 ай бұрын
😂😂😂😂
@abdulswahib53802 ай бұрын
🤔🤔🤔
@UmayyaNkya-ze3ri2 ай бұрын
@@abdulswahib5380 eee ndio atujaenjoy vzr
@LindaSalumu-yw9hqАй бұрын
Dada punguani tena depo jipya mwenzake ana kosa gani
@dorotheasamwel8071Ай бұрын
😂😂😂new depo akiii
@mossesgadiye22002 ай бұрын
Sasa baada ya kula kidonge alimwagia wapi kichupaaa😂😂😂
@Lily-rn6xc2 ай бұрын
Wa kwanza ,✌️✌️
@JulieMakundi2 ай бұрын
Mmmh huyo mwanaume sass kama wale wadudu wa Arusha😄🌚 sema sisi wanawake tunajitafutiaga matatizo wenyewe sas mwanaume gani huyo wa kudate nae anavaa kitambaa, nmelia hadi kwikwi😄
@user-fp5uy6zh7h2 ай бұрын
😂😂😂 et wadudu umenifrahish
@JulieMakundi2 ай бұрын
Acha tuu mwanaume mwenyew wa hovyo😦
@user-fp5uy6zh7h2 ай бұрын
@@JulieMakundi Wa hovyo halaf wa hovyo tena 😏
@FatmaJamalbajamra2 ай бұрын
Sasa huyo rafiki yako kosa Lake nini mpaka ukamtukana jamani na amefata tu amri chenye anaambiwa na ww mwenyewe ulikubali toka mwanza 😅😅
@user-vz4xv7lg3x2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@shebynizertechnicallyskill30052 ай бұрын
Hao marafiki wasamehane tu wote wamekubaliana 😢😢😢 kiredio nipe tu namba ya hyo dada aliyemfnyia prank shemeji yake