No video

SASHA MAKOYE: AMFUMANIA BOFYFRIEND WAKE/KIREDIO ATOBOA MCHONGO/NIMEMBLOCK KIREDIO KUTRENDISHA VIDEO.

  Рет қаралды 102,464

bongotzfm

bongotzfm

Күн бұрын

Nyie😂😂😂 Kumbe Kuna Wadada Bado Wanalipa Kodi? Wanakununulia Usafiri Na Mipango Ya Biashara Wanakunyooshea??? TEAM STRONG MKO VIZURI
Usisahau ku subscribe KZfaq channel ili kuwa mwanafamilia wa Bongo Fm.
#simbafans #nbcsports #timuyawananchi
#timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #simbasc

Пікірлер: 476
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd Ай бұрын
😮waliogundua ni kiki like hapa
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 Ай бұрын
Mimi nilijua kuona bagi Tu nikajua hii ni Kiki 😂
@DfhhffDryy
@DfhhffDryy Ай бұрын
Kwanza kwa hella gani jmn mshahara wenyewe umeshuka
@HawaJumanne-uy4eu
@HawaJumanne-uy4eu Ай бұрын
Kwa kweli nimechoka huyu dada katufanya sisi watoto kumbe katengeneza muvi😢😅😂
@UpendoLema-bx9ji
@UpendoLema-bx9ji Ай бұрын
Duuuh
@Marry-k5p
@Marry-k5p Ай бұрын
Huyu sio wa ramata badala ya lamata na ruru badala ya lulu😂😂😂ili igizo hili
@Amayrah-fe6ec
@Amayrah-fe6ec Ай бұрын
Usimlaumu kiredio wakati ww mwenyewe na kihere here chako ndio ulimtafuta kiredio sasa kwa nn umlaumu kiredio😢
@EstellaMagara-zk2qx
@EstellaMagara-zk2qx Ай бұрын
Kwa wale tumemujuwa kupitiya @kiredio like zenyu
@NaahJr
@NaahJr Ай бұрын
Sasha alitaka kutrend tuu 😂😂 atajuju aliyataka mwenyew kiredio asingeweza kumfata Sasha kwanza hamjui watu wanaopenda mambo ya mitandaoni ndo wanamtafta kiredio wenyewe 🤣😂😂😂
@RhobinaDaudi-iz4ju
@RhobinaDaudi-iz4ju Ай бұрын
Alisema alimtafta kiredio mwenyew, sio kiredio aliemtafta huy dada
@RayOmar-vk2nn
@RayOmar-vk2nn Ай бұрын
Umeigiza juzi tubumetoka oman juzi tu wewe ni mfanyabiashara wewe ni housegirl omzn wewe ni muigizaji mashallah
@MoureenPresiours
@MoureenPresiours 16 күн бұрын
Mh kweli wambea tupo wengi jamani😂
@buyegintambi3867
@buyegintambi3867 Ай бұрын
Hahahaaaa.........kama ilikua ni private Kiredio umemtafuta wanini😊.
@Shadia544
@Shadia544 Ай бұрын
Hicho ndiyo alichokitaka yaani sijui Kwanini kutaka umaarufu ndiyo alioutaka jamaniii tuliokuwa Oman tujuane hapa LIKE 10 😂
@NasserAlhajri-ys6yr
@NasserAlhajri-ys6yr Ай бұрын
Haya tujuwane
@RabiaSaid-sh1km
@RabiaSaid-sh1km Ай бұрын
Tupo​@@NasserAlhajri-ys6yr
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Ай бұрын
From Mabellah
@SalimIbrahim-kw8ud
@SalimIbrahim-kw8ud Ай бұрын
From barka❤
@fahidashishi255
@fahidashishi255 Ай бұрын
From masikat
@miriammseke
@miriammseke Ай бұрын
Oman mchezo tuulize tuliyoko oman uku wee kwa ile mikucha na zile nywele we umetoka oman ipi dada😂😂 na kale kabegi😂 mashallah waarabu kwa nguo lazima na ww uwe na nguo za kutosha uku tumefungusha na nguo zao zilivyo kwa kile kibegi na izi hekaheka za oman eti mkalee na mwanaume😂😂dada pesa oman tunapata nyingi kweli lakini cyo kirahisi ivyo eti ukaongee na kulea mtoto wa mtu weeeeee
@Mariamyotube-p2e
@Mariamyotube-p2e Ай бұрын
Kwnza alikuwa analipwa kiasi gn omani hii ya joto la jiwe au
@AlaikaHassan
@AlaikaHassan Ай бұрын
Kwa kucha na nywele shost ni inawezekana kabsaaaaaa, labda hayo mangne ndo tumjudge maana hvo sjui kucha na wigi una order online na unajibandika vizuri sana sku unayoondoka hakuna wakukuzuia
@ashahassan7414
@ashahassan7414 Ай бұрын
Mimi nilijua tu huyu dada anataka umarufu kwa jinsi nilivyomuona ck ile anakuja kibegi kimoja kidogo chepesiii mwanamke huna hata kipochi kidogo tu hebu fikiria half makucha sasa huyu muongo xn kwa kiredio alisema frenk walikuwa wanaishi wote ile nyumba kabla ya kuondoka akamuacha pale na alivyorudi yeye ndo alienda moja kwa moja pale kwa frank kwasababu alisema anapajua yeye ndo alipanga kabla hajaenda omani halfu hapa tena anasema alimtumia pesa apange nyumba ndo kaenda kutafuta nyumba uswahilini ambayo haiendani na pesa aliyokuwa anamtumia huyu dada ni muongo xn alitaka umarufu tu hana lolote mbwa huyu mm nilijua toka ck ile ya kwanza kwa kitedio 😏😏
@rogatienmathari1838
@rogatienmathari1838 29 күн бұрын
Hello
@ClaraSudi
@ClaraSudi 28 күн бұрын
Hata mm niliona jaman like beg halikuwa naki2 chchote mana co kwaubebaj uleee😂😂😂😂😂
@user-gb3sf9fy2u
@user-gb3sf9fy2u Ай бұрын
Huyu dada kweli ni muongo yan mwanaume anatumia pesa zako za Oman, hlf unasimulia unarelax kbisa yan, na pesa ya muarabu inavyouma ivi
@jovithakawimbe7472
@jovithakawimbe7472 Ай бұрын
Haki anatufunga kwamba huyu 🥹 katufanya mazuzu
@millahboo
@millahboo Ай бұрын
Ety private na camera,? Na microphone na kiredio juu😂😂😂😂 kenge wa kijaniii
@jesckamolel5693
@jesckamolel5693 Ай бұрын
Huyu dada ni mwongo jmn yeye si alinyooka moja kwa moja kwenye mlango na kasema ndiyo nilikomwacha huyu dada mwongo sana
@user-xt1lc9zm1f
@user-xt1lc9zm1f 22 күн бұрын
Sanaaaa
@msalice4451
@msalice4451 Ай бұрын
❤❤❤❤❤ mm Niko omani nataka nijue ALIKUWA anafanya kazi sehemi gani omani kama kweli ALIKUWA omani
@KuluthumuMsuwakollo
@KuluthumuMsuwakollo Ай бұрын
Utakuwa umefanya la mana 😂😂
@user-gj7rb5zd7i
@user-gj7rb5zd7i Ай бұрын
Kwanza Ile begi haikuwa na kitu ndani
@RahmaBenedictor
@RahmaBenedictor Ай бұрын
Halafu ukishajuwa ufanyeje mfyuuu pambana na hali yako huko
@user-jo8mj8ww9c
@user-jo8mj8ww9c Ай бұрын
Masqat
@user-pk8bp7th9e
@user-pk8bp7th9e Ай бұрын
😂😂😂😂​@@user-gj7rb5zd7i
@Mohamedrajab-p2j
@Mohamedrajab-p2j 10 күн бұрын
waongo hawa frank anasema duka LA nguo yeye demu anasema duka vifaa vya pikiki😂😂
@WinWilly4162
@WinWilly4162 Ай бұрын
1:Bag dogo kwa aliyefanya kazi oman halafu halikua na details za msafiri aliyepita airport . 2:Maelezo ya nyumba mwanzo alisema alimuacha pale that's why alipafahamu wakati wa kurudi halafu leo hii anajifanya eti nyumba cheap na midomo anabinua kwa dharau😂. 3:Kiredio alimuita mwenyewe leo anamtupia lawama. 4:Oman amekaa miaka 2 mara ni mwigizaji kaigiza miaka 4 mashabiki wanamkubali😂 Dada kajua kucheza na akili za watanzania. KIKI tu kuwa na akili za kuona unajidhalilisha Aaahh!😂😂
@Namtumbo
@Namtumbo Ай бұрын
Wasanii
@momsash9210
@momsash9210 Ай бұрын
Kumbe ndo yule alomkosoa lamata kumueka lulu baada ya maria😂 asa mbona ile ni current ishu na yy alikua oman for two yrs?hii no 2 ina mantiki sana win,kwann ashangae ile nyumba wakat anaijua ndomana katoka airport direct mpk mikocheni alikompangia?
@user-kg2tm2eq7q
@user-kg2tm2eq7q Ай бұрын
miaka miwili upo oman...Okkk haya hiyo tamthilia ya koneksheni Sinema zetu uli igiza lini dadaaa 😂
@RehemaMwango-xy8qo
@RehemaMwango-xy8qo Ай бұрын
Nachekaaaa to kwa heka heka z omn shghara mie😂
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
😂😂 kumbe muigizaji basi hii imeenda
@ZalhathamohdSaid-qn4jj
@ZalhathamohdSaid-qn4jj Ай бұрын
😂😂😂😂
@HoitherJesse-fc9se
@HoitherJesse-fc9se 12 күн бұрын
Umeenda😂😂
@abdulsimbarakiye4145
@abdulsimbarakiye4145 Ай бұрын
Miss. Sasha your so beautiful mummy. Bout jama hana mana nimeumia sana mummy
@user-ui4ve7jc6s
@user-ui4ve7jc6s Ай бұрын
mwanamme duka languo mwanamke duka la vifaa vya pikipiki😂😂
@hamedatanzani6
@hamedatanzani6 Ай бұрын
Ila huyo dada nimuongo 😂😂😂
@AminaOmary-sm4wl
@AminaOmary-sm4wl Ай бұрын
Hakuna mkataba wa miaka mitatu hahahahhaah jaman
@hanifahkhamiss8485
@hanifahkhamiss8485 Ай бұрын
Kwaio Omani karudi lin😂😂😂maana kafanyiwa interview na carry mastory baada ya mimi Mars kubadilishwa😂😂😂mpuuzi m1.....
@ednaallen3757
@ednaallen3757 Ай бұрын
Kiredio wetu hana baya kabisa kabisa 😂😂
@bdvc7107
@bdvc7107 Ай бұрын
Naisi apo kuna kik akitoka oman kweli miaka 2 uwez kumtumia milion 10 kwa mshahara bei gan yan
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk Ай бұрын
Anaweza mana sikuiz Oman watu Kila mwez ijumaa wanatoka wengine wanajiuza
@gladsmwageni9049
@gladsmwageni9049 Ай бұрын
Mishahara ni mizuri oman rial 100 hadi 120 yaani laki saba naa hadi laki 8 nachenji so inaweza ikawa ni kweli
@gladsmwageni9049
@gladsmwageni9049 Ай бұрын
Harafu huyu ukimsikiliza ni kiki hajatoka oman wala nini 😅
@user-xw8om1qd1g
@user-xw8om1qd1g Ай бұрын
Kuna ambao wanalipwa rial 200,dadaangu analipwa rial 200 ,sema nyiee mmeshakariri ubeki tatu tuu,kazi zipo nyingi,Kuna supermakert, saloon,shule kazi kibao
@Realme-xm3sh
@Realme-xm3sh Ай бұрын
Alikuw anatak kuja mjin tu
@ghanimaalabri5783
@ghanimaalabri5783 Ай бұрын
Kwanza alisema alimfumania na frenk yuko juu ya kitanda na nwanamke😂😂 ipo kazi kweli
@neemamboya99
@neemamboya99 Ай бұрын
Lile bag halikuwa na zile stickers za airport zinazobanwa kwenye bag kuonyesha details za mtu. Pia halkuwa na kitu. Ni kiki
@user-pm5zi2cs7d
@user-pm5zi2cs7d Ай бұрын
😂😂😂 Jamani Tanzania sihami nimecheka kwa sauti
@athumaniKazua
@athumaniKazua Ай бұрын
Na pia milango aliotokea sio sahh😂😂mbwa huyu kingine wakati wanataka kuweka begi mbn anasema hili buti linafunguka alijuaje na ndo kwanzaaa gari kapanda diku ile
@user-mo3wn6cc7h
@user-mo3wn6cc7h 15 күн бұрын
Ulivyomuita kiredio hukutaka apost mbna hukusema mapema asije na camera 📸😂😂😂😂
@RujaynaRashidi
@RujaynaRashidi 25 күн бұрын
Milion moja na lak6 kwa nyumb gan?.. ebu kwenda huko
@HoitherJesse-fc9se
@HoitherJesse-fc9se 12 күн бұрын
Eti nyumba so ya hadhi ya laki moja na anashangaa sa kabla hajaondoka c aliiona mpaka anamleta kiredio 😂😂 n kwamba anapajua ase na mm nianze Kiki nijulikane niwe mwigizaji😂😂😂
@AgeCare-w2h
@AgeCare-w2h 27 күн бұрын
Kiredio akianza kiki za hivi asitulaumu badae tukiacha kumfatilia,alianza vizuri anelekea kujiharibia
@DevothaTheonas
@DevothaTheonas Ай бұрын
Mbona kama kiki. siku zinavyoendelea nazidi kuamini hii kiki 😂
@soniahassan6769
@soniahassan6769 Ай бұрын
Hii kiki mahi mtu anatoka nje na kibegi kama kile afu ajabu begi Haina hata sticker za mizigo
@DevothaTheonas
@DevothaTheonas Ай бұрын
@@soniahassan6769 kabisa yani
@ashazuber6548
@ashazuber6548 Ай бұрын
​@@soniahassan6769Si ndo hapo mahi wangu😂😂😂 yaan kwaza mtu anae toka nnje tulivyo na mihemko mabag matatu mawili😅😅😅😅
@soniahassan6769
@soniahassan6769 Ай бұрын
@@ashazuber6548 wasituzalilishe wapambanaji wa oman hakuna siku hizi bwege anaehonga mwanaume
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i Ай бұрын
​@@ashazuber6548mm mwenyewe nimeshangaa maana hpa kuna wang ana mipolo kma yote na bdo kuondoka yy kibegi kile chepesi.
@JoyceLKisha
@JoyceLKisha Ай бұрын
Mala Frank alipanga nyumba mbaya wakat yeye ndo alimpeleka kiredio na ukasema unapakumbuka
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 Ай бұрын
Mnafaa mnípe maua yangu nilikoment sikuileile kuwa hii ni kiki ,,mimi najua kumsoma mtu kiufupi tu nina mashale
@Awaasha-cn6bx
@Awaasha-cn6bx Ай бұрын
Kweli begi halikuwa na kitu hii. Ni Kiki wanatafuta follow follows. Huyo kiredio tushawajua uongo trend
@user-gb3sf9fy2u
@user-gb3sf9fy2u Ай бұрын
Hata mm nimeshangaa mtu unatoka nje ya nchi na begi moja kweli
@mantoumm4448
@mantoumm4448 Ай бұрын
Jamani dada muongo uyu ata Oman apajui
@aminaramdan3283
@aminaramdan3283 Ай бұрын
Huyu ni Miongo Sio kwelii Hakwenda Oman wala nini.. Kama Mnakumbuka Ndio Yule Alosema Ruruuuuu Ramataa.. haya kaenda oman lini Mpk Akaa miaka 2... Walipanga hao Kwanza bag halikuwa na Stkaaa Bahna... Semaa Luluu na Sio Ruruuuu
@BerthaModest
@BerthaModest Ай бұрын
Yani😂🙌
@CAPTAIN_GALAXY13
@CAPTAIN_GALAXY13 Ай бұрын
ᴺᴵᴷᵁᴹᴮᵁˢᴴᴱ ᴴᴱᴮᵁ ᴺᴵᴷᵁᴹᴮᵁᴷᴱ ᴺᴬ ᴹᴵᴹᴵ
@user-rb5hs3lq6v
@user-rb5hs3lq6v Ай бұрын
Daah Nilikuwa nasema hii sura mbona kama sio ngeni😅asante kwa kunikumbusha ndugu yangu😂😂
@aminaramdan3283
@aminaramdan3283 Ай бұрын
@@user-rb5hs3lq6v 🤣🤣🤣 Af'waan mpz Yaani wanatufanya Wajinga na watu Tunakumbukumbu...
@aminaramdan3283
@aminaramdan3283 Ай бұрын
@@CAPTAIN_GALAXY13 🤣🤣🤣 Umesahau kipindi Lulu Amewekwa Jua kali.. Nenda kwa karma Story Yule Aliyehojiwa Akawa Anasema Ramata Amemuweka Ruruuu Yaani Alikuwa Akitumia RRR Nyingi sana. Kwenye L anasema R..
@Mwaguntobi-ip1yi
@Mwaguntobi-ip1yi Ай бұрын
Alikuwa anaosha vyombo😂😂😂😂
@joycehaule9717
@joycehaule9717 Ай бұрын
Haina shida swala ni kazi...
@madinarobert4944
@madinarobert4944 Ай бұрын
Dada hii michezo😂😂katafuta namna ya kujulikana2
@omanoman2044
@omanoman2044 Ай бұрын
Kujulikan wap alikuw oman kweli jinga hili
@britneyivy
@britneyivy Ай бұрын
Million moja kwa nyumba ipi😂😂
@omarabulbustsalim531
@omarabulbustsalim531 17 күн бұрын
Si rahis atume Milioni10 😊
@ZulfatJalal
@ZulfatJalal Ай бұрын
Mhhh jamn kiki hizi zitaua watu
@user-wg2gd2nl6c
@user-wg2gd2nl6c Ай бұрын
Dada muongo Sana. Pesa ya Omani mshahala wa kwanza ndohyo yote umetuma kwa hyo ulirudi hata mia huna😮😮
@CossyKiria-fd6pq
@CossyKiria-fd6pq Ай бұрын
Mbona kule kwa kiredio full mashungi huku ni hiv
@sharifahemed5253
@sharifahemed5253 Ай бұрын
Kule s alikua anqigizq
@RehemaSalum-vp6rf
@RehemaSalum-vp6rf Ай бұрын
Uyu dada nae muongo tu
@umaima1178
@umaima1178 Ай бұрын
Sana tena mwanzo alisema walikaa wote hiyo nyumba sasa anasema alimpa pesa sio ya kukaa hapo
@edwardchilewa6289
@edwardchilewa6289 Ай бұрын
😂😂😂
@sylivestermwasile4203
@sylivestermwasile4203 22 күн бұрын
Huyu fala mwongo kinouma ile nyumba ndo milioni mbili kweli wakati hata laki tatu haifikii
@swaumuabdallah6886
@swaumuabdallah6886 Ай бұрын
Jmn kigofu kile ndo milion 😅😅😅😅😅
@adamapollo9859
@adamapollo9859 Ай бұрын
Eti sasha ni mfanya biashara😂😂😂wai wakati wewe ni shagla ulukuwa unaosha hamu mama😂😂wacha uwongo
@missfetty4173
@missfetty4173 Ай бұрын
Iki kidada kiongo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@AishaMshamu
@AishaMshamu Ай бұрын
Hiyo mi 10 ndo mshahala wa miak 2 namaan uyo uku alikaa kumudumia bwana tu kwaiyo uyu dada kaludi patup😢
@omanoman2044
@omanoman2044 Ай бұрын
Hajarud kap sai rial ipo juu mwaka mmoja una milion 10 na lako 2 na pesa kidog yy kakaa miaka 3 kwa hiyo huyu ni mjinga tuy tusem hajielew pengine hata kwao gajajenga
@rukiammanyi-qm9iz
@rukiammanyi-qm9iz 27 күн бұрын
Huyu muongo muongo et nimekuta kapanga nyumba isiyo na hadhi niliyomtumia hela huku alinyooka moja kwa moja kwenye mlango na kusema nilimuacha apa mara kule kadi ya pikipiki mlisema Frank hapo umesema kadi ina jina langu mfyuuuu kwenda
@fawzalbusayid7232
@fawzalbusayid7232 Ай бұрын
Wandishi wa habari wachochezi🤣😂😊
@Mojabo-qi7sv
@Mojabo-qi7sv Ай бұрын
We tukome ww Kwanza ujui ata mkataba miezi mingapi una tafuta kk kupitia uongo wako ata Oman upajui😢😢
@user-oy2fi5qz9n
@user-oy2fi5qz9n Ай бұрын
Hivi ile begi ndo la kutoka Oman? Mara nyumba nilikuwa naifaham Mara nyumba sio ya hela niliyokuwa namtumia
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i Ай бұрын
Na nnvojua wanaondoka na ndundu hzo mibegi tleee mitumba yote
@zainabramadhani9838
@zainabramadhani9838 Ай бұрын
Kumuhudumia mwanamume lazima aje akupige tukio zito Kwa sababu mwanamke akuumbiwa kumuhudumia mwanamke
@crispingerald3000
@crispingerald3000 Ай бұрын
Acha upumbamvu Yani kiredio asipost akose Hela we ulimuita wanin kiredio ana ishu privet uyu demu mpuz kweli kweli 😅😅
@sofiasophia9018
@sofiasophia9018 Ай бұрын
Dada kasha upata umaarufu tayari naulikua unamulaumu kiredio kwanini kapost
@claudbusumilo3979
@claudbusumilo3979 Ай бұрын
Uongo huo umesema ulimuacha kwenye Nyumba na unapajua sasa tena unasema alipanga Nyumba sio ya hazi yako utatudanganya sana
@sanyaalone6180
@sanyaalone6180 Ай бұрын
Ahsante kwa kuona hichi na wew
@ibrahimjuma9709
@ibrahimjuma9709 Ай бұрын
Pwagu na pwaguzi poli lao moja mchukuane maisha yaendele ila tu muowane kila mtu amueshimu mwenzake😂😂😂
@JulithaOliva
@JulithaOliva Ай бұрын
Kiki tu kwanza begi halikuwa na kitu ila kinawatu wanapata majanga kama hayo
@khamoshmikidadi618
@khamoshmikidadi618 Ай бұрын
Kwnz hakua anatok Oman uyo
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i Ай бұрын
Begi lilikua halina chochote lile
@rayahamisi118
@rayahamisi118 Ай бұрын
Pia mkononi alikuwa ana karatas
@muddywatown
@muddywatown 25 күн бұрын
Huyu anavyoongea2 unajua anautaka umaarufu sauti sio yake ebu rejea hapo kwenye bei ya kodi 😂😂😂
@user-qs9bw4kw4q
@user-qs9bw4kw4q Ай бұрын
Nimuongo huyo 😂😂😂 Oman ipi hiyo
@MaryamMaryam-sr8zp
@MaryamMaryam-sr8zp Ай бұрын
Muongoo uyuataka umalufu maalufu
@ashazuber6548
@ashazuber6548 Ай бұрын
Hiii lakin japo ni kiki watu wanapigwa matukio 😂😂😂😂😂😂ila Haya namtafuta wa kumuhonga simuon😅😅😅😅😅😅
@modestajamada3496
@modestajamada3496 Ай бұрын
😅😅😅😅😅 umu oni
@ashazuber6548
@ashazuber6548 Ай бұрын
@@modestajamada3496 simuon kwakweli wanapatikana wapi
@hanifasaidi8395
@hanifasaidi8395 Ай бұрын
Mm sijaelewa chochote leo😂
@user-qs4sc7cp8q
@user-qs4sc7cp8q Ай бұрын
Nimeisikiliza kwenye radio saloon kwangu mwanzo mwisho leo
@LizzyTarimo-b7n
@LizzyTarimo-b7n Ай бұрын
Lakini wanaume waache tabia ya kupenda kulelewa. Fanyeni kazi maana hata maandiko yasema mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu. So mwanaume asimame kwa zamu yake na mwanamke kwa zamu yake. Nyie wanawake mnaowapoteza wanaume wadogo kwa kuwarubuni kwa hela na Mali na mahaba mazito muache hiyo tabia ili waweze kujitafutia na kuanzisha familia zao.
@Mwaguntobi-ip1yi
@Mwaguntobi-ip1yi Ай бұрын
Heeeh, ujinga haununuriwi😂😂😂
@RAHELIDARABE
@RAHELIDARABE Ай бұрын
Ndo alichokuwa anataka unamlipia nwanau😢chumba, unanunua pikipiki afya unakaa Oman miaka yote hiyo yaani unatakakeje hizo hela ungewapa wazazi wako siyo hao mbwa mwitu kwani umefunga naye ndoa?ndo akili zikukae mwanaume anayeweza kumfanyia hayo yote ni mume wa ndoa tu.😊
@soniahassan6769
@soniahassan6769 Ай бұрын
Kiki tu kufanya maisha aaah
@maryammeme3203
@maryammeme3203 Ай бұрын
Kweli yani hata siku ya kwanza unaona I muogo
@soniahassan6769
@soniahassan6769 Ай бұрын
@@maryammeme3203 yaan wasanii bongo ujinga ujinga ndo mwingi
@RamlatyMkwata
@RamlatyMkwata Ай бұрын
😂😂😂
@StellahJacob
@StellahJacob Ай бұрын
😅😅😂
@ireneevaristo5552
@ireneevaristo5552 Ай бұрын
Kule alisema miaka 3 huku miaka 2 mfyuuuuu Oman ametoka na kibag kimoja na mikucha kama msungo Labda alikuja kujiuza maana mabellah wamejaa wabongo wanauza nyuchi zao
@NasserAlhajri-ys6yr
@NasserAlhajri-ys6yr Ай бұрын
Maabellah❤
@ireneevaristo5552
@ireneevaristo5552 Ай бұрын
@@NasserAlhajri-ys6yr eehee wapo tele😂😂😂😂
@dignakanje4508
@dignakanje4508 15 күн бұрын
Yaani hwa wadada hawadada
@sharifahemed5253
@sharifahemed5253 Ай бұрын
Kiki mbona😂😂😂😂😂
@HeryethAleck
@HeryethAleck Ай бұрын
Huyu dada anaigizaga msitupige na kitu Kizito😅
@rohdaphilip2470
@rohdaphilip2470 25 күн бұрын
Jaman tulio oman tujuwane nataka kuuliz au ni mie jaman umekaa oman miaka 2 alfu ufike tu tz ety umpigie mtu cm jsmn huyu dada muongo kwanz rain inafungiwa alfu yy kafik na kupata vocha wapi?? alfu beg lake harin nembo jamn😂😂 Hata mkomba hana 😂😂
@penuelmichael3374
@penuelmichael3374 Ай бұрын
Hivi hawa wenzetu wanapata wapi hela zakuhonga wanaume😢
@user-pi6lb6nx3m
@user-pi6lb6nx3m Ай бұрын
Hii ni kiki mnafiki huyu harafu bado anatamka Ruru badala ya lulu mara business fwuuuu😊
@abdalahaby3658
@abdalahaby3658 Ай бұрын
Wewe pia umeandika harafu badala ya halafu 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@ImeldaMyinga
@ImeldaMyinga Ай бұрын
Kwa hiyo mnatuigizia sio asantee kwa kutumalizia mb zetu
@nurumwinyi796
@nurumwinyi796 Ай бұрын
😂😂😂
@FranklinHosea
@FranklinHosea 7 күн бұрын
Dada Kapata umaarufu uyu asaiv utashangaa anapost matangazo
@mariamhelen7808
@mariamhelen7808 Ай бұрын
Aiseee huyu dada nimuongo sana hakua oman
@fatmamohammed8346
@fatmamohammed8346 Ай бұрын
dada muongo mpak kuelezea hawezi ovyoooo kabisaaa
@yassinchuwa8824
@yassinchuwa8824 Ай бұрын
Kiredio kakupeleka mjini dada
@stelladaudi9206
@stelladaudi9206 Ай бұрын
Muongo huyu miaka miwili oman ndo unaludi ka kibegi kama kile alafu eti hera aliyokuwa anatowa nitafauti na nyumba alio kuwa amepanga wakati anadayi alikuwa amemuacha pale pale na alikuwa anapajuwa muongo tu
@sharifahemed5253
@sharifahemed5253 Ай бұрын
Ajui kama tunafatilia maisha ya watu.....Muongo uyo mdada
@user-wz2wi6tx9g
@user-wz2wi6tx9g Ай бұрын
Watu wengi wanao enda Omani wanakazi nyingi wengine wanauza mwili wanafanya kazi saloon na wengine kazi za ndani kwaiyo huwezi jua kama alikuwa anafanya kazi wap
@salomecassian3715
@salomecassian3715 Ай бұрын
😂😂😂😂😂hapo sasa
@batulialmass8914
@batulialmass8914 Ай бұрын
Dada ni muongo uliku unalipwa bei gani Oman eti miliion 3 kwa miezi mitatu kwenda huko
@Mwanah-cg3ie
@Mwanah-cg3ie Ай бұрын
Et jmn muongoo uyu
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i Ай бұрын
Hyo uwongo kweli
@Mwanah-cg3ie
@Mwanah-cg3ie Ай бұрын
@@user-dx6dm6lh1i et jmn ela iyo iyo Kodi boda Duka bd ipo bank bd amenunua car jmn 😂😂
@miriammseke
@miriammseke Ай бұрын
😂😂😂😂muongo jmn tulioko oman tunamshangaaa😂😂😂😂khaaaaa dada acha uongo miaka miwili umtumie mwanaume alafu ww ukarudi na sh ngapi
@saidmanjuti7441
@saidmanjuti7441 Ай бұрын
huyu dada muongo jaman hahahahahahahahahahahahah
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc Ай бұрын
Huyu hajawahi fanya kazi oman mimi ni mkaguzi hapa airpost Dar hajawahi kutoka wala kirud
@MonnaPonda
@MonnaPonda Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@nasrafarjallah6691
@nasrafarjallah6691 Ай бұрын
Nyumba ya million 1.2 ni ip???😂😂😂😂
@KeiOmaromar
@KeiOmaromar Ай бұрын
Mwana kulitafuta mwana kulipata 😂😂😂wenzio tunamek ela zetu ww unahonga 😂😂😂😂make kwnz ncheke😅😅
@merinazyd0532
@merinazyd0532 Ай бұрын
Kiki tu ovyo sana huyu dada
@adamapollo9859
@adamapollo9859 Ай бұрын
Jitu zima ovyo😂😂
@noreen2654
@noreen2654 24 күн бұрын
Huyo mwongo mbona frenk anasema duka la nguo?
@irenembura8045
@irenembura8045 Ай бұрын
Huyu ni Muongooooooo
@SalimaOman-hz1mi
@SalimaOman-hz1mi Ай бұрын
Muongo sana uyu dada
@irenembura8045
@irenembura8045 Ай бұрын
Kwa sababu picha alivyotoka Oman na kisanduku kimoja tuu kidogo😢
@hawamafuru6791
@hawamafuru6791 Ай бұрын
huyu anaigiza bwana sio kweli katoka omani😊
@irenembura8045
@irenembura8045 Ай бұрын
Uongo sehemu nyingine umejikoroga!!
@user-ze3zw4dq4r
@user-ze3zw4dq4r Ай бұрын
Wee wat tuk omn hatujasikia msharah wa million 3
@abc-en3em
@abc-en3em Ай бұрын
Mmh pale kodi ni million 😂😂😂
@noreen2654
@noreen2654 24 күн бұрын
Aache ushamba yeye anamkasirikia kiredio kwani yeye kiredio alijipeleka pale mwenyewe? Huyo asijishaue.
@nassirabas
@nassirabas Ай бұрын
😂ukiangalia kwa undan huyu dada huko oman alikuwa anajiuza mana hakuna msichana wa ndan akalipwa pesa nyingi oman na tena amekaa miaka 2 hakuna maendleo ya miaka 2 na pia skia alichosema mwanzo kabla hajaondoka amempangia nyumba na alipajuaje kwa frank pesa alipata wap wakat mitaji yote alimfungulia frank wakat yupo oman huyu dada anataka kupelekewa moto na wasanii hajapata kikiiiii 😅
@JoyceLKisha
@JoyceLKisha Ай бұрын
Nimeacha kuamin kaz za kiredio
@user-np6ti8lh7v
@user-np6ti8lh7v Ай бұрын
Uyu dada nimuogo
KACHUKUA MPENZI WA MWENZAKE Pt2
8:59
Mr Uky
Рет қаралды 190 М.
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 13 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 40 МЛН
Lehanga 🤣 #comedy #funny
00:31
Micky Makeover
Рет қаралды 30 МЛН
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,3 МЛН
Mwanaume Akiomba Andazi Anapewa By Mariam Migomba | Kitchen Party Online
5:14
Kitchen Party Online
Рет қаралды 4,3 М.
CAKE YENYE SCREENSHOT ZA MCHEPUKO YAPELEKWA TABATA PART 1
19:23
BIBI HARUSI MATATANI KUACHIKA KABLA YA HARUSI
11:32
KIREDIO
Рет қаралды 156 М.
MKE NA MCHEPUKO WA KUTANA Part 2
9:56
Mr Uky
Рет қаралды 262 М.
MREMBO WA OMAN YAMKUTA MAZITO, AFICHUA UCHAFU WA MPENZI WAKE
21:03
KATUDANGANYA KISA PENZI
8:22
Mr Uky
Рет қаралды 71 М.
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 13 МЛН