No video

GENIUS ATENGENEZA GARI, LINA KILA KITU, SPIDI HATARI, ANATAKA KUTENGENEZA BOTI NA NDEGE

  Рет қаралды 68,728

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 271
@Fabulousmom509
@Fabulousmom509 4 ай бұрын
Kwa ufupi waafrika ni smart sana basi tu, hatunaga support, hongera kijana
@muduboy726
@muduboy726 4 ай бұрын
Support ni mimi na wewe wa inje sio lazima
@Fabulousmom509
@Fabulousmom509 4 ай бұрын
@@muduboy726 ni kweli
@jifunzeleo.8610
@jifunzeleo.8610 4 ай бұрын
Hapo ni sisi Kwa sisi kusaidiana...serikali ifanye yake na ikikupa msaada mwisho watakupa na masharti kipaji kinakufa...hapo ni Wana 1000 hapa Tz tunampa mwana 10000 kila mmoja kisha tunamwambia fanya kikubwa zaid😊😊😊
@RamadanPaul
@RamadanPaul 4 ай бұрын
​@@jifunzeleo.8610 Ukoloni mambo leo umetufanya waafrika kujiona hatuwezi kabisa.
@dennisdeogratius6558
@dennisdeogratius6558 4 ай бұрын
Cha ajabu kuna mtu sahii anasoma automotive engineering lakini hiki kitu hawezi elimu yetu ya bongo kazi sana big up sana kwa huyo kijana vijana wa veta pia wanafanya vizuri
@Keyjop
@Keyjop 4 ай бұрын
Tengeneza broh...na Mungu akitimilizie ndoto Yako ije 🙏 Amen 🔥♥️
@recenttechnologiestanzania2703
@recenttechnologiestanzania2703 4 ай бұрын
Tunaomba makampuni ya kitanzqnia yaingie kwenye uwekezaji wa technologia vijana wa hivi wako wengi
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 4 ай бұрын
inaumiza san
@farijalamhanga5097
@farijalamhanga5097 4 ай бұрын
Huyu angekuwa kwa wenzet ninkama dhahab kwao,serikal yetu imuone kwa jicho la tofaut🎉🎉🎉🎉🎉
@joshuajofrey9832
@joshuajofrey9832 4 ай бұрын
Serikali ipi sasa😮😢😂
@shalomchaula4420
@shalomchaula4420 4 ай бұрын
Tanzania tuna vijana wengi sana wenye ujuzi wengi sana wangekusanywa na wakachukua na walio kaa darasani Kwa ujuzi tofauti ndani ya mwaka tungeunda gari zuri na lenye sura nzuri ...kongore sana kaka hii inaonyesha tunaweza na watu weupe wanajua sema wanapiga kichwa siku zote Kwa misaada hisiyo na tija unapewa mchele na unamchele daah Mungu aikomboe Tanzania
@nsajimwasege68
@nsajimwasege68 4 ай бұрын
Vipaji hivi vinapuuzwa,Mungu tufungue macho waafrika, tufumbue macho tuone uwezo wetu uliotupa,utajiri uliotupa katika ardhi na vichwa vyetu!!!
@Ommyjr-en9fc
@Ommyjr-en9fc 4 ай бұрын
Kweli kabs kk waafrika tumefumbwa sjui WP unaweza shangaa mtu Kama uyu anachukuliwa at sheria
@ALONMWAMPAMBA
@ALONMWAMPAMBA 4 ай бұрын
Duu mungu akufungulie njia utengeneze mengi.Tutumie Hata sisi wa vijijini
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi 4 ай бұрын
Safi sana kijana simamia ndoto zako Mwenyezi Mungu atakufikisha mbali sana!
@kammunisi2296
@kammunisi2296 4 ай бұрын
kwa kunsapot kijana nitamuoda gari2 kama hizo aniuzie cha kuomba 2serikali itoe vibali vya uyu kijana kwa haraka ili aweze kufanya biashara
@ezrajohn6444
@ezrajohn6444 4 ай бұрын
Ni ajabu sana walio wengi vyuoni hawawezi yeye bila vidato kafanya. Kipaji hiki kitunzwe kwa gharama yoyote na kitufae Watanzania wote. NAKUPONGEZA KIJANA asante AYO kwa kutusogezea hii.
@amielraphael2927
@amielraphael2927 4 ай бұрын
Hongera sana Bwana mdogo, umeupiga mwingi
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 4 ай бұрын
Ingekua nchi za ulaya ungepata ajira apo apo lakin kwetu tz utabaki kusifiwa tu ila kaza usivunjike moyo utatoka
@kimwerimwerondo708
@kimwerimwerondo708 4 ай бұрын
KWENYE FINISHING DOGO ANATISHA NI YA KIJANJA SANA
@chidi_don
@chidi_don 4 ай бұрын
Dah kwa kweli dogo anajua sana yani Tanzania tunaweza sana 😢
@Mshuta
@Mshuta 4 ай бұрын
Tengeneza mengi boss utuuzie
@hellenmawere9284
@hellenmawere9284 4 ай бұрын
Kwakweli hata Mimi nalihitaji
@justinbara6783
@justinbara6783 4 ай бұрын
Ishu siyo kutengeneza ishu jamaa Hana mtaji labda Mtu ajitokeze awekeze
@bukharysaid
@bukharysaid 4 ай бұрын
Hata akiwezeshwa utaambiwa halijakidhi vigezo vya usalama. Yale ya masoud kipanya yako wapi mpaka leo
@jifunzeleo.8610
@jifunzeleo.8610 4 ай бұрын
Serikali ikimpinga hatukubali tutaandmana kumtetea
@shaviercharvinho18
@shaviercharvinho18 4 ай бұрын
Umenifurahisha sana
@user-ex6vo5wu2x
@user-ex6vo5wu2x 4 ай бұрын
Good idea Big up bro hapa kilicho baki ni serikali kutoa support
@allybobsaith
@allybobsaith 4 ай бұрын
Kachukue leseni kaka😂😂dahhhh balaaa wewe ni nona mungu akubarikie ameen
@jameskajenge3109
@jameskajenge3109 4 ай бұрын
Very talented, hongera sana kwa kuthubutu kuonyesha uwezo wako
@alexmathias6620
@alexmathias6620 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤blavo blavo kazi nzur sema tu kwa Tz umona upo kwenye Raman na sio kwa vitendo, Kama ingelikua Ni nchi za wenzetu mfano watu weupe wanabebana Sana lakin sisi watu weusi tuna loho mbaya hatupendi mafanikio ya mtu mwingine🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 we pambana ukibahatika kupata kamtaji jiendeleze wewe mwenyewe
@user-ku4xq4nd9v
@user-ku4xq4nd9v 4 ай бұрын
Hapa ndipo Rais wetu wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan anatakiwa aanzie hapa kwa kijana kutupeleka kwenye Gari zetu watanzania Historia ita andikwa upya Masud kipanya Nduguyo huyo Wateja tupo tayari
@chidiomari.65
@chidiomari.65 4 ай бұрын
Masoud kipanya anabidi amuone uyo kijana waunganishe mawazo Kwa pamoja
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 4 ай бұрын
Duh kumbe kuna masudi kipanya pia huku kuna jamaa anaitwa masudi kipaka au ndo amecopy
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 4 ай бұрын
Kweli halloo wakae pamoja mbona hakuna linaloshindikana
@wilsonnzowa3620
@wilsonnzowa3620 4 ай бұрын
Uwakika
@SamsonBupamba-oh3yl
@SamsonBupamba-oh3yl 4 ай бұрын
Wajapani na Wachina wamefika mwisho, Mungu atusaidie sana, tuna vipaji Vingi, hunger sana Mungu akulinde
@user-ps1ph9iv5b
@user-ps1ph9iv5b 4 ай бұрын
Ni mbunifu mzuri na wabunifu kama hawa tunao wengi sana hapa nchni, kwasasa tunahitaji zaidi waundaji
@brainyieldschools
@brainyieldschools 4 ай бұрын
Mama Samia please look at this boy @ikulu
@mwana-unique
@mwana-unique 3 ай бұрын
Hongera sana kijana serikali ikusaidie kulinda carrier yako
@durangobasics6195
@durangobasics6195 4 ай бұрын
"Amelitengeneza gari hili yeye mwenyewe; kuanzia mwanzo, mpaka mwisho". Labda tuseme "ameliunda" Hongera sana kwa kitu ulichokifanya. Tunaweza!
@stevenchawala5316
@stevenchawala5316 4 ай бұрын
Tengeneza ving hivyo utuuzie funika juu mvua isitunyeshee bro safi sana Mungu akubarik sasa WAJAPAN awataniona
@atutweve4160
@atutweve4160 4 ай бұрын
La summer manake sio matumizi ya kipindi cha mvua,
@Madam255
@Madam255 4 ай бұрын
Tulioishia darasa la saba tuna kitu tutafika mbali 😊😊😊
@fundimagariDSM
@fundimagariDSM 4 ай бұрын
❤🇹🇿 tutatoka2 bongo apa apa tunaweza
@user-bp2qu2ir7i
@user-bp2qu2ir7i 4 ай бұрын
good creativity, big up sana kijana.
@user-cs9jj4ds9u
@user-cs9jj4ds9u 4 ай бұрын
Naamini kwa watanzania wa Sasa naamini utasaidiwa mungu ni mwema aendelee kukupa uwezo wa kufanya zaidi ya
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 4 ай бұрын
Masha'allah MNGU atamuinua zaidi
@allythabiti8150
@allythabiti8150 4 ай бұрын
Allah amjaalie hakika ana kipaji wallah
@Avith-lj2sp
@Avith-lj2sp 4 ай бұрын
brother bigup kumbe tunaweza...soon magar yatakua manufactured bongo
@paulinacharles8969
@paulinacharles8969 4 ай бұрын
Hata baadhi ya watu wakibeza, huu ni usafiri ukizingatia ni gari ya kwanza. Gari ya kumi na kuendelea itakuwa na maboresho makubwa.
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 4 ай бұрын
Kwanza tumshukuru Mungu kwa neema ya Kipaji. Gari nzuri na ni gari ya michezo. Pongezi kwa mtoto huyu. Kisheria miaka 17 ni mtoto . Pili, nawapongeza sana traffic police waliomkamata na kumwachia akakuze Kipaji chake. Naiomba Serikali imuwezeshe kisheria asajili gari lake. Tatu nampongeza mwandishi wa habari kwa maswali makini.
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 4 ай бұрын
He took bajaj/Chinese cargo tricycle engine, designed the chassis, he took bajaj/chanise cargo tricycle wiring and put in it, assembled everything all together..then boom l.....
@jumamkoka2267
@jumamkoka2267 4 ай бұрын
Unajaribu kusema nn??
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 4 ай бұрын
@@jumamkoka2267 sorry i was in hurry at times when i was writing my comment... probably now you can understand what i wanted to address sir.
@jumamkoka2267
@jumamkoka2267 4 ай бұрын
Oh, ok
@mzikiplustz
@mzikiplustz 4 ай бұрын
Tokea 2022 serikali haijamuona tu ,Ama kweli serikali yetu ya Tanzania ni ya hovyo sana 😠😠😠
@kevinkatima4975
@kevinkatima4975 4 ай бұрын
Mwenyezimungu akusaidie kipaji chako kisififie hata uwe na kampuni yako🙏
@user-mm1qe7zx8c
@user-mm1qe7zx8c 4 ай бұрын
Amen kijana Bwana akuinue ufikie maono yako
@rpynoel566
@rpynoel566 4 ай бұрын
Millard ayo Kwa hii taarifa umechelewa sana kuigundua
@jhoairdronekings
@jhoairdronekings 4 ай бұрын
Nakuunga mkono pia nimeiona mda sana alifanyiwa interview na watu wa nje mpaka nikajiuliza mbona kwa millard sion kitu na huyu ni mbongo mwenzetu.
@spency2371
@spency2371 4 ай бұрын
Woow! Wooow! Wooow!!❤
@midundotechtz6843
@midundotechtz6843 4 ай бұрын
Kazi nzuri kijana ila kwa muda mwingine unda bajaj za abilia na mizigo itakisaidia sana
@kennar012
@kennar012 4 ай бұрын
In Kenya we do help such people and give them the support they need. Kuna mwenye alitengeneza ndege Kenya sasa hivi amekuwa tajiri. Mwambieni akuje Kenya serikali imchukue huyu atakuwa millionaire haraka sana Kenya. Kuna kampuni ya kuunda magari kenya inaitwa Mobius wanachukua watu kama hawa wenye akili innovative. Come to Kenya bro and you will be recognised across Africa.
@jerrywilhelm
@jerrywilhelm 4 ай бұрын
Keep it up
@damasmassawe3601
@damasmassawe3601 4 ай бұрын
mambo kama haya hayapewi airtime ,ila mambo yakijinga ndio yamapewa muda , tz inashida kubwa sana kwa watu kama hawa
@willsonjohn-nl1om
@willsonjohn-nl1om 4 ай бұрын
Ni muhimu sana kuendeleza hicho kipaji!!
@user-kx4wd5vb4j
@user-kx4wd5vb4j 4 ай бұрын
Namkumbuka 20 percent.kwa wenye hela zitaongea hela ila wenye vipaji wengi mafukara. Naficha na na naficha naficha yale ninayoyaona.
@talentshow2024
@talentshow2024 3 ай бұрын
Tunaomba asije akakubali kuuza ugunduzi wake kwa wezi wa technology za wa Africa na kwenda kusema wao ndio wamegundua
@Avith-lj2sp
@Avith-lj2sp 4 ай бұрын
Kumbe formula1 one inaweza fanyika bongo hii lewis Hamilton atakuja bongo siku moja
@luisojr3480
@luisojr3480 4 ай бұрын
Ametisha sana
@user-od8tg1yt3g
@user-od8tg1yt3g 4 ай бұрын
wapo wengi sana mtaani ila serikali yetu wapo kimagumashi sana
@henrychacha5592
@henrychacha5592 4 ай бұрын
Hongera sana, ila ongeza umakini kwenye finishing
@twahahamidu6246
@twahahamidu6246 4 ай бұрын
Finishing iko safi ww ujui kitu
@wazirijunior3343
@wazirijunior3343 4 ай бұрын
Mwanangu god huyo🙌🙌🙌
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 4 ай бұрын
Mungu ambariki sanaaaa huyu kijana
@suzanbegas4139
@suzanbegas4139 4 ай бұрын
👏Congrats 🎉👍
@kennethipapo9552
@kennethipapo9552 4 ай бұрын
Tunavipaji vingi Sana Watanzania lakini kuwezeshwa bado tupo nyuma sana. Hii itapunguza utegemezi kutoka nje.
@jossporahmsw8420
@jossporahmsw8420 4 ай бұрын
Endelea kuwekeza kwenye utengenezaji, hongera
@user-zr5rg5ul3q
@user-zr5rg5ul3q 4 ай бұрын
Tanzania watu kama Hawa hawazeee kupata sapoti niamini mm
@godsonkyara4896
@godsonkyara4896 4 ай бұрын
Asitafute sapoti ya serikali, huwa wanapoteza vipaji vyao, watu wa namna hii waungane wafanye kitu, wanasiasa/serikali hupiga kelele kisha wanakuwa kimya milele. Sijasikia tena wala kona magari ya umeme ya Bw. Kipanya
@fortidaskashaigili7496
@fortidaskashaigili7496 4 ай бұрын
Kijana inatakiwa utulie kwanza, tuliza akili, usiende mbio mbio sana, na Wala usikimbilie kupata mfadhiri, na usiwe mwepesi kutoa ujuzi waki hovyo Kwa kila mtu, Tz watakuchungulia Alf watakutupa hapo, fanta kazi wmenyewe binafsi, uza Moja kama tangazo Alf zinazofuata pandisha bei
@nolexkanyittahsuit
@nolexkanyittahsuit 4 ай бұрын
Tengeneza mengi mkuu tujekununua
@giftprosper2355
@giftprosper2355 3 ай бұрын
Tatizo wawekezaji na support hamn
@israelmunuo7938
@israelmunuo7938 4 ай бұрын
Safi sana mtanzania🇹🇿 mwenzetu
@user-bp2qu2ir7i
@user-bp2qu2ir7i 4 ай бұрын
nimeipendaaa
@willsonjohn-nl1om
@willsonjohn-nl1om 4 ай бұрын
Big up sana, kijana yupo Vizuri, Tunawezaje kupata mawasiliano yake??
@mochrissbyser2470
@mochrissbyser2470 4 ай бұрын
Ingekua kwa wenzetu daaaah ingekua ni dhahabu kbs serikali wamuangalie kwa jicho lingine
@victorcephas3618
@victorcephas3618 4 ай бұрын
Atengeneze mengi ayauze ntanunua moja
@denismasele4130
@denismasele4130 4 ай бұрын
Kuna watu wanaweza kukufata uwape maelezo kuhusu ubunifu wako ukazani wanakusaidia kumbe wezi😢😢😢
@faharimovies
@faharimovies 3 ай бұрын
Nimekipenda hicho kigari
@USACAUDIOVISUALMATERIALS
@USACAUDIOVISUALMATERIALS 4 ай бұрын
Dogo ungefanya kimya kimya tu. Hapa ukishatangazwa tu basi, badala ya kunyanyuliwa unashushwa.
@user-ew1qn3fc1x
@user-ew1qn3fc1x 4 ай бұрын
President ya Tanzania mama samia ange mchurulikia ule kijana
@TheTickingAges
@TheTickingAges 4 ай бұрын
Usijaribu kutoa siri yeyote vile umetengeneza hilo ndo wazo langu.
@jumahassan273
@jumahassan273 4 ай бұрын
Safiiiiiiiii sanaaaaaaaa
@maroahkissiry4863
@maroahkissiry4863 3 ай бұрын
Millard naomba mawasiliano yake anitengenezee/aniuzie moja
@JuliusMtaita-gt9bs
@JuliusMtaita-gt9bs 4 ай бұрын
Kama wew so fundi hauwezi kumuelewa uyo mkali . unajua man umemjibu kiufundi zaid apo mwisho aise nakubali sana
@gilbertngemela6752
@gilbertngemela6752 4 ай бұрын
Mbona kama formula one 😂😂,
@kevinkatima4975
@kevinkatima4975 4 ай бұрын
Yaani kama umeishia la saba umefanya hayo ,tafadhali tafuta mtu wa pcm akupige pindi. An ukijua ma electromagnet na ma molecular physics utafanya makubwa zaidi ,usife
@patisondidas6720
@patisondidas6720 4 ай бұрын
Dah uyu mwamba ni noma San pita humo humo kijan mungu atasaidia
@user-xv9nl6sn3q
@user-xv9nl6sn3q 4 ай бұрын
Mtu wa maana kabisaaaaa
@eliasluchanganya1522
@eliasluchanganya1522 4 ай бұрын
Mungu atusimamie waafrika
@AlenKinyina
@AlenKinyina 4 ай бұрын
Hongera sana kijana
@elibarickjoseph3005
@elibarickjoseph3005 3 ай бұрын
Na Mimi nataka naniuzie Moja Kwa kweli
@user-ul2rw4bg8s
@user-ul2rw4bg8s 4 ай бұрын
Genius
@makongoronyerere1564
@makongoronyerere1564 4 ай бұрын
Viongoz wa Tanzania wanazingua sna, uwaambie kutuma askali police kukamata Boda Boda, hapo wanaweza xna,,
@benjaminsanare-ug6ge
@benjaminsanare-ug6ge 4 ай бұрын
Finishing ya kijanja sana
@Faustine_Charles
@Faustine_Charles 4 ай бұрын
naiona nuru
@plotagonworld-sc4ln
@plotagonworld-sc4ln 4 ай бұрын
Bigup bro💪💪👍👍👏👏
@mejakimaro2773
@mejakimaro2773 4 ай бұрын
Kwanza tunamkamata anawekwa ndani Hana kibali,anaendesha vipi gari?......(Serikali yetu! KP motors iko wapi hadi Leo?)
@Ommyjr-en9fc
@Ommyjr-en9fc 4 ай бұрын
Hongera port,hakika bongo tunavitu vingi tu vya ajabu lakin bado tumetawaliwa kifikra ,ifike mda wazazi tuwe makinni kuwajua vijana wetu tangu wakiwa wadog tuwajue kisaikolojia ni akinanani wa baadae,wenzetu wazungu hawalazimishani mtoto akifikia mri kuanza kuchezea vitu wanamuwekea vitu vingi mbalimbal kama mpira,kalamu,gari,pisto, n.k kile ambacho atapendelea sanaa wanaamini mafanikio yake yko hapo ,wabongo tubadilike wengi tunataka watoto wawe madaktari lzm tugawane majukumu🇹🇿
@abedysteven4930
@abedysteven4930 4 ай бұрын
Dah tanzania kuna vpaji xana !! Xerekali muone huyo kijana!! Ana uwezo!! Me nakupongeza dogo Kwa akili kubwa uliyoi2mia!!!hongera xana
@user-ty8ci5oi9m
@user-ty8ci5oi9m 3 ай бұрын
Hiyo hata mimi naeza kutengeneza migu ya piki pikii mimi ntakubali mtu anatengeneza akiunda machuma migu kila kintu bila gutumia vyuma vya uzehe ntakubali huo mtu
@shaban6644
@shaban6644 4 ай бұрын
Atunukiwe PHD,
@davidndaha9607
@davidndaha9607 4 ай бұрын
Vipaji vipo ila serekari ni upigaji tuu kwa pesa zingesaidia hata vijana!.
@richarddavidmk
@richarddavidmk 4 ай бұрын
Hii ikopowa bushi huku .ila sikufichi hautapata sapport .TIA=This is Africa
@ilalikilimo440
@ilalikilimo440 4 ай бұрын
Tanzania ina vijana wanavipaji sana lkn serikali hawaoni sijui kwanini..... Serikali inabidi wawatafutee hawa vijana kwa maendeleo ya taifaa hili... sio vijana wawatafutee serikali
@kombojuma2873
@kombojuma2873 4 ай бұрын
😂😂😂 hongera sn sn🤝
@TheTickingAges
@TheTickingAges 4 ай бұрын
Huyu angekua yuko america angekua tajiri saa hizi lakini serikali zetu za kiafrika zinapuuza watu kama hawa. genius hafundishwi nikipaji cha kuvumbua kitu.
@danielmussa6944
@danielmussa6944 4 ай бұрын
Hapa ndo utagundua elimu ni makaratasi tu,hospitali wanasema dawa ya jino kun’goa lakini jino lililonisumbua since 2012 nimelitibu kwa mzizi 2021 kwa kusukutua mara mbili na sijawahi kusikia tena
@enezajohn6168
@enezajohn6168 4 ай бұрын
Safi sana👏
Harley Quinn lost the Joker forever!!!#Harley Quinn #joker
00:19
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 28 МЛН
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker  #shorts
00:34
Untitled Joker
Рет қаралды 65 МЛН
Wabunifu wa Injini ya ndege (Jet Engine)
4:29
COSTECH Tanzania
Рет қаралды 14 М.
JIONEE PIKIPIKI BAJAJ GUTA TULIZONAZO
4:50
MSEMAKWELI MOTORCYCLE
Рет қаралды 12 М.
Harley Quinn lost the Joker forever!!!#Harley Quinn #joker
00:19
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 28 МЛН